BIBI KIZEE PEMBA ALIA NA WANAUME WASIO NA NGUVU ZA KIUME (HUBBUL HALAL)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 46

  • @YunisB-x9c
    @YunisB-x9c Месяц назад

    Mashaallah Bibi Allah akulinde duniyani na kesho Akhera Ya Rabbil Alamin. Bibi mimi nime pata mitihani mbali mbali hatimai nika shikwa na Maradhi nikawa natizamwa ni mume asiye kuwa na thamani hstimae Ndoa yangu ika farakishwa na kadhalika.
    Alhamdulillah

  • @mussasaid5534
    @mussasaid5534 11 дней назад

    Umekosea kusema bibi kizee hiyo sio heshima tulivo lelewa wapemba jirekebishe tunaipemda al fatah sema tu bi fulani au mama fulani.

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Месяц назад

    Mashallah bibi mafunzo Mazur san Allah akujalie kipaji chako bbi

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 28 дней назад

    Ni bibi tu wa kawaida, c bibi kizee, asanteni kwa somo zuri

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Месяц назад

    Bibi mashallah tabaraqah.
    Kanikumbusha aliposhema atoneshwa na mke apatafute.
    Kuna mwimba wakiimbiwa zamani. Unanichooma eeh unanichooma Kijiiba cha mmteema wapii hapa patiee dawa sanaa pasije pakabana pakamkera bwana usiku na mchanaa .😂

  • @mohammedhamadomar5884
    @mohammedhamadomar5884 29 дней назад

    Waandishi wacheni kupotosha na kudhalilisha wazazi wa wenzenu huyu mama sio kizee kweli ni mtu mzima lakini sio kisee chungeni kauli zenu

  • @aasatt78
    @aasatt78 Месяц назад +1

    Kwani hana jina mama etu mpaka mumwandike bibi kizee jamani mwandikeni bi fulani si bibi kizee haijakaa vizuri

  • @gadonassir4261
    @gadonassir4261 Месяц назад

    Hahahhaha mashallah bibi masomo yanahitajikaa ayaaa

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Месяц назад

    Ntakaaaa bibi anapo mapatikana nimpekee wakengwaa alooo tena woseee haaaa wakaijue iyoo mishipaaaaaa waje nkandaaaaa

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 Месяц назад +1

    Jamani hamuwachi huyo ndo bibi kizee

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 28 дней назад

      Kwa sisi na yeye mtangazi ni bibi yetu,kuhisia huwezi ata macho hayaoni?

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufee Месяц назад

    Shekhe rashd ufanye mazoezi .😅😅

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 29 дней назад

    😂😂😂😂😂apo paaaa paaa wawapaka mafuta nimecheka😂😂😂bi.mother unamaneno kuntujeeeee

  • @mohammedhamadomar5884
    @mohammedhamadomar5884 29 дней назад

    Mtangazaji nae lugha yetu aitupa badala ya kusema lugha asema luga hee mushakuwa wabongo wazanzibari amkeni kilichobakia kwetu Zanzibar KWA mambo ya utaifa ambalo hatuja nyang'anywa kabisa kabisa kabisa na hio inawaniwa KWA Hali zote na ndio mabwana wanao tutawala wakasema kwamba ikifundishwa wanafunzi maskulini kiswahili waambiwe ni kibantu Hali ya kuwa sio kweli ni upotoshaji tuu zungumzeni lugha yenu na sio kua muige huo ni kujidhalilusha

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 Месяц назад +1

    Si mwanamke wa makamo jamani

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Месяц назад +1

    Tukijaliwa Insha Allah mara hii nikipata mume lazim nimfanyie ivo mume wngu 😂😂

    • @MasnamussaPp
      @MasnamussaPp Месяц назад

      Inshallah Allah atakupa au wanitaka mimi

    • @hamidakhatib9777
      @hamidakhatib9777 Месяц назад

      @@MasnamussaPp CIO mbaya mm shida yangu mume Bora t ataye weza kunitunza na kunifanya niyasahauu yatonikuta uko nyuma

    • @OmarAmran-t7k
      @OmarAmran-t7k Месяц назад

      Toa namba au vipi

    • @ShankarMohd
      @ShankarMohd Месяц назад

      Inshallah nakuombea upate mume mwema iwe ni sbb ya kukutuliza mshipa wako

    • @OmarAmran-t7k
      @OmarAmran-t7k Месяц назад

      @@hamidakhatib9777 usiombe mungu we just toa namba tu kisha upate mume au

  • @user-cj2kl7cd9k
    @user-cj2kl7cd9k Месяц назад

    Bibi ana madini hatari

  • @mohammedhamadomar5884
    @mohammedhamadomar5884 29 дней назад

    Tatizo la vijana nyie wa Sasa akili zenu hazichaji ipasavyo na ndio Mana watu wote Sasa ni vizee kwenu Hali ya kwamba wakati huu tulionao humuoni kijana watu wote ni vizee KWA matendo mfanyayo wacheni jeuri na mjifunze lugha na upambanuzi wa Rika za watu

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp Месяц назад

    Bi mother ana maneno yaukweli kweli vyakale dhahabu kanifurahisha alivyofyekwa nywele😂ha pamkwendeka😂

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Месяц назад +2

    Shekhe Rashid nahitaji mume mwema uko pemba uliko niangalizie ukipata bc niambie Insha Allah 😢😢

    • @salumissa6118
      @salumissa6118 Месяц назад

      السلام عليكم ورحمة الله وبركاته.

    • @abumutwaira4892
      @abumutwaira4892 Месяц назад

      Mimi nipo kama uko Tayari...

    • @hamidakhatib9777
      @hamidakhatib9777 Месяц назад

      @@abumutwaira4892 jmn mm cipo kwenye utani hapana nahitaji mume Bora wala CIO kunivunjia heshima hapana

    • @sharifmuhidin-kz8kp
      @sharifmuhidin-kz8kp 28 дней назад

      Tyr ashapatikana

    • @hamidakhatib9777
      @hamidakhatib9777 28 дней назад

      @@sharifmuhidin-kz8kp uyo mume au vp