🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • VITA IMEANZA UPYA SHEIKH DIWANI NA MTOTO WA BACHU || MAULIDI YASOMWE

Комментарии • 292

  • @user-mu1ge1nx5k
    @user-mu1ge1nx5k 11 месяцев назад +3

    Sheik diwani hapana sio hivo ,ushabike sio nzuri,ust saidi na sheik kubra hamna kitu, sheik Mohammed katufunga goali na hatuwazi kuiakumbua mpaka mwisho wa dunia, lakini Mimi moulidi basi,sheik Mohammed nimekualawa mm ahsant sana

    • @faridasaleh4982
      @faridasaleh4982 11 месяцев назад

      Kasome kwanza ndugu yangu maana sh diwani kitu anachokielezea anakijua ndo mana anaongea

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q 11 месяцев назад +2

    Sheikh muhammad bacho allah akujaliyemwishomwema sisitumejihoneyawenyewe musitulazimishe kupoteya nasijiyayahakitunahijuwa natumezidikuhelimika kupitiya sunnah na Quran

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj9214 11 месяцев назад +1

    Hongera sana shekh kwa kuweka samary ya mjadala na ushaur nzur

  • @loudcrytv8949
    @loudcrytv8949 11 месяцев назад +3

    Shekhe Bachu amewavuruga Sana Mashekhe. Yaani kwenye Mitandao yote ya kijamii ninaona ni watu wanatokwa jasho kulalamika Wala siyo kujibu hoja.. Sasa imebaki majigambo ya Usomi. Sasa Usomi huo si utumike kujibu hoja? BORA MNGENYAMAZA TU

    • @rashidmohd115
      @rashidmohd115 11 месяцев назад

      Sio km huoni na husikii hoja za kielimu zinazotumika kisheria ya kiislam kuulizwa bachu ktk hoja zke anazojenga lkn jiulize kwann bachu kisheria anakwepa kujibu hoja

  • @waterforlife9356
    @waterforlife9356 11 месяцев назад +1

    Mashallwah umekua muwazi sana Allah HAFIDHKUM

  • @AllyNgale
    @AllyNgale 11 месяцев назад +1

    Shekhe yusufu diwani uko vizuri saana Allah akulipe Kila la kheri
    Kwasababu hakuzingatia Allah alivyo mdhalilisha Kwa kukojolea kiti
    Kwasababu Bado mtoto wa bacho anaendelea na kukirashi mambo ya kheri
    Tunacho kisubiria Sasa ni mtoto wa bacho kujinyea kabisa

  • @shabaniumande
    @shabaniumande 11 месяцев назад +5

    Unakuja kujibu kuwa wanyama waliongea ao hawakuongea
    JIBU
    Tunasubiri jibu kama wanyama waliongea ao hawakuongea

  • @omarkioma3154
    @omarkioma3154 11 месяцев назад +1

    ASSALAAMU ALAIKUM. NYINYI MNAOJISEMA KUWA MNAJUA MBONA HAMTOI UFAFANUZI KWA HAYO YANAYOSEMWA NI UONGO KATIKA MAULID ILI UONEKANE NI UKWELI. DINI YA KIISLAMU MSINGI WAKE NI KITABU CHA ALLAAH NA MWENENDO WA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA HAYO MAULID YAPO WAPI KATIKA MSINGI HIYO. TOENI UFAFANUZI KWA UFAFANUZI KWA WAISLAMU WAELEWE.

  • @omarmsomall3809
    @omarmsomall3809 11 месяцев назад +2

    Nyinyi hamuna elimu yenye manufaa mnaupoteza Umma muogopeni Allah mola wenu kesho mtaenda kuulizwa

  • @zainabshariff114
    @zainabshariff114 11 месяцев назад

    Allah akulipe kheyr shekh said

  • @mchakhamis-fr5nc
    @mchakhamis-fr5nc 5 месяцев назад

    Mashaallah

  • @abdallahsaid1127
    @abdallahsaid1127 11 месяцев назад +2

    Alhamdu Lillah mapovu yanawatoka mashekhe, tunataka kuthibitishiwa kwa dalili ni kweli wanyama walizungumza ilipoingia mimba ya mtume.

