Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MUACHE USHOGA , Mwanaume unataka Kuingiliwa Kinyume na Maumbile, Hizo ni Bangi na UGORO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2023
  • Matumizi ya Madawa ya kulevya yanazidi kutuathiri, Sheikh Rusaganya
    #mashallah #allah #allahakbar #good #trending

Комментарии • 48

  • @OmallySaid
    @OmallySaid 26 дней назад +1

    Bola kufa kwa sababu ya Mungu sheikh kwakuwa pepo ni yako

  • @sumanganga3520
    @sumanganga3520 Месяц назад

    Allah akupe maisha marefu

  • @maulidimussa2148
    @maulidimussa2148 Год назад +2

    Allah akufanyie wepesi uendelee kutuelimisha insha Allah

  • @maulidimussa2148
    @maulidimussa2148 Год назад +1

    Allah akufanyie wepesi

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Год назад +1

    sheikh WETU ALLAH akuongoze
    Endelea tuongea ukweli mpaka pale ALLAH atakapokuchukuwa
    ALLAH akupe mwisho mwema inshaallah

  • @philiphaweittdesantos804
    @philiphaweittdesantos804 Год назад +1

    Allah akup umri mrefu sheikh wangu

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 Год назад +1

    Mashaallah Allah akuhifdhi shekhe wetu unasema kweli

  • @aishamohammed9579
    @aishamohammed9579 Месяц назад

    Wambieee na Allah atakulinda na hasadi zao

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад +5

    Allah akujaze kheri sheikh wangu. Jamii ya magharibi imefilisika. Wanataka na sisi tufilisike. Kama iblis, hataki kwenda peke yake motoni. Allah atunusuru.

  • @boeihongoa1436
    @boeihongoa1436 Год назад +3

    Allah atunusuru.
    Allah awape umri mrefu mashekhe wetu.

  • @princessmakwega2444
    @princessmakwega2444 Год назад +1

    Subbahanall Allah allah atuurumie kwa lehma zake 🙏🙏🙏

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Год назад

    Allah atakuhifadhi shekh wetu ktk kuelimisha dini yetu ya kiislam

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 Год назад +1

    Mungu akulinde na hasadi za wanadanadamu

  • @aminanekesa3718
    @aminanekesa3718 Год назад

    Allah atukinge nahayo mabaya ya shisha na ushoga Allahuma Amiiiin

  • @AthumanAlliy
    @AthumanAlliy 4 дня назад

    Kwm

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 Год назад

    jazzakaAllah kheir

  • @OTMANMOHD-xd3ii
    @OTMANMOHD-xd3ii Год назад

    Sheikh karibu zanzibar

  • @ramsochado8863
    @ramsochado8863 Год назад +1

    Naam, Sheikh Rusaganya Vijana sasaiv wanazid kupotea

  • @user-qn8if4ek9f
    @user-qn8if4ek9f 6 месяцев назад

    Natamani siku moja niudhurie khutuba ya huyu sheikh.

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Год назад

    JUMA LOKOLE NA NOEL NI MFANO HAI WA MASHOGA SERIKALI NAOMBA MUANZE NA HAO

  • @hamidubakary
    @hamidubakary Год назад

    Kweli halini mbayamno shekh sikumoja nikiwa masoko kilwa nilishuhudia mama mmoja anasema badunia imeisha kwani haobodaboda hapostandi woteni mashoga mama akaongeza wanawake tunategemea wanaume wtuoe wenzetunao wanaolewa innalillah

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm Год назад +1

    Big G tena haramu hio kali sasa duuh

  • @habibasaidi4615
    @habibasaidi4615 Год назад

    Mmmh hatar

  • @agneschogo5679
    @agneschogo5679 Год назад

    Thank you Allah

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +1

    Huyu mjamaa mtihani sana badala ya kuleta fatwa za maana yy amekalia ushoga na mirungi na bangi basi mtihani tu

    • @jumabhai6718
      @jumabhai6718 Год назад

      Ko iko anachozungumza sio cha maana, shekh rusaganya endelea kuwapa watu waadhi Allah atakulipa,

    • @jumabhai6718
      @jumabhai6718 Год назад

      Alafu umemwita mjamaa dah, itakuw iko anachozungumza kila siku ww kinakuboa, iyo ndo maana yake, yan shekh lusaganya unamwita uyu mjamaa.

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @Juma Bhai kumbe ulitaka ninwite nani ? Acha ubwege ww

    • @boeihongoa1436
      @boeihongoa1436 Год назад

      @@maase2023 sidhani kama shekhe/mwalimu wako unaweza mwita mjamaa.
      Moja ya kazi ya mwalimu ni kukemea maovu anapoyaona.
      Ndicho alichokifanya sheikh.
      Sasa, je,? Kakosea wapi?

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @@boeihongoa1436 unapokaa kila siku kuongelea ushoga tu basi hapo ndio unaupa umuhimu kwa kila mtu lkn ukiyapuuzia na wala usiyaongelee basi kila mmoja ataachana nayo mambo ya ushoga! Huyu mjamaa wako ndio anayakuza hayo mambo kwa kukaa kila siku kuyaongelea kwa taarifa yako

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z Год назад

    Kwakweli hali ni mbaya

  • @rxjoy4493
    @rxjoy4493 Год назад

    ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html kwanini unaishi duniani

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z Год назад

    Unapoenda kinyume cha sheria binadamu mnadhani mtaachwa hvhv ni laana tupu inayowapata usiku na mchana wakati wanawake wapomlioumbiwa kisheria

    • @hawakilanga2395
      @hawakilanga2395 Год назад

      Allahu atunusuru na janga ilo subehanallah yarabih astagfirullah

    • @salmaomar7979
      @salmaomar7979 Год назад

      MashaAllah shekhe Allah akupe umri mrefu