RC Queen Sendiga ni mwanasiasa anayejua kucheza na jukwaa huwa anabadilika kulingana na mazingira, amevaa kama watu wa Hanang,anazungumza kama mzazi aliyeumizwa kilichotokea,good speech, voice up,word arrangements.Nampenda sana huyu dada.
Hizo bonanza ni nyie wenyewe viongozi mmezipokea mnapokea hadi vitu ambavyo vinakuja kuongeza waizi majumbani fukuzeni wachina wote wanaojihusisha na mabonanza pamoja na mabonanza yao shida mnaangalia tu maslahi yenu sijui mnakula rushwa kubwa sana kwa kuluhusu vitu ambavyo vinaongeza waizi
Sasa unachamba baada ya kuchukua maamuzi ndio shida ya kuongozwa na mwanamke usiwe muhubili Wewe una jeshi una police unamgambo unakaz ya kuchamba unaleta ulokole aisee kamata sweka ndani hao ma pimbi aisee
I love you lady we need women leaders in Kenya like you. Specifically in Vihiga county. I love you sister. Lets get in touch. I love tough and honest women like you. I wish you were my sister.
Mama Mungu akubariki sana sana. Mimi nimekusikiliza sana, umeueongea kwa uchungu sana, Mungu akusimamie uwe salama ufanye kazi kwa amani ili kuwasaidia wanyonge wasiendelee kufanyiwa ubaya huo. Ningekuwa Rais, ningekupandisha nafasi hata ya uwaziri ili usaidie wengi. Unafaa sana mama🙏👍💪
Mmh kumbe manyara kuna kiongozi mwenye akili na busara namna hii tena mkweli mama uko sawasawa nakuunga mkono Mungu akulinde na lolote baya, Manyara mmepata kiongozi mshindwe ninyi
Mkuu usichoke na hawa watu. Kule Meru tabia kama hizi zilizidi na ikapitishwa sheris. Kijana akikutwa anavuta bangi , akikutwa amelewa, asipoenda kushiriki kwenye misiba au akifanya jambo lolote kinyume na maadili anachapwa viboko 70 na asipojirekebisha anachapwa vingine 70 Hadi abadilike. Meru sasa hivi vijana wote waliokuwa wameshindikana wamenyooka. Pia kule hai Nako wamesnza kutumia utaratibu huu na imesaidia sana kuwanyoosha vijana waliokuwa wanalawiti na kubaka. Pole sana Mama yetu naona una uchungu sana lakini vijana wakishavuta bangi hawasikii Wala hawarikebishiki bila kutumia nguvu ya ziada. Acha wachapane wenyewe viboko usiwatafutie lawama Polisi kwani hao mateja wakipigwa kidogo tu wengine huwa hawakawii kufa.
Yaani we Mkuu WA mkoa WA manyara , umeongea lakini huo mkoa watu wamelogwa na Kwa tabia zao za kwenda kanisani ,kumbe ni waongo , wanamdhihaki MUNGU , na MUNGU kawalaani kabisa
Da😊 inakera sana tu ningekua raisi mimi Sheria zote zakiharifu ninge ondoa zamana na uchunguzi kwa mwenye kosa la kukutwa na kizibitisho. Nakuboresha uchunguzi wa taarifa fichi Kwa maofisa. Usalama.
NINGEKUWA WEWE MKUU WA MKOA NINGESEMA HIVI, KUANZIA LEO NAPIGA MARUFUKU POOL TABLE, BONANZA , KAMALI NA MIKUSANYIKO ISIYO RASMI HADI SERIKALI ITAKAVYO TANGAZA VINGINEVYO ASANTENI
Hayo ndiyo matokeo ya Ukosefu wa ajira kwa vijana, Kijana wa kiume asiye na kipato hawezi kufikiri kuoa wala kutoka kwa Mzazi,Umeongea matokeo kwa kina sana, Hukuongelea Chanzo cha tatizo kabisa ( Hakuna suluisho hapo )
Kuna eneo Moja Arusha Kuna amani na utulivu, wazee wa kimila wako makini, kijana akifanya kosa hata la kutukana hadharani, ikithibitika anakamatwa anapelekwa mtoni au porini, anachapwa viboko 70 vya nguvu na adhabu nyingine kulingana na kosa, yaani kumetulia na kuheshimiana kipo sana. Mara nyingi wahalifu wanajulikana lkn jamii au familia inawalinda.😭
Ila nampenda Sana huyu qween sediga. Ameongea kwa hisia Sana kama tatizo limempta yeye hongera mama nakuombea mungu uhamishwe huo mkoa mama usije ukapata maradh ya moyo
Mheshimiwa RC hekima haina umri, namaanisha kwamba, siku hizi wazee ni wapumbavu sana! Naitamani hekima ya suleiman!!! MUNGU simama na taifa letu la TANZANIA!!
