Je Dua Ni Nini Sio Qurani Maana Dua Nyingi Ziko Ndani Ya Qurani Karim RABII GHUFRILL WALIWALUDAYA YAUMA YAKUMULHISAB JE HII SIO AYA KTK QURANI KARIM????
Ni kweli hujakosea lakini ww mwenyewe jiangalie unapotaka kusoma Quran unaanzaje na unapotaka kuomba dua unaanzaje? hapo utaona tofauti kati ya dua na qurani
Quran si dua elewa, ni muongozo ndani yake kuna kuonya na kubashiri habari njema. Ila kuna aya tunafundishwa jinsi ya kuomba au zinaelezea watu wema walivyokuwa wakiomba na ndio maana hizo tunapoomba dua huwa hatuanzi mwanzo kwasababu tukianza mwanzo kama ilivyo kwenye Quran itakuwa sio dua bali umesoma aya za Quran.
Shekh Kwa Nilivyo Soma Mimi Ndani Ya Swala Suratul Fatiha Ni Dua Tupu Na Ambwae Ni Allah Na Usipo Isoma Bila Bismillah Inakuwa Swala Yako Batwill Na Pia Ktk Swala Ya Allah Usome Dua Ambayo Ni Aya Ktk Qurani Au Dua Mutawatwil vinginevyo Swala Pia Batwill Kama Dua Zinanamna Zimefindishwa Ktk Qurani Ya Allah Kama Ibada Muhimu Ktk Kujikurubisha Mja Mola Wake Vipi Itaingia Kwenye Uharamu Ktk Kufanya Hiyo Ibada Kwa Ajili Yako Au Mzazi Wako Au Mja Yoyote Hilo Moja Pili Qurani Tukufu Ya Allah Ndio Muongozo Wetu Pamoja Na Hadithi Za Mtume Swallah Alayhi Wasalam Ikifuaywia Na Matendo Ya Maswahaba pamoja Na Usulfikhhi Za Maimamu Na Wana Zuwoni HEBU PITIA VITABU SHEKHE MOHAMED KWANZA UWONE NINI WAMEANDIKA MAULAMAA WALIOPITA SIO HAWA WA SASA JUU YA MASWALA YA KIELIMU KTK DINI HALAFU NDIO UTOE FATWA VINGINEVYO UTPOTOSHA WATU WAACHE KUFANYA IBADA ZA ALLAH SABABU NI WEWE Usiwaige Answari Utapotea Na Utapoteza Watu ELIMU YA DINI YA ALLAH NIKUBWA NA PANA SANA TUSOME SANA VITABU NA KUKANYUMA YA WANA WAZUWONI WALIO TUTANGULIA NA KUPATA ELIMU YA ZIADA KUTOKA KWAO ALLAH KARIM NDIO MJUZI WA YOTE ASALAM ALEYKU
Hebu Jiulize Kidogo Ktk Fikra Za Kibinadamu Ktk Hizo Amali Tatu Alizo Sema Mtume Swallah Alayhi Wasalam Moja Ni Mtoto Mwema Kuwaombea Mghfira Wazazi Wake JE ATWAOMBEA VIPI NA IKIWA WEWE WASEMA QURANI HAIFAI KUOMBEWA MTU ALIOKUFA MAANA ( RABII GHUFRILL WALIWALIDAYA WALIMUMININA YAMUU KUMULL HISABU HII NIMOJA KTK SASA HILI WALIWEKAJE NAZIKO AYA NYINGI AMBAZO NI DUA KTK QURANI PIA HAZIFAI KUOBWA ????
Acha chuki zako we kama hutaki hakkibunataka kufata uzushi fata si tunamfata mtume wwtu ninyi munaochukia chukieni hakki ndo hiyo alichofanya mtume tutafanya alichokataza tutaacha sasa unaifanyia ukaidi dini ya mungu ww utukaidi sisi unamkadi mtume ndugu sisi kufikisha tuuh
Msikilize vizuri huyo shekh. Huyo sheikh si katika Answar Sunna ila ameongea kwa dalili na huo ndio usahihi. Mtume saw ndio kigezo chetu (role model) katika kila ibada, sasa tukuulize wewe, mbona mtume saw alifiwa na watu wake wengi wakiwemo wanawe lakini hakufanya huo uzushi? Mtume saw amefundisha kila kitu.
