SHEIKH:MARDHIYYAH AKUMBANA NA MAKUBWA GININGI PEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 773 878 523
    +255 773 071 409
    Zinjibartv Journalists
    cc: Abdallah Pandu
    cc: Safia Hussein
    cc: Maryam Kidiko
    cc: Swaleh Watamaama
    Camera Department"
    Muarabu Mmadi
    Ali Rajab
    Rajab ahmada
    Editors:
    Ali Hassira
    Mohammed Abeid
    Ramla Haji
    Abdillahi Said
    Dereva
    Yussuf Khanmis
    Ali Mohammed
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

Комментарии • 225

  • @aishaissa2691
    @aishaissa2691 3 года назад +9

    😭😭😭😭E Allah wahifadhi masheikh wet hawa kwakaz ngumu hiyi wanaifanya na uwalip pepo ya firdaus nusra🤲🤲🤲nami Allah nakuomba uangamiz wachawi wanaoniroga mimi na familia yangu na Wa islamu wote dunia uwaking n'a wachawi, kisomo hiki kiwe cheny kutuponya amiin

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +11

    Ameen ya Allah waangamize wachawi woote dunian na wanaonifanyia uchawi mimi na familia yangu huko walipo... kwa baraka za kisomo hiki Allah huma Ameen...

  • @rayanasor7855
    @rayanasor7855 3 года назад +6

    Subhannallah m.mungu awangamize wote wanga na wachawi m.mungu amhifadhi shekh Salim amzididishie kila la kheri Kwa elimu yake anayotoa shukran jazakalkheri

    • @rahmaferuz2776
      @rahmaferuz2776 3 года назад

      Sasa hapo mbona makazi ya watu hiyo giningi iko wapi? Tunaona uwanda na miti tu. Hao wachawi wako wapi?

  • @mohamedindwata5286
    @mohamedindwata5286 3 года назад +14

    Allah awahifadhi mashekh, Allah awaangamize wachawi wote.

  • @kingelkindy2920
    @kingelkindy2920 3 года назад +10

    اللهم تـقبل دعـــآء 🌹

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +7

    Allah akuhifadhi kipenz cha Allah shehe wetu Maridhiya...

  • @ruthnimi2165
    @ruthnimi2165 2 года назад +1

    Asante Sheikh Salum na Sheikh Watamamun Kwa vide hii Wanga na Wachawi wapate hukumu la muoovu Yao kutoka kwake Maulana Kwa kufa🙏🙏🙏🙌🙌😭😭😭

  • @criticalthinker1179
    @criticalthinker1179 3 года назад +9

    Allahuma Ameen. Allah Awateketeze wabaya wote na wachawi wote.

  • @arurihussein8854
    @arurihussein8854 3 года назад +2

    Amiin thumma amiin ..Allah awaangamize wachawi wa kwetu kupitia kisomo hiki InshaAllah...

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 3 года назад +10

    Allah atawalinda na ubaya wa mashetani ,majini na wachawi yarab hasadi mbaya Allah awalaani wote hao amiin Amiin Amiin.

  • @mohammedsalum4418
    @mohammedsalum4418 3 года назад +5

    Kiukweli vita unayopigana ningumu sana Allah awape afya njema inshaallah from South Africa

    • @zulfahaji4666
      @zulfahaji4666 3 года назад

      M mungu walinde Hawa walimu wetu uwape umri mrefu waangamize wachawi wote

  • @mohammedsalum4418
    @mohammedsalum4418 3 года назад +9

    Asalaam alaykm sheikh mardhiyah na jopo lako lote inshaallah mimi nawatakia afya njema kwani vita ulonayo nikubwa sana ndio maana nawatakia afya njema

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +2

    Subhanallah innalillahi wainna ilayhi rajiuna binaadam sjui wanataka nini kwa allah allah katujaalia neema za nguvu na neema za macho na akili ili tufanye yanomridhia allah lakini nini kinachotudanganya kudhuriana subhanallah yaarabbi dua uzikibli yarabbi kwaasie tubia na atakae taka kuongoka yaara mjaalie atubie toba ya kweli amiin yaarsbbi shukran sana ya sheykh kwa juhudi zako
    Amiin amiin amiina tawabbalallwahu hadhadha duai yaallah ya aziyz yajabbar

