Wewe ni shujaa, Asante sana baba mchungaji, umesimama katika haki ya Mungu. Sema ukweli ili watu wa Mungu waokolewe, kwa kauli yako maelfu ya watu wataokolewa, na mimi nakuhakikishia kwamba lazima Mungu akulipe kwasababu ya wema huu mkubwa. Mchungaji hongera,. Mungu aendelee kutupa nguvu ili tuendelee kulifukuza giza katika maisha ya watu wake ili siku moja tuvikwe ile taji ya uzima wa milele. Wewe ni kiongozi wa watu wa Mungu.
Kwa kweli Ni shujaa!. Mungu akutunze akupe Manisha marefu ili uendelee kunisaidia jamii yetu ya kiafrika ijitambue na kujikwamua ktk janga hili la aibu, fedheha na uvunjifu wa maadili yetu!. Kupitia mafundisho yako wengi watazinduka na kumgeukia Mungu kwa kufuata maagizo yake!.Thanks slot, be blessed Mchng. Hananja!.
Mmimi ni muislamu nkupongeza sana mzee wangu mungu na atuongoze sote somo ni zuri sana na linaendana na mafundisho yoote ya mungu na maumbile ya mwanadamu
Nimependa point yako....kuliko wale wanaodai watu wahamie uislam....cjui ikitokea shehe maarufu akajitambulisha kuwa ni shoga au ikafahamika kuwa ni shoga sasa cjui hapo napo ashauri watu wahame uislam.....maana dhambi haina dhehebu wa dini....uzinzi unafanywa na dini zote...ushoga pia wanafanya kwenye dini ukristo na uislam maana watu wanakuwa wameamua kumwasi Mungu....mfano pwani michezo hii ya kufira ippo sana
Aminaaaaaaaah Aminaaaaaaah Aminaaaaah na Ubarikiwe sana na hakika Mungu akuongezee maarifa na uwepo wa nguvu na uweza wake maradufu ,kwajili ya ushujaa mkubwa huo
Nimebarikiwa na hekima zako umenena ukweli kabisa mafundisho ni muhimu kuliko sadaka zaidi sadaka zinanguvu lakini mafundisho kwanza watu wamjue Mungu washike imani kweli kweli, baba mchungaji barikiwa kwa ushauri mzuri 🙌
Mtumishi wa Mungu baba yangu Hananja Mungu akubariki na akuongeze maarifa na na maisha marefu ya kuishi ili Mungu azidi kupokewa mioyoni mwetu Mungu akutie nguvu
I like the fact that he quotes scriptures to support his arguments. It's our responsibility to speak against any practice that goes against the word of God and our values as a community.
Siku izi ni kutoa to kanisani ndo Cha muhimu watu wanatoa na Bado wanaendelea kuwa maskini mpaka mwisho maana hamfuzwi mambo ya maisha ,kazi mapenzi .watu wataendelea kuteseka .Asante sana mchungaji
Mungu akuinue mtumishi wa Mungu ,kweli cha Mungu kibaki kuwa cha Mungu na cha binadamu kibaki kuwa cha binadamu ,mm pia sikubaliani na suala la ndoa ya jinsia moja.
@@odilomwemeziernest646 wewe na chungaji wako wapumbavu sana. Kwa akili na elimu yenu ndogo mnafikiri Mungu ni babu yenu na tayari mko mbinguni na mnapanga was kuingia mbinguni na wale was jehenamu. Pumbavu tena wanafiki wakubwa! Kile kisa cha mwanamke aliyefumaniwa kwa uzinzi Yesu alimfanyaje Kama hakumbariki? Someni biblia vizuri na muombe kueleweshwa pale ambapo mnapelea hamna kitu mnachoelewa nyie! The Catholic church is not a mushroom church like that of the pastor you claim to have spoken sensibly. In fact he is just speaking emotionally out of his little biblical knowledge.
Yesu hakuleta dini alileta wokovu na hata waliomuua walikuwa ni viongozi wa dini ya kiyahudi. Kwa watu wengi kuabudu dini na kufuata mapokeo ya wanadamu dini zimekuwa magereza ya kufungia watu wasiujue ukweli wa neno la Mungu na wote watakwenda motoni.
Mi ni muislam ila haya ni maneno ambayo hata mungu mwenyewe anafurahi kuyasikia... mungu ni mmoja tuu na wote tumetokana na adam na hawa au adam wapili Nuhu.
Umenena vyema ukweli wote hongera sana Mchungaji. Hii dunia imeporomoka vibaya sana. Hata kama amesema nani mbona nature tu haipo hivyo, hapo ndipo ule ukweli wa imani utakapokuja kubaki suala la mtu binafsi na Mungu. Dunia inaenda wapi kutetea ushoga live!!
UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGANI UMEKEMEA KWELI KWELI ,UPO SAHIHI KOMALIA KAULI ZAKO,HULE MZEE AMEZEEKA VIBAYA HATA AMESAHAU KAMA SIKU SI NYINGI ITABIDI ATOE MAHESABU, KATIKA HILI MZEE AMEFULIA CHOONI.