    • @zainabshariff114
      @zainabshariff114 11 месяцев назад

      Wanya wawe waliongea au hawKuongea inakuumia nn

  • @IbraJuma-hm9vw
    @IbraJuma-hm9vw 11 месяцев назад +6

    Mutazidi. Kuongea.sana lkin . Jibu nikwmba bachu yupo sahihi.kwkuwa.hakun ktk.sheria.z kidin .dalili yoyote ya kuipnga .maulid. ya kwmba sio bidaa. 😅😅😅😅😅😅😅😅 shkhe unabwabwaja.tu .kama unaayaweza.itishaa. munaQasha😂😂😂😂😂😂😂

    • @nayef3903
      @nayef3903 11 месяцев назад

      Mawahabi hamujielewi unafiki mwingi hamuna elimu yoyote ushabiki pekee ndio mnayo

    • @abuuamourmuhamed1934
      @abuuamourmuhamed1934 11 месяцев назад

      @@nayef3903 hahahaaaa masufi twarika ahlu bidaa mumeanza lini kujielewa

  • @yassinm69
    @yassinm69 11 месяцев назад +3

    Huyu Bachu amewashinda elimu asilimia 99.9 acheni discussion ,tunataka majibu sio mbwembwe

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 11 месяцев назад +4

    Duhh sheikh ulikaa kimyaaa sasa umepata kiki ebu nukuu jibu japo moja tuuu toka kwa said

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 11 месяцев назад

      Watu wameshabaini porojo za sheik wazanzibar

  • @user-tq2iw7tl5p
    @user-tq2iw7tl5p 11 месяцев назад +2

    Www shkhe mavi kabisa

  • @omarmsomall3809
    @omarmsomall3809 11 месяцев назад +4

    Pigeni hivo vinanda ,matarumbeta ,mukiimba na kukatika viuno

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 11 месяцев назад +2

    NYINYI MASHIA MUKISHINDWA MNAPENDA KUTOA POVU SANA.

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 11 месяцев назад +2

    TWASHUKURU KWA KUIJUA HAKI BACHU ALLAH AKUHIFADHI

  • @abubakarbakari9372
    @abubakarbakari9372 11 месяцев назад

    Masha allah

  • @user-pl8zu4nv8r
    @user-pl8zu4nv8r 11 месяцев назад +3

    Ukweli utabaki kuwa ukweli

  • @solomonsteve3749
    @solomonsteve3749 11 месяцев назад

    As/alykm warahmatullahi wabarakatuh
    Iman mtakua ktk afya njema. Jamaa tunahitaji kumuombea dua Mohamed bachu. KASHAANZA KUZUNGUMZA NA PAKA. HAYUPO SAWA.
    HIVI MTU AKIANZA KUZUNGUMZA NA PAKA ANALIWA SAWA?

  • @ustadhmrishorunigangwe7024
    @ustadhmrishorunigangwe7024 11 месяцев назад +4

    Nime gundua wafuasi wengi wa Mawahabi hawana elimu watakao gundua bachu hana elimu ni yule ambae ana elimu angalau ya mutawaswitwat

  • @rahmasaid7084
    @rahmasaid7084 11 месяцев назад +3

    Ww unae jiita shekh diwani kwanza kabisa ulikua na chuki na mhmd bachu ss ndio umepata la kusema lkn nataka nikwambie hao watu wakenya wanawacheka nyny mashekh wa tz wanawaambia hamuko vzr kwa ilmu ya dini na kudunia hukumbuki yule mbarawa mhmd khatimi alivyo msema kishki pia akamsema na bachu Tena hao ni mashekh wetu wakubwa utakuwa ww Tena unampongeza shekh said kwa lipi haswa alilolisema zaidi ya kurudia swali lake lisilo na maana ... Mm nampongeza Sana shekh wangu bachu Allah amlinde na hasaad zenu

    • @Badiyo1998
      @Badiyo1998 11 месяцев назад

      Ikiwa una Akili na fahamu mzuri na una usomi japo kidogo tu basi usingekosa kutambua sehemu alipo kamatwa huyo mtoto wenu bachu ambae hana hishima na wanazuoni walotangulia walomzidi ilimu na umri Lakini nyote ni sawa sawa tu hatuwezi kuwalaumu

    • @faizaa155
      @faizaa155 11 месяцев назад

      Ukweli unauma shaikh Mohamed bachu hajatukana mtu amesema maneno yaliokk ndani y kitabu ndio siyakweli km nyinyi niwasomi jibuni Acheni kuropokwa ukweli utabaki 19 zijibiwe

  • @FAROUKMOHAMEDI
    @FAROUKMOHAMEDI 11 месяцев назад +2

    Sheikh tanga ulipewa nafasi mbona hujanufaisha uma

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 11 месяцев назад

    MASHAALLAH

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 11 месяцев назад +4

    We ulikua tanga ukachemsha usituletee huna lolote watafta kiki tu.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 11 месяцев назад +3

    Sasa Yusuf Dıwani !
    Unataka kutumbia kuwa Sharif Abulkadar ni MUONGO ?
    kuhusu Sabbas Kubra??

