TAKBIIIR! MCHUNGAJI WA MAKANISA 48 ASILIMU NA ATOA SIRI ALIVYOTOROKA NA GARI LA KANISA ILI AKASILIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 489

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 Год назад +24

    Wow 😍😍 tunazidi kumiminika katika dini ya Allah (sw) nawapenda sana Waislamu wenzangu

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Год назад +2

    mashaallah,,,wallahy sheikh historia yako kidogo inilize.,kweli umepitia mengi kwa mitihani baada ya kuslimu kwako,mungu akuzidishie elmu yako akupe umri mrefu wenye barka na afya tele..mungu atuongozee sote ummaty mohammad.amiin.

  • @jeanbangwela
    @jeanbangwela Год назад +5

    hakika allah akuongoze na kifo ikukute hali yakuwa ukufe muislam aaamiiin

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Год назад +15

    Welcome back brother to your original faith Alhamdulilah Rabbil Aalamiin Allah bless you and all Muslims around the world. Allah Akbar

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Год назад +17

    Allah akuzidishie Umri na Afya njema Shk wetu.

    • @shabanegaddafi1511
      @shabanegaddafi1511 Год назад +1

      Allahu akbar Allahmmdulillah Allah akulipe apa duniani na kesho akhera kwakazi unayo ifanya ya Allah

  • @kineromakame7295
    @kineromakame7295 Год назад +4

    Mashaallah mashaallah Allah azidi kukuongoza sheikh ❤❤❤❤❤

  • @faizaannassir2568
    @faizaannassir2568 Год назад +9

    Allahuma barik yaa shekh . Allah akuhifadh allah akupe uzima . Na akuuingize peponi amin yaa rab Amin

  • @angle3600
    @angle3600 Год назад +67

    Karibu kwenye dini ya haki na ya kweli,mimi pia nilikua mkatholik,nashukuru mungu kwa kunionyesha dini ya haki

    • @tawakalmzee516
      @tawakalmzee516 Год назад +2

      Masha allah

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      🤣🤣🤣kwaio na wewe unamsubiri YESU aje kuua nguruwe na kuoa?

    • @davidmghanga8502
      @davidmghanga8502 Год назад +5

      Ulikuwa mkatoliki ni kweli hukua kwa YESU basi nakuita njoo kwa YESU upone yy ndiyo njia yako ilio hai ya kukupeleka kwa MUNGU

    • @angle3600
      @angle3600 Год назад +16

      @@davidmghanga8502 siezi rudi nyuma tena

    • @davidmghanga8502
      @davidmghanga8502 Год назад +1

      @@angle3600 nakuita ili ufanikiwe na faida ya kumfuata YESU ni uzm wa milele maana hakuna njia kando na YESU itakupeleka kwa MUNGU Fanya uamuzi wa busara uokoe jahazi YESU pekeake ndie alie njia ya kukupeleka uzimani bila YESU utapotea hata Muhammad atafufukuwa na YESU ahukumiwe

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Год назад +6

    Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri Sheikh ili tuzidi
    Kupata elimu ya kutufaa
    Kwa maisha yetu kesho
    Akhera.....Aameen.

  • @rahmahabibu1432
    @rahmahabibu1432 Год назад +17

    Hakika ya dini mbele ya Allah ni uislam

  • @hassankeya5281
    @hassankeya5281 Год назад +4

    Mashallah sheikh MUNGU akupe UMRI

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад +2

    ALLAH akbaru ALLAH akbaru ALLAH akbaru Hakika mwenyezi MUNGU humuongoza amtakaye hongera shekhe

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +13

    Takbiriii Allah Akbar!!

  • @khalidkamanda8154
    @khalidkamanda8154 Год назад +3

    Masha Allah, na wengne awape mwanga , na sote tudumu tukiendeleza dini ya kiislamu.

