Bwana asipolinda Mji waulindao wafanya kazi bure!! Unaweza ukawa na mageti makubwa na kufuli za alam na bado wez wakavunja na kuiba!! Unaweka turubai unafunga Duka lako unaenda nyumban unalala usingiz mtammmmm kabisaaa Bwana analinda!! Barikiwa mnoooo kaka kikubwa Iman yako na Mungu wako!! Mungu akuinue mnooo katika viwango vya juu.
Yani nilikuwa nimependa ila niliposikiya km anazaidi ya myaka 6...bila ku haswali daaaaaaaah nimefika namchukiya.bora asingesema sala ndoo kila kitu kwa binadam
Huyu kuna siku atakuta magazeti2 ktk hicho kichochoro, mwache ajifanye anaimani ya Mungu. Mungu anasema kwanza anza kujilinda namimi ndio nitakulinda, sasa wewe una-acha uchochoro wako wazi then unasema unamtegemea Mungu.
Kwa yeyote anayesoma hii.. nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
Kuna kitu ya pazia huyu jamaa anatudanganya, hata Mungu anataka ujisaidie kwanza ili akusaidie sasa wewe jaribu kuacha milango wazi halafu useme Mungu atakulindia, kama ndo hivyo tusingekuwa tunaenda makazini Mungu anatudondoshea tu biriani gheto!!!
Maisha yana siri kubwa sana hata mtu afanye nini jambo la kwanza utasikia namuachia Mungu kwani Mungu ndo kimbilio lao ila matendo yao ni siri kubwa sn
Kuna kitu kaongea huyu jamaaa...."Hatua ya kesho huijui na kikubwa kumuamini sana Mungu" aseee hili swala ni kubwa sana maana huyu mjuba kaelewa kwamba Mwenyezi Mungu ndie mlizi wetu sana wa kila siku.... may our almight one God bless this Guy truly! maana kama kweli amekiri kwa ndimi zake kwamba Mungu yupo na ndiye mlinzi wetu sisi wanaadam basi Namuombea sana azidi kumfanikisha. Inshallah!!!
Jamaa uko vizuri Ana jiamini Sanaa,kubwa kulikoo sio muongo anaongea ukweliii wenginee wanacheka halii ya kuwa hata msikitin ama kanisani hawajawahii fikaa miaka mingi zaidi yakee,imanii tuu kuamini kwa kila jamboo kuwa mungu yupoo na sio kila anae swalii ndio msafii Sana kuliko wenginee mungu tuu ndio anajuaa
Yaani Unaweza ukaswali sana Na usiingie mbinguni lakini Huyu asiyeswali akaingia mbinguni sababu kaongea Kweli Toka moyoni,Yaani Ni msafi hana makorokoro kabisaaa
🤦♂️ Samahani hii video ndo naiyona leo,naomba nitimize ndoto za huyu mtu.nipo Zanzibar nimkaaz wa huku na Nahitaji aweze kuyafikia maisha yke anayo yahitaji. MILAD Wasiliana nami kwanjia ya email .Ahsante 🙏
Duuh! Noma kwa dunia hii ukodi duka bila mlango ni majanga utaibiwa mpaka utachukia biashara bado nashangaa hilo duka na musika anasema haswari lkn duka linalindwa na Mungu aise kweli Mungu yupo kwa msiojua km Mungu yupo duuuh! Ila kaka ungefunguka tu tujue ulichokifanya mpaka ujiamini hivyo kuacha duka wazi duuu!
Karibu zanzibar wapo wanao fanya ibada lkni ktk biashara zao hawamuamini Mungu wanafanya ushirikina wapo wanaofnya ibada maisha yao hawamwamini Mungu wenye imani mbovu watakuchukulia vingine ila mlizi wa anaefanya ibada na asiefanya ibada Mungu peke yke
Millard Ayo moja ya interview kali ulizowahi kufanya na watu hii ni mojawapo kwa sababu umekutana na mtu ambaye yupo serious na anachozungumza anamaanisha kweli. Hata wewe mwenyewe imekufanya uwe mtulivu sana na kumsikiliza kwa umakini sana
Nakhofia ni mshirikina ingawa anapinga lkn kama ningekua mm ningemlisha kiapo asidanganye watu. 1) Twariqu swalaa kwa muda wa miaka yote hiyo na tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swalaa. Na ww unasema unamuamini Allah! Unamuamini vp wakati hata humshukuru kwa neema alizokupa? 2) Duka linatoka watu wanalipa, korosho mpaka milion 10 lkn mtaji wa kwenda Znz huna. Hio ni moja ya sign ya washirikina hua muflis kwa kuendekeza shirk/mihanga na mengineyo. 3) Change usiku hutoi. Ndugu yangu muogope Allah, Maisha ni mafupi na unaeza kudanganya wasiokuona lkn Allah anakuona na anajua uliyoyaficha na ipo siku utarudi kwake. Allah atuongoze sote, Amiin.
