😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa
Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2
Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....
Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .
Hii ni hatari sana japo inachukuliwa kiurahisi. Tanzania yenye makabila zaidi ya 100 unawezaje kuweka mapatano na kabila moja juu ya matakwa yao na kudhani makabila mengine hayana mila zao pia? Mwisho wa siku huu ni ujumbe kwa watanzania ambao hudhani kuwa hawana sauti na uwezo wa kugomea mambo wanayo dhani hayawapendezi. Tatizo ni hofu yetu juu ya watawala na mgawanyiko wetu ambavyo hutumika kama mtaji kwa watawala.
Moses uko sahihi,ila kubali kuna Jamii zipo nyuma sana kielimu pia kiufahamu.Hawa watu hawakai sehemu moja ,huhama sehemu moja kwenda nyingine. Naimini ufahamu na elimu ya jamii yako iko juu sana kuliko hawa watu,pia serikali haitaji ata kutumia nguvu au ushawishi ,sababu mnajielewa
Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia
Na huku Muheza mtuletee maji ndio tutakubali kuhesabiwa kama hamleti maji, hahesabiwi mtu hapa. Maana mnatuletea zarau tu mbunge wetu mwana F A kapiga kelele wee lkn hamna jipya leo mnatuletea biashara za kutuhesabu ili iweje sasa ndio mtatuletea mikate au?!
Serekali haina dini ila watu wake. Iweje Serikali kutoa mali ya uma kufanyia matambiko kwa watu flani .Kila kabila likisema litambike yakwao je watapewa vyakufanyia hayo matambiko?mimi nafikiri tusirudi nyuma .mwacheni Mungu muumbaji atawale Tanzania. Tusihusishe taifa na matambiko viongozi wa dini mnasemaje
Badala wapeleke Maendeleo kama elimu, hospital,maji, barabara, wanapeleka nyama wanaona watu hao wajinga sijui, dhambi sana Yani. Wanaishi mazingira magumu sana alafu Kuna watu wanamiliki mali nyingi sana.
kama ulikuwa haujui, lengo la SENSA yani kuhesabiwa Serikali inataka ijue idadi yao ili iweze kuwatengea bajeti ya maendeleo, kama kuwapelekea huduma za afya, elimu, miundombinu na kadhalika. Kutokana na kujitenga kwa jamii hii kulingana na mila na tamaduni zao Serikali imeona itumie njia hiyo ya busara kuwabembeleza wajue idadi yao ili wawapelekee maendeleo. Jamii hii haikutengwa bali yenyewe ndiyo inayotaka iishi hivyo, mfano mzuri huyo msemaji wao badala ya kuomba waletewe maendeleo yeye anaomba manyoya ya mbuni ili wakafanye matambiko.
@@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe
Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu
TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.
Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe
Hao watu wa sensa sijawaona kabisaa nilimuona jamaa mmoja kakaa kwenye kibalaza akiuliza uliza watu 🤣🤣🤣 lakini mtaani kwetu sijaona hata mtu mmoja wa kuhesabu sensa 🤣 SENSA ilitakiwa iweke siku tatu au mbili. Siku moja ni uongo kwakweli.
Watu wanawabeza na kuwatukana jamii ya wahadzabe kwakuwa ndo mmeshikilia nchii na unyanyapaaji mkuu na kuitumia jamii hii kwa maslahi… yenu binafsi.. mnatoa maini bila kuheshimu asili ya watu… Mbona hatudai ajira na fursa mnazodai kwakupeana kwa kwakiukoo na kindugu na ukabila maofisini… leo kunavijna wa hamii wamesoma ila ajira kwao shida…. Mnawabeza na kuwadhalilisha pumbavu zenu
Hawa lazima wasikilizwe waletewe wanacho taka kwasabab wanaingiza mapato Kwa serikali wewe kabila lako linaingizia nin serikali Hadi usikilizwe unacho taka
namm sihesabiw had muniletee piza😍😍🏃♂️
Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu
😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa
Mhhh Yani mnavyojichekesha km vizur mariasili mnalishana kwa sababu ya sensa 😭😭mhhh hamna kazi amna bazi
Seeikali inatuuma nguvu nyingi ili watu wahesabiwe kama mtu hataki unaachana nae hii nchi siiyelewi kabisa
Mbn wanapelekesh selikal
Hawa wanabahati magu angekuwepo wangekula viboko wote saiv wanadeka
😄😄😄🤣🤣🤣
Sasa kama wanaingiza mapato Kwa serikali kupitia watalii Kila siku kwanini wasideke
Maake kwanza ncheke. Sasa na cc wakwere tuleteeni PEMBE za ndovu.. La cvyo mtahesabu mapapai
Mtasubir Sana mbuni yani mnsleta janja janja
😆😆🤣🤣kwaio hawa maboss wameamua kutumikisha serikali 😅😅😅 hya kimbieni mtafte mbuni
Kazi kwali kwali
Bimkubwa km wana linga nyama lete uk dar na mchele kilo 1 wata niesabu mm ad miti yangu😂😂😂
Nahitaji interview 🙌
Uhuru uliopitiliza 😂😂😂😂
Hawa nao wasiwaendekeze sana mbona huku tunahesabiwa bila hata ya nyama
Dahh tabu kwa kweli
Senza hoooyeeeeeeeeeee
😂😂😂😂😂Kazi ipo
leta MDHUNGU
Pigeni bakola hao wanaipa mashariti serikali je jamii zote zikitoa masharti itakuwaje?