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Год назад +4

    Ma Sha Allah karibu sana kwenye dini ya haki Allah akujalie kila kheri ktk hii dini na apushe na Shari (Allahumah Amin yarabi 🙏🙏🙏)

  • @MuhsinAliy
    @MuhsinAliy 21 день назад

    Allah atuongoze sote na aturejeshe kwake sote tukiwa ni wafuasi sahihi wa Mtume (Saw)

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Год назад +3

    Waaleykum msalaam warahmatuhllah wabarakatuh Allah atakusimamia kwa kila jambo lenye kheri InshaAllah

  • @selemanihamisi-yu5uw
    @selemanihamisi-yu5uw 23 дня назад

    Masha-allah, Allah akuongoze zaidi na akuzidishie elimu yenye manufaa kwako na akujaalie mwisho mwema

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 28 дней назад

    Barakah ALLAHU fiiqum hbbi kwa kuandaa hadraa hii Mashallah ALLAH SWT awajaalie janatul firdhaus aalyah wabillah tawfiq Inshallah

  • @Tadjiliwamahaba
    @Tadjiliwamahaba Год назад +4

    Akika ALLAH NIFISHE MIKIWA MWISILAMU

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Год назад +3

    Dini ya haki mbele ya mwenywezi mungu i uislamu soma Quran lakini haikutajwa kwa vitabu dini nyingine Ila uislamu. Amini mungu na watume wote ili ukuwe safe kesho

  • @MalikiSheki
    @MalikiSheki 3 месяца назад +3

    Allah akuongoze naawaongoze waklisto waielewe njiayahakki kwasababu Allah humuongoza amtakae nakumuachakupotea amtakae

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 25 дней назад

      Allah atuongoze njia sahihi sote inshallah, na Kwa rehma zke atupe mwsho mwema amen

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 19 дней назад

    mashaallah jazzaka allahu kheri

  • @malikihusseinmbaga
    @malikihusseinmbaga 22 дня назад

    Baaraka llaah shekh. Kwakweli. Allaah akupe Afya nzuri. Na Akukinge na.maaduwi.

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад +10

    Well come bro...Allah akupe rehma na furaha Ameen

  • @maugeomar
    @maugeomar Год назад +6

    Masha Allah

  • @ramamtangi7776
    @ramamtangi7776 Год назад +3

    Allah akutanguliea akuzidishie imani

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t Месяц назад

    Allah akulipe fafhila hizo kesho na stukutanishe nawe ktk Pepo ya firdaus yake Inshaalah

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI 19 дней назад

    Pole sana sana tena nakusikitikia umefuata majinini umemuacha YESU kiristo kweli wewe ni mfuu

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 4 дня назад

      Wewe bakiatu huko mwenzako kajiepusha na moto wajehanam endelea kufutiwa zambi na wachungaji

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Год назад +3

    Allah akutunzie afya yko, nakulipe kwakila juhudi yako kwenye dini y haki,

  • @HairathyAthumani
    @HairathyAthumani 5 дней назад

    Mashaallah Allah azidi kukuongoza

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Год назад +2

    Masha Allah Ustaz

  • @jamuhurialiwazir4685
    @jamuhurialiwazir4685 5 месяцев назад +1

    Subuhana lhaaa
    Poleni Sana wahazhiri wetu alha awazidishie subira

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Год назад +2

    Waislamu ta..ta...ta...Taqbiiiiiiiiiir

  • @MejumaaRashid-s8g
    @MejumaaRashid-s8g 19 дней назад

    Subuhanallah Lailahailalla Allahu Aqbar

  • @sulimankarusi8345
    @sulimankarusi8345 25 дней назад

    Mashallah ya sheikh

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 11 месяцев назад +1

    Dini ya kwel ni .........
    Kuamin Mungu mmoja na mitume wake na malaika,,,, na hyo ndo iman ya watu wote wa kale... Hii kuamin YESU alikufa kwa ajiri ya dhambi zako, kipind yesu hajafa hao wa nyuma waliamin nn 😢

  • @MsafiriCharange
    @MsafiriCharange 2 месяца назад +1

    Mungu akutangulie shk

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад +2

    Subhanalha mungu akuongeze

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 24 дня назад

    Dini ni njia , Yohane 14:6

  • @hakizimanamariam8566
    @hakizimanamariam8566 Год назад +1

    Allahu ak'baru Allahu ak'baru Allahu ak'baru

  • @niyonkurukinana6210
    @niyonkurukinana6210 Год назад

    Ustadh luvanda allah akuhifadhi

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Год назад +6

    Maa Shaa Allaah Alhamdulillah

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Месяц назад

    Jazakallhu haira

  • @jumamgandi-wi1cp
    @jumamgandi-wi1cp Год назад +1

    Mashallah...Al Islam dini...