  • @alaminbahero3604
    @alaminbahero3604 11 месяцев назад +2

    Huyo Yusuf diwani kwanza ni mjinga alafu hajielewi mpuzi sana

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 11 месяцев назад

    SHEIKH diwani wewe wamfahamu sana Bachu ana Ujanja lkn wenzake mahabi hamuelewi kabissssa.

  • @omarmsomall3809
    @omarmsomall3809 11 месяцев назад +4

    Kajiungeni na mashia maana wao wameandaa kombe la kumswalia Mtume swalla llaahu alayhi wasallam.

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 11 месяцев назад +1

    Angalau mwiite mtoto wa Sheikh Nassoro Bachu.

  • @abdallahkiwaka5948
    @abdallahkiwaka5948 11 месяцев назад +3

    yaani inasikitisha sana swali ni je! wanyama walitamka kweli?mbona maelezo matamuu lakini waislam wanataka kufaham ilo.sio bachuuu bachu.mbona Sheikhe Abdallah Swareh Al Farsy alisema kuwa ndani ya barzanji kuna uongo?hamjawai sikia? .

    • @hamadmohammed9928
      @hamadmohammed9928 11 месяцев назад

      Ndio maana akaulizwa kuwa mtu akiweka hadithi munkar huitwa muongo angejibu angejua kuwa wanyama waliongea au la

    • @abdallahkiwaka5948
      @abdallahkiwaka5948 11 месяцев назад

      hivi hata ww msomi mzuri haufahamu kuwa anayekutwa na kitu cha wizi huitwa mwizi!.hii sii hoja hii Dini ni ya Mwenyezi Mungu kila kilichohitajika kimeshafundishwa na mtume(s a w) tusiwe wabishi jamani.

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj9214 11 месяцев назад +3

    Bachu jibu suala basi tuendelee na mjadala au huna majibu?
    Wambie wakusaidie

  • @othmanabeidy4460
    @othmanabeidy4460 11 месяцев назад +1

    Munatetea Uovu barzanji na msuntududari hamna Aibu Acheni unafiq nyoyoni mwenu mnajua Ukweli

  • @kingofshorts6824
    @kingofshorts6824 11 месяцев назад

    Mashalah sheikh kwa maarifa yako

  • @husseingitonga8921
    @husseingitonga8921 11 месяцев назад +1

    Nyinyi makurafi hamna chochote ila uwongo huwa hamjibu chochote ila fitnah.

  • @abuhassan9552
    @abuhassan9552 11 месяцев назад +2

    Wewe ukiwa wamtambua Sqidi ni shekhe wako je wewe tukuhisabu ninani hata hujielewi saidi aliongea nini wata propaganda hamumuwezi Shekh Bachu Allah amuhifadhi

  • @user-zo6wx9zt3p
    @user-zo6wx9zt3p 11 месяцев назад +2

    ww diwani wacha kupayuka haki iko wazi kabisa

  • @muhyidinalinoor6249
    @muhyidinalinoor6249 11 месяцев назад +2

    MASUFI WASHIRIKINA....HAKUNA SHAKA NDANI YAKE....ENDENI WATU WA MAULIDI MKASILIMU

  • @Gamba177
    @Gamba177 11 месяцев назад +1

    Huyo mtoto Bachu anapenda sana kula urojo uliyochanganywa na bangi

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 11 месяцев назад

      Acheni kejeli sana. Bachu elimu anayo ila hana maarifa na ukaidi mwingi mpaka anaharibu mambo.

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 11 месяцев назад

      Havuti bangi wala sigara.

