"HAPA HAROGWI MTU, MNATAKA NISEME MUANZE KUTISHIA KUTUROGA," RC SENDIGA BILA UWOGA AWAKA MANYARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 289

  • @publicrelations4600
    @publicrelations4600 5 месяцев назад +12

    RC Queen Sendiga ni mwanasiasa anayejua kucheza na jukwaa huwa anabadilika kulingana na mazingira, amevaa kama watu wa Hanang,anazungumza kama mzazi aliyeumizwa kilichotokea,good speech, voice up,word arrangements.Nampenda sana huyu dada.

    • @thadeusmarkiminja2282
      @thadeusmarkiminja2282 5 месяцев назад

      Mama unafaa sana wapambanie hao kina mama na mabinti zao.hao wazee wanapokea ng'ombe sioni aibu wanatakiwa wachapwe na viboko.

    • @zuberimkuba2324
      @zuberimkuba2324 5 месяцев назад

      Kazi iendelee

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 5 месяцев назад +9

    Huyu ni mama anaumia hata kama ni kiongozi good speech ... Nakupenda Bure Mh

  • @Sumay228
    @Sumay228 5 месяцев назад +11

    Support inahitajika maana ni mapinduzi makubwa

  • @marydimdoy4910
    @marydimdoy4910 5 месяцев назад +1

    Hongera mkuu nimekupenda Bure MUNGU akulinde

  • @ZainaRashid-t3m
    @ZainaRashid-t3m 5 месяцев назад

    Inauma sana laana ya mungu iwashukie wote wanaofanya mambo haya

  • @teddystevu2649
    @teddystevu2649 5 месяцев назад +1

    Mungu akulinde umeongea vizuri

  • @veronicamoringe2210
    @veronicamoringe2210 5 месяцев назад

    Ameen

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 5 месяцев назад +1

    Vijana wote wakatupwe Rokapo inabindi wakaowe kama hakuna Kuowa wachukuliwe hatuwa kali sana Asante Mama unajitahindi ila Basi tu.

  • @marysiasawaki3698
    @marysiasawaki3698 5 месяцев назад +6

    Huyu mama anafanya poa sana katika huu mkoa ila huu mkoa dah unahitaji rehema yq Mungu sana sio siri jamani.......😊

  • @josephkabelege1622
    @josephkabelege1622 5 месяцев назад

    sheria itungwe ya kuwahasi ili wasirudie tena kuwaharibu watoto hawa wakike.

  • @NageMsuya
    @NageMsuya 5 месяцев назад

    Eshma yko kpz Mungu akutunze. Nyoosha kbsa pumbavu

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 5 месяцев назад +4

    Etii mnataka kumula mutu Bure Mama Queen upo na Kazi Sanaa katka mkoa wako
    Mwenyezi Mungu tu akupee nguvu nyingi upambane hawa wabakaji

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487 5 месяцев назад +1

    Mkoa mgumu sana huu Mungu naomba akulinde sanaaa

  • @ShamsiAdamu-j5z
    @ShamsiAdamu-j5z 5 месяцев назад +5

    Kuna kitu kinaendelea sasa hivi naona wamama wapo juu katika nafasi za uongozi hongereni chapa kaz

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 5 месяцев назад +5

    Mama mimi nimchungaji huumkoa unaitaji ukombozi siomchezo,kila binti anamtotonyumbani chanzoni wazazi

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 5 месяцев назад +1

    Hongera sana mkuu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 5 месяцев назад +1

    Hapo zipigwe kura za Siri kuwataja wahalifu hao, halafu waanze kukamatwa mmoja mmoja kimya kimya, ndiyo dawa.

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 5 месяцев назад +1

      Daudi,ukimuona Mkuu kafika hapo ujue RIPOTI anayo

  • @andrewzenda9015
    @andrewzenda9015 5 месяцев назад

    Hongera sana 👍👍👍👍

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 5 месяцев назад

    Huyu mama anafaa kuwa waziri

  • @mako331
    @mako331 5 месяцев назад

    Huyu ni kiongozi, you can tell by her voice

  • @shafiijuma3282
    @shafiijuma3282 5 месяцев назад

    pole mama umeongea kwa uchungu

  • @momylaviel
    @momylaviel 5 месяцев назад

    ❤❤❤Mama mzuriii

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 5 месяцев назад

    Wakitaka yaishe wakubari uisrami dino ya wazungu uwezi wakaondoa matatizo

    • @paulmahundi
      @paulmahundi 5 месяцев назад

      Ila dini ya kiarabu sio.

