@@zakiamohamed7611 Upumbavu aliouongea huyo hauna uhusiano wowote na dini. Na wala Mungu hajafundisha ukajianike uzubae tu vitani ili wapiganaji wakuue kisha akupe pepo
Hahahahaha kumbe na wewe umeisikia hiooo!??? Kwakweli waisram wanamezeshwa uongo mkubwa sana ndo maana aslimia kubwa wanajifunza ugaidi!! Majini yajenge msikiti??????😂
Shekh yuko sawa xana ,na islam ni dini ya amani ,undugu,na ikatufundisha jinsi ya kuishi na watu ,islam dini xahihi ,yaarab tusamehe na utuongoze tunakoelekea siko
Ukifuata vitabu vinavyiandikwa kwa kuegemea jambo fulani kwa faida ya mtu ama ukoo ni wewe binafsi kujiongeze Shee wangu kwa historia ama vitabu tunaamini kua wneo hilo ilikuwa ni makabila ya mawili . 1: Waebrania 2:Waarabu Eneo la Yerusalemu iliangukia chini ya Dola ya Kiislamu mwaka 638 AD chini ya Mfalme Rashidum Calphate chini ya Kiongozi OmaryAl Khatib Omary Katibu alikabidhiwa funguo ya Yerusalemu na Kasisi wa Kirumi Sophrounius kwa mkataba maalum Mkataba huo unaitwa "Omary Threat" Makanisa yao hayatavujwa wala kukaliwa wala kuvujwa na hawatalazimishwa kuhacha ndini zao (Imani) Mwaka 1291ni mwisho wa Utawala waRashidum . Dola ya Kirumi ilichukua eneo hilo Shee toa Elimu ya dini . Hakuna Amani pasipo Haki
Hawa wavaa kobazi wanapenda kudanganyana sana! Kila wakati kutukuza majini! Suleiman mwenyewe hakuwa mwarabu na kipindi hicho hapakuwa na Uislam bali ni Mwisrael! Ni satanic stori za mtume wao Uchwara!
@@mwassamwassa7264 hivi unamjua Mtume Suleiman alikuwa nani na alitunukiwa Nini na M/Mungu?ngoja nikusaidie,alikuwa ni Nabii na Mtume wa Mungu.Mwenyezi Mungu alimpa Ufalme Mtume Suleiman na utajiri mkubwa sana.lkn pia alimjaalia Utukufu kiasi aliweza kuwaongoza binaadam,Majini,ndege,wadudu na hata wanyama,na wote hao walimtii.wote walikuwa chini ya amri yake katika Muongozo uliokuwa Bora wa kumjua Mungu na kutaka viumbe wote wamuabudu Mungu mmoja tu.Sasa ikiwa hvyo ndivyo ilivyokuwa atashindwa kuwaamrisha Majini kujenga msikiti?kama alimtuma ndege hudhud atashindwa kuwatuma Majini?
@@mwassamwassa7264 lakini pia nakwambia jambo ambalo hulifaham kabisa,wapo Majini wachaMungu kuliko hata baadhi ya Wanaadam.Ukitaka kujifunza zaidi unaweza kutafuta reference zaidi Ili kujifunza zaidi,lkn ukibisha na Hali ya kuwa hujui,tafsiri yake hutaki kujifunza
Ndio tunaskia anacho tuambia mualimu sasa nini ugomvi wa hawa jamaa ili wa islam tujue kama wanafia mskiti wa baiyil maqadas ao ardhi. Maana yutapo kuta wanafia ardhii sisi haituhusu ila kama wanafia mskiti kila muislam twende tukapambanie haqi yetu
Kwa hiyo unawasiliti kina sheikh Ponda na sheikh Kundecha na waislamu wote wa Tanzania wanaotaka kuandamana kupinga mitaala ya serikali juu masomo ya duni mashuleni
@@maalimhamad1297 ukweli unaoujua wewe ni upi? Na kwa nini usiuseme huo ukweli mapema kuliko kungoja mwingine aseme halafu wewe useme asemayo mengi ni uongo?!!!
