ARBAAFOGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.....SHEIKH MSABAH UPO VIZURI SANA NA UMEISHI BARA NA KUPATA EXPERIENCE KUBWA MNO NIMEGUNDUA HILO KUPITIA MAWAIDHA YAKO......
Allah akuongoze nivizuri kutojiziwiya kuendeleza kunogesha Ilimu ungeza kuzidisha kutafuta Ilimu umekoseya sana kusema kama sote pamoja na mashia nikitu moja ( nazani kulani walio Riziwa na Allah kwakudai kama kuriziwa kwao hakufai je ? Watu hao ni katika sisi)
samahani irudie hadithi imeanza kila mmoja katika umawangu wataingia peponi isipokua atakaekataa ,,,,,,, kwahivo hiyo sehem ya mwisho ishaelezewa mwazo ndiomaana mtume swala llahu alaihi wasalama amemalizia atakaeniasi amekataa sasawewe unasema mtume hakusema ataingiamotoni wakati hadithi ishasema illa man abaa
Mtume mhd (s w s) alipigwa mawe !!akaulizwa na Malika tuwafanye nin alicho jibu mtume aliwasameh huwenda haw vizaz vyo wakaw waumin Ila haw wezetu kanzu za cptula moton hay nenden nyny
Jee Sheikh wetu adhimu,tunakuomba tukujue,wewe katika maoni yako,upo wapi katika upande wa maulidi,tunajaribu kukutafuta katika mahafali haya maulidi hatukuoni,au upinzani wako upo baridi,au huku wataka na kule wataka,naomba jibu sheikh wangu.
@@sadiqselengu4197 Sasa kama hukuuliza utachukua elimu vipi,kuuliza si ujinga,Ndo kupata kufahamu,tunataka kujua analolifata yeye,ili tupata kuelimika,kama hafahamiki anayoelezea katika kipi tukifuate,hiyo itakuwa ni elimu gani vipande vipande isiyokamilika,isiyokuwa na jibu?,unayoifahamu wewe?,Suala linakuja tena,jee yeye msimamo wake,anamsimamia Mtume kwenye maulidi?tunauliza ili tupate elimu, na tuifuate njia ya haki.
@@sabraham5308 Kwan akiwa mtu maulidi huwezi kupata elimu kutoka kwake au akiwa mtu asihamasika na maulid huwezi pata elimu.. Hakuna elimu nyingine zaidi ya kumjua mtu ni wa maulid au wahabi??? Nw hana kosa..... ila Unataka ujue itikadi yake ili akiwa tofauti na wewe ili umkosoe.. na Huo jahili jamaa yangu badili fikra zako na ufuate nini mtu anatoa ktk elimu yao sio kumjua mtu nini anafuata ktkt minendo na itikati yake.
@@sadiqselengu4197 Sasa unatoka nje ya mada,sasa unanilisha dhamira kwa fikra na mawazo yako,kutafuta elimu kwa kuuliza,ikiwa unaitafuta njia ya haki,sifikirii kama ni vibaya,,watu walimuuliza mtume masuala ya kila aina,na haikutokea ikawa vibaya,na hio ndio sifa ya Uislamu,kipi kifichwe,kwa nini,kuitafuta haki ya kuifuata,nadhani labda kwa wewe kutokana na upeo wako wa elimu na kujifahamu ndio tatizo,na unaelekea katika fikra au dhana mbaya,mimi Ninachotaka kwa sheikh,.Nuru au mwongozo wa haki kutoka kwake,hilo sio kosa,narudia kuuliza si ujinga.
Mbona wenda kinyume na maana ya "kugoma". Uliifasiri kukataa katakata. Sasa wasema Mashia ni katika wa peponi, na mpaka leo wanaitakidi Quraan haijakamilika. Imam wao wa 12 ndiye alonayo hio.
