Mwenyezi mungu amhifadhi muhammadi bachu na kila jicho la husda amdumishe ktk daawa awatoe watu katika bidaa awaingize ktk suna kwa idhini ya mwenyezi mungu
Allahumma Ameen hawa wanapenda kumchukia sisi tunamuelewa kuliko nyinyi Muhammed Bachu mnamchukukia yote kwa sababu ya maulid mnayoyapenda na hili la Arafa toka enzi za baba yake anakuelimisheni lakini hamlitaki nyei masheikh wakaidi
ALLAH AMUHIFADHI MUHAMMAD BACHU NA NYOTE MNA KIRI KUA ALLAH KAMPA ELIMU NA ANACHOKISIMAMIA NI SAHIHI SASA PANAPO MADHAIFU YEYE NI BINAADAM ILA TUNAANGALIA ZAIDI LILE ANALO LITETEA .
@@abduladam9584hana jasho lakumtoa mtu ila mtume s a w alisema kutakuja watu wakijiona wana ilimu na watu wakiwaona wana ilimu kumbe hakuna lolote na warongo ndio wataonekana wakweli na wakweli wataonekana warongo
Maa Sha Alla. Kwenye hoja ya maneno yasiyopendeza ipo kweli kwa mhubiri huyo. Hata hivyo, suala kama hilo naomba liangaliwe kwa upana wake maana kwa siku hizi tunashuhudia mawaidha kama hayo kwa wahubiri wengi tu kwenye dini yetu. Inshaallah Mwenyezi Mungu atuwezeshe kufanya anayoyaridhia. Amin
MTUME WETU KIPENZI MUHAMMAD (Rahma na Amani ziwe juu yake) amesha tuambia kwamba MWISHONI MWA ULIMWENGU KUTAKUWA NA WANAZUONI WACHACHE LAKINI WAHUBIRI ( Waongeaji ) WATAKUWA WENGI. Pia katuhadharisha kwamba KUTAKUJA WANAZUONI WAOVU.
Unajuwa unaweza ukasoma lakini usipewe hekma na uwelewa wa kile ulicho kisoma kwaiyo Alie kua sawa anajulikana na asie kua sawa anajulikana kwaiyo kikubwa kuombeana Dua Sana ili nusra zipatikane
Na sheikh sharifu kasha sema mwenye kutegemea ilimu basi itampotosha na nwebye kutegemea pesa zita isha na mwenye kitegemea afya ita dhoofika ila mwente kutegemea MUNGU naye yupo hai
No sio kweli baba yake hakuwa km yeye kabisa ardhi na mbingu,shekh nasor alikua na hoja na mashiko,anatiririka na hoja km alivosema shekh hoja hadith na qur an tukufu,
@@mohammedmfamau43 mimi nahis wanatumiwa na wakristo baadhi ya waislam coz huwezi ona kuwa wakali mambo ya ushoga mabaa kuwekwa public huwezi ona kuwatetea masheikh walio wekwa jela huwezi ona kuwalingalia vijana na madaya ya kulevya au baadhi ya matukio km ya kukojolewa Quran na kama yule jamaa aliye mtukana mungu na kuna jamaa Alikuwa Answar sunna akajiita mtume n.k
@@mohammedmfamau43 Elewa nilichosema na maana yake,Mimi namanisha mtoto wa Nassor Bachu hua hakubali kukosolewa ila yeye kutwa kuwavaa wengine,Anaona makosa na mapungufu ya wenzie yeye hajawahi kubali au kukili aliwahi Fanya makosa kama alivyomkosoa Shekh Izudin Nae shekh Izudin akakubali na kusema alieleweka vibaya kinyume na yeye alivyokusudia.
