- Видео 202
- Просмотров 439 355
AlbayaanTv
Танзания
Добавлен 25 окт 2018
Al Bayaan Online TV ni kitengo cha Al Bayaan Dua Centre kuwafikia walio karibu na mbali kwa njia ya mtandao ili kuwafikishia Elimu, Dua, Nasaha, Matukio ya kidini na pia kufanya daawa kwa Waislamu na wasiokua Waislamu
JENEZA_NALO_LASEMA-[SHEIKH_MOHAMMED_IDDI}
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
Просмотров: 30
Видео
UMAUT BAADA UMAUTI
Просмотров 384 часа назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
SIRI ZA KIROHO; GOODLUCK GOZBERT KUCHOMA GARI ALIYOPEWA NA GEOR DAVIE, MWL NDACHA ACHAMBUA MAKANISA
Просмотров 559 часов назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
UISLAMU DINI YA KUHURUMIANA {SHEIKH KIPOZEO}
Просмотров 1019 часов назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
SIRI IMEFICHUKA GOODLUCK GOSBERT KUCHOMA GARI ALIYOPEWA NA GEO DAVIE wanakuingiza kwenye ushetani
Просмотров 41921 час назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
UNAMKUTA MTU ANAJIITA SHARIFU UONGO MTUPUCHALE MWILI MZIMAMNAMILIKI VILINGE ACHENI UCHAWI
Просмотров 20День назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
SHEIKH KIPOZEO JE KAFIRI NI NANI
Просмотров 723День назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
IPM MCHUNGAJI ALIYEACHA UISLAMU NA KUWA MKRISTO ATOA SIRI YA DINI YA KIISLAMU NA UKRISTO
Просмотров 1 тыс.14 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
VIJUE VITABU 22 VILIVYO NJE YA BIBLIA YA VITABU 66 ORIGINAL INA VITABU
Просмотров 69614 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
TUUPE THAMANI YA UISLAMU ILI TUPATE FADHILA ZA ALLAH
Просмотров 16814 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
Vilema FEKI waumbuliwa na aliyekua MCHUNGAJI
Просмотров 8714 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
PROPHET IPM IBUKA JANGA LA MOTO LOS ANGELES MAREKANI AFUNGUKA KUTOA UNABII TAZAMA HAPA
Просмотров 33014 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
PROPHET IPM ATEMA CHECHE MBELE YA DR SULE ASOMA QURAN NA BIBLIA LIVE ATAJA WANAOMCHUKIA LIVE LAZIMA
Просмотров 1,3 тыс.14 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
MWL NDACHA AUNGANA NA WAISLAMU KUMPINGA MWL DANIEL MWANKEMWA KISA KUMWITA YESU NI MUNGU MKUU
Просмотров 29314 дней назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
SHEIKH_KIMWELI_ATAJA_SAYANSI_YA_QURAAN
Просмотров 2621 день назад
NDUGU MTAZAMAJI WA CHANNEL YETU USIACHEKUFATILIA NA KU SUBSCRIBEB HII COMMENT
IJUWE SIRI YA KIFO CHA MWIMBAJI WA INJILI
Просмотров 16321 день назад
IJUWE SIRI YA KIFO CHA MWIMBAJI WA INJILI
ELIMU_KUHUSU_UISLAMU[SHEIKH_SHAFII_NA_DOCTAR_KIMWELU
Просмотров 2921 день назад
ELIMU_KUHUSU_UISLAMU[SHEIKH_SHAFII_NA_DOCTAR_KIMWELU
MCH NDACHA NA SHEIKH MWAIPOPO KUJADILI KATI YA UKRISTO NA UISLAMU IPI DINI YA KWELI YA MUNGU
Просмотров 5221 день назад
MCH NDACHA NA SHEIKH MWAIPOPO KUJADILI KATI YA UKRISTO NA UISLAMU IPI DINI YA KWELI YA MUNGU
SHEIKH ANUALY AELEZEA KISA CHA MANABII
Просмотров 17028 дней назад
SHEIKH ANUALY AELEZEA KISA CHA MANABII
TOFAUTISHA UISLAMU NA WAISLAMU/SHEIKH_SHAFII
Просмотров 83Месяц назад
TOFAUTISHA UISLAMU NA WAISLAMU/SHEIKH_SHAFII
Saa yaha