Je mashia wanamkubali Abubakar r.a, umar r.a, othman r.a kama ni maswahaba waongofu?? Vp kuhusu Aisha r.a na Hafsa r.a wanawakubali kama ni wake safi wa mtume s.a.w
Wewe ndio Kafiri, wangekuwa sio waislamu wasingeruhusiwa kwenda Hija.....Kwa sababu mji wa Makkah na Madina hawaruhusiwi kuingia wasio waislamu...ukafiri wao ataamua Allah sio wewe.
Kwani mtu akiwatukana maswahaba anakuwa kafiri ?? Km huna elimu bora unyamaze kimyaa ..... Kuwatukana maswahaba ni ufasiqi na ni ktk madhambi makubwa . Wala sio ukafiki . Na kuivunja nyumba ya mtume km unakusudia kwa maana ya udhahiri wake bas pia sio ukafiri .. Itakua ni uafiri km mtu ataipinga qur an km vile kumsingizia mama Aisha kuwa amezini kwa sabb atakua kaipinga Quran iliokuja kumtakasa ... Waislam tusiwe wepesi kuwahukumu watu na kuwatia ktk ukafiri kwasabb km sio kweli ukafiri unamrudia yeye mwenyewe ... والله أعلم ۔۔
Hata iblisi kasoma sanaa lakini Leo yuko hali gani, na wewe sheikh umesoma lakini kwa ajili ya kuwaridhisha watu ili usionekane mbaya ila Bora uwe mtumwa wa haqy kuliko kuwa kiongozi wa batwili.
sheikh salum simtu wa maulid na anayafaham san maulud na ten kahifadhi milango yote na mtu akiend na kitab hicho anamfundisha na akialikwa mauludin anahudhuria vizur tu lakin yy simtu wa maulud lakin hawakataz watu wasisome
Wewe shekhe mwanzo nimekuona kama wamaana ulipo ingia kwa mashia nimeona kua unatetea maslahi Aliekwambia kua shia ni muislam nani? Hivi wewe unaelim kushinda wana wachuoni kama ibun taymiya na othaymiin na ibun baazi nk. Walio wakufurusha mashia? Au unatetea maslahi wewe mzee allah akuongoze nasipia.
Wacha fitina Zako za uwahabi. Hao mashekh uliowataja wameshatolewa makosa na wenye elimu. Kwa hivyo usitie watu kwenye ukafiri. Allah ataamuwa na funguo za Pepo hawako nazo mashekh zenu kina Albany na wengineo.
@@AbuuKhayraat Kazi yenu mawahabi ni kujibandika majina ya "Abu " Jina ulilopatiwa na wazee wako hulitakiTena ? Kukujibu suala lako Lita chukuwa muda mrefu na wakati huo wakukujibu Hao mashekh waliowatowa mashekh wenu makosa sina . Kama wewe ni msomi basi fanya utafiti. Kama wewe ni walee watu wanao fuata upepo kama bendera bakia katika ujinga wako . Maana nimegundua wafuasi wengi wa kiwahabi hawakusoma ni madebe matupu yasio kwisha kupiga mayowe.
@@hassanalhussein3982 Kwanza Nataka Nkuulize Swali:- Kwa Hiyo Mtume Naye Abal Qaasim Na Mkewe Ummu Abdillah (Japo Hakubarikiwa Kupata Mtoto) wamejibanfika Hawa? Au Kosa Letu Liko Wapi Kujiita Baba Fulani Baba Aisha Baba Zainab Baba Fadhili? Au Abuu Ndio huitaki wewe ianze kwayo? Usiandike Comments kwa Chuki Zikakusukuma Utapotea Na Utachukia Kitu Usichokuwa Na Elimu Nacho. *TANABAHI*
@@hassanalhussein3982 Ndugu Yangu Misingi Ya Ki Usoul Mbona Unaikiuka? Wewe Si Umeleta Tuhuma? Sasa Kipi Kinachokukwamisha Kushindwa Kuweza Kuzithibitisha au Tuhuma Zako Za Uwongo? Mbona Unaongea Kama Sio Msomi Uanombwa Ushahidi Unaanza Matusi Na Maneno Ya Kuingiana Maungoni. Usijivue Nguo zako Mbele za Watu Kaka Yangu. Jibu Hoja Kisomi.
