MWAIPOPO BILA WOGA AWATOLEA USHUHUDA SHK KISHKI NA KAKA YAKE WANACHOKIFANYA HAPA TZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Комментарии • 52

  • @abubakar_nyangala
    @abubakar_nyangala 3 месяца назад +4

    Ma Sha Allah
    Tafiti nyingi zinaonesha kwamba
    Waumini waliyosilimu ukubwani ni miongoni mwa Watu wenye jitihada kubwa kuupeleka uislamu mbele hapa Tanzania na duniani kote.
    Allah awazidishiee kila la kheri.

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Год назад +2

    Maaashallah ustadh mwaipopo mungu akujaalie kheri
    Akusaidie

  • @suleimankapalata7256
    @suleimankapalata7256 Год назад +4

    asante kwahutubayako nzuri mungu akulipe naakupemoyo zaid iposiku dini itafikambali

  • @habiba1314
    @habiba1314 Год назад +8

    Mungu akubariki sheikh mwaipopo unapigania uislam kuliko hata wenyewe waliozaliwa ndani ya uislam Allah akulipe jannah 😊

  • @mamanaifaty7813
    @mamanaifaty7813 Год назад +1

    Allah akuzidishie umeongea ukweli mtupu Allah atuongozemasikini na matajilipia tuwe watoaji wazuli kwajili ya Allah

  • @josephndoghwe2722
    @josephndoghwe2722 Год назад +3

    Mwenyez Mungu akubariki shekh me mwenyewe mkristo ila umeongea point tupu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Itapendeza ukihamia huko maana kuna kufaa sana wewe huko,

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад +1

    Mashalllah mashllah

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 Год назад +1

    Allah Akubariki hata hivi sshivi Dunia zima sshivi watakahaki na ukweli 2 lazima haki ipiganiwa🔥

  • @saidikambi9597
    @saidikambi9597 Год назад +3

    Miongoni Kwa siku ambazo nimekuuelewa ni Leo Kwa Crip hii inashaallah Allah akupile kheri.

  • @josephlucas2786
    @josephlucas2786 2 месяца назад +2

    kwa hili la hospital umeongea pumba Dr ana nafasi ya kuheshimiwa kuliko hata ww mpuuzi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +4

    ACHENI KUWALAUMU MATAJIRI SHIDA WENGI WANAOJIITA MASHEIKH WA WAISLAM NI MATAPELI!!
    MANENO MENGINE,MATENDO HAWA!!

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +2

    Sasa Sheikh Nurdin na Abdoul Qadr mwawalaumu kitu Gani mbona niwapambanaji Subhanallah vijana fanyeni kazi acheni kulaumiyana

  • @amidainarukundo1764
    @amidainarukundo1764 Год назад +1

    Subhanallah 😢

  • @majaliwahassan2555
    @majaliwahassan2555 Год назад +3

    Hilo nilakweli wataelewa wenye kutafakari allha atupe fikra waislamu

  • @salhaisrael8265
    @salhaisrael8265 Год назад +8

    Fungua account shekhe kilamwezi tutume 500 tu kwakila muislamu kupitia simu Kisha uzitoe nakuziweka ktk account tunakuamini nadhani baada yamwaka tunaweza kufanya Katia kimoja itakua swadakatu jaalia inshaallah 🙏 atatukifa tuendelee kuchuma thawabu maana kwadunia hii yawatembea uchi subhana llah fanya hivyo shekhe wangu Mimi (1)☝️

  • @NadiaHabonimana
    @NadiaHabonimana Месяц назад +1

    Asww sheikh samahani ninaswali mimi ninaumwa skio uyumwaka Sasa kunamtu kanishauri niende kumaombi Sasa sheikh siomakosa?

  • @AzizaHamisi-o6z
    @AzizaHamisi-o6z 4 месяца назад +2

    Matajiri wengine pesa ni za kishirikina ndo mana wanashindwa kifanya mambo ya dini

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 Год назад +1

    Maneno yanachoma moyo mola
    Umoja na mshikamano vinatufelisha uaminifu zero zero

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 11 месяцев назад +1

    Leo umeongea ukweli

  • @Mswahili-12
    @Mswahili-12 Год назад +1

    Mbona kichwa cha khabari ni tofauti na aliyoyasema Mwaipopo,
    Ndugu mmiliki wa hii Channel muogope ALLAH.