Mfalume suleimani ndie alie kuwa ana amrisha majini alikuwa akiongea na wa dudu ndege na viumbe vingine tatizo time kalilishwa vtisho kuliko kuaminishwa ukweli mna penda ya kudanganywa ya ukweli hamya taki
Usiseme hivyo Hakiwi koyama mpaka wapigane waislam na mayaudi nandiyo wao wayaudi watashinda watajenga ekalulao ndiyo Dajali. Ajekukaahapo kiyama ndiyo kotasimama hikokitu laazimakitokee hataiweje kwahiyo hizo ni dalili zakuja Dajali. Allah atuepushe na fitina zake Dajali🤲
Wako majini wema na majini waovu, neno jinni ni neno la kiarabu , kwa hiyo ukilielewa kwa namna ya kimakosa unakuwa umekosea, na Lugha ya kiswahili ina maneno meengi sana kama 90% ni ya kiarabu na mengine ni ya kibantu , kihindi , kireno, kijerumani, na kiingerza mathalan, kwa mfano walio wengi hawajui kiswahili cha neno Baiskeli yani bicycle na hivyo hivyo neno jini liko hivyo labda kama wewe unalijua tuelimishe. SHUKRAN NDUGU.
Wongo mtupu, Mohammed ameruka mbinguni gani?. Kumbe majini wenu waliwajengea msikitini. Majini ni malaika walioasi, Jina la Yesu pekee ndio linaweza fukuza hayo madudu. Yesu anaekupenda sheikh
Cjui unashangaa nini katika uislam Allah aliumba majini na watu ili wamuabudu majini ni viumbe kama sisi na wanaulimwengu wao nao wataadhibiwaa kama binadamu sisi na na watalipwa mema kama sisi Jini akiasi anakuwa shetani Na mwanadamu akiasi pia anakuwa shetani
Mbona wanamkubali Yesu Kama mtume wa Allah (s w ).Waislam hawabaguwi mitume (A S ) kwa sababu wote wanatoka kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake .
@@sonnyr1899 kwahiyo ndio wake watu ,wakiuwa mnashangilia wakijibu mapigo mnalia shenzi charaza bira huruma vipalestina vingekuwa na uwezo wa Israel dunia ingekoma kwanza siku walabu wa shika technology ya dunia basi itakuwa mwisho wa dunia kama ilivyo andikwa hawana utu hata kidogo
..........Mashaallah..............
Masha Allah nilikuwa mmoja wa wasikilizaji wa hii khtuba ya ijumaa Alhamdulilah
Nivyema kuitunza amani🙏🙏🙏 mashaallah. Mungu atujaalie na sisi watanzania kuitunza amani. AMIN.
MashaAllah.! ALLAH akutunze mzee wetu.
Mungu Awafanyie wepesi ndugu zetu Vita hii iko kihistoria zaidi Mungu Ataipambania Aminah
Aamiin
Aamiin yaa rabbi
Ameen Yarabb 🙏
Sheikh Rusaganya Allah akuhifadh ww na sisi . Masjid gani upo nahitajj vitabu vya history inshallah mwezi ujao nakuja tanzania kutoka nchini ubelgiji
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwenyezi mungu iokoe Palestina na sehem nyingine yenye machafuko iwe salamaa yaarab
Aamiin yaa rabbi
Jazaka Allah kheir
Razi za Alah s.w. zishuke nchi zote zilizozingirwa na machafuko ameen rabirarameen
Maashallah ❤❤mungu akujalie na moyo uwo uwo shekha wangu
Mashallah, Allah akusimamie katika kila lenye KHERY 🙏
Alhamdulilih mwenyezimungu akuhifadhi shekh
Jaza'aka Allah sheikh..
Maashaallah tabarakallah Mungu awakubalie Duazenu mlizoziomba huko nasi Allahnatufikishe kwauwezowake 🤲
aaamiiiin Aaamiiiin AllahumaAmiin YaaRaabb
Barakallahu fiyka Allah akuhifadhi
Allahumma amiiin Yarabb Allah akuhifadhi sheikh wetu
Mashaalla tabaraka lla
😭😭😭😭😭😭Sahihi shekhe mungu atunusuru huko kwetu tz nako ndio mtihani na baadhi ya viongozi wapokimaslahi Yao Tu mungu tunusuru um
Amin,Mungu akubariki kwa kutuasa sote
Amina baba Mungu akuweke tuzid kupata darasa kwako
Mashallah!!!!!
