MAAJABU: DUKA LISILO NA MLANGO WA MBAO WALA CHUMA NA HAKUNA ANAEJARIBU KUIBA "USIKU NAZIBA NA PAZIA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #Ripotizamillardayo #AyoTV

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 года назад +4

    Mashaallah. Allah atakujaalia utaswali pia. Jitahidi uswali sala tano.

  • @giovannygracious3434
    @giovannygracious3434 4 года назад +7

    Bwana asipolinda Mji waulindao wafanya kazi bure!! Unaweza ukawa na mageti makubwa na kufuli za alam na bado wez wakavunja na kuiba!! Unaweka turubai unafunga Duka lako unaenda nyumban unalala usingiz mtammmmm kabisaaa Bwana analinda!! Barikiwa mnoooo kaka kikubwa Iman yako na Mungu wako!! Mungu akuinue mnooo katika viwango vya juu.

  • @fitnesslifestyle.7859
    @fitnesslifestyle.7859 4 года назад +31

    Jamaa ana imani kubwa sana ndani yake afu ni mkweli, hope wengi wetu tutajifunza kuhusu imani kupitia interview hii. Big up Bro. Millard

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 года назад +3

    Kijana chapa kazi uko mbali sana kidunia na Allaah aku ongoze zaidi katika twaa yake uapate kumsujudia.

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 4 года назад +7

    "Sauti y mke wangu uisikie ww...iyo haipo" hata dini inakataz...safi kijana hapa umejali thamani y mke na mwanamke

  • @Intertainment-z1x
    @Intertainment-z1x Год назад +1

    Kweli mungu ana nguvu sana bro

  • @prudencecharles8980
    @prudencecharles8980 4 года назад +10

    Hata Mimi naamini sane mungu he can move mountains...i just love his faith mungu na amubariki

  • @suncheofficial5827
    @suncheofficial5827 4 года назад +11

    Huyu jamaa toka dk 1 ya interview kamtaja mungu zaidi mara 20 imani kubwa san

  • @tawfiqahmadbakari4314
    @tawfiqahmadbakari4314 4 года назад +1

    Jamaa ana maconfidence hatr

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Год назад

    Nitakuja Nalingu nikuone kakangu Inshallah si mchezo salut kwako.

  • @violetpaulsen1741
    @violetpaulsen1741 3 года назад +1

    Tumuamin sana Mungu ndugu zangu

  • @hajielmi7518
    @hajielmi7518 4 года назад +12

    Anatafuta mtu amtoe kishipa😂😂😂

  • @sweeteverline4592
    @sweeteverline4592 4 года назад +3

    Hyo inaitw guswaa unaswee jamaa anaaakili n anasiriii sanaaaa hkun mtu ataiba km hajakuta kanaswa na ulimbooo😂😂😂

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas9885 4 года назад +1

    milard kweli unatupasha habari sina cha kukupa ila ...# mungu atakupandisha viwangoooooo

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 4 года назад +2

    Ishi uone mengi ya dunia.
    Millard Ayo.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 4 года назад +9

    Kama umesikia SISWARI twende sawa😂

  • @saidabdullah7273
    @saidabdullah7273 4 года назад +65

    Maskini hakujiombea nafsi yake ameomba maji na shule ili viwafae jamii yote mungu amuongoe yaarab

  • @MassoudSuleyman
    @MassoudSuleyman 6 месяцев назад

    Duuuuu iloduka lingekuwa kinuni Zanzibar 🙆🙆🙆🙆🙆🙆

  • @danielwilfred2609
    @danielwilfred2609 4 года назад +11

    Mwiz mmja kasha like video baada yakusikia hamn ushrkna apo 😁😁

  • @Chinewlaroi
    @Chinewlaroi Год назад

    iyo Noma sana

  • @mshindinewtvshow705
    @mshindinewtvshow705 4 года назад +2

    Safi sana huyu jamaa

  • @halimams2127
    @halimams2127 4 года назад +1

    mtwara sipamchezo kaka hongera San ila kama huseali huwez kua naimaniamungu sema ukweli uchawiii

