MCHUNGAJI HANANJA ampa onyo PAPA FRANCIS dini yetu hairuhusu ushoga ,watu wenyewe hela ndio chanzo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 дек 2023

Комментарии • 829

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 5 месяцев назад +37

    Intelligent Hananja ur no 1 in a million nobody should make u feel otherwise. Keep going Hanaja ur the best.

    • @AdelinaMethod
      @AdelinaMethod 17 дней назад

      🎉😢🎉🎉😢🎉🎉😢f

  • @patrickmathiasnsalanga3401
    @patrickmathiasnsalanga3401 5 месяцев назад +44

    Wewe ni shujaa, Asante sana baba mchungaji, umesimama katika haki ya Mungu. Sema ukweli ili watu wa Mungu waokolewe, kwa kauli yako maelfu ya watu wataokolewa, na mimi nakuhakikishia kwamba lazima Mungu akulipe kwasababu ya wema huu mkubwa. Mchungaji hongera,. Mungu aendelee kutupa nguvu ili tuendelee kulifukuza giza katika maisha ya watu wake ili siku moja tuvikwe ile taji ya uzima wa milele. Wewe ni kiongozi wa watu wa Mungu.

    • @monicamollel2899
      @monicamollel2899 5 месяцев назад +2

      Kwa kweli Ni shujaa!. Mungu akutunze akupe Manisha marefu ili uendelee kunisaidia jamii yetu ya kiafrika ijitambue na kujikwamua ktk janga hili la aibu, fedheha na uvunjifu wa maadili yetu!. Kupitia mafundisho yako wengi watazinduka na kumgeukia Mungu kwa kufuata maagizo yake!.Thanks slot, be blessed Mchng. Hananja!.

    • @user-ml6lz4no9p
      @user-ml6lz4no9p 5 месяцев назад

      Assante sana Mchungaj vipige vile vita vizr vya Iman

    • @tinapius1865
      @tinapius1865 5 месяцев назад +2

      hakika baba umesema ukweli mtupu mungu azidi kukuinua zaidi

    • @mildredachimpota5877
      @mildredachimpota5877 5 месяцев назад +1

      Barikiwa baba na Mungu akutunze Kwa kusimamia ukweli

    • @saidimnyani3330
      @saidimnyani3330 5 месяцев назад +1

      Uchafu

  • @user-ml8rd7vm5o
    @user-ml8rd7vm5o 5 месяцев назад +27

    Napenda tu kukusikiliza baba mchungaji, Mungu akutunze sana.

  • @YusufMsumi-gx4ih
    @YusufMsumi-gx4ih 5 месяцев назад +39

    Mmimi ni muislamu nkupongeza sana mzee wangu mungu na atuongoze sote somo ni zuri sana na linaendana na mafundisho yoote ya mungu na maumbile ya mwanadamu

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 5 месяцев назад +1

      Acha kujikomba

    • @micahlucky5613
      @micahlucky5613 5 месяцев назад

      Nimependa point yako....kuliko wale wanaodai watu wahamie uislam....cjui ikitokea shehe maarufu akajitambulisha kuwa ni shoga au ikafahamika kuwa ni shoga sasa cjui hapo napo ashauri watu wahame uislam.....maana dhambi haina dhehebu wa dini....uzinzi unafanywa na dini zote...ushoga pia wanafanya kwenye dini ukristo na uislam maana watu wanakuwa wameamua kumwasi Mungu....mfano pwani michezo hii ya kufira ippo sana

    • @YusufMsumi-gx4ih
      @YusufMsumi-gx4ih 5 месяцев назад

      Kasome tena uislamu utanielewa nilichoongea na sio dhana unayonijengea ان بعض الظن اثم hivo ndivo Allah anavosema

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 5 месяцев назад

      Wewe una roho chafffu mno jitakasae na jik😂😂​@@hijazhija316

    • @betrackjasson6698
      @betrackjasson6698 5 месяцев назад

      Kweli kaka

  • @jacksonkatana5152
    @jacksonkatana5152 5 месяцев назад +9

    Mchungaji Hananja mungu akuzidishie miaka ya kuishi ili ulimwengu uelimike kupitia wewe,,i appreciate you daddy

  • @TimotheoBulimwengu
    @TimotheoBulimwengu 4 месяца назад +2

    Aminaaaaaaaah Aminaaaaaaah Aminaaaaah na Ubarikiwe sana na hakika Mungu akuongezee maarifa na uwepo wa nguvu na uweza wake maradufu ,kwajili ya ushujaa mkubwa huo