Mimi ni kijana, Nimezaliwa MANYARA kiukweli nimeumizwa sana Kwa huu ushenzi unaoendelea katika Mkoa wangu japo kwa sasaivi nipo kikazi kwenye mikoa mingine, Rai yangu ninaamini katika Jeshi la polisi watawasaka hao vijana na kuwaadabisha Kabla hawajafika Polisi. Na kama hao vijana wameshindikana Mkuu wa Mkoa Nakuomba OMBA MSAADA KWA JWTZ Jeshi la wananchi hiyo kazi haitochukua hata wiki Moja nikazi ndogo sana .
Waambie tu ukweli, wafunguliwe. Mungu amewafumba macho kuona mali ni ya thamani kuliko utu. Unapoongea na kuweka wazi, ndio njia ya kufunguka kwao. HONGERA MAME NGAZI
Mama ubalikiwe sana ,Wewe usigope hao, aliendani mwako nimkuu kuliko wanayoyategemea kama uchawi, kamata ,piga malufuku kamali,bonanza pia futa leseni za hayo matakataka ya wachina nasku hiz wanajifungia kwenye majumba kucheza hayo,Mama Mungu wetu nimkubwa kuliko uchawi wao mimi nitaomba Yesu atakulinda Waraka wa 1Yohana 4;4
Mkuuu wa mkoa Nakuambia hivi pitisha Moto na fungua kituo cha polisi Hapo.hakikisha gari za polisi hazipoi kuwasomba waovu wote.Mungu amekuweka mkoa huo ili uusafishe,sasa utadaiwa usipo utengeneza
RC Queen Sendiga ni mwanasiasa anayejua kucheza na jukwaa huwa anabadilika kulingana na mazingira, amevaa kama watu wa Hanang,anazungumza kama mzazi aliyeumizwa kilichotokea,good speech, voice up,word arrangements.Nampenda sana huyu dada.
Mama unafaa sana wapambanie hao kina mama na mabinti zao.hao wazee wanapokea ng'ombe sioni aibu wanatakiwa wachapwe na viboko.
Kazi iendelee
Huyu ni mama anaumia hata kama ni kiongozi good speech ... Nakupenda Bure Mh
Support inahitajika maana ni mapinduzi makubwa
Hongera mkuu nimekupenda Bure MUNGU akulinde
Inauma sana laana ya mungu iwashukie wote wanaofanya mambo haya
Mungu akulinde umeongea vizuri
Ameen
Vijana wote wakatupwe Rokapo inabindi wakaowe kama hakuna Kuowa wachukuliwe hatuwa kali sana Asante Mama unajitahindi ila Basi tu.
Huyu mama anafanya poa sana katika huu mkoa ila huu mkoa dah unahitaji rehema yq Mungu sana sio siri jamani.......😊
sheria itungwe ya kuwahasi ili wasirudie tena kuwaharibu watoto hawa wakike.
Eshma yko kpz Mungu akutunze. Nyoosha kbsa pumbavu
Etii mnataka kumula mutu Bure Mama Queen upo na Kazi Sanaa katka mkoa wako
Mwenyezi Mungu tu akupee nguvu nyingi upambane hawa wabakaji
Mkoa mgumu sana huu Mungu naomba akulinde sanaaa
Kuna kitu kinaendelea sasa hivi naona wamama wapo juu katika nafasi za uongozi hongereni chapa kaz
Mama mimi nimchungaji huumkoa unaitaji ukombozi siomchezo,kila binti anamtotonyumbani chanzoni wazazi
Fact
Fact Rev,
Hongera sana mkuu
Hapo zipigwe kura za Siri kuwataja wahalifu hao, halafu waanze kukamatwa mmoja mmoja kimya kimya, ndiyo dawa.
Daudi,ukimuona Mkuu kafika hapo ujue RIPOTI anayo
Hongera sana 👍👍👍👍
Huyu mama anafaa kuwa waziri
Huyu ni kiongozi, you can tell by her voice
pole mama umeongea kwa uchungu
❤❤❤Mama mzuriii
Wakitaka yaishe wakubari uisrami dino ya wazungu uwezi wakaondoa matatizo
Ila dini ya kiarabu sio.
