Hata mimi uwa simwelewi msukuma,yaani alivyomsinichi msukuma mwenzie,sikutarajia.alitakiwa awe upande wa msukuma mwenzie au anyamaze kimya , wasukuma wa Geita mwangalieni sana huyu msukuma,ovyo sana hafai.Mpina safi
Musukuma ni mjinga. Anajipendekeza kuficha ukosefu wake wa elimu. Sidhani hata anaelewa sheria. Huyu alimushutumu hata Magufuli. Musukuma anamusifu speaker eti kwa kuwa amepigiwa kura na mataifa makubwa. Kwa nini hatujiamini, tunaamini wagęni na wazungu wakihusika na kitu ndiyo tunaamini. Kuna wengi walipigiwa kura na kupewa nafasi kubwa, kwenye umoja wa mataifa, lakini hawakusaidia chochote. Wakati Rwanda wanauwana, UN tulikuwa na kiongozi mwafirika aliyechaguliwa na mataifa yote, na ha kufanya chochote na kuacha wanyarwanda kuuwana..
Ukweli uonevu uliofanyika kwa mpina ni namna ya kutuonyesha sisi wananchi kuwa, kumbe wabunge wote nchini wapo kwaajili ya maslahi yao wenyewe, na sio wananchi. Alafu pia japo sio wote ila unafki umekidhir sana hapo bungeni. Ndio maana mmemtoa mtetezi wa wanyobge.
Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.
Mpina baba don’t give up. Hawa watu tunawajuwa. Ni ka group dogo wanataka ku control mali zawo, na kuifanya Tanzania ni mali yawo. Watu wasema kweli wananyamazishwa , ama wana tupwa CUBA kusikokuwa na mawasiliano ili watanzania wabaki gizani. Wanayo yafanya yatawadhuru mpaka vizazi vyawo. Tanzania ni ya watanzania wote na sio ya watu wachache. Wakitaka Tanzania iendelee kuwa nchi ya amani, lazima haki itendeke kwa wote. Selective justice inaweza kuleta madhara makubwa nchini.
Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.
Ccm hawana hoja za kuishauri serekali hivyo wanakushangaa wewe mbona bado unahoja za msingi! Ndo kosa lako mpina kosa lako hakika nikuwatendea haki watanzania
Kama ingekuwa Katiba mpya ipo tayari figisu za aina hii zingepungua. Mbunge ni wa wananchi.. Kuwa na mgombea binafsi ni jambo zuri katika ustawi wa nchi.
Mpina unajua kukielenza vizuri watu hawajielewi wanajichanganya kweri uko sawa chapa kazi ewe ni mbunge unapo mtoa mpina wananchi wake wanaathirika harafu mnapiga makofi tu
Mwanawane kuna maslahi hapo ya watu Mungu anatoa jibu taratibu na bado wengi watatolewa January Makamba huyoooo Nape Huyooo na bado wengine wanafuata na mama atajaza Wanzanzibar wenzie
Ulitaka sukari iuzwe bei ya 10,000 kwa kilo, ndio uone sahihi. Waziri Bashe amejitahidi bei ya sukari kushuka, ameingiza sukari kwa kiasi kikubwa. Waziri Bashi amewatenga hao unawatetea / wafanyabiashara ambao walificha sukari na kuchelewa kuagiza sukari ili bei ipande, kuna ubaya gani kuwapa watu\wafanyabiashara ambao hawamiliki viwanda ili waagize?. Kuna ubaya gani Waziri Bashi kutoa vibali vya kuagiza kiwango kikubwa cha sukari ili watanzania wanunue sukari bei chini Hongera, Waziri watu kama wakina Mpina wanatumika asikukatishe tamaa, piga kazi
Anajulia wapi @@marandoruzali1946? Angalia swalia alilo uliza et "kunaubaya gani, kuwapa vibali wasio na viwanda kuagiza sukari?" Yaan hata maelezo ya Mpina hayaelewi, hajui kama ni kosa kisheria kufanya hivo!! Unaona kunaakili hapo, huyu anafuata ushabiki na sio hoja.
Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama
Ukweli uliousema pale bungeni ndio unakuhukumu mpina ccm baadhi yao hawajitambui kabisa ila wananchi tunayaona na tunayasikia ngoja tusubiri sanduku la kura
Mbona hiyo ya makofi ndo kawaida yenu yulioko pembeni uwa tunashangaa makofi yanayopigwa kama uwa mnaelewa mnachopigia makofi.pia wabunge guess awasomi.
Hongera mpina tuko pamoja sana tunakupenda na huyu mungu akasimame na wewe sasa huyo msukuma anajijua elimu hana ni darasa la saba ck hizi msukuma amekuwa wa hovyo kabisa elimu yake imezidi kuwa zero maana tunamwona jinsi anatetea vitu vya ovyokabisa arudi shule yule kapoteza dira na uzee unamjia vibaya hata swala la bandari alikuwa mstari wa mbele kukubali iunzwe
Kunawabunge wengine niwalaji umo broo wewe uko vizuli broo usikubaliane nao hawo wanaotaka kutukandamiza wanyonge kilajambo litakalotolewa bungeni lisiokua sahiiii likatae broo mpinna wewe fanya kazi wao wanaona kama vile unavujisha sili lakn sisi wanyonge tunaona unafanya kazi nzuli sana natunamuomba mwenyezi mungu akupe maisha malefu wewe nmtetezi wawanyonge
Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona
unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala
Samia wetu ebu tafakar hili, ni haki mbunge apewe adhabu inayopelekea wananchi wake kutelekeza, au ni nani amewekwa kwenye nafas yake ya kutusemea hapo bungeni pindi atakaporudi??
ULIMI ULIKIPONZA KICHWA KIZIMA , MPINA UMEKOSEA SANA UTARATIBU UNAUJUA UONGOZI SIO KUROPOKA ROPOKA BALI NI BUSARA NA HEKIMA, ULITAKIWA KWENDA KWA KIONGOZI WAKO KABLA YA KUROPOKA
Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka
Yani hapa tumeadhibiwa sisi wananchi kwa kosa la mbunge wetu, inauma sana,
ka msukuma shida ni elimu halafu kanajifanya kuonekana kama kanajua for nothing
Elimu sio shida ila shida ni kukosa uzalendo Msukuma siku hizi Nina mashaka nae
Hata mimi uwa simwelewi msukuma,yaani alivyomsinichi msukuma mwenzie,sikutarajia.alitakiwa awe upande wa msukuma mwenzie au anyamaze kimya , wasukuma wa Geita mwangalieni sana huyu msukuma,ovyo sana hafai.Mpina safi
Njoo Chadema kaka hao walaji wameona unatoa ukweli kwa wananchi wewe ni mzalendo kaka
Tusamehewe wana mbeya kumweka huyu mtu
Hamjamweka nyie mbeya atalaumiwa magufuri
@@cosmaswilliam3805Magufuli hakujua kama atafariki
Mpina activist of Tanzania
La saba
Congratulations my role modal, nikikuaa Nitakuwa Kama ww, kwa Sasa nikiongeaa Nitakuwa SITIVA mdogo
Musukuma ni mjinga. Anajipendekeza kuficha ukosefu wake wa elimu. Sidhani hata anaelewa sheria. Huyu alimushutumu hata Magufuli. Musukuma anamusifu speaker eti kwa kuwa amepigiwa kura na mataifa makubwa. Kwa nini hatujiamini, tunaamini wagęni na wazungu wakihusika na kitu ndiyo tunaamini. Kuna wengi walipigiwa kura na kupewa nafasi kubwa, kwenye umoja wa mataifa, lakini hawakusaidia chochote. Wakati Rwanda wanauwana, UN tulikuwa na kiongozi mwafirika aliyechaguliwa na mataifa yote, na ha kufanya chochote na kuacha wanyarwanda kuuwana..
msukuma kumbe ni Wa hovyo anatetea mafisadi siamini macho yangu walahi mpina big up
Yeye mwenyewe fisadi ataachaje kuwatetea.
Sasa msukuma mbunge yule nae😅
Hiyo ndo raha ya kujua Sheria 😅😅
Mpina pamoja na yote wewe ni Hero!!!
