Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Baraza La Waislam U.S.A
Instagram @Baraza La Waislam U.S.A
RUclips @Baraza La Waislam U.S.A
TikTok Baraza La Waislam U.S.A
Shehe Mimi kijana wako Nina kuelewa tena unanijenga kimaadil mungu akupe maisha malefu na mwisho mwema
Amina shekh allah akuzidishie
Mashaalah jazaakalah kher shekh
Mashallah shekh Allah akulipe❤
Jazzaka Allah kheri, Tabaraka Allah kheri, Darsa muhimu sana kwa wakati tulionao. Namuomba mungu akukinge na kila la Shari .Tuendelee kunufaika Amina inshaallah.
Jazzaka Allah Kheri, Allah Akbar!
Shehe nimekuelewa uko vizuri sana
Jazakallah sheikh Allah akupe umri uzidi kutuelmisha inshallah🙏
Mashaallah Sheikh! Allah akujaze khery kwa darsa zuri, kweli kina mama tunachupa mipaka sana, allah atuepushe yaarab, atujaalie tufuate maamrisho yake
Allah akujaze kila kheri amiin.
Jazakallahu shekhe,Allah akupe mwisho mwema
Allah akujaze kila lakheri , akuzidishie umri. Kweli Kabisa umma unaanza kubadilika kwa Kasi kubwa Sana Kufuata tabia za kitwaghuti.
Jazaqallah khailla
Djazakallah khairan
Jazaak llah khair zidisha kutupa ukumbusho umma umefikia pabaya waislam mawaidha tuyashike
Inshaallah ALlahumma Ameen
Allah akulipe kher nauliza je inafaa kufanya hakika baada ya siku saba
Mtihani
Ahsa allah akulipe mema inshaalaah
Alhamdulillah shukran Maalim rusaganya
Mungu akusaidie sana nakukubali
Allah akujaze Kila la kheri
Mashallah!!!!
Mashallah
Jamani asalamualeykum warahhmatulah wabarakatuh mtoto akifikisha miyaka ine nahajafanyiwa hakika itakuwaje?
Asante umetufumbuwa maana basidai zinatupeleka papaya
🎉🎉🎉🎉 Asante 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😢😢 zzz
Mashaallah
Inshaallah uishi myaka mingi ili tuendelee kukufaidi kwa darasa nzuri
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
rudia kumsikiliza utaelewa si kasema akishafikia baleghe basi tena
Wew baba wanikumbusha shekh gorogosi
MashaAllah
Allhamdu lillah
SubhaLLAH
Amin
Kwel mohamad ni jina zur
Wee kauka na mm 😃😃
Naaam
Sakhikh sheikh
Nimekuelewa sana sana yapo tunayofanya hajalishi wewe ni kundi gani ukweli kwa jamii ni huo tubadilike
Mungu akufanyie wepes
Jazakallahu khayr.
Mashaallah asnt kw kituzingua
Naomb kukuuliz mm nna watoto wa2 wa kike na kiume wakike nimemwita narmin wa kiume nimemwita Naiymaar nimeambiw maanayk mwenye nguvu wakike nimeambiw maana yk maua lkn naomb ufafanuz wa jina hili mn naambiw
Katkat lina moto naaomb unifafanulie km halifai nimbadilishe
Hujasema kia baada ya kumalizana na nyele jee zinahifadhiwa wapi
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jazzakum Allah
Allah akupeumri mrefu wenye manufaa ktk Dunia Yako na akhera
Je, ikiwa nimejaliwa kupata kondoo inafaa nimchinjia mwanaume ? Na anatakiwa kondoo wa aina Gani?
Yes anafaa.. Awe kondoo dume
Baada nywele zinaenda ifaziwa wapi?
Urongo mtupu
Wapi Mtume S. A. W Ali adhania watotowake
Ulete ukweli wako ndugu.
Ww unakichwa kibaya utadhurika achana na izotabia za jazba za kuiga
Ndio maana mnakuwa. Mashoga' hamsikilizi mawaidha ya mashekh wetu.
