Haji Upepo Online tv
Haji Upepo Online tv
  • Видео 476
  • Просмотров 1 036 098

Видео

WANANDOA WAPYA UJUMBE WENU HUU HAPA KUTOKA KWA SHEIKH OTHMAN MAALIM حفظه الله
Просмотров 14914 часов назад
WANANDOA WAPYA UJUMBE WENU HUU HAPA KUTOKA KWA SHEIKH OTHMAN MAALIM حفظه الله
Sheikh: Othman Michael, Haji Upepo na Yussuf Diwani katika majlis moja
Просмотров 1,9 тыс.16 часов назад
Sheikh: Othman Michael, Haji Upepo na Yussuf Diwani katika majlis moja
Darsa ya Kitabu (Bidāyatul Hidaya) Sehemu ya 10 // Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 16114 дней назад
Darsa ya Kitabu (Bidāyatul Hidaya) Sehemu ya 10 // Ustadh Ali Khalfan
Khatari ya kubet (kamari) : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Просмотров 16414 дней назад
Khatari ya kubet (kamari) : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Darsa ya Fiqhi ( Matnu Zubad): Vyombo na matumizi yake // Ustadh Haji Upepo
Просмотров 28328 дней назад
Darsa ya Fiqhi ( Matnu Zubad): Vyombo na matumizi yake // Ustadh Haji Upepo
Darsa ya tafsiri Qur'an: Surat Ibrahim 24-27 // Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Просмотров 12628 дней назад
Darsa ya tafsiri Qur'an: Surat Ibrahim 24-27 // Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Hadithi hizi hazionyeshi kuwa Allah yuko mbinguni // Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله
Просмотров 667Месяц назад
Hadithi hizi hazionyeshi kuwa Allah yuko mbinguni // Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله
Muislamu hapaswi kuwa muoga ni lazima awe shujaa na jasiri || Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Просмотров 279Месяц назад
Muislamu hapaswi kuwa muoga ni lazima awe shujaa na jasiri || Ustadh Haji Upepo حفظه الله
MSIBA: SHEIKH KHALID MOHAMMED MRISHO AMEFARIKI DUNIA LEO: اللهم اغفرله ورحمه
Просмотров 1,4 тыс.Месяц назад
MSIBA: SHEIKH KHALID MOHAMMED MRISHO AMEFARIKI DUNIA LEO: اللهم اغفرله ورحمه
Khutba ya Ijumaa: Ubaya wa kutawaliwa na mwanamke katika jamii // Ustadh Haji Upepoحفظه الله
Просмотров 486Месяц назад
Khutba ya Ijumaa: Ubaya wa kutawaliwa na mwanamke katika jamii // Ustadh Haji Upepoحفظه الله
Majibu dhidi ya mawahabi // Je, Allah yuko wapi? Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله
Просмотров 776Месяц назад
Majibu dhidi ya mawahabi // Je, Allah yuko wapi? Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله
Darsa ya kitabu 'Alfiqhul manhajiy' kutoka Masjid Nour Muhammad: Ustadh Haji Upepo
Просмотров 759Месяц назад
Darsa ya kitabu 'Alfiqhul manhajiy' kutoka Masjid Nour Muhammad: Ustadh Haji Upepo
Khasara atakayopata mlevi na ubaya wa ulevi (1): Darsa ya Kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 116Месяц назад
Khasara atakayopata mlevi na ubaya wa ulevi (1): Darsa ya Kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
Khatari ya kutoa ushahidi wa uongo: Darsa ya kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 196Месяц назад
Khatari ya kutoa ushahidi wa uongo: Darsa ya kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul hidaya': Sehemu ya 9 : Adabu za kuamka //Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 236Месяц назад
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul hidaya': Sehemu ya 9 : Adabu za kuamka //Ustadh Ali Khalfan
Punguza tamaa ya mali na ukinai kwa ulichonacho : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Просмотров 375Месяц назад
Punguza tamaa ya mali na ukinai kwa ulichonacho : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
MAAFA YATAKAYOMPATA MLEVI (2) // DARSA YA KITABU ALKABAAIR ; USTADH ALI KHALFAN
Просмотров 368Месяц назад
MAAFA YATAKAYOMPATA MLEVI (2) // DARSA YA KITABU ALKABAAIR ; USTADH ALI KHALFAN
Uongo wa Mawahabi juu ya Allah na Mtume wake (Sehemu ya 1) : Ustadh Haji Upepo
Просмотров 3 тыс.Месяц назад
Uongo wa Mawahabi juu ya Allah na Mtume wake (Sehemu ya 1) : Ustadh Haji Upepo
Hii ndio itiqadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa // Sehemu ya pili na Sheikh Juma Mohammed Iddi
Просмотров 528Месяц назад
Hii ndio itiqadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa // Sehemu ya pili na Sheikh Juma Mohammed Iddi
Hii ndio itikadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa kuhusu Allah // Sheikh Juma Mohammed Iddi
Просмотров 937Месяц назад
Hii ndio itikadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa kuhusu Allah // Sheikh Juma Mohammed Iddi
Sheikh Hassan Bin Ameir alibainisha kuwa Mawahabi si katika Ahlusunna Waljamaa // Sh Juma Mohammed
Просмотров 1,1 тыс.Месяц назад
Sheikh Hassan Bin Ameir alibainisha kuwa Mawahabi si katika Ahlusunna Waljamaa // Sh Juma Mohammed
Darsa ya Bidāyatul Hidaya (Sehemu ya 8): Kujichunga // Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 200Месяц назад
Darsa ya Bidāyatul Hidaya (Sehemu ya 8): Kujichunga // Ustadh Ali Khalfan
Kisa cha kweli: Tukio la ajabu lililomtokea mkulima // Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 521Месяц назад
Kisa cha kweli: Tukio la ajabu lililomtokea mkulima // Ustadh Ali Khalfan
Mjadala baina ya Ustadh Haji Upepo na Shafii Basalim: Je Muawiya ni muovu?
Просмотров 6 тыс.Месяц назад
Mjadala baina ya Ustadh Haji Upepo na Shafii Basalim: Je Muawiya ni muovu?
Mazungumzo baina ya Ust Haji Upepo na kijana Iddi wa Mwera. Nasaha alizopewa na kuzipokea
Просмотров 5 тыс.2 месяца назад
Mazungumzo baina ya Ust Haji Upepo na kijana Iddi wa Mwera. Nasaha alizopewa na kuzipokea
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul Hidaya' (Sehemu ya 7) : Ucha Mungu na hali zake, Ustadh Ali Khalfan
Просмотров 3002 месяца назад
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul Hidaya' (Sehemu ya 7) : Ucha Mungu na hali zake, Ustadh Ali Khalfan
ANAEDHULUMU HUACHWA NA ALLAH AENDELEE KUDHULUMU : NASAHA KUTOKA KWA UST ALI KHALFAN
Просмотров 2222 месяца назад
ANAEDHULUMU HUACHWA NA ALLAH AENDELEE KUDHULUMU : NASAHA KUTOKA KWA UST ALI KHALFAN
Nasaha kwa tapeli anaetumia jina la Sheikh Othman Maalim kudanganya watu ||Ustadh Haji Upepo
Просмотров 18 тыс.2 месяца назад
Nasaha kwa tapeli anaetumia jina la Sheikh Othman Maalim kudanganya watu ||Ustadh Haji Upepo
Mafunzo makubwa katika kisa cha wanandoa waarabu waliozaa mtoto mweusi // Ustadh Haji Upepo
Просмотров 8142 месяца назад
Mafunzo makubwa katika kisa cha wanandoa waarabu waliozaa mtoto mweusi // Ustadh Haji Upepo

