Najiuliza nitupe laini ya tigo au niiacheache kidogo maana tigo mmetushinda tabia. Nakumbuka siku ya kwanza kupata uwakala wa tigo niliibiwa pesa nyingi sana,aliyenipigia alinipa data zangu zote bila kukosea sasa leo naamini tigo walikuwa wakitoa Siri za wateja wao.
Yan mm mpaka sasa sijui haya yoote yanafaida gani katika kulinda aman na utulivu wa nchi Tusisahau hii amani tutalilia na kusaga meno TUWAULIZE WATOTO NA WANANCHI WA SHEIKH MUAMARI GADAFI.
Aisee tigo na waliohisika walaaniwe. Hapo wanapaswa kulipa fidia kubwa hata ikiwezekana hata wafilisike
Najiuliza nitupe laini ya tigo au niiacheache kidogo maana tigo mmetushinda tabia. Nakumbuka siku ya kwanza kupata uwakala wa tigo niliibiwa pesa nyingi sana,aliyenipigia alinipa data zangu zote bila kukosea sasa leo naamini tigo walikuwa wakitoa Siri za wateja wao.
Huenda hata kibao ni wao wametoa taarifa zake duuh mtandao wa hovyo sana
Kwanzia leo tigo kwaheli Asanteni kwa ushilikiano
Tigo. Ama kweli ndo maana mkajiita tigo
Kwa nini tigo Tanzanian wamekosa uwaminifu katika haki za mteja.
We unauhakika gani Kama anachosema ni kweli
Yaaani sijui nitupe laini yao😂😂😂
Kumeanza kuchangamka 😂😂😂
Mimi pia ni msoma comments tuuu endelea kuscroll utapata yenye unatafuta 😂😂
hii dunia ina mambo mengi sana. kila binadamu na mifumo yake ni mbinafsi sio ulaya, afrika wala amerika.
Naomba msiifungie tunahela zetu Tigopesa
Wewe unayetukana Kama huwezi kukoment usitukane mtumzima jielewe
Sio tigo tu ni mitandao mingi ndio chanza cha kukumatwa kwa watu wengi dunian
Huyo anayetukana shule hana...hajielewi
Inaumiza sana watoto wanaionaje Tanzania aise duuu
Duuuh! Aliamsha tena, huyu jamaa noma sana
Allah akusimamie kwa kila jambo
Tulia mwakani tukupe kura kwanza ndo uanze kesi 😂😂😂
Kumeanza kuchangamka
inaumiza sana😂😂😂😂😂
Makubwa haya
😁😁😁kishanuka
TIGO walifanya vibaya sana kushiriki kuhusika na shambulizi la Lissu.
We unauhakika gani Kama tigo walihusika kweli,msipendo kulaumu kabla ya uhakika wa jambo
Uyu kenge jaa ndiyo inampingisha kelele muongo
Wewe ndio njaa imekujaa
Mwenye njaa mama yako
Yan mm mpaka sasa sijui haya yoote yanafaida gani katika kulinda aman na utulivu wa nchi
Tusisahau hii amani tutalilia na kusaga meno
TUWAULIZE WATOTO NA WANANCHI WA SHEIKH MUAMARI GADAFI.
Wewe upigwe lisasi alafu tuseme tunaitaka amani, acha zalau aise
Tundu lisu Huna pointi
Unaongea ukiwa umekatwa kichwa au unacho
@@giztony2009hajuwiii maumivuuu ya mtu mwingine
Kenge ni baba yako wew usiyejitambua
Yaani mtu mzima kutumika tigo ni ujinga kabisa
WEWE NI KIBARAKA CHA MABAZUNGU
wewe ukalee wajukuu mzee baba