Kuna baadhi ya binaadam ni viumbe wakorofi sana japo wamepewa akili ya kufikiri na kutafakari na kujuwa kipi kizuri na kipi kibaya, lakini bado wanafanya mambo ya kijinga na ya hovyo kabisa yasiyompendeza Mungu, Na ukiwangalia wanyama hayawani hawana akili kama ya binaadam lakini hatuoni dume akampanda dume mwenzake, au jike akampanda jike mwenzake.
Taarifa hi ni sahihi na wale maaskofu waliokua against kama Bishop Joseph Strickland wa huko texas amewafuta kazi mwezi uliopita(November). Na moja kati ya agenda za majadiliano kwenye synod; 1. Abortion 2. Blessing same sex marriage 3. Ordination of women etc Kweli tue makin na hawa viongozi wetu
esu ndie bwana na ndie binadamu aliyekuwa amefunga ufahamu wote kwenye kiganja chake yani siri yote na ndio mwenye ile ishara ya sita kiganjani yani ukikunja kiganja ukanyanyua dole gumba unapata herufi 6 ambayo ni yeye aliye umbwa siku ya 6ndio mana hamuezi kuacha kumuita mungu mkuu mmeenda mbali zaidi mkamuita yeye ni chanzo cha uhai wenu siwashangai kwasababu ndio kusudi lake au kusudi la neno nandio maana kila anae soma biblia akiongozwa na roho mnaemuita mtakatifu lazima umuone yesu nichanzo cha uhai wako (REHEMA SEMFUKWE)
Roho matakatifu na imani ndo muongozo wa mwanadamu katika ulimwenguu huu, ubarikiwe sana mchungaji Mungu akutie nguvu zaidi Ameni kwa hakika umenena sikuweza kuamini kama kiongozi mkubwa vile angeweza kusema kauli ya vile Kuna mikoa kama mara hatujui kabisa kama mambo hayo yapo kwa hakika MUNGU ATUONGEZEE IMANI,AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@@user-kx7ob5rx4p Hata biblia ipo mikononi mwao na wao ndio waandishi wa mwanzo, na wamarekani, Wagiriki na Kiingereza Waingereza, Sasa ukristo umetokana na wao na hata Paul mwenyewe alikuwa Mroma au hujui yeye ndio chimbuko la ukristo Wa mataifa? Tena Paul yeye hakuwa na maono au wahai zaidi yeye alikuwa na barua na waraka, Sasa unategemea barua au waraka wa Paul kwa wagaratia iwe neno lake MUNGU? Yeye ndie mtume Wa kwanza mzungu tena Mroma
@@josephwilliam5813Ameshaukana ukatoliki maana ukatoliki ni lazma uwe MTII KWA PAPA. Kulila na na imani ya kikatoliki Papa hakosei na wakili wa Kristo hapa dunia ni.
Unapotoa comment ufikirie mara mbili, uelewe zaidi mwenzako alikuwa anamaanisha Nini, nampenda sana kumsikiliza Ananja, lakini katika hili kakurupuka kumkashifu mwenzake, arudie kusoma au kumsikiliza mara mbili hakuna sehemu Papa amekubaliana na ushoga Wala usagaji, anakemea vyote na kanisa linakemea
Mchungaji nakukubali Sanaa japo mimi ni muislamu tena no Ustadh kabisaa lakini unauelewa mzuri na ufafanuzi mzuri wa mambo yenye kutatiza natamani wakristo wapate ufahamu na kujitambua kwa maneno yako ya hikma
Ubarikiwe sana Mzee Yani papa anatureteye ushoga na yeye mwenyewe ni shoga papa kenge kahaba mwana Haram amelaniwa God help us God bless Africa 🌍 God bless 🙏
Mshenzi sana wewe mwenye mihemko, ukome kumtusi na kumdhihaki kiongozi wetu wa kanisa Papa Fransis. Uwe na adabu. Pope anaongea kuhusu kubariki yeyote, kuwaelekeza na kuwaombea. Hukumu ni juu ya Mungu. Wewe kama nani umhukumu! Shuwaini 😞
@@angelsulle7177 sawa naweza kuwa mbwa!! Sina mbaya!! Sijazangumzia uwingi, hilo sio sababu. Nazungumzia wokovu. Haipo kwenye hili kanisa la katoliki. Endelea kunitukana, ila ukweli ndo hivohivo!! Cheki ulivyo, mtu wa Mungu hawezi kumtukana mtu!! Bado hujaokoka. Ww+katoliki hamna wokovu. Oky?