  • @sharifuahmed8340
    @sharifuahmed8340 Год назад +1

    Uislam Raha sana jamn daaaaaah,

  • @bilaalmuhammad9499
    @bilaalmuhammad9499 Год назад +3

    Allah hu aqbarrr

  • @RahmahMasaood-pb1wm
    @RahmahMasaood-pb1wm Год назад +1

    Mashaallah❤

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад +2

    اللهم امين يارب العالمين

  • @abbassmshaury7572
    @abbassmshaury7572 Месяц назад

    hahahaha sema sema ndg yangu na mungu atakuhifadhi inshaallah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Год назад +3

    ALLAHU AKBAR

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад

    Mashaallah mashaallah allah akujaalie kila la kher

  • @mwanaidwakanai1125
    @mwanaidwakanai1125 Год назад +3

    Allahu akbar

  • @SisterPeter
    @SisterPeter 4 дня назад

    Ulikuwaje mchungaji kivipi kama ulikua hujui Yesu ni nani hicho kiilikustahili.

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 28 дней назад

    Alhamdulilah

  • @Athmanmasini
    @Athmanmasini Год назад

    Mshllh mungu akubariki

  • @AbduMutwaribi
    @AbduMutwaribi Месяц назад

    No matter how much Western Monsters fight versus Islam , Islam Shall Never perish Inshallah

    • @ConfusedChicken-ze9fz
      @ConfusedChicken-ze9fz 24 дня назад

      Yes islam will never perish but muslims will surely perish forever if you don't believe Jesus as Saviour and redeemer of your life

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 22 дня назад

    Mashaallah 🙏🙏

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Год назад +1

    Jalla jalalu.Mungu nimkubwa

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Год назад

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x Месяц назад

    MUNGU akusamehe kwakua hujui ulitendalo

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад

    Hidaya ni kwa mungu subuhana allah alijua uhakika sithani kwamba mariyamu ni mungu NA. Wazazi wake wawili baba NA mama NA haiwezekani kwa mungu watatu sasa kabla ya kuzaliwa marriya NA kabla ya kuzaliwa yesu mungu alikuwa moja sio unajua mungu hafi milele mbona hao wamekufa NA ikiwepo kufa NA kuzikwa huo sio mungu hayo mambo sio sahihi kabisa ni shirk thambi isio samehewa milele astagfuru alla

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk Месяц назад

    Huelewi unachokitenda majini yamekuvaa ukiwa mchungaji wewe ulipenda kuoa wengi Rudi Yesu anakuhitaji.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 17 дней назад

    Hao waumini makanisa 48 wasiskike kuombolezea kiongozi wao au kuambatana naye pakoje apo

  • @khadijaaheemed3386
    @khadijaaheemed3386 Год назад +2

    AllahuAkbar

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 25 дней назад

    Allah Akbar

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Год назад +2

    Wakristo nyinyi noma mnafutiana mazambi wenyewe kwa wenyewe 😂😂😂😂 huyo anaekufutia mazambi yeye mwenyewe anamtegemea mungu amsamehe

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 25 дней назад

      Hatari sana cjui ata akili zao Zina mattzo gani Haki ya mungu

  • @StraightPathDawah
    @StraightPathDawah Год назад +1

    Kuna mwingine au ni Sheikh Isa aliyesimu zaidi ya miaka 25

  • @rashidjemadar6620
    @rashidjemadar6620 Год назад +1

    Sub-hana llah

  • @chimilasaid447
    @chimilasaid447 Год назад

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar 🙏

  • @bihayisefu8810
    @bihayisefu8810 9 дней назад

    Allahi akbar

  • @MOHAZBOY29
    @MOHAZBOY29 Год назад

    Mashallah sheikh anaitwa nani?nimevutiwa na mawaidha zake

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад +2

    Waaskofu wengi duniani wameingia katika uslaam NA wakiristo kwa mamilion wanaingia kila siku lakini hutaweza kuona muslaam kaingia ukristo

