Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SHEIKH RUSAGANYA ALIKUA PALESTINE KAMA TUNGECHELEWA VITA INGETUKUTA, AMANI NI NEEMA KUBWA TUITUNZE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2023
  • • SHEIKH RUSAGANYA ALIKU... #KHIDMATV #palestine #gaza #israel #amani #utulivu #sheikhhashimrusaganya

Комментарии • 235

  • @allykatundu4979
    @allykatundu4979 9 месяцев назад +3

    Nivyema kuitunza amani🙏🙏🙏 mashaallah. Mungu atujaalie na sisi watanzania kuitunza amani. AMIN.

  • @SadamRusaganya
    @SadamRusaganya 9 месяцев назад +3

    MashaAllah.! ALLAH akutunze mzee wetu.

  • @nassorkhalfani1467
    @nassorkhalfani1467 9 месяцев назад +3

    Masha Allah nilikuwa mmoja wa wasikilizaji wa hii khtuba ya ijumaa Alhamdulilah

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 10 месяцев назад +10

    Mungu Awafanyie wepesi ndugu zetu Vita hii iko kihistoria zaidi Mungu Ataipambania Aminah

  • @Bikhafija
    @Bikhafija 10 месяцев назад +5

    Alhamdulilih mwenyezimungu akuhifadhi shekh

  • @ahmedelalawy639
    @ahmedelalawy639 10 месяцев назад +2

    Sheikh Rusaganya Allah akuhifadh ww na sisi . Masjid gani upo nahitajj vitabu vya history inshallah mwezi ujao nakuja tanzania kutoka nchini ubelgiji

  • @sidegrenade2043
    @sidegrenade2043 10 месяцев назад +7

    Maashallah ❤❤mungu akujalie na moyo uwo uwo shekha wangu

  • @chafimabdulbacar9902
    @chafimabdulbacar9902 10 месяцев назад +3

    Razi za Alah s.w. zishuke nchi zote zilizozingirwa na machafuko ameen rabirarameen

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo7150 10 месяцев назад +5

    Baarakallaah shekh rusaganya

  • @NdayisabaCynthia-kw4zm
    @NdayisabaCynthia-kw4zm 9 месяцев назад +1

    Jazaka Allah kheir

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y 6 месяцев назад

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 9 месяцев назад

    Mashallah, Allah akusimamie katika kila lenye KHERY 🙏

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 9 месяцев назад +1

    ..........Mashaallah..............

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 10 месяцев назад +6

    Maashaallah tabarakallah Mungu awakubalie Duazenu mlizoziomba huko nasi Allahnatufikishe kwauwezowake 🤲

    • @fatmaathuman4600
      @fatmaathuman4600 10 месяцев назад

      aaamiiiin Aaamiiiin AllahumaAmiin YaaRaabb

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 10 месяцев назад +4

    Barakallahu fiyka Allah akuhifadhi

  • @dsmith7600
    @dsmith7600 9 месяцев назад

    Jaza'aka Allah sheikh..

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 9 месяцев назад +1

    Mwenyezi mungu iokoe Palestina na sehem nyingine yenye machafuko iwe salamaa yaarab

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 10 месяцев назад +3

    Amina baba Mungu akuweke tuzid kupata darasa kwako

  • @hattusilli2225
    @hattusilli2225 10 месяцев назад +6

    Allah Allah Salah. Salah ndio nguvu ya waislam.

  • @oman7710
    @oman7710 10 месяцев назад +3

    Allahumma amiiin Yarabb Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @fadhilihussein6580
    @fadhilihussein6580 9 месяцев назад +1

    Mashallah!!!!!

