DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024

Комментарии • 369

  • @azizaramdan5879
    @azizaramdan5879 29 дней назад +8

    Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 Месяц назад +50

    Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Месяц назад

      Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu

    • @andrewmoi2186
      @andrewmoi2186 Месяц назад +4

      @@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo Месяц назад +1

      Uelewa wako mdogo

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Месяц назад +3

      Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana

    • @rajabuidd45
      @rajabuidd45 Месяц назад +1

      Wewe mpaka Sasa una magari mangapi

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Месяц назад +18

    shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu

    • @IbrahimMwinyi
      @IbrahimMwinyi 29 дней назад +1

      Ameongea ukwel kam umefatilia vizur

  • @SANDUKUTV
    @SANDUKUTV Месяц назад +20

    Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 Месяц назад +9

    Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule

  • @mwanamkemuislamutv9369
    @mwanamkemuislamutv9369 Месяц назад +15

    ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 Месяц назад +17

    Wewe ni agenti wa shetani

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 Месяц назад +7

    Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle

  • @abdulrahmanally7614
    @abdulrahmanally7614 Месяц назад +17

    Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Месяц назад +1

      Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Месяц назад +1

      Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 дней назад +1

      Ushirikina na uislam ni ndugu moja

    • @salimuismaily7754
      @salimuismaily7754 28 дней назад

      Tatizo hujamsikiliza Kwa kumuelewa umemsikiliza Kwa kumpinga

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 28 дней назад +1

      ​@@FridayMwassashakahola pia alkua mwislamu au

  • @salaamibahsan3063
    @salaamibahsan3063 Месяц назад +17

    Daah shekh wangu unapigia debe ushirikina daah mtihani kwakweli

  • @husnatoba8124
    @husnatoba8124 Месяц назад +5

    Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun

  • @user-kc6hc6re7t
    @user-kc6hc6re7t Месяц назад +13

    YOTE NI SHIRK

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 Месяц назад +10

    Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Месяц назад +25

    Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??

  • @ibnuali6857
    @ibnuali6857 Месяц назад +9

    Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie

    • @josephshirima7057
      @josephshirima7057 Месяц назад

      Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue

    • @mamuamtoto
      @mamuamtoto Месяц назад

      @josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.

    • @mussamalekela2107
      @mussamalekela2107 Месяц назад

      Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.

  • @user-qr2ww4nl7f
    @user-qr2ww4nl7f Месяц назад +11

    Adhubillahi minasheitwani raajim.yoooo kumbe huyu sheikh nimushilikina ivyo.allah amusamehe kwakwer😢

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 Месяц назад

      Ikiwa hujafahamu hasa.uliza tena...Mungu amaumba Sisi na majini tumuabudu...Sawa?

  • @ahmetmwandu8499
    @ahmetmwandu8499 Месяц назад +18

    Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk

    • @dorcaskarago2876
      @dorcaskarago2876 Месяц назад +1

      Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Месяц назад

      @@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Месяц назад

      @@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini.
      Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Месяц назад +2

      Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 дней назад

      ​@@ahmetmwandu8499Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi

  • @FhhbCanhebeg-tv9sv
    @FhhbCanhebeg-tv9sv 9 часов назад

    Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9v Месяц назад +9

    Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓

  • @allyabdalla8688
    @allyabdalla8688 25 дней назад +1

    kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 Месяц назад +3

    Nakuelewa Sana dk sule

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9v Месяц назад +8

    Halafu usilazimishe kuwa una elimu nendaa ukasoma itikadi sahihi ya dini yako [

  • @AboubakarNiyonzimaAboubakar32
    @AboubakarNiyonzimaAboubakar32 Месяц назад +7

    Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128

  • @sambatv3194
    @sambatv3194 29 дней назад +2

    Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)

  • @HusseinHamidu-nq1vc
    @HusseinHamidu-nq1vc 17 дней назад

    Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely

  • @KihangoDonard
    @KihangoDonard 24 дня назад

    Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo

  • @ndabatv518
    @ndabatv518 Месяц назад +9

    Ndo maana waganga wengi ni waislamu...fatiliya mtaani kwako utakubaliana na mimi

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Месяц назад

      Ndaba kule sumbawanga makafiri watupu lkn kumejaa waganga

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Месяц назад +5

      Fremason wengi wakristo fatilia uniambie hlf nikwambie kitu hawa prophet ni hatar kuliko huy shekhe