    • @allychengula3511
      @allychengula3511 Год назад

      Lengo la kuingia huko Ni kwa lengo moja tu la new world order soma biblia ndugu yangu utagundua Jambo la Siri kubwa mno linaloujia ulimwengu et

    • @hansiselemani8025
      @hansiselemani8025 6 месяцев назад

      ​@@allychengula3511
      Walio kwambio sio kweli soma dini usiambiwe

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 5 месяцев назад

      Wapo maliyo pya wanawo ingia katika ukirsto fwatiliya kwa makini sana sema ivyo utavitiya kwako

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Mashaallah Allah azidikukuongoza

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Год назад

    Masha Allah Mungu akubariki

  • @safarisafari7388
    @safarisafari7388 4 месяца назад +2

    Wachristian wanadhani hatumjui yesu😂 yani kama kunawatu wanamjua yesu niwaislam na historia yake.waislamu nikidogo duniani lakini wana power sana kushinda wachristo ambao niwengi na hamna kitu.hata mimi nilikua huko na nisarakasi tu ziko kanisani😂

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x Месяц назад

    Pole wenzio wakimbia ad Kwa kifo lakin wew Kwa akilizako unakubali kwenda jehanam duu

  • @KhamisMdzomba-w6h
    @KhamisMdzomba-w6h Год назад

    MaashaAllah

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x Месяц назад

    Hatushangai izi ni sku za mwisho vibwengu Ving vitatokea

  • @adammboma5924
    @adammboma5924 Год назад +1

    Hata huyo mchungaji Ni msanii pia hata mazinge mwamposa wote ukanda Ni mmoja

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 Месяц назад

    Imeandikwa, walikuja kwetu bali hawakuwa wakwetu.,BWANA YESU KRISTO alisema lolote utakalofunga duniani basi litafungwa na mbingun na lolote utakalofungua duniani litafunguliwa na mbinguni. ( mathayo 18:18) vilevile imeandikwa, ungamaneni dhambi zenu ninyi kwa ninyi. Yaani umemtumikia MUNGU siku zote kisha unakwenda kuzimu? MUNGU akukumbuke! Uzinduke

  • @Lungtonic
    @Lungtonic Год назад

    Msijali ata hapa Kenya wanatoka kakamega

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Год назад +1

    MASHALLAH ❤

  • @bilaalmuhammad9499
    @bilaalmuhammad9499 Год назад +1

    Mashallah ♥️

  • @MariamuSalum-bb9ov
    @MariamuSalum-bb9ov 26 дней назад

    Aaaamiiin

  • @conjestamashallo8458
    @conjestamashallo8458 11 дней назад

    Yesu hakua na wewe

  • @hamisirai6635
    @hamisirai6635 10 месяцев назад

    Subkhanallha

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x Месяц назад

    Nenda kwe uslam salama usikashifu ulikotoka

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Год назад +1

    Mbeya makafiri wengi unaweza kutembea usikute msikiti

    • @maxpesa8811
      @maxpesa8811 Год назад

      Miskiti ipo ila ni pale mjini tu ukitoka nje hupati hata mmoja

    • @allychengula3511
      @allychengula3511 Год назад

      Wew Ni muongo mbeya Kuna misikit sio mmoja, misikit Hadi ntokela upo

    • @allychengula3511
      @allychengula3511 Год назад

      @@maxpesa8811 hufaham mbeya et misikit Hadi ndaga, et

  • @eliasjoseph5742
    @eliasjoseph5742 Год назад

    Hakuna dini inayotangaza dhambi. Zote zatangaza amani. Huyo alokuwa mkristo na kuhamia uislamu hakuwa na imani

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    Mashallah Allah

  • @IDRISISMAIL-q2h
    @IDRISISMAIL-q2h Год назад

    Manshallah

  • @MariyamAbdi-ls9nl
    @MariyamAbdi-ls9nl Год назад

    Jiulize ; ni dini gani wanakata viuno kwenye nyumba Yao ya ibada wakati wa kusali? Hatari sana eti wanamchezea bwana. We ALLAH waongoze wanadamu wenzetu na SS usitupotoshe Aamin

