Adai aulizwe maswali alichokipata hakuamini kimeeleweka leo kimeumana moto wa waka kiwanjani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 67

  • @AishaMohamud-k7d
    @AishaMohamud-k7d 5 месяцев назад +9

    Asalam alaikum Msomaji mzee sulaiman analete raha sana hii combination yake na salim ni fireee MashaAllah kijana wetu Daktari pia MashaAllah anaweza Allah awape jazaa mingi

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 5 месяцев назад +3

      Wanapeleka daawah vizuri sana, kama vile ilikua wakati wa Qasim. MashaAllah mwenyezi Mungu awahifadhi.

    • @hafsakirao398
      @hafsakirao398 5 месяцев назад +3

      Wasomaji wote wanajaribu sana, Allah awalipe kila la kheri

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote

  • @mahmudmugarura2175
    @mahmudmugarura2175 5 месяцев назад +8

    Walaikum salam warhmatillah wabarakat

  • @hassanpadi
    @hassanpadi 5 месяцев назад +9

    Msomaji ajaab ALLAH awape umri mrefu insha Allah

  • @HisMajesty64
    @HisMajesty64 5 месяцев назад +6

    Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu ayyuhal ikhwanil qiram. Allahumma Barik

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 5 месяцев назад +6

    Mashalla mwenyezi Mungu awape nguvu ❤❤❤

  • @hassansharif5716
    @hassansharif5716 5 месяцев назад +5

    I am proud of you guys. Mashallah bro

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Masha Allah we love you for the sake of Allah

  • @SaleheKijazy
    @SaleheKijazy 5 месяцев назад +5

    Maashallah shekhe tuko pamoja siku zote.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Masha Allah tunawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @daawaonestreetassociation.5702
    @daawaonestreetassociation.5702 5 месяцев назад +4

    MashaAllah Allah bless you all thinks Salim daawah Kenya na awape umri murefu

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 5 месяцев назад +4

    Waalaikum salaam warahmatullah

  • @hassanalfan6941
    @hassanalfan6941 5 месяцев назад +3

    Wa alaikum musalam warahmathulai wabarakatuh

  • @IssackAlfa
    @IssackAlfa 4 месяца назад +1

    Waaleykum salaam warahmatullahi wanarakatuhu amedhalishwa am amejidhalisha yeye mwenyewe.Mungu ampe mwongozo mzuri na awe mwenye kuislimu kabla ya kufa

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 5 месяцев назад +1

    Mashallah shekh Salim wewe unawajulia sana hao wedzetu wa upande wa pili

  • @SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im
    @SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im 5 месяцев назад +3

    Huyo jamaa bora mmemjua kama msumbufu hua ana msumbufu sana shekh ramadhan kuria

  • @MwangiMuhammad-q8r
    @MwangiMuhammad-q8r 5 месяцев назад +2

    Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu..Maa Shaa Allah..Allah awalipe Jannatul Firdaus

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 5 месяцев назад +1

    Allah atujaalie umri mrefu shekhe Salim

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 5 месяцев назад +2

    Ladah enye iko hapa mashalla ❤😋☺️

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 5 месяцев назад +1

    JazakumAllah khairan!

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 месяцев назад +2

    Kibwetele aliwanyoosha wapenda miujiza 😅😅😅😅

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman8785 5 месяцев назад +2

    Umefanya vizuri sana kumuondoa huyo jamaa wa jacket ya blue maana hupoteza muda bure na ni mbishi tu. Humuona sana kwa sheikh Ramadhan Kuria akiwa Jacarander.

    • @Lucian-v5p
      @Lucian-v5p 5 месяцев назад

      @@abdallasuleiman8785 unaweza panga nmtuoatane na wewe ujue ni kwa nini Hawa waalimu wa kiislamu huogopa hoja zangu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Huyu huwa mbishi na hana hoja

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl 5 месяцев назад +1

    jazakallhu haira

  • @estherwamaitha1006
    @estherwamaitha1006 5 месяцев назад +1

    Assalamu aleikum Allah wape ulinzi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r 5 месяцев назад +1

    MashaAllah Allah azidi kuwabariki

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 5 месяцев назад +1

    ALLAHU AKBAR ♥️

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 5 месяцев назад +2

    Kweli Mwanakulitafuta mwanakulipata

  • @josemu870
    @josemu870 5 месяцев назад +1

    Allah amuongeze nguvu amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee kwa neema ya uislamu

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman8785 5 месяцев назад +3

    Ameomba aulizwe swali alipokosa majibu anahisi anakejeliwa. Hivyo ndovyo haki ilivyo huwezi ficha ukweli.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Yeah haki ndio hivyo huuma lakini ndio haki

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 5 месяцев назад +1

    .mashallah naona pamechangamka😂😂😂

  • @josemu870
    @josemu870 5 месяцев назад +1

    - Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.

  • @samxx411
    @samxx411 5 месяцев назад +1

    Ni vizuri kutompa nafasi yule mjinga yupo kiubishi kama Mushi na Mobutu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Siku hizi yeyote mbishi hapati nafasi hapa inn shaa Allah

    • @samxx411
      @samxx411 5 месяцев назад +1

      @@salimdaawah123 Naam ili wasipoteze muda na mzee Ali anaendeleaje na hali.

  • @rahmaali6662
    @rahmaali6662 5 месяцев назад +1

    Huyu wa kwanza sijui shadrak kajua kuchukuwa mda kweli na hana maswali ya kuuliza kaja tu na ubishi...ustadh Salim nextime huyu kijana mpe muda wa suala moja tu akakae

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 5 месяцев назад +1

    Msomaji ananipa raha ajjabu....

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 5 месяцев назад +1

    ASALAMU ALEYKUM. NA IJI ULIZA HAWA ONA ONGEA HAWAJA SOMA SHULE KUWA SABABU WANA ONA BIBLE VILE INA IJI GONGA HAWA FAHAMU

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh wataelewa tu inn shaa Allah

  • @Shillingi
    @Shillingi 5 месяцев назад +1

    Wakirsto wamepotea short

  • @onesmusyo
    @onesmusyo 4 месяца назад

    Kanisa lilianzishwa na mitume baada ya kupokea nguvu roho mtakatifu siku ya pentecoste

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 5 месяцев назад +1

    Temple: A building for religious worship, especially in religions other than Christianity. Nimetoa google.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад

      😂🤣😂🤣🤣na huyu mkristo alitudanganya eti ni kanisa

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 5 месяцев назад +1

    Wachambeeee😂😂😂