ANGALIA WATU WA SIU WAMENILISHA KENGE ( YURU ) / Muhammad Bachu .

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 150

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt 3 месяца назад +5

    Mashaallah Tabarakallah sheikh muhammad nassor. Vike wewe umekula basi na mimi naweza kujaribu kula.

  • @HassanKofa
    @HassanKofa 3 месяца назад +3

    Mbona umeunganisha channel yako na nasheed wakati umewahi kusema kuwa wanaosoma anaashidi wanalegeza sauti mwisho ukawaita makhanithi na mashoga

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 3 месяца назад +2

    Mashaallah,watu wamatusi mtaacha lini kutukana hovyo hovyo

  • @NaadiriTV
    @NaadiriTV 3 месяца назад +1

    Poleni sana mashekh

  • @SaidiIsmaili-b5x
    @SaidiIsmaili-b5x 3 месяца назад

    Subhanallaah kwetu twamuita sakata ukilikaribia makofi ya mkia utayavagaa kumbe mawahabi mnakula nyienae mmh achen uchuu

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 3 месяца назад

      Afu nyie waisilamu mna tia Aibu mawahabi mawahabi kwani nyie mpoje jmn yani mwisilamu lkn una mfanya kama so mwisilamu acheni upuuzi hii Dini ya Mungu so yenu

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 3 месяца назад

    Aaamin Yaarabbal A'lamin 😊

  • @LukmanMohd-kn3iq
    @LukmanMohd-kn3iq 3 месяца назад +3

    Sheikh dumilla hafidhahullaahu. Sheikh muhammad bachu hafidhahullaahu. Ustaadh shee. Ustaadh luqmaan. Allah awahifadhi wote.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 3 месяца назад +1

    Maashaa Allaah

  • @user412
    @user412 3 месяца назад +3

    Nasheed zikiimbwa na wale wanaozipinga hususan ukiziwekea na ala kama hii inakuwa halali. Ila akiimba mwengine anaambiwa ni "khanith".
    Allah atujaalie wepesi na atupe ufahamu sahihi

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 3 месяца назад +5

    Bachu anapenda sana Maulidi.Naona Leo ametuwekea kaswida Masha Allah!!

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 2 месяца назад

      @@ashachitemo7816 Nasheed wanatumia 😂😂😂

  • @ibnuomar1770
    @ibnuomar1770 3 месяца назад

    Mnapinga Nasheed.. lakin katka vipindi vyenu munaeka??
    أتأمرون الناس بالبر وتنسون أنفسكم وأنتم تتلون الكتباب أفلا تعقلون؟؟؟

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 3 месяца назад +1

    Masha Allah, editor wahii kazi ametuwekeya mziki editor wacheni khiyana shekh Muhammad mwenyew anapigavita nasheed za namna hii editor achananeni na mziki mziki siyo dini na hauna dalili yakukubalika ktk dini

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 3 месяца назад

      @@abuuabdirrahmaan4132 kama ukomakini chanel ya Muhammad bachu iliungana na Alhajar tv sasa editor wao ndo tunamtupiya lawama kwahili na siyo shekh

  • @ukweli19
    @ukweli19 3 месяца назад +1

    Mashallah

  • @khalidtechnology367
    @khalidtechnology367 8 дней назад

    Haya kila la kher tupo pamoja na ww bachu tumekumisi zanzibar

  • @Khalid-mf3iu
    @Khalid-mf3iu 3 месяца назад +2

    Bachu ameikalia sufuria ya yuru hataki kuiwata

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 3 месяца назад +2

    Manshallah inafurahisha kwelikweli

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 3 месяца назад +4

    Yuru siyo kenge. Huyo anaitwa yuru nitofauti na kenge

    • @rajabhamis8272
      @rajabhamis8272 3 месяца назад

      @@abuujibriltv5233 Kwan YURU na KENGE sini species za jamii moja !??????????????? au tofaut ikoje hapo !??

