MKE WA MCHUNGAJI AUKANA UKRISTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 199

  • @dorothysamwel2648
    @dorothysamwel2648 Год назад +5

    Yesu ni Bwana hatutetereki, hatudanganyiki. Tutaendelea kung'ang'ana kwa Yesu mpaka mwisho wetu hapa Duniani.

  • @kalekela-j1e
    @kalekela-j1e 6 дней назад

    Tunafuatilia sana TV Mwaipopo, tunashukuru sana.

  • @jumaali8596
    @jumaali8596 28 дней назад

    Yesu hakuwa Mkristo

  • @hudhaifatissa7490
    @hudhaifatissa7490 9 месяцев назад

    ALLAH humuongoa amtakae ..... alhamdulillah
    Nyie wakristo nafsi zenu ndizo zinasema kweli dini sahihi ni ipi. Ila shaytwan anawapambia kibri ktk nafs zenu
    Ukiwa mbishi subiri siku roho inatoka
    Yaa rabby tujaalie mwisho mwema 🤲

  • @babyzuchu3866
    @babyzuchu3866 Год назад

    ALLAH Akbar subhaallah 🙏 Allah umuongoa amtakae inshaallah 😢😢

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Год назад

    Nakupenda Kwa ajili ya ALLAH' Sheikh wetu Mwaipopo

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Год назад

    Shekhe Allah Akupe Umr Mrefu Wenye Kher na ww

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Год назад

    MashaAllah,Allah Amuongoze Huyo mama kw Kuijua Haki na Ameifata,Karbu ktk Din ya Kislam din ya Haki,

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Год назад +1

    Subhanallah msiba mzito hùu Allah awahifadhi waislam na vizazi vyetu

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 10 месяцев назад

    Masha Allah, Barak Allahu feek sheikh mwaipopo,shukran jazeelan

  • @TeacherMuhsin
    @TeacherMuhsin 12 дней назад

    Allwahu Akbar

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 года назад +1

    Kazi nzury sheikh mwaipopo Kaz nzuri

  • @kabebemazambi5757
    @kabebemazambi5757 Год назад

    Mungu atuongoze 😢😢😢😢😢

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 2 года назад +1

    Mungu akujalie Kila lenye kher

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Год назад

    Mwaipopo unapenda jitahidi usome uujue Uislamu kw usahihi

  • @momadesuales
    @momadesuales Год назад

    MashaAllah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Allhamdulillah. Allah kwakukurudisha kwenye uislam

  • @salmaminja9395
    @salmaminja9395 2 года назад

    Mashallah kher minnallah. Hakika upo ktk khaki Ya Lilah. Allah Akbat

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Год назад

    Takbiri,Takbirii Allah wa kibar

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад

    Allahu akbar takbilli mashllah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +4

    Takbiriii Takbiriii Allah Akbar ! Alhamdulilah Mwenyezi Mungu amekupenda akakutoa ktk ukafiri ukarudi ktk Dini ya haki Dini ya kweli Dini ya uislam.

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 2 года назад +1

    ALLAH AKBAR , ALLAH AKBAR , ALLAH AKBAR wallillaih amdhu

  • @babauna3458
    @babauna3458 2 года назад +3

    JazakakaAllah sheikh mwaipopo ,Allah akuhifadh na akujalie mambo mazuri hapa Duniani na Akhera , Nakupenda sanaa sheikh wangu kwa msimamo wako wakuimarisha hii Dini ya Hakki.

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Год назад

    Allahu Akbr 🤲

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 года назад +1

    Ukimkana Yesu mbele za wanadamu naye atakukana mbele za Mungu.

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 2 года назад +2

      Hajamkana yesu) issa bin maryam) yesu siyo mungu, karudi kwenye dini ya yule aliyemuuba yesu)issa

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 года назад

      Kwani nyie Wakristo Mungu wenu anaitwa Nani Mara Yesu ndio Mungu hapa unatwambia ukimkana Yessu mbele ya Binaadamu atakukana mbele ya Mungu kwa hivyo unatwambia Kuna Mungu na Kuna Yussu