Bwana Simulizi, ni kweli alio yasema huyo Mchungaji anae jiita Nabii yakuwa Bibilie imeharibiwa na mikono ya watu, methali moja: Kwenye kitabu cha Mwanzo, sura ya 19 inamsingizia Nabii Lote alizini na Mabinti wake wawili baada ya kunywesha pombe na hawa mabinti zake, vipi tuseme yakuwa Mungu ndiye aliyo yasema maneno haya ya kumtuhumu Nabii wake aliye mchaguwa mwenyewe yakuwa amezini, haya ni maneno ya kupachikwa na watu waovu
Pia Bwana Simulizi, kuna scholar maarufu duniani anahusika na historia ya maandiko ya Kikristo anaitwa Bert Ehrman ni professor kwenye University of North Carolina ameandika kitabu ( Forged ) unaweza kuki-download from the websites anaeleza kwenye kitabu hiki maandiko ambayo yanaonekana kama ni feki, methali: Waraka 1 na 2 Timotheo hayakuandikwa na Paulo bali yaliandikwa baada ya kifo chake na kadhalika kuhusu Waraka wa Tito
Pia Bwana Simulizi, kuna scholar maarufu duniani anahusika na historia ya maandiko ya Kikristo anaitwa Bert Ehrman ni professor kwenye University of North Carolina ameandika kitabu ( Forged ) unaweza kuki-download from the websites anaeleza kwenye kitabu hiki maandiko ambayo yanaonekana kama ni feki, methali: Waraka 1 na 2 Timotheo hayakuandikwa na Paulo bali yaliandikwa baada ya kifo chake na kadhalika kuhusu Waraka wa Tito
Pia Bwana Simulizi, kuna scholar maarufu duniani anahusika na historia ya maandiko ya Kikristo anaitwa Bert Ehrman ni professor kwenye University of North Carolina ameandika kitabu ( Forged ) unaweza kuki-download from the websites anaeleza kwenye kitabu hiki maandiko ambayo yanaonekana kama ni feki, methali: Waraka 1 na 2 Timotheo hayakuandikwa na Paulo bali yaliandikwa baada ya kifo chake na kadhalika kuhusu Waraka wa Tito
Bwana Simulizi, pia professor Bart Ehrman aliongea kwenye kitabu chake Forged kuhusu andiko la John 8:58 (Before Abraham was, I am ) Wakristo wanalo lipenda sana kuonyesha kama Yesu ana Ungu kwa sababu alikuweko kabla Nabii Ibrahim, professor Bart anasisitiza kama andiko hili limetungwa au limeongezwa na waandishi wa Bibilie kwa sababu vipi andiko muhimu kama hili kwenye mafundisho ya Kikristo halafu halipatikani kwe injili tatu zilizo tangulia Mathayo, Marko na Luka
Kwa jina la Yesu kila goti litapigwa, la vitu vya mbinguni na vitu vya duniani na chini ya nchi na kila ulimi utakiri kuwa "YESU KRISTO NI BWANA"
M/mungu akujalia umri mrefu uzd kuyafanya yalio mema
Kaona kwenye uislam pesa hakuna dini inafuata maandiko na mafundisho ya manabii akaingia ukristo akajipa cheo cha unabii watu wanamfuata na hata akipa cheo cha uungu kwa wakristo watamuabudu tu hawanagashida 😁😁😁😁
IPM umepotea mjomba😢
Tamaa za sadaka, na kuikumbatia dunia😢
Naomba namba ya huyu Ipm
Unashid
Ipm rudia uislam uliouwacha kabla ya uhai wako kwisha
Aungana na waisilamu kwani nyie waisilamu mnaamini yesu ni mwana wa MUNGU.
Dunia imeisha 😢
6:32 Mwalimu ile ALFAT-HA sina pingamizi ila hii ya sasa umejifunzai amwamu hii ya mama Samia ..huenda ulikesha nayo usiku jana
Jamani tutafute ukweli imani iliofundiswa na manabii ilivurugwa na tawala zilizopita Za kigiriki na zakirumi zilipo itawala israeli ikiwemo paolo baba wa imanimpya ya ukristo❤❤
Biblia si kitabu cha Mungu ispokua nimkusanyiko wavitabu vitabu ambavyo ndaniyake kunamaneno ya mwenyezimungu ❤
Ipm asisahau kuwambia wakristo ndo wapo kwenye njia sahihi .....
