SHEIKH:MARDHIYYAH AKUMBANA NA MAKUBWA GININGI PEMBA
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Abdallah Pandu
cc: Safia Hussein
cc: Maryam Kidiko
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Ali Rajab
Rajab ahmada
Editors:
Ali Hassira
Mohammed Abeid
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Yussuf Khanmis
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
😭😭😭😭E Allah wahifadhi masheikh wet hawa kwakaz ngumu hiyi wanaifanya na uwalip pepo ya firdaus nusra🤲🤲🤲nami Allah nakuomba uangamiz wachawi wanaoniroga mimi na familia yangu na Wa islamu wote dunia uwaking n'a wachawi, kisomo hiki kiwe cheny kutuponya amiin
Ameen ya Allah waangamize wachawi woote dunian na wanaonifanyia uchawi mimi na familia yangu huko walipo... kwa baraka za kisomo hiki Allah huma Ameen...
Subhannallah m.mungu awangamize wote wanga na wachawi m.mungu amhifadhi shekh Salim amzididishie kila la kheri Kwa elimu yake anayotoa shukran jazakalkheri
Sasa hapo mbona makazi ya watu hiyo giningi iko wapi? Tunaona uwanda na miti tu. Hao wachawi wako wapi?
Allah awahifadhi mashekh, Allah awaangamize wachawi wote.
اللهم تـقبل دعـــآء 🌹
Allah akuhifadhi kipenz cha Allah shehe wetu Maridhiya...
Asante Sheikh Salum na Sheikh Watamamun Kwa vide hii Wanga na Wachawi wapate hukumu la muoovu Yao kutoka kwake Maulana Kwa kufa🙏🙏🙏🙌🙌😭😭😭
Allahuma Ameen. Allah Awateketeze wabaya wote na wachawi wote.
C
f,tzd,Hy tu tnjjjiuur
Amiin thumma amiin ..Allah awaangamize wachawi wa kwetu kupitia kisomo hiki InshaAllah...
Allah atawalinda na ubaya wa mashetani ,majini na wachawi yarab hasadi mbaya Allah awalaani wote hao amiin Amiin Amiin.
Kiukweli vita unayopigana ningumu sana Allah awape afya njema inshaallah from South Africa
M mungu walinde Hawa walimu wetu uwape umri mrefu waangamize wachawi wote
Asalaam alaykm sheikh mardhiyah na jopo lako lote inshaallah mimi nawatakia afya njema kwani vita ulonayo nikubwa sana ndio maana nawatakia afya njema
Subhanallah innalillahi wainna ilayhi rajiuna binaadam sjui wanataka nini kwa allah allah katujaalia neema za nguvu na neema za macho na akili ili tufanye yanomridhia allah lakini nini kinachotudanganya kudhuriana subhanallah yaarabbi dua uzikibli yarabbi kwaasie tubia na atakae taka kuongoka yaara mjaalie atubie toba ya kweli amiin yaarsbbi shukran sana ya sheykh kwa juhudi zako
Amiin amiin amiina tawabbalallwahu hadhadha duai yaallah ya aziyz yajabbar
ALLAH awalinde na shari za shaitwan na za wanaadam kwa Rehma zake amiin
Zib
Mtu, akiumia kwa ukweli nikhr kwako💖fanyen, kazi, ya, Allah babazet
Amen!!!
Masha Allah Sheikh bold & brave👍🙏BarakAllah feek Sheikh Watamamann, crews members & viewers
Uweziami.duwahiimenifanyaniponekichwa
@@mwajumathomas1594 sisisissjsiiisiwiwj⁰ is +sjis~"@~kak j3jejsi
Allah akufnyie wepesi sheikh tuko pamja kutoka Kenya 🇰🇪
Allah awape mwishomwema namimi nikiwemo allah akuongeze umri wauhai
Allhamdullaah mungu nimkubwa awasimamie mashekhe wetu nakupendeeya hapo tu huwogop unaeleza ukweli shukran sana kwauwaz wako
Allah aawalaani na kuwaangamiza kabisaa. Sheikh wangu Mungu akupe nguvu uzidi kukuhifadhi innshaAllah .Wewe na jamii yako na watamamani.
Amin.