Nataka kuwaelezea ukweli kwamba watu wengi na media wamyongea vibaya lakini kama hujaelewa usiongee vitu usivyovijua. Utajikosea mwenye na wengine wasiolewa. Katika mafunzo ya katoliki yatuelezea vizuri Mungu kaumba mke na mume waishi pamoja kama familia yake Kikristu. Papa kasema hawa watu wapo kanisa mtu akija abarikiwe ili Mungu amusaidie kujielewa na kuishi maisha inayofaa kama kama
Tatizo una udini mwingi ndio mana hata kama jambo la hovyoo likisemwa huwezi fanya maamuzi kwasababu akili yako ishachukuliwa mateka fata njia ya Yesu ndio uzima pekee uliobakia ulimwenguni mana dini zimekuwa njia za kuruhusu mambo ya hovyoo kuwa ya heshima kitu ambacho sio sawa
Nashukuru sana kwa kumea uchafuo kwakweli tuungane sote wenye kuelewa SoMo la mchungaji kukataa kwa maneno na kwa Sala atuondolee janga hili nashauri mtu atakayefanya ushoga ktk jamii atengwe Kila aina ya kijamii ya msingi maana mtu kama huyo ni shetani kabisa mchungaji mungu akitunze
Mungu akuzidishie ujasiri na kujiamini zaidi. Wachungaji wengi WAOGA. Ee Mungu inua na wengine waweze kujiamini. Siyo kila jambo ". OH! HESHIMUNI WENYE MAMLAKA, KILA MAMLA IMETOKANA KWA MUNGU"
Isa 58:1-4 SUV Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao
Baba mchungaji Hananja unasema ukweli Mwenyezi akubariki sana, japo si wakamilifu kwa kila kitu lkn kwa hili la ndoa za jinsia moja halijubariki kamwe.
Watanzania simameni kidete mkikuli tu kurusu ushoga huyi ngie Tanzania mumerusu lahana maana hiyo nilana kubwa, tangu lini mwanaume kwa mwanaume wakaowana, huo papa mjinga sana tena sana
Ninachojua Yesu hakuleta dini duniani, alileta wokovu kwa kila amwaminie, dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, mpango wa Mungu ni kumwamini Yesu apate ondoleo la dhambi (kuokoka)
@@abubakarmwasumilwe7070 ulielewaa nilichocomment au umereply tu na ulisikilza yote baba hananja aliyoyazungumza Imani yetu ilianzishwa na yesu na missing ya yesu kwa kanisa ipo waz
Kupinga tunaweza kupinga ila chamhimu nikuomba sana tena sana kama twamuani mungu ,tunajuwa shetani yuko na hatutakii mema tusali tuombee tumririe mungu atatusikia,na kingine viongozi wa nchizetu nawao watusaidie kutokubari ujinga wa ushoga.
Mungu yupo kazini Wote mnaunga mkono mambo ya ovyo ambayo biblia imeshasema ni dhambi Mungu anawaona sana ipo siku mtamjua tu Mungu baba wape nguvu watu wako wote wanaokuamini na kukutumikia kwa roho na kweli Mchungaji uliyefukuzwa kazi simamia haki ya neno la Mungu. Mungu yupo upande wako usihofu Kaza macho yako kwa Bwana atakupigania !!
Mchungaji tunakuombea Mungu akuwekee ulinzi katika maisha yako mimi niliroma lakn nimehama kwasababu kuna ushetan umejificha ndan yake Kilichonisikitisha zaid ni papa kuruhusu ndoa za jinsia moja inasikitisha sana kuwa maamuz ya aajabu sana kiongoz mkubwa wa din anaruhusu ushetan
Kimsingi wakristo na waumini wengi ni bendera fuata upepo...wengi huwa hatuchunguzi imani zetu tunabugia tu kisa tumezaliwa tukakuta wazazi au ndugu ni waumini...we don't take time to study the history behind....ikitokea mtu mmoja anajaribu kututoa matongotongo ya imani fake tunakuwa wakali na hata kutukana matusi...sasa huwa najiuliza kama kweli mtu unaufaham ukristo wa kweli unatoa wapi mashiko ya kuanza kumtukana mtu kisa kapingana na mtazamo wako au na kile unachokiamini...kwann usichukue muda kuchunguza madai yake.kwa roho ya upole na maombi ili Mungu akufunulie....tujifunze kunyenyekea...Ukristi na imani sio vita
Mungu aendelee kukupatia maisha marefu uzidi kutoa na kufundisha elimu na neno la Mungu Biblia Iko wazi na tunashukuru kwa kuelezea baadhi ya vifungu,,,maana alichokiongea huyu mtu ni ushetani.
Unadanganya yesu si mwaanzilishi wa ukristu muanzilishi uyu hapa Matendoe ya mtume 11:28 Wakorintho WA Kwanzaa 4:15 Mathayo 22:26 Paul ni Mrumi wakuzaliwa Usimsemeye Yesu uongo tafadhali
Hamkumwelewa papa. Someni vizuri waraka wake. Habariki hizo ndo. Watu wamechukulia juu juu na kukurupuka. Anachomaanisha ni kwamba kama wanahitaji baraka, ambayo itawatoa huko walipo hawazuiwi kupata msaada huo.. wao ni wadhambi kama walivyo wengine
Papa hajaluhusu ndoa ya jinsia 1 ila ameruhusu baraka zitolewe kwao bila ubaguzi na sio ndoa n sawasawa wewe mtenda dhambi unavyo kwenda kwa mchungaji wako kumuomba kuibariki nyumba n.k chako
@@starvista823 halafu Wala haituumi kwasababu tunaujua ukweli kama ni dini ya kigaidi tunajuwa kama siyo tunajuwa sasa wewe baki na propaganda za wanao kuletea ushoga, mnashindwa kushika mambo ya maana mmeshikilia ugaidi
@@starvista823 kwani aliyesema na kutoa maandiko ni nani? Acheni kudanganyana mzee yaani wewe umfanie mtu anamrawiti mwanao wa kiume halafu umuachie Mungu, mambo mengine mnaongea kishabiki saana
Unashindwa kujiuliza makaomakuu ya yesu ulikua Israeli kwanini sasaivi makaomakuu iwe vatikan dini ya nabii Musa nuhu daudi yesu muhammadi ilikua dini mojatu ukitambua Hilo huwezi kupata ttabu
Intelligent Hananja ur no 1 in a million nobody should make u feel otherwise. Keep going Hanaja ur the best.