Naaam maustadh wangu nawapenda bila unafki
Wewee mazingeee wshooosheee wote wakae kumstari
Kwakweli Mimi siongezakitena kufatiliya mihadhala kwasababu wakristo hawanaga haya na mbele ya wafaziwao🤷
Uislam nayo din hiy au genge la wanyang,anyi tu
Uislam ni Dini ushahidi upo kwenye andiko, tupe wew ushahidi kwenye andiko ukristo dini
Huyu ana hakil Naten naomb kwa Shekh Mazing Wajing kam hawa msifany nao mdahal nimjing kabis huyu
Sasa mbona mnatoka katika ukristo mnakua waislamu ikiwa uislamu sio dini ya haki??munamfanyia Allah istihzai?
Uislamu dini ya haki Quran 3:18-19 Quran 3:84-85
Yani hawa wanafanya mchezo anatoka katika ukristo anakua muislamu kisha anasoma Quran Kwa ufahamu wake anapindisha maana ya Aya kisha anatoka katika uislamu anakua tena mkristo kisha anaanza kuushambulia uislamu
Allah akbar
Huuuuuuu uyu pasta anafanana na yombo comedy mpaka sauti
Huwezi kuwa na nyongezi ya macho uweze kusoma vizuri vitabo
Ww huna akili ata kidogo wakristo mnafeli wapi hamtaki kusoma dini nyie 😂😂😂😂 maan maandiko yapo wazi
Dah! Pole sana ndugu yangu.
Huyo yesu ni binadamu km ss ila nyiny ndio mnamfanya mungu ,mungu ni moja tu mbae hata huyo yesu anamuabudu yy
Kwaiyo yesu umjui au vp?
HADITHI ZIPO ZAIDI YA MIAI TATU
Huyo jamaa mpotoshaji mpuuzi, sijawahi kumpenda
@@hassanlibingai8811 wanatumia na kanisa Hawa
😭 pole sana tutaonana kule
Pepo huyu aokoke bila hivyo ataishia uganga wa kienyeji
Huyo mnafiki mkubwa shekh shafii ndio wale waliosomeshwa na kanisa kuja kuwapotosha waislam mpumbavu mkubwa huyo anabunibuni tu alaaniwe
Huyo analaana kubwa Sana kuwapotosha wakiristu
Sema wewe mmegombana na wachungaji wenzako katika ma silahi ya sadaka ndomaana umehama imani nyinyi ndio wale aliye wasema yesu
😢😢😢😢😢 nawahurumia sana, kwani Muhammad ni muyahudi?
Yani hata miaka mingi, huezi pata unabii kuhusu Muhammad, hakuna, Acha kubandiliza yasiokuwemo.
Shek niko na dada yangu ha miyaka mitano 5 kitandani, naomba dua zako sina huwezo wa kufika huko, lakini malipiyo nalipa kwa kutuma
Naomba hunisidie niko Moçambique
Kama hinawezwkana
@@ikrhamtv9678 inawezekana
@@ikrhamtv9678 +255758277661
@@ikrhamtv9678 tu wasiliane imo au WhatsApp
Masha allah
Mm yote Sawa lkn MTU tena muislam kuniambia kuna binaadamu alioa ama aliolewa na jini Hilo wala sikubaliani nalo ila awe NI jini mahaba Tu anaemwendea MTU usingizini Hilo linawezekana Na MTU akisema wapo wanaooana BC tujue anaeozesha pia NI nani
Wewe ndugu umevamiwa kabsa pole ilikuwa mchungaji lakini hujuwi neno lamungu , biblia inasema YESU mwenyewe anasema kutatokea makristo wa uwongo na 10:42 10:42 manabii wa uwongo kwann wewe unadili na watu wamafuta ambao wanaihubir injili kwa fitina, lakini ulikuwa mchungaji ilandani yako umebeba majini huna roho mtakatifu ndani, maana mwenye roho mtakatifu huonyeshwa yote ktk roho nakufahamu yote mwema na mabaya pole saaaàna ndugu yangu jehanam inakusubir
1 yahana 2/19 umetimiza madiko
Wewe nitapeli
Mnaetukana wote polen kwani hamjui mtendalo, mwenyezimungu awahurumie sana.
Mungu akujaliye usidi kudumu katika wislam
Makafiri wanachukia kwanini sasa
Direct peponi "" Amiiin
si ahelezea,aelezea
❤❤❤❤❤ mungu akulinde shekh