mashaallah,,,wallahy sheikh historia yako kidogo inilize.,kweli umepitia mengi kwa mitihani baada ya kuslimu kwako,mungu akuzidishie elmu yako akupe umri mrefu wenye barka na afya tele..mungu atuongozee sote ummaty mohammad.amiin.
@@angle3600 nakuita ili ufanikiwe na faida ya kumfuata YESU ni uzm wa milele maana hakuna njia kando na YESU itakupeleka kwa MUNGU Fanya uamuzi wa busara uokoe jahazi YESU pekeake ndie alie njia ya kukupeleka uzimani bila YESU utapotea hata Muhammad atafufukuwa na YESU ahukumiwe
Dini ya haki mbele ya mwenywezi mungu i uislamu soma Quran lakini haikutajwa kwa vitabu dini nyingine Ila uislamu. Amini mungu na watume wote ili ukuwe safe kesho
Dini ya kwel ni ......... Kuamin Mungu mmoja na mitume wake na malaika,,,, na hyo ndo iman ya watu wote wa kale... Hii kuamin YESU alikufa kwa ajiri ya dhambi zako, kipind yesu hajafa hao wa nyuma waliamin nn 😢
Hidaya ni kwa mungu subuhana allah alijua uhakika sithani kwamba mariyamu ni mungu NA. Wazazi wake wawili baba NA mama NA haiwezekani kwa mungu watatu sasa kabla ya kuzaliwa marriya NA kabla ya kuzaliwa yesu mungu alikuwa moja sio unajua mungu hafi milele mbona hao wamekufa NA ikiwepo kufa NA kuzikwa huo sio mungu hayo mambo sio sahihi kabisa ni shirk thambi isio samehewa milele astagfuru alla
Wachristian wanadhani hatumjui yesu😂 yani kama kunawatu wanamjua yesu niwaislam na historia yake.waislamu nikidogo duniani lakini wana power sana kushinda wachristo ambao niwengi na hamna kitu.hata mimi nilikua huko na nisarakasi tu ziko kanisani😂
Imeandikwa, walikuja kwetu bali hawakuwa wakwetu.,BWANA YESU KRISTO alisema lolote utakalofunga duniani basi litafungwa na mbingun na lolote utakalofungua duniani litafunguliwa na mbinguni. ( mathayo 18:18) vilevile imeandikwa, ungamaneni dhambi zenu ninyi kwa ninyi. Yaani umemtumikia MUNGU siku zote kisha unakwenda kuzimu? MUNGU akukumbuke! Uzinduke
Jiulize ; ni dini gani wanakata viuno kwenye nyumba Yao ya ibada wakati wa kusali? Hatari sana eti wanamchezea bwana. We ALLAH waongoze wanadamu wenzetu na SS usitupotoshe Aamin
@@omarmwapanahd4819 jiandae vizuri kwa kuwa unakoelekea ,utakuwa wa kwanza kutangulia motoni ukijidanganya una dini,jiongeze ndg yangu moto usikuwahi haujabadilika
Huyu mwongo sana amekuwa sheik wa mchongo mambo mengi anasema uwongo huku kasema alikuwa mchungaji wa lutherani huku anasemea mambo ya kikatolic huyo wa mchongo
Kanisa ni Roman Catholic,mengine ni madhebu. Mt.16:16-18 Kanisa haliwezi kushindwa,Je? Kuna kiongozi Gani wa Imani ambae ni mashuhuri kumzidi Papa. * Huwezi kuwasogelea Maaskofu Wala Mapadre wa RC.*
Ukitaka kujua dini ya kiislaam huko kwenu kuna mashekhe wengi sana waulize watakufahimisha sisi waaslaam tunaamini vitabu vyote ya mungu ikiwepo gruani NA tunaamini mitume mohamed mtume wa mwisho lakini hatuamini kwamba yesu ni mungu au ni mtoto wa mungu yesu ni binadamu NA mama yake ni mwanamke anakula NA atakufa tu lakini aliyeuba dunia hafi milele uslaam ilikuja kufundisha majahili lakini ilipokuja huko makaa imepigwa vita NA makafiri ikawa lazima kupambana nao ila tu wakisilimu wayapona dini ya kiislaam ni dini ya mungu NA gruani imetremshwa NA mungu kwa mtume wake mohamed uliza mashekhe huko kwenu kama shekh kashik NA wangine wengi
@@gemmamwajombe3169 uislamu haujaenezwa kwa upanga ila ukristo ndio uliongezwa kwa upanga ndugu fatilia historian ya crusade war ila kama itaamua kufuata propaganda za kanisa itakula kwako milele ukitaka details sema tukupatie kama hauogopi mabadiriko
Hakuna Mchungaji anayeacha kondoo isipokuwa labda alikuwa Mchungaji wa mshahara asiyependa kondoo. Huyo alipewa uchungaji tu bila kufundishwa maana wachunaji wengine hujiingiza makanisani kimaslahi tu.