  • @user-cn1od2mm6c
    @user-cn1od2mm6c 5 месяцев назад +5

    Nimebarikiwa na hekima zako umenena ukweli kabisa mafundisho ni muhimu kuliko sadaka zaidi sadaka zinanguvu lakini mafundisho kwanza watu wamjue Mungu washike imani kweli kweli, baba mchungaji barikiwa kwa ushauri mzuri 🙌

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 5 месяцев назад +6

    Mtumishi wa Mungu baba yangu Hananja Mungu akubariki na akuongeze maarifa na na maisha marefu ya kuishi ili Mungu azidi kupokewa mioyoni mwetu Mungu akutie nguvu

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 5 месяцев назад +12

    Ubarikiwe Hananja
    Wapo watu hata kama
    Kuna jambo la haki
    Lakini kwa sababu ya imani yake
    Anageuza haki kua batil

  • @denisoruru-yv3fk
    @denisoruru-yv3fk 5 месяцев назад +3

    I like the fact that he quotes scriptures to support his arguments. It's our responsibility to speak against any practice that goes against the word of God and our values as a community.

  • @EliyaJames-fn3dz
    @EliyaJames-fn3dz 5 месяцев назад +2

    Safi sana mchungaji Hananja wewe ni baraka sana katika kizazi hiki.Wewe ni sauti ya Mngu katika kizazi hiki

  • @kennix6457
    @kennix6457 5 месяцев назад +1

    Siku izi ni kutoa to kanisani ndo Cha muhimu watu wanatoa na Bado wanaendelea kuwa maskini mpaka mwisho maana hamfuzwi mambo ya maisha ,kazi mapenzi .watu wataendelea kuteseka .Asante sana mchungaji

  • @bravesilubonde4350
    @bravesilubonde4350 5 месяцев назад +15

    Shusha namba pasteri sadaka inakuhusu

  • @abdallahmtula9467
    @abdallahmtula9467 5 месяцев назад +10

    Tunashukuru sana kwa maneno yako mazuri na yenye baraka tele ndani yake.

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 5 месяцев назад +2

    Mungu akuinue mtumishi wa Mungu ,kweli cha Mungu kibaki kuwa cha Mungu na cha binadamu kibaki kuwa cha binadamu ,mm pia sikubaliani na suala la ndoa ya jinsia moja.

  • @endrewmwasomola6506
    @endrewmwasomola6506 5 месяцев назад +4

    Mungu akulinde pastor wangu

  • @user-mo6uv5ew9h
    @user-mo6uv5ew9h 5 месяцев назад +2

    "Tupate wapi tena mtu kama huyu, ambaye Mungu anakaa ndani yake! Mungu akutunze Mchungaji Hananja.

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 5 месяцев назад +18

    Bongo Touch umefanya Jambo lamana sana kutuletea mchungaji kutupa Helimi mzuli asante.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇲🇿

    • @baoussenesombair8007
      @baoussenesombair8007 5 месяцев назад

      🇲🇿🍎

    • @petsmore9955
      @petsmore9955 5 месяцев назад

      Misinterpretation! Kubaruki alikozungumzia papa siotafsiri Hiyo.! Alisema waombewe kwa maana hiyo! Haujamwelewa papa. Acha povu!!!

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 5 месяцев назад

      @@petsmore9955 kuwabari ni kuwatambua,wewe ni mbumbumbu,utakwenda jehanamu

    • @petsmore9955
      @petsmore9955 5 месяцев назад

      @@odilomwemeziernest646 wewe na chungaji wako wapumbavu sana. Kwa akili na elimu yenu ndogo mnafikiri Mungu ni babu yenu na tayari mko mbinguni na mnapanga was kuingia mbinguni na wale was jehenamu. Pumbavu tena wanafiki wakubwa!
      Kile kisa cha mwanamke aliyefumaniwa kwa uzinzi Yesu alimfanyaje Kama hakumbariki?
      Someni biblia vizuri na muombe kueleweshwa pale ambapo mnapelea hamna kitu mnachoelewa nyie!
      The Catholic church is not a mushroom church like that of the pastor you claim to have spoken sensibly. In fact he is just speaking emotionally out of his little biblical knowledge.

  • @damiankilyenyi5367
    @damiankilyenyi5367 5 месяцев назад +3

    Yesu hakuleta dini alileta wokovu na hata waliomuua walikuwa ni viongozi wa dini ya kiyahudi. Kwa watu wengi kuabudu dini na kufuata mapokeo ya wanadamu dini zimekuwa magereza ya kufungia watu wasiujue ukweli wa neno la Mungu na wote watakwenda motoni.

