MPINA AMKAANGA VIBAYA SANA SPIKA TULIA, "Kwanini Alikaa Kimya Wakati wa Mkataba wa Bandari,.?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 113

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 3 месяца назад +11

    kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 3 месяца назад

      tutaongoza kwa uchumi africa

    • @LinusAmanimbeye
      @LinusAmanimbeye 2 месяца назад

      Wataongoza Kwa uchumi upi wakati Kila sehemu yenye pesa tumewapa wa gen

    • @charlessheks7166
      @charlessheks7166 2 месяца назад

      Hahaha nikiberit na petrol...

  • @vicentlusana4550
    @vicentlusana4550 3 месяца назад +8

    Uko vizuri sana mhe tuko pamoja tunakuombea sana na mungu tunaamini atakurinda

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 месяца назад +6

    Mpina"serikal hii ukijaribu tu kutetea wananchi ww ni adau waoo!

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад +10

    Muheshimiwa mpina sisi tunakuelewa Sasa tena sana

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 3 месяца назад +5

    Mheshimiwa mpina Mwenyezi Mungu atakuzidishia nguvu endelea kupambana kwani huo ndio utawala bora hapa duniani mpaka akhera !

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 месяца назад +1

    Kaka mpina hapa nchini Tanzania ukisema ukweli ni mwiko Kwa ccm utatengenenzewa uadui wa Hali ya juu hata msukuma ni mbaya sana hapendi wabunge wanaosema ukweli hapo ndani

  • @SamwelShigemelo-e1y
    @SamwelShigemelo-e1y 3 месяца назад +4

    Kaka nakukubali sana njoo kisesa 2025 mitano tena yako. By shigemelo shigemelo

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 3 месяца назад +8

    Mpina na makonda chukueni form za uraisi huyu mama samia na spika wake wazinguaji tu,,, nchi kubwa kama Tanzania badala ya kusambaza sukari eti tunasambaziwa sukari na nchi ndogo kabisa,
    Madini yetu yanasombwa tu sijaona yyte akikamatwa inamaana kwamba hakuna wizi kweli ebu tutafakari kwa kina
    Raisi samia anapwaya sana

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 месяца назад +6

    Spika wa mchongo huyooo"tuna kuelewa saaaaana mpinaaa

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 месяца назад +1

      SPIKA WA MCHONGO NI YULE ALIEKATAA KUMTIBU TUNNDU LISSU ALIPOPIGWA RISASI KWA MAONEVU BUNGENI NJE NA WAKAMFUKUZA UBUNGE NA HAWAKUMLIPA STAHIKI ZAKE ZAKE AKINA MPINA NA NDUGAI WALIBARIKI HUO USHENZI.HUYO NDIE ALIEKUWA SPIKA WA MCHONGO .

  • @Daniellekauro
    @Daniellekauro 2 месяца назад +1

    Nani kama luaga mpina huyu mbuge ni siries kututetea karibu kututembelea mkoa wa manyara Niko na ngombe Yako Kwa ajili ya maendeleo unayotakia Tanzania

  • @elinasilukumay3221
    @elinasilukumay3221 2 месяца назад +1

    Anzeni kukinywea kile kikombe alicho kinywea Hayati Edward Lowasa kwenye bunge hili hili

  • @mtakamatv
    @mtakamatv 3 месяца назад +3

    Hao siku zote wanakuwaga na mipango Yao, ya kutetea ufuisadi wao ndio maana siku zote bunge letu haliwapendi watu wakweli,na siku zote hupambana na watu wakweli kama mpina

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 3 месяца назад +2

    Spika kageuza hii nchi ni ya mamaake

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 3 месяца назад +3

    Tafuta mwanasheria waumene na Speaker wa bunge ,haki yako itajulikanatu

  • @madreks253
    @madreks253 2 месяца назад

    Katiba lazima ibadilishwe na serikali livunjwe...Viongozi wengi na Raisi mafisadi wakubwa...ukiwa mchapa kazi wanakushitaki...hamna utendaji wa haki nchi hii...