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 11 месяцев назад

      Ila mkaidi tu

  • @issicajosefu9681
    @issicajosefu9681 11 месяцев назад +1

    Wewe diwani nenda ukafanye uganga huna unachoongea wewe ndoo urudi darasani
    Acheni kuendekeza njaa
    Sisi Allah ametufahamisha kwa kupitia mjawake shk Mohammad bachu
    Haw
    Tunamuomba Allah awaongoze kwenye haq

  • @nassleydady5783
    @nassleydady5783 11 месяцев назад +3

    Kwaiyo wanyama waliongea au hawakuongea ? Mbna swali dogo lakin mnajikosha

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 11 месяцев назад

      Muulize aliyeleta hiyo hadithi, sisi tunanukuu tu.

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 11 месяцев назад

      @@omaryjumas6327 nyinyi c ndio munasema ibada ndio mtuambie

    • @edyiddy4711
      @edyiddy4711 11 месяцев назад

      Wewe unaenukuu kwaakili zako wanyama waliongea?

  • @abubakarbakari9372
    @abubakarbakari9372 11 месяцев назад

    Subuhanallah angalieni comments zaa mawahabi wanatukana tu allah awaingoze

  • @nasarsulaiman9549
    @nasarsulaiman9549 11 месяцев назад +2

    oyaa we muuza madawa ya nguvu za kiume vipi wewe huna hata nishai basi nyundo 19 zimekuchanganyeni kweli

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 11 месяцев назад +2

    Sheikh acha bid'aa

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 11 месяцев назад +6

    Sheikh semeni ukweli acheni fitna bachu yuko sahihi swali lake ndogo tu . Je wanyama walizungmuza ?

    • @islamseyffden7723
      @islamseyffden7723 11 месяцев назад

      Ndioo sheikh wanyama wameongea njoo nkupe kitabuu we s ukasome

    • @ahmedattas2216
      @ahmedattas2216 10 месяцев назад

      Ndio, walizungumza! Kwani hujui kama wanyama wanaweza kuongea… kama hujui sema SIJUI!

    • @ahmedattas2216
      @ahmedattas2216 10 месяцев назад

      Ndio walizungumza, kwani hujui kama wanyama wanaweza kuzungumza? Kama hujui sema SIJUI!!!

    • @shabanibndaruwesh1810
      @shabanibndaruwesh1810 10 месяцев назад

      Kuna watu walimpinga mtume kabla yenu, shida mnamtafsiri mtume kwa maoni yenu mnadhani mlishindwalo nyinyi pia mtume hawezi nendeni darasani mkasome kwa mtume hayo madogo sn

  • @hameidseif7083
    @hameidseif7083 11 месяцев назад +1

    ah huna poiny

  • @user-zp4wp5kg8g
    @user-zp4wp5kg8g 11 месяцев назад +1

    Yaan masuf mnatulingania kwenye kupiga gitaa

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 11 месяцев назад +2

    Na nyie ili muonekane mnasema kweli jibuni hoja zile 19 zilizopo ndani ya barzanji, sifa za uongo ziko nyingi sana mule ndani lakini nyie mnataka kulazimisha

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 11 месяцев назад

    Kweli kabisaa

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 11 месяцев назад +1

    Mawahabi wana tabu sana!
    Hawana ilmu kisha wajiona hakuna kama wao.
    Maulidi yataendelea Inshaa Allah hata wakichukia wenye kuchukia hatujali na chuki zao.

  • @omarmsomall3809
    @omarmsomall3809 11 месяцев назад +1

    Kalegezeni sauti kaleni mpunga wenu maana nyinyi mnasimamia maswlaahi-lbutwuuni.

  • @ibrahimallymtili1877
    @ibrahimallymtili1877 11 месяцев назад +1

    Masheikh jamani wacheni kupigana Radu unganeni kwakuelimisha jamii ktk njia yakheri nasio kupiganaradu kupingana kila kukicha

    • @user-lr5ey4jt2u
      @user-lr5ey4jt2u 11 месяцев назад +1

      Upo sahihi nakuunga mkono ktk kaul yako ndg

  • @user-zp4wp5kg8g
    @user-zp4wp5kg8g 11 месяцев назад +1

    Kwanza mutuambie masuf wa kenya wanasema c majaaz bali inafaa kutumia hadithi zaifu nyny masuf wa Tanzania munasema ni majaaz sasa kubalianeni masuf kwanza

