Na pia wanavo sema ujauzito ulo kamiliza siku zaidi ya mia ba kitu sikumbuki uzuri anakua kisha patiwa roho nahisi ndomana inaku sawa akitolewa tumboni
Mm sina elimu juu ya hilo ila kuna wakati dini inaendana na mazingira Mimi naungana na hao kumtoa mtoto asilimia 100 bila shaka upande huu wapo sahihi haswa kwa wakati huu kuna vifaa kama fetal stethoscope ( hupima mapigo ya moyo ya mtoto) doppler machine Zina kupa uhakika kabisa kua mtoto ya hai , inakuwaje leo umuache? Wakati tayar kashapuliziwa roho na viungo vyake vishakamilika? Pia kuna watoto wanazaliwa wakiwa hawajatimiza muda tena kwa operesheni) ingekua hatudili nao basi kungekua hakuna haja KIUMBE hata kikiwa tumboni kikiwa tayari kisha puliziwa roho na haswa kikiwa full ( mifupa 270) millions of nerves, tissues ) If you kill it, you kill human being even in the womb( tumboni) Pleaae secure its life immediately
Allah bless you our sheik
Asante sana kwa hii elimu❤
Subhunallah
Allah atunusulu na vivyo vya mma wajawazito
Ammina
Nimeona mtoto atolewe tumboni akiwa hai au amekufa, Subhanallah
Dada yangu kazikwa hivo hivo na mtoto wake 😭😭😭😭wote walifariki
Mama kama kafa mtoto yuhai tumzike mama na mtoto yuhai haiwezeka kumzika lazmu tuiokoe kile kiumbe kilohai
Ivi mm nauliza kwani mama mjamzito akifariki jee mtoto wake anabaki hai akiwa bado yupo tumboni au hawatumii pumzi moja
Na pia wanavo sema ujauzito ulo kamiliza siku zaidi ya mia ba kitu sikumbuki uzuri anakua kisha patiwa roho nahisi ndomana inaku sawa akitolewa tumboni
Mm sina elimu juu ya hilo ila kuna wakati dini inaendana na mazingira
Mimi naungana na hao kumtoa mtoto asilimia 100 bila shaka upande huu wapo sahihi haswa kwa wakati huu kuna vifaa kama fetal stethoscope ( hupima mapigo ya moyo ya mtoto) doppler machine
Zina kupa uhakika kabisa kua mtoto ya hai , inakuwaje leo umuache? Wakati tayar kashapuliziwa roho na viungo vyake vishakamilika? Pia kuna watoto wanazaliwa wakiwa hawajatimiza muda tena kwa operesheni) ingekua hatudili nao basi kungekua hakuna haja
KIUMBE hata kikiwa tumboni kikiwa tayari kisha puliziwa roho na haswa kikiwa full ( mifupa 270) millions of nerves, tissues )
If you kill it, you kill human being even in the womb( tumboni)
Pleaae secure its life immediately
Mashaallah
Shehe mtu akifariki hali ya kua ana miezi tisa kujifungua je?
Subhunallah