HII NI HOJA AU MATUSI?? MUHAMMAD BACHU AULIZWA NA SH, KHAMIS ABDULHAMID??

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 145

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu 7 месяцев назад

    Masha Allah kheir ujumbe mzuri sana kutoka kwa sheikh wangu KHAMIS. Allah amjaalie afya njema na umri mrefu

  • @suleimanmalik8878
    @suleimanmalik8878 Год назад +6

    Mashallah Allah akupe ufahamu zaidi ili upate kuwaelimisha watu wasio kuwa na busara na hekma kwenye dini yetu

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 Год назад +3

    Mwenyezi mungu amhifadhi muhammadi bachu na kila jicho la husda amdumishe ktk daawa awatoe watu katika bidaa awaingize ktk suna kwa idhini ya mwenyezi mungu

    • @abdulwalidali4567
      @abdulwalidali4567 Год назад

      Allahumma Ameen hawa wanapenda kumchukia sisi tunamuelewa kuliko nyinyi Muhammed Bachu mnamchukukia yote kwa sababu ya maulid mnayoyapenda na hili la Arafa toka enzi za baba yake anakuelimisheni lakini hamlitaki nyei masheikh wakaidi

    • @omaryjumbe14v8
      @omaryjumbe14v8 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 2 месяца назад

    ALLAH AMUHIFADHI MUHAMMAD BACHU NA NYOTE MNA KIRI KUA ALLAH KAMPA ELIMU NA ANACHOKISIMAMIA NI SAHIHI SASA PANAPO MADHAIFU YEYE NI BINAADAM ILA TUNAANGALIA ZAIDI LILE ANALO LITETEA .

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Год назад +2

    Ww mwnyew unamtafuta sana Sheikh Muhammad

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Год назад +8

    Huyu mtoto bachu hana adabu hata chembe, mashaallah babake sheikh nassor bachu alikua msomi na mwenye ikhlaas kubwa katika dinj,

    • @abduladam9584
      @abduladam9584 Год назад

      Ukikosa elimu huwezi kumuelewa kijana.atawatoa jasho 😂

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Год назад

      ​@@abduladam9584hana jasho lakumtoa mtu ila mtume s a w alisema kutakuja watu wakijiona wana ilimu na watu wakiwaona wana ilimu kumbe hakuna lolote na warongo ndio wataonekana wakweli na wakweli wataonekana warongo

  • @mwadinihaji1277
    @mwadinihaji1277 Год назад +2

    Maa Sha Alla. Kwenye hoja ya maneno yasiyopendeza ipo kweli kwa mhubiri huyo. Hata hivyo, suala kama hilo naomba liangaliwe kwa upana wake maana kwa siku hizi tunashuhudia mawaidha kama hayo kwa wahubiri wengi tu kwenye dini yetu. Inshaallah Mwenyezi Mungu atuwezeshe kufanya anayoyaridhia. Amin

  • @ABUUALLY-b3t
    @ABUUALLY-b3t Год назад +2

    Muhammad bachu yule sio sheikh ni mpuuzi tu kama walivyo wa puuzi wengine !

  • @hamisibakarimwahundu4861
    @hamisibakarimwahundu4861 Год назад

    InshaAllah kila la kheri.

  • @salimhashimbabuya4438
    @salimhashimbabuya4438 Год назад +2

    Allah awalipe mashekh wote walo na nia nzuri kw ulinganizi wao

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Год назад +3

    Hiyoo ni majazy sheikh wangu.

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 6 месяцев назад

    Ahaaa mzeee haya mambo siyako Naona unababaika Tu hujajipanga hatakama kakosea ww Mzee hujajipanga

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Год назад +3

    MTUME WETU KIPENZI MUHAMMAD (Rahma na Amani ziwe juu yake) amesha tuambia kwamba MWISHONI MWA ULIMWENGU KUTAKUWA NA WANAZUONI WACHACHE LAKINI WAHUBIRI ( Waongeaji ) WATAKUWA WENGI.
    Pia katuhadharisha kwamba KUTAKUJA WANAZUONI WAOVU.

  • @sharifuteacher5025
    @sharifuteacher5025 Год назад +3

    Unajuwa unaweza ukasoma lakini usipewe hekma na uwelewa wa kile ulicho kisoma kwaiyo Alie kua sawa anajulikana na asie kua sawa anajulikana kwaiyo kikubwa kuombeana Dua Sana ili nusra zipatikane

  • @rachidmuhammad3356
    @rachidmuhammad3356 Год назад

    Tuone ilmu ya sheikh

  • @bahashachembea6922
    @bahashachembea6922 Год назад +1

    MashaAllah! Maneno kuntu

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Год назад +2

    Watu wakudhikiri !allah awaongoze

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад +2

    Kweli sheikh kashindwa kuvumilia kwa upuuzi wa Bachoo.