    • @najat.n2390
      @najat.n2390 4 года назад

      Yani nilikuwa nimependa ila niliposikiya km anazaidi ya myaka 6...bila ku haswali daaaaaaaah nimefika namchukiya.bora asingesema sala ndoo kila kitu kwa binadam

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 4 года назад +3

    Huyu kuna siku atakuta magazeti2 ktk hicho kichochoro, mwache ajifanye anaimani ya Mungu. Mungu anasema kwanza anza kujilinda namimi ndio nitakulinda, sasa wewe una-acha uchochoro wako wazi then unasema unamtegemea Mungu.

  • @munnawwaryaqub8524
    @munnawwaryaqub8524 4 года назад

    Hata yesu alisema imani yako ndo itakuponya ndo hii sasa, na haya ndo maisha tunayo paswa kuyaishi ya uaminifu, Allahu akulinde

  • @mukamunanahusna8186
    @mukamunanahusna8186 4 года назад +2

    Mungu akulipe Kila la kheri kwana unatukumbusha kumuamini Allah mwenyewe

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 года назад +6

    Bwana asipolinda nyumba walindao wakesha bure...hii imani tunaihitaji

  • @rashidimpapaya9991
    @rashidimpapaya9991 4 года назад +1

    Mpk home ayo Tv noma sna kaz mzur

  • @mtashambazibwa
    @mtashambazibwa 4 года назад +26

    Uyu jamaa anatisha atawezi lazima waogope😂😂😂😂

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 4 года назад

    Hatari sanaaa

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 4 года назад +5

    Huyu jamaa anasema anapenda apple.sasa sifa ya kwanza ya genius ni kupenda apple,yaani ana sifa zote za kuwa miongoni mwa watu wenye akili.

  • @mwanakombosuleiman6161
    @mwanakombosuleiman6161 4 года назад +1

    Nimejifunza kitu kupitia huu mzee mungu azidi kukulinda

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 4 года назад +9

    Na vijana wengi mtwara mambo ya wizi baadhi ya sehemu kuko safe sana wanalidhika nakidogo wanachapaka kazi sana biashara za korosho

  • @omaryabdallah1086
    @omaryabdallah1086 3 года назад

    Mmh apo ni gusa unase ila mungu yupo jamn na ndo mlinz wetu daima.

  • @saidbanga
    @saidbanga 4 года назад +11

    UKIJIAMINI WOGA HUBADILIKA KUWA USHUJAAA...!

  • @mariamelias1915
    @mariamelias1915 4 года назад +8

    Mmmh jiganga hilo

    • @khadijahussen434
      @khadijahussen434 4 года назад

      Hahaha

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Mtu husali huyo mungu atakujaje kukulindia duka bila kumuomba?

    • @mossomar5189
      @mossomar5189 4 года назад

      Hahaaaaaaa,kweli KBS,on a hata msura wake.on a na mjengo wake ule,halafu hata nyumba anayo lala haina madirisha

    • @nestrysondegod3499
      @nestrysondegod3499 4 года назад

      @Elias imani haihusiani na Na kusali

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 года назад

    Millard ww kiboko yao nakukubali sana broo big up

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 4 года назад

    namkubali sanaaa millard Ayo

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 4 года назад +4

    Imani inaweza kuhamisha Milima! Ila angekuja kufungua duka kko aone.

  • @elizachota6361
    @elizachota6361 4 года назад

    Millardayo siku hizi kofia huvai wew una kichogo kizuri
    Meifurahia hii sana asa kuhusu biashara ukikopa mkopo fanya biashara sio ujenge banda🤗

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 2 года назад +3

    Hamim sasa uswali bila swala unamuuzi Mungu...Allah hapendi mtu asiependa ibada....lengo tuliloumbiwa ni kumuabudu Allah...S.W....

