Sheik diwani hapana sio hivo ,ushabike sio nzuri,ust saidi na sheik kubra hamna kitu, sheik Mohammed katufunga goali na hatuwazi kuiakumbua mpaka mwisho wa dunia, lakini Mimi moulidi basi,sheik Mohammed nimekualawa mm ahsant sana
Sheikh muhammad bacho allah akujaliyemwishomwema sisitumejihoneyawenyewe musitulazimishe kupoteya nasijiyayahakitunahijuwa natumezidikuhelimika kupitiya sunnah na Quran
Shekhe Bachu amewavuruga Sana Mashekhe. Yaani kwenye Mitandao yote ya kijamii ninaona ni watu wanatokwa jasho kulalamika Wala siyo kujibu hoja.. Sasa imebaki majigambo ya Usomi. Sasa Usomi huo si utumike kujibu hoja? BORA MNGENYAMAZA TU
Shekhe yusufu diwani uko vizuri saana Allah akulipe Kila la kheri Kwasababu hakuzingatia Allah alivyo mdhalilisha Kwa kukojolea kiti Kwasababu Bado mtoto wa bacho anaendelea na kukirashi mambo ya kheri Tunacho kisubiria Sasa ni mtoto wa bacho kujinyea kabisa
ASSALAAMU ALAIKUM. NYINYI MNAOJISEMA KUWA MNAJUA MBONA HAMTOI UFAFANUZI KWA HAYO YANAYOSEMWA NI UONGO KATIKA MAULID ILI UONEKANE NI UKWELI. DINI YA KIISLAMU MSINGI WAKE NI KITABU CHA ALLAAH NA MWENENDO WA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA HAYO MAULID YAPO WAPI KATIKA MSINGI HIYO. TOENI UFAFANUZI KWA UFAFANUZI KWA WAISLAMU WAELEWE.
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh Iman mtakua ktk afya njema. Jamaa tunahitaji kumuombea dua Mohamed bachu. KASHAANZA KUZUNGUMZA NA PAKA. HAYUPO SAWA. HIVI MTU AKIANZA KUZUNGUMZA NA PAKA ANALIWA SAWA?
Ww unae jiita shekh diwani kwanza kabisa ulikua na chuki na mhmd bachu ss ndio umepata la kusema lkn nataka nikwambie hao watu wakenya wanawacheka nyny mashekh wa tz wanawaambia hamuko vzr kwa ilmu ya dini na kudunia hukumbuki yule mbarawa mhmd khatimi alivyo msema kishki pia akamsema na bachu Tena hao ni mashekh wetu wakubwa utakuwa ww Tena unampongeza shekh said kwa lipi haswa alilolisema zaidi ya kurudia swali lake lisilo na maana ... Mm nampongeza Sana shekh wangu bachu Allah amlinde na hasaad zenu
Ikiwa una Akili na fahamu mzuri na una usomi japo kidogo tu basi usingekosa kutambua sehemu alipo kamatwa huyo mtoto wenu bachu ambae hana hishima na wanazuoni walotangulia walomzidi ilimu na umri Lakini nyote ni sawa sawa tu hatuwezi kuwalaumu
Ukweli unauma shaikh Mohamed bachu hajatukana mtu amesema maneno yaliokk ndani y kitabu ndio siyakweli km nyinyi niwasomi jibuni Acheni kuropokwa ukweli utabaki 19 zijibiwe
yaani inasikitisha sana swali ni je! wanyama walitamka kweli?mbona maelezo matamuu lakini waislam wanataka kufaham ilo.sio bachuuu bachu.mbona Sheikhe Abdallah Swareh Al Farsy alisema kuwa ndani ya barzanji kuna uongo?hamjawai sikia? .
hivi hata ww msomi mzuri haufahamu kuwa anayekutwa na kitu cha wizi huitwa mwizi!.hii sii hoja hii Dini ni ya Mwenyezi Mungu kila kilichohitajika kimeshafundishwa na mtume(s a w) tusiwe wabishi jamani.
