Si kila ukweli ni wa kusema -Sheikh Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 83

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Год назад +5

    MashaAllah shekh umesema ukwl kabisa Allah akuhifadhi

  • @hamisasalehe2427
    @hamisasalehe2427 Год назад +9

    Assalaam alaykum ee umati Muhammad! ALLAH ndie atakulipa hii elimu utupayo! Shukrani kwa darsa zako hazikinai kusikiliza. Najifunza jipya kila ninaposikiliza darsa zako. Jazzakallah khair.

  • @husseinalieth4346
    @husseinalieth4346 Год назад +4

    Maasha Allah..Allah akuhifadhi

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад +17

    Ewemwenyezi mungu tujalie tuwe katika watu wako uliowachagua na utuondoshee kwa kila ulio tuharimishia yaarabi ameen 🙏🙏🙏

  • @halimasaid5781
    @halimasaid5781 Год назад +3

    Tunaelimika SI haba , Allah akujaze kheri

  • @HassaniMweluwara
    @HassaniMweluwara Год назад

    Mola akulipe kheri duniani na Akhera.

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Год назад

    Allah akuhifadh ustadh wangu maaalim wangu kheri na baraka iwe kwko

  • @suraiya3151
    @suraiya3151 Год назад +6

    Allah akutunze sheikh wetu InshaAllah 🤲🙏🏼❤️🥰💕

  • @HBoga
    @HBoga Год назад +12

    Mashallah sheikh wetu Othman Maalim. Kusema tu ukweli napenda sana kusikiliza darsa zako. Nikiwa kazini, naeka mwaidha yako na uskia raha sana kwa vile unatoa mawaidha kwa hekima na mara zengine kwa ucheshi. Mungu akuzidishie elimu na umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yako

  • @ulamaashaban8039
    @ulamaashaban8039 Год назад +4

    ALLAH ajaalie wenye kusikia na kufuata

  • @salmahussein8076
    @salmahussein8076 Год назад +1

    🙏🙏asante shekhe kwa somo zuri

  • @habibahusein3883
    @habibahusein3883 Год назад +2

    Tunajifunza mengi San kupitia mihadhara yako Allah bless you shekh Othman

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 Год назад +4

    Yahalaah tujalie mwisho mwema na shehe wetu umpe moyo usiokinai yalabi🤲

  • @AthumanSalehe-nl7di
    @AthumanSalehe-nl7di Год назад +1

    Mwenyezi mungu akulipe kila la heri shekh nasi tunaokusikiliza darasa zako atulipe inshaalah

  • @FeswalMohamedislamMohamed
    @FeswalMohamedislamMohamed Год назад

    AA shekh wangu mm Niko Kenya lamu kisiwani nakukaribisha lamu joo shekh utupe dawa uwatowe ushamba mashekh WA huku nampenda darasa lako mm tafadhali mungu akikujaliya njoo lamu tafadhali naomba shekh wangu njoo lamu wabilahi tawfik ishallah niombeya duwa na mm mwanao tafadhali Sana'a

  • @aminaSuleyman-d6y
    @aminaSuleyman-d6y Месяц назад

    Jazzallahu ghaira kwa ukumbusho sheikh wetu hakika ukwel usemayo

  • @mwanasitibakari3255
    @mwanasitibakari3255 Год назад +4

    Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie umri sheikh ss pia twajifinza kupitia mawaidh yako Allah akuzidishie malipo

  • @ZainabSoud-u3u
    @ZainabSoud-u3u 10 месяцев назад

    Naam hakika maneno yako kaka angu mashallah mashallah hongera sana sana 🤲🙏

  • @ramamganga7227
    @ramamganga7227 Год назад +1

    Allah akuzidishie kher uzid kutuelimisha in sha Allah

  • @aminaomary4889
    @aminaomary4889 Год назад +1

    Inshallah mung hakujaze khery inshallah ❤❤❤❤

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 Год назад +3

    Subhana Allah 😭😭😭

  • @rashidimrangi1953
    @rashidimrangi1953 Год назад +3

    Allah atunusuru na mashaka hayo inshaallah

  • @nadiaahishakiye8170
    @nadiaahishakiye8170 Год назад +1

    Shukrani kwadarsa🙏😊Allah akujalie mwisho mwem

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Год назад +5

    Subhana Allah...Mungu atuepushe na mambo kama haya. Amin

  • @mohamedalimwangare
    @mohamedalimwangare Год назад +5

    Shukran mjombangu @ Othman Maalim.
    Wanaudhubillahy siku hizi watu wanasambaza kwa Kutumia simu sio kwa sauti au sura ilonukuliwa.