Baarakallaah shekh rusaganya
Mashaa Allah,, Allah Akbar
Allahu Akbar Allah awaifadhi
ماشاء الله تبارك الله فيك
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
ALLAH AKBAR
Mashalla hiyo kwelii
Maachaa allah Mungu akupe maicha marefu ❤❤❤
inshalllwah amin mungu akuweke myaka mingi❤❤❤
Allaahu akbar 😢❤
Allah Allah Salah. Salah ndio nguvu ya waislam.
,mashallah shehe hongera hadi nakutamani
😮Eeeeeh, kumtamani ten? 😮
MAASHALLAH
MASHAALLAH.YOTE USEMAYO NI UKWELI KABISA.HAKUNA KM AMANI.ALLAH ATULINDE NA SHARI ZOTE ZA MAADUI WA TAIFA LETU
Allahu Akibar
Mashaaallah ❤️❤️❤️
''SUBHANALLAH''
Mashaalah
MashaAllah tabaraka Allah
Hakika tunakupenda kwa ajili ya allah natunakusikiliza kutoka oman
ALLAHU AKBAR
Mashallah
Asante shehh
Upo vizuri sana sheikh ,wewe ni msomi unaongea bila chuki sio kama mganga wa kienyeji mwaipopo na vidawa vyake !
Jaman huyu msemaukwer mungu amlinde
Kuna shida gan vita ingewakuta huko Allah angewapa shahada na mngekuwa mashuhadaaa
Hakika❤
Ww mjinga hasidi unataka sheikh afikwe na balaa kwenda zako
Kwa nini hauendi wewe ukaipate hiyo bahati ya kuwepo vitani?
@@saloomidd1084mcselete malumbano kwenye dini mungu mmoja
@@zakiamohamed7611 Upumbavu aliouongea huyo hauna uhusiano wowote na dini.
Na wala Mungu hajafundisha ukajianike uzubae tu vitani ili wapiganaji wakuue kisha akupe pepo
Majini yalijenga msikiti???
Naprnda kusikia zaidi hapo mwenye anajua anipe kwa urefu pls👏
Soma kisa Cha nabii Suleiman utaelewa zaidi
Hahahahaha kumbe na wewe umeisikia hiooo!??? Kwakweli waisram wanamezeshwa uongo mkubwa sana ndo maana aslimia kubwa wanajifunza ugaidi!! Majini yajenge msikiti??????😂
❤❤❤❤
Mawahabi mpo
Vishekh ubwabwa, mambo ya vita ndo dini,hii si Amani, Amani ni qur-an iwe kweny, utawala,kazi,kutia waslam woga tu,na ibadan za riyaa
🤲🙏
Upo vzr shehe,sio mashehe wengine kama ponda na mwaipopo maana ni watu wa vurugu
Shekh yuko sawa xana ,na islam ni dini ya amani ,undugu,na ikatufundisha jinsi ya kuishi na watu ,islam dini xahihi ,yaarab tusamehe na utuongoze tunakoelekea siko
Hayoo yoteeeeee anayoyasemaaa shekhee yameandikwaa na hiyi vitaa piaa lazimaa ingetokaa allah hasemii uongoo km wewe unadirikii kuwaita mashekhee waongoo
Ukifuata vitabu vinavyiandikwa kwa kuegemea jambo fulani kwa faida ya mtu ama ukoo ni wewe binafsi kujiongeze
Shee wangu kwa historia ama vitabu tunaamini kua wneo hilo ilikuwa ni makabila ya mawili .
1: Waebrania
2:Waarabu
Eneo la Yerusalemu iliangukia chini ya Dola ya Kiislamu mwaka 638 AD chini ya Mfalme Rashidum Calphate chini ya Kiongozi OmaryAl Khatib
Omary Katibu alikabidhiwa funguo ya Yerusalemu na Kasisi wa Kirumi Sophrounius kwa mkataba maalum
Mkataba huo unaitwa "Omary Threat"
Makanisa yao hayatavujwa wala kukaliwa wala kuvujwa na hawatalazimishwa kuhacha ndini zao (Imani)
Mwaka 1291ni mwisho wa Utawala waRashidum .
