Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri
usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka
Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele
Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera
Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze
KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.
Sule umepoteza muelekeo
Allah akugeuze
Umeingia kwenye uchawi
Du sikio lako na ww litakua na funza, wapi kasema ameingia kwenye uchawi
Namba ya Dr. Sulle tafadhali
Safi sana doctar Sule
Safi sana Dr.
Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri
Nabii Selemani aliwatumia majini kujenga Msikiti wa Aqswa na aliwatumia majini ktk kazi zake mbali mbali vip je nae alikuwa mshirikina ??
Anaongea kwa mihemiko,Hana elimu hiyo
Nabii suleimani alikua mchawi maana alifanya kazi na majini na aliwatawala
usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka
@@MuuYascohy-oc7os imeaandikwa wapi?
Mashaa-Allah Allah akuhifadhi sheikh sule tunakupenda kwa ajili ya Allah (Nairobi) kenya
Huyu ni mshirikina. Ogopa Allah
Mashallah shekh sule umeongea maneno mazito sana mungu akubariki akupe afya na umri mrefu inshallah
unamuamini huyu mchawi
MaashAllah tabarakaAllah, mtu akikuhitaji waeza patikana Dr. Sule?
Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele
Doctor sule Nakuku Bali sana
Je hawa wachawi wanawo ibiya watu nyota zawo kwa kutaka kuitumiya wenyewe simhusika akafukarika huwa ni jini piya
Kazi safi sana kaka
Habari kaka naoma no Dr sule
Mashekhee wakubwa sie tusio nauwezo tunaogopa ata kuwaona anaejua gharama za kuonana nae anijuze
Safi sana, SAFI KABISA. Hapaaaandio patamu kwel Duhhhh
Kavuka mipaka sana,Allah atulinde na majahil kama hawa
Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera
Khusnul khatwima yaarabb 😢😢
Insha'Allah nitakutafuta nimekuelewa sana
Dk sulle yuko sawa ipo sku mtamuelewa
Huo ni ukweli kabisa Uganda wapo wengi ni Tajiri ila huki kutana nae huta fikiria ni mwizi, na hao wa watoto ma punguani ni wengi sana
Mtangazaji et zipo hizo pini dah unatuwakilisha vizuri muhuni wetu😂
Eti "hata komandoo"😂😂😂hilo swali
Docta , unasema kweli sana , basi nakuomba sana , mimi niko CANADA nitakupata je ?
Ana namba zake za simu anapatikana
Tunaomba namba ya dk sure ndgu mwana habari tafadhar🙏🏿
Pini ju y pini
Uchawi upo umetajwa kwenye vitabu vya mungu vyote
Umetuelimusha sana
Haudjambo Dr sule niko rwanda jinarangu theogene nafataga maongezi yako samhani unaweza kunipa namber ya whatsap nakuwandikiya
Tunaomba nambayako shekh
Acha izo
Ujue huyu hata wakimbishia ninacho penda anatoa aya kwahio ukipinga unapingana na mtume na ana hoja nzito huyu mwamba
Kaka mm naomba namba za shehe sulle
Nahitaji mawasiliano na sheikh au nielekezwe ofisi kwake tafadhali, ikiwezekana nipewe na gharama za kumuona
Kwahio shule tuache tujifunze uchawi na kutumikia majini wazuri
Baada ya mazungumzo ataje namba ya simu
Mim namuona doct sule yuko sahihi mbona nabii Suleiman alikuwa anamiliki majini na wanyama
dr sule watanhaza shirki sasa baada ya imani unapotea sasa tena wafunganisha ushirikina na allah .
Acha upuuz wew kutibu kwan dhambi?
Nilikua nikidhani huyu mtu nisheikh kumbe jichawi.shenzi kabisa
Kweli kabisa mchawi ataliwa na hilo jin
Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze
Doctor asie kuelewa na kuku fahamu huyo ni mwehu na taahira tu.
Sheik kama unahitaji matibabu je garama yake nigp
Uwogo
Tena mover zip
Sheikh uko vizuri
MashaAlla Doctor sule umesema kweli wallah ila sijui ni ta kupataje nipo dubai
Wapo wengi to
dhaa dkit tunaomba namb zako make fifa zaku tunatak kushudia jamn
Doctor uko vizuri naomba kukuona
Da doctor Mimi nassumbuliwa sana na ato mambo
Yani ww na hamonize kumbe gora moja
UJINGA TUPU
Nyinyi ndio wachawi tunawasaka
Huyu ni mshirikina.
❤dr.sule tunaomb namb yako tuna meng tunatak kukuuliza
unataka kuuliza nini kama unataka pete utakufa kama mbwa
🤣🤣🤣
Huyu ni mwanga tu
kabisa mchawi eti pete inaleta baraka
Mwanga wewe usiokua na elimu, kwa sababu elimu ya mjinga ni majungu
Namba yako au nakupataje Dr Sule
KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.
Nikwambie kitu my ndugu, kama huelewi kitu uliza kwqnza
Kwa.upande wetu sisi ipo mpaka kwenye maandiko,labda nyie ndio mnayaona mageni
Maji na mafuta hayo mnayo ambiwa ninyi ya upako,ni maji ya kawaida.na mafuta ya mzaituni,kama huelewi ndipo mnapoona ni mapya ndiponapo pigiwa hapo
Hawo wooote wenye kumuunga mkono sule niwapenda shiriki kbsa😢
Huyu mshirikina anapotosha Waislamu
Dr Sule nikihitaji namba yako naipataje au kukuona je