MASHTAKA YA TUNDU LISSU ZIDI YA KAMPUNI YA TIGO, WALIHUSIKA KWENYE SHAMBULIO LANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 38

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 День назад +2

    Aisee tigo na waliohisika walaaniwe. Hapo wanapaswa kulipa fidia kubwa hata ikiwezekana hata wafilisike

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 23 часа назад +1

    Najiuliza nitupe laini ya tigo au niiacheache kidogo maana tigo mmetushinda tabia. Nakumbuka siku ya kwanza kupata uwakala wa tigo niliibiwa pesa nyingi sana,aliyenipigia alinipa data zangu zote bila kukosea sasa leo naamini tigo walikuwa wakitoa Siri za wateja wao.

  • @officialmandoto
    @officialmandoto 20 часов назад +1

    Huenda hata kibao ni wao wametoa taarifa zake duuh mtandao wa hovyo sana

  • @IbrahimTovagonza
    @IbrahimTovagonza 23 часа назад +1

    Kwanzia leo tigo kwaheli Asanteni kwa ushilikiano

  • @MashimbiDotto
    @MashimbiDotto 12 часов назад +1

    Tigo. Ama kweli ndo maana mkajiita tigo

  • @ThomasBeni
    @ThomasBeni День назад +2

    Kwa nini tigo Tanzanian wamekosa uwaminifu katika haki za mteja.

  • @sammyakonay-bp7yz
    @sammyakonay-bp7yz День назад +1

    Kumeanza kuchangamka 😂😂😂

  • @andreakunkuta1685
    @andreakunkuta1685 День назад

    Mimi pia ni msoma comments tuuu endelea kuscroll utapata yenye unatafuta 😂😂

  • @mussapaul2052
    @mussapaul2052 8 часов назад

    hii dunia ina mambo mengi sana. kila binadamu na mifumo yake ni mbinafsi sio ulaya, afrika wala amerika.

  • @Ramista75
    @Ramista75 23 часа назад

    Naomba msiifungie tunahela zetu Tigopesa

  • @RachelMaeda-cq3mo
    @RachelMaeda-cq3mo День назад

    Wewe unayetukana Kama huwezi kukoment usitukane mtumzima jielewe

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 22 часа назад

    Sio tigo tu ni mitandao mingi ndio chanza cha kukumatwa kwa watu wengi dunian

  • @deomsingapore7798
    @deomsingapore7798 День назад

    Huyo anayetukana shule hana...hajielewi

  • @lusekelomtafya894
    @lusekelomtafya894 День назад

    Inaumiza sana watoto wanaionaje Tanzania aise duuu

  • @silasmeshilieki2975
    @silasmeshilieki2975 День назад

    Duuuh! Aliamsha tena, huyu jamaa noma sana

  • @saidowsaidon4625
    @saidowsaidon4625 День назад

    Allah akusimamie kwa kila jambo

  • @MarymuMungwe
    @MarymuMungwe День назад +2

    Tulia mwakani tukupe kura kwanza ndo uanze kesi 😂😂😂

  • @liberatusesperance2906
    @liberatusesperance2906 6 часов назад

    Kumeanza kuchangamka

  • @twalckswalehe8470
    @twalckswalehe8470 День назад

    inaumiza sana😂😂😂😂😂

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa День назад

    Makubwa haya

  • @JumaSudi-w9d
    @JumaSudi-w9d День назад

    😁😁😁kishanuka

  • @YohanaMussa-y5h
    @YohanaMussa-y5h День назад

    TIGO walifanya vibaya sana kushiriki kuhusika na shambulizi la Lissu.

    • @godrickdutch3565
      @godrickdutch3565 День назад

      We unauhakika gani Kama tigo walihusika kweli,msipendo kulaumu kabla ya uhakika wa jambo

  • @salimalnaamani8868
    @salimalnaamani8868 День назад +1

    Uyu kenge jaa ndiyo inampingisha kelele muongo

  • @MalikiMrope-rf6lf
    @MalikiMrope-rf6lf День назад +2

    Yan mm mpaka sasa sijui haya yoote yanafaida gani katika kulinda aman na utulivu wa nchi
    Tusisahau hii amani tutalilia na kusaga meno
    TUWAULIZE WATOTO NA WANANCHI WA SHEIKH MUAMARI GADAFI.

    • @lusekelomtafya894
      @lusekelomtafya894 День назад

      Wewe upigwe lisasi alafu tuseme tunaitaka amani, acha zalau aise

  • @JosephMsemwa-d6s
    @JosephMsemwa-d6s 22 часа назад +1

    Tundu lisu Huna pointi

    • @giztony2009
      @giztony2009 15 часов назад

      Unaongea ukiwa umekatwa kichwa au unacho

    • @Egbethelneus-wj3bq
      @Egbethelneus-wj3bq 15 часов назад

      ​@@giztony2009hajuwiii maumivuuu ya mtu mwingine

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 День назад

    Kenge ni baba yako wew usiyejitambua

  • @RubenIbraim
    @RubenIbraim День назад

    Yaani mtu mzima kutumika tigo ni ujinga kabisa

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab День назад

    WEWE NI KIBARAKA CHA MABAZUNGU

  • @PaulSarwat
    @PaulSarwat 10 часов назад

    wewe ukalee wajukuu mzee baba