  • @miishhassn
    @miishhassn 10 месяцев назад +4

    Allaahu akbar 😢❤

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 10 месяцев назад +2

    Allahu Akbar Allah awaifadhi

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 месяцев назад +5

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 10 месяцев назад +4

    Mashalla hiyo kwelii

  • @rahmaihucha8577
    @rahmaihucha8577 10 месяцев назад +1

    Mashaa Allah,, Allah Akbar

  • @irenekayombo5509
    @irenekayombo5509 10 месяцев назад +3

    Amin,Mungu akubariki kwa kutuasa sote

  • @maulidaadam6584
    @maulidaadam6584 10 месяцев назад +1

    ALLAH AKBAR

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 9 месяцев назад

    Mashaalla tabaraka lla

  • @user-mr1sl6dd7g
    @user-mr1sl6dd7g 10 месяцев назад +3

    ماشاء الله تبارك الله فيك

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 10 месяцев назад +2

    ,mashallah shehe hongera hadi nakutamani

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 10 месяцев назад

      😮Eeeeeh, kumtamani ten? 😮

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 9 месяцев назад

    😭😭😭😭😭😭Sahihi shekhe mungu atunusuru huko kwetu tz nako ndio mtihani na baadhi ya viongozi wapokimaslahi Yao Tu mungu tunusuru um

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 10 месяцев назад +2

    Hakika tunakupenda kwa ajili ya allah natunakusikiliza kutoka oman

  • @alwaladinswalihualwaladins4724
    @alwaladinswalihualwaladins4724 10 месяцев назад +2

    MAASHALLAH

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 10 месяцев назад +6

    ''SUBHANALLAH''

  • @user-ye8bl4tz6w
    @user-ye8bl4tz6w 10 месяцев назад +4

    Jaman huyu msemaukwer mungu amlinde

  • @Bikhafija
    @Bikhafija 10 месяцев назад +3

    Mashaalah

  • @omanmct135
    @omanmct135 10 месяцев назад +1

    Mashalllah ❤❤

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 10 месяцев назад +5

    Majini yalijenga msikiti???
    Naprnda kusikia zaidi hapo mwenye anajua anipe kwa urefu pls👏

    • @SwaumHamisRamadhan
      @SwaumHamisRamadhan 10 месяцев назад

      Soma kisa Cha nabii Suleiman utaelewa zaidi

    • @meshackpaul4978
      @meshackpaul4978 9 месяцев назад

      Hahahahaha kumbe na wewe umeisikia hiooo!??? Kwakweli waisram wanamezeshwa uongo mkubwa sana ndo maana aslimia kubwa wanajifunza ugaidi!! Majini yajenge msikiti??????😂

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 9 месяцев назад

    Allahu Akibar

  • @minahadam2323
    @minahadam2323 10 месяцев назад +4

    Kuna shida gan vita ingewakuta huko Allah angewapa shahada na mngekuwa mashuhadaaa

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 10 месяцев назад

      Hakika❤

    • @user-bg5sg6kh9q
      @user-bg5sg6kh9q 9 месяцев назад

      Ww mjinga hasidi unataka sheikh afikwe na balaa kwenda zako

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 9 месяцев назад

      Kwa nini hauendi wewe ukaipate hiyo bahati ya kuwepo vitani?

    • @zakiamohamed7611
      @zakiamohamed7611 9 месяцев назад

      ​@@saloomidd1084mcselete malumbano kwenye dini mungu mmoja

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 9 месяцев назад

      @@zakiamohamed7611 Upumbavu aliouongea huyo hauna uhusiano wowote na dini.
      Na wala Mungu hajafundisha ukajianike uzubae tu vitani ili wapiganaji wakuue kisha akupe pepo

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 10 месяцев назад +2

    Mashallah

  • @sidisoumare6214
    @sidisoumare6214 9 месяцев назад

    Maachaa allah Mungu akupe maicha marefu ❤❤❤

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi 10 месяцев назад +1

    Mashaaallah ❤️❤️❤️

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 9 месяцев назад

    Upo vizuri sana sheikh ,wewe ni msomi unaongea bila chuki sio kama mganga wa kienyeji mwaipopo na vidawa vyake !