Wewe ukiwa wamtambua Sqidi ni shekhe wako je wewe tukuhisabu ninani hata hujielewi saidi aliongea nini wata propaganda hamumuwezi Shekh Bachu Allah amuhifadhi
Wewe diwani nenda ukafanye uganga huna unachoongea wewe ndoo urudi darasani Acheni kuendekeza njaa Sisi Allah ametufahamisha kwa kupitia mjawake shk Mohammad bachu Haw Tunamuomba Allah awaongoze kwenye haq
Kuna watu walimpinga mtume kabla yenu, shida mnamtafsiri mtume kwa maoni yenu mnadhani mlishindwalo nyinyi pia mtume hawezi nendeni darasani mkasome kwa mtume hayo madogo sn
Na nyie ili muonekane mnasema kweli jibuni hoja zile 19 zilizopo ndani ya barzanji, sifa za uongo ziko nyingi sana mule ndani lakini nyie mnataka kulazimisha
Mawahabi wana tabu sana! Hawana ilmu kisha wajiona hakuna kama wao. Maulidi yataendelea Inshaa Allah hata wakichukia wenye kuchukia hatujali na chuki zao.
Kwanza mutuambie masuf wa kenya wanasema c majaaz bali inafaa kutumia hadithi zaifu nyny masuf wa Tanzania munasema ni majaaz sasa kubalianeni masuf kwanza
Kasome rafiki yangu Imam Ahmad Ibnu Hambal ametumia Hadithi Dhwaifu ktk baadhi ya vitabu vyake pia mutamwita muongo. Hata hao wanazuoni wenu kina Ibnu Mutymiya Hadithi zao nyingi ni Dhaifu nao pia ni waongo? Someni hamasa za Bachu hazitawailimisha
HUYU SHEIKH DIWANI SASA ANAPELEKA MAMBO ZEHEMU NYINGINE ANALETA MAMBO YA UYANGA YANGA HAPA JE NA YEYE HAJUI KUWA AMEKOSEA KWANI HAPA SIYO MAHALA PAKE KABISA KUMBE NDIYO MAANA MUHAMMAD BACHU HUWA ANAKUTUKANA KUMBE NA WEWE MTUPU KABISAA UNA ULIKUWALO REKEBISHA UJINGA HUU
Yani wwe shehke nimafiki unaongelea kiupinzani unaungaunga vipande vyamashe wamaulidi kuwatengenezea watu ukweli minaqasha yote iliyo fanyika tumeina mwanzo mwisho ongopea wasiojua hunaaibuwee mnafikikabisa
Ikiwa maneno hayo yamesemwa na mtu X au Y, tuambieni ni ya kweli? Wanyama walisema nk. Bachu ni mtu na anaudhaifu wake. Muhimu jibuni hoja msimjibu Bachu. Hayo maneno yalisemwa pia na Sheikh Salehe Farsy
Sheikh diwani mbona muongo sheikh saidi mbona na yeye ni muongo sheikh Muhammad bachu lengo lake mbele ya ummah ni qalallah wa qallah rasuullah kwaio haki ni haki hata angepata mtu mmoja tu amuelewa kwa Allah ni bora kuliko kuongoza watu elfu Moja alafu wajnga kama ww diwani na saidi pamoja sheikh sabasi Al kubrah acheni kudanganya ummah hamjui ni lini Allah atawatoa roho zenu na Kila mtu atakaa kaburini pekeake hii ni dini ya Allah sio Muhammad bachu yeye Kesha fikisha