  • @kwayugeneral2192
    @kwayugeneral2192 3 месяца назад +2

    ila hata wewe ulipokuwa waziri uliumiza watu sana, yaani mii na utu uzima huu sikuwahi kuona waziri aliyeumiza watu kama huyu mpini enzi zake jamani, haswa kufungia viwanda na kupiga faini kubwa zisizolipika yaani basi tuu, pambana tuu na hali yako maana hata wee ulikuwa zaidi ya dikteta na kujiona mungu mtu aisee

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 3 месяца назад +3

    Hii nchi kazi sana. Kama mbunge anapigwa hivi. Mimi nifanyweje. 😢😢😢😢😢😢 Dah.

  • @w.j6088
    @w.j6088 3 месяца назад +2

    Hata mimi mwananchi wa kawaida kabisa tena la saba D niligunduwa waziwazi kuwa umeonewa, sipika ni kama vile imepwaya eti!

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 месяца назад

    😮Acheni kuchanganya chuki na mpina kusimamishwa bungeni. Mpina kosa lake kubwa nikwenda kwenye vyombo vya habari na ushaidi ambao tayari amepeleka kwa spika .mpina usicheze na sheria .kusema sema hakutakusaidia mpina

  • @InnocentPetermasonyi
    @InnocentPetermasonyi 2 месяца назад

    C.c.m ni majizi hawajitambui spika wa mchongo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 месяца назад

    Mpina wewe Tanzania imekuamini.kwann ushindane kama uko sawa wakusemee wengine ila saizi upendo.haupo nyie.shetani kishaivamia.dunia.yaan wabunge hawapendani.da

  • @charleswakupyera2954
    @charleswakupyera2954 2 месяца назад

    Nauona uzalendo ndani yako hao wengine wapiga madiri samia akupe uwaziri tu

  • @AmosChege-n7u
    @AmosChege-n7u 2 месяца назад

    Mpina wewe ni mzalendo tuko pamoja na usikate Tamaa gombeeni na makonda urais tutawapa kura
    ni

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +1

    Tz ni kama hatuna rais na kama upo hana uchungu wowote nanchi watu wake ndo maana kumeja ufizadi wa hali ya juu

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 Месяц назад

    Hako ka supika sijui walikazolea wapi tu????😢

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 месяца назад +3

    Hamia chadema baba"wew sio wa hukoo

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад +1

    Ni bunge la viongoziwenye akili kulikowananchi wanao zidi milioni60.

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 2 месяца назад

    MPINA AMIA CHADEMA WATANZANIA WOTE TUMEKUELEWA NA CCM TUNAIELEWA KUA NI CHAMA CHA UKOOO SIO CHAMA CHA KUTETEA WANANCHI SISI TUMESHAKUELEWA NA CCM TUNAIJUA VZR NA MALENGO YAKE CCM AINA NIA NJEMA YA KUWANUFAISHA WANANCHI CCM HIPO KWA MASIRAI YAKE BINAFSI TUNAJUA NA CCM NDIO JANGA LA TAIFA. HILI TUNAJUA

  • @charleswakupyera2954
    @charleswakupyera2954 2 месяца назад

    Kaka wewe msema ukweli mwachie mungu apigane nao

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 2 месяца назад

    Hawa wote wameiga kwa Nyerere hata yy alikua akiambiwa ukwel ni shida hiii ni laaaana itakula kizaz na kizaz CCM hawawez kila kitu

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 месяца назад +4

    Mpina umekaa bungeni miaka 20 imeisha hiyo tafuta nyingine sisi unaotushitakia hatuna nguvu yoyote pambana na hali yako

  • @Dealson-w5l
    @Dealson-w5l 2 месяца назад

    Alaf rais ankaa kimyaaaa kam hyaonii hii nchii bhana

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183 3 месяца назад +1

    Mpina nazi huwa aishi ndani na jiwe,we kaa kimya jitasimini. Kuongea KTK media husaidia pole.