  • @amirmape6474
    @amirmape6474 3 месяца назад +5

    Asalam alaykum shekhe vp tena maana ulisema nasheed ni ubalazuri sasa vipi nawewe umeshakuwa balazuri au vp?

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 3 месяца назад +2

    Hapo awali nlikuwa nina mushkeli kula kenge....sante sheikh muahammad bachu....

  • @MuhammadSabuni
    @MuhammadSabuni 3 месяца назад

    Maasha Allah

  • @subhanallah868
    @subhanallah868 21 день назад

    😂😂😂😂😂😂😂yuruu😂😂😂kengee😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SuolFat
    @SuolFat 17 дней назад

    Mawahabi kazi yao ni kutafuta makosa yasio na maana

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 3 месяца назад +2

    Kenge mtamu sana ana nguvu kuliko pweza

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td 3 месяца назад +2

    naona sheikh wa Sunna unakula uku umesimama

    • @sultaniiyytv3718
      @sultaniiyytv3718 3 месяца назад

      Sio shambi ila haipendezi wallah aalam

    • @alisaadmohammed
      @alisaadmohammed 3 месяца назад

      Mtume asemausinywe maji kama umesimama sio chakula

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Kuna katzo kwani kula huku umesimama?

  • @CubeedCali
    @CubeedCali 3 месяца назад

    Mchafu wewe hoyuru aliliwa khaybara kwa sababu ya dhiki

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU 3 месяца назад +4

    BACHU WEWE SIO WA KUWEKA MZIKI KWENYE CHANNEL YAKO! ......Ushaanza kutupa wasiwasi juu ya msimamo wako asee!

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU 3 месяца назад

      Hata kama ndo umecopy hyo video.....ila as long as ni haram haukutakiw kuicopy kweny channel yako

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Hata ww ukiwa na ilimu utajua nashid haina neno

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 месяца назад

      Kila binadamu huteleza ndugu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      @@mohagurey2214 sio kuteleza kila akipija hatua na ilimu atapata nashid atakubali insha Allah na maulid atasoma ngojea uwone

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 3 месяца назад

      @@saba-gv3mj Wewe muislamu kweli? Ama wewe ni shia mwenye niyah ya kupotosha ummah ya kiislamu? Hebu nipe ayah ama Hadith zinahalalisha anasheed? Don't mislead the ummah ya ahlul bid'a

  • @mirajimsigiti7317
    @mirajimsigiti7317 3 месяца назад +2

    Sheikh bachu VIPI TENA HIZO NASHEED??

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 3 месяца назад

      hio ni nasheed isiokua na ala za mziki😊

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852 3 месяца назад +1

    😂😅asantaa.ustadhi eeeh,nauliza fisi jee halali kumla?manake nliskia mawaidha ya manhaj salafi kuwa muislam anafaa kumlaa.

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 3 месяца назад +1

    MashaAllaah sheikh wetu kanogewa na kenge hali kapewa safuriya yote ya nboga 😂😂😂

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 3 месяца назад

    Ukuweza kula kenge na Mjusi unaweza kula

  • @haidarimfinanga9755
    @haidarimfinanga9755 3 месяца назад

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    KUMRADH SHEIKH MUHAMMAD, NIMEMUONA SHEIKH MMJOJA KATIKA VIDEO CLIP AKISEMA DARSA ALILOKUWA AKILIENDESHA ALMARUHUM SHEIKH NASORO BACHU LIMEPUNGUKIWA SANA NA WANAFUNZI. KAMA NI KWELI, HII SIO PICHA NZURI AIDHA SIO AFYA KWA MAENDELEO YA AKHLUL SUNNA WAL JAMAA.
    KAMA NI KWELI LABDA KUNA SABABU YA MSINGI, KAMA LA, BASI LIONE HILO.
    WABILAH TAWFIQ

