MPINA JESHI La MTU MMOJA APANGUA ADHABU ALIYOPEWA na BUNGE "Haki ni Lazima Itendeke",......

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 21

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 месяца назад +4

    VIVA MPINA MANAFIKI YANAJIKANYAGA TU

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 3 месяца назад +2

    kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY

    • @wemakyagunya1895
      @wemakyagunya1895 3 месяца назад

      Itakuwa safi sana Mungu afanye hilo litokee

  • @jumbemkilla9556
    @jumbemkilla9556 3 месяца назад +1

    Tuko pamoja kiongozi ktk kuwafanya viongozi walioapa kuilinda katiba badala yake kuikanyaga kanyaga lazima wafundishwe kwa kupelekwa mahakamani.

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 3 месяца назад +1

    Mpina akili huna,wanaokushabikia humu mitandaoni sio wabunge,huwezi kupata msaada zaidi ya kujimaliza mwenyewe

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 3 месяца назад +1

    Hamia upinzani kaka

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 3 месяца назад

    Mpina wewe Wafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania uwezo huo unao na Uongozi unauweza.
    Hakika Mungu akusimamie Tanzania ikipata wabunge 100 tu wenye nia thabiti kama wewe Nchi yetu itapona kwa yanayoendelea na tuyaonayo kiukweli yanaumiza mioyo yetu kama watanzania.Endelea kututetea.

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 3 месяца назад +1

    Wewe ulipaswa kuwa makam wa rais wewe msukuma mwenzangu unahofu namungu simama imara

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 месяца назад

      Tatizo la ukabila ulilonalo ni dalili ya ushamba,obvious tunajua ninyi ni washamba kwahiyo sishangai sana

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад

    He isclever head and genius for ourdays.incabinates.

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 3 месяца назад +1

    Ww siulikuwa waziri wacha zako

  • @GBhahat
    @GBhahat 3 месяца назад

    MAONI YANGU MWANAINCHI " MHESHIMIWA SPIKA TULIA NI MWANA SHERIA ,ASIACHE WABUNGE WA WIN KWA KILA WANACHOTAKA AU KUFILIA! WAKIFARANSA HUSRMA" JE TE LAISSE PAS GAGNE " TON PANSE"😂!ADHABU IKITOLEWA HAIPUNGUZWI ,WALA KURUDIWA TENA ! ITAMANISHA NINI AU KULETA PICHA GANI KWA,SPIKA NA WANAINCHI??

  • @TonnyLucious-qd1oy
    @TonnyLucious-qd1oy 3 месяца назад

    The incredible mbunge

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 3 месяца назад +4

    mpina ndo kionzi ambaye anapaswa. kukipwa mshahara wa kibunge coz ndo mtu anayejua nini maana ya ubunge

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 месяца назад +2

      Hana lolote huyo Mpina spika ni mwanasheria anajua analofanya

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 3 месяца назад

      Kama anajua analofanya mbona hajasikiliza hoja zake za tuhuma za Bashe kulindanya Bunge kuhusu uagizwaji wa sukari

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 3 месяца назад

      Hivi unawasikiliza au unashabiki upupu kujua sheria ndo kuvunja sheria​@@halimamasai2234

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 3 месяца назад

      ​@@robertzamani5612wanyonyaji mnajuana kwa kuteteana mpina KICHWA

    • @wemakyagunya1895
      @wemakyagunya1895 3 месяца назад

      Exactly