DR SULLE AFICHUA SIRI NZITO YA UTAJIRI ASIMULIA KISA CHA TAJIRI ANAYETOKA FUNZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024

Комментарии • 84

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Месяц назад +3

    Sule umepoteza muelekeo
    Allah akugeuze
    Umeingia kwenye uchawi

    • @opportunities2767
      @opportunities2767 Месяц назад

      Du sikio lako na ww litakua na funza, wapi kasema ameingia kwenye uchawi

  • @user-rb4qc2in6l
    @user-rb4qc2in6l Месяц назад +3

    Namba ya Dr. Sulle tafadhali

  • @Robbywedt
    @Robbywedt Месяц назад +2

    Safi sana doctar Sule

  • @Sabakimotors001
    @Sabakimotors001 Месяц назад +1

    Safi sana Dr.

  • @hakizimanaselemani1995
    @hakizimanaselemani1995 Месяц назад +5

    Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Месяц назад +2

      Nabii Selemani aliwatumia majini kujenga Msikiti wa Aqswa na aliwatumia majini ktk kazi zake mbali mbali vip je nae alikuwa mshirikina ??

    • @jumachaduma5434
      @jumachaduma5434 Месяц назад

      Anaongea kwa mihemiko,Hana elimu hiyo

    • @mbenamdudu7856
      @mbenamdudu7856 Месяц назад

      Nabii suleimani alikua mchawi maana alifanya kazi na majini na aliwatawala

    • @bakarhassan
      @bakarhassan Месяц назад

      usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Месяц назад

      @@MuuYascohy-oc7os imeaandikwa wapi?

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed7006 Месяц назад +2

    Mashaa-Allah Allah akuhifadhi sheikh sule tunakupenda kwa ajili ya Allah (Nairobi) kenya

    • @faizG254
      @faizG254 Месяц назад +2

      Huyu ni mshirikina. Ogopa Allah

  • @maryanomar119
    @maryanomar119 Месяц назад +2

    Mashallah shekh sule umeongea maneno mazito sana mungu akubariki akupe afya na umri mrefu inshallah

  • @serahmohamed6513
    @serahmohamed6513 Месяц назад +1

    MaashAllah tabarakaAllah, mtu akikuhitaji waeza patikana Dr. Sule?

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa6702 Месяц назад +1

    Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele

  • @LuluByams
    @LuluByams Месяц назад +3

    Doctor sule Nakuku Bali sana

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Месяц назад +2

    Je hawa wachawi wanawo ibiya watu nyota zawo kwa kutaka kuitumiya wenyewe simhusika akafukarika huwa ni jini piya

  • @KhamisiKarisa-vl9nz
    @KhamisiKarisa-vl9nz Месяц назад

    Kazi safi sana kaka

  • @QASSIMWAIGO-py3kq
    @QASSIMWAIGO-py3kq Месяц назад

    Habari kaka naoma no Dr sule

  • @ZubedaHussein-it7nf
    @ZubedaHussein-it7nf Месяц назад +1

    Mashekhee wakubwa sie tusio nauwezo tunaogopa ata kuwaona anaejua gharama za kuonana nae anijuze

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 Месяц назад +2

    Safi sana, SAFI KABISA. Hapaaaandio patamu kwel Duhhhh

  • @hassanibrahim7870
    @hassanibrahim7870 Месяц назад

    Kavuka mipaka sana,Allah atulinde na majahil kama hawa

  • @kassimabdillah5998
    @kassimabdillah5998 Месяц назад +1

    Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera

  • @mahamudaideed6922
    @mahamudaideed6922 Месяц назад

    Insha'Allah nitakutafuta nimekuelewa sana

  • @sophdenis3471
    @sophdenis3471 26 дней назад

    Dk sulle yuko sawa ipo sku mtamuelewa

  • @officialcandleboy6923
    @officialcandleboy6923 Месяц назад

    Huo ni ukweli kabisa Uganda wapo wengi ni Tajiri ila huki kutana nae huta fikiria ni mwizi, na hao wa watoto ma punguani ni wengi sana

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 Месяц назад +1

    Mtangazaji et zipo hizo pini dah unatuwakilisha vizuri muhuni wetu😂

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197 Месяц назад +1

    Eti "hata komandoo"😂😂😂hilo swali

  • @romainehabamungu8547
    @romainehabamungu8547 Месяц назад

    Docta , unasema kweli sana , basi nakuomba sana , mimi niko CANADA nitakupata je ?

