VIDEO: MUONEKANO WA DARAJA LA MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI), 'KUANZA KUTUMIKA DISEMBA 30 MWAKA HUU'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 60

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga5249 19 дней назад

    RIP Magufuli. Mungu akusamehe dhambi zako zote!!! Mnaomkubali Magu itikieni Amina!!!

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 3 месяца назад +12

    Pongezi kwa walipakodi wote cheers to us 🥂

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 3 месяца назад +22

    Magufuli continue to rest in peace uncle 💌

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 месяца назад +24

    Angekuwepo mwamba lingeisha isha siku nyingiiii

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 месяца назад +1

      Kabisaa

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 3 месяца назад

      Acha unafiki wewe.. we unajuwaje wewe? Huenda angekuwepo pengine asingeweza kulikamilisha... we mwenyewe huijui kesho yako kama utaamka mzima au lah.. Sasa hayo ya magu eti angekuwepo daraja lingeshakamilika wewe unayajuwaje? au unadhani ujenzi wa daraja ni sawa na ujenzi wa kibanda Cha kuku eti?

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 3 месяца назад +12

    Mmechelewa sana.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 месяца назад +3

    RIP Baba yetu Magufuli

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 3 месяца назад +17

    Angekuwepo mwenyewe lingeshapitika.

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 3 месяца назад +5

    Jamani jitahidini sana daraja lianze kutumika kabla halijaanza kuchakaa Tena likakarabatiwa bila kutumika maana ni mda mrefu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 месяца назад +11

    JPM: Asante mwamba, pumzika kwa amani. Tutaendelea kukukumbuka daima.

  • @OphiryNtirniga
    @OphiryNtirniga 3 месяца назад +5

    MUNGU AWAONGOZE MAFUND LIISHE KABSA MAANA TUMECHOKA KIVUKO CHAMKOMBOZI KUNAVUMBI NJIAYAKUINGILIA

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 3 месяца назад +7

    R I P JPM 😭😭

  • @MariaHussen
    @MariaHussen Месяц назад +2

    Baba pumzika kwa amani tutakukumbuka daima hatutapata raisi kama mafuri nindoto pumzika magufuri wetu

  • @mwemezieladius5261
    @mwemezieladius5261 3 месяца назад +6

    R.i.p jpm

  • @Madizizi
    @Madizizi 3 месяца назад +4

    Sasa tarehe 30 desember kweli sasa hiyo si 2025😅

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад +8

    At least Tanzania Kodi zetu Wananchi zinaonesha utekelezaji katika Miradi ya Maendeleo tofauti na wenzetu wa Kenya ufisadi umekithiri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

    • @bonvivant3704
      @bonvivant3704 3 месяца назад

      Mscheeew 🙄🙄

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 3 месяца назад +1

      Umewahi fika Kenya lkn?

    • @fififay4558
      @fififay4558 3 месяца назад

      Useless,tafuta dongo kundu bridge hapa RUclips ,lamu lapset corridor all complete projects but hatuna kelele kama nyinyi

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk 3 месяца назад +5

    Rais Samia tunashukuru kuendeleza mazuri ya Jpm

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 3 месяца назад +2

    Magufuri wewe😢😢😢😢😢😢

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 3 месяца назад +1

    Magufuri upo kwenye mioyo ya watanzania daima tutakukumbuka😢

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 Месяц назад

    Serikali ya sa100 ipo slow sanaa . JPM angekuwepo lingekuwa limekwisha na kuanza kutumika

  • @carolyneogall8967
    @carolyneogall8967 3 месяца назад +1

    Alafu watu wanasema mama hafanyi kazi jamani hiyo nini aikazi 😊

  • @FatmaKudra-s3t
    @FatmaKudra-s3t 3 месяца назад

    Kazi iendelee

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 месяца назад +1

    Hongera Serikali Yetu Tanzania kwa Kutekeleza Miradi Mikubwa kwa Manufaa ya Wananchi..Hogera CCM hongera Raisi Wetu Samia Suluhu Hassan 2025.

  • @m_x2933
    @m_x2933 3 месяца назад

    Izi ndo projects ambazo zinakidhi kuwa VAT free sio uhuni wa mwigulu na bashe kufanya VAT free uagizaj wa sukari zaid ya lak 4..akasemee VAT 510 billions sawa na ela ya kujenga ilo daraja...daaahhh

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 3 месяца назад +1

    Shid ni kweny izo nukta .61 zinafanyaj

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. 3 месяца назад +2

    million 500 au billion 500? jaman nisaidien wanda sijaelewa yan ilo faraja ndo milion 500 mbona ndogo sana.

    • @daudwilson8326
      @daudwilson8326 3 месяца назад +1

      Ni Billion 500 (500B) Tsh.

    • @iddikimia4951
      @iddikimia4951 3 месяца назад +1

      Billion 500 bila Kodi rudia ku play video

  • @ivanamkapa2369
    @ivanamkapa2369 2 месяца назад

    Sio kigogo ni kigongo maana yake kwa kisukuma huruma..wewe unaesema kigogo kuma nyoko Ako

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад +6

    WAOO❤❤❤ SAF SANA SAMIA 5 TENA

  • @Thekidp3702
    @Thekidp3702 3 месяца назад

    from FAST to SLOW

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад +7

    Hapa kwa manufaa ya Taifa tuseme pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Ujenzi japo ni wajibu wao kuunganisha Wilaya, Mikoa na Nchi za Jirani katika ukuaji wa Uchumi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

    • @Anthonyzombie-d2s
      @Anthonyzombie-d2s 3 месяца назад +6

      Pongez kwa magufuli wew❤❤

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 3 месяца назад +4

      Watu wengine ni wapuuzi leo magu mnamsahau mpongezeni mam ila pia usisahau hii miradi ni ya magu

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 3 месяца назад +2

      Mama Samia anaingiaje hapa? Tumwogope Mungu, hapa wa kupongezwa ni hayati JPM. Mama apongezwe kwenye utalii lakini daraja hili, lile la Dar, SGR, bwawa la mwl. Nyerere WA kupongezwa ni kijana wa Chato

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 3 месяца назад +1

      wee nae ni nyumbu tu

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад

      ​@@fadhililihinda6491Tumia akili pia maana na yy angeiwacha akaja na miradi yake mengine uongozi ni taasisi alipo acha mwenzako wewe ndio una endeleza

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 3 дня назад

    Mtujibu basi limeisha

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 3 месяца назад +1

    I am not show, keep my words

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile 3 месяца назад

    Mbona sijaelewa apo naona kama kuna ardhi imetoka mwanzo wa had mwisho kwann isingepigwa rami tu apo kwenye ardhi

    • @Bartle20
      @Bartle20 3 месяца назад +2

      Hiyo sio ardhi hayo ni magugu maji yametuama hapo hata kama ingekuwepo ardhi ni lazima pangeinuliwa tu.

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 3 месяца назад

    JPM KWANGU NI MUNGU MAANA JAPO AMEKUFA LAKINI YUKO NASI KIROHO NA ATATEKA UCHAGUZI UJAO 2025 JAPO KASHALALA

  • @jumahamadkali4683
    @jumahamadkali4683 3 месяца назад +4

    Samia anaupiga mwingi

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 3 месяца назад

    Hapa wa kushukuriwa ni sisi walipa kodi, congore kwetu watanzania woteee tunaolipa kodi

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Месяц назад

      Hata Awamu ya Nne tulilipa kodi zikaishia kuu wa kwa Tegeta escrow, Richmond, Meremeta, IPTL, Simbion na ushenzi mwingi mwingi.
      Pongezi kwa mwenye maono John Pombe Magufuli