Dola ya Kirumi ilichukua eneo hilo
Shee toa Elimu ya dini .
Hakuna Amani pasipo Haki
Kweli kabisa Sisi Congo tuna hamu ya Ku kimbiya. Wa Tanzania wana bahati
Munqu akuhifadhi kwa mema yko tunajifunza menqi lwa maidha yko
Wakati urusi anashambulia mara nyingi utamsikia Papa ooh watu wasio na hatia.
Mh
Unawaitaa masheekhee waongoo hiyi ndio dalilii kiamaa allah akuongozeee
Shehe usitumike shehe
Anatumika
Amani ni muhimu saaana
Zaid ya saaan kbs
Haaaaaa kumbe nanyie mna kili alipaaa je nakuhusu kuludi kwake ??
Swala safari yako imefadhiliwa na nani maana watu waponda mayahudi na mayahud ndio wanawafanya waishi bila kazi haswa masheikh
wewe umechanganyikiwa ama,ni mayahudi wa wapi hao wanaowafanya masheikh waishi
Kweli tumekuona uko palestina
Majini wanajenga mskiti iyo kipengee ebu rudia
Majin SI ni viumbe
Yaan mda mwingne uislam ni upuuuz... Ndo man nlihama.... Kaz polojo2... Na Kuwait wakrit makafir
Jichunge qauli Zako,, Allah akuongoe
Akuongoze wew yn kaziiii bugz2 mnaniuziiii mpuuziii wew... Et ubuxu jiwe, iv hamjasanuka2.....toka zenu hkooooo
@@IssaSaid-vf3lgmwenzako mm tulihama pamoja
@@IssaSaid-vf3lg
Kenge wewee sasa uku mnanyemelea nn
Majini wanajenga msikiti 😮
Kipi hujakielewa hapo ambacho unataka ueleweshwe?
Hawa wavaa kobazi wanapenda kudanganyana sana! Kila wakati kutukuza majini! Suleiman mwenyewe hakuwa mwarabu na kipindi hicho hapakuwa na Uislam bali ni Mwisrael!
Ni satanic stori za mtume wao Uchwara!
Hii dini ya Shetani kwa asilimia mia moja,eti Yesu na Musa na Ibrahim walikuwa kwenye hii dini ya majini
@@mwassamwassa7264 hivi unamjua Mtume Suleiman alikuwa nani na alitunukiwa Nini na M/Mungu?ngoja nikusaidie,alikuwa ni Nabii na Mtume wa Mungu.Mwenyezi Mungu alimpa Ufalme Mtume Suleiman na utajiri mkubwa sana.lkn pia alimjaalia Utukufu kiasi aliweza kuwaongoza binaadam,Majini,ndege,wadudu na hata wanyama,na wote hao walimtii.wote walikuwa chini ya amri yake katika Muongozo uliokuwa Bora wa kumjua Mungu na kutaka viumbe wote wamuabudu Mungu mmoja tu.Sasa ikiwa hvyo ndivyo ilivyokuwa atashindwa kuwaamrisha Majini kujenga msikiti?kama alimtuma ndege hudhud atashindwa kuwatuma Majini?
