MPINA amjibu MUSUKUMA kuhusu kumchongea CCM, asema watakuwa na kibalua kizito

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 162

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 месяца назад +19

    Yani hapa tumeadhibiwa sisi wananchi kwa kosa la mbunge wetu, inauma sana,

  • @piusmaduka
    @piusmaduka 3 месяца назад +11

    ka msukuma shida ni elimu halafu kanajifanya kuonekana kama kanajua for nothing

    • @SethJohn-l1v
      @SethJohn-l1v 3 месяца назад +2

      Elimu sio shida ila shida ni kukosa uzalendo Msukuma siku hizi Nina mashaka nae

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 3 месяца назад +1

      Hata mimi uwa simwelewi msukuma,yaani alivyomsinichi msukuma mwenzie,sikutarajia.alitakiwa awe upande wa msukuma mwenzie au anyamaze kimya , wasukuma wa Geita mwangalieni sana huyu msukuma,ovyo sana hafai.Mpina safi

  • @TIMOTHEOALFREDI-zf2te
    @TIMOTHEOALFREDI-zf2te 3 месяца назад +10

    Njoo Chadema kaka hao walaji wameona unatoa ukweli kwa wananchi wewe ni mzalendo kaka

  • @LidiaMsigwa
    @LidiaMsigwa 3 месяца назад +12

    Tusamehewe wana mbeya kumweka huyu mtu

  • @KigilaZengo
    @KigilaZengo 3 месяца назад +15

    Mpina activist of Tanzania

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 3 месяца назад +8

    Congratulations my role modal, nikikuaa Nitakuwa Kama ww, kwa Sasa nikiongeaa Nitakuwa SITIVA mdogo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +5

    Musukuma ni mjinga. Anajipendekeza kuficha ukosefu wake wa elimu. Sidhani hata anaelewa sheria. Huyu alimushutumu hata Magufuli. Musukuma anamusifu speaker eti kwa kuwa amepigiwa kura na mataifa makubwa. Kwa nini hatujiamini, tunaamini wagęni na wazungu wakihusika na kitu ndiyo tunaamini. Kuna wengi walipigiwa kura na kupewa nafasi kubwa, kwenye umoja wa mataifa, lakini hawakusaidia chochote. Wakati Rwanda wanauwana, UN tulikuwa na kiongozi mwafirika aliyechaguliwa na mataifa yote, na ha kufanya chochote na kuacha wanyarwanda kuuwana..

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 3 месяца назад +6

    msukuma kumbe ni Wa hovyo anatetea mafisadi siamini macho yangu walahi mpina big up

  • @fainesKigahe
    @fainesKigahe 2 месяца назад +2

    Hiyo ndo raha ya kujua Sheria 😅😅

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 3 месяца назад +10

    Mpina pamoja na yote wewe ni Hero!!!

    • @frankmwashovya5532
      @frankmwashovya5532 3 месяца назад

      😂😢😅🎉😢x😢,❤C😊😮😢😮X❤😂V

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 3 месяца назад +8

    This is sad Mpina chapa kazi ❤

  • @zeddysimfukwe6023
    @zeddysimfukwe6023 2 месяца назад +1

    Mwamba nauona moyo unao lia Kwa uchungu ,,,,, 🙁🙁. Kikubwa uzima tu

  • @israelnjohn8070
    @israelnjohn8070 2 месяца назад +2

    Safi sana mpina uko sahihi kweli uzarendo uko kwa watu wachache

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 месяца назад +5

    Ukweli uonevu uliofanyika kwa mpina ni namna ya kutuonyesha sisi wananchi kuwa, kumbe wabunge wote nchini wapo kwaajili ya maslahi yao wenyewe, na sio wananchi. Alafu pia japo sio wote ila unafki umekidhir sana hapo bungeni. Ndio maana mmemtoa mtetezi wa wanyobge.