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 4 года назад +43

    🤣🤣🤣🤣🤦🏽‍♂️ mlinzi ninaye Mwenyezi Mungu 🙏 Allah akupe nguvu na iman thabit

    • @brobabuu3973
      @brobabuu3973 4 года назад +4

      Kwa yeyote anayesoma hii..
      nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!

    • @erickevarist8738
      @erickevarist8738 3 года назад

      Hata mungu anasema usimruhusu ibilisi nafasi wewe

  • @winnermariah
    @winnermariah 4 года назад +7

    Huyu Kaka 🙌🙌Imani yake Kali sana na MUNGU anampenda mnoo..ila Aanze Kusali Abarikiwe Zaidi

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +1

    Millard umepatikana mpaka anataka kurudia maswali eeeeeh hii kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Huyo MTU msijaribu kumuibia aisee atakuja kuwatoa mabusha

  • @mtakamaonline7748
    @mtakamaonline7748 4 года назад

    Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.

  • @Mjingafaki
    @Mjingafaki 4 года назад +4

    Jamaaa kanichekesha sanaa majibu yake

  • @jjdamimi7234
    @jjdamimi7234 4 года назад +2

    Sasa ukitaka kujua tofaut ya namna yakuhoj watu nenda kaangalie mahojiano ya wasaf tv bana w wale watu wanamaswal yakijinga sana ila millad n konki

  • @dumelatembo6802
    @dumelatembo6802 4 года назад +56

    HII IMANI NI KALI SANA NAAMINI MUNGU YU MWEMA NA anapotajwa na anaye mwamini humbariki mara dufu.

  • @swahibsinjo8439
    @swahibsinjo8439 4 года назад +5

    Kuna kitu ya pazia huyu jamaa anatudanganya, hata Mungu anataka ujisaidie kwanza ili akusaidie sasa wewe jaribu kuacha milango wazi halafu useme Mungu atakulindia, kama ndo hivyo tusingekuwa tunaenda makazini Mungu anatudondoshea tu biriani gheto!!!

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 2 года назад +1

    No,that guy His living in the village,,,Kwakijijini binadam haziwezi iba tu ,,kijijini kunaraha sana

  • @mgendimussa7224
    @mgendimussa7224 4 года назад +2

    Maisha yana siri kubwa sana hata mtu afanye nini jambo la kwanza utasikia namuachia Mungu kwani Mungu ndo kimbilio lao ila matendo yao ni siri kubwa sn

  • @mbarakabdallah4631
    @mbarakabdallah4631 4 года назад +4

    Hyu jamaa anajielewa..ila kwenye ibada ndio mtihani...Allah swt amuongoze ktk hili.

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile6021 4 года назад +9

    Uyu Jamaa anaailkili Sana na wamekutana wote Akil mingi 😂😂😂

  • @eliyasanga6374
    @eliyasanga6374 4 года назад

    Millardiayo umenifurahisha sana leo una machale 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson2362 4 года назад +30

    Kuna kitu kaongea huyu jamaaa...."Hatua ya kesho huijui na kikubwa kumuamini sana Mungu" aseee hili swala ni kubwa sana maana huyu mjuba kaelewa kwamba Mwenyezi Mungu ndie mlizi wetu sana wa kila siku....
    may our almight one God bless this Guy truly! maana kama kweli amekiri kwa ndimi zake kwamba Mungu yupo na ndiye mlinzi wetu sisi wanaadam basi Namuombea sana azidi kumfanikisha.
    Inshallah!!!