  • @user-sn4wj7tw4s
    @user-sn4wj7tw4s 10 месяцев назад

    inshalllwah amin mungu akuweke myaka mingi❤❤❤

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 10 месяцев назад

    MASHAALLAH.YOTE USEMAYO NI UKWELI KABISA.HAKUNA KM AMANI.ALLAH ATULINDE NA SHARI ZOTE ZA MAADUI WA TAIFA LETU

  • @SofiaWasofia
    @SofiaWasofia 10 месяцев назад

    MashaAllah tabaraka Allah

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 10 месяцев назад +3

    Upo vzr shehe,sio mashehe wengine kama ponda na mwaipopo maana ni watu wa vurugu

  • @lutfiamuhammed
    @lutfiamuhammed 10 месяцев назад +2

    Hayoo yoteeeeee anayoyasemaaa shekhee yameandikwaa na hiyi vitaa piaa lazimaa ingetokaa allah hasemii uongoo km wewe unadirikii kuwaita mashekhee waongoo

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 9 месяцев назад

    ALLAHU AKBAR

  • @sharifaabdala1565
    @sharifaabdala1565 10 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 10 месяцев назад +1

    Asante shehh

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 10 месяцев назад +1

    Mawahabi mpo

  • @KhubeybJandaal-uz4oo
    @KhubeybJandaal-uz4oo 9 месяцев назад

    Vishekh ubwabwa, mambo ya vita ndo dini,hii si Amani, Amani ni qur-an iwe kweny, utawala,kazi,kutia waslam woga tu,na ibadan za riyaa

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 10 месяцев назад +2

    Amani ni muhimu saaana

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 10 месяцев назад +4

    Leo ndo nimeamini hii dini ya uislamu na mashetwan na majin ni ndugu asilimia 100

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 месяцев назад +1

      Kwanin umeamin hvo nakuhurumia sna ww kuwa kafir ah mtihan

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 10 месяцев назад +1

      Hyo sio shida sababu kuna majini wanao fanya ibda yaan wapo majini walio muamini allah kwahvo sio shida tukiwa mandgu

    • @kibulajumakibulajuma3448
      @kibulajumakibulajuma3448 10 месяцев назад +1

      Wako majini wema na majini waovu, neno jinni ni neno la kiarabu , kwa hiyo ukilielewa kwa namna ya kimakosa unakuwa umekosea, na Lugha ya kiswahili ina maneno meengi sana kama 90% ni ya kiarabu na mengine ni ya kibantu , kihindi , kireno, kijerumani, na kiingerza mathalan, kwa mfano walio wengi hawajui kiswahili cha neno Baiskeli yani bicycle na hivyo hivyo neno jini liko hivyo labda kama wewe unalijua tuelimishe. SHUKRAN NDUGU.

    • @happinessmonyenye9890
      @happinessmonyenye9890 10 месяцев назад

      ​@@malak-lz6kxjihurumi wewe mwenyewe

    • @JabirJabir-fr3xu
      @JabirJabir-fr3xu 10 месяцев назад

      Kafiri ulie kubuhu wewe.

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 10 месяцев назад +2

    🤲🙏

  • @IssaSaid-vf3lg
    @IssaSaid-vf3lg 10 месяцев назад +1

    Yaan mda mwingne uislam ni upuuuz... Ndo man nlihama.... Kaz polojo2... Na Kuwait wakrit makafir

    • @alwaladinswalihualwaladins4724
      @alwaladinswalihualwaladins4724 10 месяцев назад

      Jichunge qauli Zako,, Allah akuongoe

    • @IssaSaid-vf3lg
      @IssaSaid-vf3lg 10 месяцев назад

      Akuongoze wew yn kaziiii bugz2 mnaniuziiii mpuuziii wew... Et ubuxu jiwe, iv hamjasanuka2.....toka zenu hkooooo

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 9 месяцев назад

      ​@@IssaSaid-vf3lgmwenzako mm tulihama pamoja

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 9 месяцев назад

      ​@@IssaSaid-vf3lg
      Kenge wewee sasa uku mnanyemelea nn

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 10 месяцев назад

    Shekh yuko sawa xana ,na islam ni dini ya amani ,undugu,na ikatufundisha jinsi ya kuishi na watu ,islam dini xahihi ,yaarab tusamehe na utuongoze tunakoelekea siko

