Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
    Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Baraza La Waislam U.S.A
    Instagram @Baraza La Waislam U.S.A
    RUclips @Baraza La Waislam U.S.A
    TikTok Baraza La Waislam U.S.A

Комментарии • 109

  • @jumaazainabu-vn1wc
    @jumaazainabu-vn1wc Год назад +16

    Shehe Mimi kijana wako Nina kuelewa tena unanijenga kimaadil mungu akupe maisha malefu na mwisho mwema

  • @BitatuMtei
    @BitatuMtei 26 дней назад

    Amina shekh allah akuzidishie

  • @TherezaLimbe
    @TherezaLimbe Месяц назад +1

    Mashaalah jazaakalah kher shekh

  • @Àbel-u5n
    @Àbel-u5n 23 дня назад

    Mashallah shekh Allah akulipe❤

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 года назад +14

    Jazzaka Allah kheri, Tabaraka Allah kheri, Darsa muhimu sana kwa wakati tulionao. Namuomba mungu akukinge na kila la Shari .Tuendelee kunufaika Amina inshaallah.

  • @JosephineRwezaura
    @JosephineRwezaura Месяц назад

    Shehe nimekuelewa uko vizuri sana

  • @khadijaomar6708
    @khadijaomar6708 Год назад +3

    Jazakallah sheikh Allah akupe umri uzidi kutuelmisha inshallah🙏

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 2 года назад +5

    Mashaallah Sheikh! Allah akujaze khery kwa darsa zuri, kweli kina mama tunachupa mipaka sana, allah atuepushe yaarab, atujaalie tufuate maamrisho yake

  • @MishMohaa-eh8pi
    @MishMohaa-eh8pi Год назад +7

    Allah akujaze kila kheri amiin.

  • @abdallahally2241
    @abdallahally2241 3 месяца назад

    Jazakallahu shekhe,Allah akupe mwisho mwema

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 Год назад +4

    Allah akujaze kila lakheri , akuzidishie umri. Kweli Kabisa umma unaanza kubadilika kwa Kasi kubwa Sana Kufuata tabia za kitwaghuti.

  • @Ledjo-kk1kk
    @Ledjo-kk1kk 7 месяцев назад

    Djazakallah khairan

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Год назад +2

    Jazaak llah khair zidisha kutupa ukumbusho umma umefikia pabaya waislam mawaidha tuyashike

  • @MustaphaamirWazir-co8xq
    @MustaphaamirWazir-co8xq Год назад +3

    Allah akulipe kher nauliza je inafaa kufanya hakika baada ya siku saba

  • @rahmahussein3452
    @rahmahussein3452 10 дней назад

    Mtihani

  • @shadidahaji-l7k
    @shadidahaji-l7k 4 месяца назад

    Ahsa allah akulipe mema inshaalaah

  • @maftahramadhani2382
    @maftahramadhani2382 Год назад

    Alhamdulillah shukran Maalim rusaganya

  • @AnchaAlide
    @AnchaAlide 3 месяца назад

    Mungu akusaidie sana nakukubali

  • @mayasakagendo669
    @mayasakagendo669 8 месяцев назад

    Allah akujaze Kila la kheri

  • @mingwenyomingwenyo
    @mingwenyomingwenyo Год назад +2

    Mashallah!!!!

  • @HamidaBintiahmedi
    @HamidaBintiahmedi 14 дней назад

    Jamani asalamualeykum warahhmatulah wabarakatuh mtoto akifikisha miyaka ine nahajafanyiwa hakika itakuwaje?

  • @mwajumamunezero4055
    @mwajumamunezero4055 Год назад +2

    Asante umetufumbuwa maana basidai zinatupeleka papaya

  • @nyirabazigasifa
    @nyirabazigasifa 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉 Asante 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😢😢 zzz

  • @KatemeWest
    @KatemeWest Год назад

    Mashaallah

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Год назад

    Inshaallah uishi myaka mingi ili tuendelee kukufaidi kwa darasa nzuri

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад +2

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

    • @anifasekumbo9273
      @anifasekumbo9273 27 дней назад +1

      rudia kumsikiliza utaelewa si kasema akishafikia baleghe basi tena

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 Год назад

    Wew baba wanikumbusha shekh gorogosi

  • @zfc2186
    @zfc2186 Год назад

    MashaAllah

  • @frankhaule
    @frankhaule Год назад +2

    Allhamdu lillah

  • @umarusiraji1796
    @umarusiraji1796 Год назад +2

    SubhaLLAH

  • @MaryamNassor-l7y
    @MaryamNassor-l7y 6 месяцев назад

    Amin

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Kwel mohamad ni jina zur

  • @HusseinIddy-eh7hd
    @HusseinIddy-eh7hd Год назад

    Wee kauka na mm 😃😃

  • @hosnabintmariam3287
    @hosnabintmariam3287 Год назад +1

    Naaam
    Sakhikh sheikh

    • @gilliansiara3324
      @gilliansiara3324 Год назад

      Nimekuelewa sana sana yapo tunayofanya hajalishi wewe ni kundi gani ukweli kwa jamii ni huo tubadilike