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 года назад +2

    Majibu mazari barikiwa sana

  • @nalyismail9915
    @nalyismail9915 4 года назад +4

    Jamaa uko vizuri Ana jiamini Sanaa,kubwa kulikoo sio muongo anaongea ukweliii wenginee wanacheka halii ya kuwa hata msikitin ama kanisani hawajawahii fikaa miaka mingi zaidi yakee,imanii tuu kuamini kwa kila jamboo kuwa mungu yupoo na sio kila anae swalii ndio msafii Sana kuliko wenginee mungu tuu ndio anajuaa

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 года назад +2

    Yaani Unaweza ukaswali sana Na usiingie mbinguni lakini Huyu asiyeswali akaingia mbinguni sababu kaongea Kweli Toka moyoni,Yaani Ni msafi hana makorokoro kabisaaa

  • @allyhussein6363
    @allyhussein6363 4 года назад +78

    Angekuja kufungua uku mtaan kwetu. Nadhani akil ingemkaa xawa tu. Wangap wanakubal kuwa mtaan kwao amnaga uzembe kama uwo? Like hapa na ku comment

  • @alliymohamedalliy6524
    @alliymohamedalliy6524 Год назад

    🤦‍♂️ Samahani hii video ndo naiyona leo,naomba nitimize ndoto za huyu mtu.nipo Zanzibar nimkaaz wa huku na Nahitaji aweze kuyafikia maisha yke anayo yahitaji. MILAD Wasiliana nami kwanjia ya email .Ahsante 🙏

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 4 года назад +49

    Millard uko vizuri utangazaji: nice questions flow. Mtangazaji mwingine apate mtu anajibu kimkato hivi interview Haizidi dakika moja.

  • @paradisefelix1218
    @paradisefelix1218 4 года назад +1

    Duuh! Noma kwa dunia hii ukodi duka bila mlango ni majanga utaibiwa mpaka utachukia biashara bado nashangaa hilo duka na musika anasema haswari lkn duka linalindwa na Mungu aise kweli Mungu yupo kwa msiojua km Mungu yupo duuuh! Ila kaka ungefunguka tu tujue ulichokifanya mpaka ujiamini hivyo kuacha duka wazi duuu!

  • @d.m453
    @d.m453 4 года назад +23

    Ujasiri wake umewafanya watu kuwa waoga wanahisi kunanguvu ya ziada,wanashindwa kuiba.

    • @lizzydiy4590
      @lizzydiy4590 4 года назад

      Mmmh sio rahis kua na ujasir huo pengne Kuna kityuu

    • @mustaphyassin9743
      @mustaphyassin9743 4 года назад +1

      Debora nicheki kwa no 0629908339

    • @d.m453
      @d.m453 4 года назад

      @@mustaphyassin9743 Kuna nini?

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 года назад +1

    Karibu zanzibar wapo wanao fanya ibada lkni ktk biashara zao hawamuamini Mungu wanafanya ushirikina wapo wanaofnya ibada maisha yao hawamwamini Mungu wenye imani mbovu watakuchukulia vingine ila mlizi wa anaefanya ibada na asiefanya ibada Mungu peke yke

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 года назад +76

    Hyu jamaa inawezekana hana lolote ila kwakua sio kawaida watu wanaogopa2 alf ana akili nyingi sana

  • @tanzaniaone2
    @tanzaniaone2 4 года назад +11

    Mbona hao jamaa wakisikia anasema anamuamini Mungu WANAANZA KUCHEKA HAPO KUNA KITU.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @janerosempeta5662
      @janerosempeta5662 4 года назад +1

      umeona kumbe

    • @mhojamsafiri2273
      @mhojamsafiri2273 4 года назад

      Mwenyewe kasema wanajua kwamba nalala nyumba isiyo na madilisha na mamilion🤣🤣🤣🤣

  • @Angobiztz
    @Angobiztz 4 года назад +1

    Millard Ayo moja ya interview kali ulizowahi kufanya na watu hii ni mojawapo kwa sababu umekutana na mtu ambaye yupo serious na anachozungumza anamaanisha kweli. Hata wewe mwenyewe imekufanya uwe mtulivu sana na kumsikiliza kwa umakini sana

