PROPHET IPM AMKANA DR SULLE AIBUA MAPYA VITA YA WAISLAMU NA WAKRISTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024

Комментарии • 21

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd Месяц назад +1

    Mwenyez mungu anapumzka then akmaliza kupumzka ata lala huyu mpuuzi kwel

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 Месяц назад +1

    "JUST ENOUGH RELIGION TO HATE EACH OTHER BUT NOT TO LOVE EACH OTHER"
    Fellow islams and christians msiwe na hasira na chuki kisa dini,

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc1727 Месяц назад +1

    Jamani, nimefuatiliya mazungumuzo , unayo yazungumuza , kwa masikio ya wana damu anasikika vizuli , lakini kwa Mungu nimabaya , Yesu alisema eti yeye hakuleta amani bali upanga, ukihubili ukweli miongoni mwa viongozi wanao hubili uongo watakucukia so ukibembeleza uongo wao utapendwa na wengi. Yesu alisema, Dunia itawakataa ikawa mimi walinipenda nanyinyi watawapenda kama walivyo nikataa ,na nyinyi watawakataa , unataka upendwe na watu walio muasi Yesu hiyo ni gumu inamaana mafundisho yako anakasolo siyakweli kama waislamu wameyakubali .mafundisho yako ni ya kutiwa mashaka.

  • @GatekaNene
    @GatekaNene Месяц назад

    MUNGU akubariki sana kwa sababu ingekuwa ni Mazinge ao Sulle hapo wangeponda dini zingine na kuwaita ma kafiri. Ila wewe umeonesha upendo unao tuistahili kuwa nao sisi wote agizo kuu la YESU KRISTO ni Upendo ♥ na upole ila kwa upande wa pili sasa wanajiona miungu watu wakatibu wa kuu wa MUNGU.na kukashifu dini za wengine.MUNGU atusaidiye sana.

  • @emmanuelathuman896
    @emmanuelathuman896 Месяц назад

    Mungu hawez kupumzika Kwan hachoki ,,,, alistarehe tu kwa kufuraia vitu alivyokua ameumba

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Месяц назад +1

    Mimi nitabakia na ukristo wangu too untill to death

  • @khamisabdulla9517
    @khamisabdulla9517 23 дня назад

    Unaweza kuitusi katiba kwa kusema haina mwenyewe? Point mavi😂

  • @khamisabdulla9517
    @khamisabdulla9517 23 дня назад

    Hueleweki popo au ndege. Uislamu hautaki wazimu jitulize

  • @fadharocket36
    @fadharocket36 Месяц назад +1

    Uyu jamaaa nimependa ameongea na hekima nyingi mno

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq Месяц назад +1

    Saf

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 Месяц назад

    Huyu jamaa yupo sahihi kama mtumishi,

  • @user-nx4eg7sf8u
    @user-nx4eg7sf8u Месяц назад

    Dunia mjomba inakuendesha, sasa mimi nimesha kuelewa, yani wewe uko pamoja na wale wanaotafsiri hile haya vibaya kwamba mungu amesema simamisheni sala kwanini nyinyi munaendelea innalillah wahinnalillah rajjhiunn

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Месяц назад

    Wewe achakupimanisha yesu kiovion

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад

    Ndo nini sasa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Месяц назад

    Waislamu wanaisoma Biblia takatifu sasa wakristo mbona hawajasema msiisome biblia hapo utaona uelewa wa watu

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Месяц назад

    We kwisha ipm mbona inchi zote zinazo watu wenye kuswali mda wote ndio matajiri duniani kama inchi za waarabu na wa wote ndio wanao kimbilia ajira huko..

    • @christopherleonard1264
      @christopherleonard1264 Месяц назад

      Usa,ufaransa,uk,china ni WA Islamic usiende kwa udini ( dini zote zinazo mtaja Mungu wa kweli ni zake yeye Amen.)

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Месяц назад

    Anajifanya alikua muislamu uyo alikua na mzazi mmoja muislamu kwaio akawa anaenda madrasa alipokua mdogo badae akaacha sasa alipata mafunzo kidogo anasema alikua muislamu shit shame on you

  • @nomar3708
    @nomar3708 Месяц назад

    Mungu gani huyo anayechoka na kupumzika😂. Wakristo bwana, mungu wao anachoka, anakufa, vichekesho vitupu😂😂😂😂