Munajifaharisha kwa eliminate ya lugha wakati hatamakafiri wakiarabu wanaijua lugha ya kiarabu kuliko hata nyinyi masufi,muhimu ni tauhid ndio inayo pelekea ucha mungu, masufi hamugopi hata mafsadi yanayo one kana wazi wazi kwenye sherehe za maulid,
SHEKHE HAO MAWAHABI ACHANA NAO WATAKUPOTEZEA MUDA KSB BIDAA WANAZOFANYA WAO HAZINA TATIZO ILA TUKIFANYA SISI WANATUKATATA BIDAA ZAO AMBAZO HAZINA AYA WALA HADITHI ALAU YA MUNKAR 1. MASHINDANO YA QURAN 2. KHUTBA ZA IJUMAA KWA KISWAHILI 3. KUSALI WAKIWA WAMEKAMATA MSAHAFU NA KUUTIZAMA 4. KUWAJENGEA WANAWAKE MSIKITINI VYUMBA AU SEHEMU MAALUM ZA KUSALIA 5. KUSOMA JUZUU NZIMA KTK SALA YA TARAWEIKH TOENI DALILI YA AYA NA HADITHI JAPO YA MUNKAR
Ustadh Diwani kwa heshma na taadhima nakuomba ujibu hilo swal la ustadh saidi lililomshinda bachu,,na pia tupe elmu kuhusu wanyama kuongea kiarabu na kupeana bishara kua mimba ya mtume imeingia,,kama hutojibu na ww pia unapoteza watu bado tunaitaji elmu kujua tuache story ya wahabi ama ushabiki tupe elmu Ustadh Diwan
Ustadh yuko sawa sana.....ila nyinyi vijana madotcom nyote hamuna ilmu mwapenda kufwata mambo juu juu tu.... mukishindwa ohh leta dalili ohhh swahaba gani alifanya??.... babake bachu mwenyewe alikuwa mtu wa maulid jee yeye hana ilmu ama ameenda motoni kuwa nyinyi ndio mwajuwa sanaaaa.......
Boss wako Apase sauti lakini diwani wewe ni sawa kama umbwa aliyo kosa boss wake hakika Kusilimu kwako kama Ulisilimu bure tena Akili yako kama ya mtoto mdog
Tumefuatılıa mınakasha yote Tumeelewaaa kumbe mnawafundsha qatu vitu ambavyo hata ninyi hamvijui. Maneno ya uongo ndan ya kitabu mpaka leo hamjatıelezaa yalee maneno ni ya KWELİ au Ya UONGO???
Yaan na wew kumb ni miongoni mwa wa puuzi watu wamaulid ni wagumu wa kuelewa alafu wasiokuwa waislamu wanawadharau sana na mnaaribu din nyinyi wachinga acheni hayo mtakwe da motoni kwa upuuz wenu sas mnaqasha. Umeshaisha Alf bado mmeanzisha mnaqasha wa kwenu kweny mitandao wapumbavu nyinyi
Kila watu akikemea ujinga mnaofanya baadhi ya masheikh nyinyi mnaona sifa, kibri kinawasumbua, maana ya kibri ni kukataa haki baada ya kuijua na kuwadharau watu, na hiyo ndo sifa mliyonayo baadhi yenu.
Muhammad bachu ni kama ali bahero tu. Yote mijizuzu plus na wewe. Watupu mpaka kwa nahwu kisha wataka wamkosoe Aalim mkubwa. Yaani uliskia wapi wenye kuskuma mikokoteni wakawafundisha mapilot namna ya kupeleka ndege. MAWAHABI NI WAPUZI TU!!!