  • @esthermoraa9701
    @esthermoraa9701 10 месяцев назад +1

    Majini wanajenga mskiti iyo kipengee ebu rudia

  • @AbdulMkuta-pd2ez
    @AbdulMkuta-pd2ez 10 месяцев назад +2

    Shehe usitumike shehe

  • @lutfiamuhammed
    @lutfiamuhammed 10 месяцев назад +1

    Unawaitaa masheekhee waongoo hiyi ndio dalilii kiamaa allah akuongozeee

  • @user-cz6dg5bb5r
    @user-cz6dg5bb5r 9 месяцев назад

    Munqu akuhifadhi kwa mema yko tunajifunza menqi lwa maidha yko

  • @platiniali8609
    @platiniali8609 10 месяцев назад

    Kweli kabisa Sisi Congo tuna hamu ya Ku kimbiya. Wa Tanzania wana bahati

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w 10 месяцев назад +1

    Swala safari yako imefadhiliwa na nani maana watu waponda mayahudi na mayahud ndio wanawafanya waishi bila kazi haswa masheikh

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 9 месяцев назад

      wewe umechanganyikiwa ama,ni mayahudi wa wapi hao wanaowafanya masheikh waishi

  • @danielosango1263
    @danielosango1263 10 месяцев назад

    Ukifuata vitabu vinavyiandikwa kwa kuegemea jambo fulani kwa faida ya mtu ama ukoo ni wewe binafsi kujiongeze
    Shee wangu kwa historia ama vitabu tunaamini kua wneo hilo ilikuwa ni makabila ya mawili .
    1: Waebrania
    2:Waarabu
    Eneo la Yerusalemu iliangukia chini ya Dola ya Kiislamu mwaka 638 AD chini ya Mfalme Rashidum Calphate chini ya Kiongozi OmaryAl Khatib
    Omary Katibu alikabidhiwa funguo ya Yerusalemu na Kasisi wa Kirumi Sophrounius kwa mkataba maalum
    Mkataba huo unaitwa "Omary Threat"
    Makanisa yao hayatavujwa wala kukaliwa wala kuvujwa na hawatalazimishwa kuhacha ndini zao (Imani)
    Mwaka 1291ni mwisho wa Utawala waRashidum .
    Dola ya Kirumi ilichukua eneo hilo
    Shee toa Elimu ya dini .
    Hakuna Amani pasipo Haki

  • @abi-onlinetv4181
    @abi-onlinetv4181 10 месяцев назад

    Wakati urusi anashambulia mara nyingi utamsikia Papa ooh watu wasio na hatia.

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 10 месяцев назад +1

    Nimekuelewa

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 10 месяцев назад +1

    Wangine anajua ikitokea hapa kuna watu wengine watakimbia wao atabaki mnachelewa akili matope

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 10 месяцев назад +1

    Dini ya ukwei

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 10 месяцев назад

    Haaaaaa kumbe nanyie mna kili alipaaa je nakuhusu kuludi kwake ??

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 10 месяцев назад +1

    Kwa hiyo unawasiliti kina sheikh Ponda na sheikh Kundecha na waislamu wote wa Tanzania wanaotaka kuandamana kupinga mitaala ya serikali juu masomo ya duni mashuleni

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 10 месяцев назад

      Kiwango chako cha kufahamu anayosema huyo shekh ni kidogo sana huwezi kumuelewa.

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 10 месяцев назад +2

    Muisilamu wa kweli huyu,sio mfuata mkumbo

  • @BADILIKA
    @BADILIKA 10 месяцев назад

    Mfano anao utoa auendani na Mambo ya Palestina, Nahisi anazungumza Jumla Jamala

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 10 месяцев назад

    Kweli tumekuona uko palestina

  • @maase2023
    @maase2023 10 месяцев назад +2

    Aibu tupu dunia nzima inaandamana kupinga mauaji ya Palestine ila nyie tz tu kimyaaa! Mnakaa kuhubiriana talaka na maulid ovyooooooo

    • @erastochambila9606
      @erastochambila9606 10 месяцев назад +1

      Kwahiyo wale waisraeli waliokufa mbona mbona hukusema?