Nashangaa Sna
Yani wanatishia serikali eti mbuni hahaha 🤣🤣🤣
Tanzania nchii yangu😁🙄
Naipenda
Ayo majina Yao wataandikwaje
Domdomdo
Hao ni wazee wa ndumba
😂😂😂 hao watu ni wagumu
😍😍
Elimu ndogo Sana, anaongea kwa ujasiri kabisa eti wanataka mbuni😂🤣😂🤣wenzenu tumehesabiwa kavu kavu huku!!
😀😀yaan km vile nchi Yao peke yao
wajinga kweli
Naomba wasiwaletee hizo mbuni.Maana amesema kuna mbadala wakujitibia magonjwa.Basi huo mpadala ndio watautumia wasitutie hasara ya mbuni.
Hahaaa nimefurahi,wahasabe hongela
@@medimisi6930 njoo namm nikupe happyy
Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu
Duuuh nilijua nimeona kila kitu kumbe bado aiseee🤣🤣🤣
Nyama nyama ya Kuku nyama 🤣🤣🤣ya nyumbu nyama 😂😂😂😂love Tanzania hakuna kuhesabiwa Bure
😂😂
Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2
Wanalazimisha Mbuni wajinga kabisaaa
Wapewe vyoo wapewe elimu
Kuna mwenye jezi ya utopolo
HIVI INGEKUWAJE JAMII ZA NCHI NZIMA ZINGEDAI NYAMA KABLA YA SENSA? NYUMBU WANGEISHA NA TUNGEENDA KUAZIMA KENYA 🤣🤣🤣
Oya Kuna jamaa mmoja anaitwa dudukwee sijamuona hao 😄😄😄
Cjomwona mtu anaitwa ndondoooo na oyeeee
@@samsoniitambu6230 😄😄😄 itakua wameenda kuwinda nyani
Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....
Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .
Heeeeeee hawa watu wanamajanga wanashariti kweli wanawapa mashariti kwa viongozi wao
Kwa uncle magu wangedai mbuni kweli?
Mtihani muandishi kua makini na hao watu. Watuu wanao penda nyama ni hatari kweli
Kazi kweli kweli
au wakikosa ao mbuni wawapelekee ata nyani tu ao jamaa mbona wanakulaga tu
Serikali inakwama sisi tukisema tunataka tembo mtareta
Acheni upumbavu msiue mbuni wetu Kwa ujinga wenu
Dudukwe Simuoni Yuko Wapi
Muwe na Shukrani Anapewa nyumbu anarazimisha apewe na Mbuni. Au mnajiona nyie peke yenu ndy mnahaki ya kutumia maliw asili za Tanzania.
Weunataka😂😂😂🙌
Kwa hiyo bila nyama wangewageuza watu Wa sensa kitoweo ama 😂kwanza walitaka mbuni Ila basi tu 🤣
Kumbe naww umemuerewa😂😂😂😂😂😂 hatari sana
🤣
🤣
Kwahio Yanga inawakilishwa hadi huko
Wasituchanganye hao wehu kama hawataki kuhesabiwa kavu kavu peleka JWTZ wenyewe watahesabiwa bila kelele wanataka kukwamisha mpango wa serilkali tu
😂😂😂😂
Na simngechukua na hao nyumbu halafu waendelee kusubiri mbuni dawa ..hawana asante
Umeanza uwongo sasa milladi
ruclips.net/video/Rrtc4BO-RTA/видео.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa
Hii ni hatari sana japo inachukuliwa kiurahisi.