Sheik diwani hapana sio hivo ,ushabike sio nzuri,ust saidi na sheik kubra hamna kitu, sheik Mohammed katufunga goali na hatuwazi kuiakumbua mpaka mwisho wa dunia, lakini Mimi moulidi basi,sheik Mohammed nimekualawa mm ahsant sana
Kasome kwanza ndugu yangu maana sh diwani kitu anachokielezea anakijua ndo mana anaongea
Sheikh muhammad bacho allah akujaliyemwishomwema sisitumejihoneyawenyewe musitulazimishe kupoteya nasijiyayahakitunahijuwa natumezidikuhelimika kupitiya sunnah na Quran
Hongera sana shekh kwa kuweka samary ya mjadala na ushaur nzur
Shekhe Bachu amewavuruga Sana Mashekhe. Yaani kwenye Mitandao yote ya kijamii ninaona ni watu wanatokwa jasho kulalamika Wala siyo kujibu hoja.. Sasa imebaki majigambo ya Usomi. Sasa Usomi huo si utumike kujibu hoja? BORA MNGENYAMAZA TU
Sio km huoni na husikii hoja za kielimu zinazotumika kisheria ya kiislam kuulizwa bachu ktk hoja zke anazojenga lkn jiulize kwann bachu kisheria anakwepa kujibu hoja
Mashallwah umekua muwazi sana Allah HAFIDHKUM
Shekhe yusufu diwani uko vizuri saana Allah akulipe Kila la kheri
Kwasababu hakuzingatia Allah alivyo mdhalilisha Kwa kukojolea kiti
Kwasababu Bado mtoto wa bacho anaendelea na kukirashi mambo ya kheri
Tunacho kisubiria Sasa ni mtoto wa bacho kujinyea kabisa
Unakuja kujibu kuwa wanyama waliongea ao hawakuongea
JIBU
Tunasubiri jibu kama wanyama waliongea ao hawakuongea
ASSALAAMU ALAIKUM. NYINYI MNAOJISEMA KUWA MNAJUA MBONA HAMTOI UFAFANUZI KWA HAYO YANAYOSEMWA NI UONGO KATIKA MAULID ILI UONEKANE NI UKWELI. DINI YA KIISLAMU MSINGI WAKE NI KITABU CHA ALLAAH NA MWENENDO WA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA HAYO MAULID YAPO WAPI KATIKA MSINGI HIYO. TOENI UFAFANUZI KWA UFAFANUZI KWA WAISLAMU WAELEWE.
Nyinyi hamuna elimu yenye manufaa mnaupoteza Umma muogopeni Allah mola wenu kesho mtaenda kuulizwa
Allah akulipe kheyr shekh said
Mashaallah
Alhamdu Lillah mapovu yanawatoka mashekhe, tunataka kuthibitishiwa kwa dalili ni kweli wanyama walizungumza ilipoingia mimba ya mtume.
Wanya wawe waliongea au hawKuongea inakuumia nn
Mutazidi. Kuongea.sana lkin . Jibu nikwmba bachu yupo sahihi.kwkuwa.hakun ktk.sheria.z kidin .dalili yoyote ya kuipnga .maulid. ya kwmba sio bidaa. 😅😅😅😅😅😅😅😅 shkhe unabwabwaja.tu .kama unaayaweza.itishaa. munaQasha😂😂😂😂😂😂😂
Mawahabi hamujielewi unafiki mwingi hamuna elimu yoyote ushabiki pekee ndio mnayo
@@nayef3903 hahahaaaa masufi twarika ahlu bidaa mumeanza lini kujielewa
Huyu Bachu amewashinda elimu asilimia 99.9 acheni discussion ,tunataka majibu sio mbwembwe
Duhh sheikh ulikaa kimyaaa sasa umepata kiki ebu nukuu jibu japo moja tuuu toka kwa said
Watu wameshabaini porojo za sheik wazanzibar
Www shkhe mavi kabisa
Pigeni hivo vinanda ,matarumbeta ,mukiimba na kukatika viuno
😂😂😂😂😂😂
NYINYI MASHIA MUKISHINDWA MNAPENDA KUTOA POVU SANA.
TWASHUKURU KWA KUIJUA HAKI BACHU ALLAH AKUHIFADHI
Masha allah
Ukweli utabaki kuwa ukweli
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh
Iman mtakua ktk afya njema. Jamaa tunahitaji kumuombea dua Mohamed bachu. KASHAANZA KUZUNGUMZA NA PAKA. HAYUPO SAWA.
HIVI MTU AKIANZA KUZUNGUMZA NA PAKA ANALIWA SAWA?