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Месяц назад

      Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 23 дня назад

      Hawa Bure kabisa wanshenzie eeh😊

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 22 дня назад

      ​@@aminatanzanya7475😂😂 freemasons ni ma atheist na maislamu bhna fatlia bro
      Hakuna mapichapicha ya kafara kwenye Ukristu bob

  • @mantosanto3222
    @mantosanto3222 19 дней назад

    Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 28 дней назад +1

    Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Месяц назад +2

    Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah

  • @hurulaainmalkiaaisha1508
    @hurulaainmalkiaaisha1508 26 дней назад

    Allahu ya aalam

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz Месяц назад +4

    Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah

  • @RaniyaOmary
    @RaniyaOmary 29 дней назад

    Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher

  • @TheFikra
    @TheFikra Месяц назад +2

    Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu Месяц назад +1

    Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa

  • @TwariqYusuf24
    @TwariqYusuf24 Месяц назад +2

    Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed

  • @user-ec7wu9bk8w
    @user-ec7wu9bk8w 26 дней назад

    Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!

  • @sheikhidrisa9793
    @sheikhidrisa9793 28 дней назад +1

    Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim

  • @juntaadichie1923
    @juntaadichie1923 10 дней назад

    Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول

  • @duncanbee1263
    @duncanbee1263 29 дней назад +1

    This guy is a genius 😅

  • @adamkassim-ts2ds
    @adamkassim-ts2ds 29 дней назад

    Uyu anapoteza waislam ana support shirki

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230 28 дней назад +1

    Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe 27 дней назад

    Maashaallar

  • @ibrahimgollosaid512
    @ibrahimgollosaid512 Месяц назад

    Got it..!!

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo 17 дней назад

    Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu

  • @michaeljoseph3118
    @michaeljoseph3118 Месяц назад +2

    Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total

  • @user-ui2cc4bk6m
    @user-ui2cc4bk6m Месяц назад +6

    Huu ni ushirikina

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 20 дней назад

    shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1s Месяц назад +2

    Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo

  • @bigemagomabigemagoma6312
    @bigemagomabigemagoma6312 27 дней назад

    Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani

  • @Shomariamuri1
    @Shomariamuri1 27 дней назад +1

    Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️

  • @yunusrashid3356
    @yunusrashid3356 28 дней назад

    Nakuelewa Sanaa suleiman

  • @mobimbalongida
    @mobimbalongida Месяц назад

    aminia sana dua

  • @amanihamis217
    @amanihamis217 Месяц назад

    Mashallah

  • @HamzaNassoro-kn6yt
    @HamzaNassoro-kn6yt 29 дней назад

    Mungu akunusuru dada

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 Месяц назад +6

    Eti Mungu anaumba kwa udongo wa shari na udongo wa kheri ?

  • @user-ls4ih7hz8s
    @user-ls4ih7hz8s Месяц назад +12

    Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 Месяц назад

      Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Месяц назад


      EEWEEEEEH_🤔
      EBU TUONE HIO CLIP

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 Месяц назад

      @@allahisone6386 ruclips.net/video/8CcLKpH0SAU/видео.htmlsi=O3AMnmtv0iBYN81s

  • @jumaabdallah6087
    @jumaabdallah6087 Месяц назад +3

    Ushirikina wa wazi

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 29 дней назад +1

    Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar

  • @mbarakassa4347
    @mbarakassa4347 29 дней назад

    Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi

  • @Jumasaidi-iv8cj
    @Jumasaidi-iv8cj 28 дней назад

    Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti

  • @abdialiabdi5862
    @abdialiabdi5862 20 дней назад

    Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢

  • @Kaankaraz
    @Kaankaraz Месяц назад +2

    Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla

  • @user-vk1xf3lk9h
    @user-vk1xf3lk9h 25 дней назад

    Mh hakika badosijawai kumeelewa huyumtu

  • @CharlesMganga-kk7jv
    @CharlesMganga-kk7jv 26 дней назад

    Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 Месяц назад +1

    Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi
    Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake

  • @AnnoyedCityMap-im1dd
    @AnnoyedCityMap-im1dd 28 дней назад

    huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 28 дней назад

    Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo

  • @galeebkhan0138
    @galeebkhan0138 14 дней назад

    Shk Huyu n mshirikina acheni kumsikiliza

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468 29 дней назад +1

    Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla
    Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf

  • @LizenMaker
    @LizenMaker Месяц назад

    Kweli kabisa

  • @abuumadesign8095
    @abuumadesign8095 25 дней назад

    Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 26 дней назад

    Ww sule mshirikina

  • @AbdulKitalula
    @AbdulKitalula 19 дней назад

    Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani

  • @hamzarangi7989
    @hamzarangi7989 25 дней назад

    Dr nakuelwa sana

  • @regnaldymambaly9880
    @regnaldymambaly9880 25 дней назад

    Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine

  • @Mpuuzikichekesho5610
    @Mpuuzikichekesho5610 Месяц назад +3

    Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂
    Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee

  • @florayoram9563
    @florayoram9563 29 дней назад

    Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂

  • @rahmajohn7284
    @rahmajohn7284 28 дней назад +1

    Ya Allah tuhepushe na ushirikina😢

  • @Users2523
    @Users2523 Месяц назад +1

    Hiyo stori ipo kwenye kitabu gani??

  • @GloriaCharles-bu4fk
    @GloriaCharles-bu4fk 29 дней назад +1

    Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani

  • @jamalykimaro961
    @jamalykimaro961 26 дней назад

    Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee

  • @muhibukesh7121
    @muhibukesh7121 28 дней назад

    Mi namuelewa

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij Месяц назад +3

    Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.

  • @barazasule9582
    @barazasule9582 28 дней назад

    Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.

  • @LaurenciaMashala
    @LaurenciaMashala 26 дней назад

    Huyu jamaa anakwepa maswali badala yake anatupeleka kwa mitume

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye9628 Месяц назад +1

    Tawheed yako imenda wapi?

  • @SteveSteveadero-ec2em
    @SteveSteveadero-ec2em 26 дней назад

    Number za Dr ziko wapi????

  • @piusmbwana3329
    @piusmbwana3329 28 дней назад

    Dini ni mchanganyiko wa elimu ya kiroho na utamaduni wa jamii fulaniii

  • @ElizabethKidogomaa
    @ElizabethKidogomaa 23 дня назад

    Nataka kuja mm

  • @IbnAhmad-jd3hk
    @IbnAhmad-jd3hk 27 дней назад

    Kisa ulichotumia kutoa hoja kuhusu Qadar kipo sahihi lkn kukiambatanisha na qadar kama ulivodai huwo ni uongo 18:59

  • @mbarakashekallaghe1210
    @mbarakashekallaghe1210 28 дней назад

    Msitumie dini kwa njaa zenu na kutudhalilishia dini

  • @evansmusyoka5215
    @evansmusyoka5215 13 дней назад

    Tupe nambari daktari

  • @asilasaidsalim6138
    @asilasaidsalim6138 29 дней назад

    Mbona imekatishwa njian

  • @YasiniRajabuAlly-oc1pd
    @YasiniRajabuAlly-oc1pd 28 дней назад

    Mashekhe wameweka wazi sana utaperi na ushirikina wa huyu mchawi ila watu wanazidi tu kumpa sapoti ktika upotovu wake amkeni bwana nyie vipi

  • @ShabaniAbdi-bn1gz
    @ShabaniAbdi-bn1gz Месяц назад

    💯👏👏👏👏👏👏💕👏👏

  • @mypeace5962
    @mypeace5962 Месяц назад +1

    Maashaa Allah

  • @57_VANIBO
    @57_VANIBO 28 дней назад

    😂😂😂😂tunapokwenda mutajiretatuu😅 tumefika pakusema mipangoyamungu inapanguka 😢😢aliyeomba eti mipangoyamungu hayipanguki yukowapi😂😂😂😂

  • @YasiniRajabuAlly-oc1pd
    @YasiniRajabuAlly-oc1pd 28 дней назад

    Hili linamiamala na mashetani huoni hata sulab yake ishaelekea ushetanini

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Месяц назад

    tkwaiyo we upo kwenye kundi la mungu