INAJUZU KUOA MKRISTO?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MASWALI NA MAJIBU KILA SIKU YA MWISHO WA MWEZI NA USTADH KHATIB OMARY, ULIZA SWALI LAKO KUPITIA 0765 586 868 SHEIKH ATAKUJIBU BIIDHILLAH INSHAALLAH
    #mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2023
    KARIBU DARASANI KILA SIKU YA IJUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA SWALA YA ADHUHURI MASJID AL JUMAA, KITUMBINI

Комментарии • 20

  • @kadhwibakari6387
    @kadhwibakari6387 17 дней назад

    Shekh jibu swali

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 5 дней назад +1

    Je Muislam anaruhusiwa kumuoa Mkristo..?....Jibu swali

  • @khamissulaiman1937
    @khamissulaiman1937 5 дней назад

    Shekh tumbo

  • @AbdiNdayishimiye
    @AbdiNdayishimiye Месяц назад

    Swali rimemushinda kujimbu

  • @bonnycharles1239
    @bonnycharles1239 Месяц назад +1

    Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.

    • @ustadhkhatibomar9848
      @ustadhkhatibomar9848  Месяц назад

      KARIBU, SHEIKH ATAKUJIBU MUDA SI MREFU, ENDELEA KUTUFUATILIA

    • @wasafisong8471
      @wasafisong8471 23 дня назад

      Mke umlinganie kama akikataa umuache na nawatoto kama hawajabalehe ni waislamu kama wamebalehe uwalinganie pia

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 4 месяца назад

    Mmmmmmmmmh 😢

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 2 месяца назад

    Hujajibu suali
    Umeongea porojo tuuuuu

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 4 месяца назад +1

    Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?

    • @salimmapande4668
      @salimmapande4668 3 месяца назад

      Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda

    • @isaachassan43
      @isaachassan43 3 месяца назад

      Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?

    • @idrissamustafabukenya6110
      @idrissamustafabukenya6110 3 месяца назад

      @@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha

    • @m.othman866
      @m.othman866 2 месяца назад

      Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.​@@idrissamustafabukenya6110

    • @KomoraMohamed
      @KomoraMohamed 2 месяца назад

      Kwa evo hakuna sio

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 2 месяца назад

    Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!

    • @lolilaacademy1449
      @lolilaacademy1449 4 дня назад

      You are right. tuko sawa