Nyie mashekhe waserekali tuna wajua watu wanauliwa hasemi watu wanazini ovyo hamsemi wasenge wamejaa hamsemi ila mna kaa kilamtu anmsema mtoto wa bachu
Nyie masufi hamzidi ila ujinga mwingi na porojo. Fahamu mbovu kupita kiasi, mahala pa kumshika mtu hamuna, sasa mnatafuta makosa ya kulazimisha ndio nini sasa! Khalafu kwani huyo fatuma na mwajuma ndio hoja za Shekh Muhammad mpaka mutokwe na mishipa ya shingo kuzungumzia jambo hili?
Hapa ndipo walipo taka tufike wale walioleta mwenendo mpya ndani ya dini kwa kisingizio cha Sunna na kuleta fitina na fatuwa za ajabu hadi kufika kuwakosowa maswahaba, matabiina, Matabii tabiina kisha kuwa tukuza WANAZUONI wa Najidi ambao ni juzi tu wengine wamefariki juzi tu. Hivi kweli kuna mwanazuoni wa karne hii ya 21 anasimama na kujiona yeye bora na mwenye elimu kuliko IMAMU SHAFI ambaye kazaliwa mwaka wa 150 wa hijria yaani ndani ya karne bora ambazo mtume kasema ni karne 3 tu
Wewe mzee unalolitaka utalipata, yote hayo Hoja za kuthibitisha Kuwa kitabu cha Barzanji hakina uongo mmeshindwa kuthibitisha sasa ukijibiwa usiseme mtoto hana adabu
Bachu na wafuasi wake wote kwa ujumla hawana adabu na dini wala wanavyuoni....kuna wakati huyu bacho ni kumnyamazia tu ila ana khatar kubwa sana akikutana na allaah cjui atamjibu nini kwa huu uchafuz wa dini anaoendelea nao mitandaon,ameweka maslahi yake ya tumbo mbele kuliko dini!!
Kila mfahamu atajuwa kuwa katumia kwanjia ya mifano hakumaanisha wake zawatu Wala watoto wawatu au hayo majina niyawanao au wakezoww kwakoww nimajina ya wakezo kwa wengine nimajina ya wagombanishaji wa ndowa zawatu
@@salehpandu2250 sawa yy muhuni kwa maneno aloyatumia nihakki anyooshwe lakini mnatakiwa muwe na inswaf haji Upepo mbona hanatumia maneno ya kashfa huwaita wenzie mbuzi mjinga mwehu hamujamsikia mbona hamumnyooshi au kwavile Sufi Acha aseme atakavo madhali alisemalo nidhidi ya salafiy kuweni wadilifu ndososi yamjadalahuu
Hawa mawahabi dawa yao ni Nikash tu muandae muhadhara wa pande mbili ubarikiwe na Mamuft wetu najua haki ipo upand e flani sasa wakikutanishwa wote pamoja sisi hadhira tutajua ukweli ni upi
Toa hoja za kielimu usimkosoe mtu kwa udhaifu ya uzungumzaji wake sawa kufikisha kafikisha vibaya tunakubali je wewe hoja yako ya kielimu iko wapi inayoonesha kwamba arafa mbili mbona hujaweka
Khalafu wewe Faasiq haji upepo sindie ulie kua unawaambia watu kila siku kwamba Muhammad bachu nimpuuzi, mwendawazimu, mpumbavu mkubwa, na huyo shekhe wenu anathibitisha kua Shekh Muhammad yuko vizuri sana na anamfatilia, sasa tuwaelewe vipi nyie mapimbi?
Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah Lakini Achana na kujadili Mtu kwa Kumuashuria Mtu Fulani Sio vyema Kabisa wewe ni Baba Mlezi Hakuna sababu ya kufanya hivyo BACHU ni kijana Mdogo mno Asikufanye umjadili
@@kadoditsa3805 Naona juzi Bachu kawaramba hajawasaza. Allah amuhifadhi you've been feeding us a lot of innovations and heresy which the Prophet is against.