    • @janethibrahim6917
      @janethibrahim6917 Год назад

      Mungu akufanyie wepes

  • @sharifrajab1166
    @sharifrajab1166 Год назад

    Jazakallahu khayr.

    • @ghaniyehaji
      @ghaniyehaji Год назад

      Mashaallah asnt kw kituzingua

    • @ghaniyehaji
      @ghaniyehaji Год назад

      Naomb kukuuliz mm nna watoto wa2 wa kike na kiume wakike nimemwita narmin wa kiume nimemwita Naiymaar nimeambiw maanayk mwenye nguvu wakike nimeambiw maana yk maua lkn naomb ufafanuz wa jina hili mn naambiw

    • @ghaniyehaji
      @ghaniyehaji Год назад

      Katkat lina moto naaomb unifafanulie km halifai nimbadilishe

  • @BitatuMtei
    @BitatuMtei 26 дней назад

    Hujasema kia baada ya kumalizana na nyele jee zinahifadhiwa wapi

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @taqiyyuhashim4069
    @taqiyyuhashim4069 Год назад

    Jazzakum Allah
    Allah akupeumri mrefu wenye manufaa ktk Dunia Yako na akhera
    Je, ikiwa nimejaliwa kupata kondoo inafaa nimchinjia mwanaume ? Na anatakiwa kondoo wa aina Gani?

    • @ashunmohd9182
      @ashunmohd9182 9 месяцев назад

      Yes anafaa.. Awe kondoo dume

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Год назад

    Baada nywele zinaenda ifaziwa wapi?

  • @yasminmarka-mz4qc
    @yasminmarka-mz4qc Год назад +2

    Urongo mtupu
    Wapi Mtume S. A. W Ali adhania watotowake

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 Год назад +1

      Ulete ukweli wako ndugu.

    • @NurdinTwangeni
      @NurdinTwangeni 7 месяцев назад +1

      Ww unakichwa kibaya utadhurika achana na izotabia za jazba za kuiga

    • @LeilaWilfred-zc7gn
      @LeilaWilfred-zc7gn 6 месяцев назад

      Ndio maana mnakuwa. Mashoga' hamsikilizi mawaidha ya mashekh wetu.

    • @abdallahally2241
      @abdallahally2241 3 месяца назад

      Huna ulijualo ww

  • @shabanisalimu-j3y
    @shabanisalimu-j3y 11 месяцев назад

    Ok

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 7 месяцев назад

    Na arobaini ile inamaana gn?

  • @yasmeeenmusajuma6531
    @yasmeeenmusajuma6531 Год назад +1

    Kama hunauwezo

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 6 месяцев назад

    Waambie Wakikuelewa Wakuelewe Wasipokuelewa A Hana Nao Lakini U Kweli Uwape Shukraan Shekh

  • @AliRahma-tw7cz
    @AliRahma-tw7cz Год назад

    Nmeakiza Hadi mwisho ela mm nliota utupu wa mume wangu ambae xx nmarehemu na sikuina aibu nipe jawabu na mm hapa

  • @kingmansa523
    @kingmansa523 3 месяца назад

    Subuhanallah bado nimekuwa sijaelekuwa kuwa na wewe unamambo ya uzushi katka dini kabisa hebu tueleze kwa daili kabisa hiyo adhana inatolewa mtoto kwenye maskiyo imesumuliwa na mtume wetu kweli?

  • @Leila-ee9lo
    @Leila-ee9lo 3 месяца назад

    Je kama mtoto hakuadhiniwa siku amezaliwa inaswii kuadhiniwa siku ya 6.....

  • @MaijaRashid
    @MaijaRashid 6 месяцев назад

    Sheikh nina swali....kisha izo nywele nazitupa ama nazizika?

  • @asyahaji9268
    @asyahaji9268 Год назад

    Shekh hata mama aliyejifungua ana nifac anaweza kumuadhinia mtoto wake?

