Jamani, nimefuatiliya mazungumuzo , unayo yazungumuza , kwa masikio ya wana damu anasikika vizuli , lakini kwa Mungu nimabaya , Yesu alisema eti yeye hakuleta amani bali upanga, ukihubili ukweli miongoni mwa viongozi wanao hubili uongo watakucukia so ukibembeleza uongo wao utapendwa na wengi. Yesu alisema, Dunia itawakataa ikawa mimi walinipenda nanyinyi watawapenda kama walivyo nikataa ,na nyinyi watawakataa , unataka upendwe na watu walio muasi Yesu hiyo ni gumu inamaana mafundisho yako anakasolo siyakweli kama waislamu wameyakubali .mafundisho yako ni ya kutiwa mashaka.
MUNGU akubariki sana kwa sababu ingekuwa ni Mazinge ao Sulle hapo wangeponda dini zingine na kuwaita ma kafiri. Ila wewe umeonesha upendo unao tuistahili kuwa nao sisi wote agizo kuu la YESU KRISTO ni Upendo ♥ na upole ila kwa upande wa pili sasa wanajiona miungu watu wakatibu wa kuu wa MUNGU.na kukashifu dini za wengine.MUNGU atusaidiye sana.
Dunia mjomba inakuendesha, sasa mimi nimesha kuelewa, yani wewe uko pamoja na wale wanaotafsiri hile haya vibaya kwamba mungu amesema simamisheni sala kwanini nyinyi munaendelea innalillah wahinnalillah rajjhiunn
We kwisha ipm mbona inchi zote zinazo watu wenye kuswali mda wote ndio matajiri duniani kama inchi za waarabu na wa wote ndio wanao kimbilia ajira huko..
Anajifanya alikua muislamu uyo alikua na mzazi mmoja muislamu kwaio akawa anaenda madrasa alipokua mdogo badae akaacha sasa alipata mafunzo kidogo anasema alikua muislamu shit shame on you
Mwenyez mungu anapumzka then akmaliza kupumzka ata lala huyu mpuuzi kwel
"JUST ENOUGH RELIGION TO HATE EACH OTHER BUT NOT TO LOVE EACH OTHER"
Fellow islams and christians msiwe na hasira na chuki kisa dini,
Jamani, nimefuatiliya mazungumuzo , unayo yazungumuza , kwa masikio ya wana damu anasikika vizuli , lakini kwa Mungu nimabaya , Yesu alisema eti yeye hakuleta amani bali upanga, ukihubili ukweli miongoni mwa viongozi wanao hubili uongo watakucukia so ukibembeleza uongo wao utapendwa na wengi. Yesu alisema, Dunia itawakataa ikawa mimi walinipenda nanyinyi watawapenda kama walivyo nikataa ,na nyinyi watawakataa , unataka upendwe na watu walio muasi Yesu hiyo ni gumu inamaana mafundisho yako anakasolo siyakweli kama waislamu wameyakubali .mafundisho yako ni ya kutiwa mashaka.
MUNGU akubariki sana kwa sababu ingekuwa ni Mazinge ao Sulle hapo wangeponda dini zingine na kuwaita ma kafiri. Ila wewe umeonesha upendo unao tuistahili kuwa nao sisi wote agizo kuu la YESU KRISTO ni Upendo ♥ na upole ila kwa upande wa pili sasa wanajiona miungu watu wakatibu wa kuu wa MUNGU.na kukashifu dini za wengine.MUNGU atusaidiye sana.
Mungu hawez kupumzika Kwan hachoki ,,,, alistarehe tu kwa kufuraia vitu alivyokua ameumba
Mimi nitabakia na ukristo wangu too untill to death
Moto unakusubiri na ukafiri wako
Unaweza kuitusi katiba kwa kusema haina mwenyewe? Point mavi😂
Hueleweki popo au ndege. Uislamu hautaki wazimu jitulize
Uyu jamaaa nimependa ameongea na hekima nyingi mno
Saf
Huyu jamaa yupo sahihi kama mtumishi,
Dunia mjomba inakuendesha, sasa mimi nimesha kuelewa, yani wewe uko pamoja na wale wanaotafsiri hile haya vibaya kwamba mungu amesema simamisheni sala kwanini nyinyi munaendelea innalillah wahinnalillah rajjhiunn
Wewe achakupimanisha yesu kiovion
Ndo nini sasa
Waislamu wanaisoma Biblia takatifu sasa wakristo mbona hawajasema msiisome biblia hapo utaona uelewa wa watu
We kwisha ipm mbona inchi zote zinazo watu wenye kuswali mda wote ndio matajiri duniani kama inchi za waarabu na wa wote ndio wanao kimbilia ajira huko..
Usa,ufaransa,uk,china ni WA Islamic usiende kwa udini ( dini zote zinazo mtaja Mungu wa kweli ni zake yeye Amen.)
Anajifanya alikua muislamu uyo alikua na mzazi mmoja muislamu kwaio akawa anaenda madrasa alipokua mdogo badae akaacha sasa alipata mafunzo kidogo anasema alikua muislamu shit shame on you
Mungu gani huyo anayechoka na kupumzika😂. Wakristo bwana, mungu wao anachoka, anakufa, vichekesho vitupu😂😂😂😂