TAZAMA SHANGWE LA JAMII YA 'WAHADZABE' WAKIPEWA KITOWEO CHA NYAMA YA PORI ILI WAHESABIWA SENSA 2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 204

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 года назад +2

    namm sihesabiw had muniletee piza😍😍🏃‍♂️

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад +2

    Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu

  • @issakwisamwakisambwe4080
    @issakwisamwakisambwe4080 2 года назад +10

    😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa

  • @annavicter4326
    @annavicter4326 2 года назад +7

    Mhhh Yani mnavyojichekesha km vizur mariasili mnalishana kwa sababu ya sensa 😭😭mhhh hamna kazi amna bazi

    • @ludobudege1662
      @ludobudege1662 2 года назад

      Seeikali inatuuma nguvu nyingi ili watu wahesabiwe kama mtu hataki unaachana nae hii nchi siiyelewi kabisa

  • @godfreymsafiri6508
    @godfreymsafiri6508 2 года назад

    Mbn wanapelekesh selikal

  • @mosesshekalage597
    @mosesshekalage597 2 года назад +2

    Hawa wanabahati magu angekuwepo wangekula viboko wote saiv wanadeka

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 2 года назад

      😄😄😄🤣🤣🤣

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 2 года назад

      Sasa kama wanaingiza mapato Kwa serikali kupitia watalii Kila siku kwanini wasideke

  • @suleshsneider8545
    @suleshsneider8545 2 года назад

    Maake kwanza ncheke. Sasa na cc wakwere tuleteeni PEMBE za ndovu.. La cvyo mtahesabu mapapai

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 2 года назад +1

    Mtasubir Sana mbuni yani mnsleta janja janja

  • @agnessrichard253
    @agnessrichard253 2 года назад +3

    😆😆🤣🤣kwaio hawa maboss wameamua kutumikisha serikali 😅😅😅 hya kimbieni mtafte mbuni

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 2 года назад

    Kazi kwali kwali

  • @chalechaletv8658
    @chalechaletv8658 2 года назад +1

    Bimkubwa km wana linga nyama lete uk dar na mchele kilo 1 wata niesabu mm ad miti yangu😂😂😂

  • @milley7185
    @milley7185 2 года назад

    Nahitaji interview 🙌

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 2 года назад +2

    Uhuru uliopitiliza 😂😂😂😂

  • @suedseif6495
    @suedseif6495 2 года назад +1

    Hawa nao wasiwaendekeze sana mbona huku tunahesabiwa bila hata ya nyama

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 2 года назад

    Dahh tabu kwa kweli

  • @paulochesco8675
    @paulochesco8675 2 года назад

    Senza hoooyeeeeeeeeeee

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 года назад +3

    😂😂😂😂😂Kazi ipo

  • @theobathmsovela9574
    @theobathmsovela9574 2 года назад

    leta MDHUNGU

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 2 года назад

    Pigeni bakola hao wanaipa mashariti serikali je jamii zote zikitoa masharti itakuwaje?

  • @alextercisio
    @alextercisio Год назад

    Yani wanatishia serikali eti mbuni hahaha 🤣🤣🤣

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 2 года назад

    Tanzania nchii yangu😁🙄

  • @mabrouk565
    @mabrouk565 2 года назад

    Ayo majina Yao wataandikwaje

  • @rukikomuingi6026
    @rukikomuingi6026 2 года назад

    Hao ni wazee wa ndumba

  • @janetmlulla374
    @janetmlulla374 2 года назад +1

    😂😂😂 hao watu ni wagumu

  • @shannylarry5181
    @shannylarry5181 2 года назад +23

    Elimu ndogo Sana, anaongea kwa ujasiri kabisa eti wanataka mbuni😂🤣😂🤣wenzenu tumehesabiwa kavu kavu huku!!

    • @mumukinga8327
      @mumukinga8327 2 года назад +1

      😀😀yaan km vile nchi Yao peke yao

    • @khamismgunya4519
      @khamismgunya4519 2 года назад

      wajinga kweli

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 года назад

      Naomba wasiwaletee hizo mbuni.Maana amesema kuna mbadala wakujitibia magonjwa.Basi huo mpadala ndio watautumia wasitutie hasara ya mbuni.