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 4 года назад +54

    Wezi lazima wanamjua uyu jamaa ivyo wanaogopa kuingia kwenye 18 zake

  • @jihadabdi7754
    @jihadabdi7754 4 года назад +3

    Nampenda sana huyu msela Millard ayo big up bro unamaswali yakueleweka

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 года назад

    Nakhofia ni mshirikina ingawa anapinga lkn kama ningekua mm ningemlisha kiapo asidanganye watu.
    1) Twariqu swalaa kwa muda wa miaka yote hiyo na tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swalaa. Na ww unasema unamuamini Allah! Unamuamini vp wakati hata humshukuru kwa neema alizokupa?
    2) Duka linatoka watu wanalipa, korosho mpaka milion 10 lkn mtaji wa kwenda Znz huna. Hio ni moja ya sign ya washirikina hua muflis kwa kuendekeza shirk/mihanga na mengineyo.
    3) Change usiku hutoi.
    Ndugu yangu muogope Allah, Maisha ni mafupi na unaeza kudanganya wasiokuona lkn Allah anakuona na anajua uliyoyaficha na ipo siku utarudi kwake. Allah atuongoze sote, Amiin.

  • @zabibumunis673
    @zabibumunis673 4 года назад +12

    Baada ya interview baadae hao Majamaa wanaotizama hapo watakujakujaribu kuiba

  • @rashmaissac480
    @rashmaissac480 4 года назад +2

    Nilichojifunza upande wa baadhi ya comments ni kuwa
    Tumeupa sana nguvu ushirikina kuwa unaweza kufanya makubwa badala ya nguvu ya ALLAH
    PILI
    Allah anaweza kufanya maajabu na ana nguvu kubwa

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +35

    Subhan Allah, interview nzuri sanaa, Mmmh Yuatisha Jamaa.Millard Mfayie Suprise Ya Mlango wa duka.

  • @khadhoujjojo338
    @khadhoujjojo338 4 года назад +7

    Astaghfirullah muislamu na huswali na wamuamini mungu..."kumuamini Allah(M. Mungu) ni misingi ya dini zote.

    • @rukiamussa9509
      @rukiamussa9509 4 года назад +1

      Unaweza usali na matendo yako ya ovyo ndio mana unaambiwa UISLAM UNAANZA IMANI MASHALLAH KAK MUNGU AKUONGEZEE IMANI ZAID SIKU MUJA UTASWALI INSHAALLAH

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 года назад +1

      @@rukiamussa9509, Tofauti ya kafiri/asiemuisilam na muisilam ni swala

    • @mariammuscat4300
      @mariammuscat4300 4 года назад +1

      Aallah amjaliye aswali

    • @khadhoujjojo338
      @khadhoujjojo338 4 года назад

      @@mariammuscat4300 Allahumma Ameen

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +1

    Nendeni mkaibe muone kama hamuoti mabusha kwenye macho 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 4 года назад +30

    Hiyo Technology tunaihitaji bro
    Wala mimi siiti kitu hicho uchawi
    Jamaa ana camera 🎥 ya kidizaini🇹🇿🤣🤣🤣
    Kama huamini gusa pale uone bara🤣🤣🤣

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 4 года назад +2

    Mwenyezi Mungu na mimi nakuomba unizidishie imani kwako yakumpita huyu kaka by your grace🙏🏿... Kaka Nakuombea M/Mungu azidi kukuendeleza kwa kila namna 🙏🏿...

  • @shaabaniali9816
    @shaabaniali9816 4 года назад +1

    Swali kwa wote.... Jibu kama vile upo mlango wa pepon ndio unataka kuingia
    👉🏿ww kwann Unaimani halafu hufanyi ibada....?

  • @saidabdullah7273
    @saidabdullah7273 4 года назад +56

    Mungu ndio kila kitu jamani... ukimuamini kikweli haswa utashangaa ulinzi wake hakuna mlinzi zaidi ya mungu...maneno yake sahihi kabisaa

    • @baltzrluus3287
      @baltzrluus3287 4 года назад +4

      nawewe amini halafu usifunge mlango

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 4 года назад +1

      Sometimes sio uchawi sababu anajiamini na hao walimzunguka hawawezi sababu wameshajiwekea kuwa ni uchawi sio hawawezi kuiba kwa kuogopa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      Angefungua huku kwetu huyo Mungu ndio angemtwika Mwizi mzigo.