  • @epaditol804
    @epaditol804 5 месяцев назад +1

    Natamani niwe RAC wako nikusaidie

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 5 месяцев назад

    Umukule bure....🤣🤣

  • @yonasmrope9372
    @yonasmrope9372 5 месяцев назад

    Eti nyie vijana uko juu ambianeni muangaliane alafu muambiane

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 5 месяцев назад +1

    Hizo bonanza ni nyie wenyewe viongozi mmezipokea mnapokea hadi vitu ambavyo vinakuja kuongeza waizi majumbani fukuzeni wachina wote wanaojihusisha na mabonanza pamoja na mabonanza yao shida mnaangalia tu maslahi yenu sijui mnakula rushwa kubwa sana kwa kuluhusu vitu ambavyo vinaongeza waizi

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 5 месяцев назад

    Mmh! Kuna wanawake wenye mdomo!

  • @ElizabethSanu
    @ElizabethSanu 5 месяцев назад

    Usilaumu mama ni unabii unatimia simamia ukweli tokomeza vichocheo vyote bangi gongo okoa kizazi hiki utapata thawabu mbinguni

  • @MchAlsenPaulo-dn5uz
    @MchAlsenPaulo-dn5uz 5 месяцев назад

    Hongera Dana mukuu was mkoa.

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 5 месяцев назад

    Sasa unachamba baada ya kuchukua maamuzi ndio shida ya kuongozwa na mwanamke usiwe muhubili
    Wewe una jeshi una police unamgambo unakaz ya kuchamba unaleta ulokole aisee kamata sweka ndani hao ma pimbi aisee

    • @wilsonjaphet5547
      @wilsonjaphet5547 5 месяцев назад

      Elimu kwanza kaka Muhimu

    • @daudymlauletv8489
      @daudymlauletv8489 5 месяцев назад

      Yan watu Wana baka nao muanze kubembeleza kisa nn

    • @ShekimweriRamadhani
      @ShekimweriRamadhani 4 месяца назад

      Uwezo wa RC ni weak maneno mengi ya Nini unalalamika amwambie Rais amhamishe basi

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 5 месяцев назад

    Tatizo serikali munawaachia kwa dhamana.

  • @saidimiarage
    @saidimiarage 5 месяцев назад

    Makavu live😂😂

  • @wemamgata
    @wemamgata 5 месяцев назад

    Biteko ni kiongozi anastaili sifa apewe

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 5 месяцев назад

    HUU UJUMBE ,UPO SAWA ..PONGEZI SANA...

  • @gesyogongi5659
    @gesyogongi5659 5 месяцев назад +13

    I love you lady we need women leaders in Kenya like you. Specifically in Vihiga county. I love you sister. Lets get in touch. I love tough and honest women like you. I wish you were my sister.

  • @fadhilimbotela1049
    @fadhilimbotela1049 5 месяцев назад +12

    Hawa ndo viongozi tunaowahitaj tanzania, Asante mama ♥❤

  • @nassirsalim6679
    @nassirsalim6679 5 месяцев назад +8

    Kuna mzee anatingisha kichwa tu apo design anaskitika sana 😅😅😅mbona kama muhusika😂😂😂

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 5 месяцев назад +2

      Huyo ndiyo mkongwe wa mauwaji kimoyono anaumia dili linaharibika

    • @vickytango5591
      @vickytango5591 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @vickytango5591
      @vickytango5591 5 месяцев назад

      We frank bhana unavunja mbavu

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 5 месяцев назад +1

      ​@@frankngoloka5416😂😂😂😂😂😂

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 5 месяцев назад

      Kweli 😂😂😂😂😂

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 5 месяцев назад +7

    Mkuu wa mkoa:Aiseh!!! Yaani huu mkoa Aah!!!
    It's so pain.

  • @luthermajoji7300
    @luthermajoji7300 5 месяцев назад +26

    Mama Mungu akubariki sana sana. Mimi nimekusikiliza sana, umeueongea kwa uchungu sana, Mungu akusimamie uwe salama ufanye kazi kwa amani ili kuwasaidia wanyonge wasiendelee kufanyiwa ubaya huo. Ningekuwa Rais, ningekupandisha nafasi hata ya uwaziri ili usaidie wengi. Unafaa sana mama🙏👍💪

  • @peternyambo1439
    @peternyambo1439 5 месяцев назад +1

    WANA MAMBO YA AJABU MNOOO HAWA WATU, NIMEISHI HUKO BBT KILA SIKU NI KESI YAANI. MKOA MGUMU SANA.