🎉😢🎉🎉😢🎉🎉😢f
Wewe ni shujaa, Asante sana baba mchungaji, umesimama katika haki ya Mungu. Sema ukweli ili watu wa Mungu waokolewe, kwa kauli yako maelfu ya watu wataokolewa, na mimi nakuhakikishia kwamba lazima Mungu akulipe kwasababu ya wema huu mkubwa. Mchungaji hongera,. Mungu aendelee kutupa nguvu ili tuendelee kulifukuza giza katika maisha ya watu wake ili siku moja tuvikwe ile taji ya uzima wa milele. Wewe ni kiongozi wa watu wa Mungu.
Kwa kweli Ni shujaa!. Mungu akutunze akupe Manisha marefu ili uendelee kunisaidia jamii yetu ya kiafrika ijitambue na kujikwamua ktk janga hili la aibu, fedheha na uvunjifu wa maadili yetu!. Kupitia mafundisho yako wengi watazinduka na kumgeukia Mungu kwa kufuata maagizo yake!.Thanks slot, be blessed Mchng. Hananja!.
Assante sana Mchungaj vipige vile vita vizr vya Iman
hakika baba umesema ukweli mtupu mungu azidi kukuinua zaidi
Barikiwa baba na Mungu akutunze Kwa kusimamia ukweli
Uchafu
Napenda tu kukusikiliza baba mchungaji, Mungu akutunze sana.
Mmimi ni muislamu nkupongeza sana mzee wangu mungu na atuongoze sote somo ni zuri sana na linaendana na mafundisho yoote ya mungu na maumbile ya mwanadamu
Acha kujikomba
Nimependa point yako....kuliko wale wanaodai watu wahamie uislam....cjui ikitokea shehe maarufu akajitambulisha kuwa ni shoga au ikafahamika kuwa ni shoga sasa cjui hapo napo ashauri watu wahame uislam.....maana dhambi haina dhehebu wa dini....uzinzi unafanywa na dini zote...ushoga pia wanafanya kwenye dini ukristo na uislam maana watu wanakuwa wameamua kumwasi Mungu....mfano pwani michezo hii ya kufira ippo sana
Kasome tena uislamu utanielewa nilichoongea na sio dhana unayonijengea ان بعض الظن اثم hivo ndivo Allah anavosema
Wewe una roho chafffu mno jitakasae na jik😂😂@@hijazhija316
Kweli kaka
Mchungaji Hananja mungu akuzidishie miaka ya kuishi ili ulimwengu uelimike kupitia wewe,,i appreciate you daddy
Aminaaaaaaaah Aminaaaaaaah Aminaaaaah na Ubarikiwe sana na hakika Mungu akuongezee maarifa na uwepo wa nguvu na uweza wake maradufu ,kwajili ya ushujaa mkubwa huo
Nimebarikiwa na hekima zako umenena ukweli kabisa mafundisho ni muhimu kuliko sadaka zaidi sadaka zinanguvu lakini mafundisho kwanza watu wamjue Mungu washike imani kweli kweli, baba mchungaji barikiwa kwa ushauri mzuri 🙌
Mtumishi wa Mungu baba yangu Hananja Mungu akubariki na akuongeze maarifa na na maisha marefu ya kuishi ili Mungu azidi kupokewa mioyoni mwetu Mungu akutie nguvu
Ubarikiwe Hananja
Wapo watu hata kama
Kuna jambo la haki
Lakini kwa sababu ya imani yake
Anageuza haki kua batil
I like the fact that he quotes scriptures to support his arguments. It's our responsibility to speak against any practice that goes against the word of God and our values as a community.
Safi sana mchungaji Hananja wewe ni baraka sana katika kizazi hiki.Wewe ni sauti ya Mngu katika kizazi hiki
Siku izi ni kutoa to kanisani ndo Cha muhimu watu wanatoa na Bado wanaendelea kuwa maskini mpaka mwisho maana hamfuzwi mambo ya maisha ,kazi mapenzi .watu wataendelea kuteseka .Asante sana mchungaji
Shusha namba pasteri sadaka inakuhusu
Tunashukuru sana kwa maneno yako mazuri na yenye baraka tele ndani yake.
Mungu akuinue mtumishi wa Mungu ,kweli cha Mungu kibaki kuwa cha Mungu na cha binadamu kibaki kuwa cha binadamu ,mm pia sikubaliani na suala la ndoa ya jinsia moja.
Mungu akulinde pastor wangu
"Tupate wapi tena mtu kama huyu, ambaye Mungu anakaa ndani yake! Mungu akutunze Mchungaji Hananja.