  • @CubeedCali
    @CubeedCali 3 месяца назад

    Nyinyi mawahabi hatafisi mulihalalisha

  • @Albanabdullah1232
    @Albanabdullah1232 3 месяца назад +5

    Yuri ndio analiwa kenge haliwi acheni ujinga,halaf nyie ndio mwajitia watu wasunna mbona mnakula haliyakuwa mmesimamah

    • @FatmaAbdulhalim
      @FatmaAbdulhalim 3 месяца назад +2

      Asiekasoro hakuna

    • @abubakarismail6365
      @abubakarismail6365 3 месяца назад

      Kweli lakini wao watu wa suna bwana wangefanya wenziwao ingekuwa RUclips kama zote

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 3 месяца назад

      ​@@abubakarismail6365Hawana sunna wala nn ni vibaraka wa esrail na marekani.

    • @rajabhamis8272
      @rajabhamis8272 3 месяца назад

      Sorry, @Albanabdullah1232, YURI ndo viumbe wa jamii gani !??????
      Nataka kujua

    • @user-rs7nd1ob5u
      @user-rs7nd1ob5u 3 месяца назад

      فالنهي عن ذالك للكراهة فافهم يا جاهل مركب "فمن أكل واقفا فلا حرج يا غبي

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 3 месяца назад +1

    Alhamdulilah sisi Oman huku tunakula sana na maarufu kwa Jina la dhabb

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 3 месяца назад +1

    Masha Allah

  • @HusseinSalimu-cm3vs
    @HusseinSalimu-cm3vs 3 месяца назад

    Kaeni Bc Ndio Muwe Mnakula

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 3 месяца назад

    Fisi pia halali yeye husimamatu

  • @momsaa08plumbingandelectri7
    @momsaa08plumbingandelectri7 3 месяца назад

    Kwaiyo kenge halali kula???

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui 3 месяца назад

    MAWAHABI MWASHINDANA KULA KENGE😂 WAKATI MTUME ALIKATAA KULA KENGE

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 3 месяца назад

    Ujehuku znz tukulishe guruguru mana kitu kimoja hao

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic 3 месяца назад +1

    Bismillah

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 3 месяца назад +1

    Sheikh bachu watu wa bidaa wanavyo kuchukia watakuonyesha kwenye radd zao nahilo sufuriatu Allah awaongoze

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 3 месяца назад

      Unashobokea kidume mwenzio

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      ​@@HemedSeriousvp na ww ni Mtu wa Bidaa maana na ww umeshoboka na comment ya Watu isiyo kuhusu

  • @IMRANITV1
    @IMRANITV1 3 месяца назад

    Mtume hakula kenge bali alikula mburu ni kiumbe anaezaa hatagi mayai,lakini kenge anataga someni musifuate tuu jazba

  • @AliIbrahim-lv5cq
    @AliIbrahim-lv5cq 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂 Sheikh mm siwezi yakh

  • @jabirothman7133
    @jabirothman7133 3 месяца назад

    😂😂

  • @suleimanmkanga
    @suleimanmkanga 3 месяца назад

    Nilipo ifungua hii video nilisikia mashairi bin bachu waimba mashairi ni nani vile

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 3 месяца назад +2

    Assalaamu aleikum

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 3 месяца назад

    Eu não consigo comer esse tipo de animal 😮😮😮😮

  • @allyhamad9665
    @allyhamad9665 3 месяца назад

    Subuhanallah sheikh umeweka bidaa.
    Naona umeweka nashid

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 3 месяца назад

    MASHAA ALLAH tabarakalla mmmmmmm kumbe kenga analiwa sijawaikula

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula5415 3 месяца назад

    Ilikua nauliza suala moja je huyo kenge huwa achinjwa baada yakumshika ama hata asipochinjwa yaruhusiws kuliwa

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 3 месяца назад

    Anaekula akiwa amesimama huyo ni..........