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 5 месяцев назад +4

    Mmh kumbe manyara kuna kiongozi mwenye akili na busara namna hii tena mkweli mama uko sawasawa nakuunga mkono Mungu akulinde na lolote baya, Manyara mmepata kiongozi mshindwe ninyi

  • @rosemnzava4703
    @rosemnzava4703 5 месяцев назад +3

    Tunakuombea sana Rc wetu,,damu ya Yesu ikufunike

  • @RaheemaOmn
    @RaheemaOmn 5 месяцев назад +9

    Hongera sana mama sindiga ww ni jimbe nakuaminia ❤️❤️❤️🤲🤲

  • @yonamtewele9824
    @yonamtewele9824 5 месяцев назад +4

    Hongera sana mkuu wa mkoa, binafsi nakuomba simamia hayo uliyoyasema maana kama ni ujumbe wameupata ahsante sana Mh.

  • @alexketto7351
    @alexketto7351 5 месяцев назад +3

    Huyu Apewe Hata Ubunge Wa Kuteuliwa Then Apewe Uwaziri

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 5 месяцев назад +18

    Hongera sana Mkuu wa mkoa. Kazi nzuri kamata funga hao!

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 5 месяцев назад +4

    Mungu wa Mbinguni tunaomba ulinzi wa kiongozi wetu mpendwa,najua wewe ni Mungu wa haki utasimama na kiongozi wetu!

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 5 месяцев назад

    Mkuu usichoke na hawa watu. Kule Meru tabia kama hizi zilizidi na ikapitishwa sheris. Kijana akikutwa anavuta bangi , akikutwa amelewa, asipoenda kushiriki kwenye misiba au akifanya jambo lolote kinyume na maadili anachapwa viboko 70 na asipojirekebisha anachapwa vingine 70 Hadi abadilike. Meru sasa hivi vijana wote waliokuwa wameshindikana wamenyooka. Pia kule hai Nako wamesnza kutumia utaratibu huu na imesaidia sana kuwanyoosha vijana waliokuwa wanalawiti na kubaka. Pole sana Mama yetu naona una uchungu sana lakini vijana wakishavuta bangi hawasikii Wala hawarikebishiki bila kutumia nguvu ya ziada. Acha wachapane wenyewe viboko usiwatafutie lawama Polisi kwani hao mateja wakipigwa kidogo tu wengine huwa hawakawii kufa.

  • @DuduMagau-sm3pd
    @DuduMagau-sm3pd 5 месяцев назад +17

    DAH!! POLE SANA MUHESHIMIWA UMEONGEA KWA UCHUNGU SANA

  • @MishlaySulley
    @MishlaySulley 5 месяцев назад

    Yaani we Mkuu WA mkoa WA manyara , umeongea lakini huo mkoa watu wamelogwa na Kwa tabia zao za kwenda kanisani ,kumbe ni waongo , wanamdhihaki MUNGU , na MUNGU kawalaani kabisa

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 5 месяцев назад

    Da😊 inakera sana tu ningekua raisi mimi Sheria zote zakiharifu ninge ondoa zamana na uchunguzi kwa mwenye kosa la kukutwa na kizibitisho. Nakuboresha uchunguzi wa taarifa fichi Kwa maofisa. Usalama.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 месяцев назад +1

    tubadirishane mikoa waje dar ,sisi tukaishi manyara na hao Dada zao nao waje wahangaike na Dada zetu wa dar tuone nani ataomba pooooh .....😅😅😅😅😅

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 5 месяцев назад +1

    NINGEKUWA WEWE MKUU WA MKOA NINGESEMA HIVI, KUANZIA LEO NAPIGA MARUFUKU POOL TABLE, BONANZA , KAMALI NA MIKUSANYIKO ISIYO RASMI HADI SERIKALI ITAKAVYO TANGAZA VINGINEVYO ASANTENI

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 5 месяцев назад +1

    Hayo ndiyo matokeo ya Ukosefu wa ajira kwa vijana, Kijana wa kiume asiye na kipato hawezi kufikiri kuoa wala kutoka kwa Mzazi,Umeongea matokeo kwa kina sana, Hukuongelea Chanzo cha tatizo kabisa ( Hakuna suluisho hapo )

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 5 месяцев назад +10

    Kuna eneo Moja Arusha Kuna amani na utulivu, wazee wa kimila wako makini, kijana akifanya kosa hata la kutukana hadharani, ikithibitika anakamatwa anapelekwa mtoni au porini, anachapwa viboko 70 vya nguvu na adhabu nyingine kulingana na kosa, yaani kumetulia na kuheshimiana kipo sana.
    Mara nyingi wahalifu wanajulikana lkn jamii au familia inawalinda.😭