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 3 месяца назад

      Bugeni ukiwa mpiga meza tu ndiyo unapongezwa

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 месяца назад +3

    Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +5

    Mpina baba don’t give up. Hawa watu tunawajuwa. Ni ka group dogo wanataka ku control mali zawo, na kuifanya Tanzania ni mali yawo. Watu wasema kweli wananyamazishwa , ama wana tupwa CUBA kusikokuwa na mawasiliano ili watanzania wabaki gizani. Wanayo yafanya yatawadhuru mpaka vizazi vyawo. Tanzania ni ya watanzania wote na sio ya watu wachache. Wakitaka Tanzania iendelee kuwa nchi ya amani, lazima haki itendeke kwa wote. Selective justice inaweza kuleta madhara makubwa nchini.

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 2 месяца назад

      Siyo group dogo chunguxa vizuri.

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 2 месяца назад

      @@leahmgunda4154 Asante kwa kunifahamisha

  • @publicityzone9583
    @publicityzone9583 3 месяца назад +5

    Mpina ikiwezekana anzisha chama chako tutaishi tu.

  • @hanujoseph8809
    @hanujoseph8809 3 месяца назад +5

    Mpina nakukubari sana kuliko wabunge wote

  • @RashidMohamed-rv2hm
    @RashidMohamed-rv2hm 3 месяца назад +3

    Mpina karibu chadema ccm wamekuchoka

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 3 месяца назад +2

    Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 3 месяца назад +2

    Msukuma tatizo lake ni kukosa shule,, yeye anaoperate kwa emotional akili hana

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 3 месяца назад +4

    Waliosema kukushitaki hawa akili sawa sawa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +2

    Msukuma na Lusinde hawana kitu hao no shule kwenye uuzaji wa Bandari dpworld walihuaika sanaaaa uchawa wake hamna kitu hao mabomu

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 3 месяца назад +2

    Spika wa hovyo wala Rushwa wakubwa, mapambano ndo yataanza sio chadema si ndo hao hao waluouza bandari

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900 3 месяца назад +2

    Mimi namwelewa sana Mpina.
    Mungu akusimamiwe.

  • @mihayomaziku9921
    @mihayomaziku9921 2 месяца назад +2

    Chapa kazi kiongozi Mungu yupo atakusimamia

  • @OmarButotela
    @OmarButotela 3 месяца назад +4

    Mpina tupo pamoja nawe,ulipo tupo

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 2 месяца назад

    Huyu Mbuge tumuunge mkono hasa Kanda ya ziwa tuuadamane Ili arudishwe bungeni kutuwakilisha ss wanaichi Lusinde na Musukuma hawafai shule ndogo

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 3 месяца назад +2

    Sasa wenye viwanda si walipewa vibali na hawakuleta acha chuki mpina, kwani waziri kufanya maamuzi ya kuleta sukari ni kosa?

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy 3 месяца назад

      Msikilize vizuri sio unapayuka tyuu

    • @abdullaabdulla7039
      @abdullaabdulla7039 3 месяца назад

      Wee kuma la mama yako

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 3 месяца назад

      Unaushahidi walipewa vibali na hawakuagiza sukari??? Au unaropoka tu?

  • @JovenaryNduka
    @JovenaryNduka 2 месяца назад

    Mshukuma tunamjua ni kielele ananusa upepo Ili wamkubali amkumbuki wakati wa lowaso? Ajaribu kujirudi

  • @twisilemwabukusi4981
    @twisilemwabukusi4981 2 месяца назад

    Alikuwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi aliyo nayo Abdallah Ulega leo aliyekuwa Naibu wake.

  • @IreneKk-f4h
    @IreneKk-f4h Месяц назад

    mpina upo vizuri sana nenda hata people's p0wer bd0 ubunge una0 achana na majambaka ma ccm!

  • @MichaelNkungu-on1ub
    @MichaelNkungu-on1ub 2 месяца назад

    Ccm hawana hoja za kuishauri serekali hivyo wanakushangaa wewe mbona bado unahoja za msingi! Ndo kosa lako mpina kosa lako hakika nikuwatendea haki watanzania

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 месяца назад

    Kama ingekuwa Katiba mpya ipo tayari figisu za aina hii zingepungua. Mbunge ni wa wananchi.. Kuwa na mgombea binafsi ni jambo zuri katika ustawi wa nchi.

