Masha Allah ❤ Allah akujaalie ubaki kwenye uislamu mpaka mwisho wa maisha yako mapaka mwisho wa sakratul maut kwahakika umechagua njia sahihi na Allah atakulinda na atakulipa ujira mkubwa duniani na akhera🤲🏻❤️
Mungu akulinde kwa kila ovu na fitina na sasa umekuwa Muislamu, Inshalla msafi na kila atakae kukufanyia ov, amjuwe adhabu itakuwa ikimfata atapokwenda
Yupo kazini tusishangae kuna msikiti upo Arabuni unaitwa mama Maria...tunaenda kuwa na Dini moja hao ni watu walioandaliwa na Dini kubwa kuwavuta watoto wa mama mdogo kwenye Dini moja😅😅😅
@@Zuwenamachelakbla hujatukana Soma maandiko Kwanza, YESU ndio njia ya kweli na uzima, mwapotea kwasabab hamyajui maandiko Wala uweza wa Mungu. Huyu alikuwa mhuni Kama wahuni wengine,
Majini na ss binadamu ni viumbe tumeumbwa na mungu Wako majini wakiristo na pia wako majini waislamu kw7bu mungu ametaka viumbe hwa wawili kati ya jini na binadamu wamuabudu mungu kwa hiari but malaika waoo hawakupewa hiari ya kuchagua bali lazima kwaoo wamuabudu mungu tuu
Siyo busara kumtukana mtu alie amua kufanya uchaguzi wa dini anayo ipenda yeye Kama waona mwenzako kapotea , jukumu lako ni kumuombea siyo matusi na siyo maneno makali Hatahivyo yupo sawa kimtazamo wake
Mungu akurehemu kwakweli umepotea pole Sana, unatumia nguvu kudanganya watu, Yesu huwa hatetewi anajitetea mwenyewe, fanya ufanyayo tayari ulishahukumiwa, na utakufa ktk dhambi zako kwasababu mlango wa msamaha ni mmoja tyu Naye ni Yesu pekee huko kungine kote ni upotevu ndugu acha kupoteza muda wako kwasababu huwezi kubadilisha chochote, wapo walijitahidi kupotosha lkn walishakufa na ukristo unaendelea huwezi kuupiga teke mchokoo
HUYU MCHUNGAJI AMESILIM KWA SABABU ALISHAONA UKWELI KUPITIA MAANDIKO. YA NINI KUENDELEA KUWA MGALATIA WAKATI AMEONA UKWELI. WATU KAMA HAWA MUNGU HUWAONYESHA NJIA MAPEMAA. AMÈEN❤
Sijajuta kuwa mkristo aliyeokoka hizi ni siku za mwisho mwenye kujichafuà na azidi kuwa mchafu mwenye kujitakasa na azidi kujitakasa pole yao wote wasio na YESU
Wewe ndugu umevamiwa kabsa pole ilikuwa mchungaji lakini hujuwi neno lamungu , biblia inasema YESU mwenyewe anasema kutatokea makristo wa uwongo na 10:4210:42 manabii wa uwongo kwann wewe unadili na watu wamafuta ambao wanaihubir injili kwa fitina, lakini ulikuwa mchungaji ilandani yako umebeba majini huna roho mtakatifu ndani, maana mwenye roho mtakatifu huonyeshwa yote ktk roho nakufahamu yote mwema na mabaya pole saaaàna ndugu yangu jehanam inakusubir
Ndugu zetu wana mapoovu kuwaambia amesilimu mbona watu kila leo wanatiririka kwenye uislaam na hasa imezidi vita vya Palestine vimechangia nchi za ulaya watu kusilimu mpaka makanisa mengine inageuzwa miskiti acheni povu.haya mambo yalishatabiriwa.nyakati za mwisho watu wengi wataingia ktk dini ya M/Mungu makundi kwa makundi.SURAT NASWIRI. verse 1_2
2 Wathesalonike 2:10-12 [10]na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa. [11]Kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo; [12]ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu. Kuna watu wameandikiwa kupotea kwahyo tusimshangae huyu aliyekuwa anajifanya Mchungaji. Pengine alipokuja mwanzo hakuwa na Kweli yote na hata alipokimbilia vilevile. Bado sana!