  • @Awatee
    @Awatee 3 года назад +7

    ALLAH awalinde na shari za shaitwan na za wanaadam kwa Rehma zake amiin

  • @aishatwizerimana2505
    @aishatwizerimana2505 3 года назад +4

    Mtu, akiumia kwa ukweli nikhr kwako💖fanyen, kazi, ya, Allah babazet

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 3 года назад +15

    Masha Allah Sheikh bold & brave👍🙏BarakAllah feek Sheikh Watamamann, crews members & viewers

    • @mwajumathomas1594
      @mwajumathomas1594 2 года назад

      Uweziami.duwahiimenifanyaniponekichwa

    • @maridhiasozi3361
      @maridhiasozi3361 2 года назад

      @@mwajumathomas1594 sisisissjsiiisiwiwj⁰ is +sjis~"@~kak j3jejsi

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 3 года назад +2

    Allah akufnyie wepesi sheikh tuko pamja kutoka Kenya 🇰🇪

  • @zawadi9998
    @zawadi9998 3 года назад +1

    Allah awape mwishomwema namimi nikiwemo allah akuongeze umri wauhai

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 года назад +7

    Allhamdullaah mungu nimkubwa awasimamie mashekhe wetu nakupendeeya hapo tu huwogop unaeleza ukweli shukran sana kwauwaz wako

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Год назад

    Allah aawalaani na kuwaangamiza kabisaa. Sheikh wangu Mungu akupe nguvu uzidi kukuhifadhi innshaAllah .Wewe na jamii yako na watamamani.

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 года назад +2

    Amin.
    Yaarab awalinde mashekh wetu

  • @khadijaamrani6282
    @khadijaamrani6282 Год назад

    Naomba sheikh salim uniombeee nifanikiwe na maisha, niko na tabu sana nimemliza visomo vya quran

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 2 месяца назад

      Fanya istighfari kwa wingi usiku wa manane

  • @farhiyaally8412
    @farhiyaally8412 3 года назад +5

    Masha Allah

  • @aminasora5194
    @aminasora5194 6 месяцев назад

    Wame angamia takbir Allahuakbar

  • @SHOLLAH804
    @SHOLLAH804 3 года назад +12

    May Allah protect us Allah through that ruqiya aamin

  • @zulaikha6007
    @zulaikha6007 3 года назад +3

    Hassbiallh wanimall lwakil Hassbiallh wanimall lwakil Hassbiallh wanimall lwakil 🤲🤲🤲🤲🤲🤲Amiiin amiiin thumma amiiin thumma amin

  • @zuhurakhamiss5412
    @zuhurakhamiss5412 3 года назад +1

    Aamiin Awalani zaidi Apa mpaka kiama

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 3 года назад +3

    Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala

  • @abduraheemabdullah5223
    @abduraheemabdullah5223 3 года назад +2

    Hasbiya Allahu waniimal wakiil

  • @mwajumahabibu9992
    @mwajumahabibu9992 Год назад

    Naomba no yko shekhe nikutafute shekhe wachawi wananitesa sana

  • @khatijakhatija9518
    @khatijakhatija9518 3 года назад +1

    Subhana Allah Allah atulinde nao Allahu akbar kabira

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 3 года назад +5

    Ausubillah nimashetwa rajiim,subuhanallah, iyo mijitu Allah awakinge kweli kazi ipo kwakweli dunia inamengi

  • @ramadhanbaraka6474
    @ramadhanbaraka6474 3 года назад +3

    Allahummah Ameen.

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +3

    Ameen Ameen Ameen yarabilalameen...