@@kadoditsa3805 Watu wamefunguka macho sasa, watu wengi hawajui tafsiri ya Barzanj, lakini juu ya kuwa maulid bidaa sasa twapata uongo na shirk ndani yake. Allah atuhifadhi.
hoja19 meshindwa kujibu alafu mnadadavua mambo mangine tu kwani niongo sasa arafa simoja tu duniani mbn unasimamsha mishipa sana huyo Fatima alie tajwa ni mke wako nn😂😂acheni majungu nyieeee
Ndo mana limfukuzwa zanzibar, kibri hilo kila sheikh ataka mkosoa yeye mtume katutahadharisha na washenzi km bachu, watia aibu ktk dini, halafu ajitangaza sheikh, sheikh shenzi tu hilo jambazi, panya buku hilo
BABAETU usiwafuate VIJANA. .HAO wamekuja na DINI mpya ndio mana WOTE WAZAMANI ilikua hawapatii chochot ILLA niwaotu. Na HAPA KUNA mukta muhim. Mana HAPO Sasa inabidi tufunge aashuuraa kuangalia mwezi misri sasa kwelikabisaaa. Mana ya arafa ni saudia. Ramadhani saudia .aashuraa ni misri.
huyo mtoto muhuni2 yeye analopoka maana kila analo liona au linalokuja katika kichwa chake analopoka nalo,watu watanga wanamsemo unao sema mgurwa gurwa koma macho kundu galicha!!!!
Mtoto kaufahamisha Uma ukweli unakwenda kumtupia lawama nakupotosha ukweli Kasema kweli Hakuna arafa baada yakuondoka mahujaji Katika vuwanja vaarafa Sasa wewe hangaika nakubabaisha ivo ndio ukweli ulivo arafa niile siku watu wanayo simama arafa ukitaka hivo ndivo ilivo usipotaka hivo ndivo ilivo endelea kuwapoteza wale ambao niwakupotea kila siku wafuasiwako
Ondosheni jazba kwenye kutangaza Dini ya Allah S. W. Wewe uliye muita mwenzio Jaahil kwenye clip yako fulani, na yeye hamna tofauti! Mnaendekeza jazba badlala ya kuelezea lile la kweli mlilo jaaliwa kulinua kutoka kwenye Qur'an na Hadith Sahih za Mtume S. A. W. Mnatuharibia maadili ya Uislam! Mbafanya tunachekwa na maadui wa Uislam! Wacheni hivyo, tafadhali. Elekezaneni kistaarabu ili nasi tupate la maana la kujifunza. Afadhali hata Sheikh Khamis amezungumza ya maana. Ambapo moja kwa moja amekemea jambo na tumemuelewa.
We mzee huna akali yani mada inazungumza vyengne na wewe unafafanua vyengine mwuwacheni kijana atangaze dini ya Allah nyie endeleeni kutafuta sifa kwa viongozi
Masha Allah kheir ujumbe mzuri sana kutoka kwa sheikh wangu KHAMIS. Allah amjaalie afya njema na umri mrefu
Mashallah Allah akupe ufahamu zaidi ili upate kuwaelimisha watu wasio kuwa na busara na hekma kwenye dini yetu
Mwenyezi mungu amhifadhi muhammadi bachu na kila jicho la husda amdumishe ktk daawa awatoe watu katika bidaa awaingize ktk suna kwa idhini ya mwenyezi mungu
Allahumma Ameen hawa wanapenda kumchukia sisi tunamuelewa kuliko nyinyi Muhammed Bachu mnamchukukia yote kwa sababu ya maulid mnayoyapenda na hili la Arafa toka enzi za baba yake anakuelimisheni lakini hamlitaki nyei masheikh wakaidi
😂😂😂😂😂😂😂
ALLAH AMUHIFADHI MUHAMMAD BACHU NA NYOTE MNA KIRI KUA ALLAH KAMPA ELIMU NA ANACHOKISIMAMIA NI SAHIHI SASA PANAPO MADHAIFU YEYE NI BINAADAM ILA TUNAANGALIA ZAIDI LILE ANALO LITETEA .