@@mwassamwassa7264 lakini pia nakwambia jambo ambalo hulifaham kabisa,wapo Majini wachaMungu kuliko hata baadhi ya Wanaadam.Ukitaka kujifunza zaidi unaweza kutafuta reference zaidi Ili kujifunza zaidi,lkn ukibisha na Hali ya kuwa hujui,tafsiri yake hutaki kujifunza
Nimekuelewa
Wangine anajua ikitokea hapa kuna watu wengine watakimbia wao atabaki mnachelewa akili matope
Dini ya ukwei
Mnapozunguzia amani basi zungumzieni na haki
Wakiristo wote ni mbwa
Watanzania tujifunze yanayotokea nnje jmn
Ndio tunaskia anacho tuambia mualimu sasa nini ugomvi wa hawa jamaa ili wa islam tujue kama wanafia mskiti wa baiyil maqadas ao ardhi. Maana yutapo kuta wanafia ardhii sisi haituhusu ila kama wanafia mskiti kila muislam twende tukapambanie haqi yetu
Shehe amani ipo lakini yapo mandamono ya amani shehe ama unabahasha wapewa kila mwezi
Mfano anao utoa auendani na Mambo ya Palestina, Nahisi anazungumza Jumla Jamala
Kwa hiyo unawasiliti kina sheikh Ponda na sheikh Kundecha na waislamu wote wa Tanzania wanaotaka kuandamana kupinga mitaala ya serikali juu masomo ya duni mashuleni
Kiwango chako cha kufahamu anayosema huyo shekh ni kidogo sana huwezi kumuelewa.
Apo kwenye kuandamana nime kuelewa siendi
😂😂😂
Ety inchi ilikuwa yenu,
Muisilamu wa kweli huyu,sio mfuata mkumbo
Allah amuhifadhi
Shehk ana tuambia ukweli nyiyi mna comet upumbavu
Sio kweli mengi niyauwongo
@@maalimhamad1297 ukweli unaoujua wewe ni upi? Na kwa nini usiuseme huo ukweli mapema kuliko kungoja mwingine aseme halafu wewe useme asemayo mengi ni uongo?!!!
@@maalimhamad1297kama lipi lauongo
Ujinga huu anayesikiliza ni mpalestina tu mnamgusa Israel? Yakobo ni hatari dunia itapigwa na israel
Aibu tupu dunia nzima inaandamana kupinga mauaji ya Palestine ila nyie tz tu kimyaaa! Mnakaa kuhubiriana talaka na maulid ovyooooooo
Kwahiyo wale waisraeli waliokufa mbona mbona hukusema?
@@erastochambila9606 kweli walikufa lkn now mauaji mara 100 zaidi ya yale jambo ambalo halikubaliki
@@vincentcharles4385 sisi tumeshafanya maandamano ya kulaani mauaji hayo ! Ila nyie huko kimyaaaa
@@erastochambila9606 hawa maustaaz watu wa RUclips tu
Haki na uadilifu ndio mambo yanasaidia kuimarisha amani mbona hamusemi mashekhe
Mfalume suleimani ndie alie kuwa ana amrisha majini alikuwa akiongea na wa dudu ndege na viumbe vingine tatizo time kalilishwa vtisho kuliko kuaminishwa ukweli mna penda ya kudanganywa ya ukweli hamya taki
Baki na ukwl wako tuache na uongo wetu
Hujatuambia kwanin Palestina hawana aman au ndo wamekufuru neema za Allah
Usiseme hivyo Hakiwi koyama mpaka wapigane waislam na mayaudi nandiyo wao wayaudi watashinda watajenga ekalulao ndiyo Dajali. Ajekukaahapo kiyama ndiyo kotasimama hikokitu laazimakitokee hataiweje kwahiyo hizo ni dalili zakuja Dajali. Allah atuepushe na fitina zake Dajali🤲
Ameen naona ndio sasa kimeingia
@@hanifatanzania7258 Allahuma Amiin
@@hanifatanzania7258 kwa Mano tukiambiwa zama za mwisho maisha yatakuwa magumu kwaiyo tusitafute njia ya kujikwamua maana lazima itokee?
Acha uongo we mzee na somalia na siria nao ilikuwaje we sema tu uyo allah wenu hana lolote😂hawezi kuwasaisia
Punzi inakudanganya
Sawa subiri ufe, ndo useme Allah hawezi kusaidia.
Leo ndo nimeamini hii dini ya uislamu na mashetwan na majin ni ndugu asilimia 100
Kwanin umeamin hvo nakuhurumia sna ww kuwa kafir ah mtihan
Hyo sio shida sababu kuna majini wanao fanya ibda yaan wapo majini walio muamini allah kwahvo sio shida tukiwa mandgu
Wako majini wema na majini waovu, neno jinni ni neno la kiarabu , kwa hiyo ukilielewa kwa namna ya kimakosa unakuwa umekosea, na Lugha ya kiswahili ina maneno meengi sana kama 90% ni ya kiarabu na mengine ni ya kibantu , kihindi , kireno, kijerumani, na kiingerza mathalan, kwa mfano walio wengi hawajui kiswahili cha neno Baiskeli yani bicycle na hivyo hivyo neno jini liko hivyo labda kama wewe unalijua tuelimishe. SHUKRAN NDUGU.