  • @omarmsomall3809
    @omarmsomall3809 Год назад +1

    We we mbona hujaenda inbox ume amua kupwa yuka tu.

  • @arkanodadirey
    @arkanodadirey Год назад

    Na sheikh sharifu kasha sema mwenye kutegemea ilimu basi itampotosha na nwebye kutegemea pesa zita isha na mwenye kitegemea afya ita dhoofika ila mwente kutegemea MUNGU naye yupo hai

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 Год назад +5

    Sheh wangu usisikitike MUHAMMAD bachu kakosa elimu ya kufikisha ila ni jazba tu

  • @shaibhemed4152
    @shaibhemed4152 Год назад +2

    Wwe hunahikma unataka cheotu kilasiku umemshika shk Mohammad bachu huyu kijana atawatieni presha maana hamna hoja yakumjibu nimambo yakitoto kwako wwe haikutakiwa kutoa maneno humu ilikua umfate umfahamishe lkn wataka umaarufutuwwe hunahoja yakumjibu bachu wwe tunakujua msimamo wako wamwezi hata ukionekana pemba huukubali sasa hunahoja ila kusema bachu katukana walemavu aah hoja yakitoto Tena wanasari musimchukulie bachu kwa umriwake mdogo mchukulieni kwa elimuyake nandio inayowatia presha mukasema ovyo ovyo lkn kamaulivo mjibu humu nawwe utajibiwa kielimu humuhumu ndio ulitafutalo

  • @JannatTahmid
    @JannatTahmid 7 месяцев назад

    Nilivyo faham mm kwamba Muhammad sio hana elimu isipo kuwa kutowa Muhadhara ndo tunahitaji lugha nzuri.

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 Год назад +5

    Nikweli kijana anajikweza afuate nyayo za baba yake.

    • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
      @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh Год назад

      Apuuzwe tu

    • @mohammedmfamau43
      @mohammedmfamau43 Год назад

      No sio kweli baba yake hakuwa km yeye kabisa ardhi na mbingu,shekh nasor alikua na hoja na mashiko,anatiririka na hoja km alivosema shekh hoja hadith na qur an tukufu,

    • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
      @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh Год назад

      @@mohammedmfamau43 mimi nahis wanatumiwa na wakristo baadhi ya waislam coz huwezi ona kuwa wakali mambo ya ushoga mabaa kuwekwa public huwezi ona kuwatetea masheikh walio wekwa jela huwezi ona kuwalingalia vijana na madaya ya kulevya au baadhi ya matukio km ya kukojolewa Quran na kama yule jamaa aliye mtukana mungu na kuna jamaa Alikuwa Answar sunna akajiita mtume n.k

    • @mohammedmfamau43
      @mohammedmfamau43 Год назад

      @@MaldiniEl-Dugheish-fs9zh kabisa ndugu yangu.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Год назад

      @@mohammedmfamau43 Elewa nilichosema na maana yake,Mimi namanisha mtoto wa Nassor Bachu hua hakubali kukosolewa ila yeye kutwa kuwavaa wengine,Anaona makosa na mapungufu ya wenzie yeye hajawahi kubali au kukili aliwahi Fanya makosa kama alivyomkosoa Shekh Izudin Nae shekh Izudin akakubali na kusema alieleweka vibaya kinyume na yeye alivyokusudia.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Год назад +3

    Huyu anaongea kifiqhi nimependa sana

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 Год назад +1

    Nyie mashekhe waserekali tuna wajua watu wanauliwa hasemi watu wanazini ovyo hamsemi wasenge wamejaa hamsemi ila mna kaa kilamtu anmsema mtoto wa bachu

  • @HamisiAli-uy3sg
    @HamisiAli-uy3sg Год назад

    Fala tu huyo bachu Junior...
    Mwehu huyo

  • @arkanodadirey
    @arkanodadirey Год назад

    Huyo kijana bacho sijui bako sielewi ilimu anayo ila ametegemea sana ilimu kuliko MUNGU na hekma zailimu

  • @fahadshebr
    @fahadshebr Год назад

    Muhamad bachu kapatia

  • @tawaqalmuniss2902
    @tawaqalmuniss2902 Год назад +5

    achaneni na yule shekhe bachu anatafta kiki

  • @hashimshariff2743
    @hashimshariff2743 Год назад +1

    Usiwe na waswas shekhe kesho atachapwa kichapo tanga maisha yake hatosahau

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад

    Allaah Mtukufu anasema :
    وجحدوا بها واستيقنتها أنفسهم ظلما وعلوا.........