Ww mwnyew unamtafuta sana Sheikh Muhammad
Huyu mtoto bachu hana adabu hata chembe, mashaallah babake sheikh nassor bachu alikua msomi na mwenye ikhlaas kubwa katika dinj,
Ukikosa elimu huwezi kumuelewa kijana.atawatoa jasho 😂
@@abduladam9584hana jasho lakumtoa mtu ila mtume s a w alisema kutakuja watu wakijiona wana ilimu na watu wakiwaona wana ilimu kumbe hakuna lolote na warongo ndio wataonekana wakweli na wakweli wataonekana warongo
Maa Sha Alla. Kwenye hoja ya maneno yasiyopendeza ipo kweli kwa mhubiri huyo. Hata hivyo, suala kama hilo naomba liangaliwe kwa upana wake maana kwa siku hizi tunashuhudia mawaidha kama hayo kwa wahubiri wengi tu kwenye dini yetu. Inshaallah Mwenyezi Mungu atuwezeshe kufanya anayoyaridhia. Amin
Muhammad bachu yule sio sheikh ni mpuuzi tu kama walivyo wa puuzi wengine !
InshaAllah kila la kheri.
Allah awalipe mashekh wote walo na nia nzuri kw ulinganizi wao
Hiyoo ni majazy sheikh wangu.
Acha ujahili ndgu yng
Watanganyika na wala Mira wa mombasa wamemkubali hhh
Ahaaa mzeee haya mambo siyako Naona unababaika Tu hujajipanga hatakama kakosea ww Mzee hujajipanga
MTUME WETU KIPENZI MUHAMMAD (Rahma na Amani ziwe juu yake) amesha tuambia kwamba MWISHONI MWA ULIMWENGU KUTAKUWA NA WANAZUONI WACHACHE LAKINI WAHUBIRI ( Waongeaji ) WATAKUWA WENGI.
Pia katuhadharisha kwamba KUTAKUJA WANAZUONI WAOVU.
Unajuwa unaweza ukasoma lakini usipewe hekma na uwelewa wa kile ulicho kisoma kwaiyo Alie kua sawa anajulikana na asie kua sawa anajulikana kwaiyo kikubwa kuombeana Dua Sana ili nusra zipatikane
0:17
Tuone ilmu ya sheikh
MashaAllah! Maneno kuntu
Watu wakudhikiri !allah awaongoze
Kweli sheikh kashindwa kuvumilia kwa upuuzi wa Bachoo.
Huyo cio shekhe bachu ni mwanae usichanganye
We we mbona hujaenda inbox ume amua kupwa yuka tu.
Na sheikh sharifu kasha sema mwenye kutegemea ilimu basi itampotosha na nwebye kutegemea pesa zita isha na mwenye kitegemea afya ita dhoofika ila mwente kutegemea MUNGU naye yupo hai
Sheh wangu usisikitike MUHAMMAD bachu kakosa elimu ya kufikisha ila ni jazba tu
Wwe hunahikma unataka cheotu kilasiku umemshika shk Mohammad bachu huyu kijana atawatieni presha maana hamna hoja yakumjibu nimambo yakitoto kwako wwe haikutakiwa kutoa maneno humu ilikua umfate umfahamishe lkn wataka umaarufutuwwe hunahoja yakumjibu bachu wwe tunakujua msimamo wako wamwezi hata ukionekana pemba huukubali sasa hunahoja ila kusema bachu katukana walemavu aah hoja yakitoto Tena wanasari musimchukulie bachu kwa umriwake mdogo mchukulieni kwa elimuyake nandio inayowatia presha mukasema ovyo ovyo lkn kamaulivo mjibu humu nawwe utajibiwa kielimu humuhumu ndio ulitafutalo
Ile ni elimu au ni utovu wa adabu
Hana adabu huyo mtoto wa bachu
Nilivyo faham mm kwamba Muhammad sio hana elimu isipo kuwa kutowa Muhadhara ndo tunahitaji lugha nzuri.