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 5 месяцев назад +3

    Mi ni muislam ila haya ni maneno ambayo hata mungu mwenyewe anafurahi kuyasikia... mungu ni mmoja tuu na wote tumetokana na adam na hawa au adam wapili Nuhu.

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 5 месяцев назад +2

    Umenena vyema ukweli wote hongera sana Mchungaji. Hii dunia imeporomoka vibaya sana. Hata kama amesema nani mbona nature tu haipo hivyo, hapo ndipo ule ukweli wa imani utakapokuja kubaki suala la mtu binafsi na Mungu. Dunia inaenda wapi kutetea ushoga live!!

  • @cyprianmgogo7625
    @cyprianmgogo7625 5 месяцев назад +3

    UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGANI UMEKEMEA KWELI KWELI ,UPO SAHIHI KOMALIA KAULI ZAKO,HULE MZEE AMEZEEKA VIBAYA HATA AMESAHAU KAMA SIKU SI NYINGI ITABIDI ATOE MAHESABU, KATIKA HILI MZEE AMEFULIA CHOONI.

  • @mayungakisinza6090
    @mayungakisinza6090 5 месяцев назад +10

    Padri, askofu wote wapo lkn hakuna anae simama kukemea wanawaza sadaka na matoleo na kuacha ujinga kama huu uendelee

  • @alsam4881
    @alsam4881 5 месяцев назад +78

    Kuna baadhi ya binaadam ni viumbe wakorofi sana japo wamepewa akili ya kufikiri na kutafakari na kujuwa kipi kizuri na kipi kibaya, lakini bado wanafanya mambo ya kijinga na ya hovyo kabisa yasiyompendeza Mungu, Na ukiwangalia wanyama hayawani hawana akili kama ya binaadam lakini hatuoni dume akampanda dume mwenzake, au jike akampanda jike mwenzake.

    • @ananiaszinns7324
      @ananiaszinns7324 5 месяцев назад

      Hapo Papa hamnazo

    • @Zakayo-px3sh
      @Zakayo-px3sh 5 месяцев назад +4

      Taarifa hi ni sahihi na wale maaskofu waliokua against kama Bishop Joseph Strickland wa huko texas amewafuta kazi mwezi uliopita(November). Na moja kati ya agenda za majadiliano kwenye synod;
      1. Abortion
      2. Blessing same sex marriage
      3. Ordination of women etc
      Kweli tue makin na hawa viongozi wetu

    • @kingsolomoni-xp3dv
      @kingsolomoni-xp3dv 5 месяцев назад

      esu ndie bwana na ndie binadamu aliyekuwa amefunga ufahamu wote kwenye kiganja chake yani siri yote na ndio mwenye ile ishara ya sita kiganjani yani ukikunja kiganja ukanyanyua dole gumba unapata herufi 6 ambayo ni yeye aliye umbwa siku ya 6ndio mana hamuezi kuacha kumuita mungu mkuu mmeenda mbali zaidi mkamuita yeye ni chanzo cha uhai wenu siwashangai kwasababu ndio kusudi lake au kusudi la neno nandio maana kila anae soma biblia akiongozwa na roho mnaemuita mtakatifu lazima umuone yesu nichanzo cha uhai wako (REHEMA SEMFUKWE)

    • @ajgasharia1247
      @ajgasharia1247 5 месяцев назад +6

      Muongo ukristo kajanao Paulo yesu hakuwahi kuingia kanisani hata siku moja

    • @Ngongongalimedia
      @Ngongongalimedia 5 месяцев назад +5

      ​@@ajgasharia1247
      Unaangaika na Paul na kristo badala ya kuelewa maana

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo 5 месяцев назад +3

    Napenda huyu pastor,jasiri naungana na ww huo ni ushetani tu 🇰🇪🙏.

  • @sarambise
    @sarambise 5 месяцев назад +1

    Thanks,it is fact.. tumrudie Mungu hakika

  • @user-zw6hk9rl8d
    @user-zw6hk9rl8d 3 месяца назад

    Roho matakatifu na imani ndo muongozo wa mwanadamu katika ulimwenguu huu, ubarikiwe sana mchungaji Mungu akutie nguvu zaidi Ameni kwa hakika umenena sikuweza kuamini kama kiongozi mkubwa vile angeweza kusema kauli ya vile Kuna mikoa kama mara hatujui kabisa kama mambo hayo yapo kwa hakika MUNGU ATUONGEZEE IMANI,AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 5 месяцев назад

    Asante Mtumishi. Ubarikiwe sana

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 5 месяцев назад +2

    Pastor Hananja...naomba uheshimiwe🙏

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 5 месяцев назад +11

    Wenye Dini yao washaamua ndugu zanguni ,kila mwenye akili sasa atajua wapi pa kuelekea!