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 5 месяцев назад

    Kwani katika ukiristu Kuna mambo kuchoma moto uwakamate wazee wa kimira dada umechoka kuishi

  • @MdAr-q7i
    @MdAr-q7i 3 месяца назад

    wafungwe wanaendekeza ubakaji wao wanakijiji kwanini wanapewa ngombe wanamaliza

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 5 месяцев назад +1

    Dawa yao MUNGU AWASHUSHIE TU UDONGO MWEUSI KAMA WA KIPINDI KILE,MPAKA WAKOME TOPE LIWASOMBE WOTE,HANANG NI WA HOVYO SANA

  • @ATHANASLUKEHA-ui7pq
    @ATHANASLUKEHA-ui7pq 5 месяцев назад +1

    Pole Sana mama,Queen Sendiga!namuomba mheshimiwa rais akuhamishe huu mkoa,utaugua magonjwa ya moyo na Kisukari.😢😢😢

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama145 5 месяцев назад +2

    AO WATU WANATAKIWA WAKAMATWE WANYONGWE TU KIMYA KIMYA ATA KAMA WANAFIKA ALFU WOTE NYONGA TU.

  • @danielonyango7234
    @danielonyango7234 5 месяцев назад +1

    Nyie watu wa Mkoa wa Mamyara mna utani, mnahitaji kunyooshwa, inatakiwa mjue serikali ipo na Mwenyezi Mungu yupo. BAHATI YENU

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 5 месяцев назад +1

    Ila nampenda Sana huyu qween sediga. Ameongea kwa hisia Sana kama tatizo limempta yeye hongera mama nakuombea mungu uhamishwe huo mkoa mama usije ukapata maradh ya moyo

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 5 месяцев назад +3

    Queen Sendiga Nimekupenda chapa KAZI 🎉

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 5 месяцев назад +9

    Huyu dada nampenda saana

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 5 месяцев назад +2

    Hao wazee ndyo shida ya kufunika funika mambo na pia wakiamua kutokomeza wanaweza limaliza pia tena mama hizo bonanza na bultebo zingeondolewa kabisa

  • @enezaeliakyoo2086
    @enezaeliakyoo2086 5 месяцев назад +2

    Mkuu Wa mkoa Wa Manyara Nakupenda sana. Tangu Hanang tulivyo pata majanga ulifanyika Baraka mno.Mungu Akubariki sana

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 5 месяцев назад +1

    Angeletwa Zanzibar na awe mkuu wa Mikoa yote Zanzibar

  • @nurusulley3276
    @nurusulley3276 5 месяцев назад +1

    Mungu akupe hekima zaidi ila hao wairqw wana vichwa vigumu ila ww utawamudu Samia hajakosea kukupa mkoa wa Manyara

  • @salymzoro8745
    @salymzoro8745 5 месяцев назад +1

    Huya dada mungu amsaidie maana anapambana sana na huu mkoa pamoja na mitihani inayomfika katika mkoa huo ila mungu akusimamie inshallah

  • @openmindtz
    @openmindtz 5 месяцев назад +4

    She deserves more than RC

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 5 месяцев назад +2

    Washirikina humo wamezidi sana. Mungu akubariki sana mama mchungaji

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 5 месяцев назад +6

    Mungu akutunze Muheshimiwa Mkuu wa Mkoa! Tupe masikio ya kusikia na macho ya kuona.

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 5 месяцев назад +1

    Funga kabsa hao wenye nyege za kuku shenzi kabsa

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 5 месяцев назад +1

    Samia aniteuwe mimi waone ilo doso nitakalowapa nakwambia ao vijana watatajana

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 5 месяцев назад +1

    Hao Chukua Kambi nzima ya jkt na jeshi ,piga sana week nzima wanalala nje

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 5 месяцев назад

    Mama mkoa wameshidwa wanaume wewe uwezi uko akuna mungu

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 5 месяцев назад +1

    Mama ahsante kwa ushauri huu hakika umeongea kwa uchungu mno jamii hili liqe somo kwa Taifa zima

  • @DonataJoachimu
    @DonataJoachimu 5 месяцев назад +1

    Mungu akulinde Rc wetu Queen unawatetea wasiyoweza kupaza sauti endelea kupambana malaika walinzi wapo na ww watakuepusha na hila za kichawi

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 5 месяцев назад +4

    Washenzy hao wazee was kimila.....weka ndani

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 5 месяцев назад +12

    MAMA SHUUPAVU SANA HUYU,

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 5 месяцев назад +1

    Napenda Sana Kuishi na Hao Wachawi Nawanyooshaga Kwa Kuwafata na Kuwaomya Kwa Uchawi

  • @emmanuelmarwa-r5n
    @emmanuelmarwa-r5n 5 месяцев назад

    Mheshimiwa RC hekima haina umri, namaanisha kwamba, siku hizi wazee ni wapumbavu sana! Naitamani hekima ya suleiman!!! MUNGU simama na taifa letu la TANZANIA!!