Nikweli kijana anajikweza afuate nyayo za baba yake.
Apuuzwe tu
No sio kweli baba yake hakuwa km yeye kabisa ardhi na mbingu,shekh nasor alikua na hoja na mashiko,anatiririka na hoja km alivosema shekh hoja hadith na qur an tukufu,
@@mohammedmfamau43 mimi nahis wanatumiwa na wakristo baadhi ya waislam coz huwezi ona kuwa wakali mambo ya ushoga mabaa kuwekwa public huwezi ona kuwatetea masheikh walio wekwa jela huwezi ona kuwalingalia vijana na madaya ya kulevya au baadhi ya matukio km ya kukojolewa Quran na kama yule jamaa aliye mtukana mungu na kuna jamaa Alikuwa Answar sunna akajiita mtume n.k
@@MaldiniEl-Dugheish-fs9zh kabisa ndugu yangu.
@@mohammedmfamau43 Elewa nilichosema na maana yake,Mimi namanisha mtoto wa Nassor Bachu hua hakubali kukosolewa ila yeye kutwa kuwavaa wengine,Anaona makosa na mapungufu ya wenzie yeye hajawahi kubali au kukili aliwahi Fanya makosa kama alivyomkosoa Shekh Izudin Nae shekh Izudin akakubali na kusema alieleweka vibaya kinyume na yeye alivyokusudia.
Huyu anaongea kifiqhi nimependa sana
Nyie mashekhe waserekali tuna wajua watu wanauliwa hasemi watu wanazini ovyo hamsemi wasenge wamejaa hamsemi ila mna kaa kilamtu anmsema mtoto wa bachu
Fala tu huyo bachu Junior...
Mwehu huyo
Huyo kijana bacho sijui bako sielewi ilimu anayo ila ametegemea sana ilimu kuliko MUNGU na hekma zailimu
Muhamad bachu kapatia
achaneni na yule shekhe bachu anatafta kiki
hahahaaa. nimecheka vya kutosha
Usiwe na waswas shekhe kesho atachapwa kichapo tanga maisha yake hatosahau
Alafu nani kachapwa? 😂
Allaah Mtukufu anasema :
وجحدوا بها واستيقنتها أنفسهم ظلما وعلوا.........
Sh inaonesha una nia nzuri sana kwa huyu kijana lkn ulikuwa umwite inbox kama unavyotaka ww.
Mie Kila sik nasem huyo bacho nimharibifu2 Hana hikma hataaaa kidg
Nyie masufi hamzidi ila ujinga mwingi na porojo.
Fahamu mbovu kupita kiasi, mahala pa kumshika mtu hamuna, sasa mnatafuta makosa ya kulazimisha ndio nini sasa!
Khalafu kwani huyo fatuma na mwajuma ndio hoja za Shekh Muhammad mpaka mutokwe na mishipa ya shingo kuzungumzia jambo hili?
Hapa ndipo walipo taka tufike wale walioleta mwenendo mpya ndani ya dini kwa kisingizio cha Sunna na kuleta fitina na fatuwa za ajabu hadi kufika kuwakosowa maswahaba, matabiina, Matabii tabiina kisha kuwa tukuza WANAZUONI wa Najidi ambao ni juzi tu wengine wamefariki juzi tu.
Hivi kweli kuna mwanazuoni wa karne hii ya 21 anasimama na kujiona yeye bora na mwenye elimu kuliko IMAMU SHAFI ambaye kazaliwa mwaka wa 150 wa hijria yaani ndani ya karne bora ambazo mtume kasema ni karne 3 tu
Wewe mzee unalolitaka utalipata, yote hayo Hoja za kuthibitisha Kuwa kitabu cha Barzanji hakina uongo mmeshindwa kuthibitisha sasa ukijibiwa usiseme mtoto hana adabu
Bachu na wafuasi wake wote kwa ujumla hawana adabu na dini wala wanavyuoni....kuna wakati huyu bacho ni kumnyamazia tu ila ana khatar kubwa sana akikutana na allaah cjui atamjibu nini kwa huu uchafuz wa dini anaoendelea nao mitandaon,ameweka maslahi yake ya tumbo mbele kuliko dini!!