Yaarab awalinde mashekh wetu
Naomba sheikh salim uniombeee nifanikiwe na maisha, niko na tabu sana nimemliza visomo vya quran
Fanya istighfari kwa wingi usiku wa manane
Masha Allah
Wame angamia takbir Allahuakbar
May Allah protect us Allah through that ruqiya aamin
Hassbiallh wanimall lwakil Hassbiallh wanimall lwakil Hassbiallh wanimall lwakil 🤲🤲🤲🤲🤲🤲Amiiin amiiin thumma amiiin thumma amin
Aamiin Awalani zaidi Apa mpaka kiama
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala
Hasbiya Allahu waniimal wakiil
Naomba no yko shekhe nikutafute shekhe wachawi wananitesa sana
Subhana Allah Allah atulinde nao Allahu akbar kabira
Ausubillah nimashetwa rajiim,subuhanallah, iyo mijitu Allah awakinge kweli kazi ipo kwakweli dunia inamengi
Allahummah Ameen.
Ameen Ameen Ameen yarabilalameen...
Ammin yarab🤲🤲
Subhanallah ALLAH atuhifadhi n shari z binaadamu n majini waliotuandama
Allahu Akbar
Ameen ya Allah waangamize wachiwa wote inshallah
Amin yarab
All the best sheikh mardhiya
Subhana llah mungu awangamize kila alie kuwa mbaya yarab
Amiin thummah amin
Aaameeen
asalam aleykum nakuomba shekhe uniombeedu wa ninaitwa shamlati kilaninacho kifanya sifanikiwi unisaidie Allah atakulipa zaidi. inshaallah
Ameeen yarabb
Allah awalaani wanga wote
Ahsante sana
Subhanallah, Allah bless you more Insha Allah Shukran
hata mchana zamani palikuwa hapapitiki
Allahumma Aamin 🤲
Allah huma am
Subuanallah
Allahu akbar Allah protects us
Weh pemba wanabalaa yaani majin yte yakohuko watu husafir kwendannua wajetesa wenzao Allah awashinde
Shekhe Mimi na familia yangu Kila siku wananiumiza na wamenivurugia ndoa yangu.
Mm ningependa kua mwanafunzi wako sheikh
Mashaallah
mashallah
❤❤❤
Wanga hawataki
Rehema na
Washakata tamaa
Ilikuwa pale zamani ukipita hapo na gari usiku lazima taa izime saivi pamepoa nilikuwa sisubutu kupita peke yangu saivi nakatiza usiku hapo peke yangu hapo ndio nyumbani napita siku zote
Wapi kwa fatawi wakaa wewe au state
Hatar
Sawa
Mtangazaji aliyevaa kanzu brown kapata khofu
Hapa waende usiku wa manani Kwa mwezi mzima
Nedeni usiku wakti wakiwa kwenye actions zao...hivy ata mm naweza...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha
Je shekh iyoo siku mulilala kweli
Shekhe evaa Pete hapo tuambie za Nini hizo na kwa lengo gani au ni pambo tu shehe tupefaida shekh juu ya hilo na wengi ambao wanaombea huwa Wana vaa Pete zinazo fanana na hizo zako plz shekh tuambie na kwa nn ziwe zinafanana..nakpnda kwa ajili ya Allah.
Sheikh mimi ninatatizo la mambo yangu hanyoki kabisa.kila siku kizai zai
Subhanallah mimi nimeupenda hii a hii nasheed pia
Macha lah
Hamuna mpango wowote wakupambana na hao watu ispokuwa watu wa allah kweli ndio wenye umakini na kuwachukia wachawi na mambo maov sasa kuchukuwa klip na kwenda huku na kurikodi hiv ndio umefanya nini shekh umemuua japo moja au uwenekane tu
❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞❤️❤️❤️
Fafadhali kwa upole tunaomba utowe ama upungyze sauti ya hizo nyimbo kwani zinatuzuia kusikia yote yanayisemwa. Sauti ni kubwa sana🇰🇪
Hizo si nyimbo? Ama wewe mmoja wao?
Sheh mmejuaje kama apo giningi?
Umejiamini kuingia anga za wachawi
Sheikh wenu kw nasaha tu akajifunze kusom Qur-an
Kumbe na huko pemba pia kuna wachawi?
Kuna sehemu imesalimika kwani?
