SAFARI YA MAISHA NA MIKIKI MIKIKI YA MWANASIASA JUMA DUNI (BABU DUNI) (SEMA NASI) Sehemu ya Pili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 39

  • @abdullamasoud7324
    @abdullamasoud7324 19 дней назад

    Babu ni babu kwa elimu na hekima ameonesha njia. Allah amhifadhi amin.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Месяц назад +5

    wewe babu juma ni icon ya hizi harakati yani bila wewe ni kama harakati imekatwa matairi ila babu usituache mkono hata kama hupo kwenye uongozi wa juu babu tunakupenda sanasanaaa

  • @user-jr7bt6lr6z
    @user-jr7bt6lr6z 25 дней назад +1

    Duh mzee ni nomaaaaaa

  • @salyali7807
    @salyali7807 Месяц назад +2

    Mashaallah .. Babu Duni we miss you 😘😘😘

  • @AliBakar-n1j
    @AliBakar-n1j Месяц назад +1

    Ahsante Babu tumekuwelewa vijana wako

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 24 дня назад +1

    Nice babuduni

  • @MassoudMaghwaly-jo8sh
    @MassoudMaghwaly-jo8sh Месяц назад +2

    Pole sana mzee one day juhudi zenu zitazaa mtunda inshallah..

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Месяц назад +1

    Pole sana kiongozi wawenyewe Kumbe Yule Lipumba Ali kula kiapo na kasaliti ndio maana Yupo km Taahira hata ukimtizama lipumba

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb Месяц назад +2

    Ahsante saana Babu Duni hatuli majengo wala barabara njaa kali majumbani mlo mmoja hatumiliki

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Месяц назад

      Sasa mumejazana tele Zanzibar.mji mdogo.na kama njaa maeneo pemba na unguja yapo kulima hamutaki hiyo Zanzibar ni kisiwa kidogo watu wengi tafauti na zamani miaka ya tisiini.hiyo kujengwa mji pia hamutaki kweli akili zenu zinahitaji chaji.haya tuke na mji mbovu mchafu au ndio maisha yenu uchafu na uharibifu fanya kazi acha uvivu wa kutegemea mtu ambaye atakae kuja kuongoza ili upate mlo.

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Месяц назад +1

      @@hajiabdalla5772 kisiwa kina watu wengi si mnaruhusu kuingia watu bila mpango Mkongo yupo zanzibar Mtanganyika sijui nani mnategemea nn wakati sie wenyewe alhamdulilah na hao wanaokuja wengi kuliko raia

    • @awaynaaaa3490
      @awaynaaaa3490 28 дней назад

      Kaka Haji samahan Ila ninavyoelew mm mwanaum rijal mweny marifa yake akiongey haingiz matus ndan yake angaliy Hali ilivy Kila kukicha watu wanafukuzwa sehem za biash wanavunjiw na hizo frem za maduka huwez kukod Kila eneo sai ni la serikan utalim wapi na hich utakach kilim ukifik nach mauzon utaxhajiw na hautandok na kitu tunahitaj mji upendez ungare lk niambiy saiv frem ya duka ni milion sita kwa mwak vijan tunajitahid kutafut lk serikal yetu inaturudish nyum

  • @user-hm5jl1kh2t
    @user-hm5jl1kh2t Месяц назад +1

    Kweli njaaa na uvivu watu wanao wakitoaa uvivu wa akili na mwilii watarudi kulimaa na kufanyaa kazi kuhusu kilimo ilii tusilumbane

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Месяц назад +1

    Dah pole babu kumbe ni figisu ya kihistoria

  • @bindawood978
    @bindawood978 Месяц назад

    Maashallah hongera Babu Duni umemalizia vizuri sana

  • @aminakhamis9293
    @aminakhamis9293 Месяц назад

    What he said Babu Duni There are businesses of Politics and Politics of businesses . Two different things.

  • @aminakhamis9293
    @aminakhamis9293 Месяц назад

    Asalam alaykum through my Opinion wawepo wataalamu waandike kitabu kuhusu maisha ya watu kama Hawa kwa masilahi ya feature Generation.

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed5389 Месяц назад

    Shukran sana babu duni.tunaomba arudi tena bado hatujatosheka

  • @user-md3pk3wi6p
    @user-md3pk3wi6p Месяц назад

    Nakuamini tena sana kiongozi wetu.

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume Месяц назад

    Pole sana kwa misukosuko

  • @user-jr7bt6lr6z
    @user-jr7bt6lr6z 25 дней назад

    Mzee tuna mengi ya kujifunza kutoka kwako cc vijana .

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 Месяц назад

    Et loo basi sisi wachai apo babu juma duni umenikosha hakika muliteseka basabu t kuipigania zanzibar kuwa taif huru polen san inshaallah zamira yenu itafanikiwa tusikate tamaa wanzanzibar wote ndani ya Nch na mnje ya Nchi hadi mamlaka kamili

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 15 дней назад

    Hakika babu uwepo wako kwetu ni busara tosha kwa kila Mzanzibari anayetaka mamlaka kamili ya Zanzibar

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Месяц назад

    Pole babu duni ww na wenzako mupo imara kweli,ila hadileo mjomba wako Allah anamudhibi hapa duniani na akhera ajuae ni Allah mwenyewe,yy ndie mbaguzi namba1kwa wazanzibar,alishindwa fir,aoun kwa mussa je yy leo yupi salmin

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 29 дней назад

    Mm nadhani suala la Lipumba kugeuka ni vyema mumtafute ili nae ajieleze asihukumiwe bila kupewa nafasi kujieleza!

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 24 дня назад

    Watu hawa hawa pepesi maneno ya uwongo kama wasaliti

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 Месяц назад +1

    Wewe si wa kawaida maneno unayongea ni mazito, hakuna kama wewe

  • @jamalhaidar4317
    @jamalhaidar4317 Месяц назад

    Babu duni ubaki nao vijana ktk chama

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Месяц назад

    Twamtaka kiongozi Arudi kwa jukwaa

  • @HudhudyHudhudy-oq5or
    @HudhudyHudhudy-oq5or 25 дней назад

    Bubu baado unahitajika plz

  • @fanaualmazrui733
    @fanaualmazrui733 Месяц назад +1

    Mbn umemkatisha asiongee
    Suali ulilo muuliza hajalijib vzr mbn umemkatisha
    Muache auchambuee utawala wa kibaraka wa watanganyika kwa utapeli wa kujenga majengo yasio na viwango.....
    Bila Zanzibar huru hamna maendeleo

  • @user-md3pk3wi6p
    @user-md3pk3wi6p Месяц назад

    Nimejifunza kitu kutoka kwako babu.

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 Месяц назад

    Majengo ni rushwa ya uchaguzi ujao, ila mabaya yatakuja na kutokea baada ya uchaguzi ujao kama akipata. Nia yake imejificha kwenye tutapoteza mengi baadae hasa haki ya mzanzibari halisi.

  • @TheFire_Gamer
    @TheFire_Gamer Месяц назад

    Sema usiogope

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 Месяц назад

    Babu tunakuamini bado wewe ni mpinzani wa kweli.

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 27 дней назад

    Msomi huyu

  • @RashidiAlly-cl7fo
    @RashidiAlly-cl7fo Месяц назад

    Mbona unamkatisha,una 41:32 ogopa nini Wajina .