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 Год назад +3

    Sh inaonesha una nia nzuri sana kwa huyu kijana lkn ulikuwa umwite inbox kama unavyotaka ww.

  • @Shabalala99275
    @Shabalala99275 Год назад +3

    Mie Kila sik nasem huyo bacho nimharibifu2 Hana hikma hataaaa kidg

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад +1

    Nyie masufi hamzidi ila ujinga mwingi na porojo.
    Fahamu mbovu kupita kiasi, mahala pa kumshika mtu hamuna, sasa mnatafuta makosa ya kulazimisha ndio nini sasa!
    Khalafu kwani huyo fatuma na mwajuma ndio hoja za Shekh Muhammad mpaka mutokwe na mishipa ya shingo kuzungumzia jambo hili?

    • @DR.SAIFILLAH.5363
      @DR.SAIFILLAH.5363 Год назад

      Hapa ndipo walipo taka tufike wale walioleta mwenendo mpya ndani ya dini kwa kisingizio cha Sunna na kuleta fitina na fatuwa za ajabu hadi kufika kuwakosowa maswahaba, matabiina, Matabii tabiina kisha kuwa tukuza WANAZUONI wa Najidi ambao ni juzi tu wengine wamefariki juzi tu.
      Hivi kweli kuna mwanazuoni wa karne hii ya 21 anasimama na kujiona yeye bora na mwenye elimu kuliko IMAMU SHAFI ambaye kazaliwa mwaka wa 150 wa hijria yaani ndani ya karne bora ambazo mtume kasema ni karne 3 tu

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Год назад

    Wewe mzee unalolitaka utalipata, yote hayo Hoja za kuthibitisha Kuwa kitabu cha Barzanji hakina uongo mmeshindwa kuthibitisha sasa ukijibiwa usiseme mtoto hana adabu

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад +2

    Bachu na wafuasi wake wote kwa ujumla hawana adabu na dini wala wanavyuoni....kuna wakati huyu bacho ni kumnyamazia tu ila ana khatar kubwa sana akikutana na allaah cjui atamjibu nini kwa huu uchafuz wa dini anaoendelea nao mitandaon,ameweka maslahi yake ya tumbo mbele kuliko dini!!

    • @kidesusaidimohamed8888
      @kidesusaidimohamed8888 Год назад

      Sio bachu ni mwanae kuwa makin wee

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Год назад

      @@kidesusaidimohamed8888 Kwan huyo bachu mwenyew alikuwa na adabu??

    • @kidesusaidimohamed8888
      @kidesusaidimohamed8888 Год назад

      @@hutiswalehe2444 kumbe tena wew ndo huna elimu kiasi hicho basi kaa kimya tu alafu mche ALLAH kisawasawa cio unamsengenya mtu kusema hana adabu

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 Год назад

      ​@@hutiswalehe2444bachu kila siku yeye ni wakuwafitin waislamu

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Год назад

      @@kidesusaidimohamed8888 wewe unayo ilim akhiy??

  • @ramadhanhajji
    @ramadhanhajji Год назад +2

    Kila mfahamu atajuwa kuwa katumia kwanjia ya mifano hakumaanisha wake zawatu Wala watoto wawatu au hayo majina niyawanao au wakezoww kwakoww nimajina ya wakezo kwa wengine nimajina ya wagombanishaji wa ndowa zawatu

    • @mwalimshekha-kn3hp
      @mwalimshekha-kn3hp Год назад

      Wewe mtumzimzima ila sisi tushafahamu unataka kumsha ila kwahilo utashindwa

    • @salehpandu2250
      @salehpandu2250 Год назад

      Ustetee uhuni ni maneno ya kihuni aliyo yatumia

    • @ramadhanhajji
      @ramadhanhajji Год назад +1

      @@salehpandu2250 sawa yy muhuni kwa maneno aloyatumia nihakki anyooshwe lakini mnatakiwa muwe na inswaf haji Upepo mbona hanatumia maneno ya kashfa huwaita wenzie mbuzi mjinga mwehu hamujamsikia mbona hamumnyooshi au kwavile Sufi Acha aseme atakavo madhali alisemalo nidhidi ya salafiy kuweni wadilifu ndososi yamjadalahuu

    • @almarwazyahaythamy4905
      @almarwazyahaythamy4905 Год назад

      @@ramadhanhajji naam

    • @RamadhanimaulidMokola
      @RamadhanimaulidMokola Год назад

      Majazi hayoooo.