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu 2 месяца назад

    Tuna mahakimu wengi mkubwa ni tulia

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh 2 месяца назад

    Mko pekeenu lkin mmekuwa kama manyani

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 месяца назад

    Shetani havai kanzu ira ukweri

  • @stellahizza
    @stellahizza 2 месяца назад

    Wabunge 19 wa chadema
    6:45

  • @nicodems7984
    @nicodems7984 2 месяца назад

    Njoo chadema wewe ni m2 muhim

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 месяца назад +8

    Hii awamu ya sita ni ufisadi tu, be blessed 🙏 mpina

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 месяца назад

      JEE AWAMU YA TANO ILIYOKUWA UKIWA MZALENDO NA MSEMA KWELI UNAULIWA,UNATEKWA,AU UMEKOSEKANA UNAPIGWA RISASI KARIBU YA KUFA TENA BUNGENI NJE HUKU CAMERA ZIKIWA ZIMEZIMWA NA WENYE MAMLAKA LISU HAKUTIBIWA WALA HAKULIPWA STAHIKI ZAKE.LAKINI KWAKO WEWE AWAMU YA 5 NDIO YA KISHENZI ZAIDI EEEE.UNA LAKO KAMA HUYO MPINA.MAANA USHENZI HUO WAKIFANYIWA WATU MPINA ALIKUWA WAZIRI WALA HAKUWAHI KUKEMEA UDICTATOR HUO.

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 месяца назад

      Mimi naona awamu ya tano ndio imeongoza zaidi ufisadi cag Proffesor Assad aliweka wazi wizi aliofanya Maggu Ikulu wa trillioni moja na nussu na Magu huuo huyo akawa anakwepesha mahesabu ya daraja la Kijazi,sgr na mradi wa bwawa wa Rufiji kila Assad alipokuwa anahitaji nyaraka za hesabu na matumizi ya miradi hiyo mikubwa 3 bwana Magu akawa anazungusha,Jee unajujua nini kuhusu hela za prebagaining ni aibu jee unajua nini kuhusu yale madini yaliyokwenda kujengewa ukuta kule Arusha na walinzi kuwekwa wanajeshi ni kichefuchefu.Kaa kimya wewe mfuata mkondo na bendera maana Wadanganyika wengi mko hivyo.Ujinga ignorance.😊

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад

    Mpena he lekanaga nabo ila umewakomesha bugota bulolo babongwaga bakwebaaa lekanaga nabo baba

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 3 месяца назад +1

    MUNGU akusimamie Kaka, hakika wewe ni mtu wa maana sana Tanzania

  • @charleswakupyera2954
    @charleswakupyera2954 2 месяца назад

    Wamekwelewa makusudi tu

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад +2

    Ni mbunge wa wote

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 3 месяца назад +1

    Nenda mahakamani kafiri wewe

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p 2 месяца назад

    Kumeanza kuchangamka

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 3 месяца назад

    MWAMBA UNATIISHA...WEWE.MAKONDA.BASHE...NK...MNATISHA KAMA KIMBUNGA...PAMBANIENI WANYONGE PASINAKUCHOKA...HAWA VIONGOZI MADEMU....VICHOMIII

  • @AmiriAmiri-x2z
    @AmiriAmiri-x2z 2 месяца назад

    wanainch wa mbeya kuwen makin 2025.luhaga mpina kaonewa hadharan.inaoyesha mheshimiwa bashe huo upigaji kwenye sukar hayupo peke ake.mungu tusaidie tanzania. munguulindeheshimiwa mpina mtetez wa wanyonge.

  • @shalomluwamba2583
    @shalomluwamba2583 2 месяца назад

    Mpina hiki kichwa

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 месяца назад +1

    Unaeleweka sana sana.