Nime gundua wafuasi wengi wa Mawahabi hawana elimu watakao gundua bachu hana elimu ni yule ambae ana elimu angalau ya mutawaswitwat
Ww unae jiita shekh diwani kwanza kabisa ulikua na chuki na mhmd bachu ss ndio umepata la kusema lkn nataka nikwambie hao watu wakenya wanawacheka nyny mashekh wa tz wanawaambia hamuko vzr kwa ilmu ya dini na kudunia hukumbuki yule mbarawa mhmd khatimi alivyo msema kishki pia akamsema na bachu Tena hao ni mashekh wetu wakubwa utakuwa ww Tena unampongeza shekh said kwa lipi haswa alilolisema zaidi ya kurudia swali lake lisilo na maana ... Mm nampongeza Sana shekh wangu bachu Allah amlinde na hasaad zenu
Ikiwa una Akili na fahamu mzuri na una usomi japo kidogo tu basi usingekosa kutambua sehemu alipo kamatwa huyo mtoto wenu bachu ambae hana hishima na wanazuoni walotangulia walomzidi ilimu na umri Lakini nyote ni sawa sawa tu hatuwezi kuwalaumu
Ukweli unauma shaikh Mohamed bachu hajatukana mtu amesema maneno yaliokk ndani y kitabu ndio siyakweli km nyinyi niwasomi jibuni Acheni kuropokwa ukweli utabaki 19 zijibiwe
Sheikh tanga ulipewa nafasi mbona hujanufaisha uma
MASHAALLAH
We ulikua tanga ukachemsha usituletee huna lolote watafta kiki tu.
Sasa Yusuf Dıwani !
Unataka kutumbia kuwa Sharif Abulkadar ni MUONGO ?
kuhusu Sabbas Kubra??
Huyo Yusuf diwani kwanza ni mjinga alafu hajielewi mpuzi sana
Yusuf Diwani ni mtoto sana afanye duatu apige pesa apite hivi!?
Kasome
SHEIKH diwani wewe wamfahamu sana Bachu ana Ujanja lkn wenzake mahabi hamuelewi kabissssa.
Kajiungeni na mashia maana wao wameandaa kombe la kumswalia Mtume swalla llaahu alayhi wasallam.
Hutaki kombe weye ambae umesilimu jana
Kasome
Angalau mwiite mtoto wa Sheikh Nassoro Bachu.
yaani inasikitisha sana swali ni je! wanyama walitamka kweli?mbona maelezo matamuu lakini waislam wanataka kufaham ilo.sio bachuuu bachu.mbona Sheikhe Abdallah Swareh Al Farsy alisema kuwa ndani ya barzanji kuna uongo?hamjawai sikia? .
Ndio maana akaulizwa kuwa mtu akiweka hadithi munkar huitwa muongo angejibu angejua kuwa wanyama waliongea au la
hivi hata ww msomi mzuri haufahamu kuwa anayekutwa na kitu cha wizi huitwa mwizi!.hii sii hoja hii Dini ni ya Mwenyezi Mungu kila kilichohitajika kimeshafundishwa na mtume(s a w) tusiwe wabishi jamani.
Bachu jibu suala basi tuendelee na mjadala au huna majibu?
Wambie wakusaidie
Munatetea Uovu barzanji na msuntududari hamna Aibu Acheni unafiq nyoyoni mwenu mnajua Ukweli
Mashalah sheikh kwa maarifa yako
Nyinyi makurafi hamna chochote ila uwongo huwa hamjibu chochote ila fitnah.
Wewe ukiwa wamtambua Sqidi ni shekhe wako je wewe tukuhisabu ninani hata hujielewi saidi aliongea nini wata propaganda hamumuwezi Shekh Bachu Allah amuhifadhi
ww diwani wacha kupayuka haki iko wazi kabisa
MASUFI WASHIRIKINA....HAKUNA SHAKA NDANI YAKE....ENDENI WATU WA MAULIDI MKASILIMU
Huyo mtoto Bachu anapenda sana kula urojo uliyochanganywa na bangi
Acheni kejeli sana. Bachu elimu anayo ila hana maarifa na ukaidi mwingi mpaka anaharibu mambo.
Havuti bangi wala sigara.