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 5 месяцев назад +4

      SISI hatuendi kokote alieanguka kiimani ni YEYE mwenyewe UKRISTO ni sahihi

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p 5 месяцев назад +3

      Waroma sio wakristo

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 5 месяцев назад

      @@user-kx7ob5rx4p Hata biblia ipo mikononi mwao na wao ndio waandishi wa mwanzo, na wamarekani, Wagiriki na Kiingereza Waingereza, Sasa ukristo umetokana na wao na hata Paul mwenyewe alikuwa Mroma au hujui yeye ndio chimbuko la ukristo Wa mataifa? Tena Paul yeye hakuwa na maono au wahai zaidi yeye alikuwa na barua na waraka, Sasa unategemea barua au waraka wa Paul kwa wagaratia iwe neno lake MUNGU? Yeye ndie mtume Wa kwanza mzungu tena Mroma

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 5 месяцев назад +2

      ​@@josephwilliam5813Ameshaukana ukatoliki maana ukatoliki ni lazma uwe MTII KWA PAPA. Kulila na na imani ya kikatoliki Papa hakosei na wakili wa Kristo hapa dunia ni.

    • @Secondborn_
      @Secondborn_ 5 месяцев назад +2

      Dini zote zina wenyewe mzee 😂...

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 5 месяцев назад +3

    Mwaka umeisha vizuri kwa kuwa na watu ambao wanaweza kumchallenge kiongozi wa dini❤

  • @catjnyang423
    @catjnyang423 5 месяцев назад +1

    You are one of my heroes

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 5 месяцев назад +1

    Big up pastor

  • @victoriamumwi1769
    @victoriamumwi1769 5 месяцев назад +2

    Unapotoa comment ufikirie mara mbili, uelewe zaidi mwenzako alikuwa anamaanisha Nini, nampenda sana kumsikiliza Ananja, lakini katika hili kakurupuka kumkashifu mwenzake, arudie kusoma au kumsikiliza mara mbili hakuna sehemu Papa amekubaliana na ushoga Wala usagaji, anakemea vyote na kanisa linakemea

  • @nassorally8139
    @nassorally8139 5 месяцев назад +4

    Mchungaji nakukubali Sanaa japo mimi ni muislamu tena no Ustadh kabisaa lakini unauelewa mzuri na ufafanuzi mzuri wa mambo yenye kutatiza natamani wakristo wapate ufahamu na kujitambua kwa maneno yako ya hikma

    • @user-py9yl9bf5k
      @user-py9yl9bf5k 5 месяцев назад

      Tumia neno baadhi,usijumuishe wakristo wote

  • @kasigababa8596
    @kasigababa8596 5 месяцев назад

    Asante sana Mzee wangu, Mungu akutunze

  • @ZaycargoMovers-vx6lf
    @ZaycargoMovers-vx6lf 5 месяцев назад +1

    Mchungaji uko vizuri. Ubarikiwe

  • @nyansilujoseph-pm8im
    @nyansilujoseph-pm8im 5 месяцев назад +9

    Kama umesikia vizuri dakika ya 7:52 gonga like 😂😂😂

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 5 месяцев назад +5

    Kama uliskiliza vizuri kwenye dakika ya 7:52 gonga like😁😆😂🤣😄😃barikiwa sana Mch. Hananja.

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy 5 месяцев назад +1

    Bwana yesu. asifiwe.
    Kuomba
    Mungunibidii yeye papa
    Anataka
    Kudupotez
    Sisitunaelewa mungu
    Haduhamgaliye papa
    Atoke hapo mujinga
    Bwana yesu
    Asifiwe

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 5 месяцев назад

    Hongera mtumishi, ubarikiwe

  • @rosendubi5207
    @rosendubi5207 5 месяцев назад

    Amina , Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli, endelea kusambaza ujumbe kwa nchi yote.