@@malak-lz6kxjihurumi wewe mwenyewe
Kafiri ulie kubuhu wewe.
Huna jipya porojo tuu waelezee umma nini chanzo cha mgogoro wa Palestina na Israeli hamjuwi ukweli au mnaogopa kuzungumza
Mimi ni mchristo ila hyu shehe yupo smart
Huyu ilikuwa abakie huko asaidie waislamu kupigana na yahudi ss kimemrudisha nn?
@@maase2023😂
@@maase2023 Ameendea ibada sio vita umeielewa hutba yake au umeharakia kucoment?
Wewe huelewek kuna sehem unajifanya muislam
Mmmhh kweli huelewi
Hamas ni dini gani hao?
Mawahabi hawampendi kabisa huyu shekh ,coments zao sio nzuri kabisa
Hahahaha hahahaha Kwa nn
Wakristo hao ndo comments zao zinakera
KUMBE MTUME ALIKUWA NA JESHI
Hata me nashangaa alqida au
😂😂😂😅Kusoma hutak n kukubal ukwel hutak subir ufe nd utaamka
Kwanini mrume apigane vita haryakuwa anapenda aman
Fatilia dini vizr utajua biidhinllah
Kumbe mtume alikuwa analazimisha watu wawe waislamu kwa nguvu za kijeshi
Umemuona au umeskia wap mwehu ww
Ukweli
Shida visa vinasimuliwa hamtaki kuelewa mnalazimisha uelewa wenu.
Wongo mtupu, Mohammed ameruka mbinguni gani?. Kumbe majini wenu waliwajengea msikitini. Majini ni malaika walioasi, Jina la Yesu pekee ndio linaweza fukuza hayo madudu. Yesu anaekupenda sheikh
Aliamlisha majini yajenge msikiti?!👀👀👀👀👀
Ndio nabii suleiman alipewaa uwezo wa kuamrisha kila kitu majini hadi upepo
Duuu aisee kumbe majini yalijenga msikiti
Cjui unashangaa nini katika uislam Allah aliumba majini na watu ili wamuabudu majini ni viumbe kama sisi na wanaulimwengu wao nao wataadhibiwaa kama binadamu sisi na na watalipwa mema kama sisi
Jini akiasi anakuwa shetani
Na mwanadamu akiasi pia anakuwa shetani
@@daatyabdul652 huo ni uongo wa mchana
Iyo story sijui unaitoa wapi nyie achana na hao makafili hawana mpango saivi wapalestina wakimkubali yesu basi mambo yote yatakuwa sawa
Mbona wanamkubali Yesu Kama mtume wa Allah (s w ).Waislam hawabaguwi mitume (A S ) kwa sababu wote wanatoka kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake .
Hawa Palestinian wanauwa watu wao wakiuwawa wanaanza kulalamika hizi dini watu wanaendesha tofauti na ilivyo takiwa
Tafuta historia kwanza ndio utajuwa huyu mzozo wala hauhusiani na dini kabisa.
Wewe kafiri kua na adabu kacheck nyerere day hanisi
@@sonnyr1899 kwahiyo ndio wake watu ,wakiuwa mnashangilia wakijibu mapigo mnalia shenzi charaza bira huruma vipalestina vingekuwa na uwezo wa Israel dunia ingekoma kwanza siku walabu wa shika technology ya dunia basi itakuwa mwisho wa dunia kama ilivyo andikwa hawana utu hata kidogo
Wewe usichanganye vitu palestina wanagombania uhuru wawo dhidi ya Yahudi rejea hotuba ya Rais mstaafu Obama umsikie
@@yusuphrashidi-dr1kb😂haya ndio majibu ya watu waendao miskitini?? Uovu na aibubtupu nenda Gaza Sasa kama unaubavu ukapambane!!!