MCH. RICHARD JACKSON HANANJA. Mwanachuo usiseme hakuna kazi. Matatizo ya watu ndio kazi. CCT UDSM.
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada zinazofanyika UDSM CCT Chaplaincy (CCKD)
Mchungaji bw,asifiwe .nimeipenda mahubiri yako anayedikiliza kwamakini ataelewa neno ambaye hanaumakini kwa hayo mahubiri ataona ni mzaha amen
Uko vizuri Hananja! Hasa kuwa na mistari kichwani
Ubarikiwe Mch Hananja kwa tafakari ya Neno.
Mchungaji maandishi yanaishi. Naomba utunge kitabu cha mahubiri yako au mtaalamu wa uandishi aandike historian 'autobiography' yako. Dunia itajifunza mengi kutoka maisha yako. MAISHA YAKO NI DARASA.
Amina baba MUNGU akubariki
Huyu mch nabarikiwa nae sana sana sana jaman anahubir neno vzr biblia yote ipo kichwan kwake ameeen
Mungu akuongezee hekima na maarifa ya KIMUNGU
Asante Mchungaji kwa maneno yenye busara kwa vijana wetu.
Machungaji mungu nimwema unaupako
Amen amen tunaomba no tutoe sadaka…mr billionaire Kumcha Mungu ni utajiri na zaidi ya Ulokole🙏🏽Amina baba🥰🙏🏽🙏🏽🙏🏽usharika wap tuje jpil jmn
Hapa kimeumana. Mchungaji Biblia yote umeimeza. Ah! Nimeshangaa. Mzee uishi miaka mingi kwa kazi nzuri uifanyayo.
huyu mch ni genius sana aisee.Bwana asifiwe sana
Bb upo vizuri na neno mungu akupe umri mrefu
Watching always from usa 👌💯
Yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima
Ameni pastor jamani na barikiwa sana mm
Hongera Sana mch kwa somo zuri Sana kwa vijana , Mungu akubariki Sana
6y66yyyyyyyyy
Mungu atubariki sana Rich
Nimebarikiwa hakika mchungaji 🙏🏿😀😀😀. Mungu akupe maisha marefu baba. Wosia maalumu kwa wakati maalum kwa kizazi maalum 💪💪💪❤️
Ubarikiwe mtumishi wa bwana
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa maneno mazuri sana uliosema na Vijana, Mungu wa Mbinguni akubariki sana Baba
Hongera Baba Mchungaji kwa Neno zuri Kwa Vijana. Nimependa Style yako ya Mahubiri ni Furaha tupu.
Amen mtumish tumeongezekeza kiroho &kimwil
You are a teacher and you preach through teachings its so fullfilling
Huwa unanibariki sana mchungaji
Kongole sana mch.mahubiri mazuri Mungu akubariki
Huyu mchungaji ni genius kwa watu wenye gamy yamafanikio watatoka na kitu
Asante kwa somo zuri
Barikiwa kuhani wa bwana utalipwa na yeye alipaye kwa haki
Kwa kweli Haya mahubiri yanatia nguvu❤❤
Wewe mungu amekupa hicho kipawa cha kuhubiri na kufundisha
Nimebarikiwa sana na mahubiri yako Mch. Richard. I like the way you connect the word of God with our day to day lives.
Asante sana kwa mahubiri mazuri Mungu akubariki sama
@@bessiemunisi686
Mchungaji nitumie namba yako kwanza maana mchungaji wewe hatal
Duuh mchungaji umemeza bibilia yote hahahahah heshima kubwa sana kwako
Amina sana mch.
😂fanya kazi mch Mungu akubariki
Ubarikiwe mchungaji
Hongera mchungaji
Ubarkiwe. Mchungaj
Very Powerful
Nimepokea kitu, ahsante mchungaji
Excellent man of god
Mungu akupe Kuishi
Baba nimependa sana somo la leo
Nimebarikiwa asanteni mitandao
Daaaah huyu mchungaji geneous hasomi popote
Aminaaaaa sanaaa
Mahubiri kwa styli hii inafaa sana kutia mutual kwa vijana kwani unaweza kumwongoza kuanza mapema kupangili maisha
Mungu akubark
Mchungaji karibu Ebenezer Mwanza
Barikiwa sn
Hakika pastor upo vizuri
Baba Hananja mahubiri yamoto Amina
Safi pastor
Nakukubari sana baba
Mchungaji uko vizuri'
Mchungaji ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe piah
Abarikiwe huyu baba
Mahubiri mazuri
Tunakukubali mchungaji
Ameni pastor
Mtumish nakupnda naomba mungu anipe hyo akili ht nusu yko tu
Ameeeen amen amen amen 😅😅😅😅 ameeeen amen amen amen 👏👏👏👏👏👏👏👏 ameeeen 🙏
Huyu jamaa ana fomula nzima ya maisha
Huyupasta anajua sana
SEMA mchungaji mistari YAKO utafikiri KITABU cha mfalme suleiman
🙏🙏🙏🙏 amen
Mchungaji ungesomea udaktari ungeponya wagonjwa wengi sana...unaakili sana
Aminaaa!
Mungu akubaliki sana kwa maubili mazuri
Amen 🙏🙏🙏
Mch.njoo Arusha
🙏🙏
Jaman kanisa lakee liko wap nimempendaa buleee
Dar es Salaam Tanzania.
Mahubiri yako yaniguza Sana bibiliya waijuwa yote
Good
Naomba no YA mhubiri
Amen
Ameni
ni zaid ya mchungaji kwakweli
Amina
Ubarikiwe sana mchungaji umeniweka mtoto mpotevu Baba ubarikiwe
Mch Mungu akuinue kwa kiwango cha juu
❤ hakika Mungu anakutumia endelea kutusogeza karibu na Mungu mno.ubarikiwe mpaka ushangae
Fact
Mchungaji mafundisho mazuri
🐿️💯💯
Karibu mheshimiwa😅😅😅
Great
jikubali
Biblia kaimeza yote duh!!!
❤❤❤
❤🎉
Amenii😃😃
❤
ubalikiwee
thanks
Nami nitayafata mahubili haya nataman kuwa mtu wa mafanikio
Ukonjema mchugaji:
Kila nikipata bandle nina kuzoom
Eti suruali ikilia swi swi swi😂😂😂😂
Yatosha jangwani
🚶🏃
Mwenye namba ya mchungaji huyu anitumie
Karibu Instagram ''udsmcctmedia'' kwa mawasiliano
Hongera saaaana mchungaji Mungu azidi kukuinua na kukutunza
Mungu akubariki naomba yako mchungaji
Simba app
Aleluyaaa