Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Wallah shukran sana sheikh...mm huyo kabisa shekh umepatia Allah akuzdshie
Naskiliza sanaa mada zako MasaAllah mada nzuri sanaa ukiota pete ina olea juu ya bahari ina maana gani
Rohan ni jini mhh
Mashallah nakufuatilia sana .Napenda kuelewa zaidi kuhusu maruhani.....
Karibu sana
FROM NORWAY NAFUATILIZIA VIPINDI VYAKO NAOMBA TUELEZE ZAIDI KUHUSU MARUHANI
Shukran
Tofaut kati ya jini rohani na shetwan
Shukran sheikh kwa ufafanuaji
Shehe habari mm niliambiwa nina walimu nahitaji kuwaita na kuwaona nitafanyaje
Inamanagan
Natoka kenya naanza leo kusikiza
Iyonikweli she he
Sheikh na huyu Rohani anaitwa KARIRUL kazi yake ni gani??
Mm uota marakwara navuasamaki ama nachuma matunda aunapewa pesa
Dalili za maroani wa kutibika au kiganga
Na mi nataka hizo pesa
Na ukiota kitambaa cheupe nacho unaonyeshwa
Ndio
Ushauri acha kuwa unakuja sura jitahidi kutabasamu unatisha ila shukran
Mueleze mungu kuwa umekosea kumuumba sio yeye acha kukufuru wewe fatuma wawe umekamilika
@@user-rk5cf8wj6y nimesema aache kukunja sura sijasema ana sura mbaya nielewe jamani siwezi kamilika mkamilifu ni Allah pekee,
Fatma u mwanamke ww mche Allah
Wallah shukran sana sheikh...mm huyo kabisa shekh umepatia Allah akuzdshie
Naskiliza sanaa mada zako MasaAllah mada nzuri sanaa ukiota pete ina olea juu ya bahari ina maana gani
Rohan ni jini mhh
Mashallah nakufuatilia sana .Napenda kuelewa zaidi kuhusu maruhani.....
Karibu sana
FROM NORWAY NAFUATILIZIA VIPINDI VYAKO NAOMBA TUELEZE ZAIDI KUHUSU MARUHANI
Shukran
Tofaut kati ya jini rohani na shetwan
Shukran sheikh kwa ufafanuaji
Shehe habari mm niliambiwa nina walimu nahitaji kuwaita na kuwaona nitafanyaje
Inamanagan
Natoka kenya naanza leo kusikiza
Iyonikweli she he
Sheikh na huyu Rohani anaitwa KARIRUL kazi yake ni gani??
Mm uota marakwara navuasamaki ama nachuma matunda aunapewa pesa
Dalili za maroani wa kutibika au kiganga
Na mi nataka hizo pesa
Na ukiota kitambaa cheupe nacho unaonyeshwa
Ndio
Ushauri acha kuwa unakuja sura jitahidi kutabasamu unatisha ila shukran
Mueleze mungu kuwa umekosea kumuumba sio yeye acha kukufuru wewe fatuma wawe umekamilika
@@user-rk5cf8wj6y nimesema aache kukunja sura sijasema ana sura mbaya nielewe jamani siwezi kamilika mkamilifu ni Allah pekee,
Fatma u mwanamke ww mche Allah
Fatma u mwanamke ww mche Allah