Ila mkaidi tu
Wewe diwani nenda ukafanye uganga huna unachoongea wewe ndoo urudi darasani
Acheni kuendekeza njaa
Sisi Allah ametufahamisha kwa kupitia mjawake shk Mohammad bachu
Haw
Tunamuomba Allah awaongoze kwenye haq
Kwaiyo wanyama waliongea au hawakuongea ? Mbna swali dogo lakin mnajikosha
Muulize aliyeleta hiyo hadithi, sisi tunanukuu tu.
@@omaryjumas6327 nyinyi c ndio munasema ibada ndio mtuambie
Wewe unaenukuu kwaakili zako wanyama waliongea?
Subuhanallah angalieni comments zaa mawahabi wanatukana tu allah awaingoze
oyaa we muuza madawa ya nguvu za kiume vipi wewe huna hata nishai basi nyundo 19 zimekuchanganyeni kweli
Sheikh acha bid'aa
Sheikh semeni ukweli acheni fitna bachu yuko sahihi swali lake ndogo tu . Je wanyama walizungmuza ?
Ndioo sheikh wanyama wameongea njoo nkupe kitabuu we s ukasome
Ndio, walizungumza! Kwani hujui kama wanyama wanaweza kuongea… kama hujui sema SIJUI!
Ndio walizungumza, kwani hujui kama wanyama wanaweza kuzungumza? Kama hujui sema SIJUI!!!
Kuna watu walimpinga mtume kabla yenu, shida mnamtafsiri mtume kwa maoni yenu mnadhani mlishindwalo nyinyi pia mtume hawezi nendeni darasani mkasome kwa mtume hayo madogo sn
ah huna poiny
Yaan masuf mnatulingania kwenye kupiga gitaa
Na nyie ili muonekane mnasema kweli jibuni hoja zile 19 zilizopo ndani ya barzanji, sifa za uongo ziko nyingi sana mule ndani lakini nyie mnataka kulazimisha
Kweli kabisaa
Mawahabi wana tabu sana!
Hawana ilmu kisha wajiona hakuna kama wao.
Maulidi yataendelea Inshaa Allah hata wakichukia wenye kuchukia hatujali na chuki zao.
Kalegezeni sauti kaleni mpunga wenu maana nyinyi mnasimamia maswlaahi-lbutwuuni.
Masheikh jamani wacheni kupigana Radu unganeni kwakuelimisha jamii ktk njia yakheri nasio kupiganaradu kupingana kila kukicha
Upo sahihi nakuunga mkono ktk kaul yako ndg
Kwanza mutuambie masuf wa kenya wanasema c majaaz bali inafaa kutumia hadithi zaifu nyny masuf wa Tanzania munasema ni majaaz sasa kubalianeni masuf kwanza
Kasome rafiki yangu Imam Ahmad Ibnu Hambal ametumia Hadithi Dhwaifu ktk baadhi ya vitabu vyake pia mutamwita muongo. Hata hao wanazuoni wenu kina Ibnu Mutymiya Hadithi zao nyingi ni Dhaifu nao pia ni waongo? Someni hamasa za Bachu hazitawailimisha
Kiufupi katika siku niliyokuona kwamba huna ukweli ni leo hii
kauze madawa
UZUSHIIIIIII TUUIIII HII NI DINI
Nyinyi mliitwa mashekh wa tiktok mbona hujamjibu shekh wa barzanji kenya ?
Wewe mwenye maarifa tupe jibu aloshindwa bachu sasa pale saidi ndokafanyanini mbona hajatowa elmu kwa masufi wadogo wakaelimika
HUYU SHEIKH DIWANI SASA ANAPELEKA MAMBO ZEHEMU NYINGINE ANALETA MAMBO YA UYANGA YANGA HAPA JE NA YEYE HAJUI KUWA AMEKOSEA KWANI HAPA SIYO MAHALA PAKE KABISA KUMBE NDIYO MAANA MUHAMMAD BACHU HUWA ANAKUTUKANA KUMBE NA WEWE MTUPU KABISAA UNA ULIKUWALO REKEBISHA UJINGA HUU
Swala ni Moja tu masufi waache maulidi au wafe 😂😂
Yani wwe shehke nimafiki unaongelea kiupinzani unaungaunga vipande vyamashe wamaulidi kuwatengenezea watu ukweli minaqasha yote iliyo fanyika tumeina mwanzo mwisho ongopea wasiojua hunaaibuwee mnafikikabisa
Maulid itasomwa milele
@@zainabshariff114 ndiomana ikaumbwa Pepo na moto kwa7bu sio wote wataenda Peponi nasio wote wataenda motoni
Ahlul Hawa ndivyo walivyo.