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 11 месяцев назад

      Kasome rafiki yangu Imam Ahmad Ibnu Hambal ametumia Hadithi Dhwaifu ktk baadhi ya vitabu vyake pia mutamwita muongo. Hata hao wanazuoni wenu kina Ibnu Mutymiya Hadithi zao nyingi ni Dhaifu nao pia ni waongo? Someni hamasa za Bachu hazitawailimisha

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq 10 месяцев назад +1

    Kiufupi katika siku niliyokuona kwamba huna ukweli ni leo hii

  • @jaaffarabuu6750
    @jaaffarabuu6750 11 месяцев назад +1

    kauze madawa

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 11 месяцев назад +1

    UZUSHIIIIIII TUUIIII HII NI DINI

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 11 месяцев назад +1

    Nyinyi mliitwa mashekh wa tiktok mbona hujamjibu shekh wa barzanji kenya ?

  • @user-om7ov3ji3r
    @user-om7ov3ji3r 11 месяцев назад +2

    Wewe mwenye maarifa tupe jibu aloshindwa bachu sasa pale saidi ndokafanyanini mbona hajatowa elmu kwa masufi wadogo wakaelimika

  • @user-uz8cr6qr6j
    @user-uz8cr6qr6j 11 месяцев назад +1

    HUYU SHEIKH DIWANI SASA ANAPELEKA MAMBO ZEHEMU NYINGINE ANALETA MAMBO YA UYANGA YANGA HAPA JE NA YEYE HAJUI KUWA AMEKOSEA KWANI HAPA SIYO MAHALA PAKE KABISA KUMBE NDIYO MAANA MUHAMMAD BACHU HUWA ANAKUTUKANA KUMBE NA WEWE MTUPU KABISAA UNA ULIKUWALO REKEBISHA UJINGA HUU

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 11 месяцев назад +2

    Swala ni Moja tu masufi waache maulidi au wafe 😂😂

  • @omarytobaomary7148
    @omarytobaomary7148 11 месяцев назад +2

    Yani wwe shehke nimafiki unaongelea kiupinzani unaungaunga vipande vyamashe wamaulidi kuwatengenezea watu ukweli minaqasha yote iliyo fanyika tumeina mwanzo mwisho ongopea wasiojua hunaaibuwee mnafikikabisa

    • @zainabshariff114
      @zainabshariff114 11 месяцев назад

      Maulid itasomwa milele

    • @omarytobaomary7148
      @omarytobaomary7148 11 месяцев назад

      @@zainabshariff114 ndiomana ikaumbwa Pepo na moto kwa7bu sio wote wataenda Peponi nasio wote wataenda motoni

    • @ramasalimricha943
      @ramasalimricha943 10 месяцев назад

      Ahlul Hawa ndivyo walivyo.

  • @yahayajuma1401
    @yahayajuma1401 11 месяцев назад +1

    Kama we unaju nawewe weka mnakasha sio unakimbia kimbia " hizi unazo leta ni porojo za vijiweni "

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 11 месяцев назад +3

    Wewe ustadhi bure kabisha

  • @user-me5do6nh2d
    @user-me5do6nh2d 11 месяцев назад +1

    Mshindetu ni umoja Ahlali suna walijama

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 11 месяцев назад +2

    Jizumbukuku la zama hizi ni muhammad bachu

  • @user-ig6bw9lr5t
    @user-ig6bw9lr5t 11 месяцев назад +1

    km mnaekana sawa jtahdn msvunjiane heshm masheh zet

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed 11 месяцев назад +1

    Hata niqash ya Tanga bhachu hangetoboa ila hakukuwa na sheria.ndo alipo hepa swali la sabas akajitembeza

    • @user-md5tr1kg5s
      @user-md5tr1kg5s 11 месяцев назад

      Hahah unafurahisha khurafi ww😊

  • @idrisjames9392
    @idrisjames9392 11 месяцев назад +1

    Na vip zile 19 shekh mbn km hazikij.....🤔

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 11 месяцев назад +3

    Ikiwa maneno hayo yamesemwa na mtu X au Y, tuambieni ni ya kweli? Wanyama walisema nk. Bachu ni mtu na anaudhaifu wake. Muhimu jibuni hoja msimjibu Bachu. Hayo maneno yalisemwa pia na Sheikh Salehe Farsy