  • @mathiasjames
    @mathiasjames 5 месяцев назад +3

    Barikiwa sana

  • @pacsnomventures8016
    @pacsnomventures8016 5 месяцев назад +1

    Mungu akubariki mchungaji

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 5 месяцев назад +6

    Ubarikiwe sana Mzee Yani papa anatureteye ushoga na yeye mwenyewe ni shoga papa kenge kahaba mwana Haram amelaniwa God help us God bless Africa 🌍 God bless 🙏

    • @levinachuwa7622
      @levinachuwa7622 5 месяцев назад

      Mshenzi sana wewe mwenye mihemko, ukome kumtusi na kumdhihaki kiongozi wetu wa kanisa Papa Fransis. Uwe na adabu. Pope anaongea kuhusu kubariki yeyote, kuwaelekeza na kuwaombea. Hukumu ni juu ya Mungu. Wewe kama nani umhukumu! Shuwaini 😞

    • @NeemaSulle
      @NeemaSulle 5 месяцев назад

      Pole mwananyamala umeumia sana

    • @hassanyohna6121
      @hassanyohna6121 5 месяцев назад

      Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍

    • @hassanyohna6121
      @hassanyohna6121 5 месяцев назад

      Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 5 месяцев назад +6

    Hivi lini wokovu iko kwenye kanisa la katoliki!! Kule hamna wokovu.

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 5 месяцев назад

      Wewe ni mbwa mbwekaji hakuna anaye kuhitaji Wakatoliki ni wengi mnooooo!!!! Ukabweke huko Barabarani

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 5 месяцев назад

      @@angelsulle7177 sawa naweza kuwa mbwa!! Sina mbaya!! Sijazangumzia uwingi, hilo sio sababu. Nazungumzia wokovu. Haipo kwenye hili kanisa la katoliki. Endelea kunitukana, ila ukweli ndo hivohivo!! Cheki ulivyo, mtu wa Mungu hawezi kumtukana mtu!! Bado hujaokoka. Ww+katoliki hamna wokovu. Oky?

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 5 месяцев назад

    Barikiwa sana mchungaji uko bright sana

  • @brilliant94tv31
    @brilliant94tv31 5 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho dunia ishatekwa

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 5 месяцев назад +1

    Asante sana mchungaji

  • @rosemwangi-yp9ol
    @rosemwangi-yp9ol 5 месяцев назад +5

    Nataka kuwaelezea ukweli kwamba watu wengi na media wamyongea vibaya lakini kama hujaelewa usiongee vitu usivyovijua. Utajikosea mwenye na wengine wasiolewa. Katika mafunzo ya katoliki yatuelezea vizuri Mungu kaumba mke na mume waishi pamoja kama familia yake Kikristu. Papa kasema hawa watu wapo kanisa mtu akija abarikiwe ili Mungu amusaidie kujielewa na kuishi maisha inayofaa kama kama

    • @user-jq1ny9lx4e
      @user-jq1ny9lx4e 5 месяцев назад +6

      We pia ni shoga

    • @donjb3178
      @donjb3178 5 месяцев назад

      Tatizo una udini mwingi ndio mana hata kama jambo la hovyoo likisemwa huwezi fanya maamuzi kwasababu akili yako ishachukuliwa mateka fata njia ya Yesu ndio uzima pekee uliobakia ulimwenguni mana dini zimekuwa njia za kuruhusu mambo ya hovyoo kuwa ya heshima kitu ambacho sio sawa

    • @veeJesus
      @veeJesus 5 месяцев назад +1

      Acha udini wewe papa atakupeleka kuzimu. Acha kumtetea shetani. Mfate Mungu Soma bible papa wenu hayupo na nyie tena

    • @foroforoy2554
      @foroforoy2554 5 месяцев назад +1

      Wanagapi wamebarikiwa wakaacha ushoga?

    • @veeJesus
      @veeJesus 5 месяцев назад

      @@foroforoy2554 swali zuri

  • @user-qt5uy9mt4y
    @user-qt5uy9mt4y 5 месяцев назад +1

    Nashukuru sana kwa kumea uchafuo kwakweli tuungane sote wenye kuelewa SoMo la mchungaji kukataa kwa maneno na kwa Sala atuondolee janga hili nashauri mtu atakayefanya ushoga ktk jamii atengwe Kila aina ya kijamii ya msingi maana mtu kama huyo ni shetani kabisa mchungaji mungu akitunze

  • @JaphetBigirimana-hp8ir
    @JaphetBigirimana-hp8ir 5 месяцев назад +1

    napenda huyu baba wetu hongera sana

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 5 месяцев назад

    Binafsi napenda sana mahubiri ya mchungaji R. Hananja, Mungu akubariki sana mtumishi

  • @hawa6052
    @hawa6052 5 месяцев назад +6

    Hananja ukweli daima usihofu nani anasema nini hapa ukweli tu Hadi mwisho wa Dunia

    • @user-wq6er3ux5r
      @user-wq6er3ux5r 5 месяцев назад

      Ibada ya jumapili pia aliweka papa.