Allah SW akulipe jazaa Kwa daawa unayoifanya, Allah atupe Pepo sote
mashallah sheikh wetu nakufaham vizur mung akuoe umri mrefu uzid kutup elimu
Mwambie shekh tunapendaa anavoo elezeaa na anavo wapa nafasii wauminii mwambieni aendeleeee hivo hivoo au zaid
Maa Sha allah shekhe wetu
M/Mungu akupe umrimrefu tuweze kupata mafanikio makubwa katika maisha ya kiislamu waumini wote inshallah
Allah akulinde, akupe afiya na umri mrefu
ARBAAFOGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.....SHEIKH MSABAH UPO VIZURI SANA NA UMEISHI BARA NA KUPATA EXPERIENCE KUBWA MNO NIMEGUNDUA HILO KUPITIA MAWAIDHA YAKO......
Mashaallah ninakupende kwa ajilii ya aallah
Mashia siyo waislam shehe hapo umekosea
Sichoki kumsikiliza shekhe wangu allah akulipe mema yote🙏
Shehe cha pombe
@@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm Daaah! Anakunywa au😀😀😀
Allah akuongoze nivizuri kutojiziwiya kuendeleza kunogesha Ilimu ungeza kuzidisha kutafuta Ilimu umekoseya sana kusema kama sote pamoja na mashia nikitu moja ( nazani kulani walio Riziwa na Allah kwakudai kama kuriziwa kwao hakufai je ? Watu hao ni katika sisi)
ALLAAH AMLIPE KHERI NA MALIPO YALIO MENGII
NASISI PIA TULIOHUDHURIA ELIMU HII
MashAllah MashAllah
Ustadh mashia ni makafiri kwa ushahidi wa vitabu vyao wenyewe
Kumbi kumbi ni tofauti na senene
Sheikh sio KItu kimoja
Ndio kwanza leo nimuone sheh Musabaha akivaa kofia (Baragashia).
Suala la kutiana motoni tunalipenda sana badala ya kuombeana dua Allah atuongowe sote
samahani irudie hadithi imeanza kila mmoja katika umawangu wataingia peponi isipokua atakaekataa ,,,,,,, kwahivo hiyo sehem ya mwisho ishaelezewa mwazo ndiomaana mtume swala llahu alaihi wasalama amemalizia atakaeniasi amekataa sasawewe unasema mtume hakusema ataingiamotoni wakati hadithi ishasema illa man abaa
Kwani hufahamu kua wengine watakua kwenye ukingo ,aaraafu wamkosoa shekh vipi
Katik dini tunahitajia mashekh aina hii
Mtume mhd (s w s) alipigwa mawe !!akaulizwa na Malika tuwafanye nin alicho jibu mtume aliwasameh huwenda haw vizaz vyo wakaw waumin Ila haw wezetu kanzu za cptula moton hay nenden nyny
Tafadhali usiandike jina la mtume hivyo ni haramu kwanza jina lake lenyewe umefupisha haileti maana bado kumsalia pia ufupishe
Maashallah
Mashia si wealam
Allah akulinde
Mashehk wetu huwatia moton masehk wengine kwadabubu tu ya ndevu subhannaallah
Jahannam inawangoja wazushi
MASHA ALLAH.
aA
Mtume ana sema tuswali kama yy alivyo swali je mashia wana swali kama mtume kama kweli wana mtaka
Jee Sheikh wetu adhimu,tunakuomba tukujue,wewe katika maoni yako,upo wapi katika upande wa maulidi,tunajaribu kukutafuta katika mahafali haya maulidi hatukuoni,au upinzani wako upo baridi,au huku wataka na kule wataka,naomba jibu sheikh wangu.
Litakusaidia nini sasa...
Chukua elimu inatosha
@@sadiqselengu4197 Sasa kama hukuuliza utachukua elimu vipi,kuuliza si ujinga,Ndo kupata kufahamu,tunataka kujua analolifata yeye,ili tupata kuelimika,kama hafahamiki anayoelezea katika kipi tukifuate,hiyo itakuwa ni elimu gani vipande vipande isiyokamilika,isiyokuwa na jibu?,unayoifahamu wewe?,Suala linakuja tena,jee yeye msimamo wake,anamsimamia Mtume kwenye maulidi?tunauliza ili tupate elimu, na tuifuate njia ya haki.