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 года назад

      Hahaaa nimefurahi,wahasabe hongela

    • @khamismgunya4519
      @khamismgunya4519 2 года назад

      @@medimisi6930 njoo namm nikupe happyy

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад

    Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu

  • @milleniumjunior4206
    @milleniumjunior4206 2 года назад +14

    Duuuh nilijua nimeona kila kitu kumbe bado aiseee🤣🤣🤣

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 2 года назад +10

    Nyama nyama ya Kuku nyama 🤣🤣🤣ya nyumbu nyama 😂😂😂😂love Tanzania hakuna kuhesabiwa Bure

  • @alphoncemayala4214
    @alphoncemayala4214 2 года назад +5

    Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 года назад

    Wanalazimisha Mbuni wajinga kabisaaa

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 года назад

    Wapewe vyoo wapewe elimu

  • @kagarukifred7372
    @kagarukifred7372 2 года назад +1

    Kuna mwenye jezi ya utopolo

  • @joycepima1844
    @joycepima1844 2 года назад +3

    HIVI INGEKUWAJE JAMII ZA NCHI NZIMA ZINGEDAI NYAMA KABLA YA SENSA? NYUMBU WANGEISHA NA TUNGEENDA KUAZIMA KENYA 🤣🤣🤣

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад +3

    Oya Kuna jamaa mmoja anaitwa dudukwee sijamuona hao 😄😄😄

    • @samsoniitambu6230
      @samsoniitambu6230 2 года назад

      Cjomwona mtu anaitwa ndondoooo na oyeeee

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 года назад

      @@samsoniitambu6230 😄😄😄 itakua wameenda kuwinda nyani

  • @paschalurassa6648
    @paschalurassa6648 2 года назад +6

    Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 2 года назад

      Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Heeeeeee hawa watu wanamajanga wanashariti kweli wanawapa mashariti kwa viongozi wao

  • @samsonmwampamba6180
    @samsonmwampamba6180 2 года назад +3

    Kwa uncle magu wangedai mbuni kweli?

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Mtihani muandishi kua makini na hao watu. Watuu wanao penda nyama ni hatari kweli

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 2 года назад +11

    Kazi kweli kweli

  • @chinischinis6371
    @chinischinis6371 2 года назад

    au wakikosa ao mbuni wawapelekee ata nyani tu ao jamaa mbona wanakulaga tu

  • @ngwanamabande8036
    @ngwanamabande8036 2 года назад

    Serikali inakwama sisi tukisema tunataka tembo mtareta

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад

    Acheni upumbavu msiue mbuni wetu Kwa ujinga wenu

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa 2 месяца назад

    Dudukwe Simuoni Yuko Wapi

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 2 года назад +2

    Muwe na Shukrani Anapewa nyumbu anarazimisha apewe na Mbuni. Au mnajiona nyie peke yenu ndy mnahaki ya kutumia maliw asili za Tanzania.

    • @Baday_8
      @Baday_8 2 года назад +1

      Weunataka😂😂😂🙌

  • @Juke995
    @Juke995 2 года назад +5

    Kwa hiyo bila nyama wangewageuza watu Wa sensa kitoweo ama 😂kwanza walitaka mbuni Ila basi tu 🤣

  • @dimiledimile5634
    @dimiledimile5634 2 года назад

    Kwahio Yanga inawakilishwa hadi huko

  • @floranceluqman2951
    @floranceluqman2951 2 года назад +3

    Wasituchanganye hao wehu kama hawataki kuhesabiwa kavu kavu peleka JWTZ wenyewe watahesabiwa bila kelele wanataka kukwamisha mpango wa serilkali tu

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703 2 года назад +2

    Na simngechukua na hao nyumbu halafu waendelee kusubiri mbuni dawa ..hawana asante

  • @muuhviva241
    @muuhviva241 2 года назад

    Umeanza uwongo sasa milladi

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz 2 года назад

    ruclips.net/video/Rrtc4BO-RTA/видео.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 2 года назад +1

    Hii ni hatari sana japo inachukuliwa kiurahisi.
    Tanzania yenye makabila zaidi ya 100 unawezaje kuweka mapatano na kabila moja juu ya matakwa yao na kudhani makabila mengine hayana mila zao pia?
    Mwisho wa siku huu ni ujumbe kwa watanzania ambao hudhani kuwa hawana sauti na uwezo wa kugomea mambo wanayo dhani hayawapendezi.
    Tatizo ni hofu yetu juu ya watawala na mgawanyiko wetu ambavyo hutumika kama mtaji kwa watawala.

