Katika mitume sheikh huyu ni mkali kwa ajili ya ALLAH Kama nabii MUSA (a.s) na katika maswahaba kama UMAR(r.a) ila nisichokijua ni msimamo wake kimatendo ALLAH ampe msimamo wake uwe kimaneno na kadhalika kimatendo . Wallahi mtu Kama huyu nampenda kwa ajili ya ALLAH lakini ile nikunyoa ama ni asili yake ya kutokuwa na ndevu kama kwa bahati mbaya ni kunyoa heshima ingekwisha
WAKULAUMIWA WANAO ONGOZA NCHI VIONGOZI WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL MAKAFIRI WANAFIKI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN
UNAONGEA UKWELI KABISA. INABIDI WAUMINI WATOE SADAKA KWA AJILI YENU. BASI TUNAOMBA MUNGU AWABADOLISHE MIOYO YAO WAUMINI ILI WAWEZE KUCHANGIA MAISHA YA MASHEKH NA MAIMAMU.
Mashaallah mawaidha mazuri sana Allah akuweke sheikh wetu uzidi kutupa elimu
Subhanallllah aaalllah atupe mwisho mwema yarab
Allah aku zidishiye elimu sheikh kwa mawahizhi nzuri saana
Allhamdulillah ya Allah kwa kumuumba shehe wetu huyu, Allah kwa huruma wako mmpe umri mlefu wenye heri na yeye nasi tuzinduke lnshallah
Very sensitive words,may Allah bless you abundantly and i wish you to be healthy and wealthy with your family.Volume up.
Takbir...................Allahu akbar
ماشاءالله
Amiin
Allah akulipe heri shekh wetu
Turudi kwa Allah kweli binadam wa ss tuna mitihani mikubwa Allah atulinde na kutuongoza Aamin
Allaah akulipe kilalakheri shekhe wetu uzidi kutupatia elimu bora kama hii .
Allah atunusuru wote waisilam
❤❤❤❤❤❤
Tuombeeni dua kweli dunia watu wa ss tunawkt mgumu Allah atuhifadhy
Katika mitume sheikh huyu ni mkali kwa ajili ya ALLAH Kama nabii MUSA (a.s) na katika maswahaba kama UMAR(r.a) ila nisichokijua ni msimamo wake kimatendo ALLAH ampe msimamo wake uwe kimaneno na kadhalika kimatendo . Wallahi mtu Kama huyu nampenda kwa ajili ya ALLAH lakini ile nikunyoa ama ni asili yake ya kutokuwa na ndevu kama kwa bahati mbaya ni kunyoa heshima ingekwisha
Swadakta Sheikh Rusaganya
Allah akuongezeye umulimurefu
Nkweli kwetu Kenya yafanyika inalilahi waina lilahi rajuun
Hi🙏🙏😂😂🤲🤲🤲🤲🤲👏
😭😭😭😭😭😭😭😭
WAKULAUMIWA WANAO ONGOZA NCHI VIONGOZI WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL MAKAFIRI WANAFIKI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN
Maneno mazito sana natumai watu watayazingatia anasema ukweli mtupu nilikuwepo kariakoo iyo miaka anayosema watu walikuwa na Neema sana
UNAONGEA UKWELI KABISA. INABIDI WAUMINI WATOE SADAKA KWA AJILI YENU. BASI TUNAOMBA MUNGU AWABADOLISHE MIOYO YAO WAUMINI ILI WAWEZE KUCHANGIA MAISHA YA MASHEKH NA MAIMAMU.
Kwelikabisa shekh maneno yako
Dalili ninyini awamini binadamu ngumo
Ndo madhala ya kuanzisha dini ya uongo
🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu akusamehe hujui ulisemalo
Ww kafiri tyu..iv ujajiuliza tu ww ulipo apo km fiksi