😂😢😅🎉😢x😢,❤C😊😮😢😮X❤😂V
This is sad Mpina chapa kazi ❤
Mwamba nauona moyo unao lia Kwa uchungu ,,,,, 🙁🙁. Kikubwa uzima tu
Safi sana mpina uko sahihi kweli uzarendo uko kwa watu wachache
Ukweli uonevu uliofanyika kwa mpina ni namna ya kutuonyesha sisi wananchi kuwa, kumbe wabunge wote nchini wapo kwaajili ya maslahi yao wenyewe, na sio wananchi. Alafu pia japo sio wote ila unafki umekidhir sana hapo bungeni. Ndio maana mmemtoa mtetezi wa wanyobge.
Bugeni ukiwa mpiga meza tu ndiyo unapongezwa
Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.
Mpina baba don’t give up. Hawa watu tunawajuwa. Ni ka group dogo wanataka ku control mali zawo, na kuifanya Tanzania ni mali yawo. Watu wasema kweli wananyamazishwa , ama wana tupwa CUBA kusikokuwa na mawasiliano ili watanzania wabaki gizani. Wanayo yafanya yatawadhuru mpaka vizazi vyawo. Tanzania ni ya watanzania wote na sio ya watu wachache. Wakitaka Tanzania iendelee kuwa nchi ya amani, lazima haki itendeke kwa wote. Selective justice inaweza kuleta madhara makubwa nchini.
Siyo group dogo chunguxa vizuri.
@@leahmgunda4154 Asante kwa kunifahamisha
Mpina ikiwezekana anzisha chama chako tutaishi tu.
Mpina nakukubari sana kuliko wabunge wote
Mpina karibu chadema ccm wamekuchoka
Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.
Msukuma tatizo lake ni kukosa shule,, yeye anaoperate kwa emotional akili hana
Waliosema kukushitaki hawa akili sawa sawa
Msukuma na Lusinde hawana kitu hao no shule kwenye uuzaji wa Bandari dpworld walihuaika sanaaaa uchawa wake hamna kitu hao mabomu
Spika wa hovyo wala Rushwa wakubwa, mapambano ndo yataanza sio chadema si ndo hao hao waluouza bandari
Mimi namwelewa sana Mpina.
Mungu akusimamiwe.
Chapa kazi kiongozi Mungu yupo atakusimamia
Mpina tupo pamoja nawe,ulipo tupo
Huyu Mbuge tumuunge mkono hasa Kanda ya ziwa tuuadamane Ili arudishwe bungeni kutuwakilisha ss wanaichi Lusinde na Musukuma hawafai shule ndogo
Sasa wenye viwanda si walipewa vibali na hawakuleta acha chuki mpina, kwani waziri kufanya maamuzi ya kuleta sukari ni kosa?
Msikilize vizuri sio unapayuka tyuu
Wee kuma la mama yako
Unaushahidi walipewa vibali na hawakuagiza sukari??? Au unaropoka tu?
Mshukuma tunamjua ni kielele ananusa upepo Ili wamkubali amkumbuki wakati wa lowaso? Ajaribu kujirudi
Alikuwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi aliyo nayo Abdallah Ulega leo aliyekuwa Naibu wake.
mpina upo vizuri sana nenda hata people's p0wer bd0 ubunge una0 achana na majambaka ma ccm!
Ccm hawana hoja za kuishauri serekali hivyo wanakushangaa wewe mbona bado unahoja za msingi! Ndo kosa lako mpina kosa lako hakika nikuwatendea haki watanzania
Kama ingekuwa Katiba mpya ipo tayari figisu za aina hii zingepungua. Mbunge ni wa wananchi.. Kuwa na mgombea binafsi ni jambo zuri katika ustawi wa nchi.
😂Mungu akutunze xn my brother mpina msukuma shule hana
Mpina unajua kukielenza vizuri watu hawajielewi wanajichanganya kweri uko sawa chapa kazi ewe ni mbunge unapo mtoa mpina wananchi wake wanaathirika harafu mnapiga makofi tu
Mwanawane kuna maslahi hapo ya watu Mungu anatoa jibu taratibu na bado wengi watatolewa January Makamba huyoooo Nape Huyooo na bado wengine wanafuata na mama atajaza Wanzanzibar wenzie
Mpina ana akili kubwa Sana kuliko wote waliokuwa mjengoni.