Wow 😍😍 tunazidi kumiminika katika dini ya Allah (sw) nawapenda sana Waislamu wenzangu
MashAllah
mashaallah,,,wallahy sheikh historia yako kidogo inilize.,kweli umepitia mengi kwa mitihani baada ya kuslimu kwako,mungu akuzidishie elmu yako akupe umri mrefu wenye barka na afya tele..mungu atuongozee sote ummaty mohammad.amiin.
hakika allah akuongoze na kifo ikukute hali yakuwa ukufe muislam aaamiiin
Welcome back brother to your original faith Alhamdulilah Rabbil Aalamiin Allah bless you and all Muslims around the world. Allah Akbar
Amiin yarab
@@ummohammed8380 b.
Allah akuzidishie Umri na Afya njema Shk wetu.
Allahu akbar Allahmmdulillah Allah akulipe apa duniani na kesho akhera kwakazi unayo ifanya ya Allah
Mashaallah mashaallah Allah azidi kukuongoza sheikh ❤❤❤❤❤
Allahuma barik yaa shekh . Allah akuhifadh allah akupe uzima . Na akuuingize peponi amin yaa rab Amin
Karibu kwenye dini ya haki na ya kweli,mimi pia nilikua mkatholik,nashukuru mungu kwa kunionyesha dini ya haki
Masha allah
🤣🤣🤣kwaio na wewe unamsubiri YESU aje kuua nguruwe na kuoa?
Ulikuwa mkatoliki ni kweli hukua kwa YESU basi nakuita njoo kwa YESU upone yy ndiyo njia yako ilio hai ya kukupeleka kwa MUNGU
@@davidmghanga8502 siezi rudi nyuma tena
@@angle3600 nakuita ili ufanikiwe na faida ya kumfuata YESU ni uzm wa milele maana hakuna njia kando na YESU itakupeleka kwa MUNGU Fanya uamuzi wa busara uokoe jahazi YESU pekeake ndie alie njia ya kukupeleka uzimani bila YESU utapotea hata Muhammad atafufukuwa na YESU ahukumiwe
Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri Sheikh ili tuzidi
Kupata elimu ya kutufaa
Kwa maisha yetu kesho
Akhera.....Aameen.
Hakika ya dini mbele ya Allah ni uislam
Mashallah sheikh MUNGU akupe UMRI
ALLAH akbaru ALLAH akbaru ALLAH akbaru Hakika mwenyezi MUNGU humuongoza amtakaye hongera shekhe
Takbiriii Allah Akbar!!
Allahu Akbar
Masha Allah, na wengne awape mwanga , na sote tudumu tukiendeleza dini ya kiislamu.
Ma Sha Allah karibu sana kwenye dini ya haki Allah akujalie kila kheri ktk hii dini na apushe na Shari (Allahumah Amin yarabi 🙏🙏🙏)
Allah atuongoze sote na aturejeshe kwake sote tukiwa ni wafuasi sahihi wa Mtume (Saw)
Waaleykum msalaam warahmatuhllah wabarakatuh Allah atakusimamia kwa kila jambo lenye kheri InshaAllah
Masha-allah, Allah akuongoze zaidi na akuzidishie elimu yenye manufaa kwako na akujaalie mwisho mwema
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi kwa kuandaa hadraa hii Mashallah ALLAH SWT awajaalie janatul firdhaus aalyah wabillah tawfiq Inshallah
Akika ALLAH NIFISHE MIKIWA MWISILAMU
Dini ya haki mbele ya mwenywezi mungu i uislamu soma Quran lakini haikutajwa kwa vitabu dini nyingine Ila uislamu. Amini mungu na watume wote ili ukuwe safe kesho
Allah akuongoze naawaongoze waklisto waielewe njiayahakki kwasababu Allah humuongoza amtakae nakumuachakupotea amtakae
Allah atuongoze njia sahihi sote inshallah, na Kwa rehma zke atupe mwsho mwema amen
mashaallah jazzaka allahu kheri
Baaraka llaah shekh. Kwakweli. Allaah akupe Afya nzuri. Na Akukinge na.maaduwi.
