MWAIPOPO AFUNGUKA MAZITO TUSIYOYAJUA KUHUSU BAKWATA SIWEZI KUMCHUKIA MUFTI ABUBAKAR BIN ZUBEIR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
    Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
    MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
    ..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Комментарии • 48

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад +2

    Maashaallah Allah akubariki kwa jitihada yako kubwa unayoifanya, hakuna kitu binaadam utasema katika mambo ila utaonekana mbaya, kuna mengibe ustaadh Mwaipopo unanikwaza lakin najua nia yako ni nzuri sana naelewa na haitasababisha nikuchukie bali nijue kuwa nami huenda nakwaza watu kwa mengine na mie sio mkamilifu na sipaswi kukuchukia napaswa kujua kuwa nia yako ni kujenga na sio kubomoa. Sipaswi kuwa mshabiki wa ninachokiamini bali napaswa kuangalia rai za wengine tofauti na nia zao nitawaangalia jitihada yake mengine na kukuombea mema. Kuna wakat hata mtu anajing'ata akiwa anakula chakula. Kudondosha kitu kutoka mkononi ukiwa hujakusudia na hayo ni maumbike ya ukamikif wa binaadam na sote hatupaswi kuchukiana kisa kutofautiana rai. Kubwa ni kujirekebisha wenzetu wakitukosoa tu na tusifanye kibri. Kinachotuumiza waislam ni kimoja, kibri maana kama anavyoongea Mwaipopo ni kweli kuwa kuna watu wanalinda heshima zao hata uwape aya na hadithi hawatabadilika na mashabiki wao maana Allah huwaacha wafuate matamanio yao. Sema haki lakin ikiwagusa watu utaishia kugombana nao na watakuanzishia uadui mkubwa na mashabiki wao. Na uislam hautaki mtu awe na kibri haki ikija ifuatwe hakuna namna. Tuwache kibri na tukikosolewa tuondoe ushabiki na tubadilike. Leo Mwaipopo anakuambia kwa njia nzuri kesho unakutana na Allah mwenyewe na jahannam ipo mbele na huna ujanja wala washabiki walikuwa wanakushabikia

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +1

    Upo sahihi Shekhe Mwaipopo. By theway Mash Allah iyo kanzu imekupendeza.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Год назад +2

    Uko sahihi Sheikh wangu, Maimum na Masheikh wa misikiti ya bakwata walipwe mishahara na wawekewe mazingira mazuri ya kuishi sababu ni kazi kma kazi nyingine.

  • @mfaumemkigoma4370
    @mfaumemkigoma4370 Год назад +2

    A.Alaikum warahmatullah shekh mwaipopo ukosahihi mwaka jana nilikuwa makao makuu ya bakwata hamna kitu

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад +4

    Mwaipopo wasaidie waisilaamu waonyeshe mifano yoote ya makanisani uliyoyaona kwa makaisa kisha waletee hayohayo na misikitini ili mwisho nao waseme kuwa kweli Mtu yeyote mwenye kristo yuko juu hata akili zake kufanya mambo.good keep it up

  • @khalilyjuma813
    @khalilyjuma813 Год назад

    Swahih

  • @Haarun-h4q
    @Haarun-h4q 11 месяцев назад

    Bwana Mwaipopo tafadhali irushe Habari ya sheikh Nuhu wa Sengerema aliyedhulumiwa pesa za Hijja za mzee wake.
    BAKWATA Mwanza kupitia sheikh Kabeke ndio anayeshtumiwa kwa dhulma.

  • @adamyusuphmsigala
    @adamyusuphmsigala Год назад

    Real ,

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 Год назад

    Hi chanel tunaifuta maudhui hayajengi .

  • @soudia9084
    @soudia9084 Год назад +3

    Tafuta clip za ustadh Ilunga usikilize zote. Kisha urudi useme. TAFADHALI.

  • @hassankiano4460
    @hassankiano4460 Год назад

    Mola hAkubAriki inshaallah ukweli ni hiyo pongeze.

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Год назад +2

    Umesema kweli Mwaipopo,Bakwata imejaa uozo mtupu na hakuna wa kuirekebisha.

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Год назад +1

    Waislam tusitegemee mabadiliko yoyote ya maana ndani ya Bakwata.Bakwata haijaundwa na waislam na wala haipo kwa ajili ya uislam.

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад +4

    Mwaipopo unamawazo mazuri saana .Ila ninachojifunza ni kwamba akili ya kanisani ifanye kazi misikitini kwa waisilaamu ili maendeleo yafikiwe. Pia mwipopo unazidi kutuonyesha kuwa ukiristo umeukimbia ila mtazamo wa kimaendeleo ulio nao juu ya maendeleo ni wa ukiristo. Na bado mfano mzuri wa wewe kuiga ni kwa wakristo safi saana .Yesu akusaidie.

    • @jumaruhizoh9669
      @jumaruhizoh9669 Год назад

      Sasa nyinyi mnahangaika na bakwata mbona watu washaachana nayo muda mref

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Год назад +1

    🤲🙏

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +2

    Mufti chukua hiyo, imeenda hiyo. Usiangalie aliye sema, angalia kilicho semwa.

  • @anwarKhan-gn6yt
    @anwarKhan-gn6yt Год назад

    Wewe Ni jasusi wa kikatoliki ndani ya uislamu

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta1712 Год назад +2

    Uko vizur sheikh ,bakwata wanachafua uislam kwa maslahi yao binafsi,ata wasiokuwa waislm wanashangaa Mambo wanafanya hao bakwata,wanakula Mali za waislm mamekomaa tu na maulidi .