Tusikubali tena Mpina hana kosa
Watu kama Mpina ni wachache bahati mbaya hawahitajiki; twiga analindwa kuliko hawa.
Tuko pamoja mpina tulio kuchagua hatuna mashaka na wewe. Muda wako upo mpka utakapo kuwa rais wa nchi hii
Pina fanya kanzi uko sawa na hitaji mbunge ka wewe unauchungu na wanaichi wa Tanzania
Ulitaka sukari iuzwe bei ya 10,000 kwa kilo, ndio uone sahihi.
Waziri Bashe amejitahidi bei ya sukari kushuka, ameingiza sukari kwa kiasi kikubwa.
Waziri Bashi amewatenga hao unawatetea / wafanyabiashara ambao walificha sukari na kuchelewa kuagiza sukari ili bei ipande, kuna ubaya gani kuwapa watu\wafanyabiashara ambao hawamiliki viwanda ili waagize?.
Kuna ubaya gani Waziri Bashi kutoa vibali vya kuagiza kiwango kikubwa cha sukari ili watanzania wanunue sukari bei chini
Hongera, Waziri watu kama wakina Mpina wanatumika asikukatishe tamaa, piga kazi
Wewe ujui ametumia fedha nje ya bajeti huyo Bashe na kusababisha upigaji kupitia hiyo sugar gep
Mpumbavu mkubwa wewe nenda ukafirew na Huyo msomali wako. Kuma kibuyu. Tena wewe sio mtanzania.
Anajulia wapi @@marandoruzali1946? Angalia swalia alilo uliza et "kunaubaya gani, kuwapa vibali wasio na viwanda kuagiza sukari?" Yaan hata maelezo ya Mpina hayaelewi, hajui kama ni kosa kisheria kufanya hivo!! Unaona kunaakili hapo, huyu anafuata ushabiki na sio hoja.
Bwege wewe 😏😏😏
Sheria boss ifuatwe
Kongile san Mpina,hakika ww ni mtumishi wa Mungu
Usiogope kaka tuko na wewe ni kweli spika hapo kakosea kikubwa mno dah
SAWA BABA WAPE VIDONGE WEZI HAO WANAFICHA WEZI
ILI NIKUAMINI NIPE JIBU SAHIHI KWA NINI ULIFUKUZWA UWAZIRI WA MALIASILI?
Usitoke ccm Kaka piga kazi kuwa mkweli na mtetezi wa mali za uma
Huko mbunge na 1 Tanzania ni wewe tu mungu akupiganie
Mpina usijali, wewe ni dhahabu yetu. Waache wakupitishe kwenye tanuru ya moto ukitoka unaghaa.
Msukuma Hana ufaham yupo kama bendela tu
Tuko pamoja ila usihamie chadema 😊
Sawasawa chama kisilinde muhalifi kwakuwa ni mwana chama takukuru ime wekwa kwa kila ambae muhalifu
mbamba mbamba nikidonda chenu
Mpina ongea ukweri kijana
Nimekuelewa kaka uko sawa
Subili uone mbona unapapalika mpina,
Hapapaliki ni kweli japo mchungu
Unawatetea waovu pole sana mungu yupo ujue
Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama
Kweli mbumbu msukuma
Kizuri akidumu
Watakuelewa tu
Njoo chadema
Pole kaka
Ww ni mwanaume
Msukuma na Kibajaji wanajipendekeza kila Rais aingiae
hawana skuli wanatafuta mbereko2 kibazazi livngxt0ne lushindo na kashoga et kashoga kasheku wake!
Mpina kalishitaki Hilo li mwanamke
Nakukubali
Upo sahihi
Spika wa hovyo
Huyo mbunge kumbewahovyo2 nayeye ndiyo maana ukitoa heruf 3 2unalipata jina lake halisi wengi wanajipendekeza2
Musukuma analimwa na DP world, he should shut up! DP World oyeee na Musukuma mavi oyeee, ana akili ya mbu!