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 5 месяцев назад

    Mungu akuzidishie ujasiri na kujiamini zaidi. Wachungaji wengi WAOGA. Ee Mungu inua na wengine waweze kujiamini. Siyo kila jambo ". OH! HESHIMUNI WENYE MAMLAKA, KILA MAMLA IMETOKANA KWA MUNGU"

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 5 месяцев назад

    huwa nakuelewa sana mchungaji hananja mwenyezi mungu anakuona atatenda muujiza kwako ili sauti yako ikawaguse watu wote na waache

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 5 месяцев назад

    Upo sahihi Mungu akubariki

  • @saadathassan4434
    @saadathassan4434 5 месяцев назад

    Mungu akubariki xna mtu bingwa kbisa ww

  • @yusuphsitta2400
    @yusuphsitta2400 5 месяцев назад +5

    Isa 58:1-4 SUV
    Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 5 месяцев назад +1

    Baba mchungaji Hananja unasema ukweli Mwenyezi akubariki sana, japo si wakamilifu kwa kila kitu lkn kwa hili la ndoa za jinsia moja halijubariki kamwe.

  • @SADICKITHOMAS
    @SADICKITHOMAS 5 месяцев назад +1

    Fact 🙏🙏

  • @evangelicalmiraclesfellowship
    @evangelicalmiraclesfellowship 5 месяцев назад +1

    Ur 100% collect ,

  • @user-zw6hk9rl8d
    @user-zw6hk9rl8d 3 месяца назад

    Mimi ni mkatholic lakini kwa imani yake hiyo mimi nitabaki kuwa mkatholic kupitia imani yangu ya biblia Amen

  • @user-nz4ff6dq4t
    @user-nz4ff6dq4t 5 месяцев назад +1

    Watanzania simameni kidete mkikuli tu kurusu ushoga huyi ngie Tanzania mumerusu lahana maana hiyo nilana kubwa, tangu lini mwanaume kwa mwanaume wakaowana, huo papa mjinga sana tena sana

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 5 месяцев назад +1

    Amen neno la Mungu lipo pale pale na kwa hilo tutahukumiwa kwalo

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 5 месяцев назад

    acsente Mutu wa Mugu Ubarikiwe Kamwe 🙏🙏🙏

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 5 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi, hawa maajent tuwapinge kabisa

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 5 месяцев назад

    Mungu akubariki kwa kusema ukweli

  • @tuponearon7368
    @tuponearon7368 5 месяцев назад

    Ninachojua Yesu hakuleta dini duniani, alileta wokovu kwa kila amwaminie, dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, mpango wa Mungu ni kumwamini Yesu apate ondoleo la dhambi (kuokoka)

  • @Wiselight_Official
    @Wiselight_Official 5 месяцев назад +3

    Imani yetu ilianzishwa na Yesu.❤❤

    • @abubakarmwasumilwe7070
      @abubakarmwasumilwe7070 5 месяцев назад

      Mh so kweli

    • @Wiselight_Official
      @Wiselight_Official 5 месяцев назад

      @@abubakarmwasumilwe7070 ulielewaa nilichocomment au umereply tu na ulisikilza yote baba hananja aliyoyazungumza Imani yetu ilianzishwa na yesu na missing ya yesu kwa kanisa ipo waz

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 5 месяцев назад

    Umetisha sanaa

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z 3 месяца назад

    True ,waambie ukweli mchungaji,viongozi wengine wa dini wanaona aibu kukemea ,wamekaa kimya

  • @ziakaitala2221
    @ziakaitala2221 5 месяцев назад

    Mungu amtunze sana mchungaji Hananja

  • @bravesilubonde4350
    @bravesilubonde4350 5 месяцев назад +1

    Nice

  • @WeyaniTvonline
    @WeyaniTvonline 5 месяцев назад

    Ukweli usemwe. Hongera kiongozi kwa kuielimisha jamii na kukataa mabaya.

  • @kazinzangonda230
    @kazinzangonda230 5 месяцев назад +1

    Safi sana mchungaji aisee ninakukubali sana

  • @IsmailIsmail-ix1yd
    @IsmailIsmail-ix1yd 5 месяцев назад +2

    Safi sana

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 5 месяцев назад +3

    Kupinga tunaweza kupinga ila chamhimu nikuomba sana tena sana kama twamuani mungu ,tunajuwa shetani yuko na hatutakii mema tusali tuombee tumririe mungu atatusikia,na kingine viongozi wa nchizetu nawao watusaidie kutokubari ujinga wa ushoga.