    • @gloryjulius1108
      @gloryjulius1108 4 года назад +1

      Hakika hakuna kinachomshinda Mungu aminini tu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 года назад

      Hakuna imani ya mtu kumuamini Mungu halafu uikate miaka 7 hujasujudu. Kwawaida ya imani ya kumuamini Allah/Mungu inakupeleka kwenye khofu ya kutokutenda aliyoyaamrisha na kukupa mapenzi ya Mola wako. Ssa yy imani yake iwe inampeleka wapi miaka yote hiyo? Na anaimani kubwa ya kuacha duka lisiguswe. Allah anajua yaliyokwenye nafs yake lkn ndugu zangu tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swala.
      Na alipojiwa Nabii Mussa (A.S) na mwanamke aliyezini na kuua mtoto akamfukuza kwa kukhofia adhabu za Allah zisishuke naye yupo pamoja na yule mama. ALLAH alimtaka amrejeshe yule mama na akamuuliza Nabii Mussa kwani hakuona mtu mwenye makosa zaidi kuliko huyo mama na akaambiwa ni twariqu swalaa ambaye kinaingia kipindi cha swala na yy anaamua kwa makusudi kua haswali.
      Swala ni mkoba wa kutia amali zako bila ya swala ni sawa na kwenda kuokota maembe halafu ukawa huna cha kutilia.
      Kama kweli anamuamini Mungu na anajua Mungu anamlindia mali yake imani ingekwenda kwenye kurejesha shukurani/swala na ingemtengeneza hadi akaingia masjid kujumuika na wanaume wenziwe na pengine adhana ya sala anaisikia na anaipuuza imani gani hio kubwa?
      Allah amuongoze yy na sie, Amiin.

  • @jobaisyrainer711
    @jobaisyrainer711 4 года назад +13

    km unaamin uyu jamaaa ni mafyaaa wa ndumba gonga like twende sw

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 4 года назад +2

    Jamaa amenifurahisha kweli. Nilikuwa na tafash zangu nimezisahau

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 4 года назад +3

    tanzania kuna watu wana akili sana huyu ni hatari akili yake sio ya kawaida ila du nabii hakubariki kwao

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 4 года назад +2

    Hakika anachosema ni kweli. Nilipoachwa na Mume ambaye tulikutana Hana kitu chochote na alipoondoka niliona Mungu tu ndiye anaweza nililala Milan go na sikuwa na wasiwasi wa kuumizwa maana alipokuwepo get likigongwa anaamka Kama umeme hapo niliona Hakuna haja.nilona Mungu ndo mlinzi atanilisha na mpaka Leo sijalala njaa. Naamini anachosema huyo kaka anasema sawa kabisa

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 4 года назад +16

    Huyu ndio mtangazaji sasa na alio ulizwa maswali ote wamekutana wana akili awa Muoji na Muulizwa ote wako vizuri

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 4 года назад +1

    Millard kwakweli kuna mengi zaidi ya hayo, pia Kuna fundi nguo mmoja huwa anaacha mlango wazi kabisa, haweki chochote Bora huyo anafunika na pazia, yule bwana Ni maarufu Sana kwa jina la Fundi mtoto, anapatikana ktk Kijiji Cha Msolwa Ujamaa, Wilaya Kilombero, Mkoa Morogoro

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 4 года назад +3

    Vyakula vyote nakula labda nishindwe tu kuvipata ...😃😃😃😊

  • @shamymtanda1656
    @shamymtanda1656 4 года назад

    Muongo hyuuu hali ilivyokua ngumu watu wasiibe kaibiwa nando maana amekuja nakomesha kipo alichokomesha hapo hawagusi tunajuana wamakondee bwana kwenye biashara, mashamba wanaiman ingine tofaut na anavyoeleza

