AJALI MBAYA DARAJA LA JPM KIGONGO/BUSISI /DEREVA AFARIKI DUNIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Ni usiku wa majira ya sa nane kuamkia tarehe 13 februari Ajali ya chombo (clain lift) katika kampuni ya CCE/CC ambayo inajenga daraja la JPM kutoka kigongo feli hadi busisi. Chombo hiki kimezama wakati kikiendelea na shughuli ambapo Yasini Twalib Abasi dereva aliyekuwa akiendesha chombo hicho kiliacha njia na kugonga kingo za daraja la muda maarufu kama daraja la wajenzi hivyo kudumbukia ndani ya ziwa na kuzama huku dereva akiwa ndani. Taratibu za uokoaji ziliana na kufanikisha kumpata dereva huyo akiwa tayari amefariki dunia bado jitihada za kuhakikisha mtambo huo unatoka zinaendelea kwani kikosi cha uokoaji tayari kimebaini mahali ulipo ndani ya maji, Mkuu wa mkoa wa mwanza Muhandisi Robert Gabriel ameutaka uongozi wa mradi huo kuwa makini na kuhakikisha usalama wa wafanyakazi
    #mwanza #ajaridarajalajpm #jpm #ajali

Комментарии • 5

  • @mamuuhassan3128
    @mamuuhassan3128 2 года назад

    Ina lilah waina lilah rajiun , shemeji yangu yani siamini pole shoga angu Mungu akutie nguvu ulee watoto

  • @tatumasimbo5092
    @tatumasimbo5092 2 года назад +1

    Daaah tumepata pigo kwenye kampuni yetu pumzika Kwa aman kaka😭😭😭

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 года назад

    Wamefanikiwa kuopoa mwili wa marehemu ambaye tayali alikua amefaliki....!!!! Hii sentesi iko sawa?

  • @kulwamanumbu1754
    @kulwamanumbu1754 2 года назад

    Wafanyakazi wengi WA zamu za usiku huwa hawapumziki vizuri wanashinda mitaani

  • @abledman6280
    @abledman6280 2 года назад

    🤦🏻‍♀🤦🏻‍♀🤦🏻‍♀🤦🏻‍♀🤦🏻‍♀🤦🏻‍♀