    • @fatmamucha4419
      @fatmamucha4419 2 года назад

      Sasa mbona mnatuchanganya Mungu ni nani na Yesu ni nani

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db Год назад

      Mm cjamuelewa Mbele ya Mungu ,Mungu Gan Yesu Atakua Mkanya Mbele

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 2 года назад +2

    Kwani kusema Yesu sio Mwana wa Mungu ahimfanyi kutokuwa Mwana wa Mungu Allah anaogopa Yesu kuwa Mwana wa Mungu unaonekana ukiwa mwiislamu ukasema Yesu kristo ni Mwana wa Mungu Allah anaumia sana na mbinguni zake na milima zinapasuka na kutetemeka wakristo tunamuumizaga Allah kwakusema Yesu ni Mwana wa Mungu atutaacha kusema mpka Allah akubari Yesu ni Mwana wa Mungu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад +1

      Tutasema YESU NI MWANA WA MUNGU mpaka mbingu na milima yake hewa ya Allah zipukutike 😂😂😂😂

    • @mansourhubby7398
      @mansourhubby7398 2 года назад

      Mungu yupi

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 2 года назад +1

      @@mansourhubby7398 Allah ni kusema mwenyezi Mungu hilo sio jina sema anaitwaje huyo au ni asiyejulikana?

    • @mansourhubby7398
      @mansourhubby7398 2 года назад

      Soma pole pole sema: muombeni mwenyez Mungu kw jina la Allah ama kw jina la arahmah.....ana majina mazuri.

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 года назад

      Nyie wakiristo hamufahamu Mungu ni Muumbaji hazai Ala hazaliwi wala hakuna aliefanana nae Yussu mtoto WA Mariam aliezaliwa kwa Miujiza kwa Neno lake tu Alla alipo mwambia zaa na Akazaa Neno alilopekewa kupita Malaika wake Jibril Yessu Si Mungu wala mtoto WA Mungu ni Mtume WA Mungu kwa Wana WA israili Yale Makabila kumi na mbili

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад

    Ndugu zangu tusomeshe watoto wajae imani,Allah atupe mwisho mwema,kuna walevi lakini juu imani huwambii kitu

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 Год назад

    ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR

  • @mponimpafred3487
    @mponimpafred3487 2 года назад +1

    Masha Allah Mungu amuwekeye wepesi

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 2 года назад

      Wakristo wote msidanganyike uislamu ni dini ila haimtukuzi Wala kumwabudu Mungu was kweli huyo Allah siyo Mungu wa kweli,hata maandiko ya vitabu vyao vyenyewe yanathibitisha Hilo.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Год назад +1

      Ukristo sio dini aliyoitangaza Yesu, dini hiyo ilianzishwa miaka zaidi ya 14 baada ya Yesu kuondoa. Dini hiyo ilianzishwa mjini Antokia nchini Uturuki na Paulo ambaye alikuwa mpinzani wa Yesu na wanafunzi wake, Paulo na Yesu hawakuwahi kuona. Yesu haufamu ukristo Wala hakuwahi kusali Kanisani, yote hayo ni kwa mujibu wa Biblia na baadhi ya wachungaji waliopo Kanisani, na wale waliosilimu.

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Год назад

      @@jamalkishangu Ukristo ni dini kwa sababu Kuna wanamuamini Yesu

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Год назад

      Yesu you pamoja na wamuaminio na kumuabudu.Kanisani yupo wakati wore,kwa vile wewe unamuelewa Yesu kimwili,ndiyo maana unataka aingie kusali kanisani.Mnadai Yesu alisali msikitini,si kweli bali alisali kwenye sinagogi.Huko alisema Yeye alikuja kwa ajili yawadhambi,si kwa ajili ya watu wema.Ndiyo maana hata nyie mnasema Yesu alisali msikitini ni kwa sababu alikuja kuwaoko ninyi kwa kuwa aliona mnadhambi nyingi

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 Год назад

      ​​@@edwardntamaboko3414 Sasa hili usemalo ili isiwe porojo, Mwenye-Enzi-Mungu wa kweli umjuae wewe aitwa nani❓
      MAANA KATIKA UISLAM, USHAHIDI UPO Q17/110

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 2 года назад +1

    Kazi kweli kweli,

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Год назад

      Ameijuwa haki ilipo,hapana kazi hapoo!

    • @binthkhamis8042
      @binthkhamis8042 Год назад

      @@mussammanga7791 kabsaa.mbona dini safi na yenye khaki bora ufatilie hutakuwa mwepesi kwa mambo yko...