  • @eastzooadmin6416
    @eastzooadmin6416 Год назад +2

    Bado mkeli na haya bado, watu washa move on 😂

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +2

    Dini bila adabu nisawa na zero

  • @HassanAli-f6j8y
    @HassanAli-f6j8y Год назад +1

    Ww mzee inaonekana hujui lugha ya kiswahili

    • @salumjidawi1590
      @salumjidawi1590 Год назад

      Maneno yako inaonyesha una jazba sheykhe punguza kdgo kaka innamal islaama ikhwaana

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 Год назад +2

    Hawa mawahabi dawa yao ni Nikash tu muandae muhadhara wa pande mbili ubarikiwe na Mamuft wetu najua haki ipo upand e flani sasa wakikutanishwa wote pamoja sisi hadhira tutajua ukweli ni upi

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      Hoja 19 bado hazijajibiwa... mwataka kumuua huyu mzee maskini...😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Год назад

    Ni kupuuza tu... hii ngoma ikivuma saaana itapasuka tuuu....

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Год назад

    Kaongea vizuri tu bachu ni nja ya kuongea tu kiswahili ni kikubwa fatuma ni jina tu hajakosa lolote kweli arafa ni moja ndio kusudio lake

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni Год назад +1

    We wamkosoa online mbele ya Ummah kisha wataka yeye akufwate kisiri 🤣🤣🤣

    • @AbdlhamidSeif
      @AbdlhamidSeif Год назад

      Bachu aliwataja wakina fatuma online pia

  • @mohammedalaraby0073
    @mohammedalaraby0073 Год назад

    Toa hoja za kielimu usimkosoe mtu kwa udhaifu ya uzungumzaji wake sawa kufikisha kafikisha vibaya tunakubali je wewe hoja yako ya kielimu iko wapi inayoonesha kwamba arafa mbili mbona hujaweka

  • @rashidkhalid5645
    @rashidkhalid5645 Год назад +1

    Mimi nahic nyinyi ndo mloishiwa hoja na kutaka kutumia shubha tu ili mumtie dowa shkh Mohamed bachu na nahic hampati ucngizi kwa hoja zake

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад +1

    Khalafu wewe Faasiq haji upepo sindie ulie kua unawaambia watu kila siku kwamba Muhammad bachu nimpuuzi, mwendawazimu, mpumbavu mkubwa, na huyo shekhe wenu anathibitisha kua Shekh Muhammad yuko vizuri sana na anamfatilia, sasa tuwaelewe vipi nyie mapimbi?

  • @AlisaidSalim-ln7wl
    @AlisaidSalim-ln7wl Год назад

    Sheokh acha kumhukm muislamu mwenzio wewe hujajitambuw utafaulu au utaangamia maana mnakaa chini yaserikali kukidogsh kitabu cha Allah

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад +1

    Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
    Lakini Achana na kujadili Mtu kwa
    Kumuashuria Mtu Fulani
    Sio vyema Kabisa wewe ni Baba Mlezi
    Hakuna sababu ya kufanya hivyo
    BACHU ni kijana
    Mdogo mno Asikufanye umjadili

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Год назад

      Hawa wazee Bachu kawapiga na kitu kizito kinachofuata ni kumchafua tu 😂😂hawana hoja

  • @is-haqmf8513
    @is-haqmf8513 Год назад +2

    Maulid ni bid'aa.

    • @kadoditsa3805
      @kadoditsa3805 Год назад

      Wewe ndio bidaa3aa

    • @is-haqmf8513
      @is-haqmf8513 Год назад

      @@kadoditsa3805 Naona juzi Bachu kawaramba hajawasaza. Allah amuhifadhi you've been feeding us a lot of innovations and heresy which the Prophet is against.

    • @kadoditsa3805
      @kadoditsa3805 Год назад

      Hana Elimu ... Pupa tu...

    • @is-haqmf8513
      @is-haqmf8513 Год назад

      @@kadoditsa3805 Watu wamefunguka macho sasa, watu wengi hawajui tafsiri ya Barzanj, lakini juu ya kuwa maulid bidaa sasa twapata uongo na shirk ndani yake. Allah atuhifadhi.

