SHK RUSAGANYA VIJANA MUSIJISAHAU ZAMA ZA MWISHO HIZI BADILIKENI | ACHENI MISIMAMO YA KUBURUZANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 ноя 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkRusaganya

Комментарии • 24

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Год назад +1

    Jazaaka llah khair.waislam tusomen dini yetu tujilazimishe kufuata kheir

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 2 года назад +3

    Mashallah tabaraka llah nasaha nzuri sana allah atujaaliye tuwe wenye kuzingatia

  • @mariammasalu6547
    @mariammasalu6547 Год назад +1

    Mashaallah shekh Mungu akulinde kwa kusema kweli

  • @kabirigisaidi8253
    @kabirigisaidi8253 2 года назад +2

    Jazakallahu haira sheikhe

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 10 месяцев назад +1

    Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi 4 месяца назад +1

    Mashaaallah❤❤❤

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад +5

    Jazaqallah kheyr kwa ukumbusho.
    Allah akujalie uwe na umri mrefu wenye manufaa na akujaalie mwisho mwema 🙏

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Год назад +1

    Shehe rusaganya mungu akupe maisha malef

  • @umugumyabangakhadjraty8319
    @umugumyabangakhadjraty8319 Год назад +1

    Shukrani saaaaaana mwalim

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 года назад +2

    MashaAllah Allah barik

  • @ussihamza-xn7bx
    @ussihamza-xn7bx 11 месяцев назад

    Sheikh Shukran Sana.

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад +5

    Kweli sheikh.umenena kweli.

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Год назад +1

    Huyu sheikh nampenda Kwa ajili ya Allah ,Huwa haogopi mtu akisema mambo ya kweli hususan yanayoathiri jamii Kwa ujumla!! Allah barik Yaa sheikh....

  • @aminashabani9526
    @aminashabani9526 Год назад +3

    Allah atuhifadhi

  • @khadijadirunga6715
    @khadijadirunga6715 8 месяцев назад

    Allah akijaaliy Pepo

  • @ayubojoao7460
    @ayubojoao7460 2 года назад +1

    Asalam alaikum ostazi nachukuru k wa ukumbucho wa alha

  • @jiyaaabdillahi
    @jiyaaabdillahi 2 года назад +1

    Dalili za kiama hizo ustadh

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Год назад

    Mashaallah

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Год назад

    Yani uyu shehe wallahi nampenda sana yan hapindi pindi alaf akiongea ukwel moyo wng hua unapanda iman na uwoga unabak kw Allah pekeyake na sio mungne

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 2 года назад +1

    Sheikh rusaganya nakukubali Sana ktk mawaidha yako ila ktk hili suala la waislamu kutokuijua dini Yao wakulaumiwa sio waislamu wa Tanzania Bali wakulaumiwa ni bakwata kwa sababu bakwata ndo wamejipa jukumu la kuwasimamia waislamu Sasa Nani anaetakiwa kupanga mtaala wa kufundisha madrasa? Nani wa kuwalipa waalimu wa madrasa? kwa sababu elimu ya dini inatakiwa uianzie ukingali mdogo bakwata wanapata pesa nyingi Sana kutoka kwa wahisani wa nje na wa ndani hizo pesa wanapeleka wapi? waliachiwa shule za sekondari taqwa secondary school hospital za bakwata zimekufa bakwata watajibu siku ya kiyama kwa kuwanyima haki msingi ya elimu ya dini Yao Kuna nafasi za wanafunzi kusoma nje ya nchi misri, Saudia, nk hizo nafasi wanapeana wao kwa wao bakwata ndio chanzo cha kuwafarakanisha waislamu wa Tanzania

  • @samyamohammed4568
    @samyamohammed4568 2 года назад +3

    Allah atuhifadhi