  • @asiahmchingamah-ds3vl
    @asiahmchingamah-ds3vl Год назад +3

    Mashaallah

    • @shekhamuhham9044
      @shekhamuhham9044 Год назад

      Mashallah Barakallah fiika

    • @gaspermmari8538
      @gaspermmari8538 Год назад

      Msidanganyike mjiongeze,hayo ni maneno tuu msibabaike na dini,dini ya kweli ni Mungu tuu,pia taf.tafakari MUNGU NI nini,uachane na dini hiyo

    • @omarmwapanahd4819
      @omarmwapanahd4819 Год назад

      Makafir wote motoni

    • @gaspermmari8538
      @gaspermmari8538 Год назад

      @@omarmwapanahd4819 jiandae vizuri kwa kuwa unakoelekea ,utakuwa wa kwanza kutangulia motoni ukijidanganya una dini,jiongeze ndg yangu moto usikuwahi haujabadilika

    • @paulcharles321
      @paulcharles321 Год назад

      Huyu mwongo sana amekuwa sheik wa mchongo mambo mengi anasema uwongo huku kasema alikuwa mchungaji wa lutherani huku anasemea mambo ya kikatolic huyo wa mchongo

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Kanisa ni Roman Catholic,mengine ni madhebu. Mt.16:16-18 Kanisa haliwezi kushindwa,Je? Kuna kiongozi Gani wa Imani ambae ni mashuhuri kumzidi Papa.
    * Huwezi kuwasogelea Maaskofu Wala Mapadre wa RC.*

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 26 дней назад

    Elimu ndogo au kutokuwa na elimu kabisa huitwa ujinga na ujinga sio tusi Ni kutojua jambo

  • @kassimkipande1858
    @kassimkipande1858 Год назад

    mashaalh

  • @yahayarashid
    @yahayarashid Год назад +1

    Karibu kwenye dini ya haki

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      Yani umuache yesu urid kufuga majin na kuwa gaidi uwe ajeti wa mapepo

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 Год назад +5

    ما شاء الله ❤

    • @gemmamwajombe3169
      @gemmamwajombe3169 Год назад

      Sijajua ni kwa Nini Uislamu ilienezwa kwa Upanga naomba sababu

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад +1

      Ukitaka kujua dini ya kiislaam huko kwenu kuna mashekhe wengi sana waulize watakufahimisha sisi waaslaam tunaamini vitabu vyote ya mungu ikiwepo gruani NA tunaamini mitume mohamed mtume wa mwisho lakini hatuamini kwamba yesu ni mungu au ni mtoto wa mungu yesu ni binadamu NA mama yake ni mwanamke anakula NA atakufa tu lakini aliyeuba dunia hafi milele uslaam ilikuja kufundisha majahili lakini ilipokuja huko makaa imepigwa vita NA makafiri ikawa lazima kupambana nao ila tu wakisilimu wayapona dini ya kiislaam ni dini ya mungu NA gruani imetremshwa NA mungu kwa mtume wake mohamed uliza mashekhe huko kwenu kama shekh kashik NA wangine wengi

    • @harounkiyungi7288
      @harounkiyungi7288 Год назад

      ​​@@gemmamwajombe3169 uislamu haujaenezwa kwa upanga ila ukristo ndio uliongezwa kwa upanga ndugu fatilia historian ya crusade war ila kama itaamua kufuata propaganda za kanisa itakula kwako milele ukitaka details sema tukupatie kama hauogopi mabadiriko

    • @samuellubunga
      @samuellubunga Год назад

      Nyinyi amna baba ila sisi wakristo tunae baba

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy Год назад

      ​@@gemmamwajombe3169 wewe ulijuaje km ulienezwa kwa upanga
      Sasa SI umuulize uyo ulomsikia

  • @shadracknyandwi3062
    @shadracknyandwi3062 Год назад

    Hakuna Mchungaji anayeacha kondoo isipokuwa labda alikuwa Mchungaji wa mshahara asiyependa kondoo. Huyo alipewa uchungaji tu bila kufundishwa maana wachunaji wengine hujiingiza makanisani kimaslahi tu.

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад

      Na hamna mchungaji ata mmoja aliekua sio wa maslahi maana wote wanaujua ukweli