Nilichojifunza upande wa baadhi ya comments ni kuwa Tumeupa sana nguvu ushirikina kuwa unaweza kufanya makubwa badala ya nguvu ya ALLAH PILI Allah anaweza kufanya maajabu na ana nguvu kubwa
Mwenyezi Mungu na mimi nakuomba unizidishie imani kwako yakumpita huyu kaka by your grace🙏🏿... Kaka Nakuombea M/Mungu azidi kukuendeleza kwa kila namna 🙏🏿...
Hakuna imani ya mtu kumuamini Mungu halafu uikate miaka 7 hujasujudu. Kwawaida ya imani ya kumuamini Allah/Mungu inakupeleka kwenye khofu ya kutokutenda aliyoyaamrisha na kukupa mapenzi ya Mola wako. Ssa yy imani yake iwe inampeleka wapi miaka yote hiyo? Na anaimani kubwa ya kuacha duka lisiguswe. Allah anajua yaliyokwenye nafs yake lkn ndugu zangu tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swala. Na alipojiwa Nabii Mussa (A.S) na mwanamke aliyezini na kuua mtoto akamfukuza kwa kukhofia adhabu za Allah zisishuke naye yupo pamoja na yule mama. ALLAH alimtaka amrejeshe yule mama na akamuuliza Nabii Mussa kwani hakuona mtu mwenye makosa zaidi kuliko huyo mama na akaambiwa ni twariqu swalaa ambaye kinaingia kipindi cha swala na yy anaamua kwa makusudi kua haswali. Swala ni mkoba wa kutia amali zako bila ya swala ni sawa na kwenda kuokota maembe halafu ukawa huna cha kutilia. Kama kweli anamuamini Mungu na anajua Mungu anamlindia mali yake imani ingekwenda kwenye kurejesha shukurani/swala na ingemtengeneza hadi akaingia masjid kujumuika na wanaume wenziwe na pengine adhana ya sala anaisikia na anaipuuza imani gani hio kubwa? Allah amuongoze yy na sie, Amiin.
Hakika anachosema ni kweli. Nilipoachwa na Mume ambaye tulikutana Hana kitu chochote na alipoondoka niliona Mungu tu ndiye anaweza nililala Milan go na sikuwa na wasiwasi wa kuumizwa maana alipokuwepo get likigongwa anaamka Kama umeme hapo niliona Hakuna haja.nilona Mungu ndo mlinzi atanilisha na mpaka Leo sijalala njaa. Naamini anachosema huyo kaka anasema sawa kabisa
Millard kwakweli kuna mengi zaidi ya hayo, pia Kuna fundi nguo mmoja huwa anaacha mlango wazi kabisa, haweki chochote Bora huyo anafunika na pazia, yule bwana Ni maarufu Sana kwa jina la Fundi mtoto, anapatikana ktk Kijiji Cha Msolwa Ujamaa, Wilaya Kilombero, Mkoa Morogoro
Muongo hyuuu hali ilivyokua ngumu watu wasiibe kaibiwa nando maana amekuja nakomesha kipo alichokomesha hapo hawagusi tunajuana wamakondee bwana kwenye biashara, mashamba wanaiman ingine tofaut na anavyoeleza
Nikupe kisa kimoja kilitokea wakati wa Mtume Muhammad,kuna jamaa alimwacha Ngamia wake nje ya msikiti akasema simfungi namuwachia Mungu, mtume akamsikia akamwita alimwambia mfunge halafu mtegemee mwenyeezi mungu
Yani huyu alicho Fanya ni kuwatisha watu ukiona kitu kama hicho wewe mwenyewe utaogopa kajaribu kufanya jambo LA ajabu sasa wewe utajiogopesha mwenyewe
Nimempenda jamaa jinsi anavojibu maswali Allah azidi kumsimamia ila kazingua kua ana zaidi ya miaka 7 hajaswali hakika huu ni mtihani kwake Allah amjalie na imani yake izidi na aanze kusali
😂😂😂😂😂😂anamajibu mazuri nimemkubari sana ila huu mjengo ukiisha uko powa sana nimesoma coment watu wanamuhukumu hy chiz hy mzma sana ila anamuamini sana mungu ila mungu amjalie afya njema na maisha marefu🙏🙏
Mashaallah. Allah atakujaalia utaswali pia. Jitahidi uswali sala tano.