Kweli yajayo yanafuraisha tumuombe mungu atupe maisha marefu tena mchana kweupee
Kweli mpina ni muhimu kwa bunge na kwa serikali, tusimvunje moyo Bali tumpe sapoti.
Ukweli uliousema pale bungeni ndio unakuhukumu mpina ccm baadhi yao hawajitambui kabisa ila wananchi tunayaona na tunayasikia ngoja tusubiri sanduku la kura
Mbona hiyo ya makofi ndo kawaida yenu yulioko pembeni uwa tunashangaa makofi yanayopigwa kama uwa mnaelewa mnachopigia makofi.pia wabunge guess awasomi.
Taifa haliwezi kufanikiwa ikiwa viongozi wake wakikosolewa wanatuadhibu.
Hongera mpina tuko pamoja sana tunakupenda na huyu mungu akasimame na wewe sasa huyo msukuma anajijua elimu hana ni darasa la saba ck hizi msukuma amekuwa wa hovyo kabisa elimu yake imezidi kuwa zero maana tunamwona jinsi anatetea vitu vya ovyokabisa arudi shule yule kapoteza dira na uzee unamjia vibaya hata swala la bandari alikuwa mstari wa mbele kukubali iunzwe
Sasa wale Kagera sugar hawana kiwanda? Vibari vimetolewa kwenye makampuni yanayozaliza sukari
Chukua form mkuu ya ukuu wa nchi tuko pamoja na ww...yaani huku wananchi tunakuelewa sana unapigania haki....nanimsema ukwel
Kunawabunge wengine niwalaji umo broo wewe uko vizuli broo usikubaliane nao hawo wanaotaka kutukandamiza wanyonge kilajambo litakalotolewa bungeni lisiokua sahiiii likatae broo mpinna wewe fanya kazi wao wanaona kama vile unavujisha sili lakn sisi wanyonge tunaona unafanya kazi nzuli sana natunamuomba mwenyezi mungu akupe maisha malefu wewe nmtetezi wawanyonge
Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona
Kila kitu kina mwisho wake, wao wanasahau kuwa nao ni binadam kama sisi, Lakini MUNGU ni wetu site tuombe uzima.
unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala
Uyu ndo wakumpa nchi maana hayuko kimasilai yuko kwaajili ya wananchi tu acha wengine ni wapigaji tu
MPINA WEWE NI MWAMBA ACHANA NA HUYO MSUKUMA ZERO BRAIN HUYO KICHWANI NDIO MAANA NI LI CHAWA
Huyu bwege kanuni hizo kandamizi anazitambua ila alidhani hazitamhusu
HIVI LAZIMA CCM IONGOZEE HII NCHI MBONA KAMA WALARUSHWA WAMEJAA CCM?
Mhes Mpina Mungu Yuko pamoja nawe,maana Mwenyezi Mungu amesema Mteteaji wangu Yu hai.
Ccm sio chama cha siasa hili haitaki PhD kujua kuw ccm ni chama chama pinduzi kitapindua hataa meza
Mpina ukiludi nyumba Nike nikusalimie tuonane anakwa ana
Samia wetu ebu tafakar hili, ni haki mbunge apewe adhabu inayopelekea wananchi wake kutelekeza, au ni nani amewekwa kwenye nafas yake ya kutusemea hapo bungeni pindi atakaporudi??
Wasikutishe hao walia machozi bungeni.
Mpina endelea kupambania kikokotoo irudi kama mwanzo
Kama sukari nikweli sukari hakina na kama ipo kwanini sukari imefikia kilo 5000 way
Piga kaz ila uxihame ccm pambana apo spo mpak mwisho
Usukumani kunawatu bhanah duuuu
Nawakubali sana
ULIMI ULIKIPONZA KICHWA KIZIMA , MPINA UMEKOSEA SANA UTARATIBU UNAUJUA UONGOZI SIO KUROPOKA ROPOKA BALI NI BUSARA NA HEKIMA, ULITAKIWA KWENDA KWA KIONGOZI WAKO KABLA YA KUROPOKA
Akapige makofi ?
Nilijua tu lazima watakubana baadaye ccm.
Duuu hatar. Jembe liko kazinn
Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka
Huo ndiyo ujinga wetu wa Tanzania 🇹🇿