Well come bro...Allah akupe rehma na furaha Ameen
Masha Allah
Allah akutanguliea akuzidishie imani
Allah akulipe fafhila hizo kesho na stukutanishe nawe ktk Pepo ya firdaus yake Inshaalah
Pole sana sana tena nakusikitikia umefuata majinini umemuacha YESU kiristo kweli wewe ni mfuu
Wewe bakiatu huko mwenzako kajiepusha na moto wajehanam endelea kufutiwa zambi na wachungaji
Allah akutunzie afya yko, nakulipe kwakila juhudi yako kwenye dini y haki,
Mashaallah Allah azidi kukuongoza
Masha Allah Ustaz
Subuhana lhaaa
Poleni Sana wahazhiri wetu alha awazidishie subira
Waislamu ta..ta...ta...Taqbiiiiiiiiiir
Amin🙏😂
Subuhanallah Lailahailalla Allahu Aqbar
Mashallah ya sheikh
Dini ya kwel ni .........
Kuamin Mungu mmoja na mitume wake na malaika,,,, na hyo ndo iman ya watu wote wa kale... Hii kuamin YESU alikufa kwa ajiri ya dhambi zako, kipind yesu hajafa hao wa nyuma waliamin nn 😢
Mungu akutangulie shk
Subhanalha mungu akuongeze
Dini ni njia , Yohane 14:6
Allahu ak'baru Allahu ak'baru Allahu ak'baru
Ustadh luvanda allah akuhifadhi
Maa Shaa Allaah Alhamdulillah
Allahu AKIBAR Allahu AKIBAR Allahu AKIBAR alhamdulillah
Subirini moto wa jehnam
Jazakallhu haira
Mashallah...Al Islam dini...
Uislam Raha sana jamn daaaaaah,
Allah hu aqbarrr
Mashaallah❤
اللهم امين يارب العالمين
hahahaha sema sema ndg yangu na mungu atakuhifadhi inshaallah
ALLAHU AKBAR
Mashaallah mashaallah allah akujaalie kila la kher
Allahu akbar
Ulikuwaje mchungaji kivipi kama ulikua hujui Yesu ni nani hicho kiilikustahili.
Alhamdulilah
Mshllh mungu akubariki
No matter how much Western Monsters fight versus Islam , Islam Shall Never perish Inshallah
Yes islam will never perish but muslims will surely perish forever if you don't believe Jesus as Saviour and redeemer of your life
Mashaallah 🙏🙏
Jalla jalalu.Mungu nimkubwa
Mashaallah jazakumllah kheir amiin
MUNGU akusamehe kwakua hujui ulitendalo
Hidaya ni kwa mungu subuhana allah alijua uhakika sithani kwamba mariyamu ni mungu NA. Wazazi wake wawili baba NA mama NA haiwezekani kwa mungu watatu sasa kabla ya kuzaliwa marriya NA kabla ya kuzaliwa yesu mungu alikuwa moja sio unajua mungu hafi milele mbona hao wamekufa NA ikiwepo kufa NA kuzikwa huo sio mungu hayo mambo sio sahihi kabisa ni shirk thambi isio samehewa milele astagfuru alla
Huelewi unachokitenda majini yamekuvaa ukiwa mchungaji wewe ulipenda kuoa wengi Rudi Yesu anakuhitaji.
Hao waumini makanisa 48 wasiskike kuombolezea kiongozi wao au kuambatana naye pakoje apo
AllahuAkbar
Allah Akbar
Wakristo nyinyi noma mnafutiana mazambi wenyewe kwa wenyewe 😂😂😂😂 huyo anaekufutia mazambi yeye mwenyewe anamtegemea mungu amsamehe
Hatari sana cjui ata akili zao Zina mattzo gani Haki ya mungu
Kuna mwingine au ni Sheikh Isa aliyesimu zaidi ya miaka 25
Sub-hana llah
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar 🙏
Allahi akbar
Mashallah sheikh anaitwa nani?nimevutiwa na mawaidha zake
Shk Issa John Luvanda
Waaskofu wengi duniani wameingia katika uslaam NA wakiristo kwa mamilion wanaingia kila siku lakini hutaweza kuona muslaam kaingia ukristo
Lengo la kuingia huko Ni kwa lengo moja tu la new world order soma biblia ndugu yangu utagundua Jambo la Siri kubwa mno linaloujia ulimwengu et
@@allychengula3511
Walio kwambio sio kweli soma dini usiambiwe
Wapo maliyo pya wanawo ingia katika ukirsto fwatiliya kwa makini sana sema ivyo utavitiya kwako
Mashaallah Allah azidikukuongoza
Masha Allah Mungu akubariki
Wachristian wanadhani hatumjui yesu😂 yani kama kunawatu wanamjua yesu niwaislam na historia yake.waislamu nikidogo duniani lakini wana power sana kushinda wachristo ambao niwengi na hamna kitu.hata mimi nilikua huko na nisarakasi tu ziko kanisani😂
