Yule sister du ni muongo anatafuta Kiki , History nyingi zimeelezwa kuhusu mali za ushirikina mfano kama chumba fulani mtu yeyote hasiingie pasi na mwenyewe, na ndimo ndani yake uishi jini katika umbile la nyoka au la kunakuwapo na misukule au misukule , story nyingi ufanana , sasa huyo dada wazi ni muongo mtupu
Nimesoma kitu leo. "lazima umuasi Mungu pakubwa" Sasa naelewa hawa waasi waumini
Shekhe haifai kufundisha elimu hiyo ya kuwaita majini ni zambi tumtegemee Allah (sw)
Subhanallah 😳😳muokopeni Allah
Mchawi!
Sawa sawa saw sawa
Ustadh n we watuambiaje kuhusu Pete ulovaa..!! Nayo niya bahati? Sory
Sawa sawa nyiiiingi
Mimi ninahitaji mali nahitwa Djuma Akili naptikana nchini Burundi Bujumbura napenda kujihunga nawewe
Ya nini Hayo yote eti utamke Maneno mara Elfu Moja 😅
Naungana na huyu kijana, yule dada ni kiki hakuna jini anayeonekana msituburuze sie, kila siku mna majambo mapya! Allah awasamehe bure.
Sawasawa
Hii ni ukweli ama ni story tu za jaba
Majini wameweza this time uko bongo wana Kiki kuliko kina zuchu
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😊
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Hizi pesa ziko sawa kweli na wanzitoa wapi serikali iwachunguze
Serikali wenyewe ni wachawi tu.Wamewaficha ukweli.
Siku hizi hata majini wanatafuta Kiki mara unasikia free mans 😮Sas hivi tunaona wanatumia Nyoka 😂kumbe. si akina Nasibu na harmonaz ,bongo fleva
Ukute hawa na manyoka yao ni watoto wa wafuga majoka kwahiyo walishazoea kucheza nayo hayo halafu wanatupandisha presha sisi mitandaoni
Ni kiki ile sio kweli matangazo ya waganga ili mafala wapigwe
Hii story ni kick. Tumeona mama yake na baba yake ni vitu tofauti mama kfunguliwa biashara Kariakoo na ana gari. Baba anaishi maisha magumu mno shamba
Huyo shee anafirwa mkunduni yeye na majini wake
Wewe ni mganga mkweli.
Na Ruhani ni nn haswa
Shehe wangu wewe muogope Allah maneno yako yatawalibu w2 mtaani
Rangi nyeusi inawakilisha mamlaka
Hayo maneno yote mawili maana yake moja
Yule sister du ni muongo anatafuta Kiki , History nyingi zimeelezwa kuhusu mali za ushirikina mfano kama chumba fulani mtu yeyote hasiingie pasi na mwenyewe, na ndimo ndani yake uishi jini katika umbile la nyoka au la kunakuwapo na misukule au misukule , story nyingi ufanana , sasa huyo dada wazi ni muongo mtupu
Mmemuelewa huyu majini ni mashetani walishakula kiapo kuwa lazima tuwaharibu hawa twende nao motoni waislam ondokeni huko hakuna Mungu
Sio MAJINI wotee
@@HilalFakih ni majini wewe
Hujaelewa kijana