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 3 года назад +3

    Ammin yarab🤲🤲

  • @MariamHumud
    @MariamHumud 11 месяцев назад

    Subhanallah ALLAH atuhifadhi n shari z binaadamu n majini waliotuandama

  • @mamuskamery45
    @mamuskamery45 3 года назад +4

    Allahu Akbar

  • @saidnassor5675
    @saidnassor5675 2 года назад

    Ameen ya Allah waangamize wachiwa wote inshallah

  • @mshengavuai5004
    @mshengavuai5004 3 года назад +1

    Amin yarab

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 года назад +1

    All the best sheikh mardhiya

  • @geerleebmuhamed8301
    @geerleebmuhamed8301 3 года назад

    Subhana llah mungu awangamize kila alie kuwa mbaya yarab

  • @MuhammedBalkiss
    @MuhammedBalkiss 11 месяцев назад

    Amiin thummah amin

  • @rajabubakari2012
    @rajabubakari2012 3 года назад +1

    Aaameeen

  • @RahemaOman
    @RahemaOman 6 месяцев назад

    asalam aleykum nakuomba shekhe uniombeedu wa ninaitwa shamlati kilaninacho kifanya sifanikiwi unisaidie Allah atakulipa zaidi. inshaallah

  • @ShazeenBaby
    @ShazeenBaby 3 года назад +1

    Ameeen yarabb

  • @salimmohd4999
    @salimmohd4999 8 месяцев назад

    Allah awalaani wanga wote

  • @ismailsaidi691
    @ismailsaidi691 6 месяцев назад

    Ahsante sana

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 2 года назад

    Subhanallah, Allah bless you more Insha Allah Shukran

    • @opopioio3850
      @opopioio3850 2 года назад

      hata mchana zamani palikuwa hapapitiki

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +2

    Allahumma Aamin 🤲

  • @meswalehematano6277
    @meswalehematano6277 3 года назад +3

    Subuanallah

  • @maryamhamad5158
    @maryamhamad5158 3 года назад

    Allahu akbar Allah protects us

  • @barikaali1861
    @barikaali1861 3 года назад +1

    Weh pemba wanabalaa yaani majin yte yakohuko watu husafir kwendannua wajetesa wenzao Allah awashinde

  • @mwajumahabibu9992
    @mwajumahabibu9992 Год назад

    Shekhe Mimi na familia yangu Kila siku wananiumiza na wamenivurugia ndoa yangu.

  • @alfatahenani7829
    @alfatahenani7829 3 года назад +1

    Mm ningependa kua mwanafunzi wako sheikh

  • @tinkamdim71
    @tinkamdim71 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 3 года назад +4

    mashallah

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 3 месяца назад

    ❤❤❤

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 3 года назад +1

    Wanga hawataki
    Rehema na
    Washakata tamaa

  • @jumatarabeni9753
    @jumatarabeni9753 3 года назад +5

    Ilikuwa pale zamani ukipita hapo na gari usiku lazima taa izime saivi pamepoa nilikuwa sisubutu kupita peke yangu saivi nakatiza usiku hapo peke yangu hapo ndio nyumbani napita siku zote

  • @MshamShaa-v1v
    @MshamShaa-v1v Месяц назад

    Sawa

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 5 месяцев назад

    Mtangazaji aliyevaa kanzu brown kapata khofu

  • @mussahaji905
    @mussahaji905 3 года назад +3

    Hapa waende usiku wa manani Kwa mwezi mzima

  • @ahmadsaid5845
    @ahmadsaid5845 3 года назад +4

    Nedeni usiku wakti wakiwa kwenye actions zao...hivy ata mm naweza...

  • @harounsuleiman5231
    @harounsuleiman5231 3 года назад +1

    Je shekh iyoo siku mulilala kweli

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 2 года назад

    Shekhe evaa Pete hapo tuambie za Nini hizo na kwa lengo gani au ni pambo tu shehe tupefaida shekh juu ya hilo na wengi ambao wanaombea huwa Wana vaa Pete zinazo fanana na hizo zako plz shekh tuambie na kwa nn ziwe zinafanana..nakpnda kwa ajili ya Allah.