Sio bachu ni mwanae kuwa makin wee
@@kidesusaidimohamed8888 Kwan huyo bachu mwenyew alikuwa na adabu??
@@hutiswalehe2444 kumbe tena wew ndo huna elimu kiasi hicho basi kaa kimya tu alafu mche ALLAH kisawasawa cio unamsengenya mtu kusema hana adabu
@@hutiswalehe2444bachu kila siku yeye ni wakuwafitin waislamu
@@kidesusaidimohamed8888 wewe unayo ilim akhiy??
Kila mfahamu atajuwa kuwa katumia kwanjia ya mifano hakumaanisha wake zawatu Wala watoto wawatu au hayo majina niyawanao au wakezoww kwakoww nimajina ya wakezo kwa wengine nimajina ya wagombanishaji wa ndowa zawatu
Wewe mtumzimzima ila sisi tushafahamu unataka kumsha ila kwahilo utashindwa
Ustetee uhuni ni maneno ya kihuni aliyo yatumia
@@salehpandu2250 sawa yy muhuni kwa maneno aloyatumia nihakki anyooshwe lakini mnatakiwa muwe na inswaf haji Upepo mbona hanatumia maneno ya kashfa huwaita wenzie mbuzi mjinga mwehu hamujamsikia mbona hamumnyooshi au kwavile Sufi Acha aseme atakavo madhali alisemalo nidhidi ya salafiy kuweni wadilifu ndososi yamjadalahuu
@@ramadhanhajji naam
Majazi hayoooo.
Bado mkeli na haya bado, watu washa move on 😂
Dini bila adabu nisawa na zero
Ww mzee inaonekana hujui lugha ya kiswahili
Maneno yako inaonyesha una jazba sheykhe punguza kdgo kaka innamal islaama ikhwaana
Hawa mawahabi dawa yao ni Nikash tu muandae muhadhara wa pande mbili ubarikiwe na Mamuft wetu najua haki ipo upand e flani sasa wakikutanishwa wote pamoja sisi hadhira tutajua ukweli ni upi
Hoja 19 bado hazijajibiwa... mwataka kumuua huyu mzee maskini...😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni kupuuza tu... hii ngoma ikivuma saaana itapasuka tuuu....
Kaongea vizuri tu bachu ni nja ya kuongea tu kiswahili ni kikubwa fatuma ni jina tu hajakosa lolote kweli arafa ni moja ndio kusudio lake
We wamkosoa online mbele ya Ummah kisha wataka yeye akufwate kisiri 🤣🤣🤣
Bachu aliwataja wakina fatuma online pia
Toa hoja za kielimu usimkosoe mtu kwa udhaifu ya uzungumzaji wake sawa kufikisha kafikisha vibaya tunakubali je wewe hoja yako ya kielimu iko wapi inayoonesha kwamba arafa mbili mbona hujaweka
Mimi nahic nyinyi ndo mloishiwa hoja na kutaka kutumia shubha tu ili mumtie dowa shkh Mohamed bachu na nahic hampati ucngizi kwa hoja zake
Khalafu wewe Faasiq haji upepo sindie ulie kua unawaambia watu kila siku kwamba Muhammad bachu nimpuuzi, mwendawazimu, mpumbavu mkubwa, na huyo shekhe wenu anathibitisha kua Shekh Muhammad yuko vizuri sana na anamfatilia, sasa tuwaelewe vipi nyie mapimbi?