    • @benabdoul8762
      @benabdoul8762 Год назад

      Ata coran unasoma ila usiguse mashafu

  • @shadidahaji-l7k
    @shadidahaji-l7k 4 месяца назад

    Je Kama hajafanyiwa alipokuwa mchanga, akiwa mkubwa haifai tena kufanyiwa?

  • @Hassani-p7o
    @Hassani-p7o Год назад

    Sheeh samaan nilazima kuyafanya yote

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 Год назад +1

    Kwa mfano muislam yuko nchii ambaye akuna uislam, inafaa kwagiza nyumbani kwawo vitengenezwe vyote?
    Yani kqma ulaya kupata mbuzi ni vigumu sana kwaiyo inakuwaje? Naomba mesada wako sheh.

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Nywele unapeleka kwa sonara zinapimwa za gramu yake mtoto akisema kiasi ndo kile kiasi cha pesa unapeleka msikitini

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ata mama mdogo alikuwa anaogopa tende

  • @siti3197
    @siti3197 Год назад +1

    Shekh mm ninaswal hikiwa. Mtoto wako ni mdogo n Haun uwezo wa kumfanyia hakika. N yule MTT hlikakua n miaka 9 n hpo unauwezo wakuchinj watk kumfanyia hakika SS yawezekana kweli

    • @ashunmohd9182
      @ashunmohd9182 9 месяцев назад +1

      Ndio inawezekana.. Hata mtu ukiwa na miaka 30 kama hujafanya hakika unatakiwa ufanye

    • @anifasekumbo9273
      @anifasekumbo9273 27 дней назад

      ndugu inaelekea una kichwa kigumu kwani hukumsikia akisema ikishafikia baleghe basi tena

  • @ArafaSuleiman-v4d
    @ArafaSuleiman-v4d 2 месяца назад

    Arafa kutoka znZ je nikamsomea maulid mtt n haram

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Ustadh nauliza ikiwa mtu hanauwez hat wa mbuz m1 anatakiw kufany nin!!!!!

    • @ashunmohd9182
      @ashunmohd9182 9 месяцев назад

      Akipata afanye lkn hakika ni lazima

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Akika si ni siku ya arobain akitoka ndo uwa wanachinja mbuzi

  • @bekakasambala7108
    @bekakasambala7108 Год назад

    Sheikh nauliza ..vip ukimpa mtoto jina la kurithi...imma la Babu yake au shangazi ,mjomba, bibi na n.k ..hiyo inaswihi katika dini yetu ya kiislamu?

  • @hemedyusuf8835
    @hemedyusuf8835 Год назад

    Sheikh nywele Sasa zifanywe vp nizi tupe ama nizike

  • @NiceNaftali-re7pd
    @NiceNaftali-re7pd Год назад

    Sasa hilo sitambiko

    • @abuumrisho204
      @abuumrisho204 10 месяцев назад +2

      Ndio ni Tambiko la kisheria la sheria yetu ya kiislam, Tambiko la Allah. Na ww kama una matambiko yako ya Kimzimu mzimu nenda kafanye. Sisi ni Laailahailallah ndio njia yetu and we are proud for that

    • @fauzishabani2622
      @fauzishabani2622 6 месяцев назад +2

      hiyo ndiyo mila ya Ibrahim

    • @LeilaWilfred-zc7gn
      @LeilaWilfred-zc7gn 6 месяцев назад

      Usifuate uzae mashoga na wasagajii

  • @dktabdurahim3896
    @dktabdurahim3896 2 года назад +1

    nakuunga mkono

    • @jamilamuhammedtanzanian8129
      @jamilamuhammedtanzanian8129 Год назад

      Mafano aujamfanyia ivo akiwa mdogo unaweza mfanyia tena akuwa na miaka 7

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 Год назад

      ​@@jamilamuhammedtanzanian8129 mwisho wa kumfanyia mtoto hakika n pindi anapoingia katika balehe ndio mwisho lakin kabla hajaingia balehe yawekana

  • @rxjoy4493
    @rxjoy4493 Год назад

    ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html kwanini unaishi duniani

  • @TatuJulius-ls9ex
    @TatuJulius-ls9ex Год назад

    Mbowanasema.hadisiku40

    • @danielotto4197
      @danielotto4197 Год назад

      zikipita hizo siku 7 unatakiwa kufanyaje shiekh?

  • @Àbel-u5n
    @Àbel-u5n 23 дня назад

    Mashallah shekh Allah akulipe❤

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @RAHMABAKAR-u5x
    @RAHMABAKAR-u5x 11 месяцев назад

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48