  • @khadijaamrani6282
    @khadijaamrani6282 Год назад

    Sheikh mimi ninatatizo la mambo yangu hanyoki kabisa.kila siku kizai zai

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 3 года назад +1

    Subhanallah mimi nimeupenda hii a hii nasheed pia

  • @abdulabubacartuaibo6422
    @abdulabubacartuaibo6422 3 года назад

    Macha lah

  • @abdallah2676
    @abdallah2676 3 месяца назад

    Hamuna mpango wowote wakupambana na hao watu ispokuwa watu wa allah kweli ndio wenye umakini na kuwachukia wachawi na mambo maov sasa kuchukuwa klip na kwenda huku na kurikodi hiv ndio umefanya nini shekh umemuua japo moja au uwenekane tu

  • @hosmanedjanffar7929
    @hosmanedjanffar7929 Год назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞❤️❤️❤️

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 3 года назад

    Fafadhali kwa upole tunaomba utowe ama upungyze sauti ya hizo nyimbo kwani zinatuzuia kusikia yote yanayisemwa. Sauti ni kubwa sana🇰🇪

  • @khadijakhamis3480
    @khadijakhamis3480 3 года назад +1

    Sheh mmejuaje kama apo giningi?

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад

    Umejiamini kuingia anga za wachawi

  • @adammaulid2356
    @adammaulid2356 Год назад

    Sheikh wenu kw nasaha tu akajifunze kusom Qur-an

  • @selemohd9060
    @selemohd9060 3 года назад +2

    Kumbe na huko pemba pia kuna wachawi?

    • @nooor1120
      @nooor1120 3 года назад +1

      Kuna sehemu imesalimika kwani?

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 года назад +2

      Hakuna panaponusurika lkn kwa Inguja na Pemba, Pemba inasemekana sanna. Allah atuhifadhi, Amiin.

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 3 года назад +1

      Hata maka,marekani na uengreza popote duniani wachawi wako

  • @T_Sankara2
    @T_Sankara2 Год назад

    Nimekuwa sipati usingizi, napatwa na hofu usiku, nasikia watu wanaongea kwa nyumba siwaoni, shehe nisaidie

  • @youtuberheart1648
    @youtuberheart1648 3 года назад +2

    Assalam alaikum....Naweza kupata no ya sheikh tafadhali

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 3 года назад +2

    Dah Yan Hawa masheikh washajitolea muhanga liwalo na liwe.. mna ujasir maana mmetangaza vita na wanga

  • @happinesssamson3402
    @happinesssamson3402 3 года назад

    Mi naomba namba ya shehe jamani ninamatatizo sana

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 2 месяца назад

    Kumbe giningi ipo kweli?

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 года назад

    Hawa giningi unafiq mtupu... Majeshi wa bara wanawafanya kila balaa nawao wamekaa na majini wao

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 года назад +1

    NA HAKUNA JINI MZURI.

    • @oscarramazani1289
      @oscarramazani1289 3 года назад +2

      Na majini wema wapo.

    • @keifatuke99
      @keifatuke99 3 года назад

      Ni haki jini kukaa kwenye mwili wako hata kama hakuzuru

    • @LEMUOMARI
      @LEMUOMARI 3 года назад

      @@keifatuke99 Hakuna ruhusa ya jini kuishi kwenye mwili wa mwanadamu

    • @seiflugendo5043
      @seiflugendo5043 2 года назад

      Kwani hujui kua kunabinaadamu wabaya na wazuri au umekariri maneno ya kiongoziwako? Jiongeze

  • @yusuffaki8841
    @yusuffaki8841 3 года назад

    Nimuongo Apo sipo kabisa una danganya wat

  • @dianaradislauc6649
    @dianaradislauc6649 3 года назад +1

    Wangekuwa wakiristu mngeongea na kukashifu na nyie je

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 3 года назад +3

      Hpo wamezungumziwa wachawi dada hajazungumziwa muislamu wala mkristo, kwani wachawi wako wislam na wako pia wakristo wote wanaenda pale

    • @seiflugendo5043
      @seiflugendo5043 2 года назад

      Dada unatangaza dini?.