Bwana asipolinda Mji waulindao wafanya kazi bure!! Unaweza ukawa na mageti makubwa na kufuli za alam na bado wez wakavunja na kuiba!! Unaweka turubai unafunga Duka lako unaenda nyumban unalala usingiz mtammmmm kabisaaa Bwana analinda!! Barikiwa mnoooo kaka kikubwa Iman yako na Mungu wako!! Mungu akuinue mnooo katika viwango vya juu.
Jamaa ana imani kubwa sana ndani yake afu ni mkweli, hope wengi wetu tutajifunza kuhusu imani kupitia interview hii. Big up Bro. Millard
Kijana chapa kazi uko mbali sana kidunia na Allaah aku ongoze zaidi katika twaa yake uapate kumsujudia.
"Sauti y mke wangu uisikie ww...iyo haipo" hata dini inakataz...safi kijana hapa umejali thamani y mke na mwanamke
Kweli mungu ana nguvu sana bro
Hata Mimi naamini sane mungu he can move mountains...i just love his faith mungu na amubariki
Huyu jamaa toka dk 1 ya interview kamtaja mungu zaidi mara 20 imani kubwa san
Ila kuswali haswali
Jamaa ana maconfidence hatr
Nitakuja Nalingu nikuone kakangu Inshallah si mchezo salut kwako.
Tumuamin sana Mungu ndugu zangu
Anatafuta mtu amtoe kishipa😂😂😂
Hyo inaitw guswaa unaswee jamaa anaaakili n anasiriii sanaaaa hkun mtu ataiba km hajakuta kanaswa na ulimbooo😂😂😂
milard kweli unatupasha habari sina cha kukupa ila ...# mungu atakupandisha viwangoooooo
Ishi uone mengi ya dunia.
Millard Ayo.
Kama umesikia SISWARI twende sawa😂
Nimesikia ''SISWALI'' ila sio ''SISWARI''.
Maskini hakujiombea nafsi yake ameomba maji na shule ili viwafae jamii yote mungu amuongoe yaarab
Aamin
Amiin
Amin
Amiin
Duuuuu iloduka lingekuwa kinuni Zanzibar 🙆🙆🙆🙆🙆🙆
Mwiz mmja kasha like video baada yakusikia hamn ushrkna apo 😁😁
iyo Noma sana
Safi sana huyu jamaa
mtwara sipamchezo kaka hongera San ila kama huseali huwez kua naimaniamungu sema ukweli uchawiii
Yani nilikuwa nimependa ila niliposikiya km anazaidi ya myaka 6...bila ku haswali daaaaaaaah nimefika namchukiya.bora asingesema sala ndoo kila kitu kwa binadam
Huyu kuna siku atakuta magazeti2 ktk hicho kichochoro, mwache ajifanye anaimani ya Mungu. Mungu anasema kwanza anza kujilinda namimi ndio nitakulinda, sasa wewe una-acha uchochoro wako wazi then unasema unamtegemea Mungu.
Hata yesu alisema imani yako ndo itakuponya ndo hii sasa, na haya ndo maisha tunayo paswa kuyaishi ya uaminifu, Allahu akulinde
Mungu akulipe Kila la kheri kwana unatukumbusha kumuamini Allah mwenyewe
Bwana asipolinda nyumba walindao wakesha bure...hii imani tunaihitaji
Mpk home ayo Tv noma sna kaz mzur
Uyu jamaa anatisha atawezi lazima waogope😂😂😂😂
Yuatisha na nini 🙄
Yanatisha kivipi
Hatari sanaaa
Huyu jamaa anasema anapenda apple.sasa sifa ya kwanza ya genius ni kupenda apple,yaani ana sifa zote za kuwa miongoni mwa watu wenye akili.
