Majibu dhidi ya mawahabi // Je, Allah yuko wapi? Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 25

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Месяц назад +1

    Wengine Hemu nyamazeni ni bora kwenu.

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Месяц назад

    MashaAllah

  • @AbunaufalSalim-di6dn
    @AbunaufalSalim-di6dn Месяц назад

    Maana Allah mwenyewe kajinasibisha na uwepo wake juu فوق سبع سماوات hivi unawezaje kumkatalia Allah kuwa hayupo juu hali ya kuwa aya za qur-ani zipo nyingi zilizo thibitisha kuwa Allah yupo juu na ahaadithi nyingi zimethibitisha kuwa Allah yupo juu

    • @KombHaji-dr5pd
      @KombHaji-dr5pd Месяц назад

      wew pungi hujui k2 pumbavu mmoja Allah ase walah min waraihi muhiti
      anyanyengina poote ulipo Allah yupo
      bw.Mtume muhammd s.a.w anasem mwenyezimngu yupokaribu na mwenye kusujudi
      vp sasa yupo wap

  • @SWAAHIB
    @SWAAHIB Месяц назад

    اشاعرة

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Месяц назад

    Masha allah mm nlidhani aliesema kua ahlu sunna ni ashaira ni mtume kumbe nishaira mwenyewe 😂😂😂😂 bwaaa

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Месяц назад

      @@darajanida nimetukanaje

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Месяц назад

      @@darajanida basi nikwambie kua neno bwaa si tusi bali nineno lakubeza ikiwa hujui kiswahili hio ndo maana yake

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Месяц назад

      @@darajanida sio mbwa nimesema bwaaaa (kauli yakubeza)

    • @darajanida
      @darajanida Месяц назад

      oke sawa nimekuelewa mwanzo nilikufaham vibaya ila hata hivo hutakiwi kubeza msimamo wa mtu kama ana hoja

  • @AbunaufalSalim-di6dn
    @AbunaufalSalim-di6dn Месяц назад

    Ukituambia kua الله موجود بلا مكان tunakuomba ututhibitishie hayo maneno yanapatikanwa kwenye sura gani au hadithi gani

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Месяц назад

    Kwa hio mnakusudia kua allah hayupo popote? Au yupo kila pahala?

    • @darajanida
      @darajanida Месяц назад

      allah yupo bila ya sehemu

    • @hassanmussa4734
      @hassanmussa4734 Месяц назад

      ​@@darajanidaHahahhahhh yupo bila sehem na ulimwengun lazma kuna sehemu

    • @darajanida
      @darajanida Месяц назад

      @@hassanmussa4734 wewe jahili soma kwanza

    • @hassanmussa4734
      @hassanmussa4734 Месяц назад

      @@darajanida sawa nmekubali mm ni jaahil natak nisome kutoka kwako iyo sehemu ambayo haipo ambayo Allaah yupo ndio sehem gan

    • @hassanmussa4734
      @hassanmussa4734 Месяц назад

      @@darajanida npe elimu kidog لا مكان

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Месяц назад

    Naam wewe nisheikh lakini kwa hili sijakuelewa maana dalili za ayaat ktk kuran umeziacha ulitakikana uzijibu maana yake

  • @AbunaufalSalim-di6dn
    @AbunaufalSalim-di6dn Месяц назад

    Maana Allah mwenyewe kajinasibisha na uwepo wake juu فوق سبع سماوات hivi unawezaje kumkatalia Allah kuwa hayupo juu hali ya kuwa aya za qur-ani zipo nyingi zilizo thibitisha kuwa Allah yupo juu na ahaadithi nyingi zimethibitisha kuwa Allah yupo juu

    • @saidalisaid3751
      @saidalisaid3751 Месяц назад

      Kasome vizuri akhii

    • @darajanida
      @darajanida 6 дней назад

      Nazile Aya zinazo thibitisha kinyume na upande wa juu utazipa hukumu gani