@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini. Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂 Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah
Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa
Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu
@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
Uelewa wako mdogo
Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana
Wewe mpaka Sasa una magari mangapi
shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu
Ameongea ukwel kam umefatilia vizur
Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe
Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule
ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.
Wewe ni agenti wa shetani
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
Ushirikina na uislam ni ndugu moja
Tatizo hujamsikiliza Kwa kumuelewa umemsikiliza Kwa kumpinga
@@FridayMwassashakahola pia alkua mwislamu au
Daah shekh wangu unapigia debe ushirikina daah mtihani kwakweli
Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun
YOTE NI SHIRK
Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
Kwa mgaga wa kienyeji
Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie
Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue
@josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
Adhubillahi minasheitwani raajim.yoooo kumbe huyu sheikh nimushilikina ivyo.allah amusamehe kwakwer😢
Ikiwa hujafahamu hasa.uliza tena...Mungu amaumba Sisi na majini tumuabudu...Sawa?
Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk
Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini.
Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze
@@ahmetmwandu8499Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi
Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa
Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
Nakuelewa Sana dk sule
Halafu usilazimishe kuwa una elimu nendaa ukasoma itikadi sahihi ya dini yako [
Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128
Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)
Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely
Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo
Ndo maana waganga wengi ni waislamu...fatiliya mtaani kwako utakubaliana na mimi
Ndaba kule sumbawanga makafiri watupu lkn kumejaa waganga
Fremason wengi wakristo fatilia uniambie hlf nikwambie kitu hawa prophet ni hatar kuliko huy shekhe
Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww
Hawa Bure kabisa wanshenzie eeh😊
@@aminatanzanya7475😂😂 freemasons ni ma atheist na maislamu bhna fatlia bro
Hakuna mapichapicha ya kafara kwenye Ukristu bob
Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana
Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
Allahu ya aalam
Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?
Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa
Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed
Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!
Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
This guy is a genius 😅
Uyu anapoteza waislam ana support shirki
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
Maashaallar
Got it..!!
Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu
Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total
Huu ni ushirikina
shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani
Allahuakbar
Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️
Nakuelewa Sanaa suleiman
aminia sana dua
Mashallah
Mungu akunusuru dada
Eti Mungu anaumba kwa udongo wa shari na udongo wa kheri ?
Watapoteza watu hawa😮😮
Soma Quran utupe Aya tufatilie
Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu
Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete
EEWEEEEEH_🤔
EBU TUONE HIO CLIP
@@allahisone6386 ruclips.net/video/8CcLKpH0SAU/видео.htmlsi=O3AMnmtv0iBYN81s
Ushirikina wa wazi
Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar
Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi
Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti
Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢
Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla
Mh hakika badosijawai kumeelewa huyumtu
Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi
Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.
Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo
Shk Huyu n mshirikina acheni kumsikiliza
Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla
Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf
Kweli kabisa
Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako
Ww sule mshirikina
Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani
Dr nakuelwa sana
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂
Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂
Ya Allah tuhepushe na ushirikina😢
Hiyo stori ipo kwenye kitabu gani??
Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
Mi namuelewa
Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.
Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.
Huyu jamaa anakwepa maswali badala yake anatupeleka kwa mitume
Tawheed yako imenda wapi?
Number za Dr ziko wapi????
Dini ni mchanganyiko wa elimu ya kiroho na utamaduni wa jamii fulaniii
Nataka kuja mm
Kisa ulichotumia kutoa hoja kuhusu Qadar kipo sahihi lkn kukiambatanisha na qadar kama ulivodai huwo ni uongo 18:59
Msitumie dini kwa njaa zenu na kutudhalilishia dini
Tupe nambari daktari
Mbona imekatishwa njian
Mashekhe wameweka wazi sana utaperi na ushirikina wa huyu mchawi ila watu wanazidi tu kumpa sapoti ktika upotovu wake amkeni bwana nyie vipi
💯👏👏👏👏👏👏💕👏👏
Maashaa Allah
😂😂😂😂tunapokwenda mutajiretatuu😅 tumefika pakusema mipangoyamungu inapanguka 😢😢aliyeomba eti mipangoyamungu hayipanguki yukowapi😂😂😂😂
Hili linamiamala na mashetani huoni hata sulab yake ishaelekea ushetanini
tkwaiyo we upo kwenye kundi la mungu