    • @rubbymusa1971
      @rubbymusa1971 5 месяцев назад

      Wakiingiza Ushoga kupitia dini ni ngumu kuzuia hiyo hali, kwahiyo makanisa yaendelee kupinga hiyo hali

    • @user-mg2yn7pj1y
      @user-mg2yn7pj1y 5 месяцев назад

      acha inyexhe tuone panapo vuja

  • @kitonkamanase2529
    @kitonkamanase2529 5 месяцев назад

    Mungu yupo kazini Wote mnaunga mkono mambo ya ovyo ambayo biblia imeshasema ni dhambi Mungu anawaona sana ipo siku mtamjua tu
    Mungu baba wape nguvu watu wako wote wanaokuamini na kukutumikia kwa roho na kweli
    Mchungaji uliyefukuzwa kazi simamia haki ya neno la Mungu.
    Mungu yupo upande wako usihofu Kaza macho yako kwa Bwana atakupigania !!

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 5 месяцев назад +1

    Mchungaji tunakuombea Mungu akuwekee ulinzi katika maisha yako mimi niliroma lakn nimehama kwasababu kuna ushetan umejificha ndan yake
    Kilichonisikitisha zaid ni papa kuruhusu ndoa za jinsia moja inasikitisha sana kuwa maamuz ya aajabu sana kiongoz mkubwa wa din anaruhusu ushetan

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 5 месяцев назад

      Roma hauna kama wewe

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 5 месяцев назад

      Alikufungisha wewe hiyo ndoa

    • @micahlucky5613
      @micahlucky5613 5 месяцев назад

      Kimsingi wakristo na waumini wengi ni bendera fuata upepo...wengi huwa hatuchunguzi imani zetu tunabugia tu kisa tumezaliwa tukakuta wazazi au ndugu ni waumini...we don't take time to study the history behind....ikitokea mtu mmoja anajaribu kututoa matongotongo ya imani fake tunakuwa wakali na hata kutukana matusi...sasa huwa najiuliza kama kweli mtu unaufaham ukristo wa kweli unatoa wapi mashiko ya kuanza kumtukana mtu kisa kapingana na mtazamo wako au na kile unachokiamini...kwann usichukue muda kuchunguza madai yake.kwa roho ya upole na maombi ili Mungu akufunulie....tujifunze kunyenyekea...Ukristi na imani sio vita

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 5 месяцев назад +4

    Papa fransics atawatumikia mafreemason sio mungu.

  • @Patience763
    @Patience763 5 месяцев назад

    Mafundisho mema mchungaji MUNGU akubariki ❤❤

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 5 месяцев назад

    Hongera sana mchungaji hananja

  • @andreamayengo966
    @andreamayengo966 5 месяцев назад

    Mungu aendelee kukupatia maisha marefu uzidi kutoa na kufundisha elimu na neno la Mungu Biblia Iko wazi na tunashukuru kwa kuelezea baadhi ya vifungu,,,maana alichokiongea huyu mtu ni ushetani.

  • @JumaMnyonge-js7db
    @JumaMnyonge-js7db 5 месяцев назад

    Unadanganya yesu si mwaanzilishi wa ukristu muanzilishi uyu hapa
    Matendoe ya mtume 11:28
    Wakorintho WA Kwanzaa 4:15
    Mathayo 22:26 Paul ni Mrumi wakuzaliwa
    Usimsemeye Yesu uongo tafadhali

  • @hilarybenedicto3621
    @hilarybenedicto3621 5 месяцев назад

    Nzuri sana huyu papa ni mtu atakufa tu.... Biblia haisapoti ushoga na usagaji kabisa papa kachanganyikiwaaaa anakwenda kupata pigo kutoka kwa MUNGU.

  • @user-ey6ip5lf4p
    @user-ey6ip5lf4p 5 месяцев назад +1

    Amina uko sawa maama watu wanakubali kumheshimu Binadamu kuliko Mungu.... HII NDIO SAWA NA KUKUBALI CHAPA 666

    • @user-wq6er3ux5r
      @user-wq6er3ux5r 5 месяцев назад

      Acha waseme na bado..Daniel 7:25..papa alibadili sabato,leo amebadili ndoa,kesho anabadili biblia..