    • @maase2023
      @maase2023 10 месяцев назад

      @@erastochambila9606 kweli walikufa lkn now mauaji mara 100 zaidi ya yale jambo ambalo halikubaliki

    • @maase2023
      @maase2023 10 месяцев назад

      @@vincentcharles4385 sisi tumeshafanya maandamano ya kulaani mauaji hayo ! Ila nyie huko kimyaaaa

    • @maase2023
      @maase2023 10 месяцев назад

      @@erastochambila9606 hawa maustaaz watu wa RUclips tu

  • @meshackpaul4978
    @meshackpaul4978 9 месяцев назад

    Mh

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 10 месяцев назад +1

    Majini wanajenga msikiti 😮

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k 10 месяцев назад

      Kipi hujakielewa hapo ambacho unataka ueleweshwe?

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 10 месяцев назад

      Hawa wavaa kobazi wanapenda kudanganyana sana! Kila wakati kutukuza majini! Suleiman mwenyewe hakuwa mwarabu na kipindi hicho hapakuwa na Uislam bali ni Mwisrael!
      Ni satanic stori za mtume wao Uchwara!

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 10 месяцев назад

      Hii dini ya Shetani kwa asilimia mia moja,eti Yesu na Musa na Ibrahim walikuwa kwenye hii dini ya majini

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k 10 месяцев назад

      @@mwassamwassa7264 hivi unamjua Mtume Suleiman alikuwa nani na alitunukiwa Nini na M/Mungu?ngoja nikusaidie,alikuwa ni Nabii na Mtume wa Mungu.Mwenyezi Mungu alimpa Ufalme Mtume Suleiman na utajiri mkubwa sana.lkn pia alimjaalia Utukufu kiasi aliweza kuwaongoza binaadam,Majini,ndege,wadudu na hata wanyama,na wote hao walimtii.wote walikuwa chini ya amri yake katika Muongozo uliokuwa Bora wa kumjua Mungu na kutaka viumbe wote wamuabudu Mungu mmoja tu.Sasa ikiwa hvyo ndivyo ilivyokuwa atashindwa kuwaamrisha Majini kujenga msikiti?kama alimtuma ndege hudhud atashindwa kuwatuma Majini?

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k 10 месяцев назад

      @@mwassamwassa7264 lakini pia nakwambia jambo ambalo hulifaham kabisa,wapo Majini wachaMungu kuliko hata baadhi ya Wanaadam.Ukitaka kujifunza zaidi unaweza kutafuta reference zaidi Ili kujifunza zaidi,lkn ukibisha na Hali ya kuwa hujui,tafsiri yake hutaki kujifunza

  • @niyonkuruismail5288
    @niyonkuruismail5288 9 месяцев назад

    Ndio tunaskia anacho tuambia mualimu sasa nini ugomvi wa hawa jamaa ili wa islam tujue kama wanafia mskiti wa baiyil maqadas ao ardhi. Maana yutapo kuta wanafia ardhii sisi haituhusu ila kama wanafia mskiti kila muislam twende tukapambanie haqi yetu

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 10 месяцев назад +1

    Apo kwenye kuandamana nime kuelewa siendi

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 10 месяцев назад +1

    Huna jipya porojo tuu waelezee umma nini chanzo cha mgogoro wa Palestina na Israeli hamjuwi ukweli au mnaogopa kuzungumza

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn 10 месяцев назад +1

    Hujatuambia kwanin Palestina hawana aman au ndo wamekufuru neema za Allah

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 10 месяцев назад +3

      Usiseme hivyo Hakiwi koyama mpaka wapigane waislam na mayaudi nandiyo wao wayaudi watashinda watajenga ekalulao ndiyo Dajali. Ajekukaahapo kiyama ndiyo kotasimama hikokitu laazimakitokee hataiweje kwahiyo hizo ni dalili zakuja Dajali. Allah atuepushe na fitina zake Dajali🤲

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 10 месяцев назад

      Ameen naona ndio sasa kimeingia

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 10 месяцев назад

      @@hanifatanzania7258 Allahuma Amiin

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn 10 месяцев назад

      @@hanifatanzania7258 kwa Mano tukiambiwa zama za mwisho maisha yatakuwa magumu kwaiyo tusitafute njia ya kujikwamua maana lazima itokee?

