SGR MWANZA ZEGE HALILALI, UJENZI DARAJA LA KM 1.4 WAANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 38

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 года назад +5

    Wow beautiful mwaza 🔥🔥🔥💪👏👏

  • @humphreymsengi6686
    @humphreymsengi6686 2 года назад +5

    Na daraja la Magufuli likikamilika, badi Mwanza itakuwa ni sehemu ya kuvutia sana.

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 2 года назад +1

    HONGERA SANA DADA KWA UJEJZI WA TAIFA MUNGU AKUBARIKI

  • @mesutnyaryanga8932
    @mesutnyaryanga8932 2 года назад +1

    RIP - Magufuli - best ever president i have ever seen in my life time...

  • @henrysalala8818
    @henrysalala8818 2 года назад +1

    Making Africa great again!

  • @josh_versal8180
    @josh_versal8180 2 года назад +2

    Viva madame SAMIA

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 года назад +2

    Mwanza pazuri sana

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 2 года назад +5

    mwanza kumekucha safi mama samia

  • @martinmabago9194
    @martinmabago9194 2 года назад

    Big up Eng...Chusi

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 2 года назад

    Magufuli oyee

  • @FELIXMBWANJI
    @FELIXMBWANJI 2 года назад

    Wapi Ben Mwanantala

  • @donaldmartin1233
    @donaldmartin1233 2 года назад

    Tuulizien na ajira aisee huko

  • @obadiakajungu6965
    @obadiakajungu6965 Год назад

    Huu ni mwaka wa tatu mnacheza hakuna kinachosogea tangu wachina wamekabidhiwa site!
    Hakuna kitu hapo wapeni tender waturuki vinginevyo tutavuna mabua!

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Год назад +1

      Obadiah ndio maana unamalizia jina lako na kajungu hivyo umezoea majungu!!!!!!hutaki kumsifia na kazi iendeleee hukubaliani nayo?😅😅 Haaahaa aaaaaaaàaaaàa😅😅😅

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 2 года назад

    Kwahiyo Dada,ni wale wa,Turiki ndo wanaendelea na,Ujenzi? Maana nilikuwa nawaona hapa Dodoma,wakijenga,yaano Rail iko maridadi sana,sasa kuna,watu na bishana nao sana hapa mtaani,mimi nasema hiyo train niya umeme wenzangu wananopinga kwamba,niya,kawaida siyo ya umeme.wakl sawa au?

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 2 года назад

      SGR inatumia umeme, sio diesel. Wajenzi hapo Mwanza nadhani wachina. Waturuki wameishia makutupora. Mwenye kujua zaidi atufahamishe

    • @fadhiliromwald
      @fadhiliromwald 2 года назад

      @@Ali-nl2duupo sahihi

  • @sultanmkale3562
    @sultanmkale3562 2 года назад

    Dar TU mwanza nauli shilingi ngapi

  • @yassin171
    @yassin171 2 года назад +3

    Station ya Mwanza central, tunaomba tupate muoenako jamani

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Tunaomba SGR ya kwenda kigoma ikamilike haraka kuliko hyo ya mwanza

    • @elikanapeter1545
      @elikanapeter1545 2 года назад

      Kwanini

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 2 года назад +1

      Kwa nini? Lete sababu za msingi maana huko Kigoma hata kuanza bado

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 2 года назад +1

      @@lucasmhagama8166 kigoma inatakiwa ilishe soko la Congo lenye watu million 90 sgr itapunguza gharama za usafiri tutauza San kwa Bei rafiki

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 года назад

      unaijua mwanza wewe au unaongea tu uganda kuna soko kubwa mno ukiunganisha na Sudan kusini na baadhi ya maeneo ya Kenya ongeza na rwanda

    • @nickdemo640
      @nickdemo640 2 года назад +2

      Hamna ki2 kama hicho nyie muombe mletewe mbegu za mawese2

  • @simonmanyama8670
    @simonmanyama8670 Месяц назад

    Acha ujinga ujenzi umesimama weweee!!!

  • @nickdemo640
    @nickdemo640 2 года назад +1

    Ila kwakweli mwanza hatujasahaurika

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 года назад

      mwanza inaenda kung'aaa si mchezooo

    • @nickdemo640
      @nickdemo640 2 года назад +2

      @@madirishasimon9692 miladi mikibwa 4 yakimkakati

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 года назад

      ​@@nickdemo640 acha mwanza iwake bado na ule mradi wa kimataifa wa kayenze ukiisha mwanza haitakamatika ongeza ujenzi wa mall kubwa kabisa ya kimataifa pale nyakato pia hotel ya nyota tano pale kapripointi ambayo itaisha mwakani

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 2 года назад

    Òò

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 2 года назад

    Hamjakamilisha awamu ya kwanza mnakimbilia awamu nyingine, mna akili sawa sawa?

    • @bakariamour1024
      @bakariamour1024 Год назад

      Akili unazo wewe tu peke yako wengine wote hawana pumbavu zako