Waislam, Bakwata na Mfumokristo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 64

  • @lodilofa9485
    @lodilofa9485 9 лет назад +2

    Mzee Mohamed Said Nakukubali sana kwa Hekma zako na Darsa zako.
    MUNGU Akuongeze Nguvu na Afya.
    Amiin

  • @HabibaHabiba-mi1ez
    @HabibaHabiba-mi1ez 7 лет назад +2

    Nashukur kwa histori nzuri yenye mafunzo Allah akuzidisie kila la kheri Allah akulipe janaat firidaus Amiin

  • @abeidsaid4928
    @abeidsaid4928 8 лет назад +5

    Asante shekh Mohamed said kwa kutueleza historia yetu tumejielewa sasa

  • @muharamkigogo2955
    @muharamkigogo2955 5 лет назад +1

    Inshaallah allah akupe kila la kheri na hii ndio radio ya kislam inayo takiwa kwenye mtandao kwa diaba yetu wachangiaji

  • @Noahhersi
    @Noahhersi 7 лет назад +10

    bakwata maana yake ni baraza la kuumaliza waislam tanzania

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад +1

    Kweli Allah anawalaani Bakwata tunawadharau na tumewajua Alhamdulilah.

  • @chriskatoto2322
    @chriskatoto2322 3 года назад

    Sheikh Muhamed Said: shukran kwa kutuelemisha. Tumedanganywa mengi mda mrefu. Nyerere katuminya sana

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi2971 5 лет назад +2

    I love this great man for what he is and what he stands for. May HE WHO HE IS enlighten him to see what he as mortal cannot see.

  • @saidakarim1043
    @saidakarim1043 7 лет назад +2

    Allah akulinde sheikh wetu

  • @yusufige7030
    @yusufige7030 2 года назад

    Maashaala Mohamed said tuliabiwa na sheikh wetu Mohammed Ahmed mcomoro maneno haya nilikuwa mdogo lakini nakumbuka Allah akufariji sheikh

  • @talhiyahafidhi9484
    @talhiyahafidhi9484 8 лет назад +3

    inshaallah Allah akupe hekma

  • @amirithabit5802
    @amirithabit5802 9 лет назад +1

    Mungu akupe maisha marefu

  • @amaniabasi1818
    @amaniabasi1818 8 лет назад +2

    shekh nakutakia maisha malefu na afya njema ktk darsa zako

  • @mwanamisipofu3212
    @mwanamisipofu3212 7 лет назад

    Mwenyezimungu akulinde mahadui inshaAllah

  • @kassimtanzania5901
    @kassimtanzania5901 9 лет назад

    Mashallah

  • @shariffburuhani2690
    @shariffburuhani2690 9 лет назад +2

    Allah akulipe kwa historia nzuri ba sahihi, je redio zetu kama sauti ya Quruani mbona hamwiti?

  • @allykindendenga4717
    @allykindendenga4717 7 лет назад

    kweli sisi tumepotea sana allah atufanyie wepesi

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo536 2 года назад

    Uhuru wa Watanganyika umepiganiwa na makabila pamoja na dini zote.Hakuna njema dhidi ya Waislamu.

  • @khalilyjuma4325
    @khalilyjuma4325 3 года назад

    Ni khatar

  • @abdullkilawi5504
    @abdullkilawi5504 8 лет назад +1

    Shukrani kwa ujumbe

  • @AbdallahAbedy-yk9ft
    @AbdallahAbedy-yk9ft 5 месяцев назад

    Ukweli haujifichi tumechoka namifumo kirsto inayotumika nabakwata

  • @AbdallahAbedy-yk9ft
    @AbdallahAbedy-yk9ft 5 месяцев назад

    Kamabakwata nidini alioileta Allah ifuateni ilasikupunzi inakata ndipo hakiitajulikana ikowapi japo ukwelihaupingiki

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 5 месяцев назад

    Bakwata sijawahi waona kwenye shida za waislamu bali kwenye makongamano ya ccm

  • @ahmedadan4720
    @ahmedadan4720 5 лет назад

    Mm huwa namkubali sana shekhe mohamed said hajuwa mambo mengie sana najuwa waislam wa bakwata hawa mkubalie Mohamed said lkn hiko siku mmoja watakuja kumjuwa

  • @allahuakbar6943
    @allahuakbar6943 7 лет назад +1

    tuuungane tuswali tumshtakie allah kuhusu bakwata naserikali inavyotufanya tuombe nadua yaumoja

  • @chriskatoto2322
    @chriskatoto2322 3 года назад

    Assalaam alaykoum wa rahmatullahi wa barakatuhu. Idadi ya Waislam ni ipi Tanzania ?
    Ahsante

  • @issasuleiman9198
    @issasuleiman9198 7 лет назад +1

    Nyinyi wakiristo hamuipendi haki

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Год назад

    Huyo lanatullwal aliyekua akijafanya hatokufa yuko wapi mungu mkubwa zulma aliotufanyia molla atakulipa na kichapo akipata huko