Bongo Touch umefanya Jambo lamana sana kutuletea mchungaji kutupa Helimi mzuli asante.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇲🇿
🇲🇿🍎
Misinterpretation! Kubaruki alikozungumzia papa siotafsiri Hiyo.! Alisema waombewe kwa maana hiyo! Haujamwelewa papa. Acha povu!!!
@@petsmore9955 kuwabari ni kuwatambua,wewe ni mbumbumbu,utakwenda jehanamu
@@odilomwemeziernest646 wewe na chungaji wako wapumbavu sana. Kwa akili na elimu yenu ndogo mnafikiri Mungu ni babu yenu na tayari mko mbinguni na mnapanga was kuingia mbinguni na wale was jehenamu. Pumbavu tena wanafiki wakubwa!
Kile kisa cha mwanamke aliyefumaniwa kwa uzinzi Yesu alimfanyaje Kama hakumbariki?
Someni biblia vizuri na muombe kueleweshwa pale ambapo mnapelea hamna kitu mnachoelewa nyie!
The Catholic church is not a mushroom church like that of the pastor you claim to have spoken sensibly. In fact he is just speaking emotionally out of his little biblical knowledge.
Yesu hakuleta dini alileta wokovu na hata waliomuua walikuwa ni viongozi wa dini ya kiyahudi. Kwa watu wengi kuabudu dini na kufuata mapokeo ya wanadamu dini zimekuwa magereza ya kufungia watu wasiujue ukweli wa neno la Mungu na wote watakwenda motoni.
Mi ni muislam ila haya ni maneno ambayo hata mungu mwenyewe anafurahi kuyasikia... mungu ni mmoja tuu na wote tumetokana na adam na hawa au adam wapili Nuhu.
Umenena vyema ukweli wote hongera sana Mchungaji. Hii dunia imeporomoka vibaya sana. Hata kama amesema nani mbona nature tu haipo hivyo, hapo ndipo ule ukweli wa imani utakapokuja kubaki suala la mtu binafsi na Mungu. Dunia inaenda wapi kutetea ushoga live!!
UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGANI UMEKEMEA KWELI KWELI ,UPO SAHIHI KOMALIA KAULI ZAKO,HULE MZEE AMEZEEKA VIBAYA HATA AMESAHAU KAMA SIKU SI NYINGI ITABIDI ATOE MAHESABU, KATIKA HILI MZEE AMEFULIA CHOONI.
Padri, askofu wote wapo lkn hakuna anae simama kukemea wanawaza sadaka na matoleo na kuacha ujinga kama huu uendelee
Acha useeeee
Akili zako wewe una dhambi kuliko hizo
Kuna baadhi ya binaadam ni viumbe wakorofi sana japo wamepewa akili ya kufikiri na kutafakari na kujuwa kipi kizuri na kipi kibaya, lakini bado wanafanya mambo ya kijinga na ya hovyo kabisa yasiyompendeza Mungu, Na ukiwangalia wanyama hayawani hawana akili kama ya binaadam lakini hatuoni dume akampanda dume mwenzake, au jike akampanda jike mwenzake.
Hapo Papa hamnazo
Taarifa hi ni sahihi na wale maaskofu waliokua against kama Bishop Joseph Strickland wa huko texas amewafuta kazi mwezi uliopita(November). Na moja kati ya agenda za majadiliano kwenye synod;
1. Abortion
2. Blessing same sex marriage
3. Ordination of women etc
Kweli tue makin na hawa viongozi wetu
esu ndie bwana na ndie binadamu aliyekuwa amefunga ufahamu wote kwenye kiganja chake yani siri yote na ndio mwenye ile ishara ya sita kiganjani yani ukikunja kiganja ukanyanyua dole gumba unapata herufi 6 ambayo ni yeye aliye umbwa siku ya 6ndio mana hamuezi kuacha kumuita mungu mkuu mmeenda mbali zaidi mkamuita yeye ni chanzo cha uhai wenu siwashangai kwasababu ndio kusudi lake au kusudi la neno nandio maana kila anae soma biblia akiongozwa na roho mnaemuita mtakatifu lazima umuone yesu nichanzo cha uhai wako (REHEMA SEMFUKWE)
Muongo ukristo kajanao Paulo yesu hakuwahi kuingia kanisani hata siku moja
@@ajgasharia1247
Unaangaika na Paul na kristo badala ya kuelewa maana
Napenda huyu pastor,jasiri naungana na ww huo ni ushetani tu 🇰🇪🙏.
Thanks,it is fact.. tumrudie Mungu hakika
Roho matakatifu na imani ndo muongozo wa mwanadamu katika ulimwenguu huu, ubarikiwe sana mchungaji Mungu akutie nguvu zaidi Ameni kwa hakika umenena sikuweza kuamini kama kiongozi mkubwa vile angeweza kusema kauli ya vile Kuna mikoa kama mara hatujui kabisa kama mambo hayo yapo kwa hakika MUNGU ATUONGEZEE IMANI,AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Mtumishi. Ubarikiwe sana
Pastor Hananja...naomba uheshimiwe🙏
Wenye Dini yao washaamua ndugu zanguni ,kila mwenye akili sasa atajua wapi pa kuelekea!