Sheokh acha kumhukm muislamu mwenzio wewe hujajitambuw utafaulu au utaangamia maana mnakaa chini yaserikali kukidogsh kitabu cha Allah
Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
Lakini Achana na kujadili Mtu kwa
Kumuashuria Mtu Fulani
Sio vyema Kabisa wewe ni Baba Mlezi
Hakuna sababu ya kufanya hivyo
BACHU ni kijana
Mdogo mno Asikufanye umjadili
Hawa wazee Bachu kawapiga na kitu kizito kinachofuata ni kumchafua tu 😂😂hawana hoja
Maulid ni bid'aa.
Wewe ndio bidaa3aa
@@kadoditsa3805 Naona juzi Bachu kawaramba hajawasaza. Allah amuhifadhi you've been feeding us a lot of innovations and heresy which the Prophet is against.
Hana Elimu ... Pupa tu...
@@kadoditsa3805 Watu wamefunguka macho sasa, watu wengi hawajui tafsiri ya Barzanj, lakini juu ya kuwa maulid bidaa sasa twapata uongo na shirk ndani yake. Allah atuhifadhi.
@@is-haqmf8513kawaramba kajirambabmitako yako tupu lake
hoja19 meshindwa kujibu alafu mnadadavua mambo mangine tu kwani niongo sasa arafa simoja tu duniani mbn unasimamsha mishipa sana huyo Fatima alie tajwa ni mke wako nn😂😂acheni majungu nyieeee
Mie munanikera hapotu mashekhe waunguja yapo mambo mengine siyaku pigiana kelele
Shekh sio kosa lakini mm nahisi ww nimtumzima na niustadhi ww usiwe nakibri ww vizuri umwite huyo nimtoto naamini hatokataa ukimwita kutoleana maneno mitandaoni siodini hiyo
Nani mwenye kibri
Ndo mana limfukuzwa zanzibar, kibri hilo
kila sheikh ataka mkosoa yeye
mtume katutahadharisha na washenzi km bachu, watia aibu ktk dini, halafu ajitangaza sheikh, sheikh shenzi tu hilo jambazi, panya buku hilo
ruclips.net/video/E1wCOsSA0p8/видео.html&ab_channel=FAUZPRODUCTION
This is the link the Sheikh Khamis was trying to show.
Wewe mbona haujaumfuata Inbox? Na kwani kutaja majina ya wanawake ndio kutaja wake za watu ,hahaha mashehe wa michongo bhana!!
hana adabu mohamed bachu
We unazo
Tulifate lipi ikiwa machekhe amutaki amukubariani?
Haji upepo huna Elimu wewe unalingania watuu katika kuabudia makaburii msufi mchafuu wewww na wenzako maghurafii
Huyu mzeee naona kuna kitu anakitafuta ila atakipata
Hebu kuwa na adabu na wewe
Binaadamu hukosea,kateleza,sote tunateleza,Kosa alilolifanya haliifuti haki aliyoielezea
BABAETU usiwafuate VIJANA. .HAO wamekuja na DINI mpya ndio mana WOTE WAZAMANI ilikua hawapatii chochot ILLA niwaotu. Na HAPA KUNA mukta muhim. Mana HAPO Sasa inabidi tufunge aashuuraa kuangalia mwezi misri sasa kwelikabisaaa. Mana ya arafa ni saudia. Ramadhani saudia .aashuraa ni misri.
Umekuwa huna mawaidha kazi kumuongelea Sheikh Muhammad wazee wa barzanj n majaz
Sasa na wewe siungemfuata inbox,wewe wataka kufuatwa inbox
Sheikh jibu hoja 19 za bachu acha rawama
Hoja Gani ujibiwe wakati mtume humfati
Sasa haji upepo acha kibri bidaaa mbaya hizo
Ni mke wa nan aliemtaja hapo hebu tuambie
Hawa wengine wanazeeka vibaya hajui ata anachokisema
Kuweni makini nyie mnaotoa matusi ktk coments zenu maana mtakwenda kufirisika siku ya qiyama!