Nimejifunza kitu kupitia huu mzee mungu azidi kukulinda
Na vijana wengi mtwara mambo ya wizi baadhi ya sehemu kuko safe sana wanalidhika nakidogo wanachapaka kazi sana biashara za korosho
Mmh apo ni gusa unase ila mungu yupo jamn na ndo mlinz wetu daima.
UKIJIAMINI WOGA HUBADILIKA KUWA USHUJAAA...!
Kweli_kabisa
Mmmh jiganga hilo
Hahaha
Mtu husali huyo mungu atakujaje kukulindia duka bila kumuomba?
Hahaaaaaaa,kweli KBS,on a hata msura wake.on a na mjengo wake ule,halafu hata nyumba anayo lala haina madirisha
@Elias imani haihusiani na Na kusali
Millard ww kiboko yao nakukubali sana broo big up
namkubali sanaaa millard Ayo
Ndio kusoma hapo Bi Didah
Imani inaweza kuhamisha Milima! Ila angekuja kufungua duka kko aone.
Kariakoo hakuna Mungu?
Millardayo siku hizi kofia huvai wew una kichogo kizuri
Meifurahia hii sana asa kuhusu biashara ukikopa mkopo fanya biashara sio ujenge banda🤗
Hamim sasa uswali bila swala unamuuzi Mungu...Allah hapendi mtu asiependa ibada....lengo tuliloumbiwa ni kumuabudu Allah...S.W....
🤣🤣🤣🤣🤦🏽♂️ mlinzi ninaye Mwenyezi Mungu 🙏 Allah akupe nguvu na iman thabit
Kwa yeyote anayesoma hii..
nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
Hata mungu anasema usimruhusu ibilisi nafasi wewe
Huyu Kaka 🙌🙌Imani yake Kali sana na MUNGU anampenda mnoo..ila Aanze Kusali Abarikiwe Zaidi
Millard umepatikana mpaka anataka kurudia maswali eeeeeh hii kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo MTU msijaribu kumuibia aisee atakuja kuwatoa mabusha
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
Jamaaa kanichekesha sanaa majibu yake
Sasa ukitaka kujua tofaut ya namna yakuhoj watu nenda kaangalie mahojiano ya wasaf tv bana w wale watu wanamaswal yakijinga sana ila millad n konki
HII IMANI NI KALI SANA NAAMINI MUNGU YU MWEMA NA anapotajwa na anaye mwamini humbariki mara dufu.
DUME LA TEMBO amen
Ameeen
Safi
Asante. How are you doing fine
Kuna kitu ya pazia huyu jamaa anatudanganya, hata Mungu anataka ujisaidie kwanza ili akusaidie sasa wewe jaribu kuacha milango wazi halafu useme Mungu atakulindia, kama ndo hivyo tusingekuwa tunaenda makazini Mungu anatudondoshea tu biriani gheto!!!
No,that guy His living in the village,,,Kwakijijini binadam haziwezi iba tu ,,kijijini kunaraha sana
Maisha yana siri kubwa sana hata mtu afanye nini jambo la kwanza utasikia namuachia Mungu kwani Mungu ndo kimbilio lao ila matendo yao ni siri kubwa sn
Hyu jamaa anajielewa..ila kwenye ibada ndio mtihani...Allah swt amuongoze ktk hili.
Uyu Jamaa anaailkili Sana na wamekutana wote Akil mingi 😂😂😂
Millardiayo umenifurahisha sana leo una machale 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kuna kitu kaongea huyu jamaaa...."Hatua ya kesho huijui na kikubwa kumuamini sana Mungu" aseee hili swala ni kubwa sana maana huyu mjuba kaelewa kwamba Mwenyezi Mungu ndie mlizi wetu sana wa kila siku....
may our almight one God bless this Guy truly! maana kama kweli amekiri kwa ndimi zake kwamba Mungu yupo na ndiye mlinzi wetu sisi wanaadam basi Namuombea sana azidi kumfanikisha.
Inshallah!!!