Nenda mwamakwenda uliamini usichokijua kwan yesu c alisema c wote wanaoniita bwanabwana watakao ingia mbinguni nawe i mingoni mwa hao nenda cc tutapambaa❤na tumwone❤ tumuone yesu
Yesu ambae yunaamini sio mjinga mpotevu kama nyiye na ndiyo mana unaona sisi tuko kwenye msitari iliyenyooka nyuso zetu zinanuru Zina udhu sabab tunafata injili yaukweli ambayo aliyefundisha bwana yesu.
Wwe unalazimisha ukufe mkristo kwa dini ya paulo ili ukaingie motoni tambua yesu akiwepo hakuna dini ilioitwa ukristo soma usipotee ukenda jutia kwa mungu hakuna samahani
Mm yote Sawa lkn MTU tena muislam kuniambia kuna binaadamu alioa ama aliolewa na jini Hilo wala sikubaliani nalo ila awe NI jini mahaba Tu anaemwendea MTU usingizini Hilo linawezekana Na MTU akisema wapo wanaooana BC tujue anaeozesha pia NI nani
Ma Sha Allah akuzidishie udumu katika uislamu
Mungu akubark kaka diniyahak niweslam nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye wislamu asante mungu
❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu alicho kimbilia anataka kuwa mganga wakienyeji
Hiyo Hana lolote hakua na Imani katika klisito
Masha Allah Mwenyezi Mungu humuongoa Amtakae Allah akufishe ukiwa Muislamu ili uipate pepo ya Allah
Maashallah jazakallahu kheyr Mwalimu Allah atukubali tufe tukiwa waislamu kamili
MA shaa Allah
Takbirrrrr
Allah azidi kukuongoza kakaetu
Uislamu ni dini ya haki
Pole sana
Dah! Pole sana ndugu yangu.
Masha Allah ❤ Allah akujaalie ubaki kwenye uislamu mpaka mwisho wa maisha yako mapaka mwisho wa sakratul maut kwahakika umechagua njia sahihi na Allah atakulinda na atakulipa ujira mkubwa duniani na akhera🤲🏻❤️
Masha allah mungu akuongoze ktk uislam .akupe kipaji kikubwa chakuuteteya uislam.na kuupiganiya.
Takbir
Mashallah. Mola akuongoze Inshallah
Yesu Hatetewi, pole Sana umepotea sana Mungu akusaidie sana
Soma vizuri bibilia utamuelewa
Mimi na mtetea yesu ni kweli
❤❤❤❤❤ mungu akulinde shekh
Mashallah mungu akutangulie na akufishe ktk uislamu
Mungu akujaliye usidi kudumu katika wislam
Mashallah MUNGU AKUONGOZE INSHAALLAH
Mungu akulinde kwa kila ovu na fitina na sasa umekuwa Muislamu, Inshalla msafi na kila atakae kukufanyia ov, amjuwe adhabu itakuwa ikimfata atapokwenda
Waliopotea na waongo hawatakoma kukutukana lkn Allah humuongoza amtakaye si rahic kuachana na agano la mungu mtu, allah akujaalie mwisho mwema
Jazakallwah lkheri
aisee elimu yako kubwa sanaaa
kuna wew mzee #ustazi kesi
na #ustaz mwaipopo
Mungu akuonyeshe njia angali u haiiii Bado mungu hadhihakiwiii
Wewe ni mwongo sio Mch. Mungu hadhihakiwi, achakufurahisha watu.
Achana kumkufuru Mungu wako usitume asira ya Mungu inawaka kwajili yahewa zako.kubuka Karenfonia imechomea juu yaupuunzi
Majini hayachezi mbali na mkengeufu pole sana ajenti mwenda jehanamu
Atakae ingia katika uislamu na kuujua uislamu kiukweli hawezi kamwe kurudi tena katika dini nyengine.
Allah akbar
Mnaetukana wote polen kwani hamjui mtendalo, mwenyezimungu awahurumie sana.
Mashaallaah karibu kwenye dini ya haki
Mashaallah ❤️ ❤️
Masha allah mungu akuongozea
😭 pole sana tutaonana kule
Umepotea milele, pole.
