Asalam alaikum Msomaji mzee sulaiman analete raha sana hii combination yake na salim ni fireee MashaAllah kijana wetu Daktari pia MashaAllah anaweza Allah awape jazaa mingi
Waaleykum salaam warahmatullahi wanarakatuhu amedhalishwa am amejidhalisha yeye mwenyewe.Mungu ampe mwongozo mzuri na awe mwenye kuislimu kabla ya kufa
Umefanya vizuri sana kumuondoa huyo jamaa wa jacket ya blue maana hupoteza muda bure na ni mbishi tu. Humuona sana kwa sheikh Ramadhan Kuria akiwa Jacarander.
- Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.
Huyu wa kwanza sijui shadrak kajua kuchukuwa mda kweli na hana maswali ya kuuliza kaja tu na ubishi...ustadh Salim nextime huyu kijana mpe muda wa suala moja tu akakae
Asalam alaikum Msomaji mzee sulaiman analete raha sana hii combination yake na salim ni fireee MashaAllah kijana wetu Daktari pia MashaAllah anaweza Allah awape jazaa mingi
Wanapeleka daawah vizuri sana, kama vile ilikua wakati wa Qasim. MashaAllah mwenyezi Mungu awahifadhi.
Wasomaji wote wanajaribu sana, Allah awalipe kila la kheri
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
Msomaji ajaab ALLAH awape umri mrefu insha Allah
Aameen ameen ameen sote
Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu ayyuhal ikhwanil qiram. Allahumma Barik
Aameen ameen ameen
Mashalla mwenyezi Mungu awape nguvu ❤❤❤
Aameen ameen ameen sote
I am proud of you guys. Mashallah bro
Masha Allah we love you for the sake of Allah
Maashallah shekhe tuko pamoja siku zote.
Masha Allah tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
MashaAllah Allah bless you all thinks Salim daawah Kenya na awape umri murefu
Aameen ameen ameen sote
Waalaikum salaam warahmatullah
Wa alaikum musalam warahmathulai wabarakatuh
Waaleykum salaam warahmatullahi wanarakatuhu amedhalishwa am amejidhalisha yeye mwenyewe.Mungu ampe mwongozo mzuri na awe mwenye kuislimu kabla ya kufa
Mashallah shekh Salim wewe unawajulia sana hao wedzetu wa upande wa pili
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
Huyo jamaa bora mmemjua kama msumbufu hua ana msumbufu sana shekh ramadhan kuria
Yeah mbishi na hana hoja
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu..Maa Shaa Allah..Allah awalipe Jannatul Firdaus
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote
Allah atujaalie umri mrefu shekhe Salim
Aameen ameen ameen sote
Ladah enye iko hapa mashalla ❤😋☺️
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
JazakumAllah khairan!
Kibwetele aliwanyoosha wapenda miujiza 😅😅😅😅
Umefanya vizuri sana kumuondoa huyo jamaa wa jacket ya blue maana hupoteza muda bure na ni mbishi tu. Humuona sana kwa sheikh Ramadhan Kuria akiwa Jacarander.
@@abdallasuleiman8785 unaweza panga nmtuoatane na wewe ujue ni kwa nini Hawa waalimu wa kiislamu huogopa hoja zangu
Huyu huwa mbishi na hana hoja
jazakallhu haira
Assalamu aleikum Allah wape ulinzi
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote
MashaAllah Allah azidi kuwabariki
Aameen ameen ameen sote
ALLAHU AKBAR ♥️
Kweli Mwanakulitafuta mwanakulipata
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
Allah amuongeze nguvu amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee kwa neema ya uislamu
Aameen ameen ameen sote
Ameomba aulizwe swali alipokosa majibu anahisi anakejeliwa. Hivyo ndovyo haki ilivyo huwezi ficha ukweli.
Yeah haki ndio hivyo huuma lakini ndio haki
.mashallah naona pamechangamka😂😂😂
Tena sana
- Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.
Ni vizuri kutompa nafasi yule mjinga yupo kiubishi kama Mushi na Mobutu
Siku hizi yeyote mbishi hapati nafasi hapa inn shaa Allah
@@salimdaawah123 Naam ili wasipoteze muda na mzee Ali anaendeleaje na hali.
Huyu wa kwanza sijui shadrak kajua kuchukuwa mda kweli na hana maswali ya kuuliza kaja tu na ubishi...ustadh Salim nextime huyu kijana mpe muda wa suala moja tu akakae
Inn shaa Allah
Msomaji ananipa raha ajjabu....
Masha Allah
ASALAMU ALEYKUM. NA IJI ULIZA HAWA ONA ONGEA HAWAJA SOMA SHULE KUWA SABABU WANA ONA BIBLE VILE INA IJI GONGA HAWA FAHAMU
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh wataelewa tu inn shaa Allah
Wakirsto wamepotea short
Kanisa lilianzishwa na mitume baada ya kupokea nguvu roho mtakatifu siku ya pentecoste
Any verse
Temple: A building for religious worship, especially in religions other than Christianity. Nimetoa google.
😂🤣😂🤣🤣na huyu mkristo alitudanganya eti ni kanisa
Wachambeeee😂😂😂
Mpaka waelewe inn shaa Allah