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Год назад

      ​@@is-haqmf8513kawaramba kajirambabmitako yako tupu lake

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Год назад

    hoja19 meshindwa kujibu alafu mnadadavua mambo mangine tu kwani niongo sasa arafa simoja tu duniani mbn unasimamsha mishipa sana huyo Fatima alie tajwa ni mke wako nn😂😂acheni majungu nyieeee

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 Год назад

    Mie munanikera hapotu mashekhe waunguja yapo mambo mengine siyaku pigiana kelele

  • @OmarMohammedOmarMohammed-h9u
    @OmarMohammedOmarMohammed-h9u Год назад +1

    Shekh sio kosa lakini mm nahisi ww nimtumzima na niustadhi ww usiwe nakibri ww vizuri umwite huyo nimtoto naamini hatokataa ukimwita kutoleana maneno mitandaoni siodini hiyo

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Год назад

    Ndo mana limfukuzwa zanzibar, kibri hilo
    kila sheikh ataka mkosoa yeye
    mtume katutahadharisha na washenzi km bachu, watia aibu ktk dini, halafu ajitangaza sheikh, sheikh shenzi tu hilo jambazi, panya buku hilo

  • @challengepcn7982
    @challengepcn7982 Год назад

    ruclips.net/video/E1wCOsSA0p8/видео.html&ab_channel=FAUZPRODUCTION
    This is the link the Sheikh Khamis was trying to show.

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Год назад

    Wewe mbona haujaumfuata Inbox? Na kwani kutaja majina ya wanawake ndio kutaja wake za watu ,hahaha mashehe wa michongo bhana!!

  • @zafarmohamed9413
    @zafarmohamed9413 Год назад +1

    hana adabu mohamed bachu

  • @auazenafusse134
    @auazenafusse134 Год назад

    Tulifate lipi ikiwa machekhe amutaki amukubariani?

  • @abdallajuma0587
    @abdallajuma0587 Год назад

    Haji upepo huna Elimu wewe unalingania watuu katika kuabudia makaburii msufi mchafuu wewww na wenzako maghurafii

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Год назад +2

    Huyu mzeee naona kuna kitu anakitafuta ila atakipata

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Год назад +1

    Binaadamu hukosea,kateleza,sote tunateleza,Kosa alilolifanya haliifuti haki aliyoielezea

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Год назад +2

    BABAETU usiwafuate VIJANA. .HAO wamekuja na DINI mpya ndio mana WOTE WAZAMANI ilikua hawapatii chochot ILLA niwaotu. Na HAPA KUNA mukta muhim. Mana HAPO Sasa inabidi tufunge aashuuraa kuangalia mwezi misri sasa kwelikabisaaa. Mana ya arafa ni saudia. Ramadhani saudia .aashuraa ni misri.

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Год назад

    Umekuwa huna mawaidha kazi kumuongelea Sheikh Muhammad wazee wa barzanj n majaz

  • @mgazamhina840
    @mgazamhina840 Год назад +3

    Sasa na wewe siungemfuata inbox,wewe wataka kufuatwa inbox

  • @rachidmuhammad3356
    @rachidmuhammad3356 Год назад

    Sheikh jibu hoja 19 za bachu acha rawama

  • @abdallajuma0587
    @abdallajuma0587 Год назад

    Sasa haji upepo acha kibri bidaaa mbaya hizo

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Год назад +2

    Ni mke wa nan aliemtaja hapo hebu tuambie

  • @Sunnah1212
    @Sunnah1212 Год назад

    Hawa wengine wanazeeka vibaya hajui ata anachokisema

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 Год назад

    Kuweni makini nyie mnaotoa matusi ktk coments zenu maana mtakwenda kufirisika siku ya qiyama!

    • @salehothman6144
      @salehothman6144 Год назад

      Wanaona ni jimbo la kawaida sana kutukana masheikh ila lazima wajue kuwa lazima haya yatakuja kuulizwa

  • @hamisikiyungi8540
    @hamisikiyungi8540 Год назад +1

    huyo mtoto muhuni2 yeye analopoka maana kila analo liona au linalokuja katika kichwa chake analopoka nalo,watu watanga wanamsemo unao sema mgurwa gurwa koma macho kundu galicha!!!!