  • @lizburton9833
    @lizburton9833 3 года назад +4

    Wow! This is God an God is every where , every one believe Tanzania their tough on witch craft but u cant imagine how believe he is

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 4 года назад +1

    Nikupe kisa kimoja kilitokea wakati wa Mtume Muhammad,kuna jamaa alimwacha Ngamia wake nje ya msikiti akasema simfungi namuwachia Mungu, mtume akamsikia akamwita alimwambia mfunge halafu mtegemee mwenyeezi mungu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 4 года назад +18

    Kumbuka mwenyezi Mungu aliyetuumba ndiye alietuamrisha tuchukue tahadhari.Uinzi muhimu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +1

    E
    😂😂😂😂😂ni Mungu tu😎😂😂😂😝

  • @تاتا-ن6ن
    @تاتا-ن6ن 4 года назад +1

    Jiamin hivyo hivyo na ujinga wako huo ukishaibiwa utaisoma namba

  • @georgewilliam1944
    @georgewilliam1944 4 года назад +9

    Milllard Ayo hatari ameuliza mpak mwisho Media zingine zikija hazina maswali😁😁😁😁😁😁😁

  • @khadijasaid5461
    @khadijasaid5461 4 года назад +1

    Yani huyu alicho Fanya ni kuwatisha watu ukiona kitu kama hicho wewe mwenyewe utaogopa kajaribu kufanya jambo LA ajabu sasa wewe utajiogopesha mwenyewe

  • @kijonalusay
    @kijonalusay 4 года назад +5

    Nimempenda jamaa jinsi anavojibu maswali Allah azidi kumsimamia ila kazingua kua ana zaidi ya miaka 7 hajaswali hakika huu ni mtihani kwake Allah amjalie na imani yake izidi na aanze kusali

  • @georgepuj171
    @georgepuj171 4 года назад +1

    Namba yako inapatkana vip bos, kuna issue apa mzani dakawa morogoro, call 0716760234

  • @Mjingafaki
    @Mjingafaki 4 года назад +6

    Milady Ayo hio azania umempelekea weye 😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimekushtukia

    • @pascalinamichael554
      @pascalinamichael554 4 года назад +1

      😂😂😂😂hata mm naona maana kila saa ana onesha

    • @Mjingafaki
      @Mjingafaki 4 года назад

      @@pascalinamichael554 😂😂😂😂😂😂😂😂 anatuonesha hio kwa hio toka nafungua video nawakat jamaa anauza vitu kibao

    • @rahmaomar9646
      @rahmaomar9646 4 года назад

      😂😂😂😂

    • @pascalinamichael554
      @pascalinamichael554 4 года назад

      @@Mjingafaki 😂😂😄kwakweli

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 4 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂anamajibu mazuri nimemkubari sana ila huu mjengo ukiisha uko powa sana nimesoma coment watu wanamuhukumu hy chiz hy mzma sana ila anamuamini sana mungu ila mungu amjalie afya njema na maisha marefu🙏🙏

  • @amaniamani1129
    @amaniamani1129 4 года назад +3

    Nimependa hekima ya majibu yake yupo vizurii Sana'a
    Na katika maisha ujasirii ni dawa toshaaa

  • @paulmtungalyambo2065
    @paulmtungalyambo2065 4 года назад +1

    Hakika ndomana ata neno là Mungu lishasema ata wachawi na mashetani Wanamjua Mungu na jina lake likitajwa wanatetemeka

  • @moonfmoontv
    @moonfmoontv 4 года назад +2

    Am from German.. I don't understand Swahili... But huyu jamaa katisha sana

    • @erickdonick6485
      @erickdonick6485 4 года назад

      Kuma makoo unakaa buza

    • @adamally6
      @adamally6 2 года назад

      hhhhhhh ss umemfahamuje na huelewi kiswahil