Natamani niwe RAC wako nikusaidie
Umukule bure....🤣🤣
Eti nyie vijana uko juu ambianeni muangaliane alafu muambiane
Hizo bonanza ni nyie wenyewe viongozi mmezipokea mnapokea hadi vitu ambavyo vinakuja kuongeza waizi majumbani fukuzeni wachina wote wanaojihusisha na mabonanza pamoja na mabonanza yao shida mnaangalia tu maslahi yenu sijui mnakula rushwa kubwa sana kwa kuluhusu vitu ambavyo vinaongeza waizi
Mmh! Kuna wanawake wenye mdomo!
Usilaumu mama ni unabii unatimia simamia ukweli tokomeza vichocheo vyote bangi gongo okoa kizazi hiki utapata thawabu mbinguni
Hongera Dana mukuu was mkoa.
Sasa unachamba baada ya kuchukua maamuzi ndio shida ya kuongozwa na mwanamke usiwe muhubili
Wewe una jeshi una police unamgambo unakaz ya kuchamba unaleta ulokole aisee kamata sweka ndani hao ma pimbi aisee
Elimu kwanza kaka Muhimu
Yan watu Wana baka nao muanze kubembeleza kisa nn
Uwezo wa RC ni weak maneno mengi ya Nini unalalamika amwambie Rais amhamishe basi
Tatizo serikali munawaachia kwa dhamana.
Makavu live😂😂
Biteko ni kiongozi anastaili sifa apewe
HUU UJUMBE ,UPO SAWA ..PONGEZI SANA...
I love you lady we need women leaders in Kenya like you. Specifically in Vihiga county. I love you sister. Lets get in touch. I love tough and honest women like you. I wish you were my sister.
Hawa ndo viongozi tunaowahitaj tanzania, Asante mama ♥❤
Kuna mzee anatingisha kichwa tu apo design anaskitika sana 😅😅😅mbona kama muhusika😂😂😂
Huyo ndiyo mkongwe wa mauwaji kimoyono anaumia dili linaharibika
😂😂😂😂😂
We frank bhana unavunja mbavu
@@frankngoloka5416😂😂😂😂😂😂
Kweli 😂😂😂😂😂
Mkuu wa mkoa:Aiseh!!! Yaani huu mkoa Aah!!!
It's so pain.
Mama Mungu akubariki sana sana. Mimi nimekusikiliza sana, umeueongea kwa uchungu sana, Mungu akusimamie uwe salama ufanye kazi kwa amani ili kuwasaidia wanyonge wasiendelee kufanyiwa ubaya huo. Ningekuwa Rais, ningekupandisha nafasi hata ya uwaziri ili usaidie wengi. Unafaa sana mama🙏👍💪
WANA MAMBO YA AJABU MNOOO HAWA WATU, NIMEISHI HUKO BBT KILA SIKU NI KESI YAANI. MKOA MGUMU SANA.
Mmh kumbe manyara kuna kiongozi mwenye akili na busara namna hii tena mkweli mama uko sawasawa nakuunga mkono Mungu akulinde na lolote baya, Manyara mmepata kiongozi mshindwe ninyi
Tunakuombea sana Rc wetu,,damu ya Yesu ikufunike
Hongera sana mama sindiga ww ni jimbe nakuaminia ❤️❤️❤️🤲🤲
Hongera sana mkuu wa mkoa, binafsi nakuomba simamia hayo uliyoyasema maana kama ni ujumbe wameupata ahsante sana Mh.
Huyu Apewe Hata Ubunge Wa Kuteuliwa Then Apewe Uwaziri
Hongera sana Mkuu wa mkoa. Kazi nzuri kamata funga hao!
🎉😂🎉😂
Mungu wa Mbinguni tunaomba ulinzi wa kiongozi wetu mpendwa,najua wewe ni Mungu wa haki utasimama na kiongozi wetu!