Sikuzote Allah akimuacha kupotea mtu huwezi muongoza ww kaka watu washapotezwa na mababu zao na mshehe wao wanaona kumsomea mayt kuruani ile ndo dinni kwenye madrasa zao toka watoto wanafundishwa hizo bidaa na wanazifanya kwahiyo vigumu kuwaongoza watu kama Hawa mpk Allah atake yeye ye alishasema mwenye kumpiga pande mtume aliyakuwa kashabainikiwa na wongofu tutampelekea alikoelekea
@@mzeeHarubu HUYO NI IBADHI KOKO MWENYE MARUPU RUPU YA KIWAHABIA 😂. IBADHI WENYE ELIMU NA KUJIELEWA TUNASOMA VYOTE HIVYO. NA TUNAAMINI KHERI ZAWAFIKIA WAZEE WETU NA WENGINE. IBADHI KOKO NA AHLUSUNNA KOKO UTAWAJUA KWA KUJIBU SUALI KWA KUTUMIA RAI NA DHANNA NA SHAHAWA ZAO NA UTAONA MAJIBU YAO NI YENYE KUJIGONGA GONGA TU
Sikuzote Allah umuongoa amtakae watu mtu umezaliwa umekuta mababu zako wanafanya hizo bidaa na wanafundisha misikitini toka mkiwa watoto nani akueleze kitu umuelewe akimuacha kupotea Allah huwezi muongoza hata mtume aliambiwa hilo ww unakuwa unakuta wazee wako wanasoma kuruani makaburini wanasomea mayt arafu aje mtu akupe dalili za wazi kuwa mtume kakataza huwezi muelewa sabu mababu wako ndo walidumu kwenye bidaa hiyo utamuelewaje mtu na allah anasema katika kuruani wale wanaompiga pande mtume ali ya kuwa uwongofu umewababinikia tutawaelekeza watakako wao
@@user-yj5on8cz3e WEWE KWA KUWA BABU YAKO ALIKUWA KAFIRI BASI HAIFAI KUMFUATA. SISI MABABU ZETU WALIKUWA MASWAHABA NA WACHAMUNGU NA MAWALII WA ALLAH SW HAPO HAPO DUA ZAO HUJIBIWA BASI HATUWAACHI MABABU HAO. WEWE ULIITOA DINI WAPI KAMA MABABU ZETU HAWAKUKUFUNZWA MWANAKHARAMU WEWE MTOTO WA KHARAMU USIO JUA BABAAKO KATIKA DINI NA BABU ZAKO?😂. UKIKATAA MABABU ZAKO WALIOLETA DINI BASI WEWE HUWA MTOTO WA KHARAMU UMECHUPIA TU DINI 😂. TUMEWAKUTA MABABU ZETU WANA DINI NA WEWE UKAACHA UKAENDA KUTAFUTA DINI KWA WANA KHARAMU. KAMA WEWE SIO MWANA KHARAMU KATIKA DINI , LETE BASI SANAD YAKO MPAKA KWA MTUME SAW?!!!
@@ishakaJuma-q2w kumtolea sadwaka zazi inafaa mfano ukajitolea kuchimba kisima au kuingiza Bomba ukakusidia watu wachote bure kwaajili ya mzazi alokutangulia apate thawabu hiyo imethibiti akhy lakini, au kuchinja mnyama ukagawa ile nyama kwa jamaa na marafiki hiyo pia yafaa lakini so akumsomea quruani Hilo ndo batwil bidaa
SHEIKH SAMAHANI. HADITHI DHAIFU YA KUSOMEA QURAN IPO SAWA. LAKINI NI DHAIFU. JEE WEWE UNAYO HADITHI SAHIHI YA KUKATAZA MAITY KUSOMEWA QURAN AU UMETUMIA SHAHAWA ZAKO KUPINGA?!
@@medimisi6930 MTUME SAW AMESEMA " HALALI IMEBAINISHWA NA KHARAMU IMEBAINISHWA" IPO hadithi dhaifu imebanisha HALALI uhalali WA kusomewa maity quran. SASA wewe lete hadithi sahihi au japo dhaifu useme Ni KHARAMU kusomewa maity. wewe mlalamikaji Lete dalili ya kudhulumiwa kwako.
@@issaabdallah1205 MTUME SAW AMESEMA, HAKI IMEBAINISHWA NA BATWILI IMEBAINISHWA. sasa sisi tunafata kwa kuwa tunaamini ni HAQI, Sasa wewe unaepinga utuonyeshe kama hii ni BATWILI IMEBAINISHWA wapi?!