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 2 года назад

      Moses uko sahihi,ila kubali kuna Jamii zipo nyuma sana kielimu pia kiufahamu.Hawa watu hawakai sehemu moja ,huhama sehemu moja kwenda nyingine. Naimini ufahamu na elimu ya jamii yako iko juu sana kuliko hawa watu,pia serikali haitaji ata kutumia nguvu au ushawishi ,sababu mnajielewa

  • @juniorjuma2562
    @juniorjuma2562 2 года назад +4

    kwahiyo hao nyumbu inakuaje sasa waludishwe ama🤪🤪🤪 hii nchi hii ya ovyoo sanaaa

    • @sadabahla7120
      @sadabahla7120 2 года назад

      Watakula nyama ila ngozi awana kazi n ayo

    • @juniorjuma2562
      @juniorjuma2562 2 года назад

      @@sadabahla7120 wakt wao wanataka mbuni wangu hujaelewa hapo,🤣🤣

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 2 года назад

    Mziki awa jamaa si mchezo

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 2 года назад

    Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 2 года назад

    Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa

  • @kulwarahmu5031
    @kulwarahmu5031 2 года назад +1

    Awa nao mxiueee wanajikuta special wachafuuu weusii mxiueee

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 2 года назад +1

    Mimi nileteeni nyama ya twiga sijawahi kula jamani nasikia ni mtam sana.

  • @praygodijiko4969
    @praygodijiko4969 2 года назад

    wanadeka awa watu pori

  • @tramyspinkiebee3536
    @tramyspinkiebee3536 2 года назад +1

    Hahahhahaaaaaaaaaa hiii nchi bana..so na mimi nikisema nigome nipewe mkwanja itakuwaje😂😂😂😂😂😂...jaman achen kwanza nicheke halaf ntarudi kuangalia

    • @donmoofmmawaidhaaudio4508
      @donmoofmmawaidhaaudio4508 2 года назад

      Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍..
      ruclips.net/video/keekDotg4uM/видео.html

  • @sirizamwili
    @sirizamwili 2 года назад +6

    Magoya - Manyoya kwaajili ya Tambiko.
    Aisee! Twendeni tukatambikie mizimu.

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 2 года назад

    Mbuni siwataisha sasa

  • @BenjaminCannansichali
    @BenjaminCannansichali 6 месяцев назад

    Yombo

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 года назад +7

    Wanadeka washenz

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @laoiyadi1176
      @laoiyadi1176 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂nimecheka ujue

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 2 года назад

      Tatizo mfumo wa maisha yao ni kuwinda kila uchao.

    • @hollymore4904
      @hollymore4904 2 года назад

      @@uledimtumwa2406 me maisha yangu kutafta hela....ko niidai serikali pesa ndo Inihesabu

    • @hollymore4904
      @hollymore4904 2 года назад

      @@laoiyadi1176 utafikiri wamefuga wao 😂

  • @charlessomeke8992
    @charlessomeke8992 2 года назад +1

    Hawa nawafaham vizr hata kanisani kama hakuna chakula hawatakuja kusali pia shuleni watoto bila chakula hawatasoma

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 года назад +4

    Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia

  • @dogodogo595
    @dogodogo595 2 года назад +1

    Na huku Muheza mtuletee maji ndio tutakubali kuhesabiwa kama hamleti maji, hahesabiwi mtu hapa. Maana mnatuletea zarau tu mbunge wetu mwana F
    A kapiga kelele wee lkn hamna jipya leo mnatuletea biashara za kutuhesabu ili iweje sasa ndio mtatuletea mikate au?!