Комментарии

  • @alishaksi4639
    @alishaksi4639 21 час назад

    Assalam alaykum muyafanyayo kwenye hizi media hazifai, itaneni muelekezane musianzishe kuna hukmu

  • @AbuuFawzaani
    @AbuuFawzaani День назад

    hili jamaa ni jinga sana

  • @aninanichasi422
    @aninanichasi422 2 дня назад

    mwalimu wangu shekh haji allaah akuhifadh nakushauri kwa ufasaha ulokuwa nawo kusanya kitatabu cha kuwaraddi mawahabi katika kila jambo wanalo potosha ummah ahsant shekh haji

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 2 дня назад

    Unachokiongea ni sawa lkn hizo ndio siasa za africa zilivyotengenezwa

  • @mustafahkapopwa-bi7yb
    @mustafahkapopwa-bi7yb 3 дня назад

    sheikh wetu na kupenda kwa ajili ya allah

  • @adinanisaidi777
    @adinanisaidi777 3 дня назад

    Wewe kweli shekhe

  • @adinanisaidi777
    @adinanisaidi777 3 дня назад

    Ahsante shekhe

  • @AbuuFawzaani
    @AbuuFawzaani 3 дня назад

    الجاهل يموت قبل موتها

  • @YarajanuarioYara
    @YarajanuarioYara 3 дня назад

    Fungua vitabu sheikkkkkkk.