  • @zachariamakoba8368
    @zachariamakoba8368 2 месяца назад

    😂Mungu akutunze xn my brother mpina msukuma shule hana

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Месяц назад

    Mpina unajua kukielenza vizuri watu hawajielewi wanajichanganya kweri uko sawa chapa kazi ewe ni mbunge unapo mtoa mpina wananchi wake wanaathirika harafu mnapiga makofi tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад

    Mwanawane kuna maslahi hapo ya watu Mungu anatoa jibu taratibu na bado wengi watatolewa January Makamba huyoooo Nape Huyooo na bado wengine wanafuata na mama atajaza Wanzanzibar wenzie

  • @gililwise
    @gililwise 3 месяца назад +2

    Mpina ana akili kubwa Sana kuliko wote waliokuwa mjengoni.

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 3 месяца назад +3

    Tusikubali tena Mpina hana kosa

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 2 месяца назад

    Watu kama Mpina ni wachache bahati mbaya hawahitajiki; twiga analindwa kuliko hawa.

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 2 месяца назад

    Tuko pamoja mpina tulio kuchagua hatuna mashaka na wewe. Muda wako upo mpka utakapo kuwa rais wa nchi hii

  • @NilaMdongo
    @NilaMdongo 2 месяца назад

    Pina fanya kanzi uko sawa na hitaji mbunge ka wewe unauchungu na wanaichi wa Tanzania

  • @awadhkannah6587
    @awadhkannah6587 3 месяца назад +2

    Ulitaka sukari iuzwe bei ya 10,000 kwa kilo, ndio uone sahihi.
    Waziri Bashe amejitahidi bei ya sukari kushuka, ameingiza sukari kwa kiasi kikubwa.
    Waziri Bashi amewatenga hao unawatetea / wafanyabiashara ambao walificha sukari na kuchelewa kuagiza sukari ili bei ipande, kuna ubaya gani kuwapa watu\wafanyabiashara ambao hawamiliki viwanda ili waagize?.
    Kuna ubaya gani Waziri Bashi kutoa vibali vya kuagiza kiwango kikubwa cha sukari ili watanzania wanunue sukari bei chini
    Hongera, Waziri watu kama wakina Mpina wanatumika asikukatishe tamaa, piga kazi

    • @marandoruzali1946
      @marandoruzali1946 3 месяца назад

      Wewe ujui ametumia fedha nje ya bajeti huyo Bashe na kusababisha upigaji kupitia hiyo sugar gep

    • @abdullaabdulla7039
      @abdullaabdulla7039 3 месяца назад

      Mpumbavu mkubwa wewe nenda ukafirew na Huyo msomali wako. Kuma kibuyu. Tena wewe sio mtanzania.

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 3 месяца назад

      Anajulia wapi @@marandoruzali1946? Angalia swalia alilo uliza et "kunaubaya gani, kuwapa vibali wasio na viwanda kuagiza sukari?" Yaan hata maelezo ya Mpina hayaelewi, hajui kama ni kosa kisheria kufanya hivo!! Unaona kunaakili hapo, huyu anafuata ushabiki na sio hoja.

    • @ABBASIKANDULU-kl8zc
      @ABBASIKANDULU-kl8zc 3 месяца назад

      Bwege wewe 😏😏😏

    • @ernestkhalifa1414
      @ernestkhalifa1414 3 месяца назад

      Sheria boss ifuatwe

  • @AbrahamMwasakilali-e4x
    @AbrahamMwasakilali-e4x Месяц назад

    Kongile san Mpina,hakika ww ni mtumishi wa Mungu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 месяца назад

    Usiogope kaka tuko na wewe ni kweli spika hapo kakosea kikubwa mno dah

  • @RojaRojas-o7g
    @RojaRojas-o7g 2 месяца назад

    SAWA BABA WAPE VIDONGE WEZI HAO WANAFICHA WEZI

  • @kaponasalum3648
    @kaponasalum3648 3 месяца назад

    ILI NIKUAMINI NIPE JIBU SAHIHI KWA NINI ULIFUKUZWA UWAZIRI WA MALIASILI?

  • @SwaleheMosha-d8p
    @SwaleheMosha-d8p 2 месяца назад

    Usitoke ccm Kaka piga kazi kuwa mkweli na mtetezi wa mali za uma

  • @JovenaryNduka
    @JovenaryNduka 2 месяца назад

    Huko mbunge na 1 Tanzania ni wewe tu mungu akupiganie

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 месяца назад +1

    Mpina usijali, wewe ni dhahabu yetu. Waache wakupitishe kwenye tanuru ya moto ukitoka unaghaa.