SISI hatuendi kokote alieanguka kiimani ni YEYE mwenyewe UKRISTO ni sahihi
Waroma sio wakristo
@@user-kx7ob5rx4p Hata biblia ipo mikononi mwao na wao ndio waandishi wa mwanzo, na wamarekani, Wagiriki na Kiingereza Waingereza, Sasa ukristo umetokana na wao na hata Paul mwenyewe alikuwa Mroma au hujui yeye ndio chimbuko la ukristo Wa mataifa? Tena Paul yeye hakuwa na maono au wahai zaidi yeye alikuwa na barua na waraka, Sasa unategemea barua au waraka wa Paul kwa wagaratia iwe neno lake MUNGU? Yeye ndie mtume Wa kwanza mzungu tena Mroma
@@josephwilliam5813Ameshaukana ukatoliki maana ukatoliki ni lazma uwe MTII KWA PAPA. Kulila na na imani ya kikatoliki Papa hakosei na wakili wa Kristo hapa dunia ni.
Dini zote zina wenyewe mzee 😂...
Mwaka umeisha vizuri kwa kuwa na watu ambao wanaweza kumchallenge kiongozi wa dini❤
You are one of my heroes
Big up pastor
Unapotoa comment ufikirie mara mbili, uelewe zaidi mwenzako alikuwa anamaanisha Nini, nampenda sana kumsikiliza Ananja, lakini katika hili kakurupuka kumkashifu mwenzake, arudie kusoma au kumsikiliza mara mbili hakuna sehemu Papa amekubaliana na ushoga Wala usagaji, anakemea vyote na kanisa linakemea
Mchungaji nakukubali Sanaa japo mimi ni muislamu tena no Ustadh kabisaa lakini unauelewa mzuri na ufafanuzi mzuri wa mambo yenye kutatiza natamani wakristo wapate ufahamu na kujitambua kwa maneno yako ya hikma
Tumia neno baadhi,usijumuishe wakristo wote
Asante sana Mzee wangu, Mungu akutunze
Mchungaji uko vizuri. Ubarikiwe
Kama umesikia vizuri dakika ya 7:52 gonga like 😂😂😂
Kama uliskiliza vizuri kwenye dakika ya 7:52 gonga like😁😆😂🤣😄😃barikiwa sana Mch. Hananja.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Bwana yesu. asifiwe.
Kuomba
Mungunibidii yeye papa
Anataka
Kudupotez
Sisitunaelewa mungu
Haduhamgaliye papa
Atoke hapo mujinga
Bwana yesu
Asifiwe
Hongera mtumishi, ubarikiwe
Amina , Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli, endelea kusambaza ujumbe kwa nchi yote.
Barikiwa sana
Mungu akubariki mchungaji
Ubarikiwe sana Mzee Yani papa anatureteye ushoga na yeye mwenyewe ni shoga papa kenge kahaba mwana Haram amelaniwa God help us God bless Africa 🌍 God bless 🙏
Mshenzi sana wewe mwenye mihemko, ukome kumtusi na kumdhihaki kiongozi wetu wa kanisa Papa Fransis. Uwe na adabu. Pope anaongea kuhusu kubariki yeyote, kuwaelekeza na kuwaombea. Hukumu ni juu ya Mungu. Wewe kama nani umhukumu! Shuwaini 😞
Pole mwananyamala umeumia sana
Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍
Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍
Hivi lini wokovu iko kwenye kanisa la katoliki!! Kule hamna wokovu.
Wewe ni mbwa mbwekaji hakuna anaye kuhitaji Wakatoliki ni wengi mnooooo!!!! Ukabweke huko Barabarani
@@angelsulle7177 sawa naweza kuwa mbwa!! Sina mbaya!! Sijazangumzia uwingi, hilo sio sababu. Nazungumzia wokovu. Haipo kwenye hili kanisa la katoliki. Endelea kunitukana, ila ukweli ndo hivohivo!! Cheki ulivyo, mtu wa Mungu hawezi kumtukana mtu!! Bado hujaokoka. Ww+katoliki hamna wokovu. Oky?
Barikiwa sana mchungaji uko bright sana
Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho dunia ishatekwa
Asante sana mchungaji
Nataka kuwaelezea ukweli kwamba watu wengi na media wamyongea vibaya lakini kama hujaelewa usiongee vitu usivyovijua. Utajikosea mwenye na wengine wasiolewa. Katika mafunzo ya katoliki yatuelezea vizuri Mungu kaumba mke na mume waishi pamoja kama familia yake Kikristu. Papa kasema hawa watu wapo kanisa mtu akija abarikiwe ili Mungu amusaidie kujielewa na kuishi maisha inayofaa kama kama
We pia ni shoga
Tatizo una udini mwingi ndio mana hata kama jambo la hovyoo likisemwa huwezi fanya maamuzi kwasababu akili yako ishachukuliwa mateka fata njia ya Yesu ndio uzima pekee uliobakia ulimwenguni mana dini zimekuwa njia za kuruhusu mambo ya hovyoo kuwa ya heshima kitu ambacho sio sawa
Acha udini wewe papa atakupeleka kuzimu. Acha kumtetea shetani. Mfate Mungu Soma bible papa wenu hayupo na nyie tena
Wanagapi wamebarikiwa wakaacha ushoga?