  • @SophiaAthumani-ri4lu
    @SophiaAthumani-ri4lu 5 месяцев назад +3

    Mungu akulinde kiongozi wetu nimekupenda bureee umenena, Naomba usichoke kazi Nzuri mungu akutangulie.❤❤❤

  • @AmoIslamicTv
    @AmoIslamicTv 5 месяцев назад

    Mimi ni kijana, Nimezaliwa MANYARA kiukweli nimeumizwa sana Kwa huu ushenzi unaoendelea katika Mkoa wangu japo kwa sasaivi nipo kikazi kwenye mikoa mingine, Rai yangu ninaamini katika Jeshi la polisi watawasaka hao vijana na kuwaadabisha Kabla hawajafika Polisi. Na kama hao vijana wameshindikana Mkuu wa Mkoa Nakuomba OMBA MSAADA KWA JWTZ Jeshi la wananchi hiyo kazi haitochukua hata wiki Moja nikazi ndogo sana .

  • @charlesngalison7554
    @charlesngalison7554 5 месяцев назад +1

    Rejea alichotekeleza GEKUL.

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano 5 месяцев назад +2

    Haya nayo ni magazijuto ( ) / * + - = 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 5 месяцев назад +1

    Safi piga kazi mama wewe ni mwanamke wa shoka umewazidi wengi

  • @ATHANASLUKEHA-ui7pq
    @ATHANASLUKEHA-ui7pq 5 месяцев назад +1

    So sad!when you hear this speech,you be very excited!!

  • @ibrahimmzee535
    @ibrahimmzee535 5 месяцев назад +3

    Nampenda sna huyu mama hakika unapiga Kaz Mung akusimamie

  • @amirnassoro
    @amirnassoro 5 месяцев назад +2

    Uchawi upo na mungu anaujua Sana inabidi uwe naimani sana

  • @hellenhabakkukmsellem6014
    @hellenhabakkukmsellem6014 5 месяцев назад

    Waambie tu ukweli, wafunguliwe.
    Mungu amewafumba macho kuona mali ni ya thamani kuliko utu. Unapoongea na kuweka wazi, ndio njia ya kufunguka kwao.
    HONGERA MAME NGAZI

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 5 месяцев назад

    Ndiomaana waliopata kharka ya mafuriko

  • @ev.eliezangiruketv8902
    @ev.eliezangiruketv8902 5 месяцев назад +1

    Asante Sana Mkuu wa mkoa nimekupenda bure Mungu akusimamie.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 5 месяцев назад +1

    Waliopewa.hizomngonbe wadubhwe maisha ngombe wakale wafungwa

  • @Danielhabel-v6c
    @Danielhabel-v6c 5 месяцев назад +1

    Asantemama umeongeaukweli tunahitaji viongozi kamawewe

  • @sweetbartmpanju6052
    @sweetbartmpanju6052 5 месяцев назад

    Mama ubalikiwe sana ,Wewe usigope hao, aliendani mwako nimkuu kuliko wanayoyategemea kama uchawi, kamata ,piga malufuku kamali,bonanza pia futa leseni za hayo matakataka ya wachina nasku hiz wanajifungia kwenye majumba kucheza hayo,Mama Mungu wetu nimkubwa kuliko uchawi wao mimi nitaomba Yesu atakulinda Waraka wa 1Yohana 4;4

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 месяцев назад +1

    Jamani mtoto wa miezi sita jweli maajabu ya kwanza kwenye mkoa huo

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 5 месяцев назад

    Mkuuu wa mkoa Nakuambia hivi pitisha Moto na fungua kituo cha polisi Hapo.hakikisha gari za polisi hazipoi kuwasomba waovu wote.Mungu amekuweka mkoa huo ili uusafishe,sasa utadaiwa usipo utengeneza

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 5 месяцев назад

    Hiki kijiji kimejaa wazee kushinda vijana😂😂 mama subiria usiku uingie😂😂😂 wanakupeperusha kichiz