@@sabraham5308 Kwan akiwa mtu maulidi huwezi kupata elimu kutoka kwake au akiwa mtu asihamasika na maulid huwezi pata elimu..
Hakuna elimu nyingine zaidi ya kumjua mtu ni wa maulid au wahabi???
Nw hana kosa..... ila Unataka ujue itikadi yake ili akiwa tofauti na wewe ili umkosoe.. na
Huo jahili jamaa yangu badili fikra zako na ufuate nini mtu anatoa ktk elimu yao sio kumjua mtu nini anafuata ktkt minendo na itikati yake.
@@sadiqselengu4197 Sasa unatoka nje ya mada,sasa unanilisha dhamira kwa fikra na mawazo yako,kutafuta elimu kwa kuuliza,ikiwa unaitafuta njia ya haki,sifikirii kama ni vibaya,,watu walimuuliza mtume masuala ya kila aina,na haikutokea ikawa vibaya,na hio ndio sifa ya Uislamu,kipi kifichwe,kwa nini,kuitafuta haki ya kuifuata,nadhani labda kwa wewe kutokana na upeo wako wa elimu na kujifahamu ndio tatizo,na unaelekea katika fikra au dhana mbaya,mimi Ninachotaka kwa sheikh,.Nuru au mwongozo wa haki kutoka kwake,hilo sio kosa,narudia kuuliza si ujinga.
Shekhe taratibu senene tena😳
kaendelee na siasa we kopo unayepinga addawatu assafiyah
Hiyo Hadithi ya mwisho ninaomba irudiwe darsa yake!
Mbona wenda kinyume na maana ya "kugoma". Uliifasiri kukataa katakata.
Sasa wasema Mashia ni katika wa peponi, na mpaka leo wanaitakidi Quraan haijakamilika. Imam wao wa 12 ndiye alonayo hio.
Uliwah kua shia jarib kufuata mrengo wao n tofauti na inavyojazwa fitina na watu
Alosema ni ya uongo?
Je mashia wanamkubali Abubakar r.a, umar r.a, othman r.a kama ni maswahaba waongofu?? Vp kuhusu Aisha r.a na Hafsa r.a wanawakubali kama ni wake safi wa mtume s.a.w
@@Yu-jr9uf na mtume kasrm atawatukan maswahaba zake no km kamtukan mtume asa itakuwaj wawe waislam haw mbin Wanatuchanganywa
Chizi
Wewe saidi haji haujasoma vzr
Kwani Qur-an haijawatakasa maswahaba???
Mtu akiwatukana nakudai kwamba wali ritadi huyo hajaipinga Qur-an?
ruclips.net/video/fUL7yc63gHI/видео.html
hukumu ya mke kumuekea sharti mumewe asiowe mke wa pili. arabic
Hata Hawa vipepeo baadhi ya maeneo Pemba wanaita popo
Ndio hao watu wenye asili ya kigunya na kidigo
Shee ubwabwaa
Mashia makafiri boya ww, wanawatukana masahaba, pamoja Na kuivunja nyumba ya mtume, usipoteze watu, dini ni ya Allah, sema Haki
Bora shia kuliko ww
Mashia nimakafiri usitumike shekhe
Wewe ndio Kafiri, wangekuwa sio waislamu wasingeruhusiwa kwenda Hija.....Kwa sababu mji wa Makkah na Madina hawaruhusiwi kuingia wasio waislamu...ukafiri wao ataamua Allah sio wewe.
Kwani mtu akiwatukana maswahaba anakuwa kafiri ??
Km huna elimu bora unyamaze kimyaa .....
Kuwatukana maswahaba ni ufasiqi na ni ktk madhambi makubwa . Wala sio ukafiki .