@@foroforoy2554 swali zuri
Nashukuru sana kwa kumea uchafuo kwakweli tuungane sote wenye kuelewa SoMo la mchungaji kukataa kwa maneno na kwa Sala atuondolee janga hili nashauri mtu atakayefanya ushoga ktk jamii atengwe Kila aina ya kijamii ya msingi maana mtu kama huyo ni shetani kabisa mchungaji mungu akitunze
napenda huyu baba wetu hongera sana
Binafsi napenda sana mahubiri ya mchungaji R. Hananja, Mungu akubariki sana mtumishi
Hananja ukweli daima usihofu nani anasema nini hapa ukweli tu Hadi mwisho wa Dunia
Ibada ya jumapili pia aliweka papa.
Mungu akuzidishie ujasiri na kujiamini zaidi. Wachungaji wengi WAOGA. Ee Mungu inua na wengine waweze kujiamini. Siyo kila jambo ". OH! HESHIMUNI WENYE MAMLAKA, KILA MAMLA IMETOKANA KWA MUNGU"
huwa nakuelewa sana mchungaji hananja mwenyezi mungu anakuona atatenda muujiza kwako ili sauti yako ikawaguse watu wote na waache
Upo sahihi Mungu akubariki
Mungu akubariki xna mtu bingwa kbisa ww
Isa 58:1-4 SUV
Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao
Baba mchungaji Hananja unasema ukweli Mwenyezi akubariki sana, japo si wakamilifu kwa kila kitu lkn kwa hili la ndoa za jinsia moja halijubariki kamwe.
Fact 🙏🙏
Ur 100% collect ,
Mimi ni mkatholic lakini kwa imani yake hiyo mimi nitabaki kuwa mkatholic kupitia imani yangu ya biblia Amen
Watanzania simameni kidete mkikuli tu kurusu ushoga huyi ngie Tanzania mumerusu lahana maana hiyo nilana kubwa, tangu lini mwanaume kwa mwanaume wakaowana, huo papa mjinga sana tena sana
Amen neno la Mungu lipo pale pale na kwa hilo tutahukumiwa kwalo
acsente Mutu wa Mugu Ubarikiwe Kamwe 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi, hawa maajent tuwapinge kabisa
Mungu akubariki kwa kusema ukweli
Ninachojua Yesu hakuleta dini duniani, alileta wokovu kwa kila amwaminie, dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, mpango wa Mungu ni kumwamini Yesu apate ondoleo la dhambi (kuokoka)
Imani yetu ilianzishwa na Yesu.❤❤
Mh so kweli
@@abubakarmwasumilwe7070 ulielewaa nilichocomment au umereply tu na ulisikilza yote baba hananja aliyoyazungumza Imani yetu ilianzishwa na yesu na missing ya yesu kwa kanisa ipo waz
Umetisha sanaa
True ,waambie ukweli mchungaji,viongozi wengine wa dini wanaona aibu kukemea ,wamekaa kimya
Mungu amtunze sana mchungaji Hananja
Nice
Ukweli usemwe. Hongera kiongozi kwa kuielimisha jamii na kukataa mabaya.
Safi sana mchungaji aisee ninakukubali sana
Safi sana
Kupinga tunaweza kupinga ila chamhimu nikuomba sana tena sana kama twamuani mungu ,tunajuwa shetani yuko na hatutakii mema tusali tuombee tumririe mungu atatusikia,na kingine viongozi wa nchizetu nawao watusaidie kutokubari ujinga wa ushoga.
Wakiingiza Ushoga kupitia dini ni ngumu kuzuia hiyo hali, kwahiyo makanisa yaendelee kupinga hiyo hali
acha inyexhe tuone panapo vuja
Mungu yupo kazini Wote mnaunga mkono mambo ya ovyo ambayo biblia imeshasema ni dhambi Mungu anawaona sana ipo siku mtamjua tu
Mungu baba wape nguvu watu wako wote wanaokuamini na kukutumikia kwa roho na kweli
Mchungaji uliyefukuzwa kazi simamia haki ya neno la Mungu.
Mungu yupo upande wako usihofu Kaza macho yako kwa Bwana atakupigania !!