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 3 года назад +1

    He is great a bit biased but scholarly. Watu wake ni manyema na waislamu wa Kariakoo

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 7 лет назад

    Ipo siku yote haya yatakwisha tuzidisheni duaa na kufanya ibada kwa wingi

  • @issasuleiman9198
    @issasuleiman9198 7 лет назад +3

    Sheikh Muhammed Said umeongea ukweli mtupu Nyere alikua nimtu m'baya sana kwa waislamu nampaka leo mzimu wake unatutafuna

  • @salumshomary7360
    @salumshomary7360 4 года назад

    Tumewasafishia njia wenzetu wanateleza tu

  • @dullybang7246
    @dullybang7246 3 года назад

    Huyu sheikh si walimtupia Bomu nyumbani kwake da mungu amuweke..ila bakwata hamna kitu..

  • @goodluckmhagama4236
    @goodluckmhagama4236 3 года назад

    Tunaona viongoz was dini wanavyo shindana kujibizana kwenyemitandao

  • @mwanahistoriamohamedsaid4388
    @mwanahistoriamohamedsaid4388  10 лет назад +1

    • @Noahhersi
      @Noahhersi 7 лет назад +1

      Mwanahistoria MohamedSaid manshalah

  • @hamidubakary
    @hamidubakary Год назад

    k h bakwata inalindwa kuhakikisha waislam wasifulukute to 12255

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад

    Kila ninapo sikia habari za Bakwata huwa naumia. Najikuta nabeba dhambi kwa kumchukia Nyerere na wengine wote hususani viongozi wa kiislam wa Bakwata.

  • @saidmaulid7668
    @saidmaulid7668 4 года назад +1

    Tatizo waislamu hatuna umoja tunapenda dunia kuliko ahera laiti tungekuwa wamoja makafiri wangetulia tu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Год назад

    Waislam na Bakwata yetu tunashindwa kuwatumia wafadhili matajiri Wa mafuta waislam wenzetu kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu mashule bora yanayopasisha na vitega uchumi kama vile hatuna wasomi

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 5 месяцев назад

      Huyo tajir akitoa hizo pesa atafilisiwa kwa kodi

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv 5 лет назад

    Kuhusu bakwata Kuna kitu kiko ulimwengu mzima ,SS hv tunaongozwa na ulimwengu wa Freemason na Illuminati.....

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv 5 лет назад

    Umeingea ukweli sheikh naenda viongozi wote wa kikatoliki watembelee Rome wajionee wenyewe wanavoabudu masanamu ya yesu na Maria.watembee ulaya wajionee wenyewe ..

  • @issasuleiman9198
    @issasuleiman9198 7 лет назад +3

    Faustin Luambano ww unajua nini nyinyi kazi yenu nikupiga makelele tu makanisani nakudanganywa na wachungaji Huyo yesu wenyewe hamumjui yeye nimuisilamu safi nailikua hatoki misikitini huko Yerusalem hakuna hata aya moja inayo thubutu kusema kua yesu aliingia kanisani

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 года назад

    Mi ninge kua rais we mzee ninge kusweka ndani mana unaleta udini hufai ww

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 5 месяцев назад

      Ukweli umekuuma

    • @AbubakariMussa
      @AbubakariMussa 11 дней назад

      Mpumbavu HUYO. Dhulma zote hizo zinazoelezwa Bado unaona Giza tu. SUBUHANA LLAH .

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 4 года назад

    Nimemsikiliza kwa makini huyu shehe yeye analia kwa kusema watoto wa kiislam wanaonewa kwenye elimu na anasisitiza sana mambo ya shule hivi kwenye uislam elimu ni haramu? Mnaita elimu dunia, si watoto wa kiislam wanatakiwa wasome Quran tuu
    Hembu nielimisheni kwa hilo

  • @jacquelinemabula2519
    @jacquelinemabula2519 7 лет назад

    kuna mashekhe wapumbavu sijawahi ona duniani

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai5203 4 года назад

    Yaliyopita sindwele shehe tugange yajayo kamwe mfumo mzima wa dunia ulivyo hauwezi kumridhisha kila mtu hata tungekuwa watoto wa familia moja tusingeweza kulia sahan moja kila siku mfano mzuri ni watoto wa adam wao kwa wao tu walishindwa kuelewana naikumbukwe kwamba kuran imesema watu wakaribu sana na uislam ni manasara je mkigombana nao mtawageukia mayahudi na washirikina ?
    meza ya duara yatosha

  • @faustinluambano9942
    @faustinluambano9942 7 лет назад +1

    Hii siyo sahihi anamsemea nani huyu mchochezi mbona hakamatwi? Polisi mko wapi? Hivi mtu hawezi kuwa muislamu Hadi Uwe punguani unayehisi ukristo ndiyo adui. Unakuwa muislamu ili ushindane na wakristo au umuabudu mola wako?.