RC Makonda ni mbunifu sana. Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar alibuni namna ya kuwasaidia waalimu wa shule kusafiri bure na alifanikiwa. Anafaa kuwa kiongozi japo wapo wanaompiga vita kwamba anaingilia madaraka ya wengine
Unafanya kazi nzuri sana kiongozi , Ukitoka kwenye Afya Mh , uje na hukukwenye usafi wa mazingira Arusha , magari ya kukusanya uchafu mjini zinatembea zikidondosha uchafu mji mzima mpaka ikifika dampo gari halina uchafu ni vibobo tu vya chupa za maji kwa ajili ya kwenda kuuza wao wafanyakazi . Mamlaka hazisimamii ipasavyo
Ashe Oleng.Mkuu wa mkoa nakuheshimu sana.umeshafanya mengi mazuri hapa kwetu Arusha. ombi langu ni hili tuongezee muda kwenye hili kambi, watu wengi bado hatujawaona madaktari.
Kuna mambo watanzania tunajiuliza kwani mh makonda ni peke yake tu mkuu wa mkoa nchi mzima au mbona mikoani hawawezi kuiga hiki kizuri anachofanya huyu mkuu kwa faida ya wananchi km mikoani kungekuwa Moto km Huu jmn Nani angelalamikia serikali na wakuu wengine waige Basi mazuri ya makonda kwa faida ya nchi na wananchi wake.naomba kuwasilisha.
Jaribuni tu kumpa nafasi ya kugombania nafasi ya kugombania urais, nitampa kura zangu zote ambazo niliacha miaka kama ishirini na tano iliyopita kupiga.Yangu ni dua na maombi tu, si mnaona anavyofanya hapa Arusha.nchi ni uongozi bora tu, kila kitu tunacho.
Tatizo Wakuu wamikoa wengine kabla yakua Wakuu wamikoa walikua Wakuu wafamilia zao kwaiyo wanaongozwa nahofu yakushambuliwa wao nafamilia zao kama ukipata nafasi yakumuuliza Makonda anayo yapitia kama unamoyo wafamilia Yako na Ndugu zako inaweza ukajiuzulu siku hiyohiyo kwakua Makonda ukiacha Kuteuliwa Na Raisi Kateuliwa Na MUNGU ndio maana unaona anafanya Hayo anayofanya ila Vita anayo pitia Nikubwa kuliko Umri wake ila Kwakua Mungu ndio kamteua ataendelea kufanya hayo anayo yafanya nakama Mkuu Wamkoa yeyote ataiga basi hatochukua raundi maana Vita nikubwa sana Tena sana Mungu aendelee kumlinda nakumtunza maana ni Hazina ya Taifa Mungu Mbariki Makonda Mungu Ibariki Tanzania
Makonda anafanya kazi vizuri,anajua maisha halisi ya mtanzania wa kawaida,anajua mateso ya wananchi,sio mbinafsi na anaupendo wa kweli na hofu ya MUNGU ,tumuombee sana kwa M MUNGU aendelee kumlinda na ipo siku ataikomboa Tanzania, MUNGU ambariki sana mh Paul Cristian Makonda 🙏🙏🙏
Serikali ingeweza kuweka huduma za afya bure kwasababu mfano Leo Mgonjwa anatibiwa anapata Dawa je akimaliza Dawa Muendelezo wao unakua sio Mzuri kutokana na ugumu Wa upatkanaji Wa huduma na gharama za Dawa na huduma kwa ujumla
Hizo kambi zinaweza kusaidia watafiti kukusanya Data ambazo zinaweza kutumika kwenye uandaaji wa Bajeti ya Wizara husika. Lakini pia inaonesha changamoto ziko mahali gani.
Makonda kakaangu Mungu akubariki sana kwaani kazi yako njema .
Mungu awabariki wore waliowezesha zoezi hili Mungu watie nguvu na ujuzi zaidi madaktari wote
RC Makonda ni mbunifu sana. Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar alibuni namna ya kuwasaidia waalimu wa shule kusafiri bure na alifanikiwa. Anafaa kuwa kiongozi japo wapo wanaompiga vita kwamba anaingilia madaraka ya wengine
Mungu akupe maisha marefu makonda
Unafanya kazi nzuri sana kiongozi , Ukitoka kwenye Afya Mh , uje na hukukwenye usafi wa mazingira Arusha , magari ya kukusanya uchafu mjini zinatembea zikidondosha uchafu mji mzima mpaka ikifika dampo gari halina uchafu ni vibobo tu vya chupa za maji kwa ajili ya kwenda kuuza wao wafanyakazi . Mamlaka hazisimamii ipasavyo
Be blessed 🙏 makonda,,,,Wakuu wa mikoa mingine ni machawa wa ufisadi
Kaskazin tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin na hospital ya Rufaa ya mkoa wa Arusha
Uko vizuri Makonda
Wallah nasikia mpaka kulia nikimwangalia makonda jinsi gani alivyo na upendo na watanzania
Ee mwenyezi Mungu tunakuomba uwabariki, wainue na uwajalie afya njema wote wenye moyo wa dhati wa kuhudumia jamii yetu.
