@jesusislord9190 mzimu ni wakiristo sawa Allah kakumba ww kafiri kaumba na mizimu kamumba na yesu na ww mkiristo kafiri umeshinda mzimu siku ya kiyama ndio utamjua Allah ni nani na yesu ni mtume tu wamungu na hatowatetea nyinyi wakiristo makafiri motoni milele nyinyi na lusifa wenu
@@MryessNo-om9lv ndio mtume s a w alifundisha bibadamu na majini namna ya kumuabudu Allah lakini nyinyi wakiristo na majini wakikiristo mukamkufuru Allah kwa hio motoni milele ngojea siku ile utakufa utakapo fufuliwa siku ya kiyama yesu hata kusaidia na chochote yesu mwenye atakwenda kwa mtume s a w
Mwisho wa maelezo ni kwamba haya mambo ya kujishughulisha na majini ni ushirikina .....ulitume likuambie utanipa nini mwisho siku kama ni kichinjo inakua sio kwa ajili ya mwenyezi mungu ni kwajili ya agano Allah atuweke mbali na shirk
Bdo sna bwana mdogo tafuta wa kucheza nae sio Dr. Sule ww bdo yule ni sheikh ndo maana anaweka wazi kila kitu Coz yy ni mwalimu na ndomana ata wachawi huenda kw waganga mganga ni km mwalimu ila Dr. Sule ni elimu,, elimu yyte ni fursa kusoma ila kuitumia sasa ndo apo
Lakini anayoyasema huyu Sheikh ni taofuti na Alichosema Sule Maelezo ya Sheikh ni kama Dr Sule ana shahishiwa mtihanj ambao hajafanya Sule hajasema hayo mnayokosoa Sasa sijui mnaongelea nini
Huyo kijana anatafuta, ajulikane tu kupitia doctor Sule, na huenda akawa ni mwanafunzi boda, kwa sababu anavyomzungumzia doc Sule na mwenyewe dr Sule ni vitu viwili tofauti
Huyu ni mpumbavu tu wa kawaida, mara hafai kutoa siri na Dr. Sule ametoa, mara yy tena ametoa. Hamna chochote hapo ni kutafuta tu umaarufu ili apate wateja wa kuwatepeli kisha anataka kunasibisha huo ujinga wake na dini.
Wakristo msiji kujishebeduwa kama nyie watakatifu , wanani ambawo wanaofanya maajabu Kati ya wakristo nawaislam? Nyie mnajiita ma ma nabii kama example tibi Joshua, wakina Ezekiel wa Kenya nawengineo, hiyo miujiza inatoka wapi kama sio uchawi, nyie ndo msisemi kabisa
Hata Mimi nimesoma dini kijana sio wew tu Kuna Aya inasema na zizungumzieni nema alizokupeni Allah. Sule professional huku muelewa sule anazungumza vile ILI VIJANA tuamke na tusikate tamaa utajiri unawezekana alafu wewe unakuja kueka kama bifu Sasa hata Mimi niwe tajiri Leo nitasema nimepata kwanjia hii ili NAWEWE ufanye maamuzi YAKO sijaona kosa Kwa sule mimi
Sasa kama mtu kageuza iPhone ili tuone macho 3 😅 huyu ni mtafuta kiki tu anataka kwenda mjini mm ni mkristu ila Sure,mazinge,waridi,shafi, n.k nawakubali huyu ni mtafuta kiki tu
Naaamini sana bible. Yesu alisema. Siku zamwisho. Yaligizani yote yatawekwa kwenye mwanga. Yote yataoneka..Sasa ndimjue keamba hii dini. Niyakishetani. Japo namakanisa yapo yakishetani. Ila kikubwa. Someni biblia. Na muiamini. Mtaishi kwa raha sana shetani atawakimbia
Umeonaaaa yaan mtu anakaa kufatilia Pete za watu marq sijui utajir wa mtu vinawahusu nn? Kam.yy anakwenda kinyume na aliyemuumba bas atakapokufa hamuend wote atakwenda kujibu kwa molla wake yy kam yy wtz fanyen kaz achen majungu kuchunguzana Allah anasema ktk Quran na wala msichunguzanechunguzane unakaaa unamuongeleq mtuuuuu jmn kam na ww unataka huo utajir wa viumbe si umwite maimuna akupe pesa 😂😂😂😂😂😂😂😂wabongo bhn kwa majungu hamjambo
Hiyo ni uongo. Siyo wote hawasemi. Mbona kila mtu anajua wasani wa Marekani wanaabudu Lucifer pia wenyewe wanakiri hivo mu nyimbo zawo kwani wao siyo kuvunja masharti?
Niliwahi sikia pindi jini anaweka makazi ndani ya mwili wa binadamu moja kwa moja anakua amekufuru na kuwa shetani Sasa Sheikh anasema jini anaekeua mwilini na kukusaidia hii siwazi tayari makosa haya
Acheni kugombanisha watu naona mnalazimisha kugombanisha
Ndugu mwandishi habari huyu kijana na Dr sule jaribu kuwakutanisha .
Allah niongoze ktk njia sahihi yarabi.🙏🙏🙏
Umemkosoa shekeh sule na haopo hapo umetaja pete yako ina kadhaa wa kadhaa 😅
Mmmmh ila siku izi watu ni waongo jaman yani awa mashekh wanatudhalilishia dini yetu😢😢😢
Uyo hana usheikh wowote, ni tapeli tu wakaida.
Allah akbar
Dini ya uisilama naona wengi wamekua waganga siku izi
Sio wengi woote mashekh woote ni waganga
Sio kweli, ww unaona matapeli wawili watatu mitandaoni kisha unataka kujumuisha waislamu wote, inahusu kweli???
Ameuliza kama huyo jinni shaks ni mzungu au mwarabu ameanza kutapatapa. Kisha antudanya eti ukitaka jinni uwe msafi!
Yupo sahihi kabisa
Mtangazaj amekoomaa na shacks tu haelewi😂😂
Ni kwa nini usiseme. Wewe ni kijana na ujiamini .
Wewe KIJINA TULIA HUNA UWEZO WA KUJUA KAMA DR. SULE SHENZI WW
Sio kila mtu ana mizimu hatuna mizimu sisi tuna Allah
Allah pia ni mzimu au hujui??
Allah pia ni mzimu au hujui
Mtume mwenyewe anafundisha mizimu majini wanafunze wa mtume wanafundisha majini uchawi tujifunze mtume ndio alie leta sisi ni weusi sio weupe
@jesusislord9190 mzimu ni wakiristo sawa Allah kakumba ww kafiri kaumba na mizimu kamumba na yesu na ww mkiristo kafiri umeshinda mzimu siku ya kiyama ndio utamjua Allah ni nani na yesu ni mtume tu wamungu na hatowatetea nyinyi wakiristo makafiri motoni milele nyinyi na lusifa wenu
@@MryessNo-om9lv ndio mtume s a w alifundisha bibadamu na majini namna ya kumuabudu Allah lakini nyinyi wakiristo na majini wakikiristo mukamkufuru Allah kwa hio motoni milele ngojea siku ile utakufa utakapo fufuliwa siku ya kiyama yesu hata kusaidia na chochote yesu mwenye atakwenda kwa mtume s a w
No zako sharif
Unawafindisha watu wakayafanye wenyewe unaweka Jamii hatarini
Hhh angalia usemaji wake tu basi sule anaelimu je elimu itkuaje
Wengine mnafikiya kufufuwa alie kwisha fariki ,uwezo wapi na wapi na mungu?
Acheni kumshurikisha allah moto upo 😭😭
Mwisho wa maelezo ni kwamba haya mambo ya kujishughulisha na majini ni ushirikina .....ulitume likuambie utanipa nini mwisho siku kama ni kichinjo inakua sio kwa ajili ya mwenyezi mungu ni kwajili ya agano
Allah atuweke mbali na shirk
mwalimu mashekhe wengi washirikina zama zetu
shekhe ameenza kufanyankazi ya dawa baadae anaanza tmaa za dunis
ndio njia ya mwanzo wanayoitumia ya kuwapata wafuasi na hiyo ni kiki ya kuwafikisha wanapotaka.
We mwenyewe mshirikina kumbe nyote sawa ww nahuyo dr sule hakuna kuita viumbe ktk dini yetu yakiislamu nyinyi nimushrik, mapete yakishirikina hayo, mbona unafichaficha ivo unapohojiwa
Huyu bongo touch anataka kugombanisha watu ajiangalie atashikiwa taa
Huyu jamaa ni mkweli ninarafiki yangu ambae alipata utajili wa kichawi nilimdadisi sana anipe michongo kila nikimuuliza ananificha baadae yalipomshinda alipoanza kuumwa yalipomshinda nipo akaniita kumuombea kumponya na kadharika .. ndipo nilijua ukweli wake
Una namba yake mimi nipo kenya nii connect anisaidie kwa swala ya biashara
Hawa wote na mwenzake sule wameghafilika na dunia tu wanahitaji dua..
Bdo sna bwana mdogo tafuta wa kucheza nae sio Dr. Sule ww bdo yule ni sheikh ndo maana anaweka wazi kila kitu Coz yy ni mwalimu na ndomana ata wachawi huenda kw waganga mganga ni km mwalimu ila Dr. Sule ni elimu,, elimu yyte ni fursa kusoma ila kuitumia sasa ndo apo
Yani yeye anapima kwa asilimia tuuu😂
Waisilamu nyie mnatuonyesha nn tuwamini nyie ni wachawi
Shehe unapatikana wapi
Na unasema miiko ya tiba ni kusema Uongo je sisi wote niwaongo sio kweli
wachawi tu hao baba
Sasa dini yen mbn mnaidharilisha
Wa cheh wako wapi?mbona nyote washirikina
Lakini anayoyasema huyu Sheikh ni taofuti na Alichosema Sule
Maelezo ya Sheikh ni kama Dr Sule ana shahishiwa mtihanj ambao hajafanya
Sule hajasema hayo mnayokosoa Sasa sijui mnaongelea nini
Tupe ushahidi kama kweli viumbe hawapendi mtu aseme ukweli
wachwwi tu baba hawana lolote wamekua na elimu za majini ambiwa wanapata mali kupitia majin. ni sunna ya nani hii wnayoifata
Mashekh wa Tanzania nini tatizo lenu haswa? Wala mumerogwa ? Aca makafiri waseme Uislamu ni dini yamajini 😅😅😅
Ukome. Makafri ninyie mnaoshikiana na shetani. Hamna haya
Nikipata mdaa NTA mwiiitaaa mtangazajiii😂😂😂😂😂😂
Huyo shee anafirwa yeye na majini yote anayoyatumia
uongo mtakatifu
Fata usiram unavosema usifate wasiramu wanavosema kwani mwanadamu nimwingi wakukosea
Hahahahahahahahha unapinga alafu hujui hata unachozungumza
Meshack salum Alisha ongea mmempinga leo mnaongea wenyewe
Yule mnyakigoma sio??
Huyo kijana anatafuta, ajulikane tu kupitia doctor Sule, na huenda akawa ni mwanafunzi boda, kwa sababu anavyomzungumzia doc Sule na mwenyewe dr Sule ni vitu viwili tofauti
Sasa huyu binladin unampinga Dr sule eti anatobowa siri, mbona wewe ndo unawaelekeza watu kabisa gisi yakufanya
Kiarabu kinampa tabu na anaviojitia anakipata kumbe hayumo.
Nyie wote matapeli mafisi pori nyie
Sasa huyu jamaa namshangaa mbona haongei mpaka aonge sule
Huyu ni mpumbavu tu wa kawaida, mara hafai kutoa siri na Dr. Sule ametoa, mara yy tena ametoa. Hamna chochote hapo ni kutafuta tu umaarufu ili apate wateja wa kuwatepeli kisha anataka kunasibisha huo ujinga wake na dini.
Sulle kasema anatumia NYOTA kama ulisikia na NYOTA sio shirk
Wanao mpenda sule nipeni like
Wote washirikina tu wacheni kuwasiliza,someni Quran surat Al jini
Wakristo msiji kujishebeduwa kama nyie watakatifu , wanani ambawo wanaofanya maajabu Kati ya wakristo nawaislam? Nyie mnajiita ma ma nabii kama example tibi Joshua, wakina Ezekiel wa Kenya nawengineo, hiyo miujiza inatoka wapi kama sio uchawi, nyie ndo msisemi kabisa
Hata Mimi nimesoma dini kijana sio wew tu Kuna Aya inasema na zizungumzieni nema alizokupeni Allah. Sule professional huku muelewa sule anazungumza vile ILI VIJANA tuamke na tusikate tamaa utajiri unawezekana alafu wewe unakuja kueka kama bifu Sasa hata Mimi niwe tajiri Leo nitasema nimepata kwanjia hii ili NAWEWE ufanye maamuzi YAKO sijaona kosa Kwa sule mimi
Huyu jamaaa ni mpuuz san anajifanya anajua acha majungu bin laden fanya yako watu kam hawa ndio wale weny husda na neema za watu
Ila mm naona maelezo yako na yadockt sule hayana tofaut sana
Kijana amekosa kumuelewa sule, na huyu mwana habari n mgonganishi sana na ukimchunguza n kama anajaribu kuwagonganisha sule na huyu kijana
Sasa kama mtu kageuza iPhone ili tuone macho 3 😅 huyu ni mtafuta kiki tu anataka kwenda mjini mm ni mkristu ila Sure,mazinge,waridi,shafi, n.k nawakubali huyu ni mtafuta kiki tu
Sasa simuongee Kama waganga na huache kuudhalikisha uislamu mbwa nyie
Jina twahara lenyewe lampa tabu kulitaja!
Naaamini sana bible. Yesu alisema. Siku zamwisho. Yaligizani yote yatawekwa kwenye mwanga. Yote yataoneka..Sasa ndimjue keamba hii dini. Niyakishetani. Japo namakanisa yapo yakishetani. Ila kikubwa. Someni biblia. Na muiamini. Mtaishi kwa raha sana shetani atawakimbia
Fanyeni mambo yenyu watanzania Au mmekosa ya kufanya allah ndio mjuzi
Umeonaaaa yaan mtu anakaa kufatilia Pete za watu marq sijui utajir wa mtu vinawahusu nn? Kam.yy anakwenda kinyume na aliyemuumba bas atakapokufa hamuend wote atakwenda kujibu kwa molla wake yy kam yy wtz fanyen kaz achen majungu kuchunguzana Allah anasema ktk Quran na wala msichunguzanechunguzane unakaaa unamuongeleq mtuuuuu jmn kam na ww unataka huo utajir wa viumbe si umwite maimuna akupe pesa 😂😂😂😂😂😂😂😂wabongo bhn kwa majungu hamjambo
Dr miti mingi husema anamiliki majini kumi na wana mpatia mbunga. Kwa kweli ukimuona anaeuzo. Je huyu sheikh anasemaje?
Anatafuta upepo kupitia dr sule
wachawi tu hao baba
Haka kajamaa nikama kanakunja hivi kanapoambiwa Kushindwa kimafanikio
MBONA INATAJWA ELIMU TU , HAISEMWI ELIMU GANI? HIYO SIO ELIMU YA UISLAM NI ELIMU YA KICHAWI
KUWENI WAWAZI
Nikweli kabisa
Hiyo ni uongo. Siyo wote hawasemi. Mbona kila mtu anajua wasani wa Marekani wanaabudu Lucifer pia wenyewe wanakiri hivo mu nyimbo zawo kwani wao siyo kuvunja masharti?
Hao wamarecan wameshawah kukuambia au ww unahisi tu😅😅😅
Hawa wasenge wanatengeneza content 😂
Dah uyu jamaa kasomea vzr na maelezo yake yamempita dr sule kwakweli endeleeni kumuhoji tupate vitu vipya
Nyote wewe na sule nyote washirikina unaasha ,ane tajirisha ALLAH PEKEE ,MBONA WEWE HUJAWA TAJIRI ,WAONGO WAKUBWA NYIE
mashetani wataibuka kweli kweli yan mashekhe wengi washirikina
Acha kuchanganya shekhe na wa Ganga kuwa na adabu kaka
@@SultanSaid-js9yj kak ni waganga tu ushawah kumsikia shkeh wa sunnaa akzungumzia uchawi kama huu
Mrikua hamjui. Kila kiongozi wakiislam. Wote lazima. Wawe hivyo. Njoooni kwa YESU
@@user-wg2gd2nl6c mdgo wangu kama utakufa bila kumuamin Allah na muhammad utaAngamia nakusihufate uislamu
Ulingo wenu sisi wakristo tunakaa pembeni wazee wa majini
Sio kila muislam ana majini shekhe wangu
Kwani useme amekosea umempa wewe
Nyie ni wajinga
huyu ndo katika wale ambao erimu Yao ndogo tusi shangae
Niliwahi sikia pindi jini anaweka makazi ndani ya mwili wa binadamu moja kwa moja anakua amekufuru na kuwa shetani
Sasa Sheikh anasema jini anaekeua mwilini na kukusaidia hii siwazi tayari makosa haya