  • @MohammedBakari-pn9yg
    @MohammedBakari-pn9yg 3 дня назад

    Bidaah mbaya sana ichi kijamaa hakihielewi kabisaaaa

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 4 дня назад

    KUNYIMWA VITAMBULISHO NDIO HAKI WEWW ,WEWE NDIE UACHE USIWE KAMA WALEEEEE

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 4 дня назад

    SHEIKH JUMA NIKUULIZE MTUME ALI ACHA KUTETEYA HAKI ? ALI WAACHA WADHALIMU WAWA TESE 100%? YAONYESHA WEWE ULIMSAPOTI NYERERE NA WENZIE ALIO WAFANYIA WAISLAMU NAKU ASISI YALE? KIKWETE NA SHENI AFASHALI UNGE FIA JELA NAKUPOOZA INGEKUA NIKHERI KWAVUMMA HUYU . MLIVYO FANYIA NA MAGUFURI ILIKUA SAWA? USISAHAU MASHEIKH WALO MUUNGA MKONO NYERERE WALIKIONA NAWEWE ALLAH ANAKUONA NAKIZAZI CHAKO ,

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 4 дня назад

    Jazakallahu kheir sheikh kumuanika

  • @Masudiabdullah
    @Masudiabdullah 4 дня назад

    Mtu mwenyewe anaitwa hajji upepo....lini akawaelimisha watu

  • @WardaSoudsaid
    @WardaSoudsaid 5 дней назад

    Halafu unasikia watoto hawasikii watasikia wapi dhulma kila kona

  • @ABUURAYHANITV
    @ABUURAYHANITV 5 дней назад

    Huyu naye katokea wap tena mbona muongo hivi anaongea kama sisi hatumjui shekhe abdulfadhil kassim bin mafuta

  • @Dr-abbas_pt
    @Dr-abbas_pt 5 дней назад

    Subhanahu

  • @YarajanuarioYara
    @YarajanuarioYara 5 дней назад

    Bado kijana😂😂😂

  • @AbdalaRamadhani-by6bt
    @AbdalaRamadhani-by6bt 5 дней назад

    Mziwanda umesema mengi kumbe ulikuwa unasoma barazanje na ulionao walikuwa wananema bila kujijua unatisha kwa usomaji wa mauridi ya stairi kongore nakupa

  • @user-qy9qx5hd2u
    @user-qy9qx5hd2u 5 дней назад

  • @user-qy9qx5hd2u
    @user-qy9qx5hd2u 5 дней назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah😊

  • @IdrisMwayama-hf2dx
    @IdrisMwayama-hf2dx 6 дней назад

    MashaAllah sheikh Othman maalim

  • @GasoreJuma
    @GasoreJuma 6 дней назад

    Jazakumullah kheyr

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 6 дней назад

    Ma shaa allah shukran sana

  • @user-wo7xl2ey8y
    @user-wo7xl2ey8y 6 дней назад

    Yani ww umuzidi mafuta ujiga ulioje huo

  • @user-wo7xl2ey8y
    @user-wo7xl2ey8y 6 дней назад

    Ww nae kumbe nyau t

  • @hassanalikombozanzibar1192
    @hassanalikombozanzibar1192 6 дней назад

    Dini yetu ya uislamu inakataza kuitana majina mabaya kama hayo unayo yatamka.

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 6 дней назад

    Huyu sheikh atawazoa wajinga wengi. Anavyofunika haqi kwa kutumia ulimiwake hatari sana. Na hili jambo la kuongana pesa katika khotuba ni nini hiyo?

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 6 дней назад

    Unavyo mtaja Bi Aisha kwa nidhamu kubwa. Lakini huku umeungana na mashia ambao wana mtusi Bi Aisha na Baba yake. Autukuelewi katika hili. Elimu ni Rizki. Rizki hiyo ya ufahamu umeikosa. Ila hodari wa kuwapitosha watu kwa kutumia ulimiwako mkali. Allaah atu nusuru na watu wa mfano wake.