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 11 месяцев назад

      Na nyinyi mawahabi si mututhibishie huo ni uongo kwa mnasaba upi

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour4930 11 месяцев назад +2

    Wewe si ufanye munaqasha nae?unawasemea wengine

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 11 месяцев назад +3

    Sheikh diwani mbona muongo sheikh saidi mbona na yeye ni muongo sheikh Muhammad bachu lengo lake mbele ya ummah ni qalallah wa qallah rasuullah kwaio haki ni haki hata angepata mtu mmoja tu amuelewa kwa Allah ni bora kuliko kuongoza watu elfu Moja alafu wajnga kama ww diwani na saidi pamoja sheikh sabasi Al kubrah acheni kudanganya ummah hamjui ni lini Allah atawatoa roho zenu na Kila mtu atakaa kaburini pekeake hii ni dini ya Allah sio Muhammad bachu yeye Kesha fikisha

    • @Gamba177
      @Gamba177 11 месяцев назад +1

      Kafikisha kwa mimavi yako

  • @hajihajihaji8351
    @hajihajihaji8351 11 месяцев назад

    1:52 1:54 1:55

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 11 месяцев назад +4

    Enhee! nime kupenda sana sheikh diwani maana ume nifungua sana.huyu bachu ni mjanja mjanja saanaaa

  • @abuusumaiyamiburanipba
    @abuusumaiyamiburanipba 11 месяцев назад

    Munajifaharisha kwa eliminate ya lugha wakati hatamakafiri wakiarabu wanaijua lugha ya kiarabu kuliko hata nyinyi masufi,muhimu ni tauhid ndio inayo pelekea ucha mungu, masufi hamugopi hata mafsadi yanayo one kana wazi wazi kwenye sherehe za maulid,

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 11 месяцев назад

      Bro nyinyi muna Tauhid ipi maanake nyinyi mawahabi Tauhid mumeigawanya tupe Aya ya Quran au Hadithi kigawanyo cha Tauhid

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u 11 месяцев назад

    SHEKHE HAO MAWAHABI ACHANA NAO WATAKUPOTEZEA MUDA KSB BIDAA WANAZOFANYA WAO HAZINA TATIZO ILA TUKIFANYA SISI WANATUKATATA BIDAA ZAO AMBAZO HAZINA AYA WALA HADITHI ALAU YA MUNKAR
    1. MASHINDANO YA QURAN
    2. KHUTBA ZA IJUMAA KWA KISWAHILI
    3. KUSALI WAKIWA WAMEKAMATA MSAHAFU NA KUUTIZAMA
    4. KUWAJENGEA WANAWAKE MSIKITINI VYUMBA AU SEHEMU MAALUM ZA KUSALIA
    5. KUSOMA JUZUU NZIMA KTK SALA YA TARAWEIKH
    TOENI DALILI YA AYA NA HADITHI JAPO YA MUNKAR

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 11 месяцев назад

      SHEKHE WANGU WACHA NIKUONGEZE YA HII PIA NDIO UZUSHI MBAYA MBOVU MCHAFU ZAIDI
      6. KUIGAWANYA TAUHID

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 11 месяцев назад

      Mawahabi mwaigawanya Tauhid. Sisi Tutamsifu Mtume S.A.W mpaka kiyama

  • @nassleydady5783
    @nassleydady5783 11 месяцев назад +1

    Ww ndio ucongee asaaaaa wazee wa majaaazzzz nyinyi kilakit majaz hatukupata chochote zaid ya majz

  • @salmaghalib5474
    @salmaghalib5474 11 месяцев назад +2

    Wewe mwenyewe mmedharauliwa nahao matwariqa sasa unatumia AKILI

  • @sheikhsalimsirajtv8332
    @sheikhsalimsirajtv8332 11 месяцев назад +1

    Ustadh Diwani kwa heshma na taadhima nakuomba ujibu hilo swal la ustadh saidi lililomshinda bachu,,na pia tupe elmu kuhusu wanyama kuongea kiarabu na kupeana bishara kua mimba ya mtume imeingia,,kama hutojibu na ww pia unapoteza watu bado tunaitaji elmu kujua tuache story ya wahabi ama ushabiki tupe elmu Ustadh Diwan

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 11 месяцев назад +2

    Ustadh yuko sawa sana.....ila nyinyi vijana madotcom nyote hamuna ilmu mwapenda kufwata mambo juu juu tu.... mukishindwa ohh leta dalili ohhh swahaba gani alifanya??.... babake bachu mwenyewe alikuwa mtu wa maulid jee yeye hana ilmu ama ameenda motoni kuwa nyinyi ndio mwajuwa sanaaaa.......