Hakuna panaponusurika lkn kwa Inguja na Pemba, Pemba inasemekana sanna. Allah atuhifadhi, Amiin.
Hata maka,marekani na uengreza popote duniani wachawi wako
Nimekuwa sipati usingizi, napatwa na hofu usiku, nasikia watu wanaongea kwa nyumba siwaoni, shehe nisaidie
Assalam alaikum....Naweza kupata no ya sheikh tafadhali
Dah Yan Hawa masheikh washajitolea muhanga liwalo na liwe.. mna ujasir maana mmetangaza vita na wanga
Mi naomba namba ya shehe jamani ninamatatizo sana
+255658399919
Kumbe giningi ipo kweli?
Hawa giningi unafiq mtupu... Majeshi wa bara wanawafanya kila balaa nawao wamekaa na majini wao
NA HAKUNA JINI MZURI.
Na majini wema wapo.
Ni haki jini kukaa kwenye mwili wako hata kama hakuzuru
@@keifatuke99 Hakuna ruhusa ya jini kuishi kwenye mwili wa mwanadamu
Kwani hujui kua kunabinaadamu wabaya na wazuri au umekariri maneno ya kiongoziwako? Jiongeze
Nimuongo Apo sipo kabisa una danganya wat
Wangekuwa wakiristu mngeongea na kukashifu na nyie je
Hpo wamezungumziwa wachawi dada hajazungumziwa muislamu wala mkristo, kwani wachawi wako wislam na wako pia wakristo wote wanaenda pale
Dada unatangaza dini?.
Shehe ichawi ulishushwa na alah kupitia malaika wa 2 aliut na maalut tena kidogo uchawi wa miti na kitabu hata suleman alukuta mana hata musa lipotupa fimbo wamisri ikageuka nyoka wasema ni uchawi mkubwa mana kitabu cha uchawi kimeshushwa na hao malaika kidogo hivyo umeenea dunia nzima
Kwani Daudi na Mussa nani alikuja mwanzoo
Nani kakwambia hiyo kama ndio giningi kubwa?
@@TheFire_Gamer anajuwa kama ginimbi kubwa chambani mm ni kwetu upande wa mama baba wawi
@@TheFire_Gamer sijawahi kwenda hata siku moja lakini akipenda mungu kuna siku nitaenda akipenda mungu ishaaalah sahivi niko oman mungu akiniweka na roho nitaenda ishaalah
Sheh Allah ukupe umuri murefu waraha hapa dunia nakesho Ahera
Zijuwi nizemenini hiyo akazi nigumu
Kujitowa muhaga kwawatu wote
Allah diye ajuwa maripo yake siye hutunamaripo Inshaallah utayakuta bere urizi wa Allah uwe juyako
Mungu awape afya njema.
Mansha Allah.
MaShallah
Sheikh Salim Maridhia fanya mambo wachawi wajute kukufaham. Mwenyez Mungu azd kukucmamia 🤲🤲🤲
Wachawi woote laana tullahi.
Tumuogop Allah pekeyak binaadam,, mueshim akijieshimush, iyo nikweli washekh, zang💖🙏🤲watu wasio, taka, khr, kwawenzao, awa angamiz Kam, anaon, hawataongok,
Allahumma Ameen Thumma Ameen yaa Rabb awape Ujasiri mzidi kupambana na Wanga majini na wachawi 🤲🤲🤲🤲
Amin yarab
Amiin ya Raaby Allah awazidishia daima amiin 🤲🤲
Allah awadhalilishe wale woote mahadid na wabaya wote wa Zanzibar nzima na mola aangamize Yale maeneo yao yoote wanayo fanyia hasadi na kila aina ya uchawi na mabaya yao... Kwakweli hapo ni ginningi ya ya ukutini ikulu yao hiyo ila Mola awaondoe woote hapo majinni na binadam wabaya wa Pemba nzima
Kwanini hafukui mambo zao sasa!!!!!!? Au akatuonesha miti ya ajabu na mengine
Ameen Mungu awalani wachawi woote
Wanaogonga 👎ndiyo wachawi nini??
Dah kwetu hapo nyumbani ukutini chambani.
Hawa vijana Wana ujasiri mkubwa..wamevamia sehemu mbaya..Giningi nyengine Iko Bungi Miembe mingi Unguja..Bubwini pia iko