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 8 месяцев назад

    Pumbavuu tuu

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Год назад

    Na wewe huna hekma hata kidogo kama una hekma ulikua umfuate hivi huoni na wewe unamkashifu vp ndio dini hiyo

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Год назад +1

    MZEE WETU UMEKOSA HOJA UNALETA KUMSEMA MTU HAPA TULETEEE HOJA ZAKIELMU HAPA SASA HAPA WATAKA TUAMINI UNACHOKISEMA KWAHURUMA

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 Год назад

    Badoshehe hujaeleza point unalakokumbe

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Год назад

    Ni majazi lughawyah

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 Год назад

    Mzee usipate presha Bure yule kijana wasiwasi akili Hana ndo ukaona mufti kamfungia kazi sababu kamushtukia akili yake sio barabara

  • @masoudtalib4734
    @masoudtalib4734 Год назад

    Kwani anaongea nin huyu mzee?

  • @JumaOmar-lj9yh
    @JumaOmar-lj9yh Год назад +2

    Sasa hapo shekh hii sio matusi mbona mfano mashekh wanatoa sana

  • @SaniaNana-hn6dp
    @SaniaNana-hn6dp Год назад +1

    Mwache mtt wa bachu!

  • @AmirbigirimanaBardazard
    @AmirbigirimanaBardazard Год назад

    Hadji upepo wewe mwenyewe huna adabu kama.huyo.mtoto wa bachu

  • @Sunnah1212
    @Sunnah1212 Год назад

    Hebu jikusanyeni nyote mukajibu hoja hata Moja katika zile 19 acheni upuuzi

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Год назад +1

    Alietajwa ni mke wanani???? Hata wewe waongopa na mviizotee???

    • @ajmalkiango4715
      @ajmalkiango4715 Год назад

      Jaribu kuelewa Acha kuropoka.. anakusudia majina hayo ni katika majina ya wanawake ambao kuna watu wameoa wanawake wenye majina hayo

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Год назад

      Boyaaa kweli wewe

  • @mtemi
    @mtemi Год назад +1

    Huyu sheikh ameishiwa Cha kusema

  • @SalehHajiOmar
    @SalehHajiOmar Год назад

    Mtoto kaufahamisha Uma ukweli unakwenda kumtupia lawama nakupotosha ukweli Kasema kweli Hakuna arafa baada yakuondoka mahujaji Katika vuwanja vaarafa Sasa wewe hangaika nakubabaisha ivo ndio ukweli ulivo arafa niile siku watu wanayo simama arafa ukitaka hivo ndivo ilivo usipotaka hivo ndivo ilivo endelea kuwapoteza wale ambao niwakupotea kila siku wafuasiwako

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Год назад

    shehe hawa watu wanaojifanya kila kitu bidaa nishida nakama huja soma utoto watakupeleka km wanavotaka wao

  • @mustayoo
    @mustayoo Год назад

    Hakuna arafaa mbili

  • @mwalimshekha-kn3hp
    @mwalimshekha-kn3hp Год назад +1

    Huna wewe

  • @saidnassor5655
    @saidnassor5655 Год назад

    Mzee atafuta kiki utuuzimani hhhhhjhh lakin kijana kweli utamuweza na lugha zao ndo hizo kwasasa hhhhhhhh

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 Год назад

    Wasome seheni hao mawahabi watoto wabachu hamna kitu

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад +4

    Ondosheni jazba kwenye kutangaza Dini ya Allah S. W. Wewe uliye muita mwenzio Jaahil kwenye clip yako fulani, na yeye hamna tofauti!
    Mnaendekeza jazba badlala ya kuelezea lile la kweli mlilo jaaliwa kulinua kutoka kwenye Qur'an na Hadith Sahih za Mtume S. A. W.
    Mnatuharibia maadili ya Uislam! Mbafanya tunachekwa na maadui wa Uislam! Wacheni hivyo, tafadhali. Elekezaneni kistaarabu ili nasi tupate la maana la kujifunza.
    Afadhali hata Sheikh Khamis amezungumza ya maana. Ambapo moja kwa moja amekemea jambo na tumemuelewa.

  • @hamzashaha7039
    @hamzashaha7039 Год назад +1

    We mzee huna akali yani mada inazungumza vyengne na wewe unafafanua vyengine mwuwacheni kijana atangaze dini ya Allah nyie endeleeni kutafuta sifa kwa viongozi

  • @aboumuqbil2529
    @aboumuqbil2529 Год назад

    Mi namuomba huyu shekhe hii vidio yake Kisha aiangaliye kama haitamsutaaaaa yeye mwenyewe