Jaribu na ww dukan kwako
@@mussaabdiel9797 Hapo ni kumjaribu Mungu wewe
Amina
Majibu mazari barikiwa sana
Jamaa uko vizuri Ana jiamini Sanaa,kubwa kulikoo sio muongo anaongea ukweliii wenginee wanacheka halii ya kuwa hata msikitin ama kanisani hawajawahii fikaa miaka mingi zaidi yakee,imanii tuu kuamini kwa kila jamboo kuwa mungu yupoo na sio kila anae swalii ndio msafii Sana kuliko wenginee mungu tuu ndio anajuaa
Yaani Unaweza ukaswali sana Na usiingie mbinguni lakini Huyu asiyeswali akaingia mbinguni sababu kaongea Kweli Toka moyoni,Yaani Ni msafi hana makorokoro kabisaaa
Angekuja kufungua uku mtaan kwetu. Nadhani akil ingemkaa xawa tu. Wangap wanakubal kuwa mtaan kwao amnaga uzembe kama uwo? Like hapa na ku comment
twende saw boc
Iba wibiwe
😂😂😂
km kwnu hkuna uzembe nenda kamuibie uone km hujatembea uchi😀😀😀
😂🤣🤣
🤦♂️ Samahani hii video ndo naiyona leo,naomba nitimize ndoto za huyu mtu.nipo Zanzibar nimkaaz wa huku na Nahitaji aweze kuyafikia maisha yke anayo yahitaji. MILAD Wasiliana nami kwanjia ya email .Ahsante 🙏
Millard uko vizuri utangazaji: nice questions flow. Mtangazaji mwingine apate mtu anajibu kimkato hivi interview Haizidi dakika moja.
Ana Flows nzuri za Maswali...Nampongeza sana @Millardayo
Millard uko good mzee
mjibuji ndo balaa
Duuh! Noma kwa dunia hii ukodi duka bila mlango ni majanga utaibiwa mpaka utachukia biashara bado nashangaa hilo duka na musika anasema haswari lkn duka linalindwa na Mungu aise kweli Mungu yupo kwa msiojua km Mungu yupo duuuh! Ila kaka ungefunguka tu tujue ulichokifanya mpaka ujiamini hivyo kuacha duka wazi duuu!
Ujasiri wake umewafanya watu kuwa waoga wanahisi kunanguvu ya ziada,wanashindwa kuiba.
Mmmh sio rahis kua na ujasir huo pengne Kuna kityuu
Debora nicheki kwa no 0629908339
@@mustaphyassin9743 Kuna nini?
Karibu zanzibar wapo wanao fanya ibada lkni ktk biashara zao hawamuamini Mungu wanafanya ushirikina wapo wanaofnya ibada maisha yao hawamwamini Mungu wenye imani mbovu watakuchukulia vingine ila mlizi wa anaefanya ibada na asiefanya ibada Mungu peke yke
Hyu jamaa inawezekana hana lolote ila kwakua sio kawaida watu wanaogopa2 alf ana akili nyingi sana
Ndo ivoo masikini
Umeonaee
yani huyu mjanja sana hana rorote wala chochote ila kawashika nyota wezi
Nakubaliana na wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona hao jamaa wakisikia anasema anamuamini Mungu WANAANZA KUCHEKA HAPO KUNA KITU.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
umeona kumbe
Mwenyewe kasema wanajua kwamba nalala nyumba isiyo na madilisha na mamilion🤣🤣🤣🤣
Millard Ayo moja ya interview kali ulizowahi kufanya na watu hii ni mojawapo kwa sababu umekutana na mtu ambaye yupo serious na anachozungumza anamaanisha kweli. Hata wewe mwenyewe imekufanya uwe mtulivu sana na kumsikiliza kwa umakini sana
Wezi lazima wanamjua uyu jamaa ivyo wanaogopa kuingia kwenye 18 zake
Kweli,watu waone njia ipo wazi washindwe kupita kufanya yao
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂kabxaa
Nampenda sana huyu msela Millard ayo big up bro unamaswali yakueleweka
Nakhofia ni mshirikina ingawa anapinga lkn kama ningekua mm ningemlisha kiapo asidanganye watu.
1) Twariqu swalaa kwa muda wa miaka yote hiyo na tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swalaa. Na ww unasema unamuamini Allah! Unamuamini vp wakati hata humshukuru kwa neema alizokupa?
2) Duka linatoka watu wanalipa, korosho mpaka milion 10 lkn mtaji wa kwenda Znz huna. Hio ni moja ya sign ya washirikina hua muflis kwa kuendekeza shirk/mihanga na mengineyo.
3) Change usiku hutoi.
Ndugu yangu muogope Allah, Maisha ni mafupi na unaeza kudanganya wasiokuona lkn Allah anakuona na anajua uliyoyaficha na ipo siku utarudi kwake. Allah atuongoze sote, Amiin.