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite1676 2 месяца назад

    Siyo bandari tu.! Wa masai loliondo huo wote upigaji lakini mungu yupo ahsante

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 2 месяца назад

    Wapiga kura Mbeya Mjini nadhani mnamwelewa Mh!Moina na kamati ya chama changu CCM nadhani mmemsikia Mpina sasa kama tunalitaka jimbo la Mbeya mjini basi tumsikie vyema Mpina

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 3 месяца назад +1

    Bwana ulipewa mda wakuleta ushahidi wa kumtuhum Bashe

    • @GaspercomedyTv
      @GaspercomedyTv 2 месяца назад

      Acha ujunga sawa watu tuko seriously na haki za watanzania alafu unable comment ujinga

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 3 месяца назад

    Duuu!! Yaan aliewekwa pale ktk bunge hakufaa kua pale kuongoza bunge ,aliwekwa tu ilimradi

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 3 месяца назад

    Hakuna spika hapo njaa tu anaitetea selekari sisi tumekuelewa sasa tunasubiri uchaguzi kama atarudi bungeni spika sijui

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 2 месяца назад

    Mpina Mungu awenawe daima upo ktk haki, bali Bunge limekaliwa na wapigaji tupu, Msukuma nae katoka ktk misimamo yake

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 3 месяца назад

    Kwa sasa rasmi Mpina,hutakiwi tn kujulikan km Mbunge,bali ww ni "Mwana harakati wa Taifa".Wanaodai ni Malipo ya Ulichokfny Wizara ya Uvuvi,nafkir bd Wapo usingizini,cku wakiamka watakuelewa

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 3 месяца назад

    WAJINGA NDO WANAENDESHA NCHI KWAIO WEREVU WAMEGEUKA KUA TISHIO KWAO

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 3 месяца назад

    Ww unatatizo la kukosa uwaziri hulidhiki kuwa mbunge wa kawaida unataka uwaziri kwa nguvu kubwa nakushauri ujitulize kwani kulalamika kwako ktk medir haito kusaidia zaidi ya kuchukuliwa hatua na chama chako.

  • @wilsonmarco-n9w
    @wilsonmarco-n9w 3 месяца назад

    Inchi itasimama,umakini unahitajika, Mpina ana sifa ya SHUJAA

  • @wilsonmarco-n9w
    @wilsonmarco-n9w 3 месяца назад

    Inchi itasimama,umakini unahitajika, Mpina ana sifa ya SHUJAA

  • @YusufuDunga
    @YusufuDunga 3 месяца назад

    Shida ya bunge kama kuna kitu ndani yakapeti,ukiwa mbele unatolewa kafara,mpina nimsema kwel,i mungu atakupigania

  • @BritonMahundi
    @BritonMahundi 2 месяца назад

    nchi yetu ina tolii sna ......sema poa.........twende tuishi....

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 3 месяца назад

    Mpina mungu akulinde sana. Hawa watu ni wabaya sana. Nchi inahitaji serikali mpya hawa walio madarakani hawafai tena

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 3 месяца назад

    Mpina piga spana washenz hao waovu wasiolipenda taifa kwanza haya ndio madhala ya kuwa na viongoz wanawake taifa linaangamia kila upande

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 3 месяца назад

    Unasema login kabisa Mh Mpina yaani uonevu mkubwa sana CCm

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 3 месяца назад

    Mh.Mpina 🤝👏💪🏽🙏🏼
    Piga kazi Mpina stand for the truth you mast stand alone 👍

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 3 месяца назад

    Mwabukusi msaidia kijana huyu mzarendo

  • @chazzkayoka9205
    @chazzkayoka9205 2 месяца назад

    Tulia ni ng'ombe na hastahili kuwa sp******

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu206 3 месяца назад

    Ili uwe shujaa ni lazima ukutane na vizingiti🎉🎉

  • @ireneFelix-j3y
    @ireneFelix-j3y 3 месяца назад

    Kama una nia ya kuwasaidia wananchi nenda Chadema ndio watetezi wa wananchi

  • @ProsperSimba-n2l
    @ProsperSimba-n2l 3 месяца назад

    Tunakuelewa sana muheshimiwa hii nchi haiwataki wenye haki kabisa.