  • @magrethmmbaga7098
    @magrethmmbaga7098 2 года назад

    Serekali haina dini ila watu wake. Iweje
    Serikali kutoa mali ya uma kufanyia matambiko kwa watu flani .Kila kabila likisema litambike yakwao je watapewa vyakufanyia hayo matambiko?mimi nafikiri tusirudi nyuma .mwacheni Mungu muumbaji atawale Tanzania. Tusihusishe taifa na matambiko viongozi wa dini mnasemaje

    • @titusmisalaba1971
      @titusmisalaba1971 2 года назад

      Kaombe tu na wewe ufanye matambiko ya kikwenu! Unachoamini wewe si wanachoamini wao, imani za watu ziheshimiwe

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 2 года назад +2

    Sasa baada ya kuomba vifaa vya kiafya , kielimu ,kimiundombinu hii ni kuambudu Miungu hapa ndipo wazungu wanatuachia

  • @ethanethan4437
    @ethanethan4437 2 года назад

    Kuma nyie

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 2 года назад

    Du hatari

  • @annavicter4326
    @annavicter4326 2 года назад +1

    Mhhh kwaio kumbe wengine mnawaogopa mpaka muwaonge nyama ndio muwahesabu iyo kisayansi tunaita rushwaaa

  • @doza1031
    @doza1031 2 года назад +2

    ok sawa kamateni mbuni mutoe manyoya tu alafu muwawache waendelee na maisha yao

  • @nasramkungwa3647
    @nasramkungwa3647 2 года назад

    Acheni upendeleo ao mbuni tuleteeni na sisi huku tuonje nyama yao sio tunaishia kuwaona kwenye TV 📺 tu

  • @BenjaminCannansichali
    @BenjaminCannansichali 6 месяцев назад

    😂

  • @sabastianraymond.6383
    @sabastianraymond.6383 2 года назад

    TZ

  • @ibrahimabel8360
    @ibrahimabel8360 2 года назад +2

    Hii ndio Tz duuuuu,sijui kwann nimekubali kuhesabiwa bure

    • @zulfaissa7814
      @zulfaissa7814 2 года назад +1

      Mbona nchi wanao faidika nao niwachache

    • @ibrahimabel8360
      @ibrahimabel8360 2 года назад +1

      @@zulfaissa7814 wengine tuendelee kujikaza tu😭😭😭

  • @ramatandula7734
    @ramatandula7734 2 года назад

    Wahadzabe ndo mtoto wamwisho watanzania atatozo hawana kwahyo makabila mengine tujitahidi tukaoe huko wazee

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 2 года назад

    Badala wapeleke Maendeleo kama elimu, hospital,maji, barabara, wanapeleka nyama wanaona watu hao wajinga sijui, dhambi sana Yani. Wanaishi mazingira magumu sana alafu Kuna watu wanamiliki mali nyingi sana.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 года назад

      kama ulikuwa haujui, lengo la SENSA yani kuhesabiwa Serikali inataka ijue idadi yao ili iweze kuwatengea bajeti ya maendeleo, kama kuwapelekea huduma za afya, elimu, miundombinu na kadhalika. Kutokana na kujitenga kwa jamii hii kulingana na mila na tamaduni zao Serikali imeona itumie njia hiyo ya busara kuwabembeleza wajue idadi yao ili wawapelekee maendeleo. Jamii hii haikutengwa bali yenyewe ndiyo inayotaka iishi hivyo, mfano mzuri huyo msemaji wao badala ya kuomba waletewe maendeleo yeye anaomba manyoya ya mbuni ili wakafanye matambiko.

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад

    sufa za awam hii jamani yaani bafala mseme tanzania oyee ati mama samia oyeee mmmha kwani ye ndio wa kwanza kuhesabu nsesa ?😏😏😏😏

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 года назад +2

    Magoya ni manyoya🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 года назад

    Ambao na ss bado tujahesabiwa mje hata na bagga basi ili mchakato wa kuhesabiwa uende poa

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 2 года назад

    Kipindi kile cha corona kwanini hamkuita waleta dawa huenda wangeponyesha watu hqhahhahhahhhahah jamani hao watu wapo sayari ya kivyao

