Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.
Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio
Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.
Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole
Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani
,mahakama Tanzania tatizo kubwa kwa wany9nge wasio fedha wenye uwezo ndio wenye haki
Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi
Hongera sana mh Paul Makonda
Wow what r lady
Hello ❤
Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi
Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.
Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo
Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi
Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero
Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda
Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati
Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi
Mahakama zinanuka Rushwa
❤Mungu akuride
Makonda anasafisha mji
Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba
Du umezeeka pole
Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti
Mama mtafte n waziri slaa
Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz
Mawakili teden haki
Da rais samia unayskia haya
Rushwa inapofusha
Anaongea kama mangekimambi😅😅😅
Kbs😂😂😂
Watu wa Arusha wazuri
Pole
Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa
Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao
Arusha wamepata kichwa 😅
Very sad why
Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe
Kweli mama
Tatizo mahaka
Mchukue mwabukusi WA mbeya
Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active
Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini
MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO
mama yetu anajua mungu
Baba akiwa na mali ni shida
Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa
Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?
Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,
Da na jaji mkui yupo yan da
Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda
Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama
Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena
Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman
ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna
WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.
Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi...
🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI...
🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO...
🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani...
🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani...
😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli
Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.