Ahsante sheikh tukisema sie tunaambiwa mawabi ahsante sheikh
Wallahi nikweli tumuombe allah atupe mwisho mwema
Mmmmmh Yale Yale Sasa yamsaidia nini
Maiti asiombewe kwani nahisi si rahisi kuepuka kusoma Quran.Mara zote husikia" Fatihar", na hapo husomwa surat Alhamdu na kufuata dua.
Je Dua Ni Nini Sio Qurani Maana Dua Nyingi Ziko Ndani Ya Qurani Karim RABII GHUFRILL WALIWALUDAYA YAUMA YAKUMULHISAB JE HII SIO AYA KTK QURANI KARIM????
Ni kweli hujakosea lakini ww mwenyewe jiangalie unapotaka kusoma Quran unaanzaje na unapotaka kuomba dua unaanzaje? hapo utaona tofauti kati ya dua na qurani
Quran si dua elewa, ni muongozo ndani yake kuna kuonya na kubashiri habari njema.
Ila kuna aya tunafundishwa jinsi ya kuomba au zinaelezea watu wema walivyokuwa wakiomba na ndio maana hizo tunapoomba dua huwa hatuanzi mwanzo kwasababu tukianza mwanzo kama ilivyo kwenye Quran itakuwa sio dua bali umesoma aya za Quran.
@@mohdkhatib223quran ni duwa kubwa sana kwa mfano soma suratul fatiha au kama alivyosema mtume kuwa quran ni tiba
Shekh Kwa Nilivyo Soma Mimi Ndani Ya Swala Suratul Fatiha Ni Dua Tupu Na Ambwae Ni Allah Na Usipo Isoma Bila Bismillah Inakuwa Swala Yako Batwill Na Pia Ktk Swala Ya Allah Usome Dua Ambayo Ni Aya Ktk Qurani Au Dua Mutawatwil vinginevyo Swala Pia Batwill Kama Dua Zinanamna Zimefindishwa Ktk Qurani Ya Allah Kama Ibada Muhimu Ktk Kujikurubisha Mja Mola Wake Vipi Itaingia Kwenye Uharamu Ktk Kufanya Hiyo Ibada Kwa Ajili Yako Au Mzazi Wako Au Mja Yoyote Hilo Moja Pili Qurani Tukufu Ya Allah Ndio Muongozo Wetu Pamoja Na Hadithi Za Mtume Swallah Alayhi Wasalam Ikifuaywia Na Matendo Ya Maswahaba pamoja Na Usulfikhhi Za Maimamu Na Wana Zuwoni HEBU PITIA VITABU SHEKHE MOHAMED KWANZA UWONE NINI WAMEANDIKA MAULAMAA WALIOPITA SIO HAWA WA SASA JUU YA MASWALA YA KIELIMU KTK DINI HALAFU NDIO UTOE FATWA VINGINEVYO UTPOTOSHA WATU WAACHE KUFANYA IBADA ZA ALLAH SABABU NI WEWE Usiwaige Answari Utapotea Na Utapoteza Watu ELIMU YA DINI YA ALLAH NIKUBWA NA PANA SANA TUSOME SANA VITABU NA KUKANYUMA YA WANA WAZUWONI WALIO TUTANGULIA NA KUPATA ELIMU YA ZIADA KUTOKA KWAO ALLAH KARIM NDIO MJUZI WA YOTE ASALAM ALEYKU
Hebu Jiulize Kidogo Ktk Fikra Za Kibinadamu Ktk Hizo Amali Tatu Alizo Sema Mtume Swallah Alayhi Wasalam Moja Ni Mtoto Mwema Kuwaombea Mghfira Wazazi Wake JE ATWAOMBEA VIPI NA IKIWA WEWE WASEMA QURANI HAIFAI KUOMBEWA MTU ALIOKUFA MAANA ( RABII GHUFRILL WALIWALIDAYA WALIMUMININA YAMUU KUMULL HISABU HII NIMOJA KTK SASA HILI WALIWEKAJE NAZIKO AYA NYINGI AMBAZO NI DUA KTK QURANI PIA HAZIFAI KUOBWA ????
Huyu anababaisha.
Kwa nini unaenda kumhijia au kumfungia?
