KAZI IMEPAMBA MOTO SGR MWANZA - ISAKA, RELI YAPITISHA KIBERENGE SHINYANGA - SIMIYU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 мар 2024

Комментарии • 44

  • @explorewithbertin
    @explorewithbertin 2 месяца назад +13

    Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 2 месяца назад +1

      Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂

    • @HeradiusG
      @HeradiusG 2 месяца назад +1

      @Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...!
      Pamoja!😂

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution 9 дней назад

    Hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад +2

    SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 2 месяца назад +6

    Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 2 месяца назад +1

      Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 2 месяца назад +5

    Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!

  • @starjay3052
    @starjay3052 2 месяца назад +2

    mchina arembagi kazi kaka

  • @birianination7097
    @birianination7097 2 месяца назад +2

    Hii nikubwa sana

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig 2 месяца назад

    Sait kwangu kabisa hapo

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 2 месяца назад +1

    Hiii reli inaisha lini mazee

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 2 месяца назад

      Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 2 месяца назад

    Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.

    • @michaelrweyemamu1068
      @michaelrweyemamu1068 2 месяца назад +1

      Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 2 месяца назад

      Mnachuki na waturuki... tunajua sababu

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 2 месяца назад +1

      Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 2 месяца назад +1

      Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 2 месяца назад

    Hawa Wachina wako fasta sana aisee

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 2 месяца назад

    Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i 2 месяца назад +2

    Wachina wako fasta kuliko hao waturuki

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Месяц назад

      Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 2 месяца назад

    MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 месяца назад

    Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 2 месяца назад

    Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 2 месяца назад

      Sehemu ni fupi mpaka pakamilike Dodoma 😂

  • @profAKILI
    @profAKILI 2 месяца назад +1

    Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa

    • @mkutamajuto1549
      @mkutamajuto1549 2 месяца назад

      Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 2 месяца назад

      Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 2 месяца назад

      Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 2 месяца назад

      Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?

    • @harounzuberi8179
      @harounzuberi8179 2 месяца назад +1

      Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 2 месяца назад

    Majaribio hoeeee🤣🤣