  • @Naw89
    @Naw89 3 месяца назад

    Aisee mie siwezi kula hiyo hata kwa dawa

  • @rashidikibuna8575
    @rashidikibuna8575 3 месяца назад

    Kenge aliyetajwa navitabu siyo huyo

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 месяца назад

    Siwez kula kenge hata iweje, yan naachaje kuku

  • @universitylink
    @universitylink 3 месяца назад

    Ukila yuru utaota unashika ma euro ya pesa

  • @AliJussa
    @AliJussa 3 месяца назад

    Naona Kaswida kwa mbali leo😅 Mashallah

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 3 месяца назад +2

    Mbona kama Bismillah hakuna! Alafu ni nyoka!😅

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 3 месяца назад

      Amesema Bismillah rahmaan rahiim,rudia tena umsikie

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 3 месяца назад

      @@fatmasalim7132 ndio ila waangalie hao wengine

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 3 месяца назад

    Vipi kuhusu popo ni halal pia

  • @rajabhamis8272
    @rajabhamis8272 3 месяца назад +1

    Duuuh,,, hivi kwel Kenge analiwa !????

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 3 месяца назад

      Tena vizuri sana....ila kwa wanawake sio nzuri

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 3 месяца назад

      Sasa kama kenge analiwa na punda karibuni tutaambiwa analiwa. Tutaona mengi kwa vile dini ishakuwa ni ushindani sasa.

    • @dawud6065
      @dawud6065 3 месяца назад

      ​@@awadhsalim2680
      وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {أَكُلَّ اَلضَّبِّ عَلَى مَائِدَةِ رَسُولُ اَللَّهِ صلى الله عليه وسلم} مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ
      Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا) amesema: “Kenge aliliwa katika meza ya Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ). [Al-Bukhaariy, Muslim]

  • @MusafirBaba-wy8kh
    @MusafirBaba-wy8kh 3 месяца назад

    Achen kuweka vinanda

  • @abdulbandari1551
    @abdulbandari1551 3 месяца назад

    Je ,mamba pia halal?

  • @aziza9093
    @aziza9093 3 месяца назад

    Mm inabiti nilenisikuwa

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 3 месяца назад

    Yuri ndio kitu gani jmani bachu unakulaa usichokijuwas

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 3 месяца назад +1

    Chakula cha mila. Lakini reptile kumla mushkeli.

    • @abduljecha7779
      @abduljecha7779 3 месяца назад

      Mtume alimkataa ki desturi lakini chinguzeni vitu anavyokula ndio utajua hafai

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Yuwaliwa hakuna mushkil

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 3 месяца назад

    Haahaaa 😂😂 muhammad.

  • @aziza9093
    @aziza9093 3 месяца назад

    Mm siwezi😂😂😂

  • @mudvan2410
    @mudvan2410 3 месяца назад

    chochote kinacho zuria au kushambulia kupitia kucha ni haramu Kula hebu twambie ushahidi wa Kula kenge bwana radi ili na sie tupate faida

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 3 месяца назад

      Vip kuku wenye kushambulia kwa kucha na wao ni haramu na kuna ndege wengi tu wanashambulia kutumia kucha.. Hi faqh yako umesoma wapi?

    • @mudvan2410
      @mudvan2410 3 месяца назад

      @@YahyaYahya-vp2pp kaka usiwe mjinga kuku hashambulii Kwa kucha wala hakamatii kucha nimesoma na wala sikusomeahwa na malaika wa radi na wanasiasa wa chama cha salafi nitafute nikusomeshe na lazima ujuwe kwamba kuna tofaut baina ya kuzuria kucha na kukamatia kucha kwaiyo kunguru na kipanga halaal kuliwa mana kuku yeye hupekura kupitia kucha illa kuzuria huzuria mdomo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 3 месяца назад

      @@mudvan2410 kama hukusomeshwa umejisomea mwenye ndio ujinga wako ilipoanzia.. Saw umesoma kitabu gani hayo uliyo yasema eliimu haina mwish niambie kitabu huenda nikafaidika nacho