Acha kudanganya watu.. masahaba wamekufa na mtume hakuwakusanya watu na kuwaambia leo tukasomee kurani hitima wala lalkini juu yakaburi katu hakuna dalili
Mukizuwa ndo mwatafuta dalili mwaibandika
@@issaabdallah1205 na BATWILI imebainishwa pia KWA HOJA, kama huna hoja utabakia kununa sisi twaendelea
Jambohili uhitaji kusoma kur Ani no ubainishi wakilakitu yukovizuri sheikh
SHEIKH AMEELEZA UKWELI MTUPU JUU YA KAULI YENYE NGUVU JUU YA HILO ILA WATU WA BIDAA WANAANGALIA MASLAHI YAO TU MAANA HIZO NI AJIRA ZA WATU😂
Haya ndiyo mawazo ya Ma-Answar Sunna. Hata kumtolea swadaka marehemu mzazi wako kwao ni bid-aaa. Inna Lillahi wa Inna Illayhi Raajiiuun
Acha chuki zako we kama hutaki hakkibunataka kufata uzushi fata si tunamfata mtume wwtu ninyi munaochukia chukieni hakki ndo hiyo alichofanya mtume tutafanya alichokataza tutaacha sasa unaifanyia ukaidi dini ya mungu ww utukaidi sisi unamkadi mtume ndugu sisi kufikisha tuuh
Msikilize vizuri huyo shekh. Huyo sheikh si katika Answar Sunna ila ameongea kwa dalili na huo ndio usahihi.
Mtume saw ndio kigezo chetu (role model) katika kila ibada, sasa tukuulize wewe, mbona mtume saw alifiwa na watu wake wengi wakiwemo wanawe lakini hakufanya huo uzushi?
Mtume saw amefundisha kila kitu.
Sikuzote Allah akimuacha kupotea mtu huwezi muongoza ww kaka watu washapotezwa na mababu zao na mshehe wao wanaona kumsomea mayt kuruani ile ndo dinni kwenye madrasa zao toka watoto wanafundishwa hizo bidaa na wanazifanya kwahiyo vigumu kuwaongoza watu kama Hawa mpk Allah atake yeye ye alishasema mwenye kumpiga pande mtume aliyakuwa kashabainikiwa na wongofu tutampelekea alikoelekea
Hayo ni yako ww kwa sbb huelewi kitu yeye hajazungumza kutoa swadaka
@@user-yj5on8cz3eacha ufinyu wa elimu hadithi zipo nyingi tu za kusomea maiti quran thawabu zinamfikia
Ni majibu ya kimadhehebu ama
Kumbe unajuwa kuwa hakuna Ittifaaq juu ya hilo jambo kwa Maulamaa mbona usiweke wazi tu unawafanya Maulamaa walio na rai tofauti yako kuwa wapotofu tu
Tafuta shuhuli ufanye yaani watoa hukmu ya video yako ya dakika nne katika jambo ambalo wanazuoni wameliandikia vitabu vikubwa.
Quran nayo ni dua
Toa dalili kama inasihi kumsolea Quran maiti usipotoshe watu ibadhi we
Hhh mzee wangu umesoma kitabu gani ambacho kimekataza kumsomea maiti qurani .