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 5 месяцев назад +1

    👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️

  • @stevenlugano7888
    @stevenlugano7888 5 месяцев назад +1

    Ukristo nikumfuata kristo,,,,,Huku ukiubeba msalaba wako,,wakatoliki hamkeni mfuatane yesu,,🙏 acheni USHOGA😢😢

    • @fahadrashid9754
      @fahadrashid9754 5 месяцев назад

      Kwn papa amejiweka? Leo ndo mnalijua hilo

  • @jasonbella7733
    @jasonbella7733 4 месяца назад +1

    Ukiona mtu yeyote anampinga mch hananja kwenye hii mada ujue uyo ni shoga na anapenda kuingiliwa na wanaume wenzie.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 5 месяцев назад +2

    Hamkumwelewa papa.
    Someni vizuri waraka wake.
    Habariki hizo ndo. Watu wamechukulia juu juu na kukurupuka. Anachomaanisha ni kwamba kama wanahitaji baraka, ambayo itawatoa huko walipo hawazuiwi kupata msaada huo.. wao ni wadhambi kama walivyo wengine

    • @HildaPaul-hm4jk
      @HildaPaul-hm4jk 5 месяцев назад

      Baraka zipi fafanua

    • @wokovumwazembe3505
      @wokovumwazembe3505 5 месяцев назад +1

      Anakubali kubaliki mashoga unaseama hawakuelewa shetani wewe na yeye usikubali ushetani wake ametenda dhambi

    • @elephant141182
      @elephant141182 5 месяцев назад +1

      Yesu mwenyewe hakubariki Dhabi bali alikemea na kutangaza msamaha kwa anaetubu

    • @user-sl1ko9me7u
      @user-sl1ko9me7u 5 месяцев назад

      INAFIKIRISHA SANA...HIVI KWELI HAO MAASKOFU WOTE NA WAKRISTU WANAOPINGA HILO TAMKO WA NCHI MBALIMBALI DUNIANI 'HAWAKUMUELEWA' HUYO PAPA!

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 5 месяцев назад +1

    Papa hajaluhusu ndoa ya jinsia 1 ila ameruhusu baraka zitolewe kwao bila ubaguzi na sio ndoa n sawasawa wewe mtenda dhambi unavyo kwenda kwa mchungaji wako kumuomba kuibariki nyumba n.k chako

  • @hemedykayonko4109
    @hemedykayonko4109 5 месяцев назад +8

    Angesema muislam wauawe unhesikia dini ya kuuwana, yaani mtu acheze na kazi ya Mungu halafu watu wake tumchekee

    • @starvista823
      @starvista823 5 месяцев назад

      Apo ndipo Imani yenu inapowapoteza huruhusiwi kumuua mdhambi zaidi ni kumuonya na kukemea aachee

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 5 месяцев назад +1

      Dini ya kiislamu ni ya ugaidi

    • @hemedykayonko4109
      @hemedykayonko4109 5 месяцев назад

      Starvista823 uzuri aliyesema na kutoa maandiko siyo muislam, kama vip mchungaji akiwa mchawi mnapaswa kumnasihi had aache na siyo kumtenga 😂😂😂

    • @hemedykayonko4109
      @hemedykayonko4109 5 месяцев назад

      @@starvista823 halafu Wala haituumi kwasababu tunaujua ukweli kama ni dini ya kigaidi tunajuwa kama siyo tunajuwa sasa wewe baki na propaganda za wanao kuletea ushoga, mnashindwa kushika mambo ya maana mmeshikilia ugaidi

    • @hemedykayonko4109
      @hemedykayonko4109 5 месяцев назад

      @@starvista823 kwani aliyesema na kutoa maandiko ni nani? Acheni kudanganyana mzee yaani wewe umfanie mtu anamrawiti mwanao wa kiume halafu umuachie Mungu, mambo mengine mnaongea kishabiki saana

  • @user-lo9oh8rq1f
    @user-lo9oh8rq1f 5 месяцев назад +1

    Safii kabisa

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 5 месяцев назад +3

    Asante sana nimepata faraja MUNGU akutie nguvu AMEN

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 5 месяцев назад

    Asante

  • @user-um2rx7or2k
    @user-um2rx7or2k 4 месяца назад

    Watumishi wa Mungu wafundishe ukweli waache kueba kitabu cha mambo ya walawi 20:13 na hicho cha walawi 16:1-34,17:1-16,18:1-30,19:1-37&20:1-27

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 5 месяцев назад +1

    Hallelujah hallelujah

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 5 месяцев назад +3

    Unashindwa kujiuliza makaomakuu ya yesu ulikua Israeli kwanini sasaivi makaomakuu iwe vatikan dini ya nabii Musa nuhu daudi yesu muhammadi ilikua dini mojatu ukitambua Hilo huwezi kupata ttabu

    • @SAM_163
      @SAM_163 5 месяцев назад

      HUNA SHULE TULIA .

  • @bonfacethepreacherinthehou7567
    @bonfacethepreacherinthehou7567 5 месяцев назад +1

    Ndio Yesu ni mwenye imani