Pole wenzio wakimbia ad Kwa kifo lakin wew Kwa akilizako unakubali kwenda jehanam duu
MaashaAllah
Hatushangai izi ni sku za mwisho vibwengu Ving vitatokea
Hata huyo mchungaji Ni msanii pia hata mazinge mwamposa wote ukanda Ni mmoja
Imeandikwa, walikuja kwetu bali hawakuwa wakwetu.,BWANA YESU KRISTO alisema lolote utakalofunga duniani basi litafungwa na mbingun na lolote utakalofungua duniani litafunguliwa na mbinguni. ( mathayo 18:18) vilevile imeandikwa, ungamaneni dhambi zenu ninyi kwa ninyi. Yaani umemtumikia MUNGU siku zote kisha unakwenda kuzimu? MUNGU akukumbuke! Uzinduke
Msijali ata hapa Kenya wanatoka kakamega
MASHALLAH ❤
Mashallah ♥️
Aaaamiiin
Yesu hakua na wewe
Subkhanallha
Nenda kwe uslam salama usikashifu ulikotoka
Mbeya makafiri wengi unaweza kutembea usikute msikiti
Miskiti ipo ila ni pale mjini tu ukitoka nje hupati hata mmoja
Wew Ni muongo mbeya Kuna misikit sio mmoja, misikit Hadi ntokela upo
@@maxpesa8811 hufaham mbeya et misikit Hadi ndaga, et
Hakuna dini inayotangaza dhambi. Zote zatangaza amani. Huyo alokuwa mkristo na kuhamia uislamu hakuwa na imani
Mashallah Allah
Manshallah
Jiulize ; ni dini gani wanakata viuno kwenye nyumba Yao ya ibada wakati wa kusali? Hatari sana eti wanamchezea bwana. We ALLAH waongoze wanadamu wenzetu na SS usitupotoshe Aamin
Mashaallah
Mashallah Barakallah fiika
Msidanganyike mjiongeze,hayo ni maneno tuu msibabaike na dini,dini ya kweli ni Mungu tuu,pia taf.tafakari MUNGU NI nini,uachane na dini hiyo
Makafir wote motoni
@@omarmwapanahd4819 jiandae vizuri kwa kuwa unakoelekea ,utakuwa wa kwanza kutangulia motoni ukijidanganya una dini,jiongeze ndg yangu moto usikuwahi haujabadilika
Huyu mwongo sana amekuwa sheik wa mchongo mambo mengi anasema uwongo huku kasema alikuwa mchungaji wa lutherani huku anasemea mambo ya kikatolic huyo wa mchongo
Kanisa ni Roman Catholic,mengine ni madhebu. Mt.16:16-18 Kanisa haliwezi kushindwa,Je? Kuna kiongozi Gani wa Imani ambae ni mashuhuri kumzidi Papa.
* Huwezi kuwasogelea Maaskofu Wala Mapadre wa RC.*
Elimu ndogo au kutokuwa na elimu kabisa huitwa ujinga na ujinga sio tusi Ni kutojua jambo
mashaalh
Karibu kwenye dini ya haki
Yani umuache yesu urid kufuga majin na kuwa gaidi uwe ajeti wa mapepo
ما شاء الله ❤
Sijajua ni kwa Nini Uislamu ilienezwa kwa Upanga naomba sababu
Ukitaka kujua dini ya kiislaam huko kwenu kuna mashekhe wengi sana waulize watakufahimisha sisi waaslaam tunaamini vitabu vyote ya mungu ikiwepo gruani NA tunaamini mitume mohamed mtume wa mwisho lakini hatuamini kwamba yesu ni mungu au ni mtoto wa mungu yesu ni binadamu NA mama yake ni mwanamke anakula NA atakufa tu lakini aliyeuba dunia hafi milele uslaam ilikuja kufundisha majahili lakini ilipokuja huko makaa imepigwa vita NA makafiri ikawa lazima kupambana nao ila tu wakisilimu wayapona dini ya kiislaam ni dini ya mungu NA gruani imetremshwa NA mungu kwa mtume wake mohamed uliza mashekhe huko kwenu kama shekh kashik NA wangine wengi
@@gemmamwajombe3169 uislamu haujaenezwa kwa upanga ila ukristo ndio uliongezwa kwa upanga ndugu fatilia historian ya crusade war ila kama itaamua kufuata propaganda za kanisa itakula kwako milele ukitaka details sema tukupatie kama hauogopi mabadiriko
Nyinyi amna baba ila sisi wakristo tunae baba
@@gemmamwajombe3169 wewe ulijuaje km ulienezwa kwa upanga
Sasa SI umuulize uyo ulomsikia
Hakuna Mchungaji anayeacha kondoo isipokuwa labda alikuwa Mchungaji wa mshahara asiyependa kondoo. Huyo alipewa uchungaji tu bila kufundishwa maana wachunaji wengine hujiingiza makanisani kimaslahi tu.
Na hamna mchungaji ata mmoja aliekua sio wa maslahi maana wote wanaujua ukweli