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад

    Maisilaamu msikilizeni mtu huyu alie kuja na mafunuo ya kikanisa kuwaokowa waisilaamu mtafanikiwa na atawasaidia mengi saana. Ila baadae akimaliza kuwaeleza juu ya maendeleo baadae atawambia muokoke mumukubali Yesu.

  • @Bosskubwah4501
    @Bosskubwah4501 Год назад +2

    Chombo cha kiislam kilichoundwa na mkristo ni ngumu kutoboa kwa mifumo iliyowekwa

  • @nadiahassan7993
    @nadiahassan7993 Год назад

    Hata huku kwetu kenya bakwata letu ni corrupt sana.

  • @anwarKhan-gn6yt
    @anwarKhan-gn6yt Месяц назад

    Tapeli

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 7 месяцев назад

    Utalogwa vibayawew ayatu. Rudi kwaYesu

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Год назад

    Hao walevi ndo wakuwaita ili wabadilike,..shda yako ubaguz mwng

  • @deusNjimba
    @deusNjimba 7 месяцев назад

    Wewe umeingia. Juzi. Ufundishe. Wenyeji

  • @khalidjamadi6016
    @khalidjamadi6016 Год назад

    Leo mwaipopo kaamua kuwaambia ccm wenzake bakwata ukweli.
    Haki siku zote inakuwa juu,
    Wala haikaliwi juu bwana.
    Sijuwi mwaipopo kimemfika nini leo.

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад

    Hiyo ni mbiu kutoka kanisani kuja kuwaamusha waisilaamu.misiktini. waisilaamu pokeeni hekima hizo kutoka kanisani na mawazo mapya ya motomoto kwa kijana jasili kutoka kanisani. myafanyinyie kazi

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад

    Kwa hiyo wewe ndo unamshauli Mufti,au la kama unaniya ya kutoa ushauli ungemshauli Kwa sili au falagha ,Kwa kufanya hivo unatafuta umalufu Kwa kuwaponda wengine, ina maana Mufti Hana washauli hapo unajichanganya Wala hausaidii Bali unajiongezea maadui ktk dini yako,

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Год назад +1

    Mwaipopo, bakwata ni sikii la kufa halisikii dawa,ila wewe usichoke kusema

  • @anwarKhan-gn6yt
    @anwarKhan-gn6yt Год назад

    Wewe mwaipopo Baki na uganga wako tuuuu,

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 Год назад +1

    Huko bakwata tungejua na Mashekh viongozi kama Shk Mwaipopo mbona Uislam nchi ni ungekuwa mbali kimafanikio maendeleo,ustawi jamii nk.Ila waliopo wanaiangusha taasisi kazi kugombea misikiti na mali za wakfi basi.😏

    • @aishamtwana1323
      @aishamtwana1323 Год назад

      Vijana wengi wamesoma dini wana imani kubwa ya dini waaminifu na wanapenda dini lakini hawajulikani vijana wana nguvu ya kuendeleza dini kwa nguvu kwa umri wao tafadhali waangaliwe kwa jicho la haki na hofu ya mwenyezi mungu Alhamdulillah inshallah

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад

    Mwaipopo anawaona waisilaamu kama hawana akili hivyo anachukua mbinu za kikiristo na kuzileta kwa waisilaamu ili ziwasaidie. Mwaipopo anazidi kukili kuwa katika uisilaamu bado kumelala.hivyo waamuke kwa kuangalia wenzao wakristo wanavyofanya. Hivyo nimeelewa kuwa kielelezo cha waisilaamu ni wakristo.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад

      😂😂😂 unajitahidi kujitesa...

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Год назад

      Yaani muislam achukue nasaha za wakiristo kupitia mwaipopp?wewe shikari Adabu yako Acha kutukana watu.

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад

    Mwaipopo anatumia akili za kikiristo na kuzileta ktk uisilaamu.yaani waisilaamu ili mfanikiwe mnapaswa kuwaiga wakristo. Sasa kama ni hivyo basi mwaalike wakristo waje kutoa semina misikitini.

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Год назад

    Mwaipopo umeujua ukristo ndani nje pia umeujua na uislamu vilivyo hivi unawezaje kusema kwamba YESU KRISTO ndiye ISSA BIN MARYAM? inamaana kusoma kwako kote huko umeshindwa kuzijua tofauti zao uweze kuwaeleza wenzio?

    • @Yesunimwokozi1
      @Yesunimwokozi1 Год назад

      Hiyo ni shida ya waislamu wote

    • @husseinkiruta1712
      @husseinkiruta1712 Год назад

      Wew ukadhani Isa Ni Nani kweny uislam alivotajwa kweny Quran

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@Yesunimwokozi1. Ndio shida yenu nyie makafiri mana Yesu, mama ake alivyozaliwa, ndugu zake, miujiza yake mambo mengi sana ni hayo hayo kuonyesha ni mtu mmoja just anatokea mtu na njaa zake anakwambia ni watu tofauti na ww unashikilia ni tofauti kwa kua tu alipozaliwa nitofauti.

    • @Yesunimwokozi1
      @Yesunimwokozi1 Год назад

      @@Fear_Allah394 huna ELIMU .. KWNEYE Quran mariam ni mtoto wa Imran..
      Kwenye biblia Mary ni mtoto wa Zachariah.. haya amka..

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Год назад

      ​@@Fear_Allah394Kafiri ni yule anayesujudia kuelekea Makka kwenye Kaaba iliyo bandikwa Al hajar Al aswad Jiwe jeusi