kumbukà kuwa kuhusu hili jambo wanazuon wametofautiana tafadhali nenda kasome
na mtu kuwa ibadhi haimaanishi kuwa sio muislamu sote ni waislamu acha kupiga nderemo
@@mzeeHarubu HUYO NI IBADHI KOKO MWENYE MARUPU RUPU YA KIWAHABIA 😂. IBADHI WENYE ELIMU NA KUJIELEWA TUNASOMA VYOTE HIVYO. NA TUNAAMINI KHERI ZAWAFIKIA WAZEE WETU NA WENGINE. IBADHI KOKO NA AHLUSUNNA KOKO UTAWAJUA KWA KUJIBU SUALI KWA KUTUMIA RAI NA DHANNA NA SHAHAWA ZAO NA UTAONA MAJIBU YAO NI YENYE KUJIGONGA GONGA TU
Ziko rai za ulamaa lakini hii ndo twaona SISI ni thabit. Kwan nyinyi ni nani mpaka mukiona nyinyi ndo haki
Sikuzote Allah umuongoa amtakae watu mtu umezaliwa umekuta mababu zako wanafanya hizo bidaa na wanafundisha misikitini toka mkiwa watoto nani akueleze kitu umuelewe akimuacha kupotea Allah huwezi muongoza hata mtume aliambiwa hilo ww unakuwa unakuta wazee wako wanasoma kuruani makaburini wanasomea mayt arafu aje mtu akupe dalili za wazi kuwa mtume kakataza huwezi muelewa sabu mababu wako ndo walidumu kwenye bidaa hiyo utamuelewaje mtu na allah anasema katika kuruani wale wanaompiga pande mtume ali ya kuwa uwongofu umewababinikia tutawaelekeza watakako wao
@@user-yj5on8cz3e WEWE KWA KUWA BABU YAKO ALIKUWA KAFIRI BASI HAIFAI KUMFUATA. SISI MABABU ZETU WALIKUWA MASWAHABA NA WACHAMUNGU NA MAWALII WA ALLAH SW HAPO HAPO DUA ZAO HUJIBIWA BASI HATUWAACHI MABABU HAO. WEWE ULIITOA DINI WAPI KAMA MABABU ZETU HAWAKUKUFUNZWA MWANAKHARAMU WEWE MTOTO WA KHARAMU USIO JUA BABAAKO KATIKA DINI NA BABU ZAKO?😂. UKIKATAA MABABU ZAKO WALIOLETA DINI BASI WEWE HUWA MTOTO WA KHARAMU UMECHUPIA TU DINI 😂. TUMEWAKUTA MABABU ZETU WANA DINI NA WEWE UKAACHA UKAENDA KUTAFUTA DINI KWA WANA KHARAMU. KAMA WEWE SIO MWANA KHARAMU KATIKA DINI , LETE BASI SANAD YAKO MPAKA KWA MTUME SAW?!!!
Dini ni dalili hatuangalii rai za Maulana rai za Maulana zikienda kinyume na quran na sunna hatuwezi kufuata
Sisi tutafuata kitabu na sunna
Mimi nauliza je kumtolea swadaka mzazi wako alie tangulia pia haifai
@@ishakaJuma-q2w KWA mujibu ya majibu ya huyu asiojua jambo, basi halikuwepo jambo hilo. LAKINI kisheria ya DINI kheri zafaa
yafaa kaka tna sna
@@ishakaJuma-q2w kumtolea sadwaka zazi inafaa mfano ukajitolea kuchimba kisima au kuingiza Bomba ukakusidia watu wachote bure kwaajili ya mzazi alokutangulia apate thawabu hiyo imethibiti akhy lakini, au kuchinja mnyama ukagawa ile nyama kwa jamaa na marafiki hiyo pia yafaa lakini so akumsomea quruani Hilo ndo batwil bidaa
Inafaa na imethibiti kwenye hadithi, kafungue kitabu "Riyadh swalihin"
@@Alburtukal Hio Hadith inasema vipi?
SHEIKH SAMAHANI. HADITHI DHAIFU YA KUSOMEA QURAN IPO SAWA. LAKINI NI DHAIFU. JEE WEWE UNAYO HADITHI SAHIHI YA KUKATAZA MAITY KUSOMEWA QURAN AU UMETUMIA SHAHAWA ZAKO KUPINGA?!
mtume amesema ushuhuda ni wa yule anaeidai . nyinyi ndo mutoe hadithi ya kuthibiti juu ya kusoma kur an.
@@medimisi6930 MTUME SAW AMESEMA " HALALI IMEBAINISHWA NA KHARAMU IMEBAINISHWA" IPO hadithi dhaifu imebanisha HALALI uhalali WA kusomewa maity quran. SASA wewe lete hadithi sahihi au japo dhaifu useme Ni KHARAMU kusomewa maity. wewe mlalamikaji Lete dalili ya kudhulumiwa kwako.
Anaesema inafaa ndo atoe ushahidi
@@medimisi6930 wapi Mtume kasema HAYO maneno MUONGO wewe?.
@@issaabdallah1205 MTUME SAW AMESEMA, HAKI IMEBAINISHWA NA BATWILI IMEBAINISHWA. sasa sisi tunafata kwa kuwa tunaamini ni HAQI, Sasa wewe unaepinga utuonyeshe kama hii ni BATWILI IMEBAINISHWA wapi?!
Sasa hizo rai za maulamaa ukizifuata ni dhambi?
@@hamisisalimu6908 KWA mujibu ya hawa wajinga. Unafkiri WAO NDIO maswahaba 😂😂😂