    • @MathewRajabu-ko4bz
      @MathewRajabu-ko4bz Год назад

      Mnajulikan nyie kwa uongo acheni unafiki wakidini

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Год назад

    SubhuAllah allah

  • @vklhkhjji8070
    @vklhkhjji8070 Год назад +2

    Takbirr Allah Akbar. Alhamdulilah kwakurudi kwenye mwangaza nakutoka kwenye giza Allah akujalie kila lakheri

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 Год назад

    Takibirrrrrrrrrr

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 Год назад

    Mbona hamna sauti

  • @protasmathias5064
    @protasmathias5064 Год назад +1

    uongo huu, mama ni wa uongo na shekh nae ni wa uongo, wote wawili mmepotea tu, hamna vitu kama hivi kuna sababu za siri mnazijua wenyewe mmezificha tu, Mungu wangu akayaweke wazi yaliyojificha hapa najua.

    • @rahmaarrington9019
      @rahmaarrington9019 Год назад +1

      Ungetueleza na ww Siri hizo ili tujuwe Muongo nani Kati ya wahusika na ww! Au ww ndio mume wa mama huyu? Povuu!!

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 Год назад

      Boss unamjuwa huyo mzungumzaj alikuwa makers to kuliko ww na akayona hak akasilimu

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db Год назад

      Kma Uongo Tuelezee ww Ukwel ,Achaa Kufata Mazoea Din Ya Haki N Uislam 🙏

  • @HajjKhamis-yk9zz
    @HajjKhamis-yk9zz Год назад

    Hao watt kabla mama kurudi ktk uislam walikua wakifata Iman gani

  • @fundiwamoldzapevingblock6378
    @fundiwamoldzapevingblock6378 2 года назад

    Bless

  • @emmymichaelchristopher4063
    @emmymichaelchristopher4063 Год назад

    Hiyo mipango tu.Mnachukuana wenyewe Kwa wenyewe alafu unasema amerudi kwenye dini. Alafu kudanganya aina faida

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 2 года назад

    Allahu akbaru

  • @simonmwanyika8288
    @simonmwanyika8288 Год назад

    waislamu mmepigwa hapo naona mchungaji anapiga hela hapo.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад

    Kuna watu hawajasoma dini ila kwenye ukafiri hapana,tamaa ya pesa iliwashika

  • @رسكيعبده
    @رسكيعبده 2 года назад

    Wakristu rohozinawauma wislamu dini yahaki hakunampango wakumuabudu yesu

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Год назад +1

      Ole Wako Usipomwabudu Yesu Ungali Hai Maana Kuna Heri Kwa Wale Wote Wanaomwabudu Pasi Na Kumwona.

  • @salmaminja9395
    @salmaminja9395 2 года назад +1

    Jazakallah khaira Mwaipopo. Allah azid kukuongoza. Allah Akbar

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Год назад

    Mama Mungu amekupa bahati kubwa, milioni 100 sio kitu kuliko moto wa jahanamu.

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 2 года назад +1

    Masha Allah Allah awalipie kwa kazi na awajalie duniani na akheri na awaingize jana

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Год назад +1

    Subhanallah Allah ataupa uislam nguvu🤲🤚🙏

  • @omarmwajao222
    @omarmwajao222 2 года назад

    Mashallah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +2

    Subhuanallah yani hawa watu wa msalaba wananunuwa waislamu kwa gharama ivi ? Wanafanya biashara ya Dini msiba huu . Ndugu zangu Waislamu msirubuniwe na pesa tumuogopeni Mwenyezi Mungu tuogope siku nzito ya Qiama. Pesa tutaziacha hapahapa Duniani.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      Acha kuamini Kila kitu kinachosemwa hapo Huo ni UWONGO anunuliwe Kwa milioni mia moja Kwa kitu gani alicho nacho? Si bora pesa hizo tuzipeleke Kwa Watoto yatima!

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@paulmushi2428 wee kafiri naonba usinitag staki kelele na wewe. Huo muda wa kuja kubishana hapa nenda kasome bible ujuwe Je Paulo alianzisha ukristo kwasababu zipi? Kwanini Yesu hakuwa mkristo, Kwanini Makanisa yalianzishwa baada ya Yesu kuondoka. Kwanini Yesu alisujudu nyinyi mnapigq magoti ?

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@paulmushi2428 Nenda ujiulize na usome usipoteze muda wako hapa . Jiulize je iweje Yesu aseme msile Nguruwe Paulo aseme mle Nguruwe, iweje Yesu aswali ktk Sinagogi ( msikiti) Paulo awaingize kanisani, Je Paulo ni mrumi Kwanini awaletee ukristo ambao unapinzana na maandiko ya Mwenyezi Mungu. Paulo kawaambia msitahiriwe wakati Yesu alitahiriwa ? Paulo aliuwa wanafunzi wa Yesu ktk MASINAGOGI ( MISIKITI ) . Nenda jiulize Paulo ni nani ukisha mjua hutakuja kupiga kelele hapa .