Tanzania yenye makabila zaidi ya 100 unawezaje kuweka mapatano na kabila moja juu ya matakwa yao na kudhani makabila mengine hayana mila zao pia?
Mwisho wa siku huu ni ujumbe kwa watanzania ambao hudhani kuwa hawana sauti na uwezo wa kugomea mambo wanayo dhani hayawapendezi.
Tatizo ni hofu yetu juu ya watawala na mgawanyiko wetu ambavyo hutumika kama mtaji kwa watawala.
Moses uko sahihi,ila kubali kuna Jamii zipo nyuma sana kielimu pia kiufahamu.Hawa watu hawakai sehemu moja ,huhama sehemu moja kwenda nyingine. Naimini ufahamu na elimu ya jamii yako iko juu sana kuliko hawa watu,pia serikali haitaji ata kutumia nguvu au ushawishi ,sababu mnajielewa
kwahiyo hao nyumbu inakuaje sasa waludishwe ama🤪🤪🤪 hii nchi hii ya ovyoo sanaaa
Watakula nyama ila ngozi awana kazi n ayo
@@sadabahla7120 wakt wao wanataka mbuni wangu hujaelewa hapo,🤣🤣
Mziki awa jamaa si mchezo
Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa
Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa
Awa nao mxiueee wanajikuta special wachafuuu weusii mxiueee
Mimi nileteeni nyama ya twiga sijawahi kula jamani nasikia ni mtam sana.
wanadeka awa watu pori
Hahahhahaaaaaaaaaa hiii nchi bana..so na mimi nikisema nigome nipewe mkwanja itakuwaje😂😂😂😂😂😂...jaman achen kwanza nicheke halaf ntarudi kuangalia
Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍..
ruclips.net/video/keekDotg4uM/видео.html
Magoya - Manyoya kwaajili ya Tambiko.
Aisee! Twendeni tukatambikie mizimu.
Mbuni siwataisha sasa
Yombo
Wanadeka washenz
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka ujue
Tatizo mfumo wa maisha yao ni kuwinda kila uchao.
@@uledimtumwa2406 me maisha yangu kutafta hela....ko niidai serikali pesa ndo Inihesabu
@@laoiyadi1176 utafikiri wamefuga wao 😂
Hawa nawafaham vizr hata kanisani kama hakuna chakula hawatakuja kusali pia shuleni watoto bila chakula hawatasoma
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Hahahaha,kwa hiyo tumbo kwanza
Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia
Na huku Muheza mtuletee maji ndio tutakubali kuhesabiwa kama hamleti maji, hahesabiwi mtu hapa. Maana mnatuletea zarau tu mbunge wetu mwana F
A kapiga kelele wee lkn hamna jipya leo mnatuletea biashara za kutuhesabu ili iweje sasa ndio mtatuletea mikate au?!
Serekali haina dini ila watu wake. Iweje
Serikali kutoa mali ya uma kufanyia matambiko kwa watu flani .Kila kabila likisema litambike yakwao je watapewa vyakufanyia hayo matambiko?mimi nafikiri tusirudi nyuma .mwacheni Mungu muumbaji atawale Tanzania. Tusihusishe taifa na matambiko viongozi wa dini mnasemaje
Kaombe tu na wewe ufanye matambiko ya kikwenu! Unachoamini wewe si wanachoamini wao, imani za watu ziheshimiwe
Sasa baada ya kuomba vifaa vya kiafya , kielimu ,kimiundombinu hii ni kuambudu Miungu hapa ndipo wazungu wanatuachia
Tuwe na kiasi kila kitu kikosoa tu jamani
Kuma nyie
Du hatari
Mhhh kwaio kumbe wengine mnawaogopa mpaka muwaonge nyama ndio muwahesabu iyo kisayansi tunaita rushwaaa
ok sawa kamateni mbuni mutoe manyoya tu alafu muwawache waendelee na maisha yao
😂😂😂😂😂
Acheni upendeleo ao mbuni tuleteeni na sisi huku tuonje nyama yao sio tunaishia kuwaona kwenye TV 📺 tu
😂
TZ
Hii ndio Tz duuuuu,sijui kwann nimekubali kuhesabiwa bure
Mbona nchi wanao faidika nao niwachache
@@zulfaissa7814 wengine tuendelee kujikaza tu😭😭😭
Wahadzabe ndo mtoto wamwisho watanzania atatozo hawana kwahyo makabila mengine tujitahidi tukaoe huko wazee
Badala wapeleke Maendeleo kama elimu, hospital,maji, barabara, wanapeleka nyama wanaona watu hao wajinga sijui, dhambi sana Yani. Wanaishi mazingira magumu sana alafu Kuna watu wanamiliki mali nyingi sana.
kama ulikuwa haujui, lengo la SENSA yani kuhesabiwa Serikali inataka ijue idadi yao ili iweze kuwatengea bajeti ya maendeleo, kama kuwapelekea huduma za afya, elimu, miundombinu na kadhalika. Kutokana na kujitenga kwa jamii hii kulingana na mila na tamaduni zao Serikali imeona itumie njia hiyo ya busara kuwabembeleza wajue idadi yao ili wawapelekee maendeleo. Jamii hii haikutengwa bali yenyewe ndiyo inayotaka iishi hivyo, mfano mzuri huyo msemaji wao badala ya kuomba waletewe maendeleo yeye anaomba manyoya ya mbuni ili wakafanye matambiko.
sufa za awam hii jamani yaani bafala mseme tanzania oyee ati mama samia oyeee mmmha kwani ye ndio wa kwanza kuhesabu nsesa ?😏😏😏😏
Magoya ni manyoya🤣🤣🤣🤣🤣
Ambao na ss bado tujahesabiwa mje hata na bagga basi ili mchakato wa kuhesabiwa uende poa
Kipindi kile cha corona kwanini hamkuita waleta dawa huenda wangeponyesha watu hqhahhahhahhhahah jamani hao watu wapo sayari ya kivyao
Imeishaiyooo
Kombe Kuna wababe wasiotishia jera endapo hutoesabiwa
Ivi kweli Nchi italikubali hili la kichawi kutambika Nchi ikitambika kwa kuwaeshimu watambikaji na sisi tunaemueshimu Mungu hatukubali kutambika
Kama unavo heshimu imani yako heshimu pia na imani za watu wengine hakuna mwenye hakika ya kweli tunaemuabudu yupo ama laa
@@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe
Kwani hawa hawana pisi ?? 😂😂
Msije kunihesabu mpaka mniletee Simba ,,alaaaaa nataka nyama ya simba
msilete ujinga
Wakipewa Mbuni watatosheka?
Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu
Kundanganya watu na nyama ya siku moja ndo usikivu? Hawatu wanatakiwa wapate elimu iliwaachane na utamaduni wakizamani
Tozo kwenye Miamala na. Mabenki hajasikia?
Hawa wanasukilizwa Kwa sabab wanaingizia mapato serikali kuna makabila mengi ya asili Tanzania ila Ili ndo kabila marufu duniani
Sikivu na mitozo hiyo
Mie nmehesabiwa kwakutambua umuhimu wakuhesabiwa baridi kali saa moja na nkawa na amani acheni madeko nyie wahadzabe
TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.
Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe
Hao watu wa sensa sijawaona kabisaa nilimuona jamaa mmoja kakaa kwenye kibalaza akiuliza uliza watu 🤣🤣🤣 lakini mtaani kwetu sijaona hata mtu mmoja wa kuhesabu sensa 🤣 SENSA ilitakiwa iweke siku tatu au mbili. Siku moja ni uongo kwakweli.
Wanaendelea itakuwa jumla na siku 14
Make kwanza ncheke nyumbu washa kufa na mbuni wanatakiwa😂😂😂😂😂😂
Wapuuz kwel kwel hawa
Hahahaaaa! Manyara hoyee. Penda sn. Jiran zangu
Wapeni elimu na maendeleo na siyo wanyama
Watu wanawabeza na kuwatukana jamii ya wahadzabe kwakuwa ndo mmeshikilia nchii na unyanyapaaji mkuu na kuitumia jamii hii kwa maslahi… yenu binafsi.. mnatoa maini bila kuheshimu asili ya watu… Mbona hatudai ajira na fursa mnazodai kwakupeana kwa kwakiukoo na kindugu na ukabila maofisini… leo kunavijna wa hamii wamesoma ila ajira kwao shida…. Mnawabeza na kuwadhalilisha pumbavu zenu
Well said. Tunawatumia wananchi tunapowahitaji. Tukimaliza tunawabwaga
Hawa lazima wasikilizwe waletewe wanacho taka kwasabab wanaingiza mapato Kwa serikali wewe kabila lako linaingizia nin serikali Hadi usikilizwe unacho taka
Daaa serikal mfanye kituu
Wapatee elimu
Awaa waseng* ety atunaa kazii nayooo ningempaa bonge la ngumii