Kama we unaju nawewe weka mnakasha sio unakimbia kimbia " hizi unazo leta ni porojo za vijiweni "
Wewe ustadhi bure kabisha
Mshindetu ni umoja Ahlali suna walijama
Jizumbukuku la zama hizi ni muhammad bachu
km mnaekana sawa jtahdn msvunjiane heshm masheh zet
Hata niqash ya Tanga bhachu hangetoboa ila hakukuwa na sheria.ndo alipo hepa swali la sabas akajitembeza
Hahah unafurahisha khurafi ww😊
Na vip zile 19 shekh mbn km hazikij.....🤔
Ikiwa maneno hayo yamesemwa na mtu X au Y, tuambieni ni ya kweli? Wanyama walisema nk. Bachu ni mtu na anaudhaifu wake. Muhimu jibuni hoja msimjibu Bachu. Hayo maneno yalisemwa pia na Sheikh Salehe Farsy
Na nyinyi mawahabi si mututhibishie huo ni uongo kwa mnasaba upi
Wewe si ufanye munaqasha nae?unawasemea wengine
Sheikh diwani mbona muongo sheikh saidi mbona na yeye ni muongo sheikh Muhammad bachu lengo lake mbele ya ummah ni qalallah wa qallah rasuullah kwaio haki ni haki hata angepata mtu mmoja tu amuelewa kwa Allah ni bora kuliko kuongoza watu elfu Moja alafu wajnga kama ww diwani na saidi pamoja sheikh sabasi Al kubrah acheni kudanganya ummah hamjui ni lini Allah atawatoa roho zenu na Kila mtu atakaa kaburini pekeake hii ni dini ya Allah sio Muhammad bachu yeye Kesha fikisha
Kafikisha kwa mimavi yako
1:52 1:54 1:55
Enhee! nime kupenda sana sheikh diwani maana ume nifungua sana.huyu bachu ni mjanja mjanja saanaaa
Munajifaharisha kwa eliminate ya lugha wakati hatamakafiri wakiarabu wanaijua lugha ya kiarabu kuliko hata nyinyi masufi,muhimu ni tauhid ndio inayo pelekea ucha mungu, masufi hamugopi hata mafsadi yanayo one kana wazi wazi kwenye sherehe za maulid,
Bro nyinyi muna Tauhid ipi maanake nyinyi mawahabi Tauhid mumeigawanya tupe Aya ya Quran au Hadithi kigawanyo cha Tauhid
SHEKHE HAO MAWAHABI ACHANA NAO WATAKUPOTEZEA MUDA KSB BIDAA WANAZOFANYA WAO HAZINA TATIZO ILA TUKIFANYA SISI WANATUKATATA BIDAA ZAO AMBAZO HAZINA AYA WALA HADITHI ALAU YA MUNKAR
1. MASHINDANO YA QURAN
2. KHUTBA ZA IJUMAA KWA KISWAHILI
3. KUSALI WAKIWA WAMEKAMATA MSAHAFU NA KUUTIZAMA
4. KUWAJENGEA WANAWAKE MSIKITINI VYUMBA AU SEHEMU MAALUM ZA KUSALIA
5. KUSOMA JUZUU NZIMA KTK SALA YA TARAWEIKH
TOENI DALILI YA AYA NA HADITHI JAPO YA MUNKAR
SHEKHE WANGU WACHA NIKUONGEZE YA HII PIA NDIO UZUSHI MBAYA MBOVU MCHAFU ZAIDI
6. KUIGAWANYA TAUHID
Mawahabi mwaigawanya Tauhid. Sisi Tutamsifu Mtume S.A.W mpaka kiyama
Ww ndio ucongee asaaaaa wazee wa majaaazzzz nyinyi kilakit majaz hatukupata chochote zaid ya majz
Wewe mwenyewe mmedharauliwa nahao matwariqa sasa unatumia AKILI
Ustadh Diwani kwa heshma na taadhima nakuomba ujibu hilo swal la ustadh saidi lililomshinda bachu,,na pia tupe elmu kuhusu wanyama kuongea kiarabu na kupeana bishara kua mimba ya mtume imeingia,,kama hutojibu na ww pia unapoteza watu bado tunaitaji elmu kujua tuache story ya wahabi ama ushabiki tupe elmu Ustadh Diwan
Ustadh yuko sawa sana.....ila nyinyi vijana madotcom nyote hamuna ilmu mwapenda kufwata mambo juu juu tu.... mukishindwa ohh leta dalili ohhh swahaba gani alifanya??.... babake bachu mwenyewe alikuwa mtu wa maulid jee yeye hana ilmu ama ameenda motoni kuwa nyinyi ndio mwajuwa sanaaaa.......