  • @EmmanuelMatela-kt7lh
    @EmmanuelMatela-kt7lh 2 месяца назад

    Msukuma Hana ufaham yupo kama bendela tu

  • @shd12m55
    @shd12m55 3 месяца назад +2

    Tuko pamoja ila usihamie chadema 😊

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 3 месяца назад +1

    Sawasawa chama kisilinde muhalifi kwakuwa ni mwana chama takukuru ime wekwa kwa kila ambae muhalifu

  • @christosiadanieli6512
    @christosiadanieli6512 2 месяца назад

    mbamba mbamba nikidonda chenu

  • @MartinYakobo-io1og
    @MartinYakobo-io1og 2 месяца назад

    Mpina ongea ukweri kijana

  • @TobagaMakalo
    @TobagaMakalo Месяц назад

    Nimekuelewa kaka uko sawa

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo5503 3 месяца назад +1

    Subili uone mbona unapapalika mpina,

    • @RehemaMagoire
      @RehemaMagoire 3 месяца назад

      Hapapaliki ni kweli japo mchungu

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 3 месяца назад +1

    Unawatetea waovu pole sana mungu yupo ujue

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 3 месяца назад +1

    Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 месяца назад

      Kweli mbumbu msukuma

  • @ibrahimumuhiluibrahimuibra4259
    @ibrahimumuhiluibrahimuibra4259 2 месяца назад

    Kizuri akidumu

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf Месяц назад

    Watakuelewa tu

  • @JAPHETJOHN-g4n
    @JAPHETJOHN-g4n 2 месяца назад

    Njoo chadema

  • @JoelisonMakambi
    @JoelisonMakambi 3 месяца назад +2

    Pole kaka

  • @MunsiCosmas-tg2df
    @MunsiCosmas-tg2df 2 месяца назад

    Ww ni mwanaume

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад

    Msukuma na Kibajaji wanajipendekeza kila Rais aingiae

    • @IreneKk-f4h
      @IreneKk-f4h Месяц назад

      hawana skuli wanatafuta mbereko2 kibazazi livngxt0ne lushindo na kashoga et kashoga kasheku wake!

  • @GidionBukwimba
    @GidionBukwimba 3 месяца назад +1

    Mpina kalishitaki Hilo li mwanamke

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j 2 месяца назад

    Nakukubali

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Месяц назад

    Upo sahihi

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 3 месяца назад +1

    Spika wa hovyo

  • @MartineShija
    @MartineShija 3 месяца назад

    Huyo mbunge kumbewahovyo2 nayeye ndiyo maana ukitoa heruf 3 2unalipata jina lake halisi wengi wanajipendekeza2

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 3 месяца назад

    Musukuma analimwa na DP world, he should shut up! DP World oyeee na Musukuma mavi oyeee, ana akili ya mbu!

  • @godblessmbowe317
    @godblessmbowe317 3 месяца назад

    Kweli yajayo yanafuraisha tumuombe mungu atupe maisha marefu tena mchana kweupee

  • @JoshuaMsuya-e8u
    @JoshuaMsuya-e8u 3 месяца назад

    Kweli mpina ni muhimu kwa bunge na kwa serikali, tusimvunje moyo Bali tumpe sapoti.

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 3 месяца назад

    Ukweli uliousema pale bungeni ndio unakuhukumu mpina ccm baadhi yao hawajitambui kabisa ila wananchi tunayaona na tunayasikia ngoja tusubiri sanduku la kura

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Mbona hiyo ya makofi ndo kawaida yenu yulioko pembeni uwa tunashangaa makofi yanayopigwa kama uwa mnaelewa mnachopigia makofi.pia wabunge guess awasomi.