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 3 года назад +3

    Shehe ichawi ulishushwa na alah kupitia malaika wa 2 aliut na maalut tena kidogo uchawi wa miti na kitabu hata suleman alukuta mana hata musa lipotupa fimbo wamisri ikageuka nyoka wasema ni uchawi mkubwa mana kitabu cha uchawi kimeshushwa na hao malaika kidogo hivyo umeenea dunia nzima

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 3 года назад +1

      Kwani Daudi na Mussa nani alikuja mwanzoo

    • @TheFire_Gamer
      @TheFire_Gamer 3 года назад

      Nani kakwambia hiyo kama ndio giningi kubwa?

    • @kadijahajali3918
      @kadijahajali3918 3 года назад +1

      @@TheFire_Gamer anajuwa kama ginimbi kubwa chambani mm ni kwetu upande wa mama baba wawi

    • @kadijahajali3918
      @kadijahajali3918 3 года назад +1

      @@TheFire_Gamer sijawahi kwenda hata siku moja lakini akipenda mungu kuna siku nitaenda akipenda mungu ishaaalah sahivi niko oman mungu akiniweka na roho nitaenda ishaalah

    • @zuhurauwimana7946
      @zuhurauwimana7946 3 года назад +1

      Sheh Allah ukupe umuri murefu waraha hapa dunia nakesho Ahera
      Zijuwi nizemenini hiyo akazi nigumu
      Kujitowa muhaga kwawatu wote
      Allah diye ajuwa maripo yake siye hutunamaripo Inshaallah utayakuta bere urizi wa Allah uwe juyako

  • @mrok284
    @mrok284 3 года назад +15

    Mungu awape afya njema.

  • @FarhanAbdi-eq2it
    @FarhanAbdi-eq2it 3 года назад +3

    Mansha Allah.

  • @aminanuru6526
    @aminanuru6526 3 года назад

    MaShallah

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma8168 3 года назад +10

    Sheikh Salim Maridhia fanya mambo wachawi wajute kukufaham. Mwenyez Mungu azd kukucmamia 🤲🤲🤲

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 3 года назад +6

    Wachawi woote laana tullahi.

  • @aishatwizerimana2505
    @aishatwizerimana2505 3 года назад +7

    Tumuogop Allah pekeyak binaadam,, mueshim akijieshimush, iyo nikweli washekh, zang💖🙏🤲watu wasio, taka, khr, kwawenzao, awa angamiz Kam, anaon, hawataongok,

  • @fatumaal4988
    @fatumaal4988 2 года назад +3

    Allahumma Ameen Thumma Ameen yaa Rabb awape Ujasiri mzidi kupambana na Wanga majini na wachawi 🤲🤲🤲🤲

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 3 года назад +7

    Amin yarab

  • @4242R-i9i
    @4242R-i9i 3 года назад +6

    Amiin ya Raaby Allah awazidishia daima amiin 🤲🤲

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 3 года назад +4

    Allah awadhalilishe wale woote mahadid na wabaya wote wa Zanzibar nzima na mola aangamize Yale maeneo yao yoote wanayo fanyia hasadi na kila aina ya uchawi na mabaya yao... Kwakweli hapo ni ginningi ya ya ukutini ikulu yao hiyo ila Mola awaondoe woote hapo majinni na binadam wabaya wa Pemba nzima

  • @zeyounhabibty6868
    @zeyounhabibty6868 3 года назад +3

    Kwanini hafukui mambo zao sasa!!!!!!? Au akatuonesha miti ya ajabu na mengine

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +5

    Ameen Mungu awalani wachawi woote

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 3 года назад +3

    Wanaogonga 👎ndiyo wachawi nini??

  • @aliyomar2222
    @aliyomar2222 3 года назад +2

    Dah kwetu hapo nyumbani ukutini chambani.

  • @mussahaji905
    @mussahaji905 3 года назад +4

    Hawa vijana Wana ujasiri mkubwa..wamevamia sehemu mbaya..Giningi nyengine Iko Bungi Miembe mingi Unguja..Bubwini pia iko