Looh fisadi mkubwa wewe
Fisadi nani??
Kabisa upo sahihi
Shkh Abdulqadir kamkataaa shkh Sabaas na kamsifu Ustadh Saidi ……kwa mantiq gani ??? Watu wa mantiq mutueleze
Mawahabi Wala hawasumbui Kwanza ni hizbul yahudiyah Wana fanyakazi zamayahuei huku wakijivika kilemba chauislam
Acha upotovu
Huyu ndio hamna kitu kabisaa .
Fujoo lote Hilo rogo zina wauma Bachu yupo juu kielemu
Swadaktaah!!
Elimu gani hiyo bachu anayo kiarabu hajui swarfa hajui, nahu hajui
Mawahabi mijinga sana
Sisi tumeelimika, wewe diwani huna ujualo
Boss wako Apase sauti lakini diwani wewe ni sawa kama umbwa aliyo kosa boss wake hakika Kusilimu kwako kama Ulisilimu bure tena Akili yako kama ya mtoto mdog
Diwani ulikuwepo tanga ulishindwa
Tumefuatılıa mınakasha yote
Tumeelewaaa
kumbe mnawafundsha qatu vitu ambavyo hata ninyi hamvijui.
Maneno ya uongo ndan ya kitabu mpaka leo hamjatıelezaa yalee maneno ni ya KWELİ au Ya UONGO???
Kama wampenda mtume weka ndevu umekaa kama embe
Yaan na wew kumb ni miongoni mwa wa puuzi watu wamaulid ni wagumu wa kuelewa alafu wasiokuwa waislamu wanawadharau sana na mnaaribu din nyinyi wachinga acheni hayo mtakwe da motoni kwa upuuz wenu sas mnaqasha. Umeshaisha Alf bado mmeanzisha mnaqasha wa kwenu kweny mitandao wapumbavu nyinyi
Kila watu akikemea ujinga mnaofanya baadhi ya masheikh nyinyi mnaona sifa, kibri kinawasumbua, maana ya kibri ni kukataa haki baada ya kuijua na kuwadharau watu, na hiyo ndo sifa mliyonayo baadhi yenu.
Muhammad bachu ni kama ali bahero tu.
Yote mijizuzu plus na wewe.
Watupu mpaka kwa nahwu kisha wataka wamkosoe Aalim mkubwa.
Yaani uliskia wapi wenye kuskuma mikokoteni wakawafundisha mapilot namna ya kupeleka ndege.
MAWAHABI NI WAPUZI TU!!!
Hahahaha hamna kituu saidy hamna kiutuu
Mimi ni muwahabi napinga maulidi lkn huyu mtoto Hana elimu ilikua aseme sijui na sisi tuelimike tupate tujue na mengine
Wewe shekhe unasema sasa hivii acha uzuchi
Waisilam tunakwenda wapi jamani
Achani polojo masufi hamna lolote
Hamujajibu n hamutawezakujibu