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад +1

      @@nakundwamkubwe7823 Nisikutag Kwani hapa ni chumbani kwako? kama hutaki acha kuandika!! Mimi siyo kafiri je nikuonyeshe kafiri? Yuda 1:4 na Wanaokana YESU SI MWANA WA MUNGU hao ndiyo makafiri!

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад +1

      @@nakundwamkubwe7823 Unauliza habari ya UKRISTO na KANISA Soma Mathayo 16:16-18 ikusaidie
      Eti tunapiga magoti hatusujudu Mkristo anaruhusiwa kusujudu au kupiga magoti Soma Zaburi 95:1-6 itakusaidia na Kama YESU hakusujudu Kila mahali alipiga magoti acha Ibada za Ibada za kukaririshwa.

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk Месяц назад

    Wewe mama naenda tutahubiria wengine wataokoka nawewe mama tutamduombea urudii Bwana wako Yuko vizuri wewe umevamiwa.

    • @RehemaMahmoud
      @RehemaMahmoud 22 дня назад

      Dini nn nyinyi tafute njia ya kuingia kwenye ufalme wa Mungu sio uislaam njia ni Yesu

  • @omaar5693
    @omaar5693 Год назад

    mh😮 answer sunn mwamjua lakini
    hivi aritadi????
    si changa la macho jamani

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад

    Ninge chukua ml 100 alafu ni waambie ukristo siyo dini na wiislamu ndo dini sahii. Na pesa nimesha tumia.

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Год назад +1

    MASHAA ALLAH

  • @yahayahanafi3234
    @yahayahanafi3234 Год назад

    Shehe waipopo. Tupopamoja. Endelea. ,na. Dawa. Tupopamoja

  • @mponimpafred3487
    @mponimpafred3487 2 года назад

    Sheikh Mungu akubariki

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +2

    Ona dada angu ulivyo jistiri ulivyo pendeza mashallah !! Vipi ulivyo kuwa unatembea uchi kwa kuvaa vitopu na vimini ktk umri huo ? Ilikuwa aibu kutembea uchi. Uislam ni stara alhamdulilah.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      Nenda kaowe Sasa 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад +1

      @@paulmushi2428 Ataolewa na Kaka zangu wa kiislam wenye heshima zao . Me mwanamke siwezi kuowa mwanamke mwenzangu kama makafiri mnavyo owana jinsia moja 😩😀😀.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      @@nakundwamkubwe7823 Kwa kweli Makafiri ndiyo Wale wa Yuda 1:4 wanafanya hivyo si ulisikia Kule Zanzibar!! pia nashukuru kujua wewe ni Mwanamke nilikuwa sijakusoma kumbe naongea na mdada

    • @gracekikula6279
      @gracekikula6279 2 года назад +1

      Hajawahi tembea uchi huyo,anajistiri hivyohivyo dada wa watu ila kajua kutembea na mashemeji zake(kaka za mume wake)hana lolote ibilisi nnasi mtupu hapo alipo.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@gracekikula6279 Haya maneno uliyo andika utakuja kuyajibu siku ya Qiama!! Kumzushia mtu uongo ni Dhuluma! Dhuluma hii utakuja kuijibu.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 2 года назад +2

    Wewe Mwenyewe MWAIPOPO umeuacha UKRISTO ukiwa hujamjua KRISTO, huwezi KUWA MKRISTO unaye Mjua kweli kweli KRISTO ukawa Mwislamu!! YESU NDIYO NJI KWELI NA UZIMA mtu hatafika Kwa MUNGU bila kupitia kwake Yoh3:16 (YESU NI NURU YA UZIMA YA ULIMWENGU)

    • @shukujaibu7143
      @shukujaibu7143 2 года назад

      Pole kakuacha kama jiwe la maili yesu mwenyewe atakukataa

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 2 года назад

      @@shukujaibu7143 Kwa Yesu kristo ni uzima wa milele tupo Kwa Mungu wa kweli ambaye Yu hai njooni waislamu Allah hayupo hai kama yupo hai nionyeshe kwenye Quruan

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад +1

      @@shukujaibu7143 Wewe Maamuma, YESU KRISTO ndiye aliye niita na sasa ndiye ninayemfuata na nimeivaa nira yake atanikataaje? Mathayo 11: 28-30 karibu Kwa YESU KRISTO YU HAI atakayekuja kuhukumu walio hai na waliokufa akiwemo Muhamadi ambaye na yeye anasubiri kuhukumiwa Kwa sababu hajui atakachofanywa.