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert 3 месяца назад

    Taifa haliwezi kufanikiwa ikiwa viongozi wake wakikosolewa wanatuadhibu.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 месяца назад

    Hongera mpina tuko pamoja sana tunakupenda na huyu mungu akasimame na wewe sasa huyo msukuma anajijua elimu hana ni darasa la saba ck hizi msukuma amekuwa wa hovyo kabisa elimu yake imezidi kuwa zero maana tunamwona jinsi anatetea vitu vya ovyokabisa arudi shule yule kapoteza dira na uzee unamjia vibaya hata swala la bandari alikuwa mstari wa mbele kukubali iunzwe

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 3 месяца назад

    Sasa wale Kagera sugar hawana kiwanda? Vibari vimetolewa kwenye makampuni yanayozaliza sukari

  • @mungatandassa5453
    @mungatandassa5453 3 месяца назад

    Chukua form mkuu ya ukuu wa nchi tuko pamoja na ww...yaani huku wananchi tunakuelewa sana unapigania haki....nanimsema ukwel

  • @DanielMakoye-w3f
    @DanielMakoye-w3f 2 месяца назад

    Kunawabunge wengine niwalaji umo broo wewe uko vizuli broo usikubaliane nao hawo wanaotaka kutukandamiza wanyonge kilajambo litakalotolewa bungeni lisiokua sahiiii likatae broo mpinna wewe fanya kazi wao wanaona kama vile unavujisha sili lakn sisi wanyonge tunaona unafanya kazi nzuli sana natunamuomba mwenyezi mungu akupe maisha malefu wewe nmtetezi wawanyonge

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 3 месяца назад

    Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert 3 месяца назад

    Kila kitu kina mwisho wake, wao wanasahau kuwa nao ni binadam kama sisi, Lakini MUNGU ni wetu site tuombe uzima.

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw 3 месяца назад

    unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala

  • @SayiPosta-n5j
    @SayiPosta-n5j 3 месяца назад

    Uyu ndo wakumpa nchi maana hayuko kimasilai yuko kwaajili ya wananchi tu acha wengine ni wapigaji tu

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 месяца назад

    MPINA WEWE NI MWAMBA ACHANA NA HUYO MSUKUMA ZERO BRAIN HUYO KICHWANI NDIO MAANA NI LI CHAWA

  • @ZacksonMakundi
    @ZacksonMakundi 3 месяца назад

    Huyu bwege kanuni hizo kandamizi anazitambua ila alidhani hazitamhusu

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 3 месяца назад

    HIVI LAZIMA CCM IONGOZEE HII NCHI MBONA KAMA WALARUSHWA WAMEJAA CCM?

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba 3 месяца назад

    Mhes Mpina Mungu Yuko pamoja nawe,maana Mwenyezi Mungu amesema Mteteaji wangu Yu hai.

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 3 месяца назад

    Ccm sio chama cha siasa hili haitaki PhD kujua kuw ccm ni chama chama pinduzi kitapindua hataa meza

  • @SawakaMasasila-p2d
    @SawakaMasasila-p2d 3 месяца назад

    Mpina ukiludi nyumba Nike nikusalimie tuonane anakwa ana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 месяца назад

    Samia wetu ebu tafakar hili, ni haki mbunge apewe adhabu inayopelekea wananchi wake kutelekeza, au ni nani amewekwa kwenye nafas yake ya kutusemea hapo bungeni pindi atakaporudi??

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Wasikutishe hao walia machozi bungeni.

  • @RehemaMagoire
    @RehemaMagoire 3 месяца назад

    Mpina endelea kupambania kikokotoo irudi kama mwanzo

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 3 месяца назад

    Kama sukari nikweli sukari hakina na kama ipo kwanini sukari imefikia kilo 5000 way

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 3 месяца назад

    Piga kaz ila uxihame ccm pambana apo spo mpak mwisho

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 3 месяца назад

    Usukumani kunawatu bhanah duuuu

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 3 месяца назад

    ULIMI ULIKIPONZA KICHWA KIZIMA , MPINA UMEKOSEA SANA UTARATIBU UNAUJUA UONGOZI SIO KUROPOKA ROPOKA BALI NI BUSARA NA HEKIMA, ULITAKIWA KWENDA KWA KIONGOZI WAKO KABLA YA KUROPOKA

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 месяца назад

    Nilijua tu lazima watakubana baadaye ccm.

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 3 месяца назад

    Duuu hatar. Jembe liko kazinn

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 3 месяца назад

    Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka