VIDEO: TAZAMA JAMII INAYOISHI KWA MATUNDA NA NYAMA,UTACHEKA MAJINA YAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2022

Комментарии • 452

  • @keiyalaitayo7903
    @keiyalaitayo7903 Год назад +16

    Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu

  • @maryamsaleh8438
    @maryamsaleh8438 Год назад +31

    🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!

  • @trendvibeke
    @trendvibeke Год назад +21

    This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤

  • @saljam82
    @saljam82 Год назад +29

    Influence is power...
    Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.?
    Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.

  • @mtabiriwanyotashekhadinans7494
    @mtabiriwanyotashekhadinans7494 Год назад +19

    Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc849 Год назад +5

    Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Год назад +18

    Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Год назад +5

    Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 Год назад +20

    😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe

    • @neemaruhembe6360
      @neemaruhembe6360 Год назад

      Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Год назад +13

    Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.

    • @palokuthereza2555
      @palokuthereza2555 Год назад +1

      Mtuache wachagga

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад +1

      Wachaga zero kabisa na wezi haoooo

    • @palokuthereza2555
      @palokuthereza2555 Год назад

      @@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani

    • @emmanuelzani2889
      @emmanuelzani2889 Год назад

      @@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.

    • @pus.4506
      @pus.4506 Год назад +1

      Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea

  • @Johny255Official
    @Johny255Official Год назад +1

    Love this from kenya

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Год назад +6

    Makarani wa sensa kazi mnayo!!

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Год назад +9

    Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад +10

    Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Год назад +1

      Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Год назад +3

      @@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.

    • @manyaraboy
      @manyaraboy Год назад

      MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@manyaraboy nakubali

  • @Willem_Mah
    @Willem_Mah Год назад +3

    Mandishi be like; jina lako nani?
    Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika.
    Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅
    Mwandishi; de ka brrizz!!!
    😁😆😆😆

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 Год назад +13

    Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Год назад

      Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.

    • @kasukukasuku3896
      @kasukukasuku3896 Год назад

      Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri

    • @mariammkwabi7101
      @mariammkwabi7101 Год назад

      😂😂

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Год назад +1

      Oya kausha

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Год назад +1

      Hahaaaa umetishaaq

  • @kachubemaulid717
    @kachubemaulid717 Год назад +1

    Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee

  • @peninamsuko4858
    @peninamsuko4858 Год назад +2

    Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Год назад +6

    hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu

  • @hadeeegahalmawali504
    @hadeeegahalmawali504 Год назад +1

    Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Год назад +2

    Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣

    • @mariamomar1735
      @mariamomar1735 Год назад +1

      Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +7

    Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍

  • @ruu6592
    @ruu6592 Год назад +1

    Mungu isaidie Africa

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Год назад +2

    Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Год назад +4

    Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Год назад

      Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Год назад +3

    Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 Год назад

      Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 Год назад +3

    Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?

  • @ignaszyinzile5094
    @ignaszyinzile5094 Год назад +1

    Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna

  • @maigecharles301
    @maigecharles301 Год назад

    Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 7 месяцев назад

    Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 Год назад +1

    Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu

  • @bujimucharles153
    @bujimucharles153 Год назад +2

    Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu

  • @leahally4618
    @leahally4618 Год назад +3

    Chibuu km chibuuu 💪💪💪

  • @Masai_kifimbo
    @Masai_kifimbo Год назад +1

    💚 TANZANIA

  • @eliassteven5575
    @eliassteven5575 Год назад +2

    Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥

  • @rich.kizza10
    @rich.kizza10 Год назад +2

    Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥

  • @tumaliciou8889
    @tumaliciou8889 Год назад +6

    Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂

    • @kelvinjustin8168
      @kelvinjustin8168 Год назад

      Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia

    • @mmn7480
      @mmn7480 Год назад

      @@kelvinjustin8168 dododonkoteaj

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 Год назад +2

    😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo

  • @pilabiliani9394
    @pilabiliani9394 Год назад +5

    Mama Samia angalia Raia wako hukuu😭

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Год назад

      Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa

  • @chanjamtagwa8565
    @chanjamtagwa8565 Год назад +1

    Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa

  • @ommythetruth5449
    @ommythetruth5449 Год назад +1

    MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Год назад

    Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +6

    Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣

  • @mohamedabdullahi8874
    @mohamedabdullahi8874 Год назад

    They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 Год назад +2

    Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @makereziron2918
      @makereziron2918 Год назад

      Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Год назад +1

    Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Год назад

    Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.

  • @mwanziadavid5570
    @mwanziadavid5570 Год назад +4

    Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣

  • @professorbenjamin1027
    @professorbenjamin1027 Год назад +1

    Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂

  • @zainakibiki3489
    @zainakibiki3489 Год назад

    Atarii sana kitoweo nyani!!!!

  • @majaliwajohn481
    @majaliwajohn481 Год назад +1

    Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁

  • @mariambwambo9885
    @mariambwambo9885 Год назад +1

    Jamn...nimewapenda🙈

  • @barakamwita1506
    @barakamwita1506 Год назад

    Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Год назад +2

    Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.

  • @faustinewilliam4908
    @faustinewilliam4908 Год назад +1

    Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 Год назад +3

    Jamii hii Ina kitu Cha kujinfunza kwasababu iko tofauti sana

  • @rashidmhenga285
    @rashidmhenga285 Год назад

    Hiii ni TANZANIA

  • @eriminewilsonpjo9540
    @eriminewilsonpjo9540 Год назад +1

    Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад +6

    Ni kama asili yao South Africa?!

  • @aboubaqarally9834
    @aboubaqarally9834 Год назад

    Hilo jina sasa mamae😁😁😁

  • @anordjoseph6644
    @anordjoseph6644 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Год назад

    😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +1

    Anajua kiswahili dogo

  • @athumanisalimu7771
    @athumanisalimu7771 Год назад

    Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba

  • @masolavachui1728
    @masolavachui1728 Год назад +4

    Tanzania kubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm Год назад +4

    Hayo majina hatari Sana ,,, lakini nimewapenda

  • @AbuubakarJuma-se9cp
    @AbuubakarJuma-se9cp 7 месяцев назад

    Dah ndoa

  • @mkobaofficial8037
    @mkobaofficial8037 Год назад +1

    Diamond Platinum

  • @wajawemaonlineTv
    @wajawemaonlineTv Год назад

    ruclips.net/video/CZX_KvtwUBc/видео.html
    MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 Год назад +1

    nilitamani kuiyona ndefu hii

  • @anuarinyangasa9414
    @anuarinyangasa9414 Год назад

    Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Год назад +1

    Diamond mpaka huku??? Duuuh!!!

  • @erastomkulu6829
    @erastomkulu6829 Год назад

    Kwahyo wapo inch gan xx

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Год назад

    Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 Год назад +1

    Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Subuhanallah..!!

  • @husseinguyo4929
    @husseinguyo4929 Год назад

    Nyie Tanzania muapenda kutaja mambo ya usanii tuu

  • @ananiamaduke2655
    @ananiamaduke2655 Год назад

    Wapo nchi gan

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +5

    Hapa ndio pale panaponifanya hata niwe katika hali gani nakumbuka tuu kuwa Mungu ni fundi. Angalia kwa nje tunaona lugha ngumu lakini wao huona wanaelewana.MUNGU wa mbinguni sifa na utukufu ni zako
    - wachaga ...aika RUWA mbee
    - wamasai .....Ashe ENGAI
    - wapare ....Havache MULUNGU
    - wameru ...,Haika IRUWA

  • @peterdotto4055
    @peterdotto4055 9 месяцев назад

    Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Год назад +7

    Jamani naomba watuonyeshe vitabu majina yao walivyoandika 😄 🤣 😂 😆 msitupige watu wa sensa

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 Год назад

    Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 Год назад +2

    Kazi kwenu makarani kwa majina hayoo😂😂😂😂 lazima mtudanganye..

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Год назад +1

    Huko ndo pakwenda kuolea sasa yani dume tatu za nyani na asari unachukua jiko raha sana achana na huku mpaka uwe na milioni mbili na zaid ndo uowe

    • @mwaneyseifseif3059
      @mwaneyseifseif3059 Год назад

      Nyani sasa kumpta inshu sio km zamani wanapita ovyo kijjn kwetu

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Год назад +1

    Diamond platnumz

  • @tedyokachu5013
    @tedyokachu5013 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 Год назад +1

    sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад

    Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂

  • @zakariazakaria3853
    @zakariazakaria3853 Год назад +1

    Dume 3 za Nyani

  • @carolinelema793
    @carolinelema793 Год назад +1

    Mungu anawaona dudugwe

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 Год назад +2

    Wapatiwe nyama sawai ila sasa kazi ipo kwenye uandishi wa majina yao🤣🤣🤣

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 Год назад +1

    hawa jamaa wanaweza kuwa wapiga mabiti ya mdomo wazuri sana wakatumika kwenye sanaa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Год назад

    NI TANZANIA HAPO JAMANI?

  • @zulfahamissi9266
    @zulfahamissi9266 Год назад

    Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣

  • @obadiahnkwale124
    @obadiahnkwale124 Год назад +3

    Kwenye kuandika majina sasa kpengere😅🙄😅

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 Год назад

    wanavitambulisho vya NIDA hao Millard Ayo hujauliza hilo swali

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Год назад +2

    Duduke ndo mayele wa apo kati😁

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Год назад

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan Год назад

    Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