  • @WillywiliamkihongossKihongoss
    @WillywiliamkihongossKihongoss 2 месяца назад

    Wapenda haki wote niadui wawalarushwa

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 3 месяца назад

    Mpn umekwisha feli kipind cha ngosha mwenzio kilikuwa chaukabila sana kavue samaki za makombora

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 3 месяца назад

    Mpina ni kiongozi Bora Sana huyu anatufaa kuwa mkuu wa nchi

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 3 месяца назад

    Wizi umefichwa bashe jiuzulu

  • @emmanuelkamoli8215
    @emmanuelkamoli8215 3 месяца назад

    Mm sipo upande wwt ila Mpina mmmh?

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 3 месяца назад

    Badilishana namsigwa

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 2 месяца назад

    Simama

  • @JoshuaBasil-gp5wz
    @JoshuaBasil-gp5wz 3 месяца назад

    A strong person is that who stands alone.

  • @NestoyChotta-wk8bl
    @NestoyChotta-wk8bl 2 месяца назад

    uko vizuri mpina

  • @IsackTumbo-uw3fe
    @IsackTumbo-uw3fe 3 месяца назад

    Kisesa oyeeee.

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 3 месяца назад +2

    Hana lolote anatafuta huruma wa wananchi. Kusahau alivyotia watu njaa akiwa waziri wa uvuvi na mifugo. Watu wamekuwa masikini mpaka leo.

    • @jonfredkewe3451
      @jonfredkewe3451 3 месяца назад +2

      Wewe ndo huna akili mpina anaakili

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 3 месяца назад +2

      Kama ulivunja Sheria kwenye samaki wetu na manyavu yako haramu ulitaka uletewe mikate? Hao wenzio nao wameyakanyaga kwenye sukari kinyume Cha Sheria moto ule ule na hana time ya kutafuta huruma kwa wajinga

    • @gabrielmoses6860
      @gabrielmoses6860 3 месяца назад

      Hakika ,,,jamaaa anatafuta huruma

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 3 месяца назад

      Spika alikuaga vzr mwanzon sihiz anapuyanga myaki mwenzangu daah ila bas tumwachie MUNGU anaejua kuhukumu kwa haki,

    • @mtakamatv
      @mtakamatv 3 месяца назад

      Tusiwe waropokaji pasipo kupima hoja ya mtu,kama huelewi kaa kimya,hata kama mpina anamadhaifu mengine ila kwa hoja hizi Yuko sahihi,na anawatetea wananchi,au wengine hamkununua sukari kilo elfu sita?

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 3 месяца назад

    Kaka tunakupa mitano tena

  • @DominikiChristian
    @DominikiChristian 3 месяца назад

    Nimont ikowapi

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 месяца назад

    Mwendo wa kuibia umma tu

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 3 месяца назад

    Umeshakwisha mzee

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 2 месяца назад

    Congratulations

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 3 месяца назад

    Tatzo uwaziri

  • @GaspaMwamlima
    @GaspaMwamlima 3 месяца назад

    Mpina the giant

  • @hellenmarandu1787
    @hellenmarandu1787 3 месяца назад

    Unamfundisha boss kazi duuh

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 3 месяца назад +1

    Hayana nafasi kwa sasa ungeyasema kwenye kwenyekamati

  • @rashidabdallah5825
    @rashidabdallah5825 3 месяца назад

    Kwan hukumu imetolewa na spika au kamati ndo imeshauri hukumu yeye akaitangaza hukumu

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад

    Mbona vikao kumi kidogo sana