Mkuu usichoke na hawa watu. Kule Meru tabia kama hizi zilizidi na ikapitishwa sheris. Kijana akikutwa anavuta bangi , akikutwa amelewa, asipoenda kushiriki kwenye misiba au akifanya jambo lolote kinyume na maadili anachapwa viboko 70 na asipojirekebisha anachapwa vingine 70 Hadi abadilike. Meru sasa hivi vijana wote waliokuwa wameshindikana wamenyooka. Pia kule hai Nako wamesnza kutumia utaratibu huu na imesaidia sana kuwanyoosha vijana waliokuwa wanalawiti na kubaka. Pole sana Mama yetu naona una uchungu sana lakini vijana wakishavuta bangi hawasikii Wala hawarikebishiki bila kutumia nguvu ya ziada. Acha wachapane wenyewe viboko usiwatafutie lawama Polisi kwani hao mateja wakipigwa kidogo tu wengine huwa hawakawii kufa.
DAH!! POLE SANA MUHESHIMIWA UMEONGEA KWA UCHUNGU SANA
Yaani we Mkuu WA mkoa WA manyara , umeongea lakini huo mkoa watu wamelogwa na Kwa tabia zao za kwenda kanisani ,kumbe ni waongo , wanamdhihaki MUNGU , na MUNGU kawalaani kabisa
Da😊 inakera sana tu ningekua raisi mimi Sheria zote zakiharifu ninge ondoa zamana na uchunguzi kwa mwenye kosa la kukutwa na kizibitisho. Nakuboresha uchunguzi wa taarifa fichi Kwa maofisa. Usalama.
tubadirishane mikoa waje dar ,sisi tukaishi manyara na hao Dada zao nao waje wahangaike na Dada zetu wa dar tuone nani ataomba pooooh .....😅😅😅😅😅
NINGEKUWA WEWE MKUU WA MKOA NINGESEMA HIVI, KUANZIA LEO NAPIGA MARUFUKU POOL TABLE, BONANZA , KAMALI NA MIKUSANYIKO ISIYO RASMI HADI SERIKALI ITAKAVYO TANGAZA VINGINEVYO ASANTENI
Hayo ndiyo matokeo ya Ukosefu wa ajira kwa vijana, Kijana wa kiume asiye na kipato hawezi kufikiri kuoa wala kutoka kwa Mzazi,Umeongea matokeo kwa kina sana, Hukuongelea Chanzo cha tatizo kabisa ( Hakuna suluisho hapo )
Kuna eneo Moja Arusha Kuna amani na utulivu, wazee wa kimila wako makini, kijana akifanya kosa hata la kutukana hadharani, ikithibitika anakamatwa anapelekwa mtoni au porini, anachapwa viboko 70 vya nguvu na adhabu nyingine kulingana na kosa, yaani kumetulia na kuheshimiana kipo sana.
Mara nyingi wahalifu wanajulikana lkn jamii au familia inawalinda.😭
Huku ni kwetu asee! Sabini ake...😅
Kwani katika ukiristu Kuna mambo kuchoma moto uwakamate wazee wa kimira dada umechoka kuishi
wafungwe wanaendekeza ubakaji wao wanakijiji kwanini wanapewa ngombe wanamaliza
Dawa yao MUNGU AWASHUSHIE TU UDONGO MWEUSI KAMA WA KIPINDI KILE,MPAKA WAKOME TOPE LIWASOMBE WOTE,HANANG NI WA HOVYO SANA
Pole Sana mama,Queen Sendiga!namuomba mheshimiwa rais akuhamishe huu mkoa,utaugua magonjwa ya moyo na Kisukari.😢😢😢
AO WATU WANATAKIWA WAKAMATWE WANYONGWE TU KIMYA KIMYA ATA KAMA WANAFIKA ALFU WOTE NYONGA TU.
Nyie watu wa Mkoa wa Mamyara mna utani, mnahitaji kunyooshwa, inatakiwa mjue serikali ipo na Mwenyezi Mungu yupo. BAHATI YENU
Ila nampenda Sana huyu qween sediga. Ameongea kwa hisia Sana kama tatizo limempta yeye hongera mama nakuombea mungu uhamishwe huo mkoa mama usije ukapata maradh ya moyo
Queen Sendiga Nimekupenda chapa KAZI 🎉
Huyu dada nampenda saana
Hao wazee ndyo shida ya kufunika funika mambo na pia wakiamua kutokomeza wanaweza limaliza pia tena mama hizo bonanza na bultebo zingeondolewa kabisa
Mkuu Wa mkoa Wa Manyara Nakupenda sana. Tangu Hanang tulivyo pata majanga ulifanyika Baraka mno.Mungu Akubariki sana
Angeletwa Zanzibar na awe mkuu wa Mikoa yote Zanzibar
Mungu akupe hekima zaidi ila hao wairqw wana vichwa vigumu ila ww utawamudu Samia hajakosea kukupa mkoa wa Manyara
Huya dada mungu amsaidie maana anapambana sana na huu mkoa pamoja na mitihani inayomfika katika mkoa huo ila mungu akusimamie inshallah
She deserves more than RC
Washirikina humo wamezidi sana. Mungu akubariki sana mama mchungaji
Mungu akutunze Muheshimiwa Mkuu wa Mkoa! Tupe masikio ya kusikia na macho ya kuona.