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад

      @@paulmushi2428 yesu ye ahukum kama nani?

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 2 года назад

      Edward Thomas
      Uislamu siyo dini ya kumtukuza Mungu,urubuni ni mwingi,ubaguzi,mauaji,ugaidi was vikundi vya kijihad vyote ni vya kiislamu,siwezi danganyika kwa uislamu,waislamu wamerubuni watoto wengi,wanapotoa huduma Kama maji unalazimishwa usilimu,washindwe na walegee kwa jina la Yesu ukristo ndiyo dini ya kweli,ukafiri ni uislamu hata vitabu vya hadithi zenu vinasema hivyo.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +3

    Shekhe Mwaipopo Kwanini unafanya kosa ulilo fanya Kwa Leyla kuweka namba ya uyu dada hapa? Sio kila anae tazama hapa ni mtu mzuri utamponzea dada watu . Watu wange mtafuta uyu dada Kwa namba yako .

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 2 года назад +1

      Kweli kabisa

    • @gracekikula6279
      @gracekikula6279 2 года назад

      Anatafuta bwana muislamu huyo,kachoka kuishi na kafiri binti wa watu,mwacheni.

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Год назад

      @@gracekikula6279 kafiri hata awe na mipesa tele,hata mimi hapana aendetuu

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 Год назад +1

      ​@@gracekikula6279 hah😂😂😂😂😂KWA HIVYO UMEKUBALI MPAKA UMEJISEMEA MWENYEWE WAKRISTO NI MAKAFIRI 😅😅😅

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk Месяц назад

    Uyo bado nimwislam huyu mama majini anayo naenda uko upotevuni umeyakumbuka mjini mwaipopo atakupa majini mengitu.

  • @michaeljoseph3118
    @michaeljoseph3118 2 года назад +2

    Ww Amnakitu Unapotosha Tu Watu Ww;

  • @romanusdominicus5184
    @romanusdominicus5184 2 года назад

    DUA INALIPIWA?

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Год назад +2

    Yesu Christo aliwambia wafuasi wake (disciples) na wote wanaomwamini kwamba nimempa Bure nanyi wapeni Bure kwa hivyo waliomuahidi shiling milioni 100 ni wahuni kama ni kweli kuna jambo kama Hilo Yesu Christo ni mwana wa Mungu na pia ni Mungu ni ngumu muislamu kuellewa mambo haya bila mwongozo wa Roho Mtakatifu wa Mungu.Mungu wa wakristo ni Mungu wa lbrahimu isaka na Jacob Yesu Christo atakuja kuja kuhukumu wanadamu wote wa dini zote duniani nithahiri kwamba ni king of kings and Lord of lords point of correction sisi wakristo tunatangaza wokovu wa Yesu Christo sio dini dini ni ya mafarisayo kuna tafauti ya wokovu na dinip loll

  • @stephanontangale4807
    @stephanontangale4807 Год назад

    My people perish due to the lack of knowledge

  • @jacksonmwafongo1917
    @jacksonmwafongo1917 Год назад

    Na Kwa ambao tupo nje kama Zambia tufanyaje Kwa malipo?

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад +2

    Ndugu zangu tuwe na msimamo na dini yetu,wallahi inahuzunisha njaa zitatupeleka motoni

  • @sharifanzunda8332
    @sharifanzunda8332 Год назад +1

    Uyo mama ni muongo hajalazimishw kuslimu ndug zang waislmu tusichoche chuki

  • @protasmathias5064
    @protasmathias5064 Год назад +1

    wote wawili hawa watakuwa ni waganga tu, hamnaga vitu kama hivi

  • @bakarali3863
    @bakarali3863 2 года назад

    Ikiwa hajaolewa tupo tayari kumfanyia nusra ya ndoa

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      Kaolewa na anawatoto wakubwa ila kwasababu amerudi kwenye Uislam sheikh anetaka aachane na mumewake yaani ndoa ivunjwe

  • @AthumanKinyange
    @AthumanKinyange 2 дня назад

    Ww daud mwangati shetani mkbwa jini bibi zako na babu zako

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 2 года назад

    Je kanisa lilimpa iyo million 100?

