MELI YA MV UMOJA ,RELI YA SGR MWANZA VYAWAGUSA WADAU WA MAENDELEO WA UJERUMANI GIZ,USHOROBA NI IMARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 26

  • @isackrichard6356
    @isackrichard6356 5 месяцев назад +3

    Nimemmiss sana Ben Mwanantala TRC reli Tv awamu ya tano

    • @sisiniwazalendo6558
      @sisiniwazalendo6558  5 месяцев назад +1

      Nipo ndugu yangu mambo yote mazuri utayapata hapa

    • @isackrichard6356
      @isackrichard6356 5 месяцев назад

      Pamoja sana kaka Subscription yangu ushapata🤝🤝

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 месяцев назад +3

    Hao watu wamekua wakipinga miradi yetu ikiwemo bomba la mafuta. Wakidai eti tunachafua mazingira wakati hata wao mabomba wanayo.

  • @MosesEmanuel-fs3lc
    @MosesEmanuel-fs3lc 5 месяцев назад +1

    Wasitukatishe tamaa❤❤❤🇹🇿☝️🙏👏💪💪💪💪

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 5 месяцев назад +1

    Hiyo design ya station ya mwanza, mapambo kama yamezidi vile.

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 5 месяцев назад +2

    Wekeni meli ya nguvu ziwa victoria ya kubeba containers

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 месяцев назад +1

    Hao wazungu wanafikili tofauti na Sisi hao simnakumbuka walisha sema watahakikisha jangwa la Sahara kote hawaendelei

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 5 месяцев назад +1

    Pa1sana #mwanantara beny

  • @gilbertkabwogi1789
    @gilbertkabwogi1789 5 месяцев назад

    Nakubaliana na wewe kuwa hawa sio watu wa kuwa karibu ni wanafiki haswa

  • @sisiniwazalendo6558
    @sisiniwazalendo6558  5 месяцев назад +1

    Tupo kazini na kazi inaendelea

    • @Worldunite
      @Worldunite 5 месяцев назад

      HAPA KAZI TU,NA KAZI IENDELEE

  • @josephmartin292
    @josephmartin292 5 месяцев назад

    Hao wanafiki Wazungu waliotutawala wanafuata nini ? Hawapendi africa tuendelee hao wanakuja kuchunguza kinachoendelea harafu wakapange mikakakti ya vikwazo na mikopo yao riba iongezeke 😡😡

  • @fredysamizi9877
    @fredysamizi9877 5 месяцев назад

    👍

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 месяцев назад

    Hao wanafiki wanakuja kuchola Tu wao ndio walikuwa wakikataa mradi wa Julius Nyerere harafu wanakuja eti kutoa pongezi amkeni sio kila mkiona mnakujua kuna Hera.hapo wekeni mambo yeni Siri sio kuwapa njia na wao wawanane akili gani mliyonayo nyie

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 5 месяцев назад

    Kweli sisi ni wanyonge hivi hao visa Walipataje?hivi mtanzania anaweza kwenda ulaya kukagua miradi yao😂😂

  • @NdilanhaBoniphace
    @NdilanhaBoniphace 5 месяцев назад +1

    Mv Umoja ndo meli ya wap tena me naona Mv Mwanza

    • @cadekato1061
      @cadekato1061 5 месяцев назад

      ruclips.net/video/cujUptX9sCA/видео.html

    • @cadekato1061
      @cadekato1061 5 месяцев назад

      ruclips.net/video/PwYGltfKRjM/видео.html

    • @sisiniwazalendo6558
      @sisiniwazalendo6558  5 месяцев назад +1

      Pale Mwanza kuna meli mbili..ipo mpya mv mwanza hapa kazi tuu, na meli ya Mv umoja ambayo hubeba mizigo hasa mabehewa kwenda uganda

    • @kabadimselema9156
      @kabadimselema9156 5 месяцев назад

      Ni contena au behewa pengne cjaelewa

    • @sisiniwazalendo6558
      @sisiniwazalendo6558  5 месяцев назад

      Mv umoja ni meli kongwe kwaajili ya kubeba mizigo..ila Mv Mwanza ndiyo meli mpya

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 5 месяцев назад

    Wekezeni meli baharini

  • @Cheffhood
    @Cheffhood 5 месяцев назад

    C ni wajinga 2 pummbavu tu serikali yetu