Mchungaji tunakuombea Mungu akuwekee ulinzi katika maisha yako mimi niliroma lakn nimehama kwasababu kuna ushetan umejificha ndan yake
Kilichonisikitisha zaid ni papa kuruhusu ndoa za jinsia moja inasikitisha sana kuwa maamuz ya aajabu sana kiongoz mkubwa wa din anaruhusu ushetan
Roma hauna kama wewe
Alikufungisha wewe hiyo ndoa
Kimsingi wakristo na waumini wengi ni bendera fuata upepo...wengi huwa hatuchunguzi imani zetu tunabugia tu kisa tumezaliwa tukakuta wazazi au ndugu ni waumini...we don't take time to study the history behind....ikitokea mtu mmoja anajaribu kututoa matongotongo ya imani fake tunakuwa wakali na hata kutukana matusi...sasa huwa najiuliza kama kweli mtu unaufaham ukristo wa kweli unatoa wapi mashiko ya kuanza kumtukana mtu kisa kapingana na mtazamo wako au na kile unachokiamini...kwann usichukue muda kuchunguza madai yake.kwa roho ya upole na maombi ili Mungu akufunulie....tujifunze kunyenyekea...Ukristi na imani sio vita
Papa fransics atawatumikia mafreemason sio mungu.
uwo ndyo ukwel
Yes Roman’s
Mafundisho mema mchungaji MUNGU akubariki ❤❤
Hongera sana mchungaji hananja
Mungu aendelee kukupatia maisha marefu uzidi kutoa na kufundisha elimu na neno la Mungu Biblia Iko wazi na tunashukuru kwa kuelezea baadhi ya vifungu,,,maana alichokiongea huyu mtu ni ushetani.
Unadanganya yesu si mwaanzilishi wa ukristu muanzilishi uyu hapa
Matendoe ya mtume 11:28
Wakorintho WA Kwanzaa 4:15
Mathayo 22:26 Paul ni Mrumi wakuzaliwa
Usimsemeye Yesu uongo tafadhali
Nzuri sana huyu papa ni mtu atakufa tu.... Biblia haisapoti ushoga na usagaji kabisa papa kachanganyikiwaaaa anakwenda kupata pigo kutoka kwa MUNGU.
Amina uko sawa maama watu wanakubali kumheshimu Binadamu kuliko Mungu.... HII NDIO SAWA NA KUKUBALI CHAPA 666
Acha waseme na bado..Daniel 7:25..papa alibadili sabato,leo amebadili ndoa,kesho anabadili biblia..
👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️
Ukristo nikumfuata kristo,,,,,Huku ukiubeba msalaba wako,,wakatoliki hamkeni mfuatane yesu,,🙏 acheni USHOGA😢😢
Kwn papa amejiweka? Leo ndo mnalijua hilo
Ukiona mtu yeyote anampinga mch hananja kwenye hii mada ujue uyo ni shoga na anapenda kuingiliwa na wanaume wenzie.
Hamkumwelewa papa.
Someni vizuri waraka wake.
Habariki hizo ndo. Watu wamechukulia juu juu na kukurupuka. Anachomaanisha ni kwamba kama wanahitaji baraka, ambayo itawatoa huko walipo hawazuiwi kupata msaada huo.. wao ni wadhambi kama walivyo wengine
Baraka zipi fafanua
Anakubali kubaliki mashoga unaseama hawakuelewa shetani wewe na yeye usikubali ushetani wake ametenda dhambi
Yesu mwenyewe hakubariki Dhabi bali alikemea na kutangaza msamaha kwa anaetubu
INAFIKIRISHA SANA...HIVI KWELI HAO MAASKOFU WOTE NA WAKRISTU WANAOPINGA HILO TAMKO WA NCHI MBALIMBALI DUNIANI 'HAWAKUMUELEWA' HUYO PAPA!
Papa hajaluhusu ndoa ya jinsia 1 ila ameruhusu baraka zitolewe kwao bila ubaguzi na sio ndoa n sawasawa wewe mtenda dhambi unavyo kwenda kwa mchungaji wako kumuomba kuibariki nyumba n.k chako
Angesema muislam wauawe unhesikia dini ya kuuwana, yaani mtu acheze na kazi ya Mungu halafu watu wake tumchekee
Apo ndipo Imani yenu inapowapoteza huruhusiwi kumuua mdhambi zaidi ni kumuonya na kukemea aachee
Dini ya kiislamu ni ya ugaidi
Starvista823 uzuri aliyesema na kutoa maandiko siyo muislam, kama vip mchungaji akiwa mchawi mnapaswa kumnasihi had aache na siyo kumtenga 😂😂😂
@@starvista823 halafu Wala haituumi kwasababu tunaujua ukweli kama ni dini ya kigaidi tunajuwa kama siyo tunajuwa sasa wewe baki na propaganda za wanao kuletea ushoga, mnashindwa kushika mambo ya maana mmeshikilia ugaidi
@@starvista823 kwani aliyesema na kutoa maandiko ni nani? Acheni kudanganyana mzee yaani wewe umfanie mtu anamrawiti mwanao wa kiume halafu umuachie Mungu, mambo mengine mnaongea kishabiki saana
Safii kabisa
Asante sana nimepata faraja MUNGU akutie nguvu AMEN
Asante
Watumishi wa Mungu wafundishe ukweli waache kueba kitabu cha mambo ya walawi 20:13 na hicho cha walawi 16:1-34,17:1-16,18:1-30,19:1-37&20:1-27
Hallelujah hallelujah
Unashindwa kujiuliza makaomakuu ya yesu ulikua Israeli kwanini sasaivi makaomakuu iwe vatikan dini ya nabii Musa nuhu daudi yesu muhammadi ilikua dini mojatu ukitambua Hilo huwezi kupata ttabu
HUNA SHULE TULIA .
Ndio Yesu ni mwenye imani