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 10 месяцев назад +2

    KUMBE MTUME ALIKUWA NA JESHI

    • @DORCUSSAZIA
      @DORCUSSAZIA 10 месяцев назад

      Hata me nashangaa alqida au

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor 10 месяцев назад +1

      😂😂😂😅Kusoma hutak n kukubal ukwel hutak subir ufe nd utaamka

  • @mussamkali9926
    @mussamkali9926 10 месяцев назад

    Watanzania tujifunze yanayotokea nnje jmn

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 10 месяцев назад

    Mfalume suleimani ndie alie kuwa ana amrisha majini alikuwa akiongea na wa dudu ndege na viumbe vingine tatizo time kalilishwa vtisho kuliko kuaminishwa ukweli mna penda ya kudanganywa ya ukweli hamya taki

  • @bellasi349
    @bellasi349 10 месяцев назад +1

    Acha uongo we mzee na somalia na siria nao ilikuwaje we sema tu uyo allah wenu hana lolote😂hawezi kuwasaisia

    • @saidkhamis8229
      @saidkhamis8229 10 месяцев назад

      Punzi inakudanganya

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 10 месяцев назад

      Sawa subiri ufe, ndo useme Allah hawezi kusaidia.

  • @bellasi349
    @bellasi349 10 месяцев назад +2

    Allah hawezi kuangamiza mtu bwana kwani allah ni nani allah ni shetani mkubwa ndo maana hata Muhamadi dua zote alizoomba allah hakupata jibu

    • @omaryakka1933
      @omaryakka1933 10 месяцев назад

      😢😢nakuhurumia sana😭😭

    • @abbtsa3060
      @abbtsa3060 10 месяцев назад +1

      Lana ikupate wewe na kizazi chako na roho yako siku inapotoka ndio utajua uwezo wa Allah (mwenyenzi mungu )muumba mbigu na ardhi na wote Waishio umo.

    • @AW-vt9pw
      @AW-vt9pw 10 месяцев назад +1

      Allah aiharakishe adhabu yako hapa duniani kabla ya kukutana nae siku ya kiyama Amin. Allah akupe ishara ili umjue hata hiyo pumzi unayovuta ni kutoka kwake, huo uwezo wa kufanya mambo yako na afya yako ni kutoka kwa Allah. Eeee Allah Tunakuomba kwa niaba ya Waislamu wote duniani mpe kitu huyu mtu ambacho kikimfika akutambue kua Wewe ndio Muumba wa Kila Kitu. Eeeeee Allah huyu mtu Amesahau kua alikua ni maji machafu tu yaliyotoka katika sehemu ya haja ndogo na hivi sasa analeta jeuri. Hivi kama ataziba mkojo usitoke atakimbilia wapi na ikiwa hospital watashindwa kumponya. Au akipata maradhi ya saratani na asipate dawa ya kumponya?
      Eeeeee Allah mpe mtihani huyu mtu ili liwe fundishokwa wengine wanaokufanyia mzaha.

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 10 месяцев назад

      Allah akuwazibu

    • @user-hj1gv3im8c
      @user-hj1gv3im8c 10 месяцев назад

      MSIMLAANI HUYU MPUUZI , BILA SHAKA YUKO ANAUGULIA MAUMIVU YA ALICHO ROPOKA HUYU MPUMBAV AU BAADA YA MDA SII MREFU ANAUGULIA KILE ALICHO ROPOKA

  • @user-mk8ld6zs2q
    @user-mk8ld6zs2q 10 месяцев назад +2

    Mimi ni mchristo ila hyu shehe yupo smart

    • @maase2023
      @maase2023 10 месяцев назад

      Huyu ilikuwa abakie huko asaidie waislamu kupigana na yahudi ss kimemrudisha nn?

    • @hevenMiage
      @hevenMiage 10 месяцев назад

      ​@@maase2023😂

    • @saidkhamis8229
      @saidkhamis8229 10 месяцев назад

      @@maase2023 Ameendea ibada sio vita umeielewa hutba yake au umeharakia kucoment?