Mungu adhihakiwi chochote apandacho Mtu ndicho atakacho vuna.
Mpuuzi huyo anaabudu majini
Direct peponi "" Amiiin
Dah Wakristo! Na MwenyeziMungu mkabishie hivyohivyo
Yupo kazini tusishangae kuna msikiti upo Arabuni unaitwa mama Maria...tunaenda kuwa na Dini moja hao ni watu walioandaliwa na Dini kubwa kuwavuta watoto wa mama mdogo kwenye Dini moja😅😅😅
Huyo yesu ni binadamu km ss ila nyiny ndio mnamfanya mungu ,mungu ni moja tu mbae hata huyo yesu anamuabudu yy
Mwenyezi akusamehe mazambi yk karibu sana kwenye uisilam
Umepotea kabisaaa, Mungu akurudishe kwenye Ukristo ungali hai.
Hajapotea, amegundua Ukweli na dini ya HAKI, Mungu ambariki Sana, na wewe tunakukaribisha njooo
Ashindwe kwa jina la yesu
Wewe hukumjua Yesu vizuri.
Ww chizi umeshikiwa akili mwenzio kaiweka huru akili yake kwenye maandiko na mungu akamuongoza
Et hakumjua yesu Yan kafiri wewe endelea kung'ang'ania wachungaji wanaondoka
@@Zuwenamachelaningeweza ku like maneno yako mara mia moja ningefanya hivyo maana ni maneno ya maana
Uislam ni Mtamu , Asiekuwa muislamu amekosa bahati laķini mda upo.
@@Zuwenamachelakbla hujatukana Soma maandiko Kwanza, YESU ndio njia ya kweli na uzima, mwapotea kwasabab hamyajui maandiko Wala uweza wa Mungu. Huyu alikuwa mhuni Kama wahuni wengine,
Mashaallah
Yesu wew unamjua
Allh akuongoze katkatwaayak
Allahu akbar❤❤❤
Wewe nitapeli
Mungu akuongoze
Kumbe mwenyezi mungu ana dini sasa anamuabudu nani kama yeye ana dini
Manshaallah
Bismillah arahman Rahim mwenyezimung mkubwa tunakuombea dua ukifa ufe ukitamka kalma ya Laila ahillallah Muhammad rasullallah
Pole Yesu hukumjua ndio maana majini yalikupata sawasawa shetani alikuwa nyumayako pole Sana.
Pole wew uliopo kizani na Paulo wako
Kwani wakristo hawana Majin mwenzenu yupo njia sahihi
Majini na ss binadamu ni viumbe tumeumbwa na mungu
Wako majini wakiristo na pia wako majini waislamu kw7bu mungu ametaka viumbe hwa wawili kati ya jini na binadamu wamuabudu mungu kwa hiari but malaika waoo hawakupewa hiari ya kuchagua bali lazima kwaoo wamuabudu mungu tuu
She tani yuko nyuma yake 😅😅😅😅 wewe jeee
Polen msio waisilam
Alla akujalie kwa kuwa muisilamu inshalla mpaka siku ya kiama
Siyo busara kumtukana mtu alie amua kufanya uchaguzi wa dini anayo ipenda yeye
Kama waona mwenzako kapotea , jukumu lako ni kumuombea siyo matusi na siyo maneno makali
Hatahivyo yupo sawa kimtazamo wake
Mungu,,akuongeze,,hekima,,
Mungu akurehemu kwakweli umepotea pole Sana, unatumia nguvu kudanganya watu, Yesu huwa hatetewi anajitetea mwenyewe, fanya ufanyayo tayari ulishahukumiwa, na utakufa ktk dhambi zako kwasababu mlango wa msamaha ni mmoja tyu Naye ni Yesu pekee huko kungine kote ni upotevu ndugu acha kupoteza muda wako kwasababu huwezi kubadilisha chochote, wapo walijitahidi kupotosha lkn walishakufa na ukristo unaendelea huwezi kuupiga teke mchokoo
Mkisikia ukweli ndio mwaugeuza uongo
Sasa Yesu yupi yule mwana wa mariam au yupi
HUYU MCHUNGAJI AMESILIM KWA SABABU ALISHAONA UKWELI KUPITIA MAANDIKO.