  • @amidainarukundo1764
    @amidainarukundo1764 Год назад +1

    Ya rabbi nafsii

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 4 месяца назад +1

    Wee kasome dini kwanza

  • @jumaahmadi
    @jumaahmadi Год назад +2

    Mchngo wangu juu ya ili kwa nakuunga mkono mwaiy popp pili waislam dini awaitaki Kama wanaitaka kwel mpka leo Alhandulillah tunawaislam matajili wengi na iweje Sasa ya le malengo yate juu ya kuimaisha uislam mpla Leo akuna ivi Leo kudhalilisha wake zetu mpka lini na pesa tunazo hii inaonesha dini watu waipa mgongo Sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 naumia sana

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Год назад

      We huoni waislam Wenzako wanakimbilia ulaya na kupata elimu Bora,kitu ambacho waislam msingeweza kufanya kwa roho zenu za chuki

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 4 месяца назад

      Mkiona wanazalilika wazuien wasiende folen zakuona madokta zipungue nawaunga mkono

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 Год назад +1

    nikweli shehe wangu nakupenda kwaajili ya ukweli wako lakini shehe wangu wazo langu anzisha michango midogomidogo ata 500 kwaajili ya maendeleo ya hospali na mashule tutatoa minakwambia achana matajili watajibu kesho kwa mungu na bakwata yao

  • @TwalibSaid-c4x
    @TwalibSaid-c4x 2 месяца назад

    mbona kuna watu wapumbavu hivyo unavyo jiweka ndio mungu atakuweka usione watoa maoni ya kipumbavu watu hawakuonni ukasema upuzi , yani wamwambia mwaipopo kasome mwanzo huo ni ujinga huyu mwaipopo amechangia hikma tupu na ni mtu amesilimu kwa ukubwa na anajitahidi anaendelea kusoma , sisi tunao zaliwa kwenye uislam kibr na wengi hawaithamini dini unafiq mwingi pongezi sheik mwaipopo

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Год назад

    Kishk mpiga pesa tu hana shida ya dini hivyoo unavyo mpambia

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 5 месяцев назад

    Matajili wa kislam washamba kazi yao kugawa ela ili aabudiwe bila kufanya jambo la maana kujenga shule maaspital vyuo kazi yao kuidhamin timu za mpila

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j Год назад

    Mala kadhaa nimekua nakupingapinga katika baadhi yahoja zako unazotoaga , lakini leo niko pamoja nawae asilimia zote mia ubalikiwe Mwaipopo

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 Год назад

    Hakika matajili Yani wanamitihani hasa labuba wanafikili hapa duniani ndiyo peponi Yani nimutihani

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Год назад +1

    الله اكبر

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад

    Elfu tano mbona nyingi elfu moja tu

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 Год назад +1

    Yaani hichi kichwa cha habari 😅😅😅 kama kinaashiria mabishano hivi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад

    Bakwata ndio sababu ya yote hayo

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Год назад

    Kichwa cha habari na maneno ya sheikh tafauti jamani sasa huyu ushuhuda kawatolea uko wapi

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 Год назад

      Mbona kama hujaisikiliza katolea mfano wa kishik na kaka yake.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад

    BAKWATA ULIUNDWA NA ROMAN CATHOLIC KUTHIBITI UISLAM USIPIGE HATUA MBELE!!NA WANAOITWA MAKATIBU WAKUU WALKUWA WAKIWANYIA KAZI USALAMA WA TAIFA!KUWADHIBITI WAISLAM!

  • @duniaduaratv1216
    @duniaduaratv1216 Год назад

    Dab yaani wewe mwaipopo bwana sasa kataasisi kenye kusimamia mali zake chache na kaeneo kadoogo ukafananishe na taasisi inayosimamia mambo ya umma nchi nzima kweli unapima vyema wewe ? NA WADANGANYA Bakwata hawana hata hispitali mona wewe unakili hilo kabisa acha kutafuta umaarufu na kuonekana jitafakari sana

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 6 дней назад

    Ujenge wewe shehe

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Год назад

    Ww muandishi watudanganya? kichwa cha habari konawahusu kishki na kakake,
    halafu twakia mambo mengine tofauti
    au nimeskia vibaya

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  Год назад +1

      Hujadanganywa hebu skiza vzuri

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Год назад +1

      Ndo walivyo aoo ili upate utizame ata mm nimefungua haraka😅😅

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Год назад

      @@RiyadhTvOnlineZnz kueni na adabu mwaandika sivyo na ilivyo

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  Год назад

      @@mafiatv5479 tunaadabu zetu, kilichoandikwa visivyo kipi hapo!??

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Год назад

      @@RiyadhTvOnlineZnz Haya endeleeni