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes Месяц назад

    Tunaomba namba ya dk sure ndgu mwana habari tafadhar🙏🏿

  • @aweisali1723
    @aweisali1723 23 дня назад

    Pini ju y pini

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Месяц назад

    Uchawi upo umetajwa kwenye vitabu vya mungu vyote

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Месяц назад

    Umetuelimusha sana

  • @TheogeneNzabonimpa
    @TheogeneNzabonimpa 19 дней назад

    Haudjambo Dr sule niko rwanda jinarangu theogene nafataga maongezi yako samhani unaweza kunipa namber ya whatsap nakuwandikiya

  • @salimyanga9216
    @salimyanga9216 Месяц назад +2

    Tunaomba nambayako shekh

  • @user-cy7vw3ni3w
    @user-cy7vw3ni3w Месяц назад

    Acha izo

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g 8 дней назад

    Ujue huyu hata wakimbishia ninacho penda anatoa aya kwahio ukipinga unapingana na mtume na ana hoja nzito huyu mwamba

  • @Jcg-js5xu
    @Jcg-js5xu Месяц назад

    Kaka mm naomba namba za shehe sulle

  • @abubakarchande8602
    @abubakarchande8602 Месяц назад

    Nahitaji mawasiliano na sheikh au nielekezwe ofisi kwake tafadhali, ikiwezekana nipewe na gharama za kumuona

  • @starah2525
    @starah2525 Месяц назад

    Kwahio shule tuache tujifunze uchawi na kutumikia majini wazuri

  • @FatmaRashid-sj8jw
    @FatmaRashid-sj8jw Месяц назад

    Baada ya mazungumzo ataje namba ya simu

  • @AbdusidMohammed-hi5ib
    @AbdusidMohammed-hi5ib Месяц назад

    Mim namuona doct sule yuko sahihi mbona nabii Suleiman alikuwa anamiliki majini na wanyama

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Месяц назад +1

    dr sule watanhaza shirki sasa baada ya imani unapotea sasa tena wafunganisha ushirikina na allah .

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Месяц назад +1

    Nilikua nikidhani huyu mtu nisheikh kumbe jichawi.shenzi kabisa

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 Месяц назад

      Kweli kabisa mchawi ataliwa na hilo jin

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Месяц назад

    Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze

  • @IsaaPauleta
    @IsaaPauleta Месяц назад

    Doctor asie kuelewa na kuku fahamu huyo ni mwehu na taahira tu.

  • @zainababdurlham18
    @zainababdurlham18 Месяц назад

    Sheik kama unahitaji matibabu je garama yake nigp

  • @didawaso4165
    @didawaso4165 Месяц назад

    Uwogo

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Месяц назад

    Tena mover zip

  • @mohamedkipara1315
    @mohamedkipara1315 Месяц назад

    Sheikh uko vizuri

  • @asiyajuma3135
    @asiyajuma3135 Месяц назад

    MashaAlla Doctor sule umesema kweli wallah ila sijui ni ta kupataje nipo dubai

  • @Soge-jb4rb
    @Soge-jb4rb Месяц назад

    Wapo wengi to

  • @JamesAmani-xz6hu
    @JamesAmani-xz6hu Месяц назад

    dhaa dkit tunaomba namb zako make fifa zaku tunatak kushudia jamn

  • @chamushippingcsl7540
    @chamushippingcsl7540 Месяц назад

    Doctor uko vizuri naomba kukuona

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira3980 Месяц назад +1

    Da doctor Mimi nassumbuliwa sana na ato mambo

  • @sherfineatieno
    @sherfineatieno Месяц назад

    Yani ww na hamonize kumbe gora moja

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar3467 Месяц назад +1

    UJINGA TUPU

  • @faizG254
    @faizG254 Месяц назад +1

    Huyu ni mshirikina.

  • @MahmoudMbarouk
    @MahmoudMbarouk Месяц назад

    ❤dr.sule tunaomb namb yako tuna meng tunatak kukuuliza

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 Месяц назад

      unataka kuuliza nini kama unataka pete utakufa kama mbwa

  • @ummulhussein
    @ummulhussein Месяц назад

    🤣🤣🤣

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 Месяц назад +3

    Huyu ni mwanga tu

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 Месяц назад

      kabisa mchawi eti pete inaleta baraka

    • @hassanally446
      @hassanally446 Месяц назад

      Mwanga wewe usiokua na elimu, kwa sababu elimu ya mjinga ni majungu

  • @KhamisHassan-jh6go
    @KhamisHassan-jh6go Месяц назад

    Namba yako au nakupataje Dr Sule

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 Месяц назад

    KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.

    • @latifamuhunzi4061
      @latifamuhunzi4061 Месяц назад

      Nikwambie kitu my ndugu, kama huelewi kitu uliza kwqnza

    • @latifamuhunzi4061
      @latifamuhunzi4061 Месяц назад

      Kwa.upande wetu sisi ipo mpaka kwenye maandiko,labda nyie ndio mnayaona mageni

    • @latifamuhunzi4061
      @latifamuhunzi4061 Месяц назад

      Maji na mafuta hayo mnayo ambiwa ninyi ya upako,ni maji ya kawaida.na mafuta ya mzaituni,kama huelewi ndipo mnapoona ni mapya ndiponapo pigiwa hapo

  • @user-qr2ww4nl7f
    @user-qr2ww4nl7f Месяц назад +1

    Hawo wooote wenye kumuunga mkono sule niwapenda shiriki kbsa😢

  • @faizG254
    @faizG254 Месяц назад +1

    Huyu mshirikina anapotosha Waislamu

    • @KhamisHassan-jh6go
      @KhamisHassan-jh6go Месяц назад

      Dr Sule nikihitaji namba yako naipataje au kukuona je