Huna ulijualo ww
Ok
Na arobaini ile inamaana gn?
Kama hunauwezo
Waambie Wakikuelewa Wakuelewe Wasipokuelewa A Hana Nao Lakini U Kweli Uwape Shukraan Shekh
Nmeakiza Hadi mwisho ela mm nliota utupu wa mume wangu ambae xx nmarehemu na sikuina aibu nipe jawabu na mm hapa
Subuhanallah bado nimekuwa sijaelekuwa kuwa na wewe unamambo ya uzushi katka dini kabisa hebu tueleze kwa daili kabisa hiyo adhana inatolewa mtoto kwenye maskiyo imesumuliwa na mtume wetu kweli?
Hiv we king ni mwislam kweli?
@@aishasalim6834 kbs
Je kama mtoto hakuadhiniwa siku amezaliwa inaswii kuadhiniwa siku ya 6.....
Sheikh nina swali....kisha izo nywele nazitupa ama nazizika?
Shekh hata mama aliyejifungua ana nifac anaweza kumuadhinia mtoto wake?
Ata coran unasoma ila usiguse mashafu
Je Kama hajafanyiwa alipokuwa mchanga, akiwa mkubwa haifai tena kufanyiwa?
Sheeh samaan nilazima kuyafanya yote
Kwa mfano muislam yuko nchii ambaye akuna uislam, inafaa kwagiza nyumbani kwawo vitengenezwe vyote?
Yani kqma ulaya kupata mbuzi ni vigumu sana kwaiyo inakuwaje? Naomba mesada wako sheh.
Nywele unapeleka kwa sonara zinapimwa za gramu yake mtoto akisema kiasi ndo kile kiasi cha pesa unapeleka msikitini
Ata mama mdogo alikuwa anaogopa tende
Shekh mm ninaswal hikiwa. Mtoto wako ni mdogo n Haun uwezo wa kumfanyia hakika. N yule MTT hlikakua n miaka 9 n hpo unauwezo wakuchinj watk kumfanyia hakika SS yawezekana kweli
Ndio inawezekana.. Hata mtu ukiwa na miaka 30 kama hujafanya hakika unatakiwa ufanye
ndugu inaelekea una kichwa kigumu kwani hukumsikia akisema ikishafikia baleghe basi tena
Arafa kutoka znZ je nikamsomea maulid mtt n haram
Ustadh nauliza ikiwa mtu hanauwez hat wa mbuz m1 anatakiw kufany nin!!!!!
Akipata afanye lkn hakika ni lazima
Akika si ni siku ya arobain akitoka ndo uwa wanachinja mbuzi
Sheikh nauliza ..vip ukimpa mtoto jina la kurithi...imma la Babu yake au shangazi ,mjomba, bibi na n.k ..hiyo inaswihi katika dini yetu ya kiislamu?
Sheikh nywele Sasa zifanywe vp nizi tupe ama nizike
Unazifukia
Sasa hilo sitambiko
Ndio ni Tambiko la kisheria la sheria yetu ya kiislam, Tambiko la Allah. Na ww kama una matambiko yako ya Kimzimu mzimu nenda kafanye. Sisi ni Laailahailallah ndio njia yetu and we are proud for that
hiyo ndiyo mila ya Ibrahim
Usifuate uzae mashoga na wasagajii
nakuunga mkono
Mafano aujamfanyia ivo akiwa mdogo unaweza mfanyia tena akuwa na miaka 7
@@jamilamuhammedtanzanian8129 mwisho wa kumfanyia mtoto hakika n pindi anapoingia katika balehe ndio mwisho lakin kabla hajaingia balehe yawekana
ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html kwanini unaishi duniani
Mbowanasema.hadisiku40
zikipita hizo siku 7 unatakiwa kufanyaje shiekh?
Mashallah shekh Allah akulipe❤
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!
Unamfanyia
Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48
Unaweza kumfanyia