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 3 месяца назад

    😢sijasikia km kenge analiwa haya km si haram kuleni

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Fanya na ww umuonje siku Moja

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 2 месяца назад

      @@شيخنيف mhh kitu km hicho mara unadhurika mm siwez Kula kenge

  • @ibrahimkhatib2899
    @ibrahimkhatib2899 3 месяца назад

    Unakula GURUGURU weweee😂😂😂😂

  • @MrishoSamueli
    @MrishoSamueli 3 месяца назад

    Warohotu nyie

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 3 месяца назад

    shekh Muhammad hahahahahah

  • @CubeedCali
    @CubeedCali 3 месяца назад

    Wewe bachu hunahaya

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 3 месяца назад

    SHEHE UMEOMBA KIPANDE CHA NYAMA ,UMEPEWA TU UMEKIWEKA KINYWANI BILA YA HATA BISMILLAHI ILA MARA YA PILI ALHAMDULILLAH UMESEMA 😂😂😂

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 3 месяца назад

      Kwani lazima aseme bismiLlaah kwa sauti?

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 3 месяца назад

      @@hamidaawadh9024 Sio lazima ila irudie tena kuiangalia hiyo video yaani kupewa,kupokea na kuingiza kinywani sidhani kama amewahi kusoma hata hiyo moyoni, labda amesoma akiwa bado hajapokea Allah anajua zaidi

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Kusahau ipo kwa mwanaadamu

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 2 месяца назад

      @@hamidaawadh9024 Sio lazima ila hata kwa moyoni hajasema maana ni muda mchache baada ya kupokea na kuweka kinywani

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 2 месяца назад

      @@شيخنيف Yes inawezekana pia

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 3 месяца назад

    Wee bachu acha njaa

    • @ayoubrashid8392
      @ayoubrashid8392 3 месяца назад

      Popote pale kama wamfuata mtume watakiwa uwe mstaarab hivo ndo Mtume alivokula........waporoja tu.......half wasmama kifua mbele kupinga maulid

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 2 месяца назад

      Punguza chuki

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim 3 месяца назад

    Mimi simli

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 3 месяца назад

    Shekh Muhammad uko Kenya utakula mpaka panya 😂😂

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 3 месяца назад

    Angalia usijelishwa nguruwe akhy

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 3 месяца назад

    Hyo kitu n tam san aloo nimeimis mno since 2000

  • @aliathman7609
    @aliathman7609 3 месяца назад

    mimi hata kwa bomu simli😂😂😂

  • @maalimahmad5726
    @maalimahmad5726 3 месяца назад

    we jahili mtoto wa bachu daah leo umeumbuka kwanza ulianza kusema nashid ni sawa na ukhanithi mbili hao mawahabi wenzio mnakula kibudu kenge kwa sababu enzi za mtume alikula mburu kenge na sio kenge yuru tatu waislam mnakula mmesimama kiujumla tunawaita makafiri hakuna sehem mtume alikula kasimama kenge nyie kama nyama hiyo

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 3 месяца назад

      kaka acha kuita waislamu makafiri

    • @saidabdallah5448
      @saidabdallah5448 3 месяца назад

      Genge ni halali.
      Kula kwa kusimama haina shida imeruhusiwa
      Masufi hamtaki kusoma

    • @maalimahmad5726
      @maalimahmad5726 3 месяца назад

      hao ni makafiri mtume hakufundisha hivyo kama wewe unaona wako sahihi wafuate yeye ni bingwa kwa kukosoa wenzake jahil huyo​@@khamisswalehe

    • @maalimahmad5726
      @maalimahmad5726 3 месяца назад

      ​@@saidabdallah5448wewe ni kibaraka wake nakujua vyema hunipi tabu genge la kikatoliki mnakula vibudu

    • @sumaisabu9816
      @sumaisabu9816 3 месяца назад

      ​@@maalimahmad5726wanaosoma maulid wao ndo waislam ee