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 9 месяцев назад

      Wewe huelewek kuna sehem unajifanya muislam

    • @maase2023
      @maase2023 9 месяцев назад

      Mmmhh kweli huelewi

  • @ramauo4410
    @ramauo4410 10 месяцев назад +2

    Shehk ana tuambia ukweli nyiyi mna comet upumbavu

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 10 месяцев назад +1

      Sio kweli mengi niyauwongo

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 10 месяцев назад +1

      @@maalimhamad1297 ukweli unaoujua wewe ni upi? Na kwa nini usiuseme huo ukweli mapema kuliko kungoja mwingine aseme halafu wewe useme asemayo mengi ni uongo?!!!

    • @abdallayussuf6258
      @abdallayussuf6258 10 месяцев назад

      ​@@maalimhamad1297kama lipi lauongo

    • @DORCUSSAZIA
      @DORCUSSAZIA 10 месяцев назад

      Ujinga huu anayesikiliza ni mpalestina tu mnamgusa Israel? Yakobo ni hatari dunia itapigwa na israel

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l 9 месяцев назад

    Shehe amani ipo lakini yapo mandamono ya amani shehe ama unabahasha wapewa kila mwezi

  • @happinessmonyenye9890
    @happinessmonyenye9890 10 месяцев назад

    Ety inchi ilikuwa yenu,

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 10 месяцев назад

    Haki na uadilifu ndio mambo yanasaidia kuimarisha amani mbona hamusemi mashekhe

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 10 месяцев назад +3

    Hawa Palestinian wanauwa watu wao wakiuwawa wanaanza kulalamika hizi dini watu wanaendesha tofauti na ilivyo takiwa

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 10 месяцев назад +1

      Tafuta historia kwanza ndio utajuwa huyu mzozo wala hauhusiani na dini kabisa.

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb 10 месяцев назад +1

      Wewe kafiri kua na adabu kacheck nyerere day hanisi

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 10 месяцев назад

      @@sonnyr1899 kwahiyo ndio wake watu ,wakiuwa mnashangilia wakijibu mapigo mnalia shenzi charaza bira huruma vipalestina vingekuwa na uwezo wa Israel dunia ingekoma kwanza siku walabu wa shika technology ya dunia basi itakuwa mwisho wa dunia kama ilivyo andikwa hawana utu hata kidogo

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 10 месяцев назад

      Wewe usichanganye vitu palestina wanagombania uhuru wawo dhidi ya Yahudi rejea hotuba ya Rais mstaafu Obama umsikie

    • @meshackpaul4978
      @meshackpaul4978 9 месяцев назад

      ​@@yusuphrashidi-dr1kb😂haya ndio majibu ya watu waendao miskitini?? Uovu na aibubtupu nenda Gaza Sasa kama unaubavu ukapambane!!!

  • @bellasi349
    @bellasi349 10 месяцев назад

    Iyo story sijui unaitoa wapi nyie achana na hao makafili hawana mpango saivi wapalestina wakimkubali yesu basi mambo yote yatakuwa sawa

    • @saidkhamis8229
      @saidkhamis8229 10 месяцев назад

      Mbona wanamkubali Yesu Kama mtume wa Allah (s w ).Waislam hawabaguwi mitume (A S ) kwa sababu wote wanatoka kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake .

  • @aboubakarmtanje9851
    @aboubakarmtanje9851 10 месяцев назад

    Kwanini mrume apigane vita haryakuwa anapenda aman

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 10 месяцев назад

      Fatilia dini vizr utajua biidhinllah

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 10 месяцев назад

    Wongo mtupu, Mohammed ameruka mbinguni gani?. Kumbe majini wenu waliwajengea msikitini. Majini ni malaika walioasi, Jina la Yesu pekee ndio linaweza fukuza hayo madudu. Yesu anaekupenda sheikh

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 10 месяцев назад

    Kumbe mtume alikuwa analazimisha watu wawe waislamu kwa nguvu za kijeshi

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 10 месяцев назад

    Mawahabi hawampendi kabisa huyu shekh ,coments zao sio nzuri kabisa

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi931 10 месяцев назад

    Hamas ni dini gani hao?