Hiyo itikadi ya Ally karramallah wajihah ni itikad ya kundi potofu la kishia ithnaa sharia kwa kumfanya Ally kuwa tofaut na maswahaba wengine kiutukufu
Shekh umeeleza vizuri katika Aqiidatu Islam lkn Kuna hiyo karramallah wajihah syo itikadi sahihi Bali radhiyallah Anhu bc kwa sahaba wote رضي الله عنهم ورضوا عنهم
masha allah ya shekh
Shukran shkh wetu Allah akuhifadh
Mashaallah, ilmu kubwa sana
Maashaallah
Kwanza umekosea tafsiri ya allah sio mwenyezi mungu
Hi
😅😂😂
Hiyo itikadi ya Ally karramallah wajihah ni itikad ya kundi potofu la kishia ithnaa sharia kwa kumfanya Ally kuwa tofaut na maswahaba wengine kiutukufu
Sheikh hapo ameeleza vizuri. Lakini hata mashia na ibadhi wanaitikadi sahihi juu ya Allah. Watu waliopotea ni mawahabi
Naam japo ibadhi wameteleza sehemu ndogo
Shekh umeeleza vizuri katika Aqiidatu Islam lkn Kuna hiyo karramallah wajihah syo itikadi sahihi Bali radhiyallah Anhu bc kwa sahaba wote رضي الله عنهم ورضوا عنهم