Hao wanafiki Wazungu waliotutawala wanafuata nini ? Hawapendi africa tuendelee hao wanakuja kuchunguza kinachoendelea harafu wakapange mikakakti ya vikwazo na mikopo yao riba iongezeke 😡😡
Hao wanafiki wanakuja kuchola Tu wao ndio walikuwa wakikataa mradi wa Julius Nyerere harafu wanakuja eti kutoa pongezi amkeni sio kila mkiona mnakujua kuna Hera.hapo wekeni mambo yeni Siri sio kuwapa njia na wao wawanane akili gani mliyonayo nyie
Nimemmiss sana Ben Mwanantala TRC reli Tv awamu ya tano
Nipo ndugu yangu mambo yote mazuri utayapata hapa
Pamoja sana kaka Subscription yangu ushapata🤝🤝
Hao watu wamekua wakipinga miradi yetu ikiwemo bomba la mafuta. Wakidai eti tunachafua mazingira wakati hata wao mabomba wanayo.
Wasitukatishe tamaa❤❤❤🇹🇿☝️🙏👏💪💪💪💪
Hiyo design ya station ya mwanza, mapambo kama yamezidi vile.
Wekeni meli ya nguvu ziwa victoria ya kubeba containers
Point kaka😊
Hao wazungu wanafikili tofauti na Sisi hao simnakumbuka walisha sema watahakikisha jangwa la Sahara kote hawaendelei
Pa1sana #mwanantara beny
Nakubaliana na wewe kuwa hawa sio watu wa kuwa karibu ni wanafiki haswa
Tupo kazini na kazi inaendelea
HAPA KAZI TU,NA KAZI IENDELEE
Hao wanafiki Wazungu waliotutawala wanafuata nini ? Hawapendi africa tuendelee hao wanakuja kuchunguza kinachoendelea harafu wakapange mikakakti ya vikwazo na mikopo yao riba iongezeke 😡😡
👍
Hao wanafiki wanakuja kuchola Tu wao ndio walikuwa wakikataa mradi wa Julius Nyerere harafu wanakuja eti kutoa pongezi amkeni sio kila mkiona mnakujua kuna Hera.hapo wekeni mambo yeni Siri sio kuwapa njia na wao wawanane akili gani mliyonayo nyie
Kweli sisi ni wanyonge hivi hao visa Walipataje?hivi mtanzania anaweza kwenda ulaya kukagua miradi yao😂😂
Mv Umoja ndo meli ya wap tena me naona Mv Mwanza
ruclips.net/video/cujUptX9sCA/видео.html
ruclips.net/video/PwYGltfKRjM/видео.html
Pale Mwanza kuna meli mbili..ipo mpya mv mwanza hapa kazi tuu, na meli ya Mv umoja ambayo hubeba mizigo hasa mabehewa kwenda uganda
Ni contena au behewa pengne cjaelewa
Mv umoja ni meli kongwe kwaajili ya kubeba mizigo..ila Mv Mwanza ndiyo meli mpya
Wekezeni meli baharini
C ni wajinga 2 pummbavu tu serikali yetu