  • @rajabmwakoyo6671
    @rajabmwakoyo6671 Год назад +1

    Allah akubariki ustadhi Othman hekima

  • @ummyibrahimu-gw6op
    @ummyibrahimu-gw6op Год назад +1

    Manshaalla nakupenda kwa Jili ya Allah

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +1

    Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 Год назад +3

    Alhamndulilah maneno ya hekima MashaaAllah

  • @dalfatsoud4867
    @dalfatsoud4867 Год назад +2

    Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe waja wake waliotakasika na atuvue na mitihani

  • @AminaKikome
    @AminaKikome Год назад

    Alhamdulillah MashaAllah MashaAllah Bismillah MashaAllah

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Год назад +1

    Shukurani sana kwa Mawaidha nzuri

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Год назад +1

    ماشاالله

  • @حسنيهاحمد-ل5ه
    @حسنيهاحمد-ل5ه Год назад +1

    Namskize Shekh Othman maalim nikiwa Saudi Arabia

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Год назад +3

    Mashallah my favourite one💞🙏

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 2 месяца назад

    Subhanallah

  • @abdulfatahhussein4087
    @abdulfatahhussein4087 Год назад +2

    Baraka za Allah juu yako sheikh Uthman

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 Год назад +2

    Mungu akujaze afia mwalim wetu

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Год назад +2

    Mashaa llah umesema ukweli kabisaaa

  • @hatungimanapatrick-tx4gv
    @hatungimanapatrick-tx4gv Год назад +1

    Maashallah 🥰

  • @tazkiamohammad9285
    @tazkiamohammad9285 Год назад

    Mashallah

  • @semugishadiddy.idrissa298
    @semugishadiddy.idrissa298 Год назад

    Manshallah

  • @yasminyusuf-1508
    @yasminyusuf-1508 Год назад +4

    ما شاء الله ❤️

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Год назад +4

    MASHA ALLAH

  • @umarusiraji1796
    @umarusiraji1796 Год назад +2

    🙏 Yaarab tuongoze jaman

  • @waralizzy-bio-bale
    @waralizzy-bio-bale Год назад +2

    Kul-hak wainkana-muuran (sema kweli japakuwa chungu)

  • @hassaniteka4639
    @hassaniteka4639 Год назад +1

    🙏🙏🙏 shukran sheikh

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 Год назад

    Yaarab tuongoze kufanya khery

  • @DadinhoSufo
    @DadinhoSufo Год назад

    ❤alalh

  • @alisulubu6840
    @alisulubu6840 Год назад +1

    Allah Akbar

  • @zaichande3412
    @zaichande3412 Год назад +2

    Shukran shekh

    • @swabraathman
      @swabraathman Год назад

      Ustadh mungu akuhifadhi akulinde akupe umri napenda darsa zako zaufaswaha wala humlengi MTU mungu akupe umri nasi atuongoze

    • @AthumaniChaurembo
      @AthumaniChaurembo Год назад

      Maa' Shaa Allah kwa kutupa waadhi unaotunasihi namna Bora ya kuishi ktk ardhi, Allah azidi kukuongoza ktk khayraati,

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Год назад

    Shukrani sana sheikh wngu

    • @saidmwidin8662
      @saidmwidin8662 Год назад

      【 ALLAH 】 tupe subra nJemaa Yah mawaidha YaLioYoo kuwa na mafundish0 boraaa kwe2

  • @dsmtourssafaris
    @dsmtourssafaris Год назад +1

    mashaallah

  • @alimzee
    @alimzee Год назад +1

    🙏🙏🙏

  • @miishhassn
    @miishhassn Год назад

    🙏🙏🙏❤🙏

  • @naimajeddara8687
    @naimajeddara8687 Год назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤👌

  • @suraiya3151
    @suraiya3151 Год назад

    🤲🤲🤲🥰🥰😍

  • @hashimwaziri3583
    @hashimwaziri3583 Год назад +2

    Swadacta

  • @extraknowledge4709
    @extraknowledge4709 11 месяцев назад

    swadakta

  • @msafiriafraha2080
    @msafiriafraha2080 Год назад +1

    mtukufu mtume s.a.w amesema kwamba al-haqqu murrah yaani ukweli ni mchungu aliendelea kwa kusema sema ukweli hata Kama unakudhuru na Quraan Karim huthibitisha kauli hiyo ndani ya surah al-Ahzab ,kuulu kaulan sadida yaani sema ukweli katika kila hali kwahiyo dini inasema watu wadumu katika ukweli hakuna kauli hizi za kusema eti uwongo umeruhusiwa katika mazingira fulani

    • @msafiriafraha2080
      @msafiriafraha2080 Год назад

      @@gallibmhammed8971 hakuna nabii aliyedanganya hata mmoja ndani ya Quraan Karim

    • @msafiriafraha2080
      @msafiriafraha2080 Год назад

      @@gallibmhammed8971 huna unachokijua katika Quraan na mashekhe wako ,manabii wote ni watu watakatifu ,hakuna Mahala waliposema uongo ,onesha aya hiyo ,wewe unabidi unioneshe aya ambayo Allah Mtukufu amesema kwamba nabii Ibrahim a.s alisema uongo (auzubillah mindhaaliq)

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Год назад +1

    Muhammad Bachu must learn from sh othman muallim

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 Год назад +1

    mbona sauti inakatika saaaana?

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Год назад +1

      Kulikuwa na tatizo la kiufundi Pole

    • @hamadigwau1889
      @hamadigwau1889 Год назад +1

      Ni ukweli wenye uhakika ndani yake

    • @sadakheri1795
      @sadakheri1795 Год назад +1

      Mashaallah mungu awapeni upendo zaidi nazaidi kutuelimisha mwalimu wetu

    • @mdika3811
      @mdika3811 Год назад

      @@kalamuMedia🙏🙏

  • @mdika3811
    @mdika3811 Год назад +1

    Mashallah

  • @zakariasaliim6051
    @zakariasaliim6051 Год назад +3

    Mashallah