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 6 дней назад

    Barakallahufik

  • @NassorKhamis-l6r
    @NassorKhamis-l6r 7 дней назад

    Mashallah

  • @SeleJuma-q6k
    @SeleJuma-q6k 7 дней назад

    Wewe acha uchisi hujui chochote

  • @seifrashid2064
    @seifrashid2064 7 дней назад

    Allah atufanyie wepesi katika Mambo yetu na atukubalie Ibada zetu

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 7 дней назад

    Haji uko sahihi lakini haifai kumsema mzee wetu Barabiyani kwa kumkebehi ni mjuzi ila tofauti lazima ziwepo ni Alimu na hayo ya kinamafuta wanamshutumu ni mslahi tu

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 7 дней назад

    Katka hili swala la muandamo wa mwezi mashekhe wa kissunah wako tofauti kabisa na hawa mashekhe wetu tena hawataki kabisa kusikia habari ya mashekhe wetu wa huku tanzania

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 7 дней назад

    Ibun Taimia Yuko sahihi kabisa na anayosema niyakweli ila mawahabiy hukubali Yale wanayoyataka wao

  • @OstaziRamadhan
    @OstaziRamadhan 8 дней назад

    Kumbe shee nawewe ni katika watumia majini wachawi muko wengi

  • @aninanichasi422
    @aninanichasi422 8 дней назад

    Shekh haji upo vzr sana allaah akuhifadh

  • @AliMahad-vu9gx
    @AliMahad-vu9gx 8 дней назад

    Shehe nineona kilpu yko anayosema madhii ni najisi hebu tuweke wazi kwa ushahidi wa Aya au hadithi

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd 8 дней назад

    hoyo kijan so shia bali mote yumo mpuziru

  • @kheiramour2973
    @kheiramour2973 8 дней назад

    Sasa ufanyeje ulenda usitoke

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 8 дней назад

    Maa shaa Allwah

  • @JosMatty-bq9ii
    @JosMatty-bq9ii 9 дней назад

    huu ni upepo kweli eshimu wanavyuoni

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi 11 дней назад

    Kumbe munajua kuwa maulidi hayafai eee maana munashangaa huyu mtu kuhalalisha jambo ambalo sio halali au vipiiiii

  • @RashidNdaria
    @RashidNdaria 11 дней назад

    Allah amuhifadhi abulfadhil wallah ameitangaza haq kwa kinywa chake sisi walimwengu tunashuhudia hilo,,habar za habari za etii (taaluma vs taalumu) hatuwez kum-beza kwa hilo,kwetu inatosha kumuona anasema haq na anafundisha dini na anaifuata sunna Wallah qassim n mtu wa kher na elimu hake sio ya kubezwa kabisa Namuomba Allah amuhifadhi yeye na familia na wanafunzi wke Allah awape mwisho ulio mwema

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi 12 дней назад

    Ndugu zangu mimi nilichokigundua kwa huyu kijana anae jinasibisha na elimu wakati haipo kwake 1 ni kukosa adabu yani hana adabu 2 kukosa heshima 3 kukosa elimu na maarifa ya kuitumia hio elimu Sasa kinacho endelea kwake ni kupata athari ya sumu ya kuwasema vibaya maulamaa hatimae tahamaki amesha zurika na hilo kilichobaki ni washabiki wake kumpatia dawa laa sihivyo bas watamkosa hata hiyo kubweka ktk membari za misikiti haitakuwepo tena kazi kwenu maghurafy

  • @abuuraslani4133
    @abuuraslani4133 13 дней назад

    Mtihan kwa kweli dah! huyu amefikia kiwango iki cha kuwatusi wanazuoni kila uchao

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi 14 дней назад

    Kama kuna wanafunzi wanastafidi dini yao kutoka kwa huyu jaahil upepo bas kuna haja ya kuwatakia nusra hata kwa dua maana kusoma dini yko kwa huyu ni bora kubaki na ujinga wako huwenda ukapata salama

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 14 дней назад

    Muziki ni pale panapo pigwa mirunzi na vinanda ila kusoma mashairi ya vina sio dhambi wala sio muziki

  • @RamadhanZuberi-fy8qb
    @RamadhanZuberi-fy8qb 15 дней назад

    Unajiita shekh shekh gan mpuuzi wew mwehu tu ww hujui kua hapo kuna aya ndani yake aw waangalia maneno tu ya jaaghafari mpuuzi wew rudy dsrsn msitufanye wengne tukatoa kauli ngum ngum hapa kuna aya ndani hapo ambazo bora kuliko wew iblisi