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 2 года назад +2

    Imeishaiyooo

  • @johnmatiko5086
    @johnmatiko5086 2 года назад

    Kombe Kuna wababe wasiotishia jera endapo hutoesabiwa

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 2 года назад +1

    Ivi kweli Nchi italikubali hili la kichawi kutambika Nchi ikitambika kwa kuwaeshimu watambikaji na sisi tunaemueshimu Mungu hatukubali kutambika

    • @chihomaempire8850
      @chihomaempire8850 2 года назад

      Kama unavo heshimu imani yako heshimu pia na imani za watu wengine hakuna mwenye hakika ya kweli tunaemuabudu yupo ama laa

    • @Kanyawela
      @Kanyawela 2 года назад

      @@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe

  • @dyanamotz
    @dyanamotz 2 года назад +1

    Kwani hawa hawana pisi ?? 😂😂

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 2 года назад

    Msije kunihesabu mpaka mniletee Simba ,,alaaaaa nataka nyama ya simba

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 2 года назад +1

    msilete ujinga

  • @mirajiramadhanikyande6173
    @mirajiramadhanikyande6173 2 года назад +1

    Wakipewa Mbuni watatosheka?

  • @aristidestibaijuka3428
    @aristidestibaijuka3428 2 года назад +1

    Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 года назад

      Kundanganya watu na nyama ya siku moja ndo usikivu? Hawatu wanatakiwa wapate elimu iliwaachane na utamaduni wakizamani

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 2 года назад

      Tozo kwenye Miamala na. Mabenki hajasikia?

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 2 года назад

      Hawa wanasukilizwa Kwa sabab wanaingizia mapato serikali kuna makabila mengi ya asili Tanzania ila Ili ndo kabila marufu duniani

    • @yohanasport5929
      @yohanasport5929 2 года назад

      Sikivu na mitozo hiyo

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 2 года назад

    Mie nmehesabiwa kwakutambua umuhimu wakuhesabiwa baridi kali saa moja na nkawa na amani acheni madeko nyie wahadzabe

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 2 года назад

    TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 2 года назад

      Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe

  • @donmoofmmawaidhaaudio4508
    @donmoofmmawaidhaaudio4508 2 года назад

    Hao watu wa sensa sijawaona kabisaa nilimuona jamaa mmoja kakaa kwenye kibalaza akiuliza uliza watu 🤣🤣🤣 lakini mtaani kwetu sijaona hata mtu mmoja wa kuhesabu sensa 🤣 SENSA ilitakiwa iweke siku tatu au mbili. Siku moja ni uongo kwakweli.

    • @divine6145
      @divine6145 2 года назад

      Wanaendelea itakuwa jumla na siku 14

  • @salama1113
    @salama1113 2 года назад

    Make kwanza ncheke nyumbu washa kufa na mbuni wanatakiwa😂😂😂😂😂😂

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 2 года назад +1

    Wapuuz kwel kwel hawa

  • @adelaanteri337
    @adelaanteri337 2 года назад

    Hahahaaaa! Manyara hoyee. Penda sn. Jiran zangu

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 года назад +6

    Wapeni elimu na maendeleo na siyo wanyama

  • @shanisshow1864
    @shanisshow1864 2 года назад +7

    Watu wanawabeza na kuwatukana jamii ya wahadzabe kwakuwa ndo mmeshikilia nchii na unyanyapaaji mkuu na kuitumia jamii hii kwa maslahi… yenu binafsi.. mnatoa maini bila kuheshimu asili ya watu… Mbona hatudai ajira na fursa mnazodai kwakupeana kwa kwakiukoo na kindugu na ukabila maofisini… leo kunavijna wa hamii wamesoma ila ajira kwao shida…. Mnawabeza na kuwadhalilisha pumbavu zenu

    • @Mimi-wf7mb
      @Mimi-wf7mb 2 года назад

      Well said. Tunawatumia wananchi tunapowahitaji. Tukimaliza tunawabwaga

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 2 года назад

      Hawa lazima wasikilizwe waletewe wanacho taka kwasabab wanaingiza mapato Kwa serikali wewe kabila lako linaingizia nin serikali Hadi usikilizwe unacho taka

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 года назад

    Daaa serikal mfanye kituu
    Wapatee elimu

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 года назад

    Awaa waseng* ety atunaa kazii nayooo ningempaa bonge la ngumii