Funga kabsa hao wenye nyege za kuku shenzi kabsa
Samia aniteuwe mimi waone ilo doso nitakalowapa nakwambia ao vijana watatajana
Hao Chukua Kambi nzima ya jkt na jeshi ,piga sana week nzima wanalala nje
Tupeleke vijana field
Mama mkoa wameshidwa wanaume wewe uwezi uko akuna mungu
Mama ahsante kwa ushauri huu hakika umeongea kwa uchungu mno jamii hili liqe somo kwa Taifa zima
Mungu akulinde Rc wetu Queen unawatetea wasiyoweza kupaza sauti endelea kupambana malaika walinzi wapo na ww watakuepusha na hila za kichawi
Washenzy hao wazee was kimila.....weka ndani
Haswaaa
MAMA SHUUPAVU SANA HUYU,
Napenda Sana Kuishi na Hao Wachawi Nawanyooshaga Kwa Kuwafata na Kuwaomya Kwa Uchawi
Mheshimiwa RC hekima haina umri, namaanisha kwamba, siku hizi wazee ni wapumbavu sana! Naitamani hekima ya suleiman!!! MUNGU simama na taifa letu la TANZANIA!!
Mungu akulinde kiongozi wetu nimekupenda bureee umenena, Naomba usichoke kazi Nzuri mungu akutangulie.❤❤❤
Mimi ni kijana, Nimezaliwa MANYARA kiukweli nimeumizwa sana Kwa huu ushenzi unaoendelea katika Mkoa wangu japo kwa sasaivi nipo kikazi kwenye mikoa mingine, Rai yangu ninaamini katika Jeshi la polisi watawasaka hao vijana na kuwaadabisha Kabla hawajafika Polisi. Na kama hao vijana wameshindikana Mkuu wa Mkoa Nakuomba OMBA MSAADA KWA JWTZ Jeshi la wananchi hiyo kazi haitochukua hata wiki Moja nikazi ndogo sana .
Rejea alichotekeleza GEKUL.
Haya nayo ni magazijuto ( ) / * + - = 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwa kweli
Safi piga kazi mama wewe ni mwanamke wa shoka umewazidi wengi
So sad!when you hear this speech,you be very excited!!
Nampenda sna huyu mama hakika unapiga Kaz Mung akusimamie
Uchawi upo na mungu anaujua Sana inabidi uwe naimani sana
Waambie tu ukweli, wafunguliwe.
Mungu amewafumba macho kuona mali ni ya thamani kuliko utu. Unapoongea na kuweka wazi, ndio njia ya kufunguka kwao.
HONGERA MAME NGAZI
Ndiomaana waliopata kharka ya mafuriko
Asante Sana Mkuu wa mkoa nimekupenda bure Mungu akusimamie.
Waliopewa.hizomngonbe wadubhwe maisha ngombe wakale wafungwa
Asantemama umeongeaukweli tunahitaji viongozi kamawewe
Mama ubalikiwe sana ,Wewe usigope hao, aliendani mwako nimkuu kuliko wanayoyategemea kama uchawi, kamata ,piga malufuku kamali,bonanza pia futa leseni za hayo matakataka ya wachina nasku hiz wanajifungia kwenye majumba kucheza hayo,Mama Mungu wetu nimkubwa kuliko uchawi wao mimi nitaomba Yesu atakulinda Waraka wa 1Yohana 4;4
Jamani mtoto wa miezi sita jweli maajabu ya kwanza kwenye mkoa huo
Mkuuu wa mkoa Nakuambia hivi pitisha Moto na fungua kituo cha polisi Hapo.hakikisha gari za polisi hazipoi kuwasomba waovu wote.Mungu amekuweka mkoa huo ili uusafishe,sasa utadaiwa usipo utengeneza
Hiki kijiji kimejaa wazee kushinda vijana😂😂 mama subiria usiku uingie😂😂😂 wanakupeperusha kichiz