Na kuivunja nyumba ya mtume km unakusudia kwa maana ya udhahiri wake bas pia sio ukafiri ..
Itakua ni uafiri km mtu ataipinga qur an km vile kumsingizia mama Aisha kuwa amezini kwa sabb atakua kaipinga Quran iliokuja kumtakasa ...
Waislam tusiwe wepesi kuwahukumu watu na kuwatia ktk ukafiri kwasabb km sio kweli ukafiri unamrudia yeye mwenyewe ...
والله أعلم ۔۔
@@ashamtumwa7226
Kivp?
Hata iblisi kasoma sanaa lakini Leo yuko hali gani, na wewe sheikh umesoma lakini kwa ajili ya kuwaridhisha watu ili usionekane mbaya ila Bora uwe mtumwa wa haqy kuliko kuwa kiongozi wa batwili.
Shekh unamuelezea hivo weye je kushajijua humshindi ibilisi Kwa chuki ulizo nazo
Ahlu bidaah
Mjifunze maana ya AHLU bidaa,,maana yake ahlu nnari,, maana yake wewe ni ahlu jannatt.
sheikh salum simtu wa maulid na anayafaham san maulud na ten kahifadhi milango yote na mtu akiend na kitab hicho anamfundisha na akialikwa mauludin anahudhuria vizur tu lakin yy simtu wa maulud lakin hawakataz watu wasisome
Wewe shekhe mwanzo nimekuona kama wamaana ulipo ingia kwa mashia nimeona kua unatetea maslahi
Aliekwambia kua shia ni muislam nani?
Hivi wewe unaelim kushinda wana wachuoni kama ibun taymiya na othaymiin na ibun baazi nk. Walio wakufurusha mashia?
Au unatetea maslahi wewe mzee allah akuongoze nasipia.
Wacha fitina Zako za uwahabi. Hao mashekh uliowataja wameshatolewa makosa na wenye elimu. Kwa hivyo usitie watu kwenye ukafiri. Allah ataamuwa na funguo za Pepo hawako nazo mashekh zenu kina Albany na wengineo.
@@hassanalhussein3982 Nani Waliowatoa Makosa Kwenye Hilo liliolezwa Na Huyo Akhy?
@@AbuuKhayraat Kazi yenu mawahabi ni kujibandika majina ya "Abu " Jina ulilopatiwa na wazee wako hulitakiTena ? Kukujibu suala lako Lita chukuwa muda mrefu na wakati huo wakukujibu Hao mashekh waliowatowa mashekh wenu makosa sina . Kama wewe ni msomi basi fanya utafiti. Kama wewe ni walee watu wanao fuata upepo kama bendera bakia katika ujinga wako . Maana nimegundua wafuasi wengi wa kiwahabi hawakusoma ni madebe matupu yasio kwisha kupiga mayowe.
@@hassanalhussein3982
Kwanza Nataka Nkuulize Swali:-
Kwa Hiyo Mtume Naye Abal Qaasim Na Mkewe Ummu Abdillah (Japo Hakubarikiwa Kupata Mtoto) wamejibanfika Hawa? Au Kosa Letu Liko Wapi Kujiita Baba Fulani Baba Aisha Baba Zainab Baba Fadhili? Au Abuu Ndio huitaki wewe ianze kwayo?
Usiandike Comments kwa Chuki Zikakusukuma Utapotea Na Utachukia Kitu Usichokuwa Na Elimu Nacho. *TANABAHI*
@@hassanalhussein3982 Ndugu Yangu Misingi Ya Ki Usoul Mbona Unaikiuka?
Wewe Si Umeleta Tuhuma? Sasa Kipi Kinachokukwamisha Kushindwa Kuweza Kuzithibitisha au Tuhuma Zako Za Uwongo?
Mbona Unaongea Kama Sio Msomi Uanombwa Ushahidi Unaanza Matusi Na Maneno Ya Kuingiana Maungoni. Usijivue Nguo zako Mbele za Watu Kaka Yangu. Jibu Hoja Kisomi.
Hiyo Hadithi ya mwisho ninaomba irudiwe darsa yake!