  • @yusufyusuf1395
    @yusufyusuf1395 11 месяцев назад +1

    Shkh Abdulqadir kamkataaa shkh Sabaas na kamsifu Ustadh Saidi ……kwa mantiq gani ??? Watu wa mantiq mutueleze

  • @hamisikanyama984
    @hamisikanyama984 10 месяцев назад +1

    Mawahabi Wala hawasumbui Kwanza ni hizbul yahudiyah Wana fanyakazi zamayahuei huku wakijivika kilemba chauislam

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 11 месяцев назад +2

    Acha upotovu

  • @user-hx2yq6xy2u
    @user-hx2yq6xy2u 11 месяцев назад +2

    Huyu ndio hamna kitu kabisaa .

  • @user-re2ey3vk1z
    @user-re2ey3vk1z 11 месяцев назад +3

    Fujoo lote Hilo rogo zina wauma Bachu yupo juu kielemu

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 11 месяцев назад

      Swadaktaah!!

    • @nayef3903
      @nayef3903 11 месяцев назад

      Elimu gani hiyo bachu anayo kiarabu hajui swarfa hajui, nahu hajui

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 11 месяцев назад

    Mawahabi mijinga sana

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 11 месяцев назад +1

    Sisi tumeelimika, wewe diwani huna ujualo

  • @lemalisipilali
    @lemalisipilali 11 месяцев назад +1

    Boss wako Apase sauti lakini diwani wewe ni sawa kama umbwa aliyo kosa boss wake hakika Kusilimu kwako kama Ulisilimu bure tena Akili yako kama ya mtoto mdog

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 11 месяцев назад +2

    Diwani ulikuwepo tanga ulishindwa

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 11 месяцев назад +1

    Tumefuatılıa mınakasha yote
    Tumeelewaaa
    kumbe mnawafundsha qatu vitu ambavyo hata ninyi hamvijui.
    Maneno ya uongo ndan ya kitabu mpaka leo hamjatıelezaa yalee maneno ni ya KWELİ au Ya UONGO???

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 10 месяцев назад

    Kama wampenda mtume weka ndevu umekaa kama embe

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 11 месяцев назад +1

    Yaan na wew kumb ni miongoni mwa wa puuzi watu wamaulid ni wagumu wa kuelewa alafu wasiokuwa waislamu wanawadharau sana na mnaaribu din nyinyi wachinga acheni hayo mtakwe da motoni kwa upuuz wenu sas mnaqasha. Umeshaisha Alf bado mmeanzisha mnaqasha wa kwenu kweny mitandao wapumbavu nyinyi

  • @user-iv3ou4qg4d
    @user-iv3ou4qg4d 11 месяцев назад +2

    Kila watu akikemea ujinga mnaofanya baadhi ya masheikh nyinyi mnaona sifa, kibri kinawasumbua, maana ya kibri ni kukataa haki baada ya kuijua na kuwadharau watu, na hiyo ndo sifa mliyonayo baadhi yenu.

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 11 месяцев назад +1

      Muhammad bachu ni kama ali bahero tu.
      Yote mijizuzu plus na wewe.
      Watupu mpaka kwa nahwu kisha wataka wamkosoe Aalim mkubwa.
      Yaani uliskia wapi wenye kuskuma mikokoteni wakawafundisha mapilot namna ya kupeleka ndege.
      MAWAHABI NI WAPUZI TU!!!

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750 11 месяцев назад +1

    Hahahaha hamna kituu saidy hamna kiutuu

  • @abubakarbakari7042
    @abubakarbakari7042 11 месяцев назад

    Mimi ni muwahabi napinga maulidi lkn huyu mtoto Hana elimu ilikua aseme sijui na sisi tuelimike tupate tujue na mengine

  • @amiramour857
    @amiramour857 11 месяцев назад +1

    Wewe shekhe unasema sasa hivii acha uzuchi

  • @allymwanga8253
    @allymwanga8253 11 месяцев назад

    Waisilam tunakwenda wapi jamani

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 11 месяцев назад +3

    Achani polojo masufi hamna lolote

  • @faizaa155
    @faizaa155 11 месяцев назад +1

    Hamujajibu n hamutawezakujibu