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Год назад

    Amerudishwa kuwa mfuasi wa shetani

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 Год назад

      Ngoja niku oneshe shetan yuko wp👇
      (1)Timotheo 1:20
      Ktk hao wakristo wamo himenayo Na iskanda ambao mm paul mtume wenu nimempa shetan watu hao
      Wakristo ili shetan awafunze wakristo wasimtukane Mungu
      🖕👇
      Uyo ndo shetan ana wafunza msi mtukane Mungu🤣🤣

  • @jamesmfikwa5093
    @jamesmfikwa5093 Год назад

    100m.... hahahaha kweli mwisho wa Dunia u karibu.

  • @gracekikula6279
    @gracekikula6279 2 года назад +3

    Msisahau kumwambia kuwa pale anapoishi ni kwa kafiri afanye ahame akaishi kwa ndugu zake waislamu na asijihusishe na chochote cha kafiri anayeishi naye

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 Год назад

    Uongo😅

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 Год назад

    Wewe mwaipopo amakweli umerogwa hakili

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 2 года назад +1

    ONDOA neno MKE WA MCHUNGAJI hao waliashachana kitambo acha kutuongopea kama vile Ulivyokuwa unadanganya watu eti SISTER ASILIMU ukiwa na maana (Sister wa Roman Catholic) kumbe uongo ni dada wa kawaida tu wa mtaani!!

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 Год назад

    Waongo wawili wamekutana 😅😅😅😅😅

  • @happynessmsoffe7947
    @happynessmsoffe7947 Год назад +1

    p

  • @MusaMapalange
    @MusaMapalange Месяц назад

    Muongo

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 2 года назад

    Sheikh kwanini unamlisha maneno? Wewe hajasema aliaidiwa Wala kupewa unapomuuliza kanisa lilikuaidi nini maana yake unamuwekea maneno,,wakati huo yeye kasema mmewake ndio aliemshawishi na sio kanisa

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 2 года назад

      Ndivo ilivo ktk ukristo Uyo mwaipopo ametokea Uko uko kwaiyo yte anayajua ayo Ukimuona muislamu kaingia kwnye Ukristo basi ujue ni kw maslahi ujue kaahidiwa kitu ama Mapnz

  • @shabanihassan8678
    @shabanihassan8678 2 года назад +2

    Sheikh wamchongo 😂😂😂😂😂 na uyo mama wa mchongo

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 2 года назад

    Biashara inaendelea, yaani kuombea Dua unakatwa pesa? Isipojibiwa hiyo Dua utairejesha hiyo pesa uliyokata? Mama kaletwa hapo Kwa nia ya kutangaza biashara ya Mwaipopo! Wewe mama rudi kwenye Ndoa yako.

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      Mimi nilipochoka ni mtu kuvunja ndoa ya MTU hii ni mbaya sana!!!

    • @mickdadybakari6052
      @mickdadybakari6052 2 года назад

      Kuna mahubir ambayo huwa kwenye mikutano hamchukui pesa kuziita sadaka maamae

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      @@mickdadybakari6052 Sisumbuki kujibu Matusi yako kwani ndivyo ulivyo lelewa na mafundisho ya dini yako ya mchongo ya Mwarabu mkureshi wa Makha asiyejua kusoma Wala kuandika.

    • @mickdadybakari6052
      @mickdadybakari6052 2 года назад

      @@paulmushi2428 acha kukaza fuvu dini Ip ya mchongo ya hii na ile ambayo kitabu chake kimeandika watoto walimpa mvinyo baba yao na wakalala nae ahahahahaaaa

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      @@mickdadybakari6052 Nakwambia Ukweli dini hiyo niya mchongo ya Mkureshi mmoja wa Makha asiyejua kusoma Wala kuandika, aliyekuwa anaabudu jiwe jeusi Al hajar Al aswad akawadanganya eti ni Allah (Yaani Mwenyezi Mungu)

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb Год назад

    Na wewe mwaipopo c ulibadili dini sasa unchangeable nini

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Год назад

    Kanisa lilikuahidi laki 100 kwa lipi ulilokua nalo kama sio uongo na kutapatapa. Vuguvugu wewe

  • @nyasiopascal1867
    @nyasiopascal1867 Год назад

    Shetani amekaa juu ya vichwa vyenu mnafundisha uharamia Eti dini ya Mungu ni Mungu gani kwenu nyie

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Год назад

    Mashaallah

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад

    MashaAllah

  • @kijakaparare2074
    @kijakaparare2074 2 года назад

    Mashaallah