Ashe Oleng.Mkuu wa mkoa nakuheshimu sana.umeshafanya mengi mazuri hapa kwetu Arusha. ombi langu ni hili tuongezee muda kwenye hili kambi, watu wengi bado hatujawaona madaktari.
Tukiwa na Akina Makonda
Kwa idadi ya mikoa ya Tanzania nchi ingekwenda mbali
Kweli kbs arusha kwa.nyama ni shida wanapenda sn hasa kule kwa mrombo wa2nwamefurika kila sk😅
Hicho n kipimo kwamba watanzania wengi hawana uwezo wa kufikia huduma za afya kwa sababu mbalimbali haswa za kifedha
Kaskazin tunahitaji hospital ya kanda ya kaskazin kcmc Wana hujumu hospital za serikali
Ni Baraka sana sana
Mambo ya kushusha jinsia haina tofauty na kusuport ushoga
Hii nchi inahitaji uongozi bora tuu kila kitu tunacho
Tatizo Kaskazin mumeitenga sana haina hata Hospital ya kanda ya kaskazin
Mungu mbariki makonda
Kwel watanzania ni wagonjwa sana ee Mungu tusaidie
Kuna mambo watanzania tunajiuliza kwani mh makonda ni peke yake tu mkuu wa mkoa nchi mzima au mbona mikoani hawawezi kuiga hiki kizuri anachofanya huyu mkuu kwa faida ya wananchi km mikoani kungekuwa Moto km Huu jmn Nani angelalamikia serikali na wakuu wengine waige Basi mazuri ya makonda kwa faida ya nchi na wananchi wake.naomba kuwasilisha.
Tatzo ushawishi wa mtu husika kka huyu mtu anajua kuvutia taasisi yyote na ikamwelewa.
Jaribuni tu kumpa nafasi ya kugombania nafasi ya kugombania urais, nitampa kura zangu zote ambazo niliacha miaka kama ishirini na tano iliyopita kupiga.Yangu ni dua na maombi tu, si mnaona anavyofanya hapa Arusha.nchi ni uongozi bora tu, kila kitu tunacho.
Tatizo Wakuu wamikoa wengine kabla yakua Wakuu wamikoa walikua Wakuu wafamilia zao kwaiyo wanaongozwa nahofu yakushambuliwa wao nafamilia zao kama ukipata nafasi yakumuuliza Makonda anayo yapitia kama unamoyo wafamilia Yako na Ndugu zako inaweza ukajiuzulu siku hiyohiyo kwakua Makonda ukiacha Kuteuliwa Na Raisi Kateuliwa Na MUNGU ndio maana unaona anafanya Hayo anayofanya ila Vita anayo pitia Nikubwa kuliko Umri wake ila Kwakua Mungu ndio kamteua ataendelea kufanya hayo anayo yafanya nakama Mkuu Wamkoa yeyote ataiga basi hatochukua raundi maana Vita nikubwa sana Tena sana Mungu aendelee kumlinda nakumtunza maana ni Hazina ya Taifa Mungu Mbariki Makonda Mungu Ibariki Tanzania
Makonda anafanya kazi vizuri,anajua maisha halisi ya mtanzania wa kawaida,anajua mateso ya wananchi,sio mbinafsi na anaupendo wa kweli na hofu ya MUNGU ,tumuombee sana kwa M MUNGU aendelee kumlinda na ipo siku ataikomboa Tanzania, MUNGU ambariki sana mh Paul Cristian Makonda 🙏🙏🙏
Maana kila nikingia mitandaoni naanza kumsach makonda anafanya nini
😂😂😂😂😅😅
Nikiongozi anaejitambua
kAMERA MAN.. alie kuruhusu uipige picha Laptopu ya prof janabi Nani❓❓
Serikali ingeweza kuweka huduma za afya bure kwasababu mfano Leo Mgonjwa anatibiwa anapata Dawa je akimaliza Dawa Muendelezo wao unakua sio Mzuri kutokana na ugumu Wa upatkanaji Wa huduma na gharama za Dawa na huduma kwa ujumla
Nashkuru na kufurahi leo kumuona makonda anasema na kufanya kitu
HIVI MINAJIULIZA YAMA MAREDIO YAKIBONGO MBONA HAMUMUONGELEAGINMAKONDA WAKATI ANAFANYA KAZI NZURI SANA
Si umuongelee wewe,kwani umekatazwa?
Mkumbuke ya loliondo
Mheshimiwa Janabi Mungu amekutuma endelea na moyo huo
Amusanua nini uzushi tu na lugha za media na uzushi na unaaana gani kusema amemsanua hovyo wewe
Uzushi
Hata Mimi kaniudhi sana huyu wa media eti prof Janab amsanua Makonda wivu tu wa kazi za makonda!
Hongera sana Mh Makonda.. Mungu akubariki
Hata mimi nimeshangaa kamsanua je sasa
Hizo kambi zinaweza kusaidia watafiti kukusanya Data ambazo zinaweza kutumika kwenye uandaaji wa Bajeti ya Wizara husika.
Lakini pia inaonesha changamoto ziko mahali gani.