Baada ya interview baadae hao Majamaa wanaotizama hapo watakujakujaribu kuiba
Nilichojifunza upande wa baadhi ya comments ni kuwa
Tumeupa sana nguvu ushirikina kuwa unaweza kufanya makubwa badala ya nguvu ya ALLAH
PILI
Allah anaweza kufanya maajabu na ana nguvu kubwa
Subhan Allah, interview nzuri sanaa, Mmmh Yuatisha Jamaa.Millard Mfayie Suprise Ya Mlango wa duka.
Daah, kweli MUNGU mkuu
@@bahatsamson7220 y7y
Astaghfirullah muislamu na huswali na wamuamini mungu..."kumuamini Allah(M. Mungu) ni misingi ya dini zote.
Unaweza usali na matendo yako ya ovyo ndio mana unaambiwa UISLAM UNAANZA IMANI MASHALLAH KAK MUNGU AKUONGEZEE IMANI ZAID SIKU MUJA UTASWALI INSHAALLAH
@@rukiamussa9509, Tofauti ya kafiri/asiemuisilam na muisilam ni swala
Aallah amjaliye aswali
@@mariammuscat4300 Allahumma Ameen
Nendeni mkaibe muone kama hamuoti mabusha kwenye macho 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo Technology tunaihitaji bro
Wala mimi siiti kitu hicho uchawi
Jamaa ana camera 🎥 ya kidizaini🇹🇿🤣🤣🤣
Kama huamini gusa pale uone bara🤣🤣🤣
9oĺ
Siamini huyu
Anatumia dawa za kiustaadhi za kuzuia wezi na watu Wabaya nilisikia wakizitangaza kwa Sheikh Sarif
Una mambo
Mwenyezi Mungu na mimi nakuomba unizidishie imani kwako yakumpita huyu kaka by your grace🙏🏿... Kaka Nakuombea M/Mungu azidi kukuendeleza kwa kila namna 🙏🏿...
Swali kwa wote.... Jibu kama vile upo mlango wa pepon ndio unataka kuingia
👉🏿ww kwann Unaimani halafu hufanyi ibada....?
Mungu ndio kila kitu jamani... ukimuamini kikweli haswa utashangaa ulinzi wake hakuna mlinzi zaidi ya mungu...maneno yake sahihi kabisaa
nawewe amini halafu usifunge mlango
Sometimes sio uchawi sababu anajiamini na hao walimzunguka hawawezi sababu wameshajiwekea kuwa ni uchawi sio hawawezi kuiba kwa kuogopa
Angefungua huku kwetu huyo Mungu ndio angemtwika Mwizi mzigo.
Hakika hakuna kinachomshinda Mungu aminini tu
Hakuna imani ya mtu kumuamini Mungu halafu uikate miaka 7 hujasujudu. Kwawaida ya imani ya kumuamini Allah/Mungu inakupeleka kwenye khofu ya kutokutenda aliyoyaamrisha na kukupa mapenzi ya Mola wako. Ssa yy imani yake iwe inampeleka wapi miaka yote hiyo? Na anaimani kubwa ya kuacha duka lisiguswe. Allah anajua yaliyokwenye nafs yake lkn ndugu zangu tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swala.
Na alipojiwa Nabii Mussa (A.S) na mwanamke aliyezini na kuua mtoto akamfukuza kwa kukhofia adhabu za Allah zisishuke naye yupo pamoja na yule mama. ALLAH alimtaka amrejeshe yule mama na akamuuliza Nabii Mussa kwani hakuona mtu mwenye makosa zaidi kuliko huyo mama na akaambiwa ni twariqu swalaa ambaye kinaingia kipindi cha swala na yy anaamua kwa makusudi kua haswali.
Swala ni mkoba wa kutia amali zako bila ya swala ni sawa na kwenda kuokota maembe halafu ukawa huna cha kutilia.
Kama kweli anamuamini Mungu na anajua Mungu anamlindia mali yake imani ingekwenda kwenye kurejesha shukurani/swala na ingemtengeneza hadi akaingia masjid kujumuika na wanaume wenziwe na pengine adhana ya sala anaisikia na anaipuuza imani gani hio kubwa?