YA NINI KUENDELEA KUWA MGALATIA WAKATI AMEONA UKWELI. WATU KAMA HAWA MUNGU HUWAONYESHA NJIA MAPEMAA.
AMÈEN❤
Alikuwa Mchungaji wa Kanisa Gani? @@mombasa0076
@@mombasa0076kweli kabisa alhamdullilah
Sijajuta kuwa mkristo aliyeokoka hizi ni siku za mwisho mwenye kujichafuà na azidi kuwa mchafu mwenye kujitakasa na azidi kujitakasa pole yao wote wasio na YESU
Takbiiiiiiiir
Tafsiri yake
takbiri. Mtukuze Mungu
alahu akbari Mungu ni mkuu
Ulikuja kanisani kupeleleza mafuta ya upako tu lakini siyo kujifunza neno la Yesu. Ndiyo maana umepotea milele.
Sema Mungu ndiye Ana nguvu ,kwanini hamutaji Mungu saaana bali Yesu ndiye mnatanguliza ?Yesu alimuabudu Mungu
si ahelezea,aelezea
Allah akuhifadhi
Karbu sana mchungaji
Huyu jamaa ni Mganga kabisa, anatangaza biashara...
Na kweli ana kola arudishe kola yetu avae vya huko hiyo ivue isije ikageuka ikawa tanzi kwako
Swadakta Allah akuongoze mpaka jannat
Hukumjua Yesu vizuri....Yesu na majini ni maji na mafuta..
Wew una elimu ya ukristo kumzid huyo jamaa?..maneno yako yananyesha hata biblia hauijui
Huyu ni mganga ana nadi uganga wake hapo
Safari hii Paulo anakosa wachungaji wanabakia wafata mikumbo tu
Hawa wakristo hata asilimi Papa wa Vatican, mtasema hakumjua yesu
Basi kama sisi nimajini,na nyiye ni mashetani.wapotevu wakubwa uyo mungu kamuepusha na shetaniii
Wewe ndugu umevamiwa kabsa pole ilikuwa mchungaji lakini hujuwi neno lamungu , biblia inasema YESU mwenyewe anasema kutatokea makristo wa uwongo na 10:42 10:42 manabii wa uwongo kwann wewe unadili na watu wamafuta ambao wanaihubir injili kwa fitina, lakini ulikuwa mchungaji ilandani yako umebeba majini huna roho mtakatifu ndani, maana mwenye roho mtakatifu huonyeshwa yote ktk roho nakufahamu yote mwema na mabaya pole saaaàna ndugu yangu jehanam inakusubir
Ndugu zetu wana mapoovu kuwaambia amesilimu mbona watu kila leo wanatiririka kwenye uislaam na hasa imezidi vita vya Palestine vimechangia nchi za ulaya watu kusilimu mpaka makanisa mengine inageuzwa miskiti acheni povu.haya mambo yalishatabiriwa.nyakati za mwisho watu wengi wataingia ktk dini ya M/Mungu makundi kwa makundi.SURAT NASWIRI. verse 1_2
Mwabuduni mungu wa kweli, yesu sio mungu bali ni nabii aliyetumwa kwa watu km mitume wengine. Fungueni macho mpate kuona njia ya uzima.
Biblia inasema, alikuwa kwetu lakini hakuwa wa kwetu, maana kama kweli ulikuwa mchungaji halafu umedrop mpaka hapo ulipo, pole
❤❤❤
Makafiri wanachukia kwanini sasa
hayo yote acha myafanye ma protestant msio mjua mungu
Hangera sana umesalima na jahannam
Sasa uislamu si ushetani labisa😂
Kwaiyo yesu umjui au vp?
Sema wewe mmegombana na wachungaji wenzako katika ma silahi ya sadaka ndomaana umehama imani nyinyi ndio wale aliye wasema yesu
NYINYI MTUKANENE LAKINI UWO TIO UKWELI USILAMU NDIO DINI YA HAKI ISIWAHADAE DUNIA MKIFUMBA JICHO MTAJUTA
2 Wathesalonike 2:10-12
[10]na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.
