BIBI KIZEE PEMBA ALIA NA WANAUME WASIO NA NGUVU ZA KIUME (HUBBUL HALAL)
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashaallah Bibi Allah akulinde duniyani na kesho Akhera Ya Rabbil Alamin. Bibi mimi nime pata mitihani mbali mbali hatimai nika shikwa na Maradhi nikawa natizamwa ni mume asiye kuwa na thamani hstimae Ndoa yangu ika farakishwa na kadhalika.
Alhamdulillah
Umekosea kusema bibi kizee hiyo sio heshima tulivo lelewa wapemba jirekebishe tunaipemda al fatah sema tu bi fulani au mama fulani.
Mashallah bibi mafunzo Mazur san Allah akujalie kipaji chako bbi
Ni bibi tu wa kawaida, c bibi kizee, asanteni kwa somo zuri
Bibi mashallah tabaraqah.
Kanikumbusha aliposhema atoneshwa na mke apatafute.
Kuna mwimba wakiimbiwa zamani. Unanichooma eeh unanichooma Kijiiba cha mmteema wapii hapa patiee dawa sanaa pasije pakabana pakamkera bwana usiku na mchanaa .😂
Waandishi wacheni kupotosha na kudhalilisha wazazi wa wenzenu huyu mama sio kizee kweli ni mtu mzima lakini sio kisee chungeni kauli zenu
Kwani hana jina mama etu mpaka mumwandike bibi kizee jamani mwandikeni bi fulani si bibi kizee haijakaa vizuri
Hahahhaha mashallah bibi masomo yanahitajikaa ayaaa
Ntakaaaa bibi anapo mapatikana nimpekee wakengwaa alooo tena woseee haaaa wakaijue iyoo mishipaaaaaa waje nkandaaaaa
Jamani hamuwachi huyo ndo bibi kizee
Kwa sisi na yeye mtangazi ni bibi yetu,kuhisia huwezi ata macho hayaoni?
Shekhe rashd ufanye mazoezi .😅😅
😂😂😂😂😂apo paaaa paaa wawapaka mafuta nimecheka😂😂😂bi.mother unamaneno kuntujeeeee
Mtangazaji nae lugha yetu aitupa badala ya kusema lugha asema luga hee mushakuwa wabongo wazanzibari amkeni kilichobakia kwetu Zanzibar KWA mambo ya utaifa ambalo hatuja nyang'anywa kabisa kabisa kabisa na hio inawaniwa KWA Hali zote na ndio mabwana wanao tutawala wakasema kwamba ikifundishwa wanafunzi maskulini kiswahili waambiwe ni kibantu Hali ya kuwa sio kweli ni upotoshaji tuu zungumzeni lugha yenu na sio kua muige huo ni kujidhalilusha
Si mwanamke wa makamo jamani
Tukijaliwa Insha Allah mara hii nikipata mume lazim nimfanyie ivo mume wngu 😂😂
Inshallah Allah atakupa au wanitaka mimi
@@MasnamussaPp CIO mbaya mm shida yangu mume Bora t ataye weza kunitunza na kunifanya niyasahauu yatonikuta uko nyuma
Toa namba au vipi
Inshallah nakuombea upate mume mwema iwe ni sbb ya kukutuliza mshipa wako
@@hamidakhatib9777 usiombe mungu we just toa namba tu kisha upate mume au
Bibi ana madini hatari
Tatizo la vijana nyie wa Sasa akili zenu hazichaji ipasavyo na ndio Mana watu wote Sasa ni vizee kwenu Hali ya kwamba wakati huu tulionao humuoni kijana watu wote ni vizee KWA matendo mfanyayo wacheni jeuri na mjifunze lugha na upambanuzi wa Rika za watu
Bi mother ana maneno yaukweli kweli vyakale dhahabu kanifurahisha alivyofyekwa nywele😂ha pamkwendeka😂
Shekhe Rashid nahitaji mume mwema uko pemba uliko niangalizie ukipata bc niambie Insha Allah 😢😢
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته.
Mimi nipo kama uko Tayari...
@@abumutwaira4892 jmn mm cipo kwenye utani hapana nahitaji mume Bora wala CIO kunivunjia heshima hapana
Tyr ashapatikana
@@sharifmuhidin-kz8kp uyo mume au vp