Allah amuongoze yy na sie, Amiin.
km unaamin uyu jamaaa ni mafyaaa wa ndumba gonga like twende sw
Jamaa amenifurahisha kweli. Nilikuwa na tafash zangu nimezisahau
tanzania kuna watu wana akili sana huyu ni hatari akili yake sio ya kawaida ila du nabii hakubariki kwao
Hakika anachosema ni kweli. Nilipoachwa na Mume ambaye tulikutana Hana kitu chochote na alipoondoka niliona Mungu tu ndiye anaweza nililala Milan go na sikuwa na wasiwasi wa kuumizwa maana alipokuwepo get likigongwa anaamka Kama umeme hapo niliona Hakuna haja.nilona Mungu ndo mlinzi atanilisha na mpaka Leo sijalala njaa. Naamini anachosema huyo kaka anasema sawa kabisa
Mungu_ni_Mkubwa_sana
Huyu ndio mtangazaji sasa na alio ulizwa maswali ote wamekutana wana akili awa Muoji na Muulizwa ote wako vizuri
Millard kwakweli kuna mengi zaidi ya hayo, pia Kuna fundi nguo mmoja huwa anaacha mlango wazi kabisa, haweki chochote Bora huyo anafunika na pazia, yule bwana Ni maarufu Sana kwa jina la Fundi mtoto, anapatikana ktk Kijiji Cha Msolwa Ujamaa, Wilaya Kilombero, Mkoa Morogoro
Vyakula vyote nakula labda nishindwe tu kuvipata ...😃😃😃😊
Muongo hyuuu hali ilivyokua ngumu watu wasiibe kaibiwa nando maana amekuja nakomesha kipo alichokomesha hapo hawagusi tunajuana wamakondee bwana kwenye biashara, mashamba wanaiman ingine tofaut na anavyoeleza
Wow! This is God an God is every where , every one believe Tanzania their tough on witch craft but u cant imagine how believe he is
Nikupe kisa kimoja kilitokea wakati wa Mtume Muhammad,kuna jamaa alimwacha Ngamia wake nje ya msikiti akasema simfungi namuwachia Mungu, mtume akamsikia akamwita alimwambia mfunge halafu mtegemee mwenyeezi mungu
Kumbuka mwenyezi Mungu aliyetuumba ndiye alietuamrisha tuchukue tahadhari.Uinzi muhimu
Bhi
E
😂😂😂😂😂ni Mungu tu😎😂😂😂😝
Hatari sana
Jiamin hivyo hivyo na ujinga wako huo ukishaibiwa utaisoma namba
Milllard Ayo hatari ameuliza mpak mwisho Media zingine zikija hazina maswali😁😁😁😁😁😁😁
Yani huyu alicho Fanya ni kuwatisha watu ukiona kitu kama hicho wewe mwenyewe utaogopa kajaribu kufanya jambo LA ajabu sasa wewe utajiogopesha mwenyewe
Nikweli
Nimempenda jamaa jinsi anavojibu maswali Allah azidi kumsimamia ila kazingua kua ana zaidi ya miaka 7 hajaswali hakika huu ni mtihani kwake Allah amjalie na imani yake izidi na aanze kusali
Amin insha allah atamjalia na atasali insha allah
Imani ni bora kuliko dini
Namba yako inapatkana vip bos, kuna issue apa mzani dakawa morogoro, call 0716760234
Milady Ayo hio azania umempelekea weye 😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimekushtukia
😂😂😂😂hata mm naona maana kila saa ana onesha
@@pascalinamichael554 😂😂😂😂😂😂😂😂 anatuonesha hio kwa hio toka nafungua video nawakat jamaa anauza vitu kibao
😂😂😂😂
@@Mjingafaki 😂😂😄kwakweli
😂😂😂😂😂😂anamajibu mazuri nimemkubari sana ila huu mjengo ukiisha uko powa sana nimesoma coment watu wanamuhukumu hy chiz hy mzma sana ila anamuamini sana mungu ila mungu amjalie afya njema na maisha marefu🙏🙏
Nimependa hekima ya majibu yake yupo vizurii Sana'a
Na katika maisha ujasirii ni dawa toshaaa
Hakika ndomana ata neno là Mungu lishasema ata wachawi na mashetani Wanamjua Mungu na jina lake likitajwa wanatetemeka
Am from German.. I don't understand Swahili... But huyu jamaa katisha sana
Kuma makoo unakaa buza
hhhhhhh ss umemfahamuje na huelewi kiswahil