[11]Kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo;
[12]ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.
Kuna watu wameandikiwa kupotea kwahyo tusimshangae huyu aliyekuwa anajifanya Mchungaji. Pengine alipokuja mwanzo hakuwa na Kweli yote na hata alipokimbilia vilevile. Bado sana!
Pepo huyu aokoke bila hivyo ataishia uganga wa kienyeji
Hakuna cha ukorofi kaona mwanga ameufuata ametoka gizani
Kwel wewe ni mpuuuz mara 💯 na zaid ya 100, utapigwa kuliko paulo na upofu utapigwa
Wewe ndio mpuuzi unaye mwabudu mwanaadam mwenzio kwa upumbavu ulonao
Mungu akuongoze akupe Kila la her
Nenda mwamakwenda uliamini usichokijua kwan yesu c alisema c wote wanaoniita bwanabwana watakao ingia mbinguni nawe i mingoni mwa hao nenda cc tutapambaa❤na tumwone❤ tumuone yesu
Wewe baba kwenda uko, umerogwa wewe. kakumbatiwe na majini uko tuache sisi na ukiristo wetu na YESU wetu.
Majin? Kwani huaga mnaombeaana nini kanisani na kupandisha mashetani 😅😅😅😅😅 kabla hujaongeafikiria
Mchungaji wa kweli hawezi kumuacha Yesu Kristo na kwenda kwa shetani
Mfuasi wa Paulo inauma Sana Kwa mtu kuacha ukafiri
Pole kumkosa Yesu umechanganyikiwa
Haswaa ila anayo yaonyesha hapa niya kanisa tupu
Pole na wewe uliebaki ktka upotevu
Sasa uyo yesu wako akimkosa atakuwa amemkosa mungu ?nakuuliza wewe mjinga.
Sasa uyo yesu wako akimkosa atakuwa amemkosa mungu ?nakuuliza wewe mjinga.
Yesu ambae yunaamini sio mjinga mpotevu kama nyiye na ndiyo mana unaona sisi tuko kwenye msitari iliyenyooka nyuso zetu zinanuru Zina udhu sabab tunafata injili yaukweli ambayo aliyefundisha bwana yesu.
Falaww hujuiktu achaujingaww
1 yahana 2/19 umetimiza madiko
Acha usanii wew huna lolote hujawahikuwa mchungaji wew,Mungu yupi wew aliekufanya uislamu??????
Wwe unalazimisha ukufe mkristo kwa dini ya paulo ili ukaingie motoni tambua yesu akiwepo hakuna dini ilioitwa ukristo soma usipotee ukenda jutia kwa mungu hakuna samahani
Wakristo wakiona hivi inawakera wanachukia hata kama ilikuw wanamjua wanajifanya hawamjui
Bado hujaslim usingeendelea kuvaa kola ya kichungaji....
Hata hauwendani kuwa mwanawayesu maigizo nimekuhama bule
Hauna akili
Wewe ndio mwenye akili unaye mwabudu binadamu mwenzio
Mmmm kama umepotea umepotea mwanakulaaniwa utachomwa na moto wa jeanamu unamkana yesu wewe ndo umepotea kabiza
Siku moja atarudi ndo maana havui vivazi vya watu...
Mm yote Sawa lkn MTU tena muislam kuniambia kuna binaadamu alioa ama aliolewa na jini Hilo wala sikubaliani nalo ila awe NI jini mahaba Tu anaemwendea MTU usingizini Hilo linawezekana
Na MTU akisema wapo wanaooana BC tujue anaeozesha pia NI nani
Nyie m nae mpa pole huyo jamaa na nyinyi mda simda mrefu mtasilimu.
Allah humma aminnniii
umehama dini mbona povu linakutoka dini sio siasa kasome isaya 9:6 nakuendelea we mamluki sio mkristo
Huyu kanuniliwa ili auchafue ukristo eti kavaa sauti,huna hata nembo ya yesu wewe,'i muisramu,unaogiza tu,
Wewe nitapeli tu,wewe ni ajeti aliyejificha ndani ya kanisa sasa Mungu ameamuwa kukuweka hadhalani