Wanaona ni jimbo la kawaida sana kutukana masheikh ila lazima wajue kuwa lazima haya yatakuja kuulizwa
huyo mtoto muhuni2 yeye analopoka maana kila analo liona au linalokuja katika kichwa chake analopoka nalo,watu watanga wanamsemo unao sema mgurwa gurwa koma macho kundu galicha!!!!
Pumbavuu tuu
Na wewe huna hekma hata kidogo kama una hekma ulikua umfuate hivi huoni na wewe unamkashifu vp ndio dini hiyo
MZEE WETU UMEKOSA HOJA UNALETA KUMSEMA MTU HAPA TULETEEE HOJA ZAKIELMU HAPA SASA HAPA WATAKA TUAMINI UNACHOKISEMA KWAHURUMA
Badoshehe hujaeleza point unalakokumbe
Ni majazi lughawyah
Mzee usipate presha Bure yule kijana wasiwasi akili Hana ndo ukaona mufti kamfungia kazi sababu kamushtukia akili yake sio barabara
Kwani anaongea nin huyu mzee?
Husikii au kipofu au bubu
Sasa hapo shekh hii sio matusi mbona mfano mashekh wanatoa sana
Lakini sio kama huo ni upuuzi etii
Mwache mtt wa bachu!
Hadji upepo wewe mwenyewe huna adabu kama.huyo.mtoto wa bachu
Hivi wewe ndo muislam unakuj na matus kwa waislam wenzako
Hebu jikusanyeni nyote mukajibu hoja hata Moja katika zile 19 acheni upuuzi
Alietajwa ni mke wanani???? Hata wewe waongopa na mviizotee???
Jaribu kuelewa Acha kuropoka.. anakusudia majina hayo ni katika majina ya wanawake ambao kuna watu wameoa wanawake wenye majina hayo
Boyaaa kweli wewe
Huyu sheikh ameishiwa Cha kusema
Mtoto kaufahamisha Uma ukweli unakwenda kumtupia lawama nakupotosha ukweli Kasema kweli Hakuna arafa baada yakuondoka mahujaji Katika vuwanja vaarafa Sasa wewe hangaika nakubabaisha ivo ndio ukweli ulivo arafa niile siku watu wanayo simama arafa ukitaka hivo ndivo ilivo usipotaka hivo ndivo ilivo endelea kuwapoteza wale ambao niwakupotea kila siku wafuasiwako
shehe hawa watu wanaojifanya kila kitu bidaa nishida nakama huja soma utoto watakupeleka km wanavotaka wao
Hakuna arafaa mbili
Huna wewe
Mzee atafuta kiki utuuzimani hhhhhjhh lakin kijana kweli utamuweza na lugha zao ndo hizo kwasasa hhhhhhhh
Wasome seheni hao mawahabi watoto wabachu hamna kitu
Ondosheni jazba kwenye kutangaza Dini ya Allah S. W. Wewe uliye muita mwenzio Jaahil kwenye clip yako fulani, na yeye hamna tofauti!
Mnaendekeza jazba badlala ya kuelezea lile la kweli mlilo jaaliwa kulinua kutoka kwenye Qur'an na Hadith Sahih za Mtume S. A. W.
Mnatuharibia maadili ya Uislam! Mbafanya tunachekwa na maadui wa Uislam! Wacheni hivyo, tafadhali. Elekezaneni kistaarabu ili nasi tupate la maana la kujifunza.
Afadhali hata Sheikh Khamis amezungumza ya maana. Ambapo moja kwa moja amekemea jambo na tumemuelewa.
We mzee huna akali yani mada inazungumza vyengne na wewe unafafanua vyengine mwuwacheni kijana atangaze dini ya Allah nyie endeleeni kutafuta sifa kwa viongozi
Acha upumbavu wee kutukana masheikh
Mi